Salama Na Lord Eyes Ep 20 | HAWATUWEZI Part 1
Ойын-сауық
#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Isaac ndo jinsi jina lake linavyoandikwa, kipaji adhimu kabisa kutoka Kaskazini mwa Tanzania, Allah kamjaalia kila ambalo msanii anaomba abarikiwe nalo wakati anapewa kipaji. Mrefu, muonekano mzuri, mashairi ya kibabe na kujiamini kulikokaa sehemu yake haswa.
Walipoanza kama kundi hapo ndo attention yangu waliipata wana Nako 2 Nako Soldiers kutoka Ara, kila kitu kilikua tofauti juu yao, mavazi, style, matamshi na hata muonekano. Hii ilikua chachu ya kuwafikisha popote ambapo walikua wamepalenga. Mashabiki kila kona ya Tanzania na Afrika na dunia kwa ujumla, hakuna radio utakayoskilizia ambayo walikua hawapati nafasi. Walikua marafiki wa kila kituo na kazi yao waliifanya vizuri haswa.
Nia ya mazungumzo haya ilikua ni ku catch up na rafiki yangu Isaac aka Lord Eyes aka Lodii. Kiasi cha heshima nilichokua nacho juu yake ni cha hali ya juu, uwezo wake wa kufanya kazi aliyopewa kipaji na Jalali ni wa kipekee. So nini kilienda kombo haswa kwa baadhi ya wanachama katika kundi lake na kwake yeye binafsi? Niamini haikua kazi rahisi kuweza kupata ujasiri wa kutaka kuyajua yote. Ni ngumu wakati mwingi kumuuliza mtu kuhusu struggle zake ambazo bado anapigana nazo na hii haijalishi hata kama mmezoeana kiasi gani.
Lodii alikua hana cha kujificha, hana kinyongo wala hana kisasi na mtu yoyote, kubwa analolifanya ni kuwa bora one day at a time na kuelekea kwenye sehemu salama anayotaka kufika. So nini haswa kilitokea kwa Wanako? Na yeye alijikutaje kazama kwenye dimwi na madawa na maisha ambayo alikua hayataki? Siku ya kwanza kuonja ilikua lini? Na je ni lini alikua ana tatizo na akaanza kulifanyia kazi? Wazazi wake? Ana mtoto au watoto? Ni mapenzi yakimfikisha huko? Au marafiki? Au maisha? Na pia aliwezaje kutoka huko? Lini aliona haswa kama imetosha na basi aanze kujikomboa?
Kusema za ukweli story ni ndefu ila tulipata wa kutusimulia na yangu matumaini kuna mambo mawili matatu utajifunza juu ya maisha, umaarufu, marafiki na maamuzi ambayo unaweza ukafanya. Tafadhali enjoy.
Love,
Salama
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Пікірлер: 208
What I've learnt throughout this interview: 1. Never write off anyone provided He/She is still breathing. 2. Do not judge. Take time to listen to peoples stories. Its not what you hear. 3. Ndo Zetu(One of my favorite Song & Video) was recorded in Nairobi.(Musyoka and Chizen Brain) Much appreciation to Iz Nako and the whole Salama Na crew...
Ukimsikiliza zaid LordEyez utagundua jamaa ana kipaj sana cha kurap na kuandika nyimbo maongez yake tu yapo sawa sana
This DUDE is still very bright,am Happy for you Ez Nako and still your FAN tena kindakindaki kabisa always nilipenda akamate line kama zamani ila kwa uwezo wa Mungu mwana karejea kwenye career yake.....bless up m-Nako👊 Kama umeirudia interview mara mbilimbili Gonga like tufurahi wote
Huyo kaka Ana kitu ndani yake very special, Mungu amsaidie🙏🏾
Salama you might need to teach these young folks how to do an interview. This one made me subscribe on your channel. way too professional. Big shout
I like the fact that he's very humble... Congrats Salama I'm your big Fan ever... Appreciating you all.
@apollojohn5698
3 жыл бұрын
Swahiba uko wapi nowadays
Lord Eyez dah hili jamaa nalikubali sana, Thank God mwamba karudi fresh. Big Up Salama kwa hii interview noma sana.
This is a fantastic interview I never meet before. Shout out to you my men Lord Eyes
Nako 2 nako lilikua moja kundi bora sana kwangu...Kuna muda natamani lirudi tena japo ni ngumu sana kuyafanya mambo yawe kama yalivokua... Hawatuwezi utabaki kuwa wimbo bora kwangu muda wote ...nafurahi kuona l eyes uko ok
Snoop wa bongo l eyez Kama eyez 🔥🔥🔥💥
The guy is talented, thanks to God he is back again. There is a lesson behind his life story. Bado tunahitaji uwepo wake sanaa...
My favorite man of all the time @lordeyes. Love you so very much #hawatuwezi#mchiziwanguremix
Huyo ndio Lord Eyz Yuko vizuri sana huyu mwamba mwenye hip hop yake
Watu wa KZread unatucheleweshea sana, ujue wengne hatuna access ya kuona kwenye tv. Wengne wake zetu wanakuwa bize na tamthilia zao.
@erickendrick3330
4 жыл бұрын
Ahahaha.....Kweli.😂😂😂
@ericernest2099
4 жыл бұрын
Endelea na tamthilia bob
@michaelkivaria6011
4 жыл бұрын
😂😂😂
@lykamlaki7120
4 жыл бұрын
🤣😂🤣😂
@adamidrisa9232
4 жыл бұрын
Kweli best
Pole kwa yalokupata Lords, simama imara Jembe,you can start all over again. Inawezekana. Haina noma, sasa Lord Eyes, twaomba hicho chakula mlopika sasa. Nako 2 Nako must come back na si tafadhali aisee. Mumetuyeyushia sana. Inuka ukimbize ndoto. Salama Na wahusika wakuu, kazi safi.Keep shining.
@raymondvibes86
4 жыл бұрын
Ali Manzu kweli kabisa Nako 2 Nako must come back. Napenda unavyo tangaza ukiwa kwa TV
@ahmedsaid3423
2 жыл бұрын
Jamaa yuko muwazi Sana kweli Ana Nia ya kubaki kua Safi keep coming back bro
lord eyez na nako kwa ujumla, niliipenda sana nakumbuka nlipokua a level nilikua navaa ear phne nikianza soma napata mafeeeling sana
More than gentleman akili mingi, saut ya hiphop dooh linavutiaaa
The Heavyweight Vocal Hip Hop Lord Eyes🗣
Lord you are speaking from you're heart man nimependa umekunywa maji juice pia inatembea safi sana unaweza kuongea ukiwa unakunywa taratibu sio mpaka mmalize mahojiano ndio mle safii. Bless u Man
Ujanja mwingi siku zote ndo unaangusha watu
Vp Lord inawezekana mkatafutana mkafanya iyo album na ma nako mwiitoe tu,!
Learned Something Huge, Blessed🙏🏾
Ndio maana hawatuwezi Kali sana ...kumbe ilipenya tuu Mwanangu
Wow! This is dope.
I like your accent Lord....you talk like a real G...
Lord bana, safi sana, very calm, man umetulia sana kwenye interview, wengi hawana utulivu kama huu, keep it up bro!!!
One of the Best interviews, I suggest G-nako #Warawara be the Next.
I love this interview🔥
Napenda sana hii kitu from the begining to end. The soundtracks , sana sana nikiskilza nikiwa kwenye podcast
Nilimmiss sana Macho ya Bwana (Lord Eyes)
Noma sana. Eazy
Safi sana watu wa mungu.. Aminia sana to Lord Eyes
Salama kweli una feel swaga za Arachuga. Una blush sana 😂
@napendamuzikiilovemusic5840
4 жыл бұрын
Umemsoma Sawa Sawa
@napendamuzikiilovemusic5840
4 жыл бұрын
Alafu Eazy ana straggle sana kuongea Kiswahili strait anaweza cha mtaani sana
@mankarichard5851
3 жыл бұрын
Kichiz 😂😂
@mankarichard5851
3 жыл бұрын
Kabisa kiswa kinampiga chenga lord
Good content🔥🙏
Kipind nmekipenda sana,salama ur a real professional
BWANA MACHO #LORDEYES
appriciate you Lord Eyes,kuna jambo nimejifunza...
Safi kabisa iyo nmeipenda 💯
Ujumbe mzuri Lordy ,"ajilimbikiziaye wimbi la marafiki ni mnafiki. Huwezi kuwa na marafikai weeengi". Salama mlete Jay Moe , katai Salama Na....
He's very honest
Bonge moja la interview
Bro wewe ni role model wa wengi. Simama tena tuiokoe mitaa
Duh!!!hii story hii noma sana ila nna imani drugs lazima ujikatae kwanza ndo unaweza kuacha.
Urafiki ni kusitiri...nakubali
@joemicrpg
4 жыл бұрын
Jamaa Kaongea Vitu Makini Sana...✊🏿🧠
ni noma sana binti salama
Namkubali xna bro toka long time
Mwanangu kama hawatuwezi ndio ngoma iliyotoka tuu itakuwa nyingine ni kali sana mkuu Fanyeni muiachie
Ez nako ndo zetu big up sana
Real bruh 👑 ✊✊
real genious
Asante sana Njiwa Salama leo umefikisha salamu kwa Jessica
Mnyamaa! king Izzy
Lord handsome
ARUSHA UNIQUE VACAL "LORD EYES"
Kumbe wew m tz
Wa kwanza nipeni like zangu
Bwana we Lord eyes jembe sana
Big up 👊👊👊lord
nice interview
Mnyamaa Lord eyez
Daah lord eyez mkali sana na wakali hop hip lord
I was missing you salaama ata Kama hatujakutana nakufuatiliya tangu zamani
NIMEMUELEWA, LORD IZZY HAPO KWENYE MARAFIKI... nmepata kituu
Real man eazy wa waz
Eti "mambo yetu" hahah msaidieni ibra jamani
Speaking very smart. Hip kweli miakili mingi.
I like it
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Goat🙏🏾
Lord eyes,wivuuu muhehe yulee achaaa tunaweza nyonga mtu.tuombeeni tu sisi wanyaluu.
Salam tuletee JCB and bonta
Niko zanzibar kipindi kiko sawa
Yahstonetown
Eti mambo yetu😆
Bro Lord anaongea kwa hekima sana
Hamjafikiria kuuweka etv kwenye DStv
Wee salama unajuwa kuitendea haki kazi yako
To me this was the best interview ever
@loganpoul
2 жыл бұрын
Nakupenda Elizabeth
"Ujanja mwingi huangusha watu" #Mtaahautakipupa
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
Yeaaah bro upo sahihi maneno yako
Salamaaa tuletee GNako plz 🔥🔥🔥🔥
Uje umlete na chid benz
Dah Nako 2 Nako ilinifanya niipende na niiheshimu HiPHop mpk leo...Nakukubali sana Baba La Baba Lord Eyez💖💖💖
@calvinpaul2171
4 жыл бұрын
Ur sweet
Dah kaza bhana jomba wadogo zako tupo Street tunakuangalia wew
Habibyy skuiz husemi stone town kama ile ya zanzibar.
anasauti nzurii jmn
👑 👀
liked
mm nakumbuka nilikua maeneo yao N2N ilikua nomazzzz (lovz lord iz )
@sanideotemu1527
4 жыл бұрын
Iorfd iz noma san
Yap so handsome
Lord eyes lete ngoma bwana tumemis Sana madude yako pia warudishe N2N Sojas HIPOP Bongo imelala Sana njoni wanangu muiamshe babaaake
🤣🤣 ibra tuko naye mbona msela tu hana noma.kabisa..na boonako hawana kwere kabisa 2021
Naona kama Dada angu anamuangalia Lord eyes kwa jicho la mahaba,Au macho yangu?
@mandyfitnesstv6738
4 жыл бұрын
😂😂
@sweetmama6885
4 жыл бұрын
Imebidi nicheke kwa nguvu. Khaaa Baraka.
@lykamlaki7120
4 жыл бұрын
😂Acha ujinga
@upendotarimo9324
4 жыл бұрын
Umenifanya nicheke
@sharifamfaume9342
4 жыл бұрын
😂😂
qalii sana hiiiii
Bonge la interview ,salama fanya ufanye interview na hemed phd
Lord bhana ulimuogopaogopa
Plz plz dont skip ads letz support.
lord izzy, mkal sana! nd0 maana hata fid q mkal wa hip hop anamkubali lord!! ilaaa wat hawataki kuelewa ty maana wanakaza nd0nga
Dada salama mlete na Gnako
Mi broda
Mlete na chindo man bhana