MAKONDA AONGEA KAULI NZITO MBELE ya WAZIRI KITILA "Mimi ni Tofauti na Wengine Sipendi Ubabaishaji"

Пікірлер: 45

  • @abdialijamaa1643
    @abdialijamaa16433 күн бұрын

    a leader is the one who knows the way,goes the way and shows the way .this is the kind of people we need in leadership paul makonda . keep shining like a star

  • @LeahGyei
    @LeahGyei3 күн бұрын

    Wewe ni kiongozi kutoka kwa Mungu. Barikiwa sana mwanangu

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g3 күн бұрын

    Safi sana Mh Makonda, hongera sana unakitendea haki cheo chako 🎉🎉🎉 Mungu akulinde akupiganie uchape kazi hakika ww ni kiongozi wa kuigwa 🎉🎉

  • @kamogesamuel2461
    @kamogesamuel24613 күн бұрын

    Barikiwa sana kwa utumishi uliotukuka na maono makubwa

  • @yahayampangilwa
    @yahayampangilwa3 күн бұрын

    Viongozi wazalendo kama Makonda wanatakiwa kulindwa sana.

  • @kwisa4899
    @kwisa48993 күн бұрын

    Makonda kwa hili nimekupongeza umeongea kwa hekima na uwezo wa juu sana leo unazidi kuimalika kwene uongozi, i wish siku koja yapi awe makamu wako mpo vizuri.

  • @section8ight174

    @section8ight174

    3 күн бұрын

    *KuimaRika but yeah great point you’ve put across!!

  • @yusuphchimwala4126
    @yusuphchimwala41263 күн бұрын

    Uko vizur sanaaa mkuu Allah akuongoze katika utendaji wako mkuu🎉

  • @JudicaJoseph
    @JudicaJoseph3 күн бұрын

    Haya kama wakisema Ni siasa Ni sawa tungekuwa tunafanyiwa siasa nzuri kama hizi za vitendo Na viongozi wote nchi ingekuwa mbali Sana Na wananchi tungepona

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene53 күн бұрын

    Mhe Mkuu wa Mkoa Arusha mhe Makonda wewe ni kiongozi mbunifu sana wewe ni mlezi wa kila lika duh !!! Sijawahi kuona masha allah mungu akufanyie wepesi wakazi zako za kila siku piga kazi mhe makonda

  • @IlalioMbunju-hv7kw
    @IlalioMbunju-hv7kw3 күн бұрын

    Chapa kazi Mungu anakuona unachofanya

  • @nichoojr.6747
    @nichoojr.67473 күн бұрын

    Sema Kaka We NI Raisi Miaka ijayo 🙏

  • @shabannayopa5406
    @shabannayopa54063 күн бұрын

    Viva makonda cna neno chapa kaz, 💯 nakubal

  • @abasibogga4798
    @abasibogga47983 күн бұрын

    U are the leader ofcause big up makonda

  • @abdallahomary515
    @abdallahomary5153 күн бұрын

    Huyu jamaa ana vision kiukweli

  • @MossesMeleji
    @MossesMeleji2 күн бұрын

    Makonda ubarikiwe sana! Songa mbele

  • @JudicaJoseph
    @JudicaJoseph3 күн бұрын

    Safi kaka makonda kiongozi wa mfano

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda77692 күн бұрын

    Ubarikiwe sana Mh Makonda.

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema3 күн бұрын

    Big up sana Vijana tunakuelewa sana Makonda

  • @user-md7ug5dd9r
    @user-md7ug5dd9r3 күн бұрын

    Mungu akubarki sana

  • @jerichoseth4188
    @jerichoseth41883 күн бұрын

    Bro you are my lol model in leadership

  • @user-nd1le6zp3e
    @user-nd1le6zp3e3 күн бұрын

    Sema mwamba tunakuamini

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee3 күн бұрын

    Makonda Akili kubwa sana.....heko kwake

  • @daudkindy8062
    @daudkindy80623 күн бұрын

    Ishaallah Makonda utafika mbali ishaallah

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma49023 күн бұрын

    PhD ya makonda

  • @barakakevela245
    @barakakevela2452 күн бұрын

    NINAKUELEWA SANA MHE MAKONDA UKO VIZURI KAKA

  • @Antelius-ew6it
    @Antelius-ew6it3 күн бұрын

    Karibu ikilu ❤

  • @user-dn9lb9ct1w
    @user-dn9lb9ct1w3 күн бұрын

    Mh poul makonda hakika upo vzuri Arusha is the big city now co of u

  • @zakarialuhemeja444
    @zakarialuhemeja4443 күн бұрын

    Intelligent

  • @elizabethbigilwa6822
    @elizabethbigilwa68223 күн бұрын

    Chapa kazi. Kama ulivyoacha DSM

  • @peterpaschal4522
    @peterpaschal45223 күн бұрын

    Mheshimiwa makonda hapo kwenye kusema au nilikosea kufanya hi biashara kuna siku nilijisemea walai maana kumsimamia mtu ambaye hajitambui ilikuwa hatari

  • @masakamgalla9273
    @masakamgalla92733 күн бұрын

    A man and ahalf

  • @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to
    @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to2 күн бұрын

    Je mbuga ya ngorongoro haijauzwa kwa nini wamasai wanahamishwa je Watanzania wameelezwa.

  • @loyakanuda2521
    @loyakanuda25213 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @samwelmkufya3694
    @samwelmkufya36942 күн бұрын

    Wewe ni Rais unaesubiri kuapishwa tu brother piga kazi

  • @user-pi5df7qu3y
    @user-pi5df7qu3y2 күн бұрын

    Rais wangu miaka inayokuja

  • @lucascosmas908
    @lucascosmas9082 күн бұрын

    Sawa

  • @user-pw9ir4fg7x
    @user-pw9ir4fg7x2 күн бұрын

    Ikulu unakaribixhwa

  • @masakamgalla9273
    @masakamgalla92733 күн бұрын

    Takwimu za milembe kubwa kidogo hapo chuga😂😂

  • @user-gv8yn9lg1i

    @user-gv8yn9lg1i

    3 күн бұрын

    😢😢😢😢

  • @vincentmhoro1952
    @vincentmhoro19523 күн бұрын

    Vivo hivyo, msiwa-treat mapinzani wa kisiasa kama maadui

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo3 күн бұрын

    wamechaguliwa na nani

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa51793 күн бұрын

    sheria ndio mbovu wewe unampaje mtubwa tra mamlaka ya kukadiliaaa hela ya serikali na anamaamuzi yote ya kufanya anachotaka na hakaguliwi

  • @section8ight174

    @section8ight174

    3 күн бұрын

    *KukadiRia, tobwe wewe! Acheni kuaribu lugha nyie wa kuletwa!!

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow3 күн бұрын

    Makonda unatakiwa uwe raisi sio huyu mtalii