KUMEKUCHA MBETO AMJIBU JUSSA SAKATA LA MH MAZRUI MBONA HAKUSHIRIKI MKUTANO WENU KUNA NENO
TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
Пікірлер: 79
Mbetto ameshikwa kweli naona amekuwa mweusi hakika Jussa ni Professional Mbung'o.
Bwana. Mazroui Mungu amhifadhi akisifu hakuna teno unaweza kusifu hata kwa maaduwi zako, anaijuwa siasa vizuri pia ni mtu mwenye heshma na adabu na UWAMINIFU mkubwa kama Waziri hapo Unguja.Yalomkuta Kwa CCM siyo madogo. Watu wanakaa kwa HADHARI.
@user-lm3lt7xx6l
14 күн бұрын
Sawasawa.
Duhh kwel ccm ime kwisha mpka mbeto una mtaka mazrui😂
Mboto sikiliza walikuwepo zaidi ya mazurui wakatoka nabado hatujatetereka si tatizo hata akitoka ss bado tupo palepale tuuu ccm hamna lolote
Wee mnyamwezi wacha unafik. Mazurui alikua hayupo siku ile. Na mikutano mingi huwa si sana Mazurui kuwepo. Usiropoke tu. Wasifu Mawaziri wenu wa ccm au wanaboronga? Mazurui ni ACT na tunawaambia 2025 tutafanya mazuri sana na mfano ndio huo waziri wetu Mazurui. Wazanzibari maisha magumuuuu. Mwinyi mwiziiiii mbona na yeye haji kujibu unamjibia wewe.?
Sindano zinafanya kazi tena ya wiki tu je dozi ikiwa marambili kwa wiki ingekuwaje ?
Mnajuwa ccm hawana sera wala ilani na hawana mpango wa kuwafanyia wananyi wakala milo 3 na kuishi ktk nchi ya haki.sasa kinacho tendeka wakipata jambo hulishikilia ili act wazalendo wasiwe na muda ya kutumia zile dakika zao ktk majukwa mnazan ccm hawajuwi km mazurui papa havulik kwa dema.hufanya hivyo yale masaa walio pangiwa ktk mkutano yaende ktk kubishana upuuzi.ushauri wangu act wapige kazi
Takataka hii sisi letu moja tu ni malaka kamili
Mazrui ni kiongozi anayejitambua, huwezi kumfananisha na jussa au omo
@osmanha6915
14 күн бұрын
Ila CCM haijitambuwi
ACT wapimbavu sana
Viongozi wengi wa CCM Ssiwaelewi ni watu ambao hawana hoja,hawajui kijibi hoja,hawajibidishi kusoma Wala kuenda na wakati
Kumbe jussa ndio dawa yenu
@FahadAbubakari
14 күн бұрын
😂😂😂
Uyu mbetto kwani ni kijana au ni mzee? Naona sura haielewek kama polepole!!
Mazrui ni mwarabu mbona
Ww mpuuzi sana kama unajua ccm tunavyoichukia kiukwer tu jiandaeni tena na mauaji ila ujinga ujinga wenu sasa basssssssssi
Yani ccm sisi ni watu wapumbavu sana katika hi chin mnavichekeshoa na bado ndozi hina tibu ACT yooooo
Mbetto na wewe mwambie Mwinyi ajibu mwenyewe hoja za Jussa. Sio unajibu wewe.
Sasa mchukueni Mazrui halafu wekeni uchaguzi uliohuru. Msiweke mazombi yenu halafu muone kama mtaambulia kitu.
Kwani kila anaekusifia huwa ndio anakupenda kweli ccm hamna jipya munasubiri mtu akosee ndio mupate mada
Kumbe yanawauma ya jussa jussa wape daw hao mmbo bado
Tunasubir siku ambayo Mazrui atakayopokelewa na CCM na kupewa kadi
Kwa iyo mbeto ndio pimbi?
Kwani kusifu maendeleo ndio kuasi chama?Wewe huna haki ya kuongea kuhusu Mazrui,mwachie mwenyewe atamke atakayo.Wacheni uchochezi na fitina
Yan huyu mtu mweusi hana adabu hata kidogo
Muongo sio mikutano yote mazurui anakuwepo ikisha wema haudandiwi
Katika viongozi mambumbu katika c.c.n zanzibar hakuna kama mbeto na dimwa kiwango chao ni sawa na baraka shamte na hamza hasan
@jombadulla
14 күн бұрын
mbeto na dimwa hawajui kuongea mdomo tu mwingi, mazrui anaweza kuongea vile ni technic tu, alf Yule ni wazir samtime inamfanya awe vile
@Grataaaaa
14 күн бұрын
abisa umenena
Hata mimi mwanaACT kwa hili nna shaka na makamo wangu Jusa.Mazrui alipaswa kuwepo kwenye mkutano atupashe. Lipo jambo
@w4058
14 күн бұрын
Hakupaswa kuwapo hapo na nyi msijifanye wizi wa fadhila wacheni kutaka kumdhalilisha Mazrui hebu kuweni waungwana
@w4058
14 күн бұрын
Ingekuwa wewe uko kwenye nafasi kama ya kwake ungemsifu hivyo na zaidi kuliko alivyofanya mmeka kama wafinyu wa akili
@w4058
14 күн бұрын
Sipotezi tima yangu kusikiliza mwanamume mzima kujibu jibu wasting my time
Ccm bawana akili bora kuku lakini kaongea aliloliona rais alililolifanya
Wewe,mwenyewe,unajisuta,mznz,Gani,anataka,ccm
Nyinyi ccm ndio munatufanya wznzb km wtoto au wjinga pua km chura wznzbar ndio tunaopiga kura co mazurui kura ymazuruia nimoja lkn wznzbar niwengi kuliko mazurui ukitka kuamini hilo tuombe mungu ifike 2025 km hmujaua wtu nakujeruhi bc ushindi hmunao 😅😅😅
Ww ni shetani mweusi
Hunajipya ww ondoweni hii njaa kwanza hamu lolote jichwa kubwa akili kidogo
Tafuteni Cha kutudanganyia siomaji Barbara mara umeme mara shule mara masoko zimepitwa na wakati
mbeto kwan kura ni zahir ?? Ukipiga hisab zanzibar kuna ccm wengi tu lakin kila uchaguzi ukija minapigwa na chini je kura ni dhahir ??
Pumvavuuuu
Ccm hakuna mtu mwnye akili na kama yupo baci hakuna mweny marifa nyot nyny pangu pakavu tia mchuz mali uteleze inshaallah 2025 tunawakabiz zanzibar viongoz wenye akili marf uweledi wa kazi na so nyny majuha
Hamna kt hp jichwa kama take nan anotaka ccm
Mnyamwezi Mmakomde ndio waliofika mwanzo Unguja kuliko wewe uliokuja kufuta Barbara za darajani ukadhani umefika Ulaya .
Nikweli kama kuongea lolote alipaswa aende mwenyewe. Mazruii😂😂😂
Skuelew unachosema
yani hiliii halina akilii ataa kidog ccm inakosaa mvuto kwa watu km hawaa boraa mabodi alikua kichwa
Hakuna kitu hapo. Huyu ni. Netanyahu mweusi.
@Grataaaaa
14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
Napita nkucheka
Huyu mwamba kama ashakula kijiti vile
@kassim1262
11 күн бұрын
😅😂😂😂😂
Kumbe wewe pimbi kweli kweli ... kwa uchimi gani wa zanzibar hadi kuwa na mfumo kama huo.. mfumo huu unahitajika kwa nchi zenye uchumi mkubwa sio kama zanzibar yetu ambayo uchimi wake ni mdogo sana kugharamia mfumo kama huo.. hii ni dalili Tosha serekali imeshindwa kudhibiti fedha za walipa kodi masikini....
Bunju bunju tu 😃😃😃
Huyu kichwa chake ni mzigo tu wa shingo😂
Kwani kutumia Google serekali inalipa,
Hakuna sakata lolote msitupozee muda
Wewe mjinga mzanzibar na ccm sahau
ANANUKA POMBE👁️👀👁️🤣🤣🤣
Mh hapa hamna kitu
Uchumi nzima ni trioni moja pamoja na bakuli hizo trions duh
@jumamohamed3168
14 күн бұрын
Masoud hawa jamaa CCM ,wanafikiri kwamba watu wote wa Zanzibar wanauwelewa mdogo sana wa kutafakari mambo kumbe sivyo ilivyo.sisi Zanzibar hatukupaswa kuwa hapa tulipo kimaendeleo ni maendeleo madogo sana ukilinganisha na nchi nyingine za visiwa kama sisi, hata uchumi wetu ni mdogo sana katika nchi za Visiwa ndio sisi wengine tunaumizwa na hilo tulipaswa kuwa mbali zaidi ndio baadhi ya sisi Wazanzibar tunaona nyinyi CCM mumeshindwa kuongoza visiwa hivi kwa kuvipeleka mbele kimaendeleo tukashindana na nchi nyingine za visiwa kama Morishazi ,Capved na nchi nyingine zisizokuwa za visiwa . Trilioni tano bajeti wakati trilioni tatu za kukopa sisi wengine inatuuma Zanzibar .
fanyeni mkutano na nyie tuone km mtapat watu km walee
Mh kura ni siri kwa maana yk
Its very stupidity ideal!
Jambo kubwa ambalo CCM mnapigwa bao ni mamlaka kamili ya Zanzibar hapo ndio mnapigwa bao Wazanzibari Tunataka nchi yetu yenye mamlaka kamili na kila sehemu duniani tuitwe kwa jina letu Wazanzibari sio Watanzania
Pumbavu kweli
"WANA CCM WANA AKILI" WANAKUBALI UKOLONI WA TANGANYIKA Baadhi ya Wana CCM wa Zanzibar wana akili ya Wizi wa Kura na Mauwaji ya Waislam wa Zanzibar. Waliuwa Waislam 21 wa Unguja na Pemba ili Hussein Ali awe Kiongozi baada Kuchagua Dodoma na Pombe kwa faida ya Kanisa Katoliki pq
@alialamoudi9729
14 күн бұрын
Nyerere ameipanga vizuri sana zanzibari ikamezwa kimacho macho wala haitapata uhuru kama alivyo wapa mwengerza hapo 63
@khatibal-zinjibari6956
14 күн бұрын
CHAMA CHA MAPINDUZI NA NEMBO YA BENDERA YAKE✝️ @alialamoudi9729 Disemba 10, 1963 ilikuwa ni UHURU WA WAZANZIBARI.🙏☪️ LAKINI Januari 12, 1964 ilikuwa ni UHURU WA WAKIRISTO✝️
@kassim1262
11 күн бұрын
Ccm wtnganyika wanalinda chama chao ccm wznzb wnalinda maslahi yamatumbo yao wnaletwa nawtnagnyika kuja kuilinda ccm znzbr 😂😂😂😂
Mboto achana na huyo GORLANA ameishiwa . Kapata kichochoro Cha kuishi hata huko kwao hajulikani . Maskini Jusa pole sana .
@kassim1262
11 күн бұрын
Nyinyi wenyewe kwenu hmujuilikani mumetok tanganyika kuja kuilinda ccm znzbr munajiita wznzbar znzbr hkuna ccm ndio maana ccm haijawahi kushinda znzbr hata viongozi wccm wnakiri hilo 😂😂😂