MAKONDA ATINGA NGORONGORO kwa WAMASAI, UKAGUZI MRADI wa MAJI, ni MSAADA KUTOKA UARABUNI,.

Пікірлер: 75

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g2 күн бұрын

    Hongera sana Mh Makonda piga kazi Mungu akusimamie

  • @user-jf1sq7lk4g
    @user-jf1sq7lk4g2 күн бұрын

    Hongera sana mh. Makonda

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle2 күн бұрын

    Kuweni makini Wana ngorongoro uchaguzi ukipita mtashughulikiwa kama ilivyopangwa shauri zenu

  • @wilfredmaimu1958
    @wilfredmaimu19582 күн бұрын

    Hongera sana mkuu

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco99662 күн бұрын

    Kumbe kweli Ngorongoro kuna waDubai😭😭😭😭😭

  • @Olengujati-uo6gx

    @Olengujati-uo6gx

    Күн бұрын

    Dubai ndogo ngorongoro

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo71002 күн бұрын

    Mh sijui kilicho ndani ausili yawatu wa ngorongoro selikali hii Yani Hawa walabu wanataka nini kwani hio miladi yamaji selikalin umeshindwa kupeleka hayo maji mpaka mpigie makofi walabu Yani selikali ichimbiwe visima niajabu tanzaniayetu nitajili hatuwezi kuchimbiwa visima Yani Kuna kitu nyuma yapanzia Yani hapo ndo wameanza kutambulishwa bila wanangorongoro kujua ,mungu ilaze loho ya jpm mahali pazuli

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi76372 күн бұрын

    Ngoja nisiongee

  • @hadijamandanje6189
    @hadijamandanje6189Күн бұрын

    Tatizo waarabu ila wazungu na wachina si tatizo,kazi kweli kwwli

  • @FunnyHikingWaterfall-wv7dc
    @FunnyHikingWaterfall-wv7dc2 күн бұрын

    Nilijua umepumuzika kupika sipana kumbe Bado zinaenderea sipana

  • @DanielNdaluboneye-wc5st
    @DanielNdaluboneye-wc5st2 күн бұрын

    Ndo nimeamini Ngorongoro imeuzwa.

  • @nahlaaasidee1848

    @nahlaaasidee1848

    Күн бұрын

    Angekuwa mzungu usingesema... Ni maeneo mangapi yapo maeneo potential hpa Tz. Acha chuki.

  • @dilludillu2747
    @dilludillu27472 күн бұрын

    Wamechukua port wamehamia Ngorongoro

  • @emmanuelaloyce932
    @emmanuelaloyce932Күн бұрын

    Hata kama wanafanya uwekezaji ,waache kuwaondoa wenyeji. Waarabu ni wanafiki sanaa,kuja kwao kunajambo.mama samia naomba uwaachoe wnyeji wa ngorongoro mji wao.zipo sehem nyingi hasa za serikali zilizopo wazi. Msisumbue wananchi

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    Күн бұрын

    Mnapandikiziwa chuki bila ya kujua.

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4x2 күн бұрын

    Nchi ya kirabu 😂😂

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526Күн бұрын

    Duh! Tumekwisha!, ngorongoro imeuzwa!

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827Күн бұрын

    Wamesaidia kidogo sana wanachokuwa Tanganyika hao waarabu ni kikubwa sana mmh

  • @user-wr3jp6tg4p
    @user-wr3jp6tg4pКүн бұрын

    Shida ya watu wanaishikimazoeya lini mtabalika Na vipi mtapata maendeleo Bila kubadilika

  • @MaxmillianNdyamkama-nl3dg
    @MaxmillianNdyamkama-nl3dgКүн бұрын

    Miaka sitini mnaagaika namaji tena kwa misaada, wezenu wanaagaika natecknologia

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi33592 күн бұрын

    Hao waarabu wanafanya nn nchini kwetu wamasai wameteseka ajili yao watoke nchini kwetu

  • @froma3732

    @froma3732

    Күн бұрын

    Wazungu pia wapo nchi nzima mpaka kwenye Hoteli ya Ramada hebu fatilia tuwandoshe hao wa Ramada bila Shaka utanielewa

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    Күн бұрын

    ​@@froma3732tena wanawaletea na ushoga lakini hawasemi wamekaa kimya

  • @ayububakari9942

    @ayububakari9942

    Күн бұрын

    ​@@froma3732 HIYO RAMADA HOTEL YA WAZUNGU SI ILE HOTEL YA MASHOGA ?!!

  • @user-lu8ny2gu7t
    @user-lu8ny2gu7t14 сағат бұрын

    Sijuwi tumerogwa na nani nchi imeshindwa kupatia maji wanachi mpaka tusaidiwe na wawekezaji hakuna msaada usiokuwa na malengo

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159Күн бұрын

    Kwani. Mafisiyemu yanapeleka wapi kodi zetu mpk. Yalete waarabu kuchimba kisima utumwa wa pili umeingia tanganyika masai wanarukaruka tu kama swala hawajitambui

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64642 күн бұрын

    Haya yote wa tz tunaweza kuyafanya bila msaada wa mataifa mengine

  • @nabukyeKanefu
    @nabukyeKanefu2 күн бұрын

    Ishudogo serikali inashidwa kufafa hamunakitu hapo

  • @user-tx6dh6ii3m
    @user-tx6dh6ii3mКүн бұрын

    Hao waarabu jamani mtakuja kujuta hapo staki

  • @user-ce3eo4lu1k
    @user-ce3eo4lu1kКүн бұрын

    Ina maana viongozi waserikali hawapo ngorongoro isipokua wapo waarab

  • @carolthomas9243
    @carolthomas9243Күн бұрын

    Unajua watu hawajuwi huwa wanakurupuka kutoa taarifa ambazo sio sawa ngorongoro wanapoamishwa ni kreta tu sehemu ya bonde la ufa sehemu nyingine wamasai wapo na kazi inaendelea sababu ya kuwahamisha ni ongezeko na shughuli za kibinadamu kreta inasababisha huoto wa asili kupotea na kusabaisha hualibifu mkubwa wa mazingila ya hifadhi hiyo

  • @user-pv2jh5wb1o
    @user-pv2jh5wb1oКүн бұрын

    Sasa maji ya Nini wakat watu wamehamishwa

  • @YangaNews
    @YangaNewsКүн бұрын

    Sasa hao waarabu wanafanya nn huko

  • @ayubumoha6313
    @ayubumoha63132 күн бұрын

    Jamaa mpambanaji alipoa kidogo

  • @MonayLai
    @MonayLai2 күн бұрын

    hawa wamechukua mali zetu nyingi sana wanajichotea tuu

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba31317 сағат бұрын

    Hawa wanaocheza sio kwa mapenzi yao wame....... Uwiiiiiii arabun ndani nchi

  • @VitalisMmassi-oh4jb
    @VitalisMmassi-oh4jbКүн бұрын

    Ngorongoro pamekua uwarabuni

  • @modyworldmody4297
    @modyworldmody42972 күн бұрын

    Wazungu wanateta ushoga

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi29862 күн бұрын

    Waarabu kwani wanatofauti gani na wazungu au waafrika wanaopewa uwezekezaji karika kutuletea maendeleo

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    2 күн бұрын

    Wazungu wanaleta ushoga

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    Күн бұрын

    Tena wazungu hivyo visima wasingetoa bure bure... wangeleta na ushoga juu

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc21 сағат бұрын

    Makonda leo kunakitu ndani yako kinakuumiza hapo lakin dah? Ndioivyo tena ila kiukweli inaumiza saana

  • @elioimer8423
    @elioimer84232 күн бұрын

    Ngorongoro ya wapi hiyo. Mbona sielewi kitu. Tumeambiwa hakuna miradi yeyote inayoendelezwa na serikali. Sio shule , sio maji , na miradi yote mingine ya maendeleo imesitishwa. Sasa hii ni Ngorongoro ya wapi?

  • @Veni584

    @Veni584

    2 күн бұрын

    Ya uarabuni

  • @HashimYahaya-hd3zm
    @HashimYahaya-hd3zm2 күн бұрын

    Wamarekani mbona amuwasemi

  • @melkiorykweka438
    @melkiorykweka43815 сағат бұрын

    Hawa waarabu wanafanya nini humo ngorongoro???? au ndio wameshauziwa kweli?

  • @simongwandu7392
    @simongwandu73922 күн бұрын

    Waarabu ni hatari

  • @ndukulusudikucho_

    @ndukulusudikucho_

    2 күн бұрын

    Wazungu Ni wazuri sio?

  • @modyworldmody4297

    @modyworldmody4297

    2 күн бұрын

    Wazungu Wana leta ushoga

  • @simongwandu7392

    @simongwandu7392

    2 күн бұрын

    @@modyworldmody4297 wote wanahusika scandal ya Loliondo itafute Wazungu hawakututoboa miguu

  • @MaxmillianNdyamkama-nl3dg
    @MaxmillianNdyamkama-nl3dgКүн бұрын

    Wanawalagai hao

  • @samwellenasi7817
    @samwellenasi78172 күн бұрын

    Warabu niwamasai au

  • @MonayLai
    @MonayLai2 күн бұрын

    Hiyo ni kuwafumba macho tuu wanangorongoro hizo hela ni zenu wenyewe wanawapoza tuu muone wamewasaidia

  • @salama1113
    @salama1113Күн бұрын

    Siamini kama hawa wamasai

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159Күн бұрын

    Waarabu wamingia tanganyika tumerudi utumwani chadema waliambiwa ngorongoro hakuna usalama makonda katia timu na waarabu

  • @abednego3876
    @abednego387616 сағат бұрын

    Eeh utumwa mtupu

  • @vladimirputn1809
    @vladimirputn18092 күн бұрын

    Waarabu sio wabaya Kama marekani naulaya marekani nimashetani

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    Күн бұрын

    😂😂😂 wazungu hivyo visima wasingewachimbia bure bure wangewatilia na ushoga juu... mammaee 😂😂😂😂 majamaa mashenzi sana yale 😂😂😂

  • @user-ym6hd7xh3g

    @user-ym6hd7xh3g

    14 сағат бұрын

    Tangu mwanzo wa dunia haijawa hivyo Waliotia maksai wazee wetu si waarabu Tangu wamekaa nchi hii walifanya nini? Afadhali wazungu walijenga shule kujenga barabara,reli hayo ya kuvaa ngata kichwani si yalitesa ndugu zetu tuu au unaongea vile huna kitu kichwani.Unafikiri tumesahau tabia zso za kikatili. Usitufanye mazuzu

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo2 күн бұрын

    Mhhhh!!!!

  • @leylasaid9641
    @leylasaid96412 күн бұрын

    WAZUNGU WAPO WANGAPI NA WANAMILIKI VINGAPI MBONA HAMUONI MNAWAONA WAARABU?WAZUNGU WAJANJA WALIPANDIKIZIA CHUKI KWA WAARABU NDO KINACHOENDELEA.

  • @muhsinikoki4060
    @muhsinikoki40602 күн бұрын

    hakiamungu masai mnaruka nini badala yakulia jaman mmepigwa

  • @user-vv4wo5fu9t
    @user-vv4wo5fu9t2 күн бұрын

    Ndio makonda lakini hao warabu sio kabisa hawawezi kutuletea tena ukoloni uku wakitawala nchi kama yao hiyo hawezekani wananchi tunatabika warabu wanatutawala na kuchukuwa aridh zetu uku watanzania tunatabika wanatuibia na kupeleka kwao hii awezekani...tena acha kumpamba wewe makonda hao ni wezi tuu kama wezi wengine yasikutishe hayo mavazi ya ushoga hao wezi tuu ndugu yangu makonda kivipi wapewe aridh ktk mbunga zetu hapa kuna nini nyuma ya Pazia?

  • @kibwetere1418
    @kibwetere14182 күн бұрын

    Waarabu wanawapenda sana wanangorongoro

  • @user-us5xl4zu3r
    @user-us5xl4zu3r2 күн бұрын

    Hivi kumbe Waraabu ni kweli wapo Ngorongoro.

  • @HusseinKarumna

    @HusseinKarumna

    2 күн бұрын

    Wapo Kariakoo pia

  • @zully756

    @zully756

    2 күн бұрын

    Wapo bongo kote

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd38862 күн бұрын

    Nilikuwa najuwa ni utani kumbe mama kaleta waarabu ngorongoro dah😢😢

  • @salehesalehe2967

    @salehesalehe2967

    2 күн бұрын

    Wapo na wataendelea kuwepo kamahutaki kufaaaaaaaaaa

  • @mrafm7285
    @mrafm7285Күн бұрын

    Waarabu oyeee hawataki ushoga Wala usenge misaada Yao Haina masharti ushoga isipokua Kuna chuki tu binafsi tu dhidi Yao lkn huo ndio ukweli mtake msitake

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba31317 сағат бұрын

    Kumbe kweli inchi imee......Leo ndio ni eamini

  • @MaxmillianNdyamkama-nl3dg
    @MaxmillianNdyamkama-nl3dgКүн бұрын

    Ngorgr ni inchi ya waarabu,

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s2 күн бұрын

    Hawa waarabu mbona wako wengi nchi hii, hivi sisi watanzania ni maskini?

  • @ayububakari9942

    @ayububakari9942

    Күн бұрын

    MIE NASHANGAA HATA WAZUNGU NA WACHINA WAMEKUWA WENGI..

  • @leylasaid9641
    @leylasaid96412 күн бұрын

    WALA SIO MAMA WAPO TANGIA UTAWALA WA AWALI KABLA YA MAMA

Келесі