MADUDU ya KUTISHA YAFICHUKA! MKURUGENZI BILA HOFU AMWAMBIA YOTE MAKONDA - WATUMISHI WAMEPIGA PESA
MADUDU ya KUTISHA YAFICHUKA! MKURUGENZI BILA HOFU AMWAMBIA YOTE MAKONDA - WATUMISHI WAMEPIGA PESA
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 220
Alafu Nay wa Mitego akiimba mwamuburuza BASATA mwamfungia nyimbo zake😅😅😅😅😅
@awadhally1052
5 ай бұрын
Kwel kabisaa yana muonea tuu majitu yana tuibia sana
@DeusKileo
5 ай бұрын
Yawezekana wale ney alowaimba ndo wanamsweka ndan wakishirikiana na basata
Kaka MUNGU wetu wa Isaka, Ibrahim & Yakobo akulinde Mhe. Makonda. Una kazi kubwa mbele kaka yangu. Mungu akulinde tu
@LovelyEarth-yn2hb
5 ай бұрын
❤
@ProsistaTarimo
5 ай бұрын
Mungu amlinde wasimuue maana Hawa watu nao ni shida. Walimuua magu sembuse
Hongera mkurugenz na Mnec aongezewe nguvu Ccm inogile
Makonda take care na Mungu akulipe
Mungu akulinde sana kiongoz wetu
Ziara za Mhe. Makonda zinadhihirisha kuwa Watanzania wana shida kuliko maelezo. Wako wapi viongozi RC,DC nk?
Sasa hizi mambo kama hujaonana na makonda ndio basi
Hii filamu Haitaisha kwakweli Makonda starring Na Mkanda wakuendelea Mpaka kieleweke! Fuatilia tu mikanda hii haimaliziki.
Mkurugenzi maua yako🌼🌼🌹💐🌺🥀🌹
Makonda ww kweli mtoto wa maskini unajua shida za watanzani kwenye hiyo serikali yako kama mtawajibika kama unavyofanya ww mtalaishia kazi mama kabisa masikini mama anapambana lkn kuna viongozi ni majizi kupita kiasi daah😢😢😢
@SebaMbilinyi
Ай бұрын
J
Pongezi sana kwa kuweka maisha rehani
Makonda wew nikiongozi tuko nyuma yako mungu akufanyie wepesi
Hongera sana Mkurugenzi 💪
Mkurugenzi huyo mshikirieni yuko vizuri sana pia
Mkurugenzi hongera sana kweli unauwezo makubwa umeonesha usomi wako hakika hiyo halimashauri Ina mtu hata tingisha kichwa umetema cheche nimependa ujasiri wako
@rynerlinuma8484
5 ай бұрын
Ni kweli kaonesha ujasiri...lakini je, yote alosema ni sahihi? Ukiwa huidai wewe Halmashauri au Serikali unawezaona ni sawa tu. Imagine mtu kakopa nondo tani 25...then mtu halipwi. Unaambiwa kiurahisi tu kuanzia 01.07.2024. Ujue hiyo sio exact maana hadi pesa iletwe. Na pesa haziletwi hiyo tarehe..ifikie mwezi October vifungu ndio vinafunguliwa...mtu kasupply Oct. 2023. Huu ni uhovyo
Mashallah kazi nzuri muheshimiwa ❤ kusafisha ufisadi. Hivi kufanya uadilifu ni kazi ngumu? ogopeni Mungu.
Ee, Mwenyezi Mungu mlinde kiongozi we Paul Makonda zidi ya maadui wasimzuru
Nimefurahi sana kuona ujasiri wa mwalimu wangu wa chuo @Chaurembo. Mungu akulinde sana
@rosemarykipesha4242
4 ай бұрын
Anajiamini Hadi raha
viongozi wanakula Hela sana mama anajitaidi sna kutoa pesa kuleta maendeleo lkn viongozi wanapiga ela Kodi zetu hizo wanakula.
@benjaminmiselya2622
5 ай бұрын
SAMIA kasema kula kwa urefu wa kamba yake
@salimmalaka256
5 ай бұрын
@@benjaminmiselya2622HAJA MAANISHA UIBE JUWA KISWAHILI VIZURI HUWEZI KUWA MKUU WA WILAYA NA KUTAKA MAISHA KAMA YA MKUU WA MKOWA HIYO NDIO MAANA YAKE.
@josephwilliammnyune5464
5 ай бұрын
Hao viongozi wamewekwa na nani? Na huyo anaeambiwa matatizo hayo ni nani? Miaka ya uchaguzi hii, tutaona mengi.
Mheshimiwa makonda umeyaona hayo madudu ni tabu sana wananchi tunatekeseka sana .
Baada ya maelezo ya Mkurugenzi kelele zote chaliiiii,proud of you Chaulembo
Huyu Mkurugenzi dada Chaurembo ni hodari mno na anafaa kuongoza Idara kubwa zaidi kwani ni mfuatiliaji mzuri sana na ni mzalendo.
@gallusmbaga5522
5 ай бұрын
Ila anaposema ataanza kulipa mwezi wa Saba akumbuke mikataba ina kipengele Cha RIBA kwa malipo yaliyocheleweshwa. Ninashauri akae na hao wafanyabiashara wakubaliane ili kusogeza muda Hadi huko mwezi wa Saba vinginevyo riba itahusika.
@RamlahNassoro
5 ай бұрын
Yaani yuko vizuri maa shaa Allaah na mtu mwengine anaitwa Subira mgalu yaani Kuna wadada wapo vizuri kiuongozi
Makonda kila ukiona mtuhumiwa amepatikana na maskosa unamwachisha kazi. Hadharani aondoke hadharani. Hapo ndipo tutakapo komesha wa hujumu uchumi. Wa Tanzania.
@MauFundiElectronics
5 ай бұрын
Facts facts ukweli kabisa
Makonda ukimaliza ziala kaa na chama chako waambie kumaliza haya matatizo viongozi wote wa mkoa wachaguliwe na wananchi sio kuteuwa mtu ambae hajui uchungu wa eneo husika
Yani wanawanyanyasa sn wafanyabiashara
Makonda nimeona Magufuli wapili mungu akubariki kaka yangu, from Congo 🇨🇩 to Sweden 🇸🇪.
Ukweli mungu atuhurumie sana
Piga kazi makonda utembee usikae chini tena inuka nao mwanzo mwisho
Hongera sana DED Msomi hakika unaweza
Hongera Mkurugenzi kwa majibu na kwa kujiamini
Mwamba ana mizimu ya Magufuli
@jamalimussa4928
5 ай бұрын
😂😂
Huyu DED katokea wilaya yetu ya Nanyumbu ingawa hapa alikua mkuu wa wilaya, kiukweli huyu mama yupo vizuri saana, alibadilishiwa majukumu kutoka kua mkuu wa wilaya na kwenda kua mkurugenzi kiukweli tulimpenda saana kiongozi wetu
Nimekupenda Sana dadangu macho manne
How i wish things were working this way in Kenya...we could have gone far by far lakini ZAKAYO RUTO NAYE NI NANI. MUNGU SAIDIA KENYA 🇰🇪
@donaldmwahalende4841
5 ай бұрын
Hahahaha
@shaamemchauru1365
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jasiriintertainer4600
5 ай бұрын
Zakayo bado anasumbuana na mahakama,anataka wafwate yote yake hata kama ni mbaya
@musiomiemmanuel2418
5 ай бұрын
Utaambiwa wacha kukuja kwa mkutano wa rais kupiga kelele 😂
Ukiwa na DED msomi na anajiamini kama huyu, hadi raha
Makonda oyeeeeee M/mungu akusimamie Kila atua unayo piga 🌹
Mkurugenzi yuko vizur sana ila hao wengine mtihani
Nafuu makonda umekiri uzito wa mzigo we ni mwanaume kweli na mwazi
Makonda umenipa imani yakuishi barikiwa sanaaaa ila baba ninashida namtaji
@UfahamuwaKristo
5 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-gi2sf9sm8t
Ай бұрын
😅😅
Yan viongoz wore wangekuwa kama mh Makonda nchi ingekuwa na adabu sana
Mkurugenzi safi sana
Waumbue hivyo hivyo nchi iko icu
@user-uc8ei8kn3l
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kosa walilolifanya ni kuniteua Mimi kuwa mwenez❤
@user-ii6gs2jg4g
4 ай бұрын
Hakika umeonaeee😂😂😂😂
Hapo ndio napata picha Kuna wale ambao wasijuwa kuongea sijui wanaishi vipi ? Pesa Yako umekopa umefanya Biashara halafu hulipwi
@user-uc8ei8kn3l
5 ай бұрын
Yaani
Kaka fanya kazi pamoja sana
Mkulungenzi upo vizuri
@RamlahNassoro
5 ай бұрын
Huyu kiumbe ana khatar anaitwa Mariam khatibu chaurembo maa Shaa Allaah ana moyo mwema huyu kiumbe namfahamu vizuri
Makonda tutaendelea kumuombea mungu atakulinda na kukupa afia njema Ili uendelee kufanya kazi ya kutusaidia watanzania lakini tunaoma mwenyezi mungu ampe laisi moyo wa kuendelea kukupa sapoti kubwa zaidi na viongozi wa ccm waendelee kuku kapani mungu akubaliki sana
HIVI HIZI COMPUTER ZOOOOTE ZINAZONUNULIWA KWENYE MAOFISI ZIBAFANYA KAZI GANI?. MNAHAKIKI NINI NA KUMBUKUMBU ZOTE ZINAHIVAZIWA KWENYE COMPUTER? . HIVI MBONA MKO HIVI?
@doreenshangarai6941
5 ай бұрын
Na kweli
Nimegundua wananchi wanaichukia serikali kwa mambo ya kipuuz Kama haya
@sheckycobb5240
5 ай бұрын
Sababu ya watendaji wabovu
Mkurugenzi yuko vizur
Makonda anahudumia wananchi ipaswavyo Nchi inajengwa na wananchi ni bora sana anavyofanya mheshimiwa makonda kushirikiana na wananchi kutatuwa kero amerithi mbinu mbadala wa kupambana na UFISADI 🇹🇿
Mama wambiye viongozi wote waje kwenye mkutano ya makonda wajibu utaona tanzania itakwenda tuu watanzania niwengi waliyo nyuma yako viongozi wachache
Haya ni maajabu ya Dunia yafaa yaingie kwenye Genes book😢 hiyo shule inayojengwa kwa bilioni nne ni Kijiji au! Wananchi wanakatwa Kodi tena kwa kwamba shingoni, Kuna watu nchi hii kwenye jamii Wana matatizo ya hatari; kama Afya, Elimu nk. Kuna shule za msingi huko vijijini utadhani ni mabanda ya kufugia nguruwe kwa jinsi yalivyochakaa: kama Kuna anayebisha aende shule ya msingi kombo mkoani Kilimanjaro pale kibosho mtaona😮 Leo hii watu wanapewa bilioni nne na wanasema hazitoshi. Waziri wa Elimu atembelee shule za msingi za vijijini mkoani Kilimanjaro aone maajabu ya Dunia
@sheckycobb5240
5 ай бұрын
Hyo bilion me hata mi sikubali, shule moja ya msingi mi milioni 328 tu inaisha madarasa 9
Nice
Sasa mtu anafanya kosa la wizi unamuhamishia idara nyingine😮 kweli hii ni sawa😮
Ndio maana mafundi wengi hua hatupendi kuifanya kazi zao sababu malipo ndio kama hivyo Bora kufanya kazi kwa mchina.
Miaka yote uyu mwamba alikuwa wapi
@ephrahimalfaxard4134
5 ай бұрын
Walikificha kipaj chake Sasa kimeibuka hadharan, japo anayalisk maisha yake!
Yaani ni washenzi tu na Wana roho mbaya sana
Mahakama zifutwe /Makonda anatosha
@judicalosika7642
5 ай бұрын
🤣🤣🤣
Kwakweli huyu jamaa anasaidia sana!!
Piga kazi baba Keegan wewe ni Raisi ajaye awamu ya Nane (8) Mungu akulinde
Makonda umejua kuwaonyesha
Watu engine wanaishi kwe nye mingogo ya wt muheshimiwa pasua majipu
Makonda mungu akubariki 🤲 hii nchi hata sie wanawake hatufai unatetea madudu😅😅
Dada chaurembo ❤
Ajamani hawa watu wanawaonea sanaa wanyenge jmn
Kuachicha Mtu kazi au kumfukuza kazi je watoto wa hizo Familia watakula nini ? Oni langu nikuwaonya Wananchi kufanya kazi kwa uaminifu asante
Dada unazingua sana yaan mtu awe mzarendo kwakuvumilia kwa pesa yake ya bishara wewe unaweza kuwa mfano wa uzarendo mshahara wako uingie kwenye mipango ya mji wa Tunduma? acheni ubabaishaji bhana upumbavu mtupu
Wt anapewa madalaka kwa faida yao
Super mamusi mazuri kutok kwa Mheshimiwa Makonda
Wanatakiwa wote wawe kama makonda maana yupo arusha tu
Kuwa waziri mkuu tuwanyooshe
Yani makonda anajua sana shida za watanzania wengine mnafanya nini kama hapa pesa zinatumika ovyo na viongoz wapo likn wapo tuu kimya sasa MAKONDA akifanya kweli binge msione wivu kaa kimyaa
Mmmhhh haya
Arudishwe makondo ccm uenezi atumbue wanaonyanyasa wanyonge
kiukweli watu wanatamanikiwa na viongozi wa namna hii viongozi wanao tetea kero za wananchi kwanamna hii...makonda wewe niongozi viongozi wengine wanaitajika kijifunza kwa utendaji wa namna hii
Duh ! ! Mama Tz, wanakusaliti kwa kukutafuna ili ufe kabisa?
Mh Dr Samia Suruh hasan, endapo ikatokea wakamuua mh makonda naomba uniteue mimi tuone kama na mm wataniweza.
@PureSoul-rf4xd
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Eti imeendaaahyoooooo😅
Bilioni nne ni gorofa la nchi gani ?
MUNGU akubarik makonda
Utunzwe na Yesu Makonda, vilio ni vyingi kwetu wafanya biashara tumefilisika kupitia uzabuni, Halmashauri hazilipi....Mimi naida tokea 2013 mpka Sasa sijalipwa
Mafisadi watamchukia sana Makonda wapo tayari kumuuwa ili waendelee Ufisadi kama walivyomuuwa a JPM😭🇹🇿
Hakuna ulaji wa hela kama ulivyo mawilayani, wanapiga hela kama juu😂😂 Sio Tunduma tu ni wilaya zote
Hii imeenda😂😂😂😂😂
Makonda anafahamu mengi
Fukuza wote hao ni wezi
Takukuru kazi yao Nini sasa kwa hoja hizo za kisanii ,!
@abhambomihambo6754
5 ай бұрын
Hao Takukuru wenyewe sio waadilifu wapo wapo tuu.
Makonda Mungu akulinde jamani
I believe in you makonda❤❤❤❤
Kumbe wananchi wengi wananyaswa kiasi hiki tusubirini kwenye sanduku la Kira,KATIBA mpya Ni Sasa na time huru
Makonda iko kazi. Watendeji wa serikali baadhi ni dhaifu. Abisa na ni maadui wa CHAMA CHETU.
Na wanafanya hivyo ni kwasababu hawachukuliwi hatua
Makonda kwanini usiwe raisi tuuu moja Kwa moja upo vizuri
MAKONDA AKIJA MKOA WA PWANI WILAYA YA KIBITI VIONGOZI WATAKUFA KWA PRESHA MAANA KUNA MADUDU HATARI. kwaiyo mgeni njoo mgeni ashibe karibu mkoa wa pwani.
Mnachambua ni mchele huo?
Kama hapa jaman huu mgogolo unamfikia MAKONDAA unataka kusema wabunge na mkuu wa mkoa mkuu wa wilaya hawapooooo?jib ni uzembe tuu piga chini wote mpaka wanakela mno
@faustinombilinyi9809
4 ай бұрын
Wakupiga chini NI Samia au Nani maana NIKIKUMBUKA magufuli alikuwa anafuatilia ziara km hizi ikitokea kaona madudu jion kwenye habari unakuta katengua uteuzi
Safisanamakondo kwa kutumia mafisadi
Makonda noma sanaa!
Hii imeeendaa 😂
@Shakkeela-uq9oj
Ай бұрын
😂😂😂