MADUDU ya KUTISHA YAFICHUKA! MKURUGENZI BILA HOFU AMWAMBIA YOTE MAKONDA - WATUMISHI WAMEPIGA PESA

MADUDU ya KUTISHA YAFICHUKA! MKURUGENZI BILA HOFU AMWAMBIA YOTE MAKONDA - WATUMISHI WAMEPIGA PESA
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 220

  • @casseverria4625
    @casseverria46255 ай бұрын

    Alafu Nay wa Mitego akiimba mwamuburuza BASATA mwamfungia nyimbo zake😅😅😅😅😅

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    5 ай бұрын

    Kwel kabisaa yana muonea tuu majitu yana tuibia sana

  • @DeusKileo

    @DeusKileo

    5 ай бұрын

    Yawezekana wale ney alowaimba ndo wanamsweka ndan wakishirikiana na basata

  • @aminielyusufu4351
    @aminielyusufu43515 ай бұрын

    Kaka MUNGU wetu wa Isaka, Ibrahim & Yakobo akulinde Mhe. Makonda. Una kazi kubwa mbele kaka yangu. Mungu akulinde tu

  • @LovelyEarth-yn2hb

    @LovelyEarth-yn2hb

    5 ай бұрын

  • @ProsistaTarimo

    @ProsistaTarimo

    5 ай бұрын

    Mungu amlinde wasimuue maana Hawa watu nao ni shida. Walimuua magu sembuse

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana33535 ай бұрын

    Hongera mkurugenz na Mnec aongezewe nguvu Ccm inogile

  • @sheckycobb5240
    @sheckycobb52405 ай бұрын

    Makonda take care na Mungu akulipe

  • @MrishoMalango
    @MrishoMalango4 ай бұрын

    Mungu akulinde sana kiongoz wetu

  • @hajihassan5433
    @hajihassan54335 ай бұрын

    Ziara za Mhe. Makonda zinadhihirisha kuwa Watanzania wana shida kuliko maelezo. Wako wapi viongozi RC,DC nk?

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard40315 ай бұрын

    Sasa hizi mambo kama hujaonana na makonda ndio basi

  • @SayyidAhmadBaalawy
    @SayyidAhmadBaalawy5 ай бұрын

    Hii filamu Haitaisha kwakweli Makonda starring Na Mkanda wakuendelea Mpaka kieleweke! Fuatilia tu mikanda hii haimaliziki.

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola17545 ай бұрын

    Mkurugenzi maua yako🌼🌼🌹💐🌺🥀🌹

  • @saidimketo6708
    @saidimketo67085 ай бұрын

    Makonda ww kweli mtoto wa maskini unajua shida za watanzani kwenye hiyo serikali yako kama mtawajibika kama unavyofanya ww mtalaishia kazi mama kabisa masikini mama anapambana lkn kuna viongozi ni majizi kupita kiasi daah😢😢😢

  • @SebaMbilinyi

    @SebaMbilinyi

    Ай бұрын

    J

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala32135 ай бұрын

    Pongezi sana kwa kuweka maisha rehani

  • @user-wu2du6jy5c
    @user-wu2du6jy5c5 ай бұрын

    Makonda wew nikiongozi tuko nyuma yako mungu akufanyie wepesi

  • @user-dl5mh8vl1u
    @user-dl5mh8vl1u5 ай бұрын

    Hongera sana Mkurugenzi 💪

  • @user-me3dy9zk7e
    @user-me3dy9zk7e5 ай бұрын

    Mkurugenzi huyo mshikirieni yuko vizuri sana pia

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye44885 ай бұрын

    Mkurugenzi hongera sana kweli unauwezo makubwa umeonesha usomi wako hakika hiyo halimashauri Ina mtu hata tingisha kichwa umetema cheche nimependa ujasiri wako

  • @rynerlinuma8484

    @rynerlinuma8484

    5 ай бұрын

    Ni kweli kaonesha ujasiri...lakini je, yote alosema ni sahihi? Ukiwa huidai wewe Halmashauri au Serikali unawezaona ni sawa tu. Imagine mtu kakopa nondo tani 25...then mtu halipwi. Unaambiwa kiurahisi tu kuanzia 01.07.2024. Ujue hiyo sio exact maana hadi pesa iletwe. Na pesa haziletwi hiyo tarehe..ifikie mwezi October vifungu ndio vinafunguliwa...mtu kasupply Oct. 2023. Huu ni uhovyo

  • @aminaabdulghanim8256
    @aminaabdulghanim825610 күн бұрын

    Mashallah kazi nzuri muheshimiwa ❤ kusafisha ufisadi. Hivi kufanya uadilifu ni kazi ngumu? ogopeni Mungu.

  • @adamjosephkatigizu19
    @adamjosephkatigizu195 ай бұрын

    Ee, Mwenyezi Mungu mlinde kiongozi we Paul Makonda zidi ya maadui wasimzuru

  • @johnmamilo1326
    @johnmamilo13265 ай бұрын

    Nimefurahi sana kuona ujasiri wa mwalimu wangu wa chuo @Chaurembo. Mungu akulinde sana

  • @rosemarykipesha4242

    @rosemarykipesha4242

    4 ай бұрын

    Anajiamini Hadi raha

  • @batilda4920
    @batilda49205 ай бұрын

    viongozi wanakula Hela sana mama anajitaidi sna kutoa pesa kuleta maendeleo lkn viongozi wanapiga ela Kodi zetu hizo wanakula.

  • @benjaminmiselya2622

    @benjaminmiselya2622

    5 ай бұрын

    SAMIA kasema kula kwa urefu wa kamba yake

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    5 ай бұрын

    ​@@benjaminmiselya2622HAJA MAANISHA UIBE JUWA KISWAHILI VIZURI HUWEZI KUWA MKUU WA WILAYA NA KUTAKA MAISHA KAMA YA MKUU WA MKOWA HIYO NDIO MAANA YAKE.

  • @josephwilliammnyune5464

    @josephwilliammnyune5464

    5 ай бұрын

    Hao viongozi wamewekwa na nani? Na huyo anaeambiwa matatizo hayo ni nani? Miaka ya uchaguzi hii, tutaona mengi.

  • @MSOMBAAlon-gh3ps
    @MSOMBAAlon-gh3ps5 ай бұрын

    Mheshimiwa makonda umeyaona hayo madudu ni tabu sana wananchi tunatekeseka sana .

  • @user-dl5mh8vl1u
    @user-dl5mh8vl1u5 ай бұрын

    Baada ya maelezo ya Mkurugenzi kelele zote chaliiiii,proud of you Chaulembo

  • @salmanmagwe2612
    @salmanmagwe26125 ай бұрын

    Huyu Mkurugenzi dada Chaurembo ni hodari mno na anafaa kuongoza Idara kubwa zaidi kwani ni mfuatiliaji mzuri sana na ni mzalendo.

  • @gallusmbaga5522

    @gallusmbaga5522

    5 ай бұрын

    Ila anaposema ataanza kulipa mwezi wa Saba akumbuke mikataba ina kipengele Cha RIBA kwa malipo yaliyocheleweshwa. Ninashauri akae na hao wafanyabiashara wakubaliane ili kusogeza muda Hadi huko mwezi wa Saba vinginevyo riba itahusika.

  • @RamlahNassoro

    @RamlahNassoro

    5 ай бұрын

    Yaani yuko vizuri maa shaa Allaah na mtu mwengine anaitwa Subira mgalu yaani Kuna wadada wapo vizuri kiuongozi

  • @gatuna6
    @gatuna65 ай бұрын

    Makonda kila ukiona mtuhumiwa amepatikana na maskosa unamwachisha kazi. Hadharani aondoke hadharani. Hapo ndipo tutakapo komesha wa hujumu uchumi. Wa Tanzania.

  • @MauFundiElectronics

    @MauFundiElectronics

    5 ай бұрын

    Facts facts ukweli kabisa

  • @rajabusaimon7662
    @rajabusaimon76625 ай бұрын

    Makonda ukimaliza ziala kaa na chama chako waambie kumaliza haya matatizo viongozi wote wa mkoa wachaguliwe na wananchi sio kuteuwa mtu ambae hajui uchungu wa eneo husika

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo17355 ай бұрын

    Yani wanawanyanyasa sn wafanyabiashara

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi79885 ай бұрын

    Makonda nimeona Magufuli wapili mungu akubariki kaka yangu, from Congo 🇨🇩 to Sweden 🇸🇪.

  • @flavianfrank6256
    @flavianfrank62565 ай бұрын

    Ukweli mungu atuhurumie sana

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro55885 ай бұрын

    Piga kazi makonda utembee usikae chini tena inuka nao mwanzo mwisho

  • @rehemahussein3307
    @rehemahussein33075 ай бұрын

    Hongera sana DED Msomi hakika unaweza

  • @josephmkami
    @josephmkami5 ай бұрын

    Hongera Mkurugenzi kwa majibu na kwa kujiamini

  • @shabaniramadhani8891
    @shabaniramadhani88915 ай бұрын

    Mwamba ana mizimu ya Magufuli

  • @jamalimussa4928

    @jamalimussa4928

    5 ай бұрын

    😂😂

  • @salumuhassani590
    @salumuhassani5905 ай бұрын

    Huyu DED katokea wilaya yetu ya Nanyumbu ingawa hapa alikua mkuu wa wilaya, kiukweli huyu mama yupo vizuri saana, alibadilishiwa majukumu kutoka kua mkuu wa wilaya na kwenda kua mkurugenzi kiukweli tulimpenda saana kiongozi wetu

  • @ephrahimalfaxard4134
    @ephrahimalfaxard41345 ай бұрын

    Nimekupenda Sana dadangu macho manne

  • @edwinogega267
    @edwinogega2675 ай бұрын

    How i wish things were working this way in Kenya...we could have gone far by far lakini ZAKAYO RUTO NAYE NI NANI. MUNGU SAIDIA KENYA 🇰🇪

  • @donaldmwahalende4841

    @donaldmwahalende4841

    5 ай бұрын

    Hahahaha

  • @shaamemchauru1365

    @shaamemchauru1365

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @jasiriintertainer4600

    @jasiriintertainer4600

    5 ай бұрын

    Zakayo bado anasumbuana na mahakama,anataka wafwate yote yake hata kama ni mbaya

  • @musiomiemmanuel2418

    @musiomiemmanuel2418

    5 ай бұрын

    Utaambiwa wacha kukuja kwa mkutano wa rais kupiga kelele 😂

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi18785 ай бұрын

    Ukiwa na DED msomi na anajiamini kama huyu, hadi raha

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed97613 күн бұрын

    Makonda oyeeeeee M/mungu akusimamie Kila atua unayo piga 🌹

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita29955 ай бұрын

    Mkurugenzi yuko vizur sana ila hao wengine mtihani

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye44885 ай бұрын

    Nafuu makonda umekiri uzito wa mzigo we ni mwanaume kweli na mwazi

  • @koletakilasa5988
    @koletakilasa59885 ай бұрын

    Makonda umenipa imani yakuishi barikiwa sanaaaa ila baba ninashida namtaji

  • @UfahamuwaKristo

    @UfahamuwaKristo

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-gi2sf9sm8t

    @user-gi2sf9sm8t

    Ай бұрын

    😅😅

  • @neemanziku5403
    @neemanziku54035 ай бұрын

    Yan viongoz wore wangekuwa kama mh Makonda nchi ingekuwa na adabu sana

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu50254 ай бұрын

    Mkurugenzi safi sana

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye44885 ай бұрын

    Waumbue hivyo hivyo nchi iko icu

  • @user-uc8ei8kn3l

    @user-uc8ei8kn3l

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ephrahimalfaxard4134
    @ephrahimalfaxard41345 ай бұрын

    Kosa walilolifanya ni kuniteua Mimi kuwa mwenez❤

  • @user-ii6gs2jg4g

    @user-ii6gs2jg4g

    4 ай бұрын

    Hakika umeonaeee😂😂😂😂

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles93985 ай бұрын

    Hapo ndio napata picha Kuna wale ambao wasijuwa kuongea sijui wanaishi vipi ? Pesa Yako umekopa umefanya Biashara halafu hulipwi

  • @user-uc8ei8kn3l

    @user-uc8ei8kn3l

    5 ай бұрын

    Yaani

  • @DiniMwambashi
    @DiniMwambashi5 ай бұрын

    Kaka fanya kazi pamoja sana

  • @Japhary-sx3je
    @Japhary-sx3je5 ай бұрын

    Mkulungenzi upo vizuri

  • @RamlahNassoro

    @RamlahNassoro

    5 ай бұрын

    Huyu kiumbe ana khatar anaitwa Mariam khatibu chaurembo maa Shaa Allaah ana moyo mwema huyu kiumbe namfahamu vizuri

  • @NestoryMwezimpya-bc7th
    @NestoryMwezimpya-bc7th5 ай бұрын

    Makonda tutaendelea kumuombea mungu atakulinda na kukupa afia njema Ili uendelee kufanya kazi ya kutusaidia watanzania lakini tunaoma mwenyezi mungu ampe laisi moyo wa kuendelea kukupa sapoti kubwa zaidi na viongozi wa ccm waendelee kuku kapani mungu akubaliki sana

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76865 ай бұрын

    HIVI HIZI COMPUTER ZOOOOTE ZINAZONUNULIWA KWENYE MAOFISI ZIBAFANYA KAZI GANI?. MNAHAKIKI NINI NA KUMBUKUMBU ZOTE ZINAHIVAZIWA KWENYE COMPUTER? . HIVI MBONA MKO HIVI?

  • @doreenshangarai6941

    @doreenshangarai6941

    5 ай бұрын

    Na kweli

  • @RogerMsaky-de3gi
    @RogerMsaky-de3gi5 ай бұрын

    Nimegundua wananchi wanaichukia serikali kwa mambo ya kipuuz Kama haya

  • @sheckycobb5240

    @sheckycobb5240

    5 ай бұрын

    Sababu ya watendaji wabovu

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita29955 ай бұрын

    Mkurugenzi yuko vizur

  • @allyfutto8763
    @allyfutto87635 ай бұрын

    Makonda anahudumia wananchi ipaswavyo Nchi inajengwa na wananchi ni bora sana anavyofanya mheshimiwa makonda kushirikiana na wananchi kutatuwa kero amerithi mbinu mbadala wa kupambana na UFISADI 🇹🇿

  • @user-ki3gt6gy1l
    @user-ki3gt6gy1l5 ай бұрын

    Mama wambiye viongozi wote waje kwenye mkutano ya makonda wajibu utaona tanzania itakwenda tuu watanzania niwengi waliyo nyuma yako viongozi wachache

  • @user-jt1eb6bm9g
    @user-jt1eb6bm9g5 ай бұрын

    Haya ni maajabu ya Dunia yafaa yaingie kwenye Genes book😢 hiyo shule inayojengwa kwa bilioni nne ni Kijiji au! Wananchi wanakatwa Kodi tena kwa kwamba shingoni, Kuna watu nchi hii kwenye jamii Wana matatizo ya hatari; kama Afya, Elimu nk. Kuna shule za msingi huko vijijini utadhani ni mabanda ya kufugia nguruwe kwa jinsi yalivyochakaa: kama Kuna anayebisha aende shule ya msingi kombo mkoani Kilimanjaro pale kibosho mtaona😮 Leo hii watu wanapewa bilioni nne na wanasema hazitoshi. Waziri wa Elimu atembelee shule za msingi za vijijini mkoani Kilimanjaro aone maajabu ya Dunia

  • @sheckycobb5240

    @sheckycobb5240

    5 ай бұрын

    Hyo bilion me hata mi sikubali, shule moja ya msingi mi milioni 328 tu inaisha madarasa 9

  • @user-wy9bm8sh3n
    @user-wy9bm8sh3n5 ай бұрын

    Nice

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani11864 ай бұрын

    Sasa mtu anafanya kosa la wizi unamuhamishia idara nyingine😮 kweli hii ni sawa😮

  • @sositenesssabuni2480
    @sositenesssabuni24805 ай бұрын

    Ndio maana mafundi wengi hua hatupendi kuifanya kazi zao sababu malipo ndio kama hivyo Bora kufanya kazi kwa mchina.

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga25135 ай бұрын

    Miaka yote uyu mwamba alikuwa wapi

  • @ephrahimalfaxard4134

    @ephrahimalfaxard4134

    5 ай бұрын

    Walikificha kipaj chake Sasa kimeibuka hadharan, japo anayalisk maisha yake!

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani11864 ай бұрын

    Yaani ni washenzi tu na Wana roho mbaya sana

  • @user-fu6rl3dp5x
    @user-fu6rl3dp5x5 ай бұрын

    Mahakama zifutwe /Makonda anatosha

  • @judicalosika7642

    @judicalosika7642

    5 ай бұрын

    🤣🤣🤣

  • @kibwetere1418
    @kibwetere14185 ай бұрын

    Kwakweli huyu jamaa anasaidia sana!!

  • @tintz3157
    @tintz31575 ай бұрын

    Piga kazi baba Keegan wewe ni Raisi ajaye awamu ya Nane (8) Mungu akulinde

  • @user-ji6fu9lo2g
    @user-ji6fu9lo2g5 ай бұрын

    Makonda umejua kuwaonyesha

  • @user-qg1wf8he7u
    @user-qg1wf8he7u3 ай бұрын

    Watu engine wanaishi kwe nye mingogo ya wt muheshimiwa pasua majipu

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy15235 ай бұрын

    Makonda mungu akubariki 🤲 hii nchi hata sie wanawake hatufai unatetea madudu😅😅

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985Ай бұрын

    Dada chaurembo ❤

  • @siliviamushi4119
    @siliviamushi41192 ай бұрын

    Ajamani hawa watu wanawaonea sanaa wanyenge jmn

  • @susananyasani6526
    @susananyasani65264 ай бұрын

    Kuachicha Mtu kazi au kumfukuza kazi je watoto wa hizo Familia watakula nini ? Oni langu nikuwaonya Wananchi kufanya kazi kwa uaminifu asante

  • @rogersiddy
    @rogersiddy5 ай бұрын

    Dada unazingua sana yaan mtu awe mzarendo kwakuvumilia kwa pesa yake ya bishara wewe unaweza kuwa mfano wa uzarendo mshahara wako uingie kwenye mipango ya mji wa Tunduma? acheni ubabaishaji bhana upumbavu mtupu

  • @user-qg1wf8he7u
    @user-qg1wf8he7u3 ай бұрын

    Wt anapewa madalaka kwa faida yao

  • @susananyasani6526
    @susananyasani65265 ай бұрын

    Super mamusi mazuri kutok kwa Mheshimiwa Makonda

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d3 ай бұрын

    Wanatakiwa wote wawe kama makonda maana yupo arusha tu

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga75 ай бұрын

    Kuwa waziri mkuu tuwanyooshe

  • @JeyJeydoctar-gq1bw
    @JeyJeydoctar-gq1bw5 ай бұрын

    Yani makonda anajua sana shida za watanzania wengine mnafanya nini kama hapa pesa zinatumika ovyo na viongoz wapo likn wapo tuu kimya sasa MAKONDA akifanya kweli binge msione wivu kaa kimyaa

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa9615 ай бұрын

    Mmmhhh haya

  • @EdwardMasai
    @EdwardMasai3 ай бұрын

    Arudishwe makondo ccm uenezi atumbue wanaonyanyasa wanyonge

  • @robatigodfrey4847
    @robatigodfrey48473 ай бұрын

    kiukweli watu wanatamanikiwa na viongozi wa namna hii viongozi wanao tetea kero za wananchi kwanamna hii...makonda wewe niongozi viongozi wengine wanaitajika kijifunza kwa utendaji wa namna hii

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi76355 ай бұрын

    Duh ! ! Mama Tz, wanakusaliti kwa kukutafuna ili ufe kabisa?

  • @sponsertv5039
    @sponsertv50395 ай бұрын

    Mh Dr Samia Suruh hasan, endapo ikatokea wakamuua mh makonda naomba uniteue mimi tuone kama na mm wataniweza.

  • @PureSoul-rf4xd

    @PureSoul-rf4xd

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray2775 ай бұрын

    Eti imeendaaahyoooooo😅

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8uiАй бұрын

    Bilioni nne ni gorofa la nchi gani ?

  • @bugybuster5788
    @bugybuster57885 ай бұрын

    MUNGU akubarik makonda

  • @dianageorge1805
    @dianageorge18055 ай бұрын

    Utunzwe na Yesu Makonda, vilio ni vyingi kwetu wafanya biashara tumefilisika kupitia uzabuni, Halmashauri hazilipi....Mimi naida tokea 2013 mpka Sasa sijalipwa

  • @allyfutto8763
    @allyfutto87635 ай бұрын

    Mafisadi watamchukia sana Makonda wapo tayari kumuuwa ili waendelee Ufisadi kama walivyomuuwa a JPM😭🇹🇿

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira65935 ай бұрын

    Hakuna ulaji wa hela kama ulivyo mawilayani, wanapiga hela kama juu😂😂 Sio Tunduma tu ni wilaya zote

  • @kristopapaapaulo811
    @kristopapaapaulo8114 ай бұрын

    Hii imeenda😂😂😂😂😂

  • @titusrobert5890
    @titusrobert58905 ай бұрын

    Makonda anafahamu mengi

  • @leilabuisha9976
    @leilabuisha99765 ай бұрын

    Fukuza wote hao ni wezi

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk5 ай бұрын

    Takukuru kazi yao Nini sasa kwa hoja hizo za kisanii ,!

  • @abhambomihambo6754

    @abhambomihambo6754

    5 ай бұрын

    Hao Takukuru wenyewe sio waadilifu wapo wapo tuu.

  • @martinabayyo9982
    @martinabayyo99825 ай бұрын

    Makonda Mungu akulinde jamani

  • @Charleslsk
    @Charleslsk5 ай бұрын

    I believe in you makonda❤❤❤❤

  • @kimangu1
    @kimangu15 ай бұрын

    Kumbe wananchi wengi wananyaswa kiasi hiki tusubirini kwenye sanduku la Kira,KATIBA mpya Ni Sasa na time huru

  • @user-cn1dj2mn7k
    @user-cn1dj2mn7k5 ай бұрын

    Makonda iko kazi. Watendeji wa serikali baadhi ni dhaifu. Abisa na ni maadui wa CHAMA CHETU.

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani11864 ай бұрын

    Na wanafanya hivyo ni kwasababu hawachukuliwi hatua

  • @jumarajabu1624
    @jumarajabu16245 ай бұрын

    Makonda kwanini usiwe raisi tuuu moja Kwa moja upo vizuri

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics5 ай бұрын

    MAKONDA AKIJA MKOA WA PWANI WILAYA YA KIBITI VIONGOZI WATAKUFA KWA PRESHA MAANA KUNA MADUDU HATARI. kwaiyo mgeni njoo mgeni ashibe karibu mkoa wa pwani.

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8uiАй бұрын

    Mnachambua ni mchele huo?

  • @JeyJeydoctar-gq1bw
    @JeyJeydoctar-gq1bw5 ай бұрын

    Kama hapa jaman huu mgogolo unamfikia MAKONDAA unataka kusema wabunge na mkuu wa mkoa mkuu wa wilaya hawapooooo?jib ni uzembe tuu piga chini wote mpaka wanakela mno

  • @faustinombilinyi9809

    @faustinombilinyi9809

    4 ай бұрын

    Wakupiga chini NI Samia au Nani maana NIKIKUMBUKA magufuli alikuwa anafuatilia ziara km hizi ikitokea kaona madudu jion kwenye habari unakuta katengua uteuzi

  • @EdwardMasai
    @EdwardMasai3 ай бұрын

    Safisanamakondo kwa kutumia mafisadi

  • @SmilingHot-AirBalloons-em3mb
    @SmilingHot-AirBalloons-em3mb4 ай бұрын

    Makonda noma sanaa!

  • @TanzaSports
    @TanzaSports5 ай бұрын

    Hii imeeendaa 😂

  • @Shakkeela-uq9oj

    @Shakkeela-uq9oj

    Ай бұрын

    😂😂😂

Келесі