MAKONDA AMTAJA ALIYEMDHULUMU NYUMBA - ''ANA PESA - WAKANIAMBIA NIENDE MAHAKAMANI''...

MAKONDA AMTAJA ALIYEMDHULUMU NYUMBA - ''ANA PESA - WAKANIAMBIA NIENDE MAHAKAMANI''...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 121

  • @globaltv_online
    @globaltv_online5 ай бұрын

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @SamsonLubeleje

    @SamsonLubeleje

    3 ай бұрын

    Samsoni tanasio Lubeleje

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi79884 ай бұрын

    Kaka Makonda nakupenda naroho moja, kabi hadi namkumbuka Baba yetu Magufuli. From Congo to Sweden.

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo5 ай бұрын

    MHESHIMIWA MAKONDA HUU UTARATIBU UFANYIKE WALAU MARA MBILI KWA MWAKA KWA NCHI NZIMA. ILI SERIKALI IWAJIBIKE IPASAVYO KWA WANANCHI. OMBI MAALUMU PIA KWAKO MH. RAIS DR SAMIA SULUHU HASANI.HUU NI UTARATIBU MZURI SANA. MUNGU IJALIE TANZANIA.

  • @amedeuskimario8895

    @amedeuskimario8895

    4 ай бұрын

    Mara tatu ndo mambo yatanyooka

  • @eligiuselias4469

    @eligiuselias4469

    4 ай бұрын

    ​@@amedeuskimario8895😂🎉

  • @tanzcanmediatv4473

    @tanzcanmediatv4473

    4 ай бұрын

    No iwe rotation akishamaliza mikoa yote apumzike miezi 2 amze kule alikoanzia ili ajue maagizo yametekelezwa kwakweli nchi itakuwa mchakamchaka

  • @anselmimarandu2293
    @anselmimarandu22934 ай бұрын

    Mungu akulinde daimaaaaaaaa

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v4 ай бұрын

    MAKONDA ANGEKUWA HAKIMU AU JAJI KILA MTU ANGEPATA HAKI YAKE,EXCELLENT

  • @happynesbaemuhappynes8813

    @happynesbaemuhappynes8813

    4 ай бұрын

    Kabisa

  • @steveprosper4084

    @steveprosper4084

    4 ай бұрын

    Hakuna judgment public tena mbaya zaidi siasa

  • @ebeni_mitimingi

    @ebeni_mitimingi

    4 ай бұрын

    Angekuwa kama Judge Frank Caprio

  • @domymerinyo8165

    @domymerinyo8165

    4 ай бұрын

    Hizo ni siasa wala hakuna kitu,angetoa maelezo kwa wakuu wa mikoa na wilaya kufuatilia

  • @johnchungwa-ei7xj
    @johnchungwa-ei7xj5 ай бұрын

    Watumishi wa selikali wanakitesa chama

  • @salcle9702
    @salcle97024 ай бұрын

    Hao jamaa wa aridhii wahuni sana tanzania nzima

  • @moxasaidi3398

    @moxasaidi3398

    4 ай бұрын

    Kuna yule aliekuwa mkuu wakati wa magufuli alidhulumu sana

  • @hamishassan6784
    @hamishassan67844 ай бұрын

    Mh. Makonda kutokana na ubora wa kazi unayoifanya naona kama unge mshauri Mh. Mwenyekiti wa chama kiwepo kitengo maalumu ndani ya chama ambacho kitambulike ndani ya katiba ya chama na kiwezeshwe ili kiwe endelevu kwenye kuendelea kuifanya kazi hii kwa kweli aliyoinzisha Rais/Mwenyekiti wa chama nawe ukawa mtekelezaji wakwanza mwenye ubunifu mkubwa mno katika kuendea CHANGAMOTO mbalimbali za wanannchi, maana nachelea kama yeye akiondoka na wewe ukiondoka bado watanzania watarudi kulekule na hivyo kuiono haki yao kama ihsani kutoka kwa viongozi kwani kila mtu huwa na utashi wake. Hongera sana Mama Samia Hongera sana Makonda Hakika huwa unanipa tumaini jipya kila mara nikusikiapo

  • @KabwikaIbrahim-ld8vf
    @KabwikaIbrahim-ld8vf4 ай бұрын

    Unaendelea kufanya vizuri Mr.Makonda Mola akubariki,pia Rais wetu Mama Samia Hasan Suluhu

  • @Azikiwe-qi6jd
    @Azikiwe-qi6jd4 ай бұрын

    Jamani watanzania wenzangu, kwa huuu utaratibu hatutafika popote, hiii ni dalili, mbaya kwa ustawi wa nchi yetu, hili ni dhihirisho kuwa taasisi, za nchi hususan zinazohusika kutoa haki zimefeli kabisa, au hazipo kabisa, haiwezekani, mtu mmoja ndie awe anatatua matatizo ya wananchi wote milioni 65, haiwezekani. Atachoka tuuu. Tunataka taasisi zinazohusika kutoa haki, zifanye kazi yake, kwa maaana Kuna watu wameajiriwa huko, wanakula mishahara alafu haki hazitendeki. kwa mtindo huuu hatufiki ndugu zangu. There is a serious systemic failure. Watanzania tunahitaji mifumo inayojiendesha sio kwa mtindo huuu

  • @taseleli9181

    @taseleli9181

    4 ай бұрын

    Tunaanzia hapo huko kwingine tutafika,kwanza tujue yaliyomo ili wanaofanya wajisikie vibaya

  • @faumahona5769

    @faumahona5769

    4 ай бұрын

    Kama siyo makonda hayo madudu tungeyajulia wap ?

  • @Azikiwe-qi6jd

    @Azikiwe-qi6jd

    4 ай бұрын

    @@faumahona5769 duuu, kazi ipo, ndugu yangu, mtanzania mwenzangu, sidhani kama umeelewa nilichokiandika, iko hivi, naomba nikueleweshe hii nchi ina watu zaidi ya milioni 65, hawa ni watu wengi sana hatuwezi kumtegemea mtu mmoja atatue changamoto za watu milioni 65, haiwezekani. Ndio maana Kuna umuhimu wakujenga mifumo na taasisi zinazojiendesha sio kumtegemea mtu mmoja, binadamu maisha yake ni ya kitambo tuu hayana Diamante yana pita kwa haraka sana, sasa kwa mfano ikitokea makonda akatoweka ghafla tunafanyaje sasa, muwe mnaangalia mbele kidogo

  • @justinekyando9558

    @justinekyando9558

    4 ай бұрын

    Wewe fara

  • @Azikiwe-qi6jd

    @Azikiwe-qi6jd

    4 ай бұрын

    @@justinekyando9558 lugha ya kiswahili hakuna neno "fara" unatakiwa kusema "fala" sio fara. Unaweza kufanya marekebisho, utasikilizwa

  • @abcxyz3740
    @abcxyz37404 ай бұрын

    GSM walitaka kumdhulumu nyumba Makonda🎉🎉🎉🎉

  • @AllyGibu-cz2vo

    @AllyGibu-cz2vo

    4 ай бұрын

    Uje unipe story hiyo ndugu kumbe gsm walitaka kumdhulumu Makonda

  • @TuzoTuzo-xi9xm
    @TuzoTuzo-xi9xmАй бұрын

    Mungu Akubaliki mama yetu laisi mungu akutuze na akupe balaka na Avya njema

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w4 ай бұрын

    Dah! Nakwenda kuchukua card yangu ya chama CCM oyeee

  • @mataypanga5262
    @mataypanga52624 ай бұрын

    Makonda hoyeeee

  • @SamsonLubeleje
    @SamsonLubeleje3 ай бұрын

    Mungu akujalie maisha mema uzid kusaidia tz

  • @ramadhanzenj9111
    @ramadhanzenj91114 ай бұрын

    MAKONDA MDOGO WANGU UISHI MAISHA MAREFU PIGA KAZI

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga62874 ай бұрын

    Hawa watu ni Wahuni sana Aridhi kumeoza.Hongera Makonda

  • @maimunakassim8413
    @maimunakassim84133 ай бұрын

    Hongera mdogo wangu poul makonda

  • @user-is4jg9gr1p
    @user-is4jg9gr1p4 ай бұрын

    Mungu akulinde Kwa kuwatetea wanyonge

  • @suleimansultan3333
    @suleimansultan33334 ай бұрын

    Safi sana makonda

  • @user-lp8in3ou7r
    @user-lp8in3ou7r4 ай бұрын

    Makonda mdogowangu umevaa viatu vya mjomba Magu....hongera

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani11864 ай бұрын

    Kwa kweli na albu kubwa Sana hawa viongozi wengine kazi Yao ni nn mpk matatizo ya wananchi wananchi yanakuwa mingi kiasi hiki wavivu wa kufanya kazi lkn wana nguvu ya kula pesa za Miradi 😢

  • @moiseszachariasmoisesmoises
    @moiseszachariasmoisesmoises4 ай бұрын

    ningekuwa mtanzania,ningependekeza,mh makonda angepata kira ya uraisi toka kwangu😅

  • @user-jr9jj7yj8j
    @user-jr9jj7yj8j4 ай бұрын

    Makonda unafaa sana Tena sana

  • @selebitende3162
    @selebitende31624 ай бұрын

    Mhe Rais tunakupongeza sana Kwa kunteua makonda kwa nafasi hii ombi letu wanyonge aongezewe ulinzi na tunajua atapigwa fitina sana ila ikumbukwe yupo na sisi wanyonge na Mungu atakulinda ww mhe Rais na Makonda

  • @KaburuKimath-eu5nf

    @KaburuKimath-eu5nf

    4 ай бұрын

    Mimi nahamiya c c m

  • @user-rs9nb1ez3r
    @user-rs9nb1ez3r4 ай бұрын

    Piga kazi mzeeee

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman74684 ай бұрын

    Makonda nakupenda unatetea wa tanzania Mungu akuhifadh usiwape fursa kwa kudhulumu wanyonge

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u4 ай бұрын

    Sawa mheshimiwa Makonda uko vizuri kwakuwasaidia watu kupata haki Yao na sisi 77 hotel tunaomba tulipwe jameni Makonda utukumbuke 77 hotel arusha

  • @brunidamadege3747
    @brunidamadege37474 ай бұрын

    Tunataka hakiyetu,tunataka haki yetu,tunataka haki yetu.

  • @brunidamadege3747

    @brunidamadege3747

    4 ай бұрын

    Tanzania, Tanzania Tanzania. Nchi yangu nakupenda maana Mungu amesaza watu wakusaidiana naye Mungu.

  • @masamakijames7837
    @masamakijames78374 ай бұрын

    Hivi ndani ya ccm watakatifu ni Samia na Makonda tu?Viongozi wengine mko kundi gani?Mbona kila mkoa aendako Makonda ni shida ambazo hata shetani anaona aibu kutendea wanadamu ilihali viongozi wengine mpo!

  • @DuduMagau-sm3pd
    @DuduMagau-sm3pd4 ай бұрын

    MAKONDA ULIYOSEMA HAKIKA YANATOKA MOYON KWAKO MUNGU AKUBALIKI SANA, HAKUNA KIONGOZI MWENYE MOYO KAMA WAKO WAKUSHAURI WANANCHI USHAURI MZIRI, UBALIKIWE SANA

  • @brunidamadege3747
    @brunidamadege37474 ай бұрын

    Ccm hoyeeee sijawahi kuwa mkereketwa nikiwa na kiongozi kama huyu nitajikuta tu nimevaa nembo🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l4 ай бұрын

    Piga kaz mkuu 🎉🎉🎉chukuwa na maua yako

  • @kyaro5945
    @kyaro59454 ай бұрын

    Makonda sema ukweli. Wew ulienda kujenga kwenye kiwanja cha Mwarabu wakakuonyesha ujeuri. Hati uliitoa feki na waarabu wakajaa na hati safi..

  • @innocentlegos4530
    @innocentlegos45304 ай бұрын

    Matatizo mengi yameletwa na hao hao viongozi wa ccm,Unafanya kazi nzuri ila umekosa nguvu yakutoa suluhisho hapo kwa hapo,Mama anajua Magufuli kila alichokuwa akitutendea sisi wananchi,Mama ajitokeze,tumuone akitoa maamuzi ya kututetea sisi wananchi,mtu akiwa na hatia ya kupora ama kutumia pesa ya serekali vibaya atumbuliwe na pesa zirudi,Hii ya makonda ni kutuziba macho tu maana mshajua uchaguzi uko karibu,Makonda kaa hivo hivo ikikaribia wagombea kujiandikisha,chomoka ccm,jiunge na chama chochote,ikulu moja kwa moja.

  • @AminaRamadhani-gx8yr
    @AminaRamadhani-gx8yr4 ай бұрын

    Jamani hii nchi ni uonevu, makonda atasisi ni wahanga tupo moshi umasikini ndio unatunyamazisha,

  • @Ericzdeking24
    @Ericzdeking244 ай бұрын

    YAANI NI AIBU KUBWA MADUDU YANAYOENDELEA NCHINI.

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber75704 ай бұрын

    Yani serikari inawauzia wananch maeneo ambayo sio wanawatapeli wana nch kumbe wao serikari ndio wanaosababish migogoro

  • @AminaRamadhani-gx8yr
    @AminaRamadhani-gx8yr4 ай бұрын

    Makonda simamia hilo mpaka haki itoke, wezi wakubwa hao

  • @wilbatnyato4679
    @wilbatnyato46793 ай бұрын

    Kweli nenda mahakamani km walivyokwambia

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana33534 ай бұрын

    Tunashkur Mhe Rais kwkumteuwa huyu Mwenez

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u4 ай бұрын

    Mheshimiwa Makonda 77 hotel arusha tunateseka kwakudai haki yetu ya madai yetu Makonda njoo Arusha jameni we twafa njaa mafao 77 hatujalipwa Mungu

  • @sesilianjala3306
    @sesilianjala33064 ай бұрын

    Jamani namimi ninataka haki yangu makonda nitakutafuta aki

  • @user-os6sc7is5h
    @user-os6sc7is5h3 ай бұрын

    Wafukonyoe hao wapumbavu kisomo Awana kichwani Alafu wanawekwa katika viti vya huongozi😂😂😂

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele4 ай бұрын

    MTANZANIA HUYO mlipeni

  • @user-fq7sy4lo9d
    @user-fq7sy4lo9d4 ай бұрын

    Viongoz wa halmashaur mjitahid kufany kazi kwa haki jaman mnampashida mama samia jaman kuwen na uwelewa

  • @janetymatola6639
    @janetymatola66394 ай бұрын

    Sauti ya Makufuli inasikika pia nami nahitaji unisaidie

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74914 ай бұрын

    12:45 Kwahiyo ishu ya mbowe ilikua hakuna kesi 😅

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-15074 ай бұрын

    Hapa kuna tatizo la mawasiliano baina ya Ardhi na TANROADS. Ardhi na TANROADS wana sheria zao.

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies96704 ай бұрын

    Sasa kama ye analalamika mwananchi wa kawaida itakuaje, mahakama ajui ilipo

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula50154 ай бұрын

    Ss kwnn mlimpa na akajenga alafu mbakuna kubomowa na hamtaki kuwalipa mmeona ipo ktm barabara bc mngewalipa iki wawapishe lkn si kublmowa tu alafu mnawaacha wna angaika mnasumbuwa sn wnanchi nyie nakuonea hy ni makosa yenu inabidi muawalipe

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo81654 ай бұрын

    Kipindi hicho tanroad walikua hawajapima hiyo barabara sehemu nyingine wanaonea watu

  • @AminaRamadhani-gx8yr
    @AminaRamadhani-gx8yr4 ай бұрын

    Ataizi mahakama nizakuchuzwa azitendi haki

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk4 ай бұрын

    Wanaichi mnashangiria matatizo waliyo tengeneza haohao CCM kweli tunawajinga wengi,

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle4 ай бұрын

    Kwa mantiki hiyo mheshimiwa makonda mahakama zetu hazitendi haki

  • @user-vy8tb2hq9w
    @user-vy8tb2hq9w4 ай бұрын

    Hayo unayo sema ofisini wanarindana hawa tendi haki kama hio

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e4 ай бұрын

    Kwahyo G.S.M atapata cha moto et? Au tayari ameshairudisha nyumba ya makonda

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen46754 ай бұрын

    niki9na hivi naweza sema wenye haki hawqpewi na wasio na haki wanapewa mzigo wa dhambi kubeba kesho siku ya hisabu kunakazi ninavohisi washika bedera za motoni ni wengi

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi98093 ай бұрын

    Kwa nchi ilipofikia sahiz inahitaji rais km makonda kabisa hata akiwa atalipa visasi atalipa kwa wakubwa huko huko ila wanyonge tutakuwa salama haiwezekan nchi imekosa mwelekeo kabisa sahiz

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu644 ай бұрын

    Ujue ni jinsi gani CCM haistaili kuendelea kuwa nadarakani shida zote hizi ni zao la serikali ya CCM.

  • @user-cz3gk2op9r
    @user-cz3gk2op9r2 ай бұрын

    Unajikuta raisi kumbe ni maenge tu

  • @noelbryson7840
    @noelbryson78404 ай бұрын

    MRUFISHIE GSM NYUMBA YAKE..

  • @khadijabuberwa3362
    @khadijabuberwa33625 ай бұрын

    We

  • @user-ig4in5ut9k
    @user-ig4in5ut9k4 ай бұрын

    Hiyo ndio tabia ya ardhi hivyo ndivyo wanafanyia wananchi

  • @user-if9gi2rx8f
    @user-if9gi2rx8f4 ай бұрын

    Komed komed

  • @MasterRegan
    @MasterRegan4 ай бұрын

    Simchezo

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w4 ай бұрын

    Anasema alimilikishwa kipindi hiko kwani haikua Serikali??

  • @ramazanisongolo7258
    @ramazanisongolo72584 ай бұрын

    Nikushukuru mh. Makonda kwa yote unayo yazungumza kila kukicha mimi nafatilia ziyara zako una stahili kuhitwa MTETEZI kwa maana hiyo MAHAKAMANI akuna haki ni kweli kabisa

  • @AlbatSimon-yq5ro
    @AlbatSimon-yq5ro4 ай бұрын

    Huyu jamaaa kaja kuvizima vyama pinzani

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu50114 ай бұрын

    Huku unguja tuko wengi tunozulumiwa na mahakama inakula rushwa tupu

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx4 ай бұрын

    Nachofrahi nikwamba madai ya wananchi yote ni halali naniyakweli

  • @marylukas6832
    @marylukas68324 ай бұрын

    Rais wangu kipenzi

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os4 ай бұрын

    Muwe na uhakika kuwa hawajawatalipwa

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza4 ай бұрын

    Haya unayo fanya Makonda unaivua nguo CCM na serikali yako kwa ushauri wangu fupisha hii mihadhara yako

  • @damagambiti8292

    @damagambiti8292

    4 ай бұрын

    We mjinga kweli! Hivi ungekuwa wewe umetendewa dhuruma usingeongea upumbavu huo! We kama unaona nongwa kaa kimya!

  • @MubinaRoshan

    @MubinaRoshan

    4 ай бұрын

    Wewe kaa kimya hayakuhusu

  • @AllyGibu-cz2vo

    @AllyGibu-cz2vo

    4 ай бұрын

    Wewe ni mjinga kumbe nilijua una akili

  • @samwelsimon7392

    @samwelsimon7392

    4 ай бұрын

    wewe kaa tayali zamu yako kama na wewe ni miongoni mwao

  • @KiongoziMwandamizi

    @KiongoziMwandamizi

    4 ай бұрын

    Mbona kujiaibisha hvo😂😂

  • @chai_r
    @chai_r4 ай бұрын

    Nini anfanya hapo? Hiyo ni kazi yake? Sheria ne katibu inampa mamlaka ya kwenda barabarni kidifanya judge? Kupoteza muda mtupu

  • @user-cz3gk2op9r
    @user-cz3gk2op9r2 ай бұрын

    Makonda wewe ni fala tu

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga62874 ай бұрын

    Daaaaaaaaah

  • @user-zs2dc3kq8g
    @user-zs2dc3kq8g4 ай бұрын

    Watu wanakiu na wewe

  • @kiwangodaniel1302
    @kiwangodaniel13024 ай бұрын

    Makonda kumbe hii imeandaliwa. Upuuzi mtupu!

  • @anselemmasirikali6384
    @anselemmasirikali63844 ай бұрын

    Wewe mwenyewe dhuluma ulitaka kuwadhulumu nyumba Gsm

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal79524 ай бұрын

    GSM kimekuramba😂😂😂

  • @robertphilip385
    @robertphilip3855 ай бұрын

    Ccm wanacheza na akili za watu ccm nikama shetani leo anakujahuyu anasema lake kesho mingine nakuja na utapeli wake watanzani msiposanuka na hi janja ya ccm utaisha kama wafuasi wa Kibwetere

  • @marymanoni5536

    @marymanoni5536

    4 ай бұрын

    Hachezi hata 😂😂😂 ww ndo unsjidangamya

  • @UfahamuwaKristo

    @UfahamuwaKristo

    4 ай бұрын

    Hapana Leo ndo nimegundua shida sio ccm shida ni watendaji tu sio waaminifu na sio wachapakazi

  • @hurumamsuya7122

    @hurumamsuya7122

    4 ай бұрын

    Kwamba watu hawasaidiwi?!!

  • @barackawithokiswaga2686

    @barackawithokiswaga2686

    4 ай бұрын

    Na wewe hebu peleka Upumbavu wako huko, kwahiyo unachotaka wewe ni kipi? Au wewe una uwezo wa kutatua hizo kero, basi tatua wewe tukuone! Kazi kujifanya wewe ndio mjuaji unataka nini wewe??

  • @Ernestlaiza

    @Ernestlaiza

    4 ай бұрын

    ​@@barackawithokiswaga2686wacha ufala tunataka katiba mpya

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily854 ай бұрын

    Jamani mshukuruni mwenyezimngu na rais na makonda kusimamiya haki za wanyongee…kuweni na dhanaa njemaaa wachanenii kulaumiyaaaanaa…duniya mapitoo.

Келесі