NAIBU WAZIRI: WAKUU wa MIKOA WENGINE MUIGENI MAKONDA,.
Жүктеу.....
Пікірлер: 18
@BJMKANGALA16 күн бұрын
Watanzania tuna uwezo wa kufanya mambo makubwa sana ikiwa kila mmoja atawajibika katika nafasi yake. Mh P. Makonda, Madaktari na Madaktari bingwa wote, Mh Rais Samia, Serikali na kila aliyehusika na zoezi hili, pokeeni shukurani za dhati toka kwa Watanzania wote na Mungu awazidishie moyo wa unyenyekevu katika kulitumikia taifa!
@rosetreffert41795 күн бұрын
Hongera sana MAKONDA MUNGU awatangulie katika kazi zako wewe wa mfano ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@adamumyala-js9fh4 күн бұрын
Mungu akulinde sana makonda unatenda haki mungu akutangulie akulinde na mabaya yote natamani hata nikuone nikupe mkono.
@saidsuleiman17536 күн бұрын
Kwa style hii Chadema watasubiri sana labda Makonda atakapoondolewa
@dicksonaroka6961
5 күн бұрын
Kwa Arusha ndo bas tena hawana la kusema make jiji la Arusha sa hiv iko bize na maendeleo wananchini hawataki mchezo kwaiyo chadema ili waende arusha lazima wawe na hoja dhabiti na s blabla tena kama zaman
@BonifaceEdward-pc1dd4 күн бұрын
Iv kunaulazima gan kua na wakuu wa mikoa weng nawakat anatakiwa makonda peke yake awe mkuu wa mikoa
@BakariKombo-er9xr6 күн бұрын
Hongera mkuu wa mkoamakonda
@AidaMosha-nl6ix4 күн бұрын
Wakuu wa mikoa mingine waige kwani siyo thambi
@AmusedClam-zo9nf6 күн бұрын
🙏🙏🙏
@doshnafungo42106 күн бұрын
Makonda Sasa inatakiwa Makonda wawe wengi kila Kona ya nch Makonda mmoja anachoka na kuwafikia watu ni wengi na iwe. Kwa idara zote Kama Makonda
@shabanramadhan76326 күн бұрын
Sasa huo ndio ushuhuda wa ukweli na sio ule ww mchongo wa manabii wa uwongo
@mbwanamungia99215 күн бұрын
Tatizo la kutolipwa wazabuni waliofanya miradi nikubwa linatisha walikopa bank kwa ajili ya kukamilisha miradi hiyo sasa nyumba zao zinauzwa mchana kweupee. Na viongozi wamekaa tuu haswa Ilala dsm kuna mtu nyumba na gari vyote vinepigwa mnada. Shida malipo yake huko halmashauri
@esterswai94546 күн бұрын
Huyu ni rais jmn mwakan ,,
@duniarashid8775 күн бұрын
Kwani hiyo hiyo huduma Ni supesho Kwa watu wa Arusha peke Yao mbona nasisi Mwanza tunatrseka Na magonjwa sugu ya Moyo lakini hatujui tunapo kimbilia mbona Mwanza hii huduma ya matibabu bure mbona haiji Mwanza mwana tulimkosea Nini raisi maajabu Haya
@BakariKombo-er9xr6 күн бұрын
Mfano wa Rc Makonda ni mfano wa kuigwa mama muone huyu
@AMENMUSHI-wt4li
6 күн бұрын
Mungu anamwona Mungu akuinuwe Makonda angesambazwa Mikoa yote wakuu wa mikoa wengine waige, Makonda ana Yesu bila Yesu hakuna kutoboa
@AMENMUSHI-wt4li
6 күн бұрын
Dada mshukuru Mungu hao wametumiwa na Mungu
@bonifacedanielmwakisunga96383 күн бұрын
Awawezi kuoga kabisa sababu wako kwa maslahi Yao sio kwa wananchi ndio maana wanashundwa kufanya kazi ya kutatua shida za wananchi awawezi kabisa
Пікірлер: 18
Watanzania tuna uwezo wa kufanya mambo makubwa sana ikiwa kila mmoja atawajibika katika nafasi yake. Mh P. Makonda, Madaktari na Madaktari bingwa wote, Mh Rais Samia, Serikali na kila aliyehusika na zoezi hili, pokeeni shukurani za dhati toka kwa Watanzania wote na Mungu awazidishie moyo wa unyenyekevu katika kulitumikia taifa!
Hongera sana MAKONDA MUNGU awatangulie katika kazi zako wewe wa mfano ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu akulinde sana makonda unatenda haki mungu akutangulie akulinde na mabaya yote natamani hata nikuone nikupe mkono.
Kwa style hii Chadema watasubiri sana labda Makonda atakapoondolewa
@dicksonaroka6961
5 күн бұрын
Kwa Arusha ndo bas tena hawana la kusema make jiji la Arusha sa hiv iko bize na maendeleo wananchini hawataki mchezo kwaiyo chadema ili waende arusha lazima wawe na hoja dhabiti na s blabla tena kama zaman
Iv kunaulazima gan kua na wakuu wa mikoa weng nawakat anatakiwa makonda peke yake awe mkuu wa mikoa
Hongera mkuu wa mkoamakonda
Wakuu wa mikoa mingine waige kwani siyo thambi
🙏🙏🙏
Makonda Sasa inatakiwa Makonda wawe wengi kila Kona ya nch Makonda mmoja anachoka na kuwafikia watu ni wengi na iwe. Kwa idara zote Kama Makonda
Sasa huo ndio ushuhuda wa ukweli na sio ule ww mchongo wa manabii wa uwongo
Tatizo la kutolipwa wazabuni waliofanya miradi nikubwa linatisha walikopa bank kwa ajili ya kukamilisha miradi hiyo sasa nyumba zao zinauzwa mchana kweupee. Na viongozi wamekaa tuu haswa Ilala dsm kuna mtu nyumba na gari vyote vinepigwa mnada. Shida malipo yake huko halmashauri
Huyu ni rais jmn mwakan ,,
Kwani hiyo hiyo huduma Ni supesho Kwa watu wa Arusha peke Yao mbona nasisi Mwanza tunatrseka Na magonjwa sugu ya Moyo lakini hatujui tunapo kimbilia mbona Mwanza hii huduma ya matibabu bure mbona haiji Mwanza mwana tulimkosea Nini raisi maajabu Haya
Mfano wa Rc Makonda ni mfano wa kuigwa mama muone huyu
@AMENMUSHI-wt4li
6 күн бұрын
Mungu anamwona Mungu akuinuwe Makonda angesambazwa Mikoa yote wakuu wa mikoa wengine waige, Makonda ana Yesu bila Yesu hakuna kutoboa
@AMENMUSHI-wt4li
6 күн бұрын
Dada mshukuru Mungu hao wametumiwa na Mungu
Awawezi kuoga kabisa sababu wako kwa maslahi Yao sio kwa wananchi ndio maana wanashundwa kufanya kazi ya kutatua shida za wananchi awawezi kabisa