Salama Na Lord Eyes Ep 20 | HAWATUWEZI Part 1

Ойын-сауық

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Isaac ndo jinsi jina lake linavyoandikwa, kipaji adhimu kabisa kutoka Kaskazini mwa Tanzania, Allah kamjaalia kila ambalo msanii anaomba abarikiwe nalo wakati anapewa kipaji. Mrefu, muonekano mzuri, mashairi ya kibabe na kujiamini kulikokaa sehemu yake haswa.
Walipoanza kama kundi hapo ndo attention yangu waliipata wana Nako 2 Nako Soldiers kutoka Ara, kila kitu kilikua tofauti juu yao, mavazi, style, matamshi na hata muonekano. Hii ilikua chachu ya kuwafikisha popote ambapo walikua wamepalenga. Mashabiki kila kona ya Tanzania na Afrika na dunia kwa ujumla, hakuna radio utakayoskilizia ambayo walikua hawapati nafasi. Walikua marafiki wa kila kituo na kazi yao waliifanya vizuri haswa.
Nia ya mazungumzo haya ilikua ni ku catch up na rafiki yangu Isaac aka Lord Eyes aka Lodii. Kiasi cha heshima nilichokua nacho juu yake ni cha hali ya juu, uwezo wake wa kufanya kazi aliyopewa kipaji na Jalali ni wa kipekee. So nini kilienda kombo haswa kwa baadhi ya wanachama katika kundi lake na kwake yeye binafsi? Niamini haikua kazi rahisi kuweza kupata ujasiri wa kutaka kuyajua yote. Ni ngumu wakati mwingi kumuuliza mtu kuhusu struggle zake ambazo bado anapigana nazo na hii haijalishi hata kama mmezoeana kiasi gani.
Lodii alikua hana cha kujificha, hana kinyongo wala hana kisasi na mtu yoyote, kubwa analolifanya ni kuwa bora one day at a time na kuelekea kwenye sehemu salama anayotaka kufika. So nini haswa kilitokea kwa Wanako? Na yeye alijikutaje kazama kwenye dimwi na madawa na maisha ambayo alikua hayataki? Siku ya kwanza kuonja ilikua lini? Na je ni lini alikua ana tatizo na akaanza kulifanyia kazi? Wazazi wake? Ana mtoto au watoto? Ni mapenzi yakimfikisha huko? Au marafiki? Au maisha? Na pia aliwezaje kutoka huko? Lini aliona haswa kama imetosha na basi aanze kujikomboa?
Kusema za ukweli story ni ndefu ila tulipata wa kutusimulia na yangu matumaini kuna mambo mawili matatu utajifunza juu ya maisha, umaarufu, marafiki na maamuzi ambayo unaweza ukafanya. Tafadhali enjoy.
Love,
Salama
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 208

  • @keynoteyjr
    @keynoteyjr4 жыл бұрын

    What I've learnt throughout this interview: 1. Never write off anyone provided He/She is still breathing. 2. Do not judge. Take time to listen to peoples stories. Its not what you hear. 3. Ndo Zetu(One of my favorite Song & Video) was recorded in Nairobi.(Musyoka and Chizen Brain) Much appreciation to Iz Nako and the whole Salama Na crew...

  • @ramadhaniabdi9530
    @ramadhaniabdi95304 жыл бұрын

    Ukimsikiliza zaid LordEyez utagundua jamaa ana kipaj sana cha kurap na kuandika nyimbo maongez yake tu yapo sawa sana

  • @victorchris5144
    @victorchris51443 жыл бұрын

    This DUDE is still very bright,am Happy for you Ez Nako and still your FAN tena kindakindaki kabisa always nilipenda akamate line kama zamani ila kwa uwezo wa Mungu mwana karejea kwenye career yake.....bless up m-Nako👊 Kama umeirudia interview mara mbilimbili Gonga like tufurahi wote

  • @tunsumegideonmwamboneke9639
    @tunsumegideonmwamboneke96394 жыл бұрын

    Huyo kaka Ana kitu ndani yake very special, Mungu amsaidie🙏🏾

  • @maverickcreativesolutions8285
    @maverickcreativesolutions82854 жыл бұрын

    Salama you might need to teach these young folks how to do an interview. This one made me subscribe on your channel. way too professional. Big shout

  • @hellenmawere9284
    @hellenmawere92844 жыл бұрын

    I like the fact that he's very humble... Congrats Salama I'm your big Fan ever... Appreciating you all.

  • @apollojohn5698

    @apollojohn5698

    3 жыл бұрын

    Swahiba uko wapi nowadays

  • @nelsonmwombeki5243
    @nelsonmwombeki52433 жыл бұрын

    Lord Eyez dah hili jamaa nalikubali sana, Thank God mwamba karudi fresh. Big Up Salama kwa hii interview noma sana.

  • @firstborn8086
    @firstborn80864 жыл бұрын

    This is a fantastic interview I never meet before. Shout out to you my men Lord Eyes

  • @mussamsella5801
    @mussamsella58014 жыл бұрын

    Nako 2 nako lilikua moja kundi bora sana kwangu...Kuna muda natamani lirudi tena japo ni ngumu sana kuyafanya mambo yawe kama yalivokua... Hawatuwezi utabaki kuwa wimbo bora kwangu muda wote ...nafurahi kuona l eyes uko ok

  • @mahadsayyed7475
    @mahadsayyed74754 жыл бұрын

    Snoop wa bongo l eyez Kama eyez 🔥🔥🔥💥

  • @shwahibumassawe2555
    @shwahibumassawe25553 жыл бұрын

    The guy is talented, thanks to God he is back again. There is a lesson behind his life story. Bado tunahitaji uwepo wake sanaa...

  • @mpendwamillanzi7166
    @mpendwamillanzi71664 жыл бұрын

    My favorite man of all the time @lordeyes. Love you so very much #hawatuwezi#mchiziwanguremix

  • @juvenalymnyama735
    @juvenalymnyama7354 жыл бұрын

    Huyo ndio Lord Eyz Yuko vizuri sana huyu mwamba mwenye hip hop yake

  • @josephk90
    @josephk904 жыл бұрын

    Watu wa KZread unatucheleweshea sana, ujue wengne hatuna access ya kuona kwenye tv. Wengne wake zetu wanakuwa bize na tamthilia zao.

  • @erickendrick3330

    @erickendrick3330

    4 жыл бұрын

    Ahahaha.....Kweli.😂😂😂

  • @ericernest2099

    @ericernest2099

    4 жыл бұрын

    Endelea na tamthilia bob

  • @michaelkivaria6011

    @michaelkivaria6011

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @lykamlaki7120

    @lykamlaki7120

    4 жыл бұрын

    🤣😂🤣😂

  • @adamidrisa9232

    @adamidrisa9232

    4 жыл бұрын

    Kweli best

  • @Ali_Manzu
    @Ali_Manzu4 жыл бұрын

    Pole kwa yalokupata Lords, simama imara Jembe,you can start all over again. Inawezekana. Haina noma, sasa Lord Eyes, twaomba hicho chakula mlopika sasa. Nako 2 Nako must come back na si tafadhali aisee. Mumetuyeyushia sana. Inuka ukimbize ndoto. Salama Na wahusika wakuu, kazi safi.Keep shining.

  • @raymondvibes86

    @raymondvibes86

    4 жыл бұрын

    Ali Manzu kweli kabisa Nako 2 Nako must come back. Napenda unavyo tangaza ukiwa kwa TV

  • @ahmedsaid3423

    @ahmedsaid3423

    2 жыл бұрын

    Jamaa yuko muwazi Sana kweli Ana Nia ya kubaki kua Safi keep coming back bro

  • @hilarymungure8590
    @hilarymungure85904 жыл бұрын

    lord eyez na nako kwa ujumla, niliipenda sana nakumbuka nlipokua a level nilikua navaa ear phne nikianza soma napata mafeeeling sana

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana96784 жыл бұрын

    More than gentleman akili mingi, saut ya hiphop dooh linavutiaaa

  • @dadyshunaydah9421
    @dadyshunaydah94214 жыл бұрын

    The Heavyweight Vocal Hip Hop Lord Eyes🗣

  • @estasiashiringa1038
    @estasiashiringa10384 жыл бұрын

    Lord you are speaking from you're heart man nimependa umekunywa maji juice pia inatembea safi sana unaweza kuongea ukiwa unakunywa taratibu sio mpaka mmalize mahojiano ndio mle safii. Bless u Man

  • @distymgenge9479
    @distymgenge94794 жыл бұрын

    Ujanja mwingi siku zote ndo unaangusha watu

  • @crousermollel6303
    @crousermollel63034 жыл бұрын

    Vp Lord inawezekana mkatafutana mkafanya iyo album na ma nako mwiitoe tu,!

  • @rodgersgasper7006
    @rodgersgasper7006 Жыл бұрын

    Learned Something Huge, Blessed🙏🏾

  • @mussamsella5801
    @mussamsella58014 жыл бұрын

    Ndio maana hawatuwezi Kali sana ...kumbe ilipenya tuu Mwanangu

  • @ambrosesulley2788
    @ambrosesulley27884 жыл бұрын

    Wow! This is dope.

  • @shabanshaban9779
    @shabanshaban97794 жыл бұрын

    I like your accent Lord....you talk like a real G...

  • @christophercimlewamsasa528
    @christophercimlewamsasa5284 жыл бұрын

    Lord bana, safi sana, very calm, man umetulia sana kwenye interview, wengi hawana utulivu kama huu, keep it up bro!!!

  • @michaelmallya5622
    @michaelmallya56224 жыл бұрын

    One of the Best interviews, I suggest G-nako #Warawara be the Next.

  • @aminakazogolo9914
    @aminakazogolo99144 жыл бұрын

    I love this interview🔥

  • @barakatemba441
    @barakatemba4414 жыл бұрын

    Napenda sana hii kitu from the begining to end. The soundtracks , sana sana nikiskilza nikiwa kwenye podcast

  • @jumamofu9573
    @jumamofu95734 жыл бұрын

    Nilimmiss sana Macho ya Bwana (Lord Eyes)

  • @erickendrick3330
    @erickendrick33304 жыл бұрын

    Noma sana. Eazy

  • @kingbidder
    @kingbidder2 жыл бұрын

    Safi sana watu wa mungu.. Aminia sana to Lord Eyes

  • @juliusmateru3040
    @juliusmateru30404 жыл бұрын

    Salama kweli una feel swaga za Arachuga. Una blush sana 😂

  • @napendamuzikiilovemusic5840

    @napendamuzikiilovemusic5840

    4 жыл бұрын

    Umemsoma Sawa Sawa

  • @napendamuzikiilovemusic5840

    @napendamuzikiilovemusic5840

    4 жыл бұрын

    Alafu Eazy ana straggle sana kuongea Kiswahili strait anaweza cha mtaani sana

  • @mankarichard5851

    @mankarichard5851

    3 жыл бұрын

    Kichiz 😂😂

  • @mankarichard5851

    @mankarichard5851

    3 жыл бұрын

    Kabisa kiswa kinampiga chenga lord

  • @evaristmrope
    @evaristmrope4 жыл бұрын

    Good content🔥🙏

  • @luqmanmohamedy3860
    @luqmanmohamedy38604 жыл бұрын

    Kipind nmekipenda sana,salama ur a real professional

  • @elardmadeez3382
    @elardmadeez33824 жыл бұрын

    BWANA MACHO #LORDEYES

  • @issaiahjoseph2220
    @issaiahjoseph22203 жыл бұрын

    appriciate you Lord Eyes,kuna jambo nimejifunza...

  • @salimjuma9494
    @salimjuma94944 жыл бұрын

    Safi kabisa iyo nmeipenda 💯

  • @convilsabato7596
    @convilsabato75963 жыл бұрын

    Ujumbe mzuri Lordy ,"ajilimbikiziaye wimbi la marafiki ni mnafiki. Huwezi kuwa na marafikai weeengi". Salama mlete Jay Moe , katai Salama Na....

  • @janethmwasuka6465
    @janethmwasuka64654 жыл бұрын

    He's very honest

  • @barikiarastus8770
    @barikiarastus87704 жыл бұрын

    Bonge moja la interview

  • @mussaharun7257
    @mussaharun72574 жыл бұрын

    Bro wewe ni role model wa wengi. Simama tena tuiokoe mitaa

  • @tomasmbise2316
    @tomasmbise23164 жыл бұрын

    Duh!!!hii story hii noma sana ila nna imani drugs lazima ujikatae kwanza ndo unaweza kuacha.

  • @EllishaJames
    @EllishaJames4 жыл бұрын

    Urafiki ni kusitiri...nakubali

  • @joemicrpg

    @joemicrpg

    4 жыл бұрын

    Jamaa Kaongea Vitu Makini Sana...✊🏿🧠

  • @brianrichard9022
    @brianrichard9022 Жыл бұрын

    ni noma sana binti salama

  • @losserianchristopher8292
    @losserianchristopher82924 жыл бұрын

    Namkubali xna bro toka long time

  • @juvenalymnyama735
    @juvenalymnyama7354 жыл бұрын

    Mwanangu kama hawatuwezi ndio ngoma iliyotoka tuu itakuwa nyingine ni kali sana mkuu Fanyeni muiachie

  • @sumaijohn2312
    @sumaijohn23122 жыл бұрын

    Ez nako ndo zetu big up sana

  • @abdulyally4526
    @abdulyally45264 жыл бұрын

    Real bruh 👑 ✊✊

  • @THEKUTAMANI
    @THEKUTAMANI4 жыл бұрын

    real genious

  • @princemujuni9803
    @princemujuni98034 жыл бұрын

    Asante sana Njiwa Salama leo umefikisha salamu kwa Jessica

  • @regankeresi6410
    @regankeresi64104 жыл бұрын

    Mnyamaa! king Izzy

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia92844 жыл бұрын

    Lord handsome

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr4 жыл бұрын

    ARUSHA UNIQUE VACAL "LORD EYES"

  • @pendobaharia6922
    @pendobaharia69224 жыл бұрын

    Kumbe wew m tz

  • @kurthumibrahim2729
    @kurthumibrahim27294 жыл бұрын

    Wa kwanza nipeni like zangu

  • @exaveryjacob7810
    @exaveryjacob78103 жыл бұрын

    Bwana we Lord eyes jembe sana

  • @deusmallya6664
    @deusmallya66644 жыл бұрын

    Big up 👊👊👊lord

  • @dignerninje1047
    @dignerninje10474 жыл бұрын

    nice interview

  • @thehoodmedia5332
    @thehoodmedia53324 жыл бұрын

    Mnyamaa Lord eyez

  • @jeniphermbise3005
    @jeniphermbise30052 жыл бұрын

    Daah lord eyez mkali sana na wakali hop hip lord

  • @fredricksakagabo5198
    @fredricksakagabo51984 жыл бұрын

    I was missing you salaama ata Kama hatujakutana nakufuatiliya tangu zamani

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz3 жыл бұрын

    NIMEMUELEWA, LORD IZZY HAPO KWENYE MARAFIKI... nmepata kituu

  • @richardcastromzena5136
    @richardcastromzena51363 жыл бұрын

    Real man eazy wa waz

  • @fadhiliibrahim9702
    @fadhiliibrahim97024 жыл бұрын

    Eti "mambo yetu" hahah msaidieni ibra jamani

  • @fredrickmlaponi8152
    @fredrickmlaponi81523 жыл бұрын

    Speaking very smart. Hip kweli miakili mingi.

  • @chakalamupremiere1850
    @chakalamupremiere18504 жыл бұрын

    I like it

  • @emmanuelchamzim7220
    @emmanuelchamzim72204 жыл бұрын

    🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @geofreymnica8407
    @geofreymnica84073 жыл бұрын

    Goat🙏🏾

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga83184 жыл бұрын

    Lord eyes,wivuuu muhehe yulee achaaa tunaweza nyonga mtu.tuombeeni tu sisi wanyaluu.

  • @calvinpaul2171
    @calvinpaul21714 жыл бұрын

    Salam tuletee JCB and bonta

  • @jumadiao5901
    @jumadiao59014 жыл бұрын

    Niko zanzibar kipindi kiko sawa

  • @ramlaamiri7550
    @ramlaamiri75504 жыл бұрын

    Yahstonetown

  • @mwabayachacha3557
    @mwabayachacha35574 жыл бұрын

    Eti mambo yetu😆

  • @dannieburah8446
    @dannieburah84464 жыл бұрын

    Bro Lord anaongea kwa hekima sana

  • @malickabbas8271
    @malickabbas82714 жыл бұрын

    Hamjafikiria kuuweka etv kwenye DStv

  • @salaita2829
    @salaita2829 Жыл бұрын

    Wee salama unajuwa kuitendea haki kazi yako

  • @elizabethmlonganile5000
    @elizabethmlonganile50003 жыл бұрын

    To me this was the best interview ever

  • @loganpoul

    @loganpoul

    2 жыл бұрын

    Nakupenda Elizabeth

  • @husseinsongambele3771
    @husseinsongambele37714 жыл бұрын

    "Ujanja mwingi huangusha watu" #Mtaahautakipupa

  • @binaljabirmshihirzanzibar8369

    @binaljabirmshihirzanzibar8369

    2 жыл бұрын

    Yeaaah bro upo sahihi maneno yako

  • @joycekonga4095
    @joycekonga40954 жыл бұрын

    Salamaaa tuletee GNako plz 🔥🔥🔥🔥

  • @jamesmaganga1055
    @jamesmaganga10554 жыл бұрын

    Uje umlete na chid benz

  • @queenandchill91
    @queenandchill914 жыл бұрын

    Dah Nako 2 Nako ilinifanya niipende na niiheshimu HiPHop mpk leo...Nakukubali sana Baba La Baba Lord Eyez💖💖💖

  • @calvinpaul2171

    @calvinpaul2171

    4 жыл бұрын

    Ur sweet

  • @mrishokibaya7230
    @mrishokibaya72303 жыл бұрын

    Dah kaza bhana jomba wadogo zako tupo Street tunakuangalia wew

  • @alhassanbinarafa6520
    @alhassanbinarafa65204 жыл бұрын

    Habibyy skuiz husemi stone town kama ile ya zanzibar.

  • @juliabaraka58
    @juliabaraka583 жыл бұрын

    anasauti nzurii jmn

  • @deditocastorey6940
    @deditocastorey69404 жыл бұрын

    👑 👀

  • @babayoria9181
    @babayoria91814 жыл бұрын

    liked

  • @malaikaangel1968
    @malaikaangel19684 жыл бұрын

    mm nakumbuka nilikua maeneo yao N2N ilikua nomazzzz (lovz lord iz )

  • @sanideotemu1527

    @sanideotemu1527

    4 жыл бұрын

    Iorfd iz noma san

  • @mariajoel7133
    @mariajoel71334 жыл бұрын

    Yap so handsome

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz64474 жыл бұрын

    Lord eyes lete ngoma bwana tumemis Sana madude yako pia warudishe N2N Sojas HIPOP Bongo imelala Sana njoni wanangu muiamshe babaaake

  • @jamespatsonjp4935
    @jamespatsonjp49353 жыл бұрын

    🤣🤣 ibra tuko naye mbona msela tu hana noma.kabisa..na boonako hawana kwere kabisa 2021

  • @barakayohana6021
    @barakayohana60214 жыл бұрын

    Naona kama Dada angu anamuangalia Lord eyes kwa jicho la mahaba,Au macho yangu?

  • @mandyfitnesstv6738

    @mandyfitnesstv6738

    4 жыл бұрын

    😂😂

  • @sweetmama6885

    @sweetmama6885

    4 жыл бұрын

    Imebidi nicheke kwa nguvu. Khaaa Baraka.

  • @lykamlaki7120

    @lykamlaki7120

    4 жыл бұрын

    😂Acha ujinga

  • @upendotarimo9324

    @upendotarimo9324

    4 жыл бұрын

    Umenifanya nicheke

  • @sharifamfaume9342

    @sharifamfaume9342

    4 жыл бұрын

    😂😂

  • @hamispeter9043
    @hamispeter90434 жыл бұрын

    qalii sana hiiiii

  • @dianakalinga6420
    @dianakalinga64204 жыл бұрын

    Bonge la interview ,salama fanya ufanye interview na hemed phd

  • @johncavishe353
    @johncavishe3534 жыл бұрын

    Lord bhana ulimuogopaogopa

  • @Tuilumba
    @Tuilumba4 жыл бұрын

    Plz plz dont skip ads letz support.

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz3 жыл бұрын

    lord izzy, mkal sana! nd0 maana hata fid q mkal wa hip hop anamkubali lord!! ilaaa wat hawataki kuelewa ty maana wanakaza nd0nga

  • @omaiim4014
    @omaiim40144 жыл бұрын

    Dada salama mlete na Gnako

  • @victoriamkongwa8519
    @victoriamkongwa85193 жыл бұрын

    Mi broda

  • @johncavishe353
    @johncavishe3534 жыл бұрын

    Mlete na chindo man bhana

Келесі