FIDQ: NIMETOKEA MTAANI/BONGO HAKUNA MSANII ANAYENIZIDI ELIMU

Ойын-сауық

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 64

  • @fiziparadise7808
    @fiziparadise7808 Жыл бұрын

    The greatest TZ hip hop artist and the smartest TZ artist of all times. Respect from🇨🇩

  • @nyukiperfect4671
    @nyukiperfect46712 жыл бұрын

    Ni kweli Fid Q ndio rapper wa kwanza akifa alizibi pengo mungu mpe maisha marefu yenye furaha

  • @israelnibigira4990
    @israelnibigira49902 жыл бұрын

    Fid Q namkubali kabisa Mimi ni mrundi ila nyimbo zake nilikuw nazichana vizuri yaani nazikalili bila shaka

  • @mrsinia3064

    @mrsinia3064

    2 жыл бұрын

    Saf sana

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid11712 жыл бұрын

    presenter tulia basi mwenye akili ajieleze 😆

  • @emmanuelmalele1439

    @emmanuelmalele1439

    2 жыл бұрын

    😁😁😁😁🤪

  • @stevebupamba5009
    @stevebupamba50092 жыл бұрын

    Kila siku ndotoooni mwanangu ananijiaaa, kila siku ndotoooni mambo mengi ananiambiaaa aaaaah, liesten dadiii.... Fid humu ulinifunua mengi juu ya hip hop na mafikirio juu ya utayari wa kuwa baba bora, kuepusha ugomvi ktj familia, coz wazazi wanapoharibu wanaoteseka ni watoto. So big up FID Q

  • @mrsinia3064
    @mrsinia30642 жыл бұрын

    Fid q msanii mkali sana 👊👊

  • @abedymtore2707
    @abedymtore27072 жыл бұрын

    Unyama Sana bro nakukbali sana sema Nini big kaa chini na mchiz RADO myamalize mbona mchiz yuko peace tu

  • @venturelugho9028

    @venturelugho9028

    2 жыл бұрын

    😂😂 mchikozi sana ww Rado ndio anafaa aombe radhi ali-catch feelings na issue ya kuelewa tu, majani kafunga gate sa utafanyaje enzi izo

  • @mwlrobinson
    @mwlrobinson2 жыл бұрын

    Mtangazaji sikunyingine uwe unatulia muache msaanii ajierez syo unalukaluka

  • @endrewjonathan6039

    @endrewjonathan6039

    2 жыл бұрын

    Mtangazaji mwenyewe kituko 😅kuanzia nywele ake na jinc alivyo Hana sifa zakuwa presenter 😅😅😅

  • @mwlrobinson

    @mwlrobinson

    2 жыл бұрын

    @@endrewjonathan6039 🤣🤣🤣🤣📌🎧au ndo bland

  • @DizzoclassicSoundstz
    @DizzoclassicSoundstz6 ай бұрын

    Uyu jamaa anajua sana sana mazeeee nikisiaga nyimbo zake mwili unasisimka anajua

  • @ntungifrancisco3323
    @ntungifrancisco33232 жыл бұрын

    Ngosha the don

  • @allysudi4429
    @allysudi44292 жыл бұрын

    Ebwana hiyo album was Soo💥🔥💥

  • @salumkhamis5468
    @salumkhamis54682 жыл бұрын

    Presenter kenge 😃

  • @Makavelithedon2086
    @Makavelithedon20862 жыл бұрын

    *Kila Interview ya Fid Q lazima ujifunze kitu natamani awe ana hojiwa kila siku*

  • @officallymbonde9257
    @officallymbonde92572 жыл бұрын

    mwanangu 🔥🔥🔥🔥

  • @dannymziwanda6944
    @dannymziwanda69442 жыл бұрын

    Big show

  • @sululuzungu9587
    @sululuzungu95872 жыл бұрын

    Sema mtangazaj hutulii km vile umebwanwa na choo vile daah

  • @mrsinia3064

    @mrsinia3064

    2 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @JeronimoSimon65
    @JeronimoSimon6511 ай бұрын

    Hapo kwenye vitu kupitwa na wakati ni 100% correct. Mitaala yetu (Curricula) inahitaji reconstruction i match na kizaz cha sas

  • @nyeyembogo1820
    @nyeyembogo1820 Жыл бұрын

    Did ni nomaaaaaaaaa

  • @cypriannyamwamu
    @cypriannyamwamu Жыл бұрын

    Long live Fid Q, smart guy

  • @mahoroenid5360
    @mahoroenid53605 ай бұрын

    Fire 🔥

  • @Borderonemedia
    @Borderonemedia2 жыл бұрын

    ❤❤❤

  • @sulaimanzahran2628
    @sulaimanzahran262829 күн бұрын

    Shule ya bure from Hip Hop PROF

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala81192 жыл бұрын

    Nas escobar alipata hiyo heshma kwenye moja ya chuo kinachofundisha true history ya blacks kule US. Na alikubarika na professors kabisaa waliofuatilia Muzik wake. Itafteni KZread akishusha mondo mpaka professor analengwa chozi. Knowledge ya college ni kupotezeana vipaji na intelligence tu

  • @kingkong1506
    @kingkong15062 жыл бұрын

    Presenter wenge

  • @abdallahmagonga5438
    @abdallahmagonga54382 жыл бұрын

    hiyo album ni kali zaid ya FOA mala mia amini kwamba

  • @venturelugho9028

    @venturelugho9028

    2 жыл бұрын

    Mwanangu umeongea kisomi sana, sema kizazi hiki wachache tu ndio waelewa

  • @philippeter198
    @philippeter1982 жыл бұрын

    Nabii hakubaliki kwenye kijiji chake

  • @jafferkagusa8353

    @jafferkagusa8353

    2 жыл бұрын

    Presenter u tok too much,utafikir wee ndo wafanhiwa interview...uliza swali punguza maelezo,jiandae kabla ya interview(basic questions)...sio bobojo nyingi

  • @jumaashehemuhamed5814
    @jumaashehemuhamed58142 жыл бұрын

    Niitemwanzamwamza noma sana

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid84282 жыл бұрын

    mtangazaji km shoga hutulii

  • @mudichivu3751
    @mudichivu37512 жыл бұрын

    Sun glasses indoor mtangazaji oyeee

  • @dalalizanzibar9583
    @dalalizanzibar958311 ай бұрын

    Yeh

  • @hkmeme5437
    @hkmeme54372 жыл бұрын

    Mzee mbuzi

  • @hashimmawazo5503
    @hashimmawazo55032 жыл бұрын

    Rado mbona analalamika mstari wake umemchukulia

  • @venturelugho9028

    @venturelugho9028

    2 жыл бұрын

    Mstari upi huo kaka 😂😂😂😂

  • @happyelias4297
    @happyelias42972 жыл бұрын

    Goat

  • @jacklinmasawe2697

    @jacklinmasawe2697

    2 жыл бұрын

    Huyo ndo msanii wakwanza taz wa hip hop hakuna wakufanana nae

  • @dullahsaleh8507
    @dullahsaleh85072 жыл бұрын

    Mtangazaji Punguza kiherehere....

  • @georgemushi3328
    @georgemushi3328 Жыл бұрын

    Bill Nass yy mwanamzik wa Hip Pop gani

  • @harunageorge1039
    @harunageorge1039 Жыл бұрын

    Kati ya ngom ninayo pend kuisikilz sihitaji marafik sio kwamb zingine sin no ninazo lakin inanikun kinom

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary23832 жыл бұрын

    Wanakuona wewe mbongo

  • @user-yt8cm6kr3v
    @user-yt8cm6kr3v10 ай бұрын

    Hip-hop ni fid Q wengine wafuata.

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Жыл бұрын

    Fid Madin og

  • @ernestoemiliotomas8830
    @ernestoemiliotomas88302 жыл бұрын

    Mewani yakidemu

  • @Kobe_254
    @Kobe_2542 жыл бұрын

    Steve Nyerere ndiye kamzusha akili kabisa

  • @jisamjoseph4558
    @jisamjoseph45582 жыл бұрын

    Hiki kijamaa nakfaham Ni kisabengo sana

  • @magangadashina2176

    @magangadashina2176

    2 жыл бұрын

    Usipende kuwasema wenzio Kwa sifa hasi,kama huna mazuri juu yake nyamaza

  • @virusunityonline5786
    @virusunityonline57862 жыл бұрын

    WANACHOPENDA WANAUME WENGI KWA WANAWAKE kzread.info/dash/bejne/eaV5sJhtn6rHcbQ.html

  • @deusmasasila1134
    @deusmasasila11342 жыл бұрын

    Kwambaaq

  • @drmussa1220
    @drmussa12202 жыл бұрын

    DAWA YA KUMUACHISHA MTU POMBE NA UZINZI..) m.kzread.info/dash/bejne/iId_1thmiMuZfMo.html

  • @denismakweba3870

    @denismakweba3870

    2 жыл бұрын

    Tafuta a/c yako unatuchosha maana kila a/c unapost mambo yako

  • @victoravelin575
    @victoravelin5752 жыл бұрын

    Pikooo

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Жыл бұрын

    Mtangazaji Unakela Sasa Kazi Kusema2 Ye .Mh .Ok .Ye.Mh.Ok Kwani Ukinyamaza Usubili Unakosa Nini

  • @victorsanga2229
    @victorsanga22292 жыл бұрын

    Non-sense

  • @bercahot152
    @bercahot1522 жыл бұрын

    Fid ni moto Thinking capacity Creativity Arguments Logics Reasoning Etc The guy is so great to this universe

  • @staffordnasson9633

    @staffordnasson9633

    2 жыл бұрын

    King hip hop nakubal sana kazizako

Келесі