Hapo lazima nchi iende mbele pakiwepo wakina makonda 100 tu
@OmarjumaKasigazyo3 ай бұрын
Wanao msema vibaya makonda mungu awalaan kabisa huu ndio uongozi tunao utaka tanzania yetu hatutaki wanafik na mafisadi mungu akulinde kiongozi ww jpm no 2
@user-ze6lx9ng6s2 ай бұрын
Be blessed makonda , wakuu wa mikoa wengine wainge mfano wa makonda
@ELIAMBISE-ck7fr2 ай бұрын
Makonda, Arusha Kuna sehemu inaitwa Samaria na maroroni
@ShafiiHilary3 ай бұрын
Hujamaa ni kiongoz mkubwa sana
@rashidlwengo69403 ай бұрын
Baba weka kazi piga kazi😉💪
@tukuyufm3 ай бұрын
niliumiss uongozi kama huu.
@JamalDikolaga3 ай бұрын
Makonda ni mtu na nusu 🤝
@gracetemba5851
3 ай бұрын
Atoeeeee,hajui hata kujielezea
@sarahdeograthias9097
3 ай бұрын
Hhahahhaahahahahah
@gracetemba58513 ай бұрын
Toa maelezo, huna uhakika nini,au unasinsizia,toa baba hatusinzia hapa
@gracetemba58513 ай бұрын
Unabishana na MH,toa maelezo
@gracetemba58513 ай бұрын
Toa baba,Mh,Makonda weka mwingine.Hajui anachokisema hakuna kusinzia
@magrethmathayo28002 ай бұрын
makonda wanyooshe baba
@christophersikaonga44123 ай бұрын
Safi kabisa mknd
@MaulidNdunda-cl3gz2 ай бұрын
Shid kubwa hawatembelei miradi husika wanaka sana ofisin
@chesconkwera20052 ай бұрын
Jamaa anajibu maswali ya RC kama mtoto wa primary
@user-id6xo9td6k3 ай бұрын
Kuna shida kwa hawa watendaji ndiyo ubaya wa kukaa ofisini bila kutembelea maeneo ya kazi
@anoldamkumba32083 ай бұрын
Hana uhakika,Ndo wataalamu wetu WASOMI.Daah kazi kwelikweli.
@CafeJohn-jz8ri3 ай бұрын
Yaani wewe makonda chukuwa maua yako uongozi unaujuwa mpaka basi unawauliza maswali wanashindwa inamaaana wanafanya kazi kwa mazowea ndo shida
@JoramSimion2 ай бұрын
Wabane
@gracetemba58513 ай бұрын
Asitoe karatasi,hata sisi ni standard 7 but tukija kwenye mathematics tupo vizuri, tumia akili siyo karatasi
@gracetemba58513 ай бұрын
Makonda oyeeeeeeeeee
@gracetemba58513 ай бұрын
Baba toa ,hao wanabebana
@SamweliMwalindu3 ай бұрын
usngizi mzito ndoo wanaamshwa kazi wanayo
@gracetemba58513 ай бұрын
Toa baba
@stephenefatha88182 ай бұрын
Upigaji uko kila mahali
@faustinhommedetatnifasha96692 ай бұрын
Mwaka umjo tu arusha.mwingine mwaka ujao uje kwetu
@kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын
WAFOKONYOE MIJIZI WAMEKAA KATIKA VITI KUWATOA KAFALA WATOTO NA WAZAZI WAO WAPIGE PESA SASA WATAZIALISHA PESA NA MASHALITI KAYAVUNJA MAKONDA 😂😂😂😂😂😂😂
Пікірлер: 31
Hapo lazima nchi iende mbele pakiwepo wakina makonda 100 tu
Wanao msema vibaya makonda mungu awalaan kabisa huu ndio uongozi tunao utaka tanzania yetu hatutaki wanafik na mafisadi mungu akulinde kiongozi ww jpm no 2
Be blessed makonda , wakuu wa mikoa wengine wainge mfano wa makonda
Makonda, Arusha Kuna sehemu inaitwa Samaria na maroroni
Hujamaa ni kiongoz mkubwa sana
Baba weka kazi piga kazi😉💪
niliumiss uongozi kama huu.
Makonda ni mtu na nusu 🤝
@gracetemba5851
3 ай бұрын
Atoeeeee,hajui hata kujielezea
@sarahdeograthias9097
3 ай бұрын
Hhahahhaahahahahah
Toa maelezo, huna uhakika nini,au unasinsizia,toa baba hatusinzia hapa
Unabishana na MH,toa maelezo
Toa baba,Mh,Makonda weka mwingine.Hajui anachokisema hakuna kusinzia
makonda wanyooshe baba
Safi kabisa mknd
Shid kubwa hawatembelei miradi husika wanaka sana ofisin
Jamaa anajibu maswali ya RC kama mtoto wa primary
Kuna shida kwa hawa watendaji ndiyo ubaya wa kukaa ofisini bila kutembelea maeneo ya kazi
Hana uhakika,Ndo wataalamu wetu WASOMI.Daah kazi kwelikweli.
Yaani wewe makonda chukuwa maua yako uongozi unaujuwa mpaka basi unawauliza maswali wanashindwa inamaaana wanafanya kazi kwa mazowea ndo shida
Wabane
Asitoe karatasi,hata sisi ni standard 7 but tukija kwenye mathematics tupo vizuri, tumia akili siyo karatasi
Makonda oyeeeeeeeeee
Baba toa ,hao wanabebana
usngizi mzito ndoo wanaamshwa kazi wanayo
Toa baba
Upigaji uko kila mahali
Mwaka umjo tu arusha.mwingine mwaka ujao uje kwetu
WAFOKONYOE MIJIZI WAMEKAA KATIKA VITI KUWATOA KAFALA WATOTO NA WAZAZI WAO WAPIGE PESA SASA WATAZIALISHA PESA NA MASHALITI KAYAVUNJA MAKONDA 😂😂😂😂😂😂😂
Duu😅
😂😂😂