PROF. KITILA MKUMBO AKOSHWA NA UBUNIFU WA RC MAKONDA ARUSHA ""UNAKITENDEA HAKI CHEO CHAKO""

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 13

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha35114 күн бұрын

    Hakika mkumbo wewe nakukubari Sana majembe ya mama laisi wetu kipenzi mungu ajarie Sana

  • @bitutuatemba2164
    @bitutuatemba21644 күн бұрын

    Hon Makonda hoyeeeeeee# my bro Paul tuko pamoja

  • @FahmiNassor
    @FahmiNassor4 күн бұрын

    Jamani kila siku nasema MAMA SAMIA TEUWA MAKONDA KUWA WAZIRI MKUU, JERRY SLAA WAZIRI WA AFYA,JUMAA AWESO WAZIRI WA NISHATI MAMA SAMIA UTASTAREHE

  • @allyfutto8763
    @allyfutto87632 күн бұрын

    Very true makonda ni Jembe

  • @josephmajembe3090
    @josephmajembe30904 күн бұрын

    Aaa hapo kwenye kipaumbele cha kwanza kilimo ivi inawezekanaje mtu kupata degree ya kilimo SUA alafu hajua hata namna ya kuoperate powetiller? Prof majibu.

  • @user-qh9jt7rm1x
    @user-qh9jt7rm1x4 күн бұрын

    Makonda ni jembe piga kazi kiongozi shughulikia hao wanyonyaji

  • @lucascosmas908
    @lucascosmas9083 күн бұрын

    Mwamba au kiongozi makini pia ana ubaya na TAIFA kiujumla Paul makonda apa spana tu😊

  • @jacksonbarnaba9088
    @jacksonbarnaba90884 күн бұрын

    Hizi chanel zimekua nyingi mpaka hawana muda wa kupitia walichokiandika. I mean hawana wahariri. Mnaandika haraka haraka muwe wakwanza kupost😢

  • @fredrickbaryagati2194
    @fredrickbaryagati21944 күн бұрын

    Bado unataka makofi fanya kazi usipende makofi yatajireta tu .erimu yako bure

  • @fr.edgarngowiosa6599
    @fr.edgarngowiosa65994 күн бұрын

    Consolation of the fools!

  • @Ezeqsweya1116

    @Ezeqsweya1116

    3 күн бұрын

    Hahahhaa! vugumu kukuelewa but noted

  • @user-ue4yx2ql3m
    @user-ue4yx2ql3m2 күн бұрын

    Kwwl

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee3 күн бұрын

    Viongozi wetu acheni uongo nyie ndiyo kikwazo kwa maendeleo ya taifa imagine mmeagiza sukari zaidi ya naksi harafu bado mnajigamba kwamba muda si mwingi tutajitosheleza kwa uzalishaji kivipi? Kuhusu kuongeza thamani kama kweli mngekuwa na nia ya dhati kwanini mnasaini mkataba wa kuuza mahindi Zambia badala ya kuwauzia unga?

Келесі