KIJANA MZALENDO AWAVAA WABUNGE CCM "KUMPELEKA MPINA NEC NIKUVUNJA KATIBA YAO WALIFAA WAFUKUZWE"

KIJANA MZALENDO AWAVAA WABUNGE CCM "KUMPELEKA MPINA NEC NIKUVUNJA KATIBA YAO WALIFAA WAFUKUZWE"
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 190

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.329716 күн бұрын

    Kijana upo vizuri.Mpina. Atetewe .Tupo pamoja. kulitetea Taifa.

  • @MasterG-dc1tx
    @MasterG-dc1tx17 күн бұрын

    Kiufupi wtz Bado hatuna akili Bado hatujawa pamoja katika mambo yanayotuhusu

  • @mtakamatv
    @mtakamatv16 күн бұрын

    Wabunge wetu wanaendaga bungeni na hoja za mama samia sio wananchi,ndio maana wanaokaa upande wa wananchi wanakuwa waasi.

  • @selemsigala4771
    @selemsigala477117 күн бұрын

    Msukuma na uyo muuzakahawa wa zamani ni wanafiki wakubwa. Mpina tunakuombea wewe ni mzalendo wa kweli unae simamia haki na misingi ya chama chetu.

  • @EmmanuelMollel-du6lh

    @EmmanuelMollel-du6lh

    13 күн бұрын

    Ndugu zangu tulisimamia nchi kwa nguvu zetu zote pamoja na chama mpaka Leo bila kujali tofauti zetu.Hebu fuateni maadili tulioachiwa na waa sisi waliotutangulia.Chama ni chetu na tunahaki ya kudai nyendo ya wanaotuongoza.

  • @Ambwene

    @Ambwene

    12 күн бұрын

    Huyo Rais Mwenyewe yupoyupo tuu hajui chochote hata hajui nini maana ya uongozi

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k17 күн бұрын

    Jamani kwa swala hili la sukari mm acha niwe mmbaguzi,naomba bashe akae pembeni,tuhangaike kwanza na uraia wake(msomali).Tusitumie muda mwingi kubishana na raia wa nchi hii.

  • @HildegardMasawe

    @HildegardMasawe

    16 күн бұрын

    Utafika mbali nimekuelewa ngosha wangu,

  • @user-br1dn8bc3u

    @user-br1dn8bc3u

    14 күн бұрын

    ​@@HildegardMasawe C wanasema Mnyarwanda 😢😮

  • @annambele789

    @annambele789

    7 күн бұрын

    Watanzania tubadilike ili tutafute haki zetu kwa kuweka umoja wa pamoja.

  • @stevenlugojeremia2323

    @stevenlugojeremia2323

    Сағат бұрын

    ​@@user-br1dn8bc3uhuyo ni msomali asilimia 💯 siongei Vibaya ila wasomali ni wa binafsi inje ndani

  • @jumaabdalla3374
    @jumaabdalla337412 күн бұрын

    Msukuma ni mnafiki kama wale wabunge wanafiki wengine

  • @dida_official
    @dida_official15 күн бұрын

    Wasukuma. Mkisona Sheria mnasumbua sana

  • @SelemaniIkombe-y8q
    @SelemaniIkombe-y8q15 күн бұрын

    Professor Assad alishawahi kusema hili bunge ni dhaifu

  • @GodfreyOsward

    @GodfreyOsward

    14 күн бұрын

    Bila utaifa na si uchama bunge dhaifu litasitawi

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im17 күн бұрын

    Musukuma na Lusinde walijuwa waterezi wa haki. Kwa hili kuna mawili. Pengine kwa elimu yawo ndogo hawakuelewa. Ama kwa woga wa kutengwa, wanejiunga na wapigaji. Unampelekaje mbunge NEC mutetezi wa mali za umma unamwacha mpigaji. Kweli CCM kuna kazi.

  • @kadasoemmanuel

    @kadasoemmanuel

    17 күн бұрын

    0

  • @piusmaduka

    @piusmaduka

    17 күн бұрын

    hapa Kwa ka msukuma ni elimu ndogo, katiba mpya kigezo elimu iwe kuanzia 4m4 na awe anajua vizuri English maana hapa msukuma alimwona bashe binge la msomi bila kutafakari malezo anayotoa Kwa vile tu bashe alikuwa akichanganya na English

  • @Mima-cl2im

    @Mima-cl2im

    17 күн бұрын

    @@piusmaduka ukisema kuwa mbunge wa Tanzania lazima ujuwe English. Huo utakuwa uonevu. English kutakuwa hakuna wabunge. Kujuwa kiingereza sio usomi. Ni kuelewa sheria na haki za nchi. Karibu wabunge wote hawajui kiingereza, sio Mąkosa yawo ni lugha hatuitumii. Kenya kiingereza ni lugha ya taifa. Wakaona wakubali Kiswahili pia kutumika. Kuna woga fulani kwa sasa. Kuna kundi limeiteka nchi. Hawa hawaguswi hata wakikosea. Rais amekuwa kama Mungu wa pili. Bungeni kwanza wanamuomba Mungu kisha Rais Samia. Maajabu haya. Tunaelekea pabaya. Tunazidi kupumbaa

  • @MathewNathan-yb2bz

    @MathewNathan-yb2bz

    17 күн бұрын

    ​@@Mima-cl2imumeongea vema sana,hongera sana.

  • @brysonkaale3003

    @brysonkaale3003

    15 күн бұрын

    Hili Dili siyo la mtu mmoja,hii sukari +msamaha wa Kodi Ni mabilioni ya pesa,hata viwanda vya ndani vikifa wao wameshachukua Chao,hovyo kabisa!

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi131817 күн бұрын

    Msukuma na Lusinde wamedilika sana hawajielewi Mpina upo sahihi

  • @marianamontoedi1318

    @marianamontoedi1318

    16 күн бұрын

    Ivi kweli Mpina anakosa gani ?

  • @willykomba8376

    @willykomba8376

    15 күн бұрын

    Shule hamna

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    13 күн бұрын

    ​@@willykomba8376Siyo kweli,shule siyo kipimo cha kuondoa ujinga

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    11 күн бұрын

    Tuwapuuze Mungu Atashughulika nao

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza17 күн бұрын

    Tunapenda vijana kama hawa. Tobowa kijana watekaji watakuteka.wao nikuteka . Ccm hawawezi kusema chochote. Sana sana kusifia watu.waliandaliwa kunogesha,

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b17 күн бұрын

    Hiyo ilikua enzi hizo ccm ilikua zamani hivi ni waporaji siyo viongozi tena

  • @Mima-cl2im

    @Mima-cl2im

    17 күн бұрын

    Tena bila Makonda CCM watu waliichoka kama wakati wa Kikwete. Shida hakuna chama kingine cha maana. Kotę wamejaa mafisadi. Katiba ibadilishwe watu wawe huru kushiriki kwenye siasa bila ya vyama

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa844315 күн бұрын

    Mbunge Msukuma na huyo mwenzake wanakosa confidence kujipambanua. Hoja zao inaonyesha wazi kabisa wao wanafuata upepo ili wawe kwenye kundi mamuluki na ili wapate huruma za kundi mamuluki. Ningependa kumshauri Mbunge Msukuma na yule mwenzake ni Bora na ikawa busara zaidi kwao mambo kama hayo ya kucheza na haki ya kura za watanzania ni Bora wawe wanapiga kimya ili wawaache wenye kupiga dili na maslahi yao binafsi wapambane na matokeo na laana ya haki za watanzania.

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq14 күн бұрын

    Nchi yetu sisi hatupendi kuambiwa ukweli na shangilia mambo ya hovyo ndo maana mmi nashangaa watanzania tume

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa844315 күн бұрын

    Inasemekana wakenya wanajitambua na kujua kutetea haki zao eti kwa sababu wamefanikiwa kielimu tofauti na sisi watanzania wengi ambao sio wasomi! Kwa hoja kama hizo hutudumaza sana hazipaswi kutufanya kuridhika na kusubiri lini tuwe na idadi kubwa ya wasomi au wakina Mpina wengi kutufundisha kujitetea katika nchi yetu bali kuna wakati tuyatambue majira na nyakati. Tuwe na maamuzi ya kutenda na kusema kama nyeusi ni nyeusi kama ni nyeupe. Kwa kweli kama tutasubiri taifa lijae wasomi wengi basi majira na nyakati havitatusubiri.

  • @danielkanso
    @danielkanso4 күн бұрын

    Mpina ndiyo mbunge wengine mama kapiga mwingi , ipite ipite yaani ni kama wamezakiwa na wanyama sometime watu wanatekwa bunge kimya haya sasa tuseme bunge linajua mambo yanayo endelea na kukaa kumya siyo hatuna bunge linalotenda kazi tuna bunge picha na wachumia tumbo tu

  • @jumaabdalla3374
    @jumaabdalla337412 күн бұрын

    Si mlikuwa hamumuelewi hayati JPM sasa ndio muone

  • @asteriashios1852
    @asteriashios18527 күн бұрын

    Msukuma kw wa ovyo ck hizi elimu yake kweli ni ya chini msukuma anatetea mambo ya hovyo bungeni kaathirika kisaikologia hana point tena anatetea ufusadi

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv16 күн бұрын

    Mpina alikuwa mtu wa jpm na ndiyo maana kuna makundi ndani ya ccm hawamtaki Luhanga mpina same kwa bashiru, polepole na wengine wengi

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    13 күн бұрын

    Hata Tulia alikuwa wa JPM tatizo la mpina siyo mnafiki anaipenda Tanganyika yake kuliko hao wengine

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd15 күн бұрын

    Nchi hii sijui tutafunguka lini tujifinze hata Kwa majilani Kenya tulipende nchi yetu anaye chezea nchi yetu awe adaui wetu

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam6831Күн бұрын

    Anavyosema wafukuzwe, Utadhani CCM kaianzisha Mama yake. "Chakula chooni Hajaa kubwa Sebuleni" Mwenye uwezo mkubwa wa kung'amua mambo atanielewa!!!

  • @paull8659
    @paull865917 күн бұрын

    Tupilia mbali CCM.

  • @GabrielMwakasege-sx9wv

    @GabrielMwakasege-sx9wv

    15 күн бұрын

    Katiba

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s13 күн бұрын

    Eti jimbo lipo serias kumuweka mtu darasa la saba msukuma ,lusinde mptupishe bhana not u're Time now

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula165810 күн бұрын

    Bashe ni msomali na wasomali Wana roho mbaya majizi na matapeli

  • @user-xx8fb4ed5u
    @user-xx8fb4ed5u16 күн бұрын

    Tutakutana 2025 tumechoka!

  • @noelyhaule5695

    @noelyhaule5695

    13 күн бұрын

    Kabisa kaka

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba31314 күн бұрын

    Huku lake zone bwana ccm ifanye kazi ya ziada Kuna Siri kubwa mno wanawaficha tu kina msukuma wajanja,lkn mpina ni muwazi musukuma hataki mpina anaharaka ,

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k12 күн бұрын

    Mambo yatabadilika mapema kuliko wanavyodhani

  • @VictorZimba-kg3xr
    @VictorZimba-kg3xr8 күн бұрын

    Spika hapo umefeli sana

  • @GodfreyKiyeyeu
    @GodfreyKiyeyeu9 күн бұрын

    Mpina nakupa kura yangu

  • @user-ps6wm2qm4f
    @user-ps6wm2qm4f14 күн бұрын

    Uko sawa kabisa.Some wabunge there not commited kutetea watanzania.Hii c sawa.Tuwe wakweli jamani.Mungu yupo anaona

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga25138 күн бұрын

    Izo ni janja miongoni mwa mbinu za ccm hakuna kitu

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x15 күн бұрын

    MPINA ni mbunge anaejielewa kati ya wabunge wa ccm.

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k12 күн бұрын

    Watumishi feki wapo sana

  • @jumaabdalla3374
    @jumaabdalla337412 күн бұрын

    Wabunge wte waliomsema vibaya mpina ni wanafiki na hawajielewi

  • @MukameMachel
    @MukameMachel9 күн бұрын

    SAWA kabisa, viongozi wetu wanalelewa na wizi kutoka kitovuni

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi5015 күн бұрын

    Yani spika ametuonyesha kuwa hoja za mpina zipo sawa ispokuwa Mpina amemkosea Spika kwa kuongea na waandishi. 😂😂😂😂

  • @mariamfaicalhassan2890

    @mariamfaicalhassan2890

    7 күн бұрын

    Walitaka wafanye siri kama bandari ?

  • @user-jj7qv7kh2s

    @user-jj7qv7kh2s

    6 күн бұрын

    Mimi binafsi naona spika katukosea watanzania kwa kutaka kutuficha kile alichotuambia mpina. Mpina ni mzalendo wa kweli.

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k12 күн бұрын

    Hapa tuachane na vyama havitusaidii tuungane kama wakenya kudai haki zetu

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s17 күн бұрын

    Mbunge msukuma ni mnafiki sana, Hajitambui kabisa,

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    16 күн бұрын

    Msukuma shida sana

  • @user-lt1bi5nr1x

    @user-lt1bi5nr1x

    15 күн бұрын

    Chawa

  • @NdeshaPaul-uz9bw

    @NdeshaPaul-uz9bw

    14 күн бұрын

    Tumwombee msikuma aache unafiki na maneno mengi

  • @user-ox9cu9hx2r
    @user-ox9cu9hx2r14 күн бұрын

    Wote mnaopayuka hamna kazi mpina nani hakuna m wananchi anaetetewa na mpina msituhusishe tupo na bashe msituletee udimi wenu tumawajua waliostahiri kuwa na uchungu na nchi hii wametulia kimya bashe tccia bagamoyo tumain Lao kwako na bodi fanya kazi

  • @MichaelNkungu-on1ub
    @MichaelNkungu-on1ub10 күн бұрын

    Mpina hajakosea chochote watanzania wanawaona kwa jicho la kuzumu

  • @user-so8fm4jm3v
    @user-so8fm4jm3v17 күн бұрын

    Viongozi wa dini wengi ni na hawa.

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds16 күн бұрын

    Bora mnyang,anywe ng,ombe ikiwezekana mpaka wamalizwe wote ili muendelee kuikumbatia CCM huko kanda ya ziwa

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x15 күн бұрын

    Kwamba ccm wana wanachama milioni 34. Huyo ni Amos makala ila hii nchi

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c15 күн бұрын

    Msukuma hua ni mnafki mm hua simuelewi mule hua amekaa kama zekomed ,na Wala haendan na ubunge, yaan hata kipind Cha magu alijifnya yupo vzr ,alafu Leo hii awam nyngne anakua kinyume na mwanzo ,ni mnafki mno ,aende tu afanye uigizaji wa zekomed Wala humo bungen hapamfai, maana amekaa kwa mfumo wakichawa

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc4 күн бұрын

    Wafugaji ni washenzi

  • @GabrielMwakasege-sx9wv
    @GabrielMwakasege-sx9wv15 күн бұрын

    Upo vizuri

  • @onesphorymgedzi995
    @onesphorymgedzi99515 күн бұрын

    Kaka kuporwa mifugo nikushauri tu wananchi waache kuingaza mifugo kwenye maaeneo yaliyo hifadhiawa vinginevyo tunatwngeza jangwa wenyewe na hatutakuwa na wakumlaumu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743816 күн бұрын

    Kupata kura kwa wasukuma ni kazi wamrudishe tu Mpina huyu Msukuma na yule Mgogo kazi yao kubwa ni uchawa tu Nsukuma kwenye Bandari alikuwa mnafiki vilevile hana lolite

  • @ramadhanikapona4317
    @ramadhanikapona431714 күн бұрын

    Tatizo la mpina alitangaza kwenye vyombo vya habari wakati suala lilikua linafanyiwa maamuzi.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro666216 күн бұрын

    Nyerere alisema tuwashughulikie je tunawashughulikia sasa? Speaker anatushangaza sana kwa kweli hatuna bunge sisi bali tuna gereza la kuhukumu wanainchi. Sisi wanainchi tumefanya nini? Tunatakiwa kuenda mpaka bungeni kupika kelele kwa ajili ya Mbunge wetu Mpina.

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele13 күн бұрын

    Hapo tuna spika hatuna wabunge kwanza haua ndio madhala ya kuwapa nchi wanawake sasa vilio kila kona taifa liko hoi

  • @user-uy5nx1bj5r
    @user-uy5nx1bj5r13 күн бұрын

    Mmmh lile Sukuma gang tuliambiwa naanza kuwaona watu wake kwa sisi tulio soma "cuba'

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq14 күн бұрын

    Hapana bwan umeongea vizuri lakina viongozi wa makanisa wanaokopa wanambiwa watakuwa wameingilia serikali kumbuka sakata la bandari

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq16 күн бұрын

    Sasa ivi wachungaji wanaogopa kuwaambia watu dhambi zao ndiomana hawahawa viongozi wasio waadilifu wanapeleka michango ya pesa wayoiba kwenye nyumba ya mungu na kuwafichia siri

  • @user-bd1jv7oi3j
    @user-bd1jv7oi3j13 күн бұрын

    Siku hizi hakuna mtu mnafki kama msukuma zama Hali kuwa mtu safi ila Sasa alishakewa sifa

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert296015 күн бұрын

    Natamani kumfahamu Kidata. Tupo Vidata wenzie wengi sana

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi5015 күн бұрын

    Spika aitishe mkutano wa waandishi wa habari ajibu hoja muhimu kwasasa. Amechukua hatua kwa mbunge ameacha tuhuma nzito na kuzifunika.

  • @DamasAmos-ue2gh
    @DamasAmos-ue2gh15 күн бұрын

    Ndivyo ilivyo m ccm ivyo unavyo ongea kamacho miccm inakutolea macho

  • @abdulsalaamkahttan1037
    @abdulsalaamkahttan103714 күн бұрын

    hilo ndilo tatizo la kua na bunge la chama kimoja.😢

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu17 күн бұрын

    Hii tabia ya kuongea kwa sauti kubwa ni kuonesha msisitizo au ni hasira

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    16 күн бұрын

    Msisitizo

  • @user-mh5mx1kn8j
    @user-mh5mx1kn8j15 күн бұрын

    Mpina mbona alipima Zamani Kwa rula hukuongea wakati akiwa mifugo acha makasiriko wewe mbona Kama unapiga kampeni mapema Acho roho mbaya wewe huyo Umar mtetea ana Aya ya kwake

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv16 күн бұрын

    Huyo mama samia hana mpango, hata yule kijana kichoma moto picha ya rais samia ni sawa sawa tuuu samia hakuchaguliwa awe president so it wa just luck baada ya rais wa kweli kufariki

  • @mkadammkadam

    @mkadammkadam

    14 күн бұрын

    Mfumo wetu wa uchaguzi mgombea Urais anakuwa na mwenza hivyo ni kusema kuwa unachagua watu wawili yaani mgombea urais na mwenzi wake ambaye atakuwa Makamo wake wa Rais

  • @user-fj4kj8xc5x
    @user-fj4kj8xc5x13 күн бұрын

    Hakuna aliye juu ya Sheria

  • @Ambwene
    @Ambwene12 күн бұрын

    Hatuna viongozi tanzania 🇹🇿

  • @user-ok6lv3je4b
    @user-ok6lv3je4b15 күн бұрын

    Nalo neno kijana

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo646416 күн бұрын

    Kwenye uvuvi umeongea kweli.....uvuvi haramu umemaliza samaki.....wakati wa Mpina na JPM UVUVI HAULUWA NA HASARA....WAVUVI HALALI TULIPATA FAIDA KUBWA SANA....LEO...mmmhmm. ..... Wengi wamepaki boti zao...

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd15 күн бұрын

    atari sana tz waziri asiekuwa raiya wa nchi usika lakini anawakimbiza mpaka basi, dah hii kari tz!.

  • @GodfreyOsward

    @GodfreyOsward

    14 күн бұрын

    Sio kweli, mwaka 1961, watu wote, wakuwemo ndani siku tarehe Tanganyika ilipo pata UHURU walihesabika kuwa ni raia. Tuwe tunarejea nyaraka na hotuba za viongozi wa nyakati hizo. Kizazi hiki hakijui historia hii. Bahati mbaya na kundi la vijana kwenye vyama vyetu ukiwasikiliza hawajui historia yetu. Ingawa tayari Mabega juu maana wao ni watawala wetu wa baadaye.

  • @user-sj4vo9cg2c
    @user-sj4vo9cg2c13 күн бұрын

    Mpina hawezi kuungwa mkono na wabunge kwani hahongeki

  • @xaixaiobrigado4846
    @xaixaiobrigado484616 күн бұрын

    Mbona unasema wale walosema amekosea tu, Sema na walosema Hakukosea kama wapo.> kama hawapo basi ni wabunge chawa tu!

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x15 күн бұрын

    Viongozi wa dini wanaaminiwa na masikini tu nchi hii

  • @AdelinaAloys
    @AdelinaAloys15 күн бұрын

    Ndg yangu bunge letu limeingiliwa na wachawi haiwezekani watu tulio wachagua wafanye comedian kwa Watanzania.

  • @AdelinaAloys
    @AdelinaAloys15 күн бұрын

    Bashe nyuma yake kuna asiyesemwa MUNGU wa Tz

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t15 күн бұрын

    Musukuma nilikuwa na muona wa maana kumbe zero kabisa [rushwa hupofusha]

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b17 күн бұрын

    Hata akienda mahamani hamuna mahaka Wala bunge ya mdee na wenzake yameisha yeye anajua aludi nyumbani kama amekata uchawa basi na ubunge kwisha

  • @user-by7pz4sx1s
    @user-by7pz4sx1s10 күн бұрын

    Wasukuma wameanza kuchangamka😂😂😂😂😂😂

  • @kingibandajembe2247
    @kingibandajembe224715 күн бұрын

    Bunge la mchongo tz wachumiya tumbo

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza17 күн бұрын

    Mimi ni ccm tokea mwaka 1972.nilichukuliwa. ukonga magereza. Tuwe pamoja baya tukemee tusiwachiye wapinzani

  • @chazy7ya216

    @chazy7ya216

    16 күн бұрын

    Itafika mwishotuu

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert296015 күн бұрын

    Wakatoliki hatujasema chochote hadi sasa! Mimi nivumilie hadi lini?

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x15 күн бұрын

    Hatuna wabunge nchi hii

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u16 күн бұрын

    Hakuna haki hapa tanzania wafanyakazi sekta binafisi hawapati mikopo kisa mikataba ya mwaka mmoja

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t15 күн бұрын

    Viongozi kweli hatuna na hii serikali ni upuuzi mtupu

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e16 күн бұрын

    Yaan mnasema tu ukabila haufai lkn huko mbeleni mm naona utafaa tu

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x15 күн бұрын

    Ukiona mbwa juu ya mti.

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x15 күн бұрын

    Ila msukuma na tabasamu. Uchawa unawapunguzia heshima

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku17 күн бұрын

    Kwa jumla wabunge wa CCM hawasomi kitu chochote wao nikiangalia upepo unaelekea wapi ni ushabiki wa kijinga hawaombewi mwongozo wala taarifa.lugha zao za kijinga na majigambo.wabunhe wanadai kudharauliwa hivi eakijitathimini wanastajili kuheshimiwa?

  • @MalijasJRCharles-vl2rq
    @MalijasJRCharles-vl2rq15 күн бұрын

    Of coz

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza17 күн бұрын

    Hakuna atakaye fungwa wala kufukuzwa kazi wakiwajibishwa mimi nitaomba uraiya kwenda DRC nisiwepo.

  • @ShebbyMageta
    @ShebbyMageta15 күн бұрын

    Msukuma tatizo shule nasikia hajasoma

  • @user-ze1zz5zy9o
    @user-ze1zz5zy9o12 күн бұрын

    katika watu wajinga nihiri jamaa nsona chamaana hapo nitai na shati sijawsi ona sukuma jinga kama hiri tumbo ra shiporo musukuma hapa

  • @user-pk9yr4go8p
    @user-pk9yr4go8p16 күн бұрын

    Ccmupigenikazi mbakatuse hizonikelelezaumbu

  • @januarysila1569
    @januarysila156916 күн бұрын

    dar jamani

  • @user-ux3xu9gs8d
    @user-ux3xu9gs8d14 күн бұрын

    Msukuma ni takataka

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x15 күн бұрын

    Burundi mahakamani huyo spika

  • @lindajohansen9220
    @lindajohansen922014 күн бұрын

    Ma mbumbu ndio yalikuwa yakimpinga mpina

  • @benardsamizi-qo4yp
    @benardsamizi-qo4yp16 күн бұрын

    .Musimulaum musukuma Tunalaumu WASUKUMA WALIOKOSA WASOMI WA KUPELEKA BUNGENI WAKANGUKIA DARASA LA SABA. WAILIMUONEA SANA.)

  • @GodfreyOsward

    @GodfreyOsward

    14 күн бұрын

    Kule korogwe, wananchi walichangia wasomi,baadae wakaona wasomi hawasadii, wakaona wachague mwezao mganga mpiga ramli. Mfumo wenye njaa ya kutengeneza unaweza kumleta kiongozi wa aina yoyote. Raia tukifikia kuwachambua wasaka uongozi kama tunavyochambua wachezaji wa mpira, hao wabunge vilaza hawezi kuchaguliwa.

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k12 күн бұрын

    Wabunge tulio nao ni feki kabisa hatuwachagua

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali194617 күн бұрын

    Msukuma na lusinde hakuna wabunge hapo

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bw14 күн бұрын

    Je biblia na kurani ni ya viongozi wa dini tu? ???

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x15 күн бұрын

    Wabheja ngosha

  • @DouglasChuwa-ec7mv
    @DouglasChuwa-ec7mv15 күн бұрын

    Seo

Келесі