MAKONDA ATINGA NGORONGORO kwa WAMASAI, UKAGUZI MRADI wa MAJI, ni MSAADA KUTOKA UARABUNI,.
Жүктеу.....
Пікірлер: 75
@user-xk7vy4gb6g2 күн бұрын
Hongera sana Mh Makonda piga kazi Mungu akusimamie
@user-jf1sq7lk4g2 күн бұрын
Hongera sana mh. Makonda
@nelsonnyamle2 күн бұрын
Kuweni makini Wana ngorongoro uchaguzi ukipita mtashughulikiwa kama ilivyopangwa shauri zenu
@wilfredmaimu19582 күн бұрын
Hongera sana mkuu
@kadokemarco99662 күн бұрын
Kumbe kweli Ngorongoro kuna waDubai😭😭😭😭😭
@Olengujati-uo6gx
Күн бұрын
Dubai ndogo ngorongoro
@davidmalogo71002 күн бұрын
Mh sijui kilicho ndani ausili yawatu wa ngorongoro selikali hii Yani Hawa walabu wanataka nini kwani hio miladi yamaji selikalin umeshindwa kupeleka hayo maji mpaka mpigie makofi walabu Yani selikali ichimbiwe visima niajabu tanzaniayetu nitajili hatuwezi kuchimbiwa visima Yani Kuna kitu nyuma yapanzia Yani hapo ndo wameanza kutambulishwa bila wanangorongoro kujua ,mungu ilaze loho ya jpm mahali pazuli
@zobakazizi76372 күн бұрын
Ngoja nisiongee
@hadijamandanje6189Күн бұрын
Tatizo waarabu ila wazungu na wachina si tatizo,kazi kweli kwwli
@FunnyHikingWaterfall-wv7dc2 күн бұрын
Nilijua umepumuzika kupika sipana kumbe Bado zinaenderea sipana
@DanielNdaluboneye-wc5st2 күн бұрын
Ndo nimeamini Ngorongoro imeuzwa.
@nahlaaasidee1848
Күн бұрын
Angekuwa mzungu usingesema... Ni maeneo mangapi yapo maeneo potential hpa Tz. Acha chuki.
@dilludillu27472 күн бұрын
Wamechukua port wamehamia Ngorongoro
@emmanuelaloyce932Күн бұрын
Hata kama wanafanya uwekezaji ,waache kuwaondoa wenyeji. Waarabu ni wanafiki sanaa,kuja kwao kunajambo.mama samia naomba uwaachoe wnyeji wa ngorongoro mji wao.zipo sehem nyingi hasa za serikali zilizopo wazi. Msisumbue wananchi
@rayisadesigns2646
Күн бұрын
Mnapandikiziwa chuki bila ya kujua.
@user-gy5gu1mn4x2 күн бұрын
Nchi ya kirabu 😂😂
@justardzelphine6526Күн бұрын
Duh! Tumekwisha!, ngorongoro imeuzwa!
@hildandumbalo5827Күн бұрын
Wamesaidia kidogo sana wanachokuwa Tanganyika hao waarabu ni kikubwa sana mmh
@user-wr3jp6tg4pКүн бұрын
Shida ya watu wanaishikimazoeya lini mtabalika Na vipi mtapata maendeleo Bila kubadilika
@MaxmillianNdyamkama-nl3dgКүн бұрын
Miaka sitini mnaagaika namaji tena kwa misaada, wezenu wanaagaika natecknologia
@dullayomwinyi33592 күн бұрын
Hao waarabu wanafanya nn nchini kwetu wamasai wameteseka ajili yao watoke nchini kwetu
@froma3732
Күн бұрын
Wazungu pia wapo nchi nzima mpaka kwenye Hoteli ya Ramada hebu fatilia tuwandoshe hao wa Ramada bila Shaka utanielewa
@rayisadesigns2646
Күн бұрын
@@froma3732tena wanawaletea na ushoga lakini hawasemi wamekaa kimya
@ayububakari9942
Күн бұрын
@@froma3732 HIYO RAMADA HOTEL YA WAZUNGU SI ILE HOTEL YA MASHOGA ?!!
@user-lu8ny2gu7t14 сағат бұрын
Sijuwi tumerogwa na nani nchi imeshindwa kupatia maji wanachi mpaka tusaidiwe na wawekezaji hakuna msaada usiokuwa na malengo
@rebekakulwa6159Күн бұрын
Kwani. Mafisiyemu yanapeleka wapi kodi zetu mpk. Yalete waarabu kuchimba kisima utumwa wa pili umeingia tanganyika masai wanarukaruka tu kama swala hawajitambui
@johnmalembo64642 күн бұрын
Haya yote wa tz tunaweza kuyafanya bila msaada wa mataifa mengine
@nabukyeKanefu2 күн бұрын
Ishudogo serikali inashidwa kufafa hamunakitu hapo
@user-tx6dh6ii3mКүн бұрын
Hao waarabu jamani mtakuja kujuta hapo staki
@user-ce3eo4lu1kКүн бұрын
Ina maana viongozi waserikali hawapo ngorongoro isipokua wapo waarab
@carolthomas9243Күн бұрын
Unajua watu hawajuwi huwa wanakurupuka kutoa taarifa ambazo sio sawa ngorongoro wanapoamishwa ni kreta tu sehemu ya bonde la ufa sehemu nyingine wamasai wapo na kazi inaendelea sababu ya kuwahamisha ni ongezeko na shughuli za kibinadamu kreta inasababisha huoto wa asili kupotea na kusabaisha hualibifu mkubwa wa mazingila ya hifadhi hiyo
@user-pv2jh5wb1oКүн бұрын
Sasa maji ya Nini wakat watu wamehamishwa
@YangaNewsКүн бұрын
Sasa hao waarabu wanafanya nn huko
@ayubumoha63132 күн бұрын
Jamaa mpambanaji alipoa kidogo
@MonayLai2 күн бұрын
hawa wamechukua mali zetu nyingi sana wanajichotea tuu
@sebastiansalamba31317 сағат бұрын
Hawa wanaocheza sio kwa mapenzi yao wame....... Uwiiiiiii arabun ndani nchi
@VitalisMmassi-oh4jbКүн бұрын
Ngorongoro pamekua uwarabuni
@modyworldmody42972 күн бұрын
Wazungu wanateta ushoga
@joscamwoshezi29862 күн бұрын
Waarabu kwani wanatofauti gani na wazungu au waafrika wanaopewa uwezekezaji karika kutuletea maendeleo
@halimamasai2234
2 күн бұрын
Wazungu wanaleta ushoga
@rayisadesigns2646
Күн бұрын
Tena wazungu hivyo visima wasingetoa bure bure... wangeleta na ushoga juu
@saidiathuman-og6bc21 сағат бұрын
Makonda leo kunakitu ndani yako kinakuumiza hapo lakin dah? Ndioivyo tena ila kiukweli inaumiza saana
@elioimer84232 күн бұрын
Ngorongoro ya wapi hiyo. Mbona sielewi kitu. Tumeambiwa hakuna miradi yeyote inayoendelezwa na serikali. Sio shule , sio maji , na miradi yote mingine ya maendeleo imesitishwa. Sasa hii ni Ngorongoro ya wapi?
@Veni584
2 күн бұрын
Ya uarabuni
@HashimYahaya-hd3zm2 күн бұрын
Wamarekani mbona amuwasemi
@melkiorykweka43815 сағат бұрын
Hawa waarabu wanafanya nini humo ngorongoro???? au ndio wameshauziwa kweli?
@simongwandu73922 күн бұрын
Waarabu ni hatari
@ndukulusudikucho_
2 күн бұрын
Wazungu Ni wazuri sio?
@modyworldmody4297
2 күн бұрын
Wazungu Wana leta ushoga
@simongwandu7392
2 күн бұрын
@@modyworldmody4297 wote wanahusika scandal ya Loliondo itafute Wazungu hawakututoboa miguu
@MaxmillianNdyamkama-nl3dgКүн бұрын
Wanawalagai hao
@samwellenasi78172 күн бұрын
Warabu niwamasai au
@MonayLai2 күн бұрын
Hiyo ni kuwafumba macho tuu wanangorongoro hizo hela ni zenu wenyewe wanawapoza tuu muone wamewasaidia
@salama1113Күн бұрын
Siamini kama hawa wamasai
@rebekakulwa6159Күн бұрын
Waarabu wamingia tanganyika tumerudi utumwani chadema waliambiwa ngorongoro hakuna usalama makonda katia timu na waarabu
@abednego387616 сағат бұрын
Eeh utumwa mtupu
@vladimirputn18092 күн бұрын
Waarabu sio wabaya Kama marekani naulaya marekani nimashetani
@rayisadesigns2646
Күн бұрын
😂😂😂 wazungu hivyo visima wasingewachimbia bure bure wangewatilia na ushoga juu... mammaee 😂😂😂😂 majamaa mashenzi sana yale 😂😂😂
@user-ym6hd7xh3g
14 сағат бұрын
Tangu mwanzo wa dunia haijawa hivyo Waliotia maksai wazee wetu si waarabu Tangu wamekaa nchi hii walifanya nini? Afadhali wazungu walijenga shule kujenga barabara,reli hayo ya kuvaa ngata kichwani si yalitesa ndugu zetu tuu au unaongea vile huna kitu kichwani.Unafikiri tumesahau tabia zso za kikatili. Usitufanye mazuzu
@evelynmwaimu-vd9jo2 күн бұрын
Mhhhh!!!!
@leylasaid96412 күн бұрын
WAZUNGU WAPO WANGAPI NA WANAMILIKI VINGAPI MBONA HAMUONI MNAWAONA WAARABU?WAZUNGU WAJANJA WALIPANDIKIZIA CHUKI KWA WAARABU NDO KINACHOENDELEA.
@muhsinikoki40602 күн бұрын
hakiamungu masai mnaruka nini badala yakulia jaman mmepigwa
@user-vv4wo5fu9t2 күн бұрын
Ndio makonda lakini hao warabu sio kabisa hawawezi kutuletea tena ukoloni uku wakitawala nchi kama yao hiyo hawezekani wananchi tunatabika warabu wanatutawala na kuchukuwa aridh zetu uku watanzania tunatabika wanatuibia na kupeleka kwao hii awezekani...tena acha kumpamba wewe makonda hao ni wezi tuu kama wezi wengine yasikutishe hayo mavazi ya ushoga hao wezi tuu ndugu yangu makonda kivipi wapewe aridh ktk mbunga zetu hapa kuna nini nyuma ya Pazia?
@kibwetere14182 күн бұрын
Waarabu wanawapenda sana wanangorongoro
@user-us5xl4zu3r2 күн бұрын
Hivi kumbe Waraabu ni kweli wapo Ngorongoro.
@HusseinKarumna
2 күн бұрын
Wapo Kariakoo pia
@zully756
2 күн бұрын
Wapo bongo kote
@lulanjamd38862 күн бұрын
Nilikuwa najuwa ni utani kumbe mama kaleta waarabu ngorongoro dah😢😢
@salehesalehe2967
2 күн бұрын
Wapo na wataendelea kuwepo kamahutaki kufaaaaaaaaaa
@mrafm7285Күн бұрын
Waarabu oyeee hawataki ushoga Wala usenge misaada Yao Haina masharti ushoga isipokua Kuna chuki tu binafsi tu dhidi Yao lkn huo ndio ukweli mtake msitake
@sebastiansalamba31317 сағат бұрын
Kumbe kweli inchi imee......Leo ndio ni eamini
@MaxmillianNdyamkama-nl3dgКүн бұрын
Ngorgr ni inchi ya waarabu,
@user-ze6lx9ng6s2 күн бұрын
Hawa waarabu mbona wako wengi nchi hii, hivi sisi watanzania ni maskini?
@ayububakari9942
Күн бұрын
MIE NASHANGAA HATA WAZUNGU NA WACHINA WAMEKUWA WENGI..
@leylasaid96412 күн бұрын
WALA SIO MAMA WAPO TANGIA UTAWALA WA AWALI KABLA YA MAMA
Пікірлер: 75
Hongera sana Mh Makonda piga kazi Mungu akusimamie
Hongera sana mh. Makonda
Kuweni makini Wana ngorongoro uchaguzi ukipita mtashughulikiwa kama ilivyopangwa shauri zenu
Hongera sana mkuu
Kumbe kweli Ngorongoro kuna waDubai😭😭😭😭😭
@Olengujati-uo6gx
Күн бұрын
Dubai ndogo ngorongoro
Mh sijui kilicho ndani ausili yawatu wa ngorongoro selikali hii Yani Hawa walabu wanataka nini kwani hio miladi yamaji selikalin umeshindwa kupeleka hayo maji mpaka mpigie makofi walabu Yani selikali ichimbiwe visima niajabu tanzaniayetu nitajili hatuwezi kuchimbiwa visima Yani Kuna kitu nyuma yapanzia Yani hapo ndo wameanza kutambulishwa bila wanangorongoro kujua ,mungu ilaze loho ya jpm mahali pazuli
Ngoja nisiongee
Tatizo waarabu ila wazungu na wachina si tatizo,kazi kweli kwwli
Nilijua umepumuzika kupika sipana kumbe Bado zinaenderea sipana
Ndo nimeamini Ngorongoro imeuzwa.
@nahlaaasidee1848
Күн бұрын
Angekuwa mzungu usingesema... Ni maeneo mangapi yapo maeneo potential hpa Tz. Acha chuki.
Wamechukua port wamehamia Ngorongoro
Hata kama wanafanya uwekezaji ,waache kuwaondoa wenyeji. Waarabu ni wanafiki sanaa,kuja kwao kunajambo.mama samia naomba uwaachoe wnyeji wa ngorongoro mji wao.zipo sehem nyingi hasa za serikali zilizopo wazi. Msisumbue wananchi
@rayisadesigns2646
Күн бұрын
Mnapandikiziwa chuki bila ya kujua.
Nchi ya kirabu 😂😂
Duh! Tumekwisha!, ngorongoro imeuzwa!
Wamesaidia kidogo sana wanachokuwa Tanganyika hao waarabu ni kikubwa sana mmh
Shida ya watu wanaishikimazoeya lini mtabalika Na vipi mtapata maendeleo Bila kubadilika
Miaka sitini mnaagaika namaji tena kwa misaada, wezenu wanaagaika natecknologia
Hao waarabu wanafanya nn nchini kwetu wamasai wameteseka ajili yao watoke nchini kwetu
@froma3732
Күн бұрын
Wazungu pia wapo nchi nzima mpaka kwenye Hoteli ya Ramada hebu fatilia tuwandoshe hao wa Ramada bila Shaka utanielewa
@rayisadesigns2646
Күн бұрын
@@froma3732tena wanawaletea na ushoga lakini hawasemi wamekaa kimya
@ayububakari9942
Күн бұрын
@@froma3732 HIYO RAMADA HOTEL YA WAZUNGU SI ILE HOTEL YA MASHOGA ?!!
Sijuwi tumerogwa na nani nchi imeshindwa kupatia maji wanachi mpaka tusaidiwe na wawekezaji hakuna msaada usiokuwa na malengo
Kwani. Mafisiyemu yanapeleka wapi kodi zetu mpk. Yalete waarabu kuchimba kisima utumwa wa pili umeingia tanganyika masai wanarukaruka tu kama swala hawajitambui
Haya yote wa tz tunaweza kuyafanya bila msaada wa mataifa mengine
Ishudogo serikali inashidwa kufafa hamunakitu hapo
Hao waarabu jamani mtakuja kujuta hapo staki
Ina maana viongozi waserikali hawapo ngorongoro isipokua wapo waarab
Unajua watu hawajuwi huwa wanakurupuka kutoa taarifa ambazo sio sawa ngorongoro wanapoamishwa ni kreta tu sehemu ya bonde la ufa sehemu nyingine wamasai wapo na kazi inaendelea sababu ya kuwahamisha ni ongezeko na shughuli za kibinadamu kreta inasababisha huoto wa asili kupotea na kusabaisha hualibifu mkubwa wa mazingila ya hifadhi hiyo
Sasa maji ya Nini wakat watu wamehamishwa
Sasa hao waarabu wanafanya nn huko
Jamaa mpambanaji alipoa kidogo
hawa wamechukua mali zetu nyingi sana wanajichotea tuu
Hawa wanaocheza sio kwa mapenzi yao wame....... Uwiiiiiii arabun ndani nchi
Ngorongoro pamekua uwarabuni
Wazungu wanateta ushoga
Waarabu kwani wanatofauti gani na wazungu au waafrika wanaopewa uwezekezaji karika kutuletea maendeleo
@halimamasai2234
2 күн бұрын
Wazungu wanaleta ushoga
@rayisadesigns2646
Күн бұрын
Tena wazungu hivyo visima wasingetoa bure bure... wangeleta na ushoga juu
Makonda leo kunakitu ndani yako kinakuumiza hapo lakin dah? Ndioivyo tena ila kiukweli inaumiza saana
Ngorongoro ya wapi hiyo. Mbona sielewi kitu. Tumeambiwa hakuna miradi yeyote inayoendelezwa na serikali. Sio shule , sio maji , na miradi yote mingine ya maendeleo imesitishwa. Sasa hii ni Ngorongoro ya wapi?
@Veni584
2 күн бұрын
Ya uarabuni
Wamarekani mbona amuwasemi
Hawa waarabu wanafanya nini humo ngorongoro???? au ndio wameshauziwa kweli?
Waarabu ni hatari
@ndukulusudikucho_
2 күн бұрын
Wazungu Ni wazuri sio?
@modyworldmody4297
2 күн бұрын
Wazungu Wana leta ushoga
@simongwandu7392
2 күн бұрын
@@modyworldmody4297 wote wanahusika scandal ya Loliondo itafute Wazungu hawakututoboa miguu
Wanawalagai hao
Warabu niwamasai au
Hiyo ni kuwafumba macho tuu wanangorongoro hizo hela ni zenu wenyewe wanawapoza tuu muone wamewasaidia
Siamini kama hawa wamasai
Waarabu wamingia tanganyika tumerudi utumwani chadema waliambiwa ngorongoro hakuna usalama makonda katia timu na waarabu
Eeh utumwa mtupu
Waarabu sio wabaya Kama marekani naulaya marekani nimashetani
@rayisadesigns2646
Күн бұрын
😂😂😂 wazungu hivyo visima wasingewachimbia bure bure wangewatilia na ushoga juu... mammaee 😂😂😂😂 majamaa mashenzi sana yale 😂😂😂
@user-ym6hd7xh3g
14 сағат бұрын
Tangu mwanzo wa dunia haijawa hivyo Waliotia maksai wazee wetu si waarabu Tangu wamekaa nchi hii walifanya nini? Afadhali wazungu walijenga shule kujenga barabara,reli hayo ya kuvaa ngata kichwani si yalitesa ndugu zetu tuu au unaongea vile huna kitu kichwani.Unafikiri tumesahau tabia zso za kikatili. Usitufanye mazuzu
Mhhhh!!!!
WAZUNGU WAPO WANGAPI NA WANAMILIKI VINGAPI MBONA HAMUONI MNAWAONA WAARABU?WAZUNGU WAJANJA WALIPANDIKIZIA CHUKI KWA WAARABU NDO KINACHOENDELEA.
hakiamungu masai mnaruka nini badala yakulia jaman mmepigwa
Ndio makonda lakini hao warabu sio kabisa hawawezi kutuletea tena ukoloni uku wakitawala nchi kama yao hiyo hawezekani wananchi tunatabika warabu wanatutawala na kuchukuwa aridh zetu uku watanzania tunatabika wanatuibia na kupeleka kwao hii awezekani...tena acha kumpamba wewe makonda hao ni wezi tuu kama wezi wengine yasikutishe hayo mavazi ya ushoga hao wezi tuu ndugu yangu makonda kivipi wapewe aridh ktk mbunga zetu hapa kuna nini nyuma ya Pazia?
Waarabu wanawapenda sana wanangorongoro
Hivi kumbe Waraabu ni kweli wapo Ngorongoro.
@HusseinKarumna
2 күн бұрын
Wapo Kariakoo pia
@zully756
2 күн бұрын
Wapo bongo kote
Nilikuwa najuwa ni utani kumbe mama kaleta waarabu ngorongoro dah😢😢
@salehesalehe2967
2 күн бұрын
Wapo na wataendelea kuwepo kamahutaki kufaaaaaaaaaa
Waarabu oyeee hawataki ushoga Wala usenge misaada Yao Haina masharti ushoga isipokua Kuna chuki tu binafsi tu dhidi Yao lkn huo ndio ukweli mtake msitake
Kumbe kweli inchi imee......Leo ndio ni eamini
Ngorgr ni inchi ya waarabu,
Hawa waarabu mbona wako wengi nchi hii, hivi sisi watanzania ni maskini?
@ayububakari9942
Күн бұрын
MIE NASHANGAA HATA WAZUNGU NA WACHINA WAMEKUWA WENGI..
WALA SIO MAMA WAPO TANGIA UTAWALA WA AWALI KABLA YA MAMA