MAKONDA AMTAJA ALIYEMDHULUMU NYUMBA - ''ANA PESA - WAKANIAMBIA NIENDE MAHAKAMANI''...
MAKONDA AMTAJA ALIYEMDHULUMU NYUMBA - ''ANA PESA - WAKANIAMBIA NIENDE MAHAKAMANI''...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 121
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@SamsonLubeleje
3 ай бұрын
Samsoni tanasio Lubeleje
Kaka Makonda nakupenda naroho moja, kabi hadi namkumbuka Baba yetu Magufuli. From Congo to Sweden.
MHESHIMIWA MAKONDA HUU UTARATIBU UFANYIKE WALAU MARA MBILI KWA MWAKA KWA NCHI NZIMA. ILI SERIKALI IWAJIBIKE IPASAVYO KWA WANANCHI. OMBI MAALUMU PIA KWAKO MH. RAIS DR SAMIA SULUHU HASANI.HUU NI UTARATIBU MZURI SANA. MUNGU IJALIE TANZANIA.
@amedeuskimario8895
4 ай бұрын
Mara tatu ndo mambo yatanyooka
@eligiuselias4469
4 ай бұрын
@@amedeuskimario8895😂🎉
@tanzcanmediatv4473
4 ай бұрын
No iwe rotation akishamaliza mikoa yote apumzike miezi 2 amze kule alikoanzia ili ajue maagizo yametekelezwa kwakweli nchi itakuwa mchakamchaka
Mungu akulinde daimaaaaaaaa
MAKONDA ANGEKUWA HAKIMU AU JAJI KILA MTU ANGEPATA HAKI YAKE,EXCELLENT
@happynesbaemuhappynes8813
4 ай бұрын
Kabisa
@steveprosper4084
4 ай бұрын
Hakuna judgment public tena mbaya zaidi siasa
@ebeni_mitimingi
4 ай бұрын
Angekuwa kama Judge Frank Caprio
@domymerinyo8165
4 ай бұрын
Hizo ni siasa wala hakuna kitu,angetoa maelezo kwa wakuu wa mikoa na wilaya kufuatilia
Watumishi wa selikali wanakitesa chama
Hao jamaa wa aridhii wahuni sana tanzania nzima
@moxasaidi3398
4 ай бұрын
Kuna yule aliekuwa mkuu wakati wa magufuli alidhulumu sana
Mh. Makonda kutokana na ubora wa kazi unayoifanya naona kama unge mshauri Mh. Mwenyekiti wa chama kiwepo kitengo maalumu ndani ya chama ambacho kitambulike ndani ya katiba ya chama na kiwezeshwe ili kiwe endelevu kwenye kuendelea kuifanya kazi hii kwa kweli aliyoinzisha Rais/Mwenyekiti wa chama nawe ukawa mtekelezaji wakwanza mwenye ubunifu mkubwa mno katika kuendea CHANGAMOTO mbalimbali za wanannchi, maana nachelea kama yeye akiondoka na wewe ukiondoka bado watanzania watarudi kulekule na hivyo kuiono haki yao kama ihsani kutoka kwa viongozi kwani kila mtu huwa na utashi wake. Hongera sana Mama Samia Hongera sana Makonda Hakika huwa unanipa tumaini jipya kila mara nikusikiapo
Unaendelea kufanya vizuri Mr.Makonda Mola akubariki,pia Rais wetu Mama Samia Hasan Suluhu
Jamani watanzania wenzangu, kwa huuu utaratibu hatutafika popote, hiii ni dalili, mbaya kwa ustawi wa nchi yetu, hili ni dhihirisho kuwa taasisi, za nchi hususan zinazohusika kutoa haki zimefeli kabisa, au hazipo kabisa, haiwezekani, mtu mmoja ndie awe anatatua matatizo ya wananchi wote milioni 65, haiwezekani. Atachoka tuuu. Tunataka taasisi zinazohusika kutoa haki, zifanye kazi yake, kwa maaana Kuna watu wameajiriwa huko, wanakula mishahara alafu haki hazitendeki. kwa mtindo huuu hatufiki ndugu zangu. There is a serious systemic failure. Watanzania tunahitaji mifumo inayojiendesha sio kwa mtindo huuu
@taseleli9181
4 ай бұрын
Tunaanzia hapo huko kwingine tutafika,kwanza tujue yaliyomo ili wanaofanya wajisikie vibaya
@faumahona5769
4 ай бұрын
Kama siyo makonda hayo madudu tungeyajulia wap ?
@Azikiwe-qi6jd
4 ай бұрын
@@faumahona5769 duuu, kazi ipo, ndugu yangu, mtanzania mwenzangu, sidhani kama umeelewa nilichokiandika, iko hivi, naomba nikueleweshe hii nchi ina watu zaidi ya milioni 65, hawa ni watu wengi sana hatuwezi kumtegemea mtu mmoja atatue changamoto za watu milioni 65, haiwezekani. Ndio maana Kuna umuhimu wakujenga mifumo na taasisi zinazojiendesha sio kumtegemea mtu mmoja, binadamu maisha yake ni ya kitambo tuu hayana Diamante yana pita kwa haraka sana, sasa kwa mfano ikitokea makonda akatoweka ghafla tunafanyaje sasa, muwe mnaangalia mbele kidogo
@justinekyando9558
4 ай бұрын
Wewe fara
@Azikiwe-qi6jd
4 ай бұрын
@@justinekyando9558 lugha ya kiswahili hakuna neno "fara" unatakiwa kusema "fala" sio fara. Unaweza kufanya marekebisho, utasikilizwa
GSM walitaka kumdhulumu nyumba Makonda🎉🎉🎉🎉
@AllyGibu-cz2vo
4 ай бұрын
Uje unipe story hiyo ndugu kumbe gsm walitaka kumdhulumu Makonda
Mungu Akubaliki mama yetu laisi mungu akutuze na akupe balaka na Avya njema
Dah! Nakwenda kuchukua card yangu ya chama CCM oyeee
Makonda hoyeeee
Mungu akujalie maisha mema uzid kusaidia tz
MAKONDA MDOGO WANGU UISHI MAISHA MAREFU PIGA KAZI
Hawa watu ni Wahuni sana Aridhi kumeoza.Hongera Makonda
Hongera mdogo wangu poul makonda
Mungu akulinde Kwa kuwatetea wanyonge
Safi sana makonda
Makonda mdogowangu umevaa viatu vya mjomba Magu....hongera
Kwa kweli na albu kubwa Sana hawa viongozi wengine kazi Yao ni nn mpk matatizo ya wananchi wananchi yanakuwa mingi kiasi hiki wavivu wa kufanya kazi lkn wana nguvu ya kula pesa za Miradi 😢
ningekuwa mtanzania,ningependekeza,mh makonda angepata kira ya uraisi toka kwangu😅
Makonda unafaa sana Tena sana
Mhe Rais tunakupongeza sana Kwa kunteua makonda kwa nafasi hii ombi letu wanyonge aongezewe ulinzi na tunajua atapigwa fitina sana ila ikumbukwe yupo na sisi wanyonge na Mungu atakulinda ww mhe Rais na Makonda
@KaburuKimath-eu5nf
4 ай бұрын
Mimi nahamiya c c m
Piga kazi mzeeee
Makonda nakupenda unatetea wa tanzania Mungu akuhifadh usiwape fursa kwa kudhulumu wanyonge
Sawa mheshimiwa Makonda uko vizuri kwakuwasaidia watu kupata haki Yao na sisi 77 hotel tunaomba tulipwe jameni Makonda utukumbuke 77 hotel arusha
Tunataka hakiyetu,tunataka haki yetu,tunataka haki yetu.
@brunidamadege3747
4 ай бұрын
Tanzania, Tanzania Tanzania. Nchi yangu nakupenda maana Mungu amesaza watu wakusaidiana naye Mungu.
Hivi ndani ya ccm watakatifu ni Samia na Makonda tu?Viongozi wengine mko kundi gani?Mbona kila mkoa aendako Makonda ni shida ambazo hata shetani anaona aibu kutendea wanadamu ilihali viongozi wengine mpo!
MAKONDA ULIYOSEMA HAKIKA YANATOKA MOYON KWAKO MUNGU AKUBALIKI SANA, HAKUNA KIONGOZI MWENYE MOYO KAMA WAKO WAKUSHAURI WANANCHI USHAURI MZIRI, UBALIKIWE SANA
Ccm hoyeeee sijawahi kuwa mkereketwa nikiwa na kiongozi kama huyu nitajikuta tu nimevaa nembo🎉🎉🎉🎉🎉
Piga kaz mkuu 🎉🎉🎉chukuwa na maua yako
Makonda sema ukweli. Wew ulienda kujenga kwenye kiwanja cha Mwarabu wakakuonyesha ujeuri. Hati uliitoa feki na waarabu wakajaa na hati safi..
Matatizo mengi yameletwa na hao hao viongozi wa ccm,Unafanya kazi nzuri ila umekosa nguvu yakutoa suluhisho hapo kwa hapo,Mama anajua Magufuli kila alichokuwa akitutendea sisi wananchi,Mama ajitokeze,tumuone akitoa maamuzi ya kututetea sisi wananchi,mtu akiwa na hatia ya kupora ama kutumia pesa ya serekali vibaya atumbuliwe na pesa zirudi,Hii ya makonda ni kutuziba macho tu maana mshajua uchaguzi uko karibu,Makonda kaa hivo hivo ikikaribia wagombea kujiandikisha,chomoka ccm,jiunge na chama chochote,ikulu moja kwa moja.
Jamani hii nchi ni uonevu, makonda atasisi ni wahanga tupo moshi umasikini ndio unatunyamazisha,
YAANI NI AIBU KUBWA MADUDU YANAYOENDELEA NCHINI.
Yani serikari inawauzia wananch maeneo ambayo sio wanawatapeli wana nch kumbe wao serikari ndio wanaosababish migogoro
Makonda simamia hilo mpaka haki itoke, wezi wakubwa hao
Kweli nenda mahakamani km walivyokwambia
Tunashkur Mhe Rais kwkumteuwa huyu Mwenez
Mheshimiwa Makonda 77 hotel arusha tunateseka kwakudai haki yetu ya madai yetu Makonda njoo Arusha jameni we twafa njaa mafao 77 hatujalipwa Mungu
Jamani namimi ninataka haki yangu makonda nitakutafuta aki
Wafukonyoe hao wapumbavu kisomo Awana kichwani Alafu wanawekwa katika viti vya huongozi😂😂😂
MTANZANIA HUYO mlipeni
Viongoz wa halmashaur mjitahid kufany kazi kwa haki jaman mnampashida mama samia jaman kuwen na uwelewa
Sauti ya Makufuli inasikika pia nami nahitaji unisaidie
12:45 Kwahiyo ishu ya mbowe ilikua hakuna kesi 😅
Hapa kuna tatizo la mawasiliano baina ya Ardhi na TANROADS. Ardhi na TANROADS wana sheria zao.
Sasa kama ye analalamika mwananchi wa kawaida itakuaje, mahakama ajui ilipo
Ss kwnn mlimpa na akajenga alafu mbakuna kubomowa na hamtaki kuwalipa mmeona ipo ktm barabara bc mngewalipa iki wawapishe lkn si kublmowa tu alafu mnawaacha wna angaika mnasumbuwa sn wnanchi nyie nakuonea hy ni makosa yenu inabidi muawalipe
Kipindi hicho tanroad walikua hawajapima hiyo barabara sehemu nyingine wanaonea watu
Ataizi mahakama nizakuchuzwa azitendi haki
Wanaichi mnashangiria matatizo waliyo tengeneza haohao CCM kweli tunawajinga wengi,
Kwa mantiki hiyo mheshimiwa makonda mahakama zetu hazitendi haki
Hayo unayo sema ofisini wanarindana hawa tendi haki kama hio
Kwahyo G.S.M atapata cha moto et? Au tayari ameshairudisha nyumba ya makonda
niki9na hivi naweza sema wenye haki hawqpewi na wasio na haki wanapewa mzigo wa dhambi kubeba kesho siku ya hisabu kunakazi ninavohisi washika bedera za motoni ni wengi
Kwa nchi ilipofikia sahiz inahitaji rais km makonda kabisa hata akiwa atalipa visasi atalipa kwa wakubwa huko huko ila wanyonge tutakuwa salama haiwezekan nchi imekosa mwelekeo kabisa sahiz
Ujue ni jinsi gani CCM haistaili kuendelea kuwa nadarakani shida zote hizi ni zao la serikali ya CCM.
Unajikuta raisi kumbe ni maenge tu
MRUFISHIE GSM NYUMBA YAKE..
We
Hiyo ndio tabia ya ardhi hivyo ndivyo wanafanyia wananchi
Komed komed
Simchezo
Anasema alimilikishwa kipindi hiko kwani haikua Serikali??
Nikushukuru mh. Makonda kwa yote unayo yazungumza kila kukicha mimi nafatilia ziyara zako una stahili kuhitwa MTETEZI kwa maana hiyo MAHAKAMANI akuna haki ni kweli kabisa
Huyu jamaaa kaja kuvizima vyama pinzani
Huku unguja tuko wengi tunozulumiwa na mahakama inakula rushwa tupu
Nachofrahi nikwamba madai ya wananchi yote ni halali naniyakweli
Rais wangu kipenzi
Muwe na uhakika kuwa hawajawatalipwa
Haya unayo fanya Makonda unaivua nguo CCM na serikali yako kwa ushauri wangu fupisha hii mihadhara yako
@damagambiti8292
4 ай бұрын
We mjinga kweli! Hivi ungekuwa wewe umetendewa dhuruma usingeongea upumbavu huo! We kama unaona nongwa kaa kimya!
@MubinaRoshan
4 ай бұрын
Wewe kaa kimya hayakuhusu
@AllyGibu-cz2vo
4 ай бұрын
Wewe ni mjinga kumbe nilijua una akili
@samwelsimon7392
4 ай бұрын
wewe kaa tayali zamu yako kama na wewe ni miongoni mwao
@KiongoziMwandamizi
4 ай бұрын
Mbona kujiaibisha hvo😂😂
Nini anfanya hapo? Hiyo ni kazi yake? Sheria ne katibu inampa mamlaka ya kwenda barabarni kidifanya judge? Kupoteza muda mtupu
Makonda wewe ni fala tu
Daaaaaaaaah
Watu wanakiu na wewe
Makonda kumbe hii imeandaliwa. Upuuzi mtupu!
Wewe mwenyewe dhuluma ulitaka kuwadhulumu nyumba Gsm
GSM kimekuramba😂😂😂
Ccm wanacheza na akili za watu ccm nikama shetani leo anakujahuyu anasema lake kesho mingine nakuja na utapeli wake watanzani msiposanuka na hi janja ya ccm utaisha kama wafuasi wa Kibwetere
@marymanoni5536
4 ай бұрын
Hachezi hata 😂😂😂 ww ndo unsjidangamya
@UfahamuwaKristo
4 ай бұрын
Hapana Leo ndo nimegundua shida sio ccm shida ni watendaji tu sio waaminifu na sio wachapakazi
@hurumamsuya7122
4 ай бұрын
Kwamba watu hawasaidiwi?!!
@barackawithokiswaga2686
4 ай бұрын
Na wewe hebu peleka Upumbavu wako huko, kwahiyo unachotaka wewe ni kipi? Au wewe una uwezo wa kutatua hizo kero, basi tatua wewe tukuone! Kazi kujifanya wewe ndio mjuaji unataka nini wewe??
@Ernestlaiza
4 ай бұрын
@@barackawithokiswaga2686wacha ufala tunataka katiba mpya
Jamani mshukuruni mwenyezimngu na rais na makonda kusimamiya haki za wanyongee…kuweni na dhanaa njemaaa wachanenii kulaumiyaaaanaa…duniya mapitoo.