ABAKWA na KULAWITIWA Kisha KUKATWA MKONO ARUSHA, MAKONDA AFANYA MAAMUZI MAZITO,.

Пікірлер: 4

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard955213 күн бұрын

    Dada Mungu azidi kukusimamia na kukuinua zaidi.Ukweli nimejiskia moyo wangu kuwaka hasira kali sana.Nahofia kutamka maneno magumu sana.Hivi Mkuu wa Wilaya kweli alishindwa nini ? Mkuu wa Polisi,wakuu wa Vituo,mwanasheria.Hakika nawaambia haya maneno hukumu ya Mungu ipo kwenu siku siyo nyingi.Makonda Mungu akazidi kukuinua piga kazi Baba.Hao wengne ni mawakala wa shetani.

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv13 күн бұрын

    Asante dada wakristo wenzake tumetuliaaa

  • @elizabethmakaranga218
    @elizabethmakaranga21813 күн бұрын

    Mh makonda mbeba maono wa familia hafi,hakuna ugumu mwanangu wa kazi hiyo maana umepewa KIBALI na mungu mwenye uwezo

  • @gmentertainmentcompany9353
    @gmentertainmentcompany935313 күн бұрын

    pambana mkuu msimamo mzito huo WA mahusiano but jilinde maana wenye msimamo huo bila kujilinda na kuwa makini wanaondoka Dunian mapema chagua team Bora inayochukia Yale unayochukia ukikuta wanayo mengine jaribu kushaur maana ss binadamu tunachangamoto nyingi

Келесі