Makonda Mungu azidi kukutunza hakika wew ni kiongozi bora na si bora kiongozi
@mollelemanuel46592 күн бұрын
Mh Makonda wewe ni mbunifu sana ki ukweli nakupenda sana ... Unaisadia Arusha yetu kwa kiwango cha juu sana ... I wish kila kiongozi angelikua kama wewe ... Tanzania ingeliweza kuwa na maaendeleo na kujitegemea
@georgesamwelchacha76803 күн бұрын
Mr. P
@halimadamasi27703 күн бұрын
❤❤❤❤
@annanaiman93213 күн бұрын
Ni kweli awe na sifa hizo,wengine hata biashara hawajui wanasubiri uanzishe biashara waje kusumbua watu
@mungholomakalanga89583 күн бұрын
Heri titi ulilonyonya,na tumbo lililokubeba .
@thomasmollel94653 күн бұрын
Mr.paul your the best my president to be we pray for you
@user-if4ub9km1v3 күн бұрын
Ukosawa mkuuu
@ashachitemo78163 күн бұрын
Kuna watu maalum wamezaliwa na vipaji vya uongozi!! Huyu ni mtu mwenye utu .Na wale viongozi wengine ni binadamu na wanaendelea kubaki na ubinadamu wao kwa sababu wao si watu kwani wamekosa utu.
@philipjoseph59313 күн бұрын
Makonda siyo kwamba unatafuta kiki, kwa Kutumia saikolojia ndogo tu ya kuzaliwa nayo siyo ya Shuleni, mtu anaweza kugundua kuwa wewe ni Kiongozi mbunifu. Unaubongo mkubwa wa Uongozi. TUACHE WIVU TU, TUSEMENI UKWELI
Пікірлер: 12
we proud of u makonda❤
Creative Leader always we proud of you.
Makonda Mungu azidi kukutunza hakika wew ni kiongozi bora na si bora kiongozi
Mh Makonda wewe ni mbunifu sana ki ukweli nakupenda sana ... Unaisadia Arusha yetu kwa kiwango cha juu sana ... I wish kila kiongozi angelikua kama wewe ... Tanzania ingeliweza kuwa na maaendeleo na kujitegemea
Mr. P
❤❤❤❤
Ni kweli awe na sifa hizo,wengine hata biashara hawajui wanasubiri uanzishe biashara waje kusumbua watu
Heri titi ulilonyonya,na tumbo lililokubeba .
Mr.paul your the best my president to be we pray for you
Ukosawa mkuuu
Kuna watu maalum wamezaliwa na vipaji vya uongozi!! Huyu ni mtu mwenye utu .Na wale viongozi wengine ni binadamu na wanaendelea kubaki na ubinadamu wao kwa sababu wao si watu kwani wamekosa utu.
Makonda siyo kwamba unatafuta kiki, kwa Kutumia saikolojia ndogo tu ya kuzaliwa nayo siyo ya Shuleni, mtu anaweza kugundua kuwa wewe ni Kiongozi mbunifu. Unaubongo mkubwa wa Uongozi. TUACHE WIVU TU, TUSEMENI UKWELI