🔴LIVE: A-Z MAZITO YAFICHUKA BODI YA SUKARI "WAO WENYEWE WALIKATAA" nchi ilikuwa haina sukari..
A-Z MAZITO YAFICHUKA BODI YA SUKARI "WAO WENYEWE WALIKATAA" nchi ilikuwa haina sukari..
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Пікірлер: 18
Je,na hao wazalishaji huwa wanapewa exemption? Mliwauliza wazalishaji,kwa nini hawakuingiza?
Hizi ni facts za kisiasa. Fact za fact hujazisema!
NFRA ikiwa muagizaji wa sukari,tutegemee kupigwa vibaya kwa kuambiwa kuwa sukari iliyeyuka ,ndiyo masna haipo maghalani!!!😢
Hatuhitaji,wala sio kazi ya wananchi kuiamini sirikali, maana kama siku zote tuliiamini,mbona ni mambo ya funika kombe tu,mara Ooo wafanyabiashara wameficha. >>gap sugar ikokotolewe, waruhusiwe waagiza viakula walete bila kuaji kama wauza vocha-kwanza mwenye hoja hajasema kuhysu wauza vocha,bali slisema wsuza vifaa via simu!!
Basi ruhusuni sukari iingizwe kwa ushindani,ili bei ishuke!
Hiyo kampuni ya simu,imewahi kuagiza chakula gani mbali na hiyo sukari? Kea ujumla kukosa sukari kwa muda muafaka(usituambie mambo ya mfungo)ni UZEMBE!
Upanuzi bila kutaja data,hilo ,ni pambio!Eti upanuzi mkubwa>>?
Huyu anajuja kutetea uozo
Bei ya sukari ilikua kubwa ingawa walisamehewa kodi na vati
Mpina ndo anayejua yote huyu mzee ana maelezo ka Bashe
Najiuliza kama Sheria inaelekeza wenye viwanda ndo waagizaji wakuu.na hawakuagiza au hawakuchukuwa kibari na muda huo Kuna shida ya sukari kama bodi ya sukari wariwachukuria hatua Gani za kisheria maana walivunja Sheria ya sukari.tunaomba majibu na sio kupamba.
HUYO MKURUGENZI WA BODI YA SUKARI 'ANATUMIKA' NA AMEKUBALI 'KUTUMIKA'....WATANZANIA SIO WAJINGA.
HUYU MKURUGENZI...JE NI PROFESA KWELI? MBONA ANAZUNGUMZA 'KICHAWA'!
Huyu mbabaishaji tu anapoteza muda
Bado hajasema kwanini alipewa mr airtel tani 30.000 na wengine kupewa chini ya tani 10.000 Hapa bado anakwepa ukweli
Hizo kampuni za vocha hazikutakiwa kuoewa vibali kwa sheria:sio kwamba maadam ana leseni ya kuagiza vuakula badi aagize sukari kwa vile ni chakula!. Kwanza tuambie vibali vilikuwa ni vya tani ngapi @ksmpuni zakishi-hizo uluzosema hazikuagizwa!
@fredysiwale5413
3 күн бұрын
Je! Utamfanya nini mh bashe aliye sema atabadilisha mashamba ya miwa kua ya mpunga