MWANANCHI AWAUMBUA VIONGOZI MBELE ya MAKONDA - ADAI WANAMPITISHA NJIA TOFAUTI ILI ASIONE MADUDU...
MWANANCHI AWAUMBUA VIONGOZI MBELE ya MAKONDA - ADAI WANAMPITISHA NJIA TOFAUTI ILI ASIONE MADUDU...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 77
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@SaidaJumbe
29 күн бұрын
Nime penda makonda anavyo tuangalia
Mimi siwezi kuomba uongozi wa nchi aisee kumbe kazi ngumu hivi
@moriscollins4494
5 ай бұрын
Kabisa ku deal na watu ni shida mnoo yaani kuna muda unashindwa ufanyaje
Makonda mpaka moyo wangu una uma nikiskia utetez wako nafatilia sana
Kweli nchi kuna watendaji kuna mahakama lakin haki amna
Mbona ana ongea namkuu wakaz uku anaegama upande 😮
Viongozi wa Tanzania .. Ebuk7mbukeni. Kifo kwanza kwanini mnazurumasana Amuwaogopi Mungu nyie viongozi gani mnafaidika na familiar zenutu. Jiandaeni na kukutana na Allah
Jamani ninyi wenyewe madaraka, Kuna Mungu aliye Hai Mbinguni, anawaona.
Hongera CCM kwa uteuzi wa katibu mwenezi shupavu na mzalendo kama huyu,ifike wakati sasa waaminini vijana wanaweza,VIVA MAKONDA LONG LIFE TO U
Mh,Makonda Pole Sana,hawo ndio viongozi wa nchi Hii ambao hawajali haki za wananchi wao na bila kutatua migogoro yao,Mh,Makonda Safisha maovu hayo,na Mungu akujalie Afya na nguvu,,!!!
Makodaa nimekupenda. Bureee. Manguu namba 1
Wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya mimi naona hawana kazi wanakula mishahara ya bure tu
@MauFundiElectronics
5 ай бұрын
pamoja na wakurugenzi wote kazi hawana.
Safi makonda
Mokonda nakuona ukiwa raisi wa jamhuli yaaaaaaaa tz Amin ipo siku
Huyo mama alishaanza kujizungusha apo chn mda na koti kake kekundu kama anaenda valentine 😂😂😂
@joshuaandrew386
5 ай бұрын
😂😂😂
Unachoweza kujifunza 1. Kuna uporaji mwingi wa ardhi 2.Kuna ujanja mwingi sana 3. Ardhi inabinafsishwa 4. Haki haipo 5. Umwamba unashamiri 6. Uonevu mtupu. Nchi inamwagika machozi
@Yomiyomi6897
5 ай бұрын
Magomvi ya ardhi ni mabaya. Viongozi msifunikefunike kombe kuhusu ardhi. Yatafunuka yote hayo. Tatueni migogoro iishe. Msiiweke kiporo. Kitatoa harufu ya uozo. Na itakuwa usaha wenye harufu. Kesi za ardhi ni mbaya. Angalia Biblia
@Yomiyomi6897
5 ай бұрын
Siyo siri. Huenda nyuma ya waporaji ardhi wapo GIANTS. Viongozi wanapokea tu maagizo. Wanakabwa na wananchi. Wanakabwa na GIANTS. Jichunguzeni huko juu. Mnawapa presha Wakurugenzi bureeee
Malinda Hawa watendaji Wana viburi wanatupeleka wanavyotaka hata Arusha Bado Kuna mgogaro WA maji tunabambikwa Billi kubwa
Kuusu Ayo kwa makonda Ndio Umemuona Rais makonda ni MAKUFULI mtupu ni zege Alilari 😂😂😂
Inaitwa safisha njia 2025
Wakuu wamikoa na wilaya wanakula mishahara bre
@kristofuraha3369
5 ай бұрын
Yani natamani hata wachapwe viboko! Pumbafu sana hao!😒😏
@emmanuelmlowe-ew7gx
5 ай бұрын
@@kristofuraha3369 wangefanya kazi malalamiko umati unaofuata makonda usingalikuwepo. Hata mahakama nimatapeli tu.kesi yakuamua siku moja watakuzungusha mpka uishiwe halafu atakaewahonga ndie anapewa haki hata kama sy haki yake.ndio maana wanafuata makonda kwasababu yy ni hapo kwahapo
HONGERA SANA RAIS SAMIA KUMCHAGUA MAKONDA
Hakuna siku mwananchi atasema tunatendewa haki. Hata ufanyeje huwezi kumridhusha kwa asilimia mia moja.
@josephlorri431
5 ай бұрын
Tatizo kubwa kutokufuata utaratibu...hakuna mifumo inayojiendesha au elimu ya raia haiwafikii wananchi
@moriscollins4494
5 ай бұрын
Uongozi wa watu bora uongoze mbuzi
@josephlorri431
5 ай бұрын
@@moriscollins4494 ungezaliwa mbuzi... uongozi ni kazi, na wanaomba ridhaa kwa wananchi ili wachaguliwe..hata kazi za taaluma tunaomba wenyewe.. tupambane
Ardhi inatakiwa ikiwa tyr inaishi wananchi kabla hawajaishi kwanini msianzishe vichaka wanasubiro pana neema ndipo wawanyang'anye?
Tunateswa kweli makonda
Kilimo ni muhimu bila kilimo hakuna Chakula asanteni sana Wananchi wa Kilimo
@mohamedwwnurumasagcom8171
5 ай бұрын
Kaka kwa taharifa yako nchi hii ina eneo kubwa la ardhi robo tatu ya ardhi aijaguswa ni mapori tunaweza kuwekeza kwenye kilimo na wananchi wakabaki na maeneo yao bila kuingiliwa
Kweli kura ipo baba ufanyi haya yote bure kuna kitu
@emmanuelmlowe-ew7gx
5 ай бұрын
Makonda hii ndiyo kazi yake sianalipwa?.
Ila serikali inafeli sana kwenye hifadhi, watu tumeshaongezeka bado mnaongeza hifadhi ili tulime wapi!!??
I thought it was only in my mother land Kenya where civil servants mistreat citizens hata watanzania pia hupitia hayo?
Yaan Makonda inawezekana kuipenda ccm ila hawa watu watendajimlio waamin siyo.
Makonda miaka mia
Ccm wote wandawazim tuuu acheni kiki ayooo mambo mnawapoteza TU wananchi wawaone ninyi watetezi
@emmanuelmlowe-ew7gx
5 ай бұрын
Wivu wann? Fanya nawewe upate wakakubaliana kama makonda.chadema hamna akili makonda akakimbiliwa na watu nyinyi yamewashinda mnakimbilia UN wakati hawana uwezo kuingilia serikali ya Tanzania. Chadema hawajitambui
Hata Mlowo wamemkimbiza kama mwenge😂😂
kamanda umeogea vizuri sana
😮
Na machibula yumo
Huyu mtu mmm tuache tu ila hipo sikuu hapate nafasi ya juuu ya kutoa mahamuzi mazuri
Makonda tunateseka kweli wananchi
Halimashsuri na wakurugenzi waondolewe wezi watupu.wanakula kodi bre nakudhurum wananchi hasa wanyonge
Makonda baba...Makonda ni kiongozi mpenda haki..
kwr baba
Huyo kamishna asaidiwe na wenzake kujibu..Hana jipya ,istoshe bila shaka Hana ndugu maeneo hayo!! Flsh
Kbs km uyu dada anacho kiongea akina ht mashiko mana km wnaitaji eneo bc wjitaalishe kwanza na wjipange wakimtow mtu waakikishe wna walipa na wwpe pqhala pengine
Huyo kamshina sijuw wa ardhi yaani hamna kitu hoja zote anazojibu
Inamana wanyama nibola kuliko watu au siyo
Yn serikal y ovyo sn mmnachujuwa maeneoa ya wananchi hamuawalipi nawakati walikuwa wnapata mazao hp ynasaidia htbkipato cha nchi ym ninupumbavu kbs
Huyu jamaa wa mbalali akili kubwa sana ...gracious
UK
Mr. MAKONDA YEYE COPY YA HAYATI JOSEPH POMBE MAKUFULI KWELI CCM KIBOKO YAO...
Tukutane 2025 ndo tutajua hila makonda amekuja kivingine kwa akili ya kawaida wananchi wapo tayari kumchagu kwauongozi wowote.
CCM Ni Chama Changu Nakipenda Sana Lakini Kina Marazi , Watumishi Wa Halimashauri Na Watalamu Mpaka Wakurugenzi Wanaopelekwa Wamsaidie Wananchi Wanawaona Kama Sio Wenye Haki,Hali Tunalipa Kodi Na Wao Wananunaika Wanasiasa Tu Na Watumishi ,Sisi Wananchi Mnataka Tufe Kwakuwa Hatuna Elimu, Hospital Shida
NA AKUWATOWA HAPO JE ATAWAPELEKA WAPI?. HIVI HOA WATU WANAJUWA KAMA KUNAKIFO.
Makonda nakupa ushauri huu umpelekee Rais-:Kila kiongozi aliyejambaza wananchi afukuzwe na kufilisiwa,maana pasipo hivyo wataendelea kujambaza na unapotoka hao wanaoshitaki wanabaki watabaki na lawama za ajabu
Makonda unafaa kua raisi kaka.
Hadi aibu
Afu nao wananchi wanamfurahia makonda amekuja kusafisha chama iyo serikali ni ya ccm makonda ni ccm iyo mipango imefanywa na serikali wananchi elimikeni izo shangwe mlipiga sana kipindi Cha polojo za magufuri Leo mnaendelea na ayoayo Tanzania inawananchi wajinga sana
@hamzanangameta6243
5 ай бұрын
Toa suruhisho, kichwa kikubwa tuone na akili zako nyingi?
Tanzania Mpaka Intaneti Kelo Tupu Weifa Za Tz Azina Mchango Kama Ivi Habari Za Taifa Tunazicheki Kwa Tabu Tupu Video Azipley Ziko Zinatetema Bila Sababu Ukiuliza Wanalipa Kodi Sasa Kama Kodi Na Uduma Mbaya Na Watu Wanalipa BM Apo Vipi Atupigwi
Hawa vichaa kabisa
Lazima tukupe urais
Tufanye ujambazi tu hili tuishi
NAMUONA MAKONDA MBELE KWA MIAKA KUMI IJAYO ANAWEZA KUJA KUPATA NAFASI YA KUIONGOZA MCHI HII KAMA RAIS .(Anacho kifanya sasa kwenye mikutano yake ndio tulitegemea viongozi tulio wachagua na walio teuliwa wangefanya aya katika kutatua shida za wanamchi wao wamengangana maofsini tu badae watamtafuta mchawi MAKONDA ndio anawaachaivyo.
Nafatilia...Sana Makonda Mungu akubariki njama zao zifeli kwako Mungu akulinde,
Masala kama haya ni ya serekali na sio ya mtu mmoja