Salama Na Fid Q Ep 7 | NGOSHA WA MBASA Part 1

Ойын-сауық

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
Listen our Podcast on
‪Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcasts Link apple.co/2Ou1bru‬
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
NGOSHA WA MBASA
Nakumbuka kipindi ambacho Fidi alikua anaamini kabisa kama kuweka ‘uso wa mbuzi’ ndo kulikua kunakufanya uwe ‘hard core’, sina uhakika lini aliachana na dhana hiyo ila kwa kipindi cha miaka miwili au zaidi tabasamu na bashasha vimekua havibanduki kwenye uso wake, jambo ambalo mimi kama rafiki nalifurahia sana. Nakumbuka baadhi ya marafiki zangu wa kike ambao ni wapenzi haswa wa mziki wake walikua wakiniambia eh, sema rafiki yako mgumu jamani, Kha! Mi hucheka tu na baadae wakishazoeana basi sidhani kama kuna hata mmoja anaweza kusema kitu kibaya kuhusu yeye. Nilikua nacheka kwasababu mimi naamini namfahamu rafiki yangu huyu, yeye hupenda sana matani, na kucheka na marafiki wa karibu wanaweza wakathibitisha hilo maana katika watu ambao unaweza ukawatania weeee mpaka asubuhi, na utani mpaka wa vitu vyengine ambavyo wewe wa karibu unaweza kusema ey, hiyo sasa imepitiliza, yeye waala... Atacheka tu!
Mwenye kipaji chake cha kujifunza mwenyewe, nasema hivyo kwasababu nadhani kufahamiana kwetu na kuelewana kwetu pia kunatokana na kuwa na vitu vinavyofanana ndani yetu. Kajifunza jinsi ya kupenda kusoma vitabu mwenyewe, kujifunza jinsi ya kuandika na kurap mwenyewe, kajiendeleza mwenyewe (bila ya shaka kuna watu walomsaidia kwa tafu za hapa na pale ila walitokea baada ya kuona jitihada zake). Alihakikisha anasafiri kwenda nje ya nchi na Africa kwa jitihada zake mwenyewe na mpaka leo, kukiitwa watu ambao wamesaidia kwa kiasi kikubwa kufikisha Hip Hop ya nyumbani hapa ilipo basi jina lake litakua ni miungoni ya yale yatakayopata heshima ya juu kabisa. Pia anachekesha sana. Uelewa wake wa baadhi ya vitu unaweza ukakuacha mdomo wazi wakati mwengine. Kwenye uwepo wake? Vicheko lazima vitawale.
Hii siku nilitia nae story haikua kama kazi, bali kama mtu na rafikiye tu wakitia story juu ya njia za maisha ambazo tumepitia mpaka sasa. Fidi amekuzwa na Mama yake ambae alikua ni mfanyakazi wa serikalini (ameshastaafu), alikulia mkoani kama wengi wetu, alifika Dar akakaa kwa ndugu kama wengi wetu, alianzia sehemu na kutoka hapo mdogomdogo akajijenga kufikia hapa alipo. Humu tumeongelea hayo, watoto, muziki, ndoa, maisha ya wasanii na maendeleo kwa ujumla. Yangu matumaini uta enjoy na kuelewa baadhi ya vitu zaidi na zaidi.
Here’s to Ngosha wa Mbasa.
Love,
Salama.
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 241

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi15504 жыл бұрын

    Wanawake huhofia maisha kabla ya ndoa. Wanaume huhofia maisha na future baada ya ndoa

  • @veronicadaniel1122

    @veronicadaniel1122

    4 жыл бұрын

    Innocent Mushi Naona mnaokota madini ya ngosha😍

  • @innocentmushi1550

    @innocentmushi1550

    4 жыл бұрын

    @@veronicadaniel1122 yah ngosha ana madini mengi sana..ukitaka mengine nicheki kwa email yangu mushiinnocent19@gmail.com

  • @djunction4127

    @djunction4127

    4 жыл бұрын

    point hyosiomakudhuzi ya thuglife nailele

  • @sharifamfaume9342
    @sharifamfaume93424 жыл бұрын

    Naomba like zamamaake fraridi jamani🤲

  • @rishmizuka
    @rishmizuka4 жыл бұрын

    Naheshimu Fid- Q Sana toka long tym, big up dadangu Salama kwa kumleta

  • @fettymanyo438
    @fettymanyo4384 жыл бұрын

    Mwanaume ni kichwa cha familia lkin mwanamke in shingo inayofanya kichwa kizunguuke

  • @nicksonhaule8185

    @nicksonhaule8185

    4 жыл бұрын

    hatareeeee mzee

  • @fazeelshomary2704
    @fazeelshomary27044 жыл бұрын

    Only two artists nikiangaliaga au kusikiliza interviews zao nachota vitu vipya, 1. FID Q na 2. MwanaFA

  • @ericagerald4486

    @ericagerald4486

    4 жыл бұрын

    Ukweli mtupu ukimuongeza na AY

  • @johnphilipoaugustino6100

    @johnphilipoaugustino6100

    4 жыл бұрын

    We jamaa kama Mimi kaaaabiiiisaaaaa

  • @Yegon254

    @Yegon254

    4 жыл бұрын

    hawa majamaa wana akili sana, ukisikiliza nyimbo zao unashiba

  • @Jitu_Lisilofikirika.

    @Jitu_Lisilofikirika.

    4 жыл бұрын

    Niki wa 2

  • @dullyzungu536

    @dullyzungu536

    4 жыл бұрын

    Mmoja wa mwisho mwamba wa kaskazini

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini50744 жыл бұрын

    Hii ya "Ongeza Bando" nimeielewa sanaa..😂😂 So far, fid yuko very specific in details, unakua km unatizama movie hv

  • @augustinojerome7001
    @augustinojerome70014 жыл бұрын

    dah nimejifunz meng san kupitia mtu huy coz story ya maish yak aijaend mbal san na story ya maish yang thnks fid umenitia moyo wa maisha leo bigup pia salam kwa kuandaa kipind kizur km hiki i will be no 1 kukitazam kipind chako...

  • @emmanuelbukuku1
    @emmanuelbukuku14 жыл бұрын

    (Wabongo wa majuu hamna upendo mnajigawa) Yani ukweli wa msemo huu ni asiimia 88%

  • @basitbasit2281

    @basitbasit2281

    4 жыл бұрын

    Emmanuel Bukuku asilmia 99

  • @maesryclassic456

    @maesryclassic456

    3 жыл бұрын

    Uongo hauna miguu lakin upendo una mabawa 😎

  • @denismakweba3870
    @denismakweba38704 жыл бұрын

    "Farid Kubanda,alizaliwa Aug 13 katika hosp ya bugando jijini mwanza,kwakuwa mtoto kwa mama akui aliamua kwenda kulelewa kwa bibi.....salama napenda "Kwanini wasinitafute kupitia mimi"

  • @cheaffundikila9727
    @cheaffundikila97274 жыл бұрын

    Salama unamuoji mshikaji Kuna maswali kabla ya kuhoji unataka kucheka unajikaza

  • @allyndevi6271

    @allyndevi6271

    4 жыл бұрын

    Alishaliwa na msukuma

  • @gthegamer5866
    @gthegamer58668 ай бұрын

    The way mwamba anavochana mistar katik nyimbo na interview ataendelea kuwa the best on my soul

  • @convilsabato7596
    @convilsabato75962 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana Salama. Mlete Jay Moe kwa interview

  • @davidsomi451
    @davidsomi4514 жыл бұрын

    nimemuelewa vizur Mr mbuzi naomba hii interview irudiwe

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise25954 жыл бұрын

    Brain with potential

  • @judamsaki5609
    @judamsaki56093 жыл бұрын

    brain ..Fid Q...GREAT

  • @abdallahmakombo3866
    @abdallahmakombo38664 жыл бұрын

    Historia ya malezi ya fid q inaumiza Sana

  • @alshabihnjuck
    @alshabihnjuck8 ай бұрын

    Perfect Mwanamalundi fid Q

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia92844 жыл бұрын

    Liberia, Senegal, Ivory Coast

  • @stellaedmund7071
    @stellaedmund70714 жыл бұрын

    Legends re perfect 🙏🙏🙏🙏

  • @kijokombao5345
    @kijokombao53454 жыл бұрын

    Mwalimu wa kitaaa and the truth speaker,

  • @edwalks4922
    @edwalks49224 жыл бұрын

    Mmetisha sana

  • @jimmymangao5698
    @jimmymangao56984 жыл бұрын

    Best interview Salama n Fid Q

  • @UgandanAllstarTales
    @UgandanAllstarTales4 жыл бұрын

    My nigga Q always been a great story teller. Liked alivyo simulia the way he met his girl

  • @hamispeter9043
    @hamispeter90434 жыл бұрын

    Hii interview qali sana....fid q amepoa sana.

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63654 жыл бұрын

    Much love my dear Brother *FAREED* unamadini Mengi sana Bro ❤️😍

  • @abujuhaifah7461

    @abujuhaifah7461

    4 жыл бұрын

    Yani ww hongera kila nikisoma koment za kipindi hiki lazima nikuone hongera hatar ila ue wajifunza mamy hata kama nakuona upo kwneye ndege ya ethiopia

  • @chumayaoinvestment1647
    @chumayaoinvestment16474 жыл бұрын

    Neat

  • @kisalaurence6177
    @kisalaurence6177 Жыл бұрын

    SalamaNaFidQ among the best talk siku zote ya kuangalia to us young generation ✊🏿🤍🧠

  • @tafawasaid4740
    @tafawasaid47404 жыл бұрын

    Salama Jabir The Greatest Of All Time #Goat she can do each and everything in this industry

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz3 жыл бұрын

    the G.O.A.T farid qubanda .... "nawapa ofa ya mswaki alaf mnaning'oa meno!!!!" hatar sanaa huu mstar

  • @maesryclassic456

    @maesryclassic456

    3 жыл бұрын

    Time is money nafasi hujali kuzuga, wema anataka saa ya almasi zari anaujali mda

  • @rehemamrutu5596
    @rehemamrutu55964 жыл бұрын

    Salama always I love you

  • @KaoratajrMD
    @KaoratajrMD4 жыл бұрын

    some brains conversations...safi sana

  • @clarasteven1802
    @clarasteven18023 жыл бұрын

    Mr aron wa nyakabungo,ni shidaaaa

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma14 жыл бұрын

    Single monthers and fathers mjifunze hapa, msiwatie sumu watoto, haisidii. Baba ni baba na Mama ni Mama. Period!!

  • @benardcostantine587

    @benardcostantine587

    4 жыл бұрын

    Trust

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul1034 жыл бұрын

    Love u my sisSalamA ... 🤗your hair 😋

  • @johashisamson1915
    @johashisamson19154 жыл бұрын

    Jamaa anajua sana

  • @ujudiabdull9442
    @ujudiabdull94423 жыл бұрын

    Yaani FidQ nkikuangalia tu nacheka big up broo nakukubali sana 💪💪

  • @josehaulee1508
    @josehaulee1508 Жыл бұрын

    Wana sanaaa waliobaki ni fd pr j sugu na fa

  • @watidowalid7744
    @watidowalid77444 жыл бұрын

    Sawa

  • @abdulkarimmohamed4616
    @abdulkarimmohamed4616 Жыл бұрын

    Hichi kimewahamasisha vijana wengi sana wawe na matumaini kwa maisha hasa mimi Salama dadangu mkubwa vipindi vyako navifwatilia mbaya

  • @sidval-el5816
    @sidval-el58164 жыл бұрын

    "Sehemu niliopo huku hamna access kabisa ya pilau" imenichekesha sana na kunihuzinisha pia. Bittersweet moment!

  • @masudiwaukweli468
    @masudiwaukweli468 Жыл бұрын

    Nimeipenda sana tangia agost 13 mpaka sasa maneno ya kikubwa heshima kwenu👍👍👍👍

  • @bigboyben6932
    @bigboyben69324 жыл бұрын

    ‘Nilichekechaaaaaaa nikandua sijafanya chochote cha kumfurahisha huyu headmaster’ fid Q nakukubari sana man

  • @habeebboost1342
    @habeebboost13424 жыл бұрын

    Point ya mama fid umenikosha Allah akujazie kheri

  • @pascalanthony2542
    @pascalanthony25424 жыл бұрын

    Nakukubali sana fid q

  • @mababiyoo8099
    @mababiyoo80994 жыл бұрын

    One love

  • @abubakariynassoro9018
    @abubakariynassoro90184 жыл бұрын

    Ndo mtangazaji wakike amesha fanya VIPINDI TOFAUTI LAKIN WA2 WANAMKUBALI

  • @ombenmichael3473
    @ombenmichael34734 жыл бұрын

    Great interview

  • @nuhubalandya9164
    @nuhubalandya91644 жыл бұрын

    Apo fresh Fid Qn , nakuelewa sana mzee

  • @deogratiusjohn4502
    @deogratiusjohn45024 жыл бұрын

    Msanii bora wa hip hop Africa nzima na duniani kubali san bro

  • @malickabbas8271
    @malickabbas82714 жыл бұрын

    Ni kweli Salama aliwah kutembea na fid q

  • @fashiontrendstv3207
    @fashiontrendstv32074 жыл бұрын

    Ila Wakaka wa hip hop wanaonekanaga hardcore lakini wanakipenda wanamapenzi ya kweli

  • @gkaniel87

    @gkaniel87

    4 жыл бұрын

    Kama mimi tu dada 🙏

  • @veronicadaniel1122

    @veronicadaniel1122

    4 жыл бұрын

    Maria James Saana

  • @boazmwasote5944

    @boazmwasote5944

    4 жыл бұрын

    Mmmmh haya bna

  • @berthamtenga2091
    @berthamtenga20914 жыл бұрын

    Namkubali saana fid

  • @hajiabdalla2034
    @hajiabdalla20342 жыл бұрын

    very nice

  • @ashminaabdulla8946
    @ashminaabdulla8946 Жыл бұрын

    Mpaka leo 👌🥰🥰👌💯

  • @ibrahamkalu9069
    @ibrahamkalu90694 жыл бұрын

    Salama twataka sura ya Jesca,,. interview iko 🔥🔥

  • @victoriasospeter592
    @victoriasospeter5924 жыл бұрын

    love n love fid qubanda

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele5214 жыл бұрын

    Bonge LA ex interview Kati ya Ng'wanamarundi na salama Nimecheka sn ety ninaappetite ya msosi

  • @mkoakaskaziniu8132
    @mkoakaskaziniu81322 жыл бұрын

    Wewe hatar sana salama Unajua

  • @bittersweet1683
    @bittersweet1683 Жыл бұрын

    Fid Q's music changed how I see the world

  • @andrewjulius3951
    @andrewjulius39514 жыл бұрын

    Leo kali,,,umekutana na mtu mwenye upeo mkubwa kiakil na saikolojia,,,,ulizeni maswali ya kikubwa.

  • @vevo3130

    @vevo3130

    4 жыл бұрын

    kama yapi?? yaweke wazi ili wajue tujifunze...

  • @advocatekarama4917

    @advocatekarama4917

    4 жыл бұрын

    Vivian Charlz 😅😅

  • @danielsama1576
    @danielsama15764 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂kila akichekecha hajamfraisha mwalimu

  • @ramadhaniabdi9530
    @ramadhaniabdi95304 жыл бұрын

    Leo story za malezi tu na familia

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo173 жыл бұрын

    Fid q fundi wa mziki we proud of u Wana lake zone

  • @mussaissa5270
    @mussaissa52704 жыл бұрын

    Salama nakupenda sanaaa wallah 🙏🙏🙏

  • @veronicadaniel1122
    @veronicadaniel11224 жыл бұрын

    My kaka WA mbasa

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo173 жыл бұрын

    Fid q kalelewa vzr xn uyu jamaa ana hekima na busara xn npo jiran na nymbn kwao apa nyegezi Mwanza jamaa anakujaga home Hana sifa yan ana maisha ya pekee xn

  • @nellykasanda825
    @nellykasanda8253 жыл бұрын

    Good

  • @amanihamisi5686
    @amanihamisi56864 жыл бұрын

    Ngosha#mzee mbuzi

  • @benardmartine244
    @benardmartine2444 жыл бұрын

    mbasa Gete

  • @jumamichael4083
    @jumamichael40834 жыл бұрын

    Duh

  • @brayanphilipo1851
    @brayanphilipo18514 жыл бұрын

    Natumia Akili nyingi Kuilewa Mistari Yako Bro 💪🏼

  • @mercymakundi3582
    @mercymakundi35824 жыл бұрын

    Bonge la intavyuuuuu aiseee

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    *FARID QUBANDA* nakukubali sana 💕

  • @kelvinsichone2359
    @kelvinsichone23594 жыл бұрын

    You are so conscious mwanamalundi

  • @marthamasanja3138
    @marthamasanja31383 жыл бұрын

    Nakubali xana braza

  • @Majambo_Duniani_Tv
    @Majambo_Duniani_Tv4 жыл бұрын

    Jeska kula gwara👊

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 Жыл бұрын

    King 👑 of Rock City 🙌

  • @andrewbabaako6972
    @andrewbabaako6972 Жыл бұрын

    usinikubali halaka moja kat ya ngoma nzuri sana inayotukosesha mademu

  • @lovenessgodson1075
    @lovenessgodson10754 жыл бұрын

    Mbona haifunguki kwangu

  • @abdalamhamed1748
    @abdalamhamed17484 жыл бұрын

    ukiniuliza msanii bongo,kichwani inakuja fid q.

  • @majadotto9513
    @majadotto95134 жыл бұрын

    Mwanamalundi nakubari

  • @hellenmawere9284
    @hellenmawere92844 жыл бұрын

    Kaka mkubwa wewe ni zaidi ya kiyoo... Mashairi yako, maisha yako hua najifunza Sana kupitia nyimbo zako... 🤪 Mzee wa appetite

  • @zedekiahmagwega8044
    @zedekiahmagwega8044Ай бұрын

    Rudia hii interview SALAMA

  • @shesheejumaa578
    @shesheejumaa5784 жыл бұрын

    sister salama please nitafurahi sana kama utarudia tena interview na brother fid coz daaah maneno yake ni kuntu

  • @bahatilusambo2757
    @bahatilusambo2757 Жыл бұрын

    Fid anaweza kumlaumu Baba yake lakini haja fanya utafiti kuwa kilicho mfanya Baba yake kubadilika Ni Nini?mke anaweza kuwa mzuri kwa watoto lakini asiwe mzuri Kwa mme au mme anaweza kuwa mzuri kwa watoto lakini asiwe mzuri Kwa mke wake kwa hiyo kujua chanzo kikubwa cha tatizo ndio ukomavu wa fikra pana na utafiti, asilimia kubwa ya mke au mme kuna kosa kubwa sana wanalo fanya kuhamishia upendo kwa watoto Ni kosa kubwa sana katika ndoa, mme na mke wakipendana wao kwa wao Ni jambo jema na la busara, Mimi nina mwanangu lakini mwanangu akikua ataniacha na mke wangu

  • @zedekiahmagwega8044

    @zedekiahmagwega8044

    Ай бұрын

    Hapo alipotoka huko kwa mwanae na akaamua kumsamehe nafikiri aliambiwa ukweli ulivyo

  • @lutemelele9619
    @lutemelele96194 жыл бұрын

    😘😘

  • @augustinojonas2643
    @augustinojonas26433 жыл бұрын

    Ngosha the swagga don

  • @erickbmaxunga6019
    @erickbmaxunga60193 жыл бұрын

    Mnyama kabixa

  • @billionairesmind182
    @billionairesmind1824 жыл бұрын

    Ngosha genius

  • @Ivy-pn2gc
    @Ivy-pn2gc4 жыл бұрын

    Salaama uko makini ...eti apo ushaita mpenzi.

  • @momagnet1212
    @momagnet12123 жыл бұрын

    Tuna mtaka young killar salama

  • @michaelgermany173
    @michaelgermany1734 жыл бұрын

    Respect to you fid q your big thinker

  • @frexalphonce9387
    @frexalphonce93874 жыл бұрын

    Dar fid nimependa maneno yako ofxa

  • @richardkirongo4835
    @richardkirongo48354 жыл бұрын

    August 13

  • @allimwakalebella3789
    @allimwakalebella37894 жыл бұрын

    Salama na #Dj_Fetty itakua poa

  • @queenkiruwa3499
    @queenkiruwa34993 жыл бұрын

    Salama uyo Alisha kua mtu wako gonga like km unajua iloo

  • @hamzaabdulhalimissa7184
    @hamzaabdulhalimissa71844 жыл бұрын

    Mwanamalundi,ngosha,mwanza mwanza,cheusi dawa sijawahi kuchukia interview zake

  • @azorindege3583
    @azorindege35834 жыл бұрын

    Jescaaaaaa

  • @jacksonmishwaro7460
    @jacksonmishwaro74604 жыл бұрын

    mimi nikishamuona jessica tu...Show imeisha

  • @ayubuadamu8587
    @ayubuadamu8587 Жыл бұрын

    FAREED🙌🏿🙌🏿🙌🏿💯

Келесі