FIDQ: NIMETOKEA MTAANI/BONGO HAKUNA MSANII ANAYENIZIDI ELIMU
Ойын-сауық
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Пікірлер: 64
The greatest TZ hip hop artist and the smartest TZ artist of all times. Respect from🇨🇩
Ni kweli Fid Q ndio rapper wa kwanza akifa alizibi pengo mungu mpe maisha marefu yenye furaha
Fid Q namkubali kabisa Mimi ni mrundi ila nyimbo zake nilikuw nazichana vizuri yaani nazikalili bila shaka
@mrsinia3064
2 жыл бұрын
Saf sana
presenter tulia basi mwenye akili ajieleze 😆
@emmanuelmalele1439
2 жыл бұрын
😁😁😁😁🤪
Kila siku ndotoooni mwanangu ananijiaaa, kila siku ndotoooni mambo mengi ananiambiaaa aaaaah, liesten dadiii.... Fid humu ulinifunua mengi juu ya hip hop na mafikirio juu ya utayari wa kuwa baba bora, kuepusha ugomvi ktj familia, coz wazazi wanapoharibu wanaoteseka ni watoto. So big up FID Q
Fid q msanii mkali sana 👊👊
Unyama Sana bro nakukbali sana sema Nini big kaa chini na mchiz RADO myamalize mbona mchiz yuko peace tu
@venturelugho9028
2 жыл бұрын
😂😂 mchikozi sana ww Rado ndio anafaa aombe radhi ali-catch feelings na issue ya kuelewa tu, majani kafunga gate sa utafanyaje enzi izo
Mtangazaji sikunyingine uwe unatulia muache msaanii ajierez syo unalukaluka
@endrewjonathan6039
2 жыл бұрын
Mtangazaji mwenyewe kituko 😅kuanzia nywele ake na jinc alivyo Hana sifa zakuwa presenter 😅😅😅
@mwlrobinson
2 жыл бұрын
@@endrewjonathan6039 🤣🤣🤣🤣📌🎧au ndo bland
Uyu jamaa anajua sana sana mazeeee nikisiaga nyimbo zake mwili unasisimka anajua
Ngosha the don
Ebwana hiyo album was Soo💥🔥💥
Presenter kenge 😃
*Kila Interview ya Fid Q lazima ujifunze kitu natamani awe ana hojiwa kila siku*
mwanangu 🔥🔥🔥🔥
Big show
Sema mtangazaj hutulii km vile umebwanwa na choo vile daah
@mrsinia3064
2 жыл бұрын
🤣🤣
Hapo kwenye vitu kupitwa na wakati ni 100% correct. Mitaala yetu (Curricula) inahitaji reconstruction i match na kizaz cha sas
Did ni nomaaaaaaaaa
Long live Fid Q, smart guy
Fire 🔥
❤❤❤
Shule ya bure from Hip Hop PROF
Nas escobar alipata hiyo heshma kwenye moja ya chuo kinachofundisha true history ya blacks kule US. Na alikubarika na professors kabisaa waliofuatilia Muzik wake. Itafteni KZread akishusha mondo mpaka professor analengwa chozi. Knowledge ya college ni kupotezeana vipaji na intelligence tu
Presenter wenge
hiyo album ni kali zaid ya FOA mala mia amini kwamba
@venturelugho9028
2 жыл бұрын
Mwanangu umeongea kisomi sana, sema kizazi hiki wachache tu ndio waelewa
Nabii hakubaliki kwenye kijiji chake
@jafferkagusa8353
2 жыл бұрын
Presenter u tok too much,utafikir wee ndo wafanhiwa interview...uliza swali punguza maelezo,jiandae kabla ya interview(basic questions)...sio bobojo nyingi
Niitemwanzamwamza noma sana
mtangazaji km shoga hutulii
Sun glasses indoor mtangazaji oyeee
Yeh
Mzee mbuzi
Rado mbona analalamika mstari wake umemchukulia
@venturelugho9028
2 жыл бұрын
Mstari upi huo kaka 😂😂😂😂
Goat
@jacklinmasawe2697
2 жыл бұрын
Huyo ndo msanii wakwanza taz wa hip hop hakuna wakufanana nae
Mtangazaji Punguza kiherehere....
Bill Nass yy mwanamzik wa Hip Pop gani
Kati ya ngom ninayo pend kuisikilz sihitaji marafik sio kwamb zingine sin no ninazo lakin inanikun kinom
Wanakuona wewe mbongo
Hip-hop ni fid Q wengine wafuata.
Fid Madin og
Mewani yakidemu
Steve Nyerere ndiye kamzusha akili kabisa
Hiki kijamaa nakfaham Ni kisabengo sana
@magangadashina2176
2 жыл бұрын
Usipende kuwasema wenzio Kwa sifa hasi,kama huna mazuri juu yake nyamaza
WANACHOPENDA WANAUME WENGI KWA WANAWAKE kzread.info/dash/bejne/eaV5sJhtn6rHcbQ.html
Kwambaaq
DAWA YA KUMUACHISHA MTU POMBE NA UZINZI..) m.kzread.info/dash/bejne/iId_1thmiMuZfMo.html
@denismakweba3870
2 жыл бұрын
Tafuta a/c yako unatuchosha maana kila a/c unapost mambo yako
Pikooo
Mtangazaji Unakela Sasa Kazi Kusema2 Ye .Mh .Ok .Ye.Mh.Ok Kwani Ukinyamaza Usubili Unakosa Nini
Non-sense
Fid ni moto Thinking capacity Creativity Arguments Logics Reasoning Etc The guy is so great to this universe
@staffordnasson9633
2 жыл бұрын
King hip hop nakubal sana kazizako