MWANANCHI AWAUMBUA VIONGOZI MBELE ya MAKONDA - ADAI WANAMPITISHA NJIA TOFAUTI ILI ASIONE MADUDU...

MWANANCHI AWAUMBUA VIONGOZI MBELE ya MAKONDA - ADAI WANAMPITISHA NJIA TOFAUTI ILI ASIONE MADUDU...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 77

  • @globaltv_online
    @globaltv_online5 ай бұрын

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @SaidaJumbe

    @SaidaJumbe

    29 күн бұрын

    Nime penda makonda anavyo tuangalia

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba3135 ай бұрын

    Mimi siwezi kuomba uongozi wa nchi aisee kumbe kazi ngumu hivi

  • @moriscollins4494

    @moriscollins4494

    5 ай бұрын

    Kabisa ku deal na watu ni shida mnoo yaani kuna muda unashindwa ufanyaje

  • @dastanjrk1811
    @dastanjrk18115 ай бұрын

    Makonda mpaka moyo wangu una uma nikiskia utetez wako nafatilia sana

  • @bminawandu
    @bminawandu5 ай бұрын

    Kweli nchi kuna watendaji kuna mahakama lakin haki amna

  • @ashnaom2270
    @ashnaom22705 ай бұрын

    Mbona ana ongea namkuu wakaz uku anaegama upande 😮

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl5 ай бұрын

    Viongozi wa Tanzania .. Ebuk7mbukeni. Kifo kwanza kwanini mnazurumasana Amuwaogopi Mungu nyie viongozi gani mnafaidika na familiar zenutu. Jiandaeni na kukutana na Allah

  • @kunsah2
    @kunsah25 ай бұрын

    Jamani ninyi wenyewe madaraka, Kuna Mungu aliye Hai Mbinguni, anawaona.

  • @Mkumbonywani-zf4kk
    @Mkumbonywani-zf4kk5 ай бұрын

    Hongera CCM kwa uteuzi wa katibu mwenezi shupavu na mzalendo kama huyu,ifike wakati sasa waaminini vijana wanaweza,VIVA MAKONDA LONG LIFE TO U

  • @johnkasuga3290
    @johnkasuga32905 ай бұрын

    Mh,Makonda Pole Sana,hawo ndio viongozi wa nchi Hii ambao hawajali haki za wananchi wao na bila kutatua migogoro yao,Mh,Makonda Safisha maovu hayo,na Mungu akujalie Afya na nguvu,,!!!

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p5 ай бұрын

    Makodaa nimekupenda. Bureee. Manguu namba 1

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q5 ай бұрын

    Wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya mimi naona hawana kazi wanakula mishahara ya bure tu

  • @MauFundiElectronics

    @MauFundiElectronics

    5 ай бұрын

    pamoja na wakurugenzi wote kazi hawana.

  • @SerapiusMligo-yp2cx
    @SerapiusMligo-yp2cx5 ай бұрын

    Safi makonda

  • @dastanjrk1811
    @dastanjrk18115 ай бұрын

    Mokonda nakuona ukiwa raisi wa jamhuli yaaaaaaaa tz Amin ipo siku

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k5 ай бұрын

    Huyo mama alishaanza kujizungusha apo chn mda na koti kake kekundu kama anaenda valentine 😂😂😂

  • @joshuaandrew386

    @joshuaandrew386

    5 ай бұрын

    😂😂😂

  • @Yomiyomi6897
    @Yomiyomi68975 ай бұрын

    Unachoweza kujifunza 1. Kuna uporaji mwingi wa ardhi 2.Kuna ujanja mwingi sana 3. Ardhi inabinafsishwa 4. Haki haipo 5. Umwamba unashamiri 6. Uonevu mtupu. Nchi inamwagika machozi

  • @Yomiyomi6897

    @Yomiyomi6897

    5 ай бұрын

    Magomvi ya ardhi ni mabaya. Viongozi msifunikefunike kombe kuhusu ardhi. Yatafunuka yote hayo. Tatueni migogoro iishe. Msiiweke kiporo. Kitatoa harufu ya uozo. Na itakuwa usaha wenye harufu. Kesi za ardhi ni mbaya. Angalia Biblia

  • @Yomiyomi6897

    @Yomiyomi6897

    5 ай бұрын

    Siyo siri. Huenda nyuma ya waporaji ardhi wapo GIANTS. Viongozi wanapokea tu maagizo. Wanakabwa na wananchi. Wanakabwa na GIANTS. Jichunguzeni huko juu. Mnawapa presha Wakurugenzi bureeee

  • @mpefu_4936
    @mpefu_49365 ай бұрын

    Malinda Hawa watendaji Wana viburi wanatupeleka wanavyotaka hata Arusha Bado Kuna mgogaro WA maji tunabambikwa Billi kubwa

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40545 ай бұрын

    Kuusu Ayo kwa makonda Ndio Umemuona Rais makonda ni MAKUFULI mtupu ni zege Alilari 😂😂😂

  • @RamaMg-vs5wq
    @RamaMg-vs5wq5 ай бұрын

    Inaitwa safisha njia 2025

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx5 ай бұрын

    Wakuu wamikoa na wilaya wanakula mishahara bre

  • @kristofuraha3369

    @kristofuraha3369

    5 ай бұрын

    Yani natamani hata wachapwe viboko! Pumbafu sana hao!😒😏

  • @emmanuelmlowe-ew7gx

    @emmanuelmlowe-ew7gx

    5 ай бұрын

    @@kristofuraha3369 wangefanya kazi malalamiko umati unaofuata makonda usingalikuwepo. Hata mahakama nimatapeli tu.kesi yakuamua siku moja watakuzungusha mpka uishiwe halafu atakaewahonga ndie anapewa haki hata kama sy haki yake.ndio maana wanafuata makonda kwasababu yy ni hapo kwahapo

  • @user-le7lh1ou2d
    @user-le7lh1ou2d5 ай бұрын

    HONGERA SANA RAIS SAMIA KUMCHAGUA MAKONDA

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-15075 ай бұрын

    Hakuna siku mwananchi atasema tunatendewa haki. Hata ufanyeje huwezi kumridhusha kwa asilimia mia moja.

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    5 ай бұрын

    Tatizo kubwa kutokufuata utaratibu...hakuna mifumo inayojiendesha au elimu ya raia haiwafikii wananchi

  • @moriscollins4494

    @moriscollins4494

    5 ай бұрын

    Uongozi wa watu bora uongoze mbuzi

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    5 ай бұрын

    @@moriscollins4494 ungezaliwa mbuzi... uongozi ni kazi, na wanaomba ridhaa kwa wananchi ili wachaguliwe..hata kazi za taaluma tunaomba wenyewe.. tupambane

  • @pvkanyorota264
    @pvkanyorota2644 ай бұрын

    Ardhi inatakiwa ikiwa tyr inaishi wananchi kabla hawajaishi kwanini msianzishe vichaka wanasubiro pana neema ndipo wawanyang'anye?

  • @SaidaJumbe
    @SaidaJumbe29 күн бұрын

    Tunateswa kweli makonda

  • @susananyasani6526
    @susananyasani65265 ай бұрын

    Kilimo ni muhimu bila kilimo hakuna Chakula asanteni sana Wananchi wa Kilimo

  • @mohamedwwnurumasagcom8171

    @mohamedwwnurumasagcom8171

    5 ай бұрын

    Kaka kwa taharifa yako nchi hii ina eneo kubwa la ardhi robo tatu ya ardhi aijaguswa ni mapori tunaweza kuwekeza kwenye kilimo na wananchi wakabaki na maeneo yao bila kuingiliwa

  • @AlexTulito
    @AlexTulito5 ай бұрын

    Kweli kura ipo baba ufanyi haya yote bure kuna kitu

  • @emmanuelmlowe-ew7gx

    @emmanuelmlowe-ew7gx

    5 ай бұрын

    Makonda hii ndiyo kazi yake sianalipwa?.

  • @nchumaTz
    @nchumaTz5 ай бұрын

    Ila serikali inafeli sana kwenye hifadhi, watu tumeshaongezeka bado mnaongeza hifadhi ili tulime wapi!!??

  • @kmipos
    @kmiposАй бұрын

    I thought it was only in my mother land Kenya where civil servants mistreat citizens hata watanzania pia hupitia hayo?

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter27705 ай бұрын

    Yaan Makonda inawezekana kuipenda ccm ila hawa watu watendajimlio waamin siyo.

  • @user-ks3gf7zn4y
    @user-ks3gf7zn4y5 ай бұрын

    Makonda miaka mia

  • @checknorisalex5187
    @checknorisalex51875 ай бұрын

    Ccm wote wandawazim tuuu acheni kiki ayooo mambo mnawapoteza TU wananchi wawaone ninyi watetezi

  • @emmanuelmlowe-ew7gx

    @emmanuelmlowe-ew7gx

    5 ай бұрын

    Wivu wann? Fanya nawewe upate wakakubaliana kama makonda.chadema hamna akili makonda akakimbiliwa na watu nyinyi yamewashinda mnakimbilia UN wakati hawana uwezo kuingilia serikali ya Tanzania. Chadema hawajitambui

  • @user-wh9zj7kf7h
    @user-wh9zj7kf7h5 ай бұрын

    Hata Mlowo wamemkimbiza kama mwenge😂😂

  • @magesachacha8596
    @magesachacha85965 ай бұрын

    kamanda umeogea vizuri sana

  • @user-hd6bx1uz9v
    @user-hd6bx1uz9v5 ай бұрын

    😮

  • @JudithFrad-nk1di
    @JudithFrad-nk1di5 ай бұрын

    Na machibula yumo

  • @MsimbeAbdul
    @MsimbeAbdul3 ай бұрын

    Huyu mtu mmm tuache tu ila hipo sikuu hapate nafasi ya juuu ya kutoa mahamuzi mazuri

  • @SaidaJumbe
    @SaidaJumbe29 күн бұрын

    Makonda tunateseka kweli wananchi

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx5 ай бұрын

    Halimashsuri na wakurugenzi waondolewe wezi watupu.wanakula kodi bre nakudhurum wananchi hasa wanyonge

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts5 ай бұрын

    Makonda baba...Makonda ni kiongozi mpenda haki..

  • @BizimanaDesire-cq9tr
    @BizimanaDesire-cq9tr5 ай бұрын

    kwr baba

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia70745 ай бұрын

    Huyo kamishna asaidiwe na wenzake kujibu..Hana jipya ,istoshe bila shaka Hana ndugu maeneo hayo!! Flsh

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula50155 ай бұрын

    Kbs km uyu dada anacho kiongea akina ht mashiko mana km wnaitaji eneo bc wjitaalishe kwanza na wjipange wakimtow mtu waakikishe wna walipa na wwpe pqhala pengine

  • @joshuamtindya8683
    @joshuamtindya86835 ай бұрын

    Huyo kamshina sijuw wa ardhi yaani hamna kitu hoja zote anazojibu

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege52155 ай бұрын

    Inamana wanyama nibola kuliko watu au siyo

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula50155 ай бұрын

    Yn serikal y ovyo sn mmnachujuwa maeneoa ya wananchi hamuawalipi nawakati walikuwa wnapata mazao hp ynasaidia htbkipato cha nchi ym ninupumbavu kbs

  • @maribaisack2097
    @maribaisack20975 ай бұрын

    Huyu jamaa wa mbalali akili kubwa sana ...gracious

  • @thomaschacha1527
    @thomaschacha15275 ай бұрын

    UK

  • @johnmukabila1805
    @johnmukabila18055 ай бұрын

    Mr. MAKONDA YEYE COPY YA HAYATI JOSEPH POMBE MAKUFULI KWELI CCM KIBOKO YAO...

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics5 ай бұрын

    Tukutane 2025 ndo tutajua hila makonda amekuja kivingine kwa akili ya kawaida wananchi wapo tayari kumchagu kwauongozi wowote.

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA5 ай бұрын

    CCM Ni Chama Changu Nakipenda Sana Lakini Kina Marazi , Watumishi Wa Halimashauri Na Watalamu Mpaka Wakurugenzi Wanaopelekwa Wamsaidie Wananchi Wanawaona Kama Sio Wenye Haki,Hali Tunalipa Kodi Na Wao Wananunaika Wanasiasa Tu Na Watumishi ,Sisi Wananchi Mnataka Tufe Kwakuwa Hatuna Elimu, Hospital Shida

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76865 ай бұрын

    NA AKUWATOWA HAPO JE ATAWAPELEKA WAPI?. HIVI HOA WATU WANAJUWA KAMA KUNAKIFO.

  • @masamakijames7837
    @masamakijames78375 ай бұрын

    Makonda nakupa ushauri huu umpelekee Rais-:Kila kiongozi aliyejambaza wananchi afukuzwe na kufilisiwa,maana pasipo hivyo wataendelea kujambaza na unapotoka hao wanaoshitaki wanabaki watabaki na lawama za ajabu

  • @user-qm3hb4sz7y
    @user-qm3hb4sz7y5 ай бұрын

    Makonda unafaa kua raisi kaka.

  • @salomepastory-kn1kh
    @salomepastory-kn1kh5 ай бұрын

    Hadi aibu

  • @checknorisalex5187
    @checknorisalex51875 ай бұрын

    Afu nao wananchi wanamfurahia makonda amekuja kusafisha chama iyo serikali ni ya ccm makonda ni ccm iyo mipango imefanywa na serikali wananchi elimikeni izo shangwe mlipiga sana kipindi Cha polojo za magufuri Leo mnaendelea na ayoayo Tanzania inawananchi wajinga sana

  • @hamzanangameta6243

    @hamzanangameta6243

    5 ай бұрын

    Toa suruhisho, kichwa kikubwa tuone na akili zako nyingi?

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab5 ай бұрын

    Tanzania Mpaka Intaneti Kelo Tupu Weifa Za Tz Azina Mchango Kama Ivi Habari Za Taifa Tunazicheki Kwa Tabu Tupu Video Azipley Ziko Zinatetema Bila Sababu Ukiuliza Wanalipa Kodi Sasa Kama Kodi Na Uduma Mbaya Na Watu Wanalipa BM Apo Vipi Atupigwi

  • @josephjulio6112
    @josephjulio61125 ай бұрын

    Hawa vichaa kabisa

  • @salomepastory-kn1kh
    @salomepastory-kn1kh5 ай бұрын

    Lazima tukupe urais

  • @mpefu_4936
    @mpefu_49365 ай бұрын

    Tufanye ujambazi tu hili tuishi

  • @mkandaabushiri5382
    @mkandaabushiri53825 ай бұрын

    NAMUONA MAKONDA MBELE KWA MIAKA KUMI IJAYO ANAWEZA KUJA KUPATA NAFASI YA KUIONGOZA MCHI HII KAMA RAIS .(Anacho kifanya sasa kwenye mikutano yake ndio tulitegemea viongozi tulio wachagua na walio teuliwa wangefanya aya katika kutatua shida za wanamchi wao wamengangana maofsini tu badae watamtafuta mchawi MAKONDA ndio anawaachaivyo.

  • @hafsamnenga1942
    @hafsamnenga19425 ай бұрын

    Nafatilia...Sana Makonda Mungu akubariki njama zao zifeli kwako Mungu akulinde,

  • @albanohokororo1729
    @albanohokororo17295 ай бұрын

    Masala kama haya ni ya serekali na sio ya mtu mmoja

Келесі