SAKATA LA UINGIZAJI WA SUKARI LAIBUA SURA MPYA BODI YA SUKARI WAFUNGUKA/KUMEKUWA NA UPOTOSHAJI

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 34

  • @martinkisha6307
    @martinkisha63073 күн бұрын

    Hii nchi siasa mpaka kwenye chakula hii ni kutuchezea tu watanzania hii CCM inahitaji kutumbuliwa

  • @yusuphngwele4190
    @yusuphngwele41903 күн бұрын

    Kwa hali hii na uongeaji huu takukuru wanatakiwa wahusike.ukweli utajulikana tu.

  • @SaidKaswella
    @SaidKaswella3 күн бұрын

    Was there any due diligence to the so called voucher companies?

  • @user-uy5nx1bj5r
    @user-uy5nx1bj5r4 сағат бұрын

    Pole sana Mzee wangu Mnakazi ngumu sana kwa watu tunaoishi kwa propaganda " umeongea ukweli kwa ushahidi"

  • @rajabumtuga7372
    @rajabumtuga73723 күн бұрын

    Kwahiyo unavosema sisi wananchi tukiongea hain haja ya nyie kueleza ukweli. Sisi ndo waajir wenu mnapaswa kutoka na kufafanua azalani. Ipo siku mtatulilia nyie.

  • @godfreymeagisa1871
    @godfreymeagisa18713 күн бұрын

    Sukari shida,Ngano shida ,sio chuma shida vijiti vya meno shida nguo nje tyre shida sisi vyetu wenyewe lini wakubwa wetu tujibuni.

  • @andrewassey5108
    @andrewassey51083 күн бұрын

    Sikumbuki kama tuliwahi kuambiwa ukweli nchi hii iliyoasisiwa na JKNyerere.

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats3 күн бұрын

    Kutumbua hapana kukopa aaaah😊

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e2 күн бұрын

    Swali mulijuaje km wazalishaji wameshindwa kuingza kusukar hadi mkawapa kampun za simu hyo nafas? Masilani ni tofaut ya mwez mmja

  • @godfreymeagisa1871
    @godfreymeagisa18713 күн бұрын

    Kwanini tutegemee sukari ya nje wakati tuna ardhi kubwa namna hii ya nchi yetu

  • @vedastusmdapo3837
    @vedastusmdapo38373 күн бұрын

    Solution ya hii issue so kulumbana Bali ni vitendo yaani miwa inalimwa hapa na ardhi ni kuuubwa.Yaani hata Mimi nikipewa wizara natatua tatizo hili kwa Mwaka tu tutauza sukari Hadi 1500

  • @abdallahally842
    @abdallahally8422 күн бұрын

    Mliwamdikia barua waje kuchukua vibali dec ngapi? Inawezekana mmewapa barua kibali dec mwisho ndiomaana mwazo wa jan wakachukua kibali hapa raisi atupe wachunguzi huru ili ukweli ujulikane

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon98232 күн бұрын

    Baada ya sakata hili la sukari kuwa moto, ni kwa nini kutokee badiliko la uongozi TRA ????.Inatupa picha gani 🤷🏼‍♀️🤷🏼‍♀️🤷🏼‍♀️❓❓Mlikaa kimyaaaaa, na mlivyo hodari wa data, mmezipika kutuaminisha.

  • @SaidKaswella
    @SaidKaswella3 күн бұрын

    Business licence only is not adequate in determining the competence and compliance of any business entity.

  • @kenethmaseti8953
    @kenethmaseti89532 күн бұрын

    Ameshindwa kujibu hoja za msingi 😊

  • @abdulhakeem959
    @abdulhakeem959Күн бұрын

    HII NCHI NGUMU SANA SANA.UNAFIQ NA UCHAWA NA KUCHAFUANA NDO ZIMEGEUKA SERA ZA TAIFA.BADO TUMELALA NA SIKU TUKIAMKA TUTAJIKUTA THE HAGUE

  • @user-uy5nx1bj5r
    @user-uy5nx1bj5r4 сағат бұрын

    Huyu Jamaa wa Bodi ya sukari anaonyesha ushahidi unaonekana Mimi nimenunua sukari elfu 7 Jamaa inawauma sana safari hii walitaka sukari ikosekane ili wapandishe bei

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw2 күн бұрын

    Mijitu ya chadema hata haielewi kila ikielimishwa inaleta siasa eleweni mnachoelekezwa acheni acheni uzwazwa

  • @TheresiaAndrea-hv9dg
    @TheresiaAndrea-hv9dgКүн бұрын

    Mnatuvyruga, maana kila mmoja anadai ushahidi upo, hatuwaelewi, tunachokijua ni kwamba sukari ilikosa, tukasafa. Mnapoendelea kurumbana mnatupa ushahidi kwamba viatu halitoshi. Mkikaa kimya tutawaona waomavu. Huo ni utoto

  • @Sangaadam
    @Sangaadam2 күн бұрын

    Hizi Tantalila za nn Wananchi wanataka Sukari tena kwa bei rahisi kama wenzetu (nchi) Zinazo tuzunguuka, Hii mipasho yenu mgeitana huko mmalizane wenyewe......!!!!!!

  • @charleslukumai7875
    @charleslukumai78753 күн бұрын

    Kwa issue ni kampuni zil izopewa vibali vya sukari, au uvunjwaji wa sheria ya sukari?

  • @devangandhl2255
    @devangandhl22552 күн бұрын

    Mbona mnalumbana kazi yenu ninkushirikiana kutulinda sisi wananchi dhidi ya shida

  • @abeidsanga7361
    @abeidsanga73612 күн бұрын

    Kwamfano Ng'ombe wako akikupiga teke we unampa sumu ili akufe 😂😂😂😂akili matope aabu tupu

  • @user-no2ut7yd3e
    @user-no2ut7yd3e3 күн бұрын

    Wewe unamajengo kufuru acha udambwi.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74382 күн бұрын

    Mmi sielewi unachoongea kama ni sukari bei ni juu toeni Siasa hapo

  • @issakassim8291
    @issakassim82912 күн бұрын

    Mlivunja sheria wizar ya kilimo ilipiga

  • @kwisa4899
    @kwisa48992 күн бұрын

    munapoteza muda wenu tu mwezeno yupo busy na kuteua na kariakoo😂😂😂😂😂😂

  • @margarethsolomon9823

    @margarethsolomon9823

    2 күн бұрын

    Ameteua akijua hicho kinachoendelea hapo👆👆ndio maana kwenye uteuzi amemtoa Boss wa TRA kupotezea. Wanajipanga

  • @robertphilip385
    @robertphilip3852 күн бұрын

    Huyu ni tapeli tu haieleweki anazunguza nini

  • @kwisa4899
    @kwisa48992 күн бұрын

    Meli ilipita mlango wa nyuma

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry67763 күн бұрын

    Huyu shida yake Nini?!?! Sielewi

  • @user-uy5nx1bj5r
    @user-uy5nx1bj5r4 сағат бұрын

    Yule Mzee wa jana nimuongo tokea jana nilipo muona Ishu hii inawatu wanatetea maslahi yao na sisi wananchi hatuko makini na jamaa hao waviwanda kunadili imefeli imekuwa dirisha na wameamua kumtumia yule jamaa wa GANG" kujifanya mzalendo

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani64182 күн бұрын

    Mimi huyu bwana anachoongea simwelewi kabisa.

  • @margarethsolomon9823

    @margarethsolomon9823

    2 күн бұрын

    Jitupora tu hilo ni linyung'unya fulani, matumbo malaji. Yaani Lina kila jina baya.

Келесі