KIMENUKA ACT WATOA KAULI KWA TAHARUKI ILOSAMBAA MAZRUI KUFUKUZWA ACT

TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Пікірлер: 62

  • @afropanorama4730
    @afropanorama47306 күн бұрын

    maendeleo ndio muhimu,hizi kelele za kwenye majukwaa zimeanza miaka nenda na hakuna liwalo,wanasiasa nyote waropokaji tu

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim9 күн бұрын

    Mazurui anapenda kuropokwa, hapimi Cha kuongea ,hutoa tu yaliomo mdomoni.😂

  • @Jal210

    @Jal210

    3 күн бұрын

    Mazurui anasema ukweli

  • @Jal210
    @Jal2103 күн бұрын

    Kasema ukweli maendeleo yanawndelea na yanaonekana msema ukweli mpenzi wa mungu,

  • @issakhamis9581
    @issakhamis95819 күн бұрын

    Upo saw kamanda

  • @issakhamis9581

    @issakhamis9581

    9 күн бұрын

    Mbon nanabii issa hajaoa mpak leo

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi9 күн бұрын

    Wewe. Unaesema. Siorahi. Tambua. Mungu. Hashindwi. Nakitu. Kma. Unamafuta. Kweye. Akiliyako

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi20389 күн бұрын

    Zitto kabwe katiba mpyaaaaaaa 😂😂😂 hii ni longo longo ya ki si hasa 😂 nyambafu zetu 👎👎👎

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu8669 күн бұрын

    Hawajakufahamu kabisaa

  • @salyali7807
    @salyali78077 күн бұрын

    Mh Jussa ananikosha ... sichoki kumsikiliza .. May Allah amhifadhi .. Allahumma ameen

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    6 күн бұрын

    Hamna kitu hapo

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z5 күн бұрын

    Kwani kusifia kitu ambacho kinaonekana kuna ubaya gani mie ndio mana siasa za kitanzani wala sizitaki ni siasa za kibwege tu

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu8669 күн бұрын

    kwani kuna ubaya gani kusifia Maendeleo na wakati yanaonekana?

  • @user-pe9nq3wu4p

    @user-pe9nq3wu4p

    9 күн бұрын

    Hakuna maendele yo yote

  • @abubakarshamuhuni3894

    @abubakarshamuhuni3894

    8 күн бұрын

    Maendeleo gani ulioyaona wewe

  • @salyali7807

    @salyali7807

    7 күн бұрын

    Maendeleo ya madeni

  • @Rukaiya-lt3hm

    @Rukaiya-lt3hm

    5 күн бұрын

    Maendeleo gani ulioyaona wewe

  • @mbarakahaji4302
    @mbarakahaji43029 күн бұрын

    Wewe ndio muflis wa siasa

  • @user-hj4zt1kw4i
    @user-hj4zt1kw4i9 күн бұрын

    Wataka awe shemeji yako? Taja mahar ya dada yako

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed51578 күн бұрын

    Kiukweli mazruui hasomeki 😂😂😂

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z5 күн бұрын

    Huyu jussa hana tofauti na wahubiri dini mana huyu kila kukicha anahubiri anacho kiongea wala hakieleweki

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca76029 күн бұрын

    Acha matusi mtu mzima hovyo

  • @Rukaiya-lt3hm

    @Rukaiya-lt3hm

    5 күн бұрын

    Maalim alitukanwa sana mbona haukuumia ww

  • @alinasor8553
    @alinasor85535 күн бұрын

    Iyo siasa

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi20389 күн бұрын

    Cuf au 😂😂😂😂

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca76029 күн бұрын

    Acha dharau masikini wewe

  • @MAGARITanzania
    @MAGARITanzania9 күн бұрын

    Zanzibar maendeleo yapo wazi hayataki tochi, mtu asiyeona basi hataki tu kuyaona.

  • @awadhsalim2680

    @awadhsalim2680

    9 күн бұрын

    Maendeleo ya kuharibika kwa maadili😂

  • @Aisha-lj8bu

    @Aisha-lj8bu

    9 күн бұрын

    Njaaimezidi bila yashibe hakuna maendeleo

  • @omarmohammed5157

    @omarmohammed5157

    8 күн бұрын

    Unajuwa maaana ya maemdeleo au unaona majengo tu???😂😂😂😂😂

  • @Rukaiya-lt3hm

    @Rukaiya-lt3hm

    5 күн бұрын

    Kama yapi

  • @FamilyVideos-pt1mo
    @FamilyVideos-pt1mo5 күн бұрын

    Hivi bado znz kuna ccm?

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima72956 күн бұрын

    Mazrui anajitambua kuliko wewe!!

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid9 күн бұрын

    Mm mwenye nashanga mazuri alipigwa na ccm mpaka kutupwa Leo hii aingie ccm yani negelimuona si mtu kwli ukiangalia jisi walivyokua na mwalimu seif kukilea chama hadi hii atoke

  • @alimohammedomar3412

    @alimohammedomar3412

    6 күн бұрын

    Usishangae kwani hata Juma Othman alipigwa hadi akachakaa lakini baadae alirudia ccm na kupewa ubalozi kwa tamaa yake

  • @jumA-th7rs
    @jumA-th7rs2 күн бұрын

    Nyie hamueleweki mnataka nn. Eleweni Zanzibar hamuipati ngoo kama kupewa ilikua mpewe na karume lakini kashindwa na Hakuna hata nchi moja iliolisema hili.

  • @jumamuhd620

    @jumamuhd620

    2 күн бұрын

    Km anatoa babaako haipatikani lkn km mtoaji ni mungu basi mungu anampa amtakae bl y hesabu

  • @user-ri1yr8ks7y
    @user-ri1yr8ks7y8 күн бұрын

    Hy

  • @KhamisMwafrika
    @KhamisMwafrika7 күн бұрын

    hatumtaki tena huyobwana kashakupa fupa

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca76029 күн бұрын

    Sio Rahisi kuing'oa chama changu .wewe ongea kujifurahisha lakkini ni kitu ambacho hakiwezekani

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l6 күн бұрын

    ATOKE HADHARANI MWENYEWE MAZURUI ASEME SIO ASEMEWE. HAJAFA, YUHAI KWA NINI AWALISHE MANENO ? YEYE ALISEMA HADHARANI ATOKE HADHARANI ANAOGOPA NINI

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa8389 күн бұрын

    BARUDHUL WW NN ASIYEKUJUWA

  • @Aisha-lj8bu

    @Aisha-lj8bu

    9 күн бұрын

    Sw yy nibaradhuli naww nibashawake mjinga ww

  • @Jal210
    @Jal2103 күн бұрын

    Pimbi ni wewe mjinga huna adabu

  • @umsalim6515
    @umsalim65158 күн бұрын

    Acheni bwabwaja, chama kilikuwa na nguvu kilipokuwa cha wazanzibar halisi, CUF, tangu mlipokipeleka bara mkawapa kanisa basi bwabwaja tu. Tizameni shughuli nyingi za makanisa rangi zao zipi ?

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74389 күн бұрын

    aunajiangaisha bure siyo rahisi kuitoa Ccm Zanzibar tutawstoa mnio kwetu bara mpaka mtakoma madukavyenu mtahama nayo huko kwenu hamtoshi na bara ndiko kwenye biasha jaribuni muone cha moto

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    8 күн бұрын

    Margaret,bila ya nguvu ya vyombo vya dola(polisi na jeshi),hamna ccm

  • @KibondoPaje222

    @KibondoPaje222

    8 күн бұрын

    HUO NI UFALA WAKO KAMA HUKO MLIKO KAMA KUZURI MBONA WAMEJAAAA HUKU VICHOGOOOO

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg9 күн бұрын

    Wanafiki wakubwa, watu wmeuwawa nyie mnakimbilia nafasi tatu, Acha Meiny aendelee kuwa Ris wetu

  • @Jal210
    @Jal2103 күн бұрын

    Muflusi ni wewe mpumbavu

  • @KhamisMwafrika
    @KhamisMwafrika7 күн бұрын

    amenunuliwa kashapewa pesahuyo

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z5 күн бұрын

    Hayo maneno ya kisiasa tu unakumbuka mzigwa aliongea nini wakati yupo kule na kujiunga CCM hayo ni maneno ya kisiasa tu na huenda pia huyo MH manzruwi pia akahamia CCM pia nae nyie wana siasa mnaaninika basi nyie si wapiga dili tu Tanzania kuna siasa kuna wapiga dili

  • @user-bi1tz8jp9f
    @user-bi1tz8jp9f9 күн бұрын

    Kumbe jussa wamjua mtume,naona hujaowa mpaka leo

  • @delasdiego6537

    @delasdiego6537

    9 күн бұрын

    Anamsubiria dada Yako pumbav

  • @husseinkonz5192

    @husseinkonz5192

    9 күн бұрын

    Kuoa mchezo 😂

  • @user-jh5ne9mw4w

    @user-jh5ne9mw4w

    9 күн бұрын

    Kwni unapata dhambi ukiwa hujaowa

  • @user-st9me2jn7o

    @user-st9me2jn7o

    9 күн бұрын

    Owa ww peke ako

  • @Aisha-lj8bu

    @Aisha-lj8bu

    9 күн бұрын

    Mpe dadaako atamuowa

  • @shekhanalyz1683
    @shekhanalyz16836 күн бұрын

    Siasa hizo zimeshapitwa na wakati kama kiongozi anafanya vizur mpeni maua yake haijalisha chama tawala au upinzani kama mbunge wa upinzani anafanya vizuri mpeni mau kama tawala mpeni maua.

Келесі