PROF. KITILA MKUMBO AKOSHWA NA UBUNIFU WA RC MAKONDA ARUSHA ""UNAKITENDEA HAKI CHEO CHAKO""
#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Пікірлер: 13
Hakika mkumbo wewe nakukubari Sana majembe ya mama laisi wetu kipenzi mungu ajarie Sana
Hon Makonda hoyeeeeeee# my bro Paul tuko pamoja
Jamani kila siku nasema MAMA SAMIA TEUWA MAKONDA KUWA WAZIRI MKUU, JERRY SLAA WAZIRI WA AFYA,JUMAA AWESO WAZIRI WA NISHATI MAMA SAMIA UTASTAREHE
Very true makonda ni Jembe
Aaa hapo kwenye kipaumbele cha kwanza kilimo ivi inawezekanaje mtu kupata degree ya kilimo SUA alafu hajua hata namna ya kuoperate powetiller? Prof majibu.
Makonda ni jembe piga kazi kiongozi shughulikia hao wanyonyaji
Mwamba au kiongozi makini pia ana ubaya na TAIFA kiujumla Paul makonda apa spana tu😊
Hizi chanel zimekua nyingi mpaka hawana muda wa kupitia walichokiandika. I mean hawana wahariri. Mnaandika haraka haraka muwe wakwanza kupost😢
Bado unataka makofi fanya kazi usipende makofi yatajireta tu .erimu yako bure
Consolation of the fools!
@Ezeqsweya1116
3 күн бұрын
Hahahhaa! vugumu kukuelewa but noted
Kwwl
Viongozi wetu acheni uongo nyie ndiyo kikwazo kwa maendeleo ya taifa imagine mmeagiza sukari zaidi ya naksi harafu bado mnajigamba kwamba muda si mwingi tutajitosheleza kwa uzalishaji kivipi? Kuhusu kuongeza thamani kama kweli mngekuwa na nia ya dhati kwanini mnasaini mkataba wa kuuza mahindi Zambia badala ya kuwauzia unga?