Inapigwa LIVE:angalia maajabu ya Onesix kwenye kuchanganya live hizi nyimbo.
Ойын-сауық
Inapigwa LIVE:angalia maajabu ya Onesix kwenye kuchanganya live hizi nyimbo.
Subject.
Usikose kufatilia PLANETBONGO earadio kila jumatatu had I ijumaa,saa 7-10alasiri.
Пікірлер: 498
Leo ndo nimegundua kua mpaka watangazaji wakajisahau nakuanza kujiona ni wa back vocal na wengine ni mashabiki 😂❤❤❤
2024, kali kama kila mara ndo unaisikia mara ya kwanza, na ukiisikia zaidi, inazidi kuwa kali zaidi💪🏾💫💥
Huyu jamaaa ni nyashiski wa bongo 🔥🔥🔥
One6 ana uwezo wa Kugusa kila kona wa moyo wako ❤🔥
Uongo dhambi nimejikuta nalia😤😅😰 this guy is real......we have to promote him, he's tallented.....
@wilfredmwakatundu8968
4 жыл бұрын
sasa umelilia nn mzee baba
Huyu onesix ninawasi wasi na uraia wake ..huyu hatokei dunia hii labda Jupiter kule....doooh kuna raia wanaimba asee
@dickmalove5544
4 жыл бұрын
😂
@yaedlifemedia3203
4 жыл бұрын
😅😅😅😅
@kellybreezytz2491
3 жыл бұрын
Kabsaa 😆😆😆😆🦸🪐
@aminielyohana3052
3 жыл бұрын
Hhhh
huyu mwamba atakuja kusumbuaaaaa sanaaaaaaa ana energy ya kutoshaaaaaaaaaaaaaaaaa
Huyu jamaa yuko mbele ya muda kabisa!! Na siyo wa level hizi!! 🍻
One six we ni noma nyanshiski ana tabu sana unampa competition kubwa akikuona ataumia big up sana
That's a real music. ..Why we don't support him. ... Truely like him
mungu bariki hiki kipaj cha huyuu jamaa🙏🙏 ipo siku tanzania itatambua uwezo wake 🐐🐐
I see Nyanshiski in Tz🇹🇿✔️🔥💯
Moja sita namfatilia kitambo huYu jamaa ni GENIUS wa huu MUSIC🎶🎼🎤🎵🎸🎺🎷🎹🎻
Mm hari leo nairudia ngoma 2024❤
Dah! Man ni mkali. Kama mzuka huu na live show huko hv, bas salute kwako
Akija kuimba nyimbo za dini huyu jamaa watu wengi wataokoka niamini mm lkn pia neno lango sio sheria n kajimtazamo Fulani heavy!
@mashakakitwana2824
4 жыл бұрын
Nakuunga mkono
@samuelkikukwa1425
4 жыл бұрын
Hakiamungu kuna watu wanavipaj bna dah ulikua wap jombaa
@mgayamgaya
4 жыл бұрын
haleluya
@loemaisaack2238
3 жыл бұрын
Me pia naokoka jamani
@jumajuma6612
3 жыл бұрын
Alikuwa anaimba kwaya uyu kabla ajaja uku
Nyanshisky wa bongo hatari sana aseee hii ni noma na nusu
@bouyboyka9000
4 жыл бұрын
Naic nyanshiski ndo one six wa 254.. Uyu ni balaa na nusu...
@enockmwilongo5771
4 жыл бұрын
Sure sahihi
@rickyvamba5640
4 жыл бұрын
Piga nyundo hyo BANGO NI KUBWAA🔥🔥🔥
@rashidaboud5394
3 жыл бұрын
Imagine nasaka hii comment tu ilkuwa
@10gb27
3 жыл бұрын
nyashinski hamfikii huyu jamaa kwa kuimba, msikilizeni huyu mwamba vzry
Nendeni You tube yake mka view akaunti yake Sasa muangalie kazi zake pia msisahau kusubscribe
Huyu jamaaa alikuaga wapi toka mwanzo mpka fake artsts wanavamia game kinazi nazi tuuu
@accusciusanderson5466
4 жыл бұрын
He is coming special mzaz
@remytory8001
4 жыл бұрын
@@accusciusanderson5466 sure budaa
@amanikudeli5297
4 жыл бұрын
Alikuwa anaimba kwaya huku kwetu
@remytory8001
4 жыл бұрын
@@amanikudeli5297 daaah huyu jamaa anauwezo wa ajabu kwakweli Africa hamna
@amonphilip5902
4 жыл бұрын
Hahahahaha kweli asee
FID Q Alishawahi kuimba "Unasema we ni mkali wakati studio na redio zinakupa promo ya hatari unaua GAME" Huyu mwamba kwa uwezo wake alitakiwa awe mbali sana ila hapewi Airtime
One Six brother kiwango Sana aaaa mpaka sio poa aiseeeee
One six salute mingi, brother I love you
Super Talent!! Tanzania watu wa talent hii Signing with Passion na hasira ya Mziki miaka Mingi Hakuna. Onesix Hongera sana
@mpokimwanemile6417
8 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤
Binadamu tungekua tunasupport talent bila bifu ingekua poa. Huyu jamaa anaimba sana bila uongo. Shida tunasupport watu hawajui mziki huku wanaojua tunawaacha😢😢
Huyu ni kiboko yao kwenye live performance salute kwako and naenda kusubscribe coz of your talent
I just love yu man yani ur on top check onesix anatamba soon real talent ... keep on pressing love from kenya
Huyu kiumbe hatari sana, asante Roma kututambulishia huyu mtu.
@josephelvis9938
4 жыл бұрын
HUYU JAMAA YUKO TOKA KITAMBO WALA ROMA HAJAMTAMBULISH NI AKILI FUPI TUU ZA WATANZANIA KUSHOBOKEA UMAARUFU NA KUACHA UHALISIA
@aloycemwambwiga2318
4 жыл бұрын
@@josephelvis9938 nimesha ona baadhi ya nyimbo zake za kitambo namshukuru Roma maana tumeanza mtambua baada ya kushirikishwa na Roma.
@BigDreamsWorldwide
2 жыл бұрын
@@josephelvis9938 mm namfahamu tangu 2018 by the way wengi wamemjua kupitia Roma no doubt
Hahaha 🤣🤣😂😂 nimemkubali jamaa alivyo na mzuka na mziki,,,God bless you and your tlent
Huyu n anajua kuimba sana kwenye mkomboz ameua sana
Onesix Mtu mubaya🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 💪💪💪💪
cjapata ona,mtu aliyebarikiwa asee...bigup mzee
aseh,,, nmefurahii sana bless up One six
Jamaa anaimba live vizuri kama Lucky Dube, yaani anapanda na kushuka kwa mpangilio pia anaimba hadi sauti ndogo kabisa kama alivyokua anafanya lucky Dube kwenye live shows enzi za uhai wake. Huyu ndio msanii anaeweza kuimba live kama mziki ulioandaliwa Studio. Nimemsikiliza huyu jamaa nimempenda sana style yake ya uimbaji wa Live. Ninajua hata akiwa anapiga show za live atakua anaongezea vionjo zaidi kuliko Official Audio kama alivyokua anafanya marehemu Lucky Dube
Kipaji cha nguvu sana 🔥🔥
2023 still watching 🫡🔥🔥🫡🫡
One six much respect to you keep it 120🤙🤙
Mwamba anaudai muziki wetu pesa mingiiii sana. One six big up
Who's listening to this masterpiece in June 2022?
Nmemuelew all da bst bro @onesix
Nimerudi tena kuskiza one six anajua sana.
Waambieni wakenya na sisi tuane Nyanshiski wetu hapa Tz🇹🇿🇹🇿
Jamaa duh, huwaga sipendagi misiki kama hii ila kwa kiwango kama hiki nacoment, ww unaweza kuimba brother!!!
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 Ooh My Good Lord, who is this guy?? He Tanzanian? Goosebumps all over,
@salumamina948
2 жыл бұрын
Her name is "one six" go and find him u can know him well
One six nakuogopa kama Ukimwi🔥🔥🔥🔥
Noma sana oneSIX
Jamaa linaimba ad najisikia raha, oohw my God blssd you..
Am back again to listen the heavy vocals from this man
Duhhh, , big up saanaaa..br one six...ur a good and real singer...real talent.....
Jamaaa noma sanaaaaaaa ni nomaaaa talented.kunawasanii wakubwa lakin live wanafeli.tuwasuport viumbe kama hawa.big up
Onesix, Sorry Bro..., you're a music prophet in these pharaoh's time.....SUPER TALENT.... CHAMBER SQUAD
Yaani nimerudi hii video mara kumi duuuu hongera brother kweli watu wanavipaji ila wengine wanakula kwa majasho ya wenzao
Kapiga bonhe moja la mashup la chamber squad. Keep it up one 6
Rama d njoo muone Mnyama anaetembea kwny mbuga bongo fleva tisha sana one6
where have you been bro??? kipaji chako kinaogopesha sana, how come mastaa mnaishi kama underground!!!?
This is undisputed boyka wa music 🎶 🎵
Much talented One six
Onesix mtu mbad, hio mixing nimeielewa hasa kwa kuwakumbuka wanachamber🙌
I love the energy
The meaning of being talented.... FIIIIIIREEEE One six
Uyu jamaa ywajua sanaaa adi natiririkwa na machozi
suzan kama kuna live naipenda kama hii
Aisee Mpka Mwili Unasisimuka 🙌
I Come back to watch this,
Fundi sanaaaaaa, natamani sana awe na collabo nyashiski itakuwa Bonge la ngomaaaaaaaa
@GabrielSky64
9 ай бұрын
Acha tu daah
wATANZANIA IFIKE MAHALI TUBADILIKE TUACHE USHABIKI WA KIJINGA KWA KIGEZO CHA UMAAUFU ILA TUHUKUMU KWA UWEZO WA MTU NA KIPAJI....MFANO HUYU JAMAA NI HATARI SANA TENA SANA HATA WASANII WENYE KUTREND WANAJUA NA WANAHOFU SANA ILA WAKO KIMYA NANI AMSAPOTI......TUBADILIKE JAMANI
#16 ni jini 🖤✌🏿💪🏽
🤔 Uyoo Jaamaa Ndoo Jini la kweli kwa music fucktop Mpeeni mdaa kama sah zima A 1-6 💪🏾
@danielmahela2436
3 жыл бұрын
Mwana anajua du!!
This guy is a legend...I can as well feel saut Sol in him😍
Feelings come Automatic mazee #OnesixShivooo
Talented ✊
Nimerudia tena aseee❤😂😂 unyama sana. One6💥💥💥
Damn...this is music
wats.................?wooooooooow he talented..he is fireeeeeeee
Wooooo!! more than crazy talent
gonga ndipo hapa...uyu jamaa anaimba kweli...toka +254 gonga like
Jamaaa n noumaaaaah #FIREEEEEEEEEEEEEEE
👊👊u kill it brother....
Bro mbn ww nimsanii uko na kitu cha kitofauti sana ee pongezi unastahili
Ebhanaeeeee mambo yalikua ni motoooooooo balaaaaaaaa👉🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥big up brother
Sema huyu jamaaa anajua sanaa na pia ni msikilizaji mzuri wa reggea music especially turbulence
Nilidhani ni nyashinski from Kenya,,,, one six is the most talented
This is true music keep it brother
Nimevutiwa xana na vibe muliyo Show kwa mshikaji ,mwamba anaweza.
ejamaee east Africa wanainua vipaj vyanyumban heshimakwenu hamnaga kubagua japo wengine wamefika juu wanaona redio zabongo hazina msadakwao mungu awape uvumiliv ea redio ea tv inueni vipaji hivyo
6:30 ahsante R.O.M.A kwa kumuibua hyu jamaa,
One Of All Six My Ninja,,,,Nice Up Bigting.
Mwanangu one six umeua na hyo ngoma ya mwsho iachie basii
Ukiachana na kipaji cha onesix niwe mkweli tu. Mi nimependa hizo manyonyo za huyo dada mwenye t shirt nyeupe 😆♥️♥️ nigeini # yake niwe naview hata status tu
@modenhosouza5925
4 жыл бұрын
Vedasto Genius hahahahah
@vedastogenius45
4 жыл бұрын
Modenho Souza kwa kweli nikipata # itakua mukide
Ayela uyo ninani joh hatari brother uko on top
Dullah, Jr, Mwamba anajua sana.
The undisputed talent in Tz one six is like a time bomb 💣waiting to explode tik tok fake artist
Uyu jamaa ndo angekuwa diamond asee Tz tungeuwa sana
A year later i am still watching this sh*t....its lit🔥🔥🔥
@vanyhimself4266
Жыл бұрын
2023 BADO NAICHEKI AISEEEEEEEEE
gonga like kwa mdogo wake mez bi one six
Anajua kinomaaaaa yani😎😎😎
Huyu fala sichoki kumsikiliza anajua sanaaa
Appreciate 💥💥
Jaman uongo Ni dhambi kubwa sana,, yani ww nikiboko mungu akutie nguvu ufike mbali broo🤞😍
Unajua kuimba saana lakn free style km tulizozoea #hip_hop wakeup,stand and focus on changing society
Jamaa ana mzuka ile mbaya 💥