SIKIA MFANYABIASHARA ALIVYOMTULIZA RC CHALAMILA KWA NONDO ZAKE KUPINGA SOKO LA SIMU 2000 KUPEWA DART

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 12

  • @SuzanGabriel-tp2cx
    @SuzanGabriel-tp2cx6 күн бұрын

    Heri ya kijana masikini mwenye hekima, kuliko mfalme mzee Mpumbavu ambaye hajui tena kupokea maonyo

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow13 күн бұрын

    Samia hawezi kuwasaidia chochote niamini mimi labda mnemgekuwa mnamshauli kuuza maliasili za tanganyika au kukopa au kusafili na ndege hapo angewaelewa

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or13 күн бұрын

    Tatizo serekali inafikiria watanzania bado tupo mwaka 1985. Kila sehemu wanapewa wageni hata kama halina faida na wananchi. Raisi anacho kisema na serekali inavyo tenda havifanani!!! Swali nani anaiongoza nchi???

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela17913 күн бұрын

    Samia anateua takata maannhazimsaidii

  • @BartonMwakyejo
    @BartonMwakyejo13 күн бұрын

    Nime ipenda hiyo hichi kizaz ni cha ZAHABU tu amke haki haiji kiwepes

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel697513 күн бұрын

    Kada kindaki ndaki wa chadema, anaitwa Mussa Ndile.. graduate wa ifm,,, IT

  • @KarumeKindamba-lk1px
    @KarumeKindamba-lk1px13 күн бұрын

    Ongela mkuu wa mkoa kwakufaham wamachinga wanaweza kuwa walipakodi wazuri kuliko wanaoitwa wafanyabiashara.Kwahiyo niwakati wakuwa na machinga city.Mji ambao utakuwa na huduma muhimu kama maduka ya jumla, kituo cha mabasi n.k.Kumbuka mmachinga haitaji kujengewa masoko ya ghorofa

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises320913 күн бұрын

    Sheria kufuatwa ndio njia pekee ya kuleta maendeleo na amani katika nchi yetu.

  • @1961nungwi
    @1961nungwi13 күн бұрын

    Sio haki kumvisha kila jukumu Mkuu wa Mkoa. Mambo ya Masoko yanaweza kumalizwa na Halmashauri zinazohusika. Wamuache Mkuu wa Moa afanye kazi zake nyingine

  • @SuzanGabriel-tp2cx

    @SuzanGabriel-tp2cx

    6 күн бұрын

    Kazi gani hiyo ndiyo kazi yake moja wapo

  • @shd12m55
    @shd12m5513 күн бұрын

    Hamna haurudi tena wewe 😂 ndio tabia yako kutuacha njia panda

  • @kwisa4899
    @kwisa489913 күн бұрын

    RC Hii kazi imemshinda kazi yake ni porojo tu soko la mabibo limemshinda 😂😂😂😂😂 kabakia kuunga juhudi tu.

Келесі