KUMEKUCHA MBETO AMJIBU JUSSA SAKATA LA MH MAZRUI MBONA HAKUSHIRIKI MKUTANO WENU KUNA NENO

TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Пікірлер: 79

  • @BonifaceBuliba
    @BonifaceBuliba14 күн бұрын

    Mbetto ameshikwa kweli naona amekuwa mweusi hakika Jussa ni Professional Mbung'o.

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim110614 күн бұрын

    Bwana. Mazroui Mungu amhifadhi akisifu hakuna teno unaweza kusifu hata kwa maaduwi zako, anaijuwa siasa vizuri pia ni mtu mwenye heshma na adabu na UWAMINIFU mkubwa kama Waziri hapo Unguja.Yalomkuta Kwa CCM siyo madogo. Watu wanakaa kwa HADHARI.

  • @user-lm3lt7xx6l

    @user-lm3lt7xx6l

    14 күн бұрын

    Sawasawa.

  • @Hilali-ff5ul
    @Hilali-ff5ul13 күн бұрын

    Duhh kwel ccm ime kwisha mpka mbeto una mtaka mazrui😂

  • @HassanAhmed-di9jq
    @HassanAhmed-di9jq14 күн бұрын

    Mboto sikiliza walikuwepo zaidi ya mazurui wakatoka nabado hatujatetereka si tatizo hata akitoka ss bado tupo palepale tuuu ccm hamna lolote

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j10 күн бұрын

    Wee mnyamwezi wacha unafik. Mazurui alikua hayupo siku ile. Na mikutano mingi huwa si sana Mazurui kuwepo. Usiropoke tu. Wasifu Mawaziri wenu wa ccm au wanaboronga? Mazurui ni ACT na tunawaambia 2025 tutafanya mazuri sana na mfano ndio huo waziri wetu Mazurui. Wazanzibari maisha magumuuuu. Mwinyi mwiziiiii mbona na yeye haji kujibu unamjibia wewe.?

  • @masoudkhamisthaiboxing1011
    @masoudkhamisthaiboxing101114 күн бұрын

    Sindano zinafanya kazi tena ya wiki tu je dozi ikiwa marambili kwa wiki ingekuwaje ?

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l14 күн бұрын

    Mnajuwa ccm hawana sera wala ilani na hawana mpango wa kuwafanyia wananyi wakala milo 3 na kuishi ktk nchi ya haki.sasa kinacho tendeka wakipata jambo hulishikilia ili act wazalendo wasiwe na muda ya kutumia zile dakika zao ktk majukwa mnazan ccm hawajuwi km mazurui papa havulik kwa dema.hufanya hivyo yale masaa walio pangiwa ktk mkutano yaende ktk kubishana upuuzi.ushauri wangu act wapige kazi

  • @suleimanseif3290
    @suleimanseif329014 күн бұрын

    Takataka hii sisi letu moja tu ni malaka kamili

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima729514 күн бұрын

    Mazrui ni kiongozi anayejitambua, huwezi kumfananisha na jussa au omo

  • @osmanha6915

    @osmanha6915

    14 күн бұрын

    Ila CCM haijitambuwi

  • @Jal210
    @Jal21010 күн бұрын

    ACT wapimbavu sana

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam14 күн бұрын

    Viongozi wengi wa CCM Ssiwaelewi ni watu ambao hawana hoja,hawajui kijibi hoja,hawajibidishi kusoma Wala kuenda na wakati

  • @mshiraziahmad9633
    @mshiraziahmad963314 күн бұрын

    Kumbe jussa ndio dawa yenu

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    14 күн бұрын

    😂😂😂

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif86012 күн бұрын

    Uyu mbetto kwani ni kijana au ni mzee? Naona sura haielewek kama polepole!!

  • @saidsalum1419
    @saidsalum14199 күн бұрын

    Mazrui ni mwarabu mbona

  • @delasdiego6537
    @delasdiego653714 күн бұрын

    Ww mpuuzi sana kama unajua ccm tunavyoichukia kiukwer tu jiandaeni tena na mauaji ila ujinga ujinga wenu sasa basssssssssi

  • @OmarMassoud-xy3ot
    @OmarMassoud-xy3ot12 күн бұрын

    Yani ccm sisi ni watu wapumbavu sana katika hi chin mnavichekeshoa na bado ndozi hina tibu ACT yooooo

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j10 күн бұрын

    Mbetto na wewe mwambie Mwinyi ajibu mwenyewe hoja za Jussa. Sio unajibu wewe.

  • @user-hj4zt1kw4i
    @user-hj4zt1kw4i12 күн бұрын

    Sasa mchukueni Mazrui halafu wekeni uchaguzi uliohuru. Msiweke mazombi yenu halafu muone kama mtaambulia kitu.

  • @maisarirajab4846
    @maisarirajab484612 күн бұрын

    Kwani kila anaekusifia huwa ndio anakupenda kweli ccm hamna jipya munasubiri mtu akosee ndio mupate mada

  • @muhammadiabassi656
    @muhammadiabassi6568 күн бұрын

    Kumbe yanawauma ya jussa jussa wape daw hao mmbo bado

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam14 күн бұрын

    Tunasubir siku ambayo Mazrui atakayopokelewa na CCM na kupewa kadi

  • @osmanha6915
    @osmanha691514 күн бұрын

    Kwa iyo mbeto ndio pimbi?

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi851813 күн бұрын

    Kwani kusifu maendeleo ndio kuasi chama?Wewe huna haki ya kuongea kuhusu Mazrui,mwachie mwenyewe atamke atakayo.Wacheni uchochezi na fitina

  • @ConfusedBalkhHound-on2mx
    @ConfusedBalkhHound-on2mx11 күн бұрын

    Yan huyu mtu mweusi hana adabu hata kidogo

  • @laisamaujud1157
    @laisamaujud115714 күн бұрын

    Muongo sio mikutano yote mazurui anakuwepo ikisha wema haudandiwi

  • @seifmohamed8725
    @seifmohamed872514 күн бұрын

    Katika viongozi mambumbu katika c.c.n zanzibar hakuna kama mbeto na dimwa kiwango chao ni sawa na baraka shamte na hamza hasan

  • @jombadulla

    @jombadulla

    14 күн бұрын

    mbeto na dimwa hawajui kuongea mdomo tu mwingi, mazrui anaweza kuongea vile ni technic tu, alf Yule ni wazir samtime inamfanya awe vile

  • @Grataaaaa

    @Grataaaaa

    14 күн бұрын

    ​abisa umenena

  • @rashidissa5887
    @rashidissa588714 күн бұрын

    Hata mimi mwanaACT kwa hili nna shaka na makamo wangu Jusa.Mazrui alipaswa kuwepo kwenye mkutano atupashe. Lipo jambo

  • @w4058

    @w4058

    14 күн бұрын

    Hakupaswa kuwapo hapo na nyi msijifanye wizi wa fadhila wacheni kutaka kumdhalilisha Mazrui hebu kuweni waungwana

  • @w4058

    @w4058

    14 күн бұрын

    Ingekuwa wewe uko kwenye nafasi kama ya kwake ungemsifu hivyo na zaidi kuliko alivyofanya mmeka kama wafinyu wa akili

  • @w4058

    @w4058

    14 күн бұрын

    Sipotezi tima yangu kusikiliza mwanamume mzima kujibu jibu wasting my time

  • @salimbinshaks1385
    @salimbinshaks13859 күн бұрын

    Ccm bawana akili bora kuku lakini kaongea aliloliona rais alililolifanya

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq14 күн бұрын

    Wewe,mwenyewe,unajisuta,mznz,Gani,anataka,ccm

  • @kassim1262
    @kassim126211 күн бұрын

    Nyinyi ccm ndio munatufanya wznzb km wtoto au wjinga pua km chura wznzbar ndio tunaopiga kura co mazurui kura ymazuruia nimoja lkn wznzbar niwengi kuliko mazurui ukitka kuamini hilo tuombe mungu ifike 2025 km hmujaua wtu nakujeruhi bc ushindi hmunao 😅😅😅

  • @ConfusedBalkhHound-on2mx
    @ConfusedBalkhHound-on2mx11 күн бұрын

    Ww ni shetani mweusi

  • @ZANAMBER
    @ZANAMBER14 күн бұрын

    Hunajipya ww ondoweni hii njaa kwanza hamu lolote jichwa kubwa akili kidogo

  • @KhadijaHussein-qn2ge
    @KhadijaHussein-qn2ge13 күн бұрын

    Tafuteni Cha kutudanganyia siomaji Barbara mara umeme mara shule mara masoko zimepitwa na wakati

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed515714 күн бұрын

    mbeto kwan kura ni zahir ?? Ukipiga hisab zanzibar kuna ccm wengi tu lakin kila uchaguzi ukija minapigwa na chini je kura ni dhahir ??

  • @adilhabib8988
    @adilhabib898810 күн бұрын

    Pumvavuuuu

  • @harithmohd6318
    @harithmohd631814 күн бұрын

    Ccm hakuna mtu mwnye akili na kama yupo baci hakuna mweny marifa nyot nyny pangu pakavu tia mchuz mali uteleze inshaallah 2025 tunawakabiz zanzibar viongoz wenye akili marf uweledi wa kazi na so nyny majuha

  • @GenttileZanzibar
    @GenttileZanzibar14 күн бұрын

    Hamna kt hp jichwa kama take nan anotaka ccm

  • @user-ud4rk1vw7l
    @user-ud4rk1vw7l10 күн бұрын

    Mnyamwezi Mmakomde ndio waliofika mwanzo Unguja kuliko wewe uliokuja kufuta Barbara za darajani ukadhani umefika Ulaya .

  • @BimkubwaOthman
    @BimkubwaOthman14 күн бұрын

    Nikweli kama kuongea lolote alipaswa aende mwenyewe. Mazruii😂😂😂

  • @hasbunakhamis487
    @hasbunakhamis48714 күн бұрын

    Skuelew unachosema

  • @fahmysaid-zw4np
    @fahmysaid-zw4np14 күн бұрын

    yani hiliii halina akilii ataa kidog ccm inakosaa mvuto kwa watu km hawaa boraa mabodi alikua kichwa

  • @SaidAbdala-f7p
    @SaidAbdala-f7p14 күн бұрын

    Hakuna kitu hapo. Huyu ni. Netanyahu mweusi.

  • @Grataaaaa

    @Grataaaaa

    14 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @Grataaaaa
    @Grataaaaa14 күн бұрын

    Napita nkucheka

  • @Grataaaaa
    @Grataaaaa14 күн бұрын

    Huyu mwamba kama ashakula kijiti vile

  • @kassim1262

    @kassim1262

    11 күн бұрын

    😅😂😂😂😂

  • @user-te9to1nc5t
    @user-te9to1nc5t14 күн бұрын

    Kumbe wewe pimbi kweli kweli ... kwa uchimi gani wa zanzibar hadi kuwa na mfumo kama huo.. mfumo huu unahitajika kwa nchi zenye uchumi mkubwa sio kama zanzibar yetu ambayo uchimi wake ni mdogo sana kugharamia mfumo kama huo.. hii ni dalili Tosha serekali imeshindwa kudhibiti fedha za walipa kodi masikini....

  • @user-cy2hc2og6l
    @user-cy2hc2og6l14 күн бұрын

    Bunju bunju tu 😃😃😃

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim14 күн бұрын

    Huyu kichwa chake ni mzigo tu wa shingo😂

  • @yakoubfaki2026
    @yakoubfaki202614 күн бұрын

    Kwani kutumia Google serekali inalipa,

  • @w4058
    @w405814 күн бұрын

    Hakuna sakata lolote msitupozee muda

  • @user-rv1vn9zj5w
    @user-rv1vn9zj5w14 күн бұрын

    Wewe mjinga mzanzibar na ccm sahau

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo438214 күн бұрын

    ANANUKA POMBE👁️👀👁️🤣🤣🤣

  • @IdirisaKhamis
    @IdirisaKhamis14 күн бұрын

    Mh hapa hamna kitu

  • @masoudsalum
    @masoudsalum14 күн бұрын

    Uchumi nzima ni trioni moja pamoja na bakuli hizo trions duh

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    14 күн бұрын

    Masoud hawa jamaa CCM ,wanafikiri kwamba watu wote wa Zanzibar wanauwelewa mdogo sana wa kutafakari mambo kumbe sivyo ilivyo.sisi Zanzibar hatukupaswa kuwa hapa tulipo kimaendeleo ni maendeleo madogo sana ukilinganisha na nchi nyingine za visiwa kama sisi, hata uchumi wetu ni mdogo sana katika nchi za Visiwa ndio sisi wengine tunaumizwa na hilo tulipaswa kuwa mbali zaidi ndio baadhi ya sisi Wazanzibar tunaona nyinyi CCM mumeshindwa kuongoza visiwa hivi kwa kuvipeleka mbele kimaendeleo tukashindana na nchi nyingine za visiwa kama Morishazi ,Capved na nchi nyingine zisizokuwa za visiwa . Trilioni tano bajeti wakati trilioni tatu za kukopa sisi wengine inatuuma Zanzibar .

  • @fahmysaid-zw4np
    @fahmysaid-zw4np14 күн бұрын

    fanyeni mkutano na nyie tuone km mtapat watu km walee

  • @saidal-hind5338
    @saidal-hind533814 күн бұрын

    Mh kura ni siri kwa maana yk

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo13 күн бұрын

    Its very stupidity ideal!

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go11 күн бұрын

    Jambo kubwa ambalo CCM mnapigwa bao ni mamlaka kamili ya Zanzibar hapo ndio mnapigwa bao Wazanzibari Tunataka nchi yetu yenye mamlaka kamili na kila sehemu duniani tuitwe kwa jina letu Wazanzibari sio Watanzania

  • @FamilyVideos-pt1mo
    @FamilyVideos-pt1mo11 күн бұрын

    Pumbavu kweli

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari695614 күн бұрын

    "WANA CCM WANA AKILI" WANAKUBALI UKOLONI WA TANGANYIKA Baadhi ya Wana CCM wa Zanzibar wana akili ya Wizi wa Kura na Mauwaji ya Waislam wa Zanzibar. Waliuwa Waislam 21 wa Unguja na Pemba ili Hussein Ali awe Kiongozi baada Kuchagua Dodoma na Pombe kwa faida ya Kanisa Katoliki pq

  • @alialamoudi9729

    @alialamoudi9729

    14 күн бұрын

    Nyerere ameipanga vizuri sana zanzibari ikamezwa kimacho macho wala haitapata uhuru kama alivyo wapa mwengerza hapo 63

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    14 күн бұрын

    CHAMA CHA MAPINDUZI NA NEMBO YA BENDERA YAKE✝️ @alialamoudi9729 Disemba 10, 1963 ilikuwa ni UHURU WA WAZANZIBARI.🙏☪️ LAKINI Januari 12, 1964 ilikuwa ni UHURU WA WAKIRISTO✝️

  • @kassim1262

    @kassim1262

    11 күн бұрын

    Ccm wtnganyika wanalinda chama chao ccm wznzb wnalinda maslahi yamatumbo yao wnaletwa nawtnagnyika kuja kuilinda ccm znzbr 😂😂😂😂

  • @user-ud4rk1vw7l
    @user-ud4rk1vw7l14 күн бұрын

    Mboto achana na huyo GORLANA ameishiwa . Kapata kichochoro Cha kuishi hata huko kwao hajulikani . Maskini Jusa pole sana .

  • @kassim1262

    @kassim1262

    11 күн бұрын

    Nyinyi wenyewe kwenu hmujuilikani mumetok tanganyika kuja kuilinda ccm znzbr munajiita wznzbar znzbr hkuna ccm ndio maana ccm haijawahi kushinda znzbr hata viongozi wccm wnakiri hilo 😂😂😂

Келесі