LORD EYES: NILIKUWA NAMUOGOPA RAY C, HIZO NI NUKSI ZA DRUGS, NILIPENGA YA KWANZA UGIRIKI --- PART II

Пікірлер: 164

  • @conboicannabino
    @conboicannabino Жыл бұрын

    Nimependa sana hii big brother kufunguka , natamani aweze kushare kwenye miziki yake pia mziki utaishi na ushuhuda wake na ni funzo kwa wengine 🤍💯

  • @danielkenedy4357

    @danielkenedy4357

    Жыл бұрын

    Do something with terror plz connabino

  • @richardjoseph2921

    @richardjoseph2921

    Жыл бұрын

    Conboi umeongea fact, haswa jitahidi kucheza nae binafsi kumsisitiza afanye hiyo na ni kweli itaishi. Muziki na maisha yetu.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Жыл бұрын

    Ni kweli kabisa,wizi hujifunzi..wizi ni asili

  • @hayeshimpeziy
    @hayeshimpeziy Жыл бұрын

    Lord Eyes ni bonge la celeb..nimeipenda sana hii interview..Big up Milard

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 Жыл бұрын

    MTU WANGU STILL SAUTI IKO VILEVILE ..TRUE LEGEND...LORD EYES

  • @stylishgenius9886
    @stylishgenius9886 Жыл бұрын

    Ongeleni sana wote,Lord eyes Asante kwa elimu mungu awabaliki sana nimeflai kuona eyes akimtanguliza mungu nice one.

  • @JeronimoSimon65
    @JeronimoSimon65 Жыл бұрын

    Pole sana Lord. Thanks for speaking out. Always truth prevails. Yes am Freeeee!

  • @user-op7zl7fo1r
    @user-op7zl7fo1r Жыл бұрын

    Sema mependa umu lord kajiachiaa uwaga sio muongeaj kabisa

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Жыл бұрын

    Woohf big up Sana 💪 Lord izz nakuelewa Sana mungu Ni mwema kla wakat mungu ni mwema. weusii awanaga shda na wasanii wasanii ndo wanashda na weusiiii woof kwishaaaaaàaaa

  • @mushaijamulokozi4620
    @mushaijamulokozi4620 Жыл бұрын

    Huyu jamaa anavyojibu maswali kijanja sana!!

  • @jenadiusnicholaus3238
    @jenadiusnicholaus3238 Жыл бұрын

    This guy is very genuine🧤

  • @mikemills9615
    @mikemills961511 ай бұрын

    Best interview ever with reality in our daily life.....as community we need to support people addicted in drugs" Ni utumwa mbaya wenye kuleta umaskini mkubwa na mahangaiko makubwa katika maisha"

  • @isaacmunisi5559
    @isaacmunisi5559 Жыл бұрын

    Aisee jembe anaongea kitu ambacho wengi wanapitia au wamepitia, nivyema watu tujifunze mengi kupitia yeye. Ila lord namkubali sana kinoma nimsela sana. hata mimi ni lsaac toka chuga.

  • @josehagafilo8820
    @josehagafilo882011 ай бұрын

    Lord eyez ni fimbo sana aisee nakupenda sana tangu enzi zetu mwanangu best interview! Mlitufanya tuenjoy ujana wetu sanaa kabisa. Hawatuwezi nako2nako soldiers iko wazi🎉

  • @florencemlay9333
    @florencemlay9333 Жыл бұрын

    Lord eyez, pole kakaangu, yaan wanaume kuna muda wanapokea lawama saana, ht Boby Brown alifundishwa drugs na Whitney but walimsema yeye ndo kamfundisha. Hongera mnoo

  • @JeronimoSimon65
    @JeronimoSimon65 Жыл бұрын

    Here we go again. Interview ya bei ya juu zaidi with the Terror himself, GAIDI (GUIDE) la RAP. Asanteni AYO TV

  • @givenlyimo9199
    @givenlyimo9199 Жыл бұрын

    Best interview of all time

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Жыл бұрын

    The guy is so open. God help him never to return to drugs ever again

  • @millardmbaraka6114
    @millardmbaraka6114 Жыл бұрын

    Yaani lord hamalizii maneno mwana ni mnyamwezi sana dadeki (swagz)

  • @alvinchejo7800
    @alvinchejo7800 Жыл бұрын

    Huyu jamaa ana akili sana hili ni darasa tosha apewe kitengo huyu cha kufundisha

  • @youngrappertz1735

    @youngrappertz1735

    Жыл бұрын

    Kushundisha nini acha ushamba🤣

  • @chesterbrand6723

    @chesterbrand6723

    Жыл бұрын

    Yes baba

  • @venusbeno4275

    @venusbeno4275

    Жыл бұрын

    ​@@youngrappertz1735@q

  • @Thisisviisugarboy
    @Thisisviisugarboy Жыл бұрын

    I love this 🔥

  • @magdallenarichard4629
    @magdallenarichard4629 Жыл бұрын

    Handsome boy

  • @mikemills9615
    @mikemills961511 ай бұрын

    I wish lord eyes atunge nyimbo kama nne hivi zenye kueleza uhalisia wa maisha yake" kwa kweli ni balozi tosha wa kupinga madawa ya kulevya na madhara yake"

  • @babap-dn7wq
    @babap-dn7wq Жыл бұрын

    Huyu master kumuelewa inahitaji PhD ya Utulivu 😂😂😂😂

  • @issaomary7718
    @issaomary7718 Жыл бұрын

    Kuhusu madawa (heroin) na vitu kaa izo, tuzingatie sana mazee

  • @rab792
    @rab792 Жыл бұрын

    King Eyes Bravo

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 Жыл бұрын

    Ana mdogo wake nilimuona pale Arusha mwaka jana, anatia huruma, ana alama za sindano mwili mzima, amsaidie pia.

  • @BabaBalingasi-hp6gd

    @BabaBalingasi-hp6gd

    Жыл бұрын

    Yupo pande ggani Arusha? Nasikiaga watu wakisema tu

  • @zuumlondwa9518
    @zuumlondwa9518 Жыл бұрын

    Nimependa hii interview jamaa uchoki kumsikiliza😂😂

  • @vincentnkana4921
    @vincentnkana4921 Жыл бұрын

    God bless you Eyes

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 Жыл бұрын

    Mnyanwezi poa sana . True story teller 😄😄👊🏾

  • @chaulachaulaya5259
    @chaulachaulaya5259 Жыл бұрын

    Hii sio interview, hili ni DARASA.

  • @georgenyoni9879
    @georgenyoni98798 ай бұрын

    Just for today ,My thoughts will be on my recovery living and enjoying life without drugs,Kweli lord tumeteseka sana na hayo madude ,ila siku Leo , program tukiifanyia kazi inafanya kazi

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Жыл бұрын

    Dah and all this time mimi najua ni wewe umemfundisha na kumuelekeza ray c huko,

  • @kayjuma2629
    @kayjuma2629 Жыл бұрын

    Lord eyes 💪🏽💪🏽

  • @richardmagoda5107
    @richardmagoda510711 ай бұрын

    The best interview

  • @violethnatai7890
    @violethnatai7890 Жыл бұрын

    Best interview

  • @venerandamangore1384
    @venerandamangore138411 ай бұрын

    Uzuri wa Interview za Lord lazima ucheke 😂 Love me some Terror woooofffff 😂

  • @sakinaomary7207
    @sakinaomary7207 Жыл бұрын

    anaongea vizuri

  • @ntimimalamula2104
    @ntimimalamula2104 Жыл бұрын

    Napenda sana interview zako milladi zinafundisha kinoma

  • @Empoaka
    @Empoaka Жыл бұрын

    Much respect brother Lordy eyes..... ,,,,Naifanya Kwa hii ndio reason. 🌼🔋🤲

  • @paschalliving657
    @paschalliving657 Жыл бұрын

    Mandez wanasem eazy wa waz kadata..matoz wanaeleza wanavyopgwa mambataa...🔥🔥🔥eazy

  • @hajisaidy3081
    @hajisaidy3081 Жыл бұрын

    Lord eye lifestyle yako ni sawa na kile ulichorap kwenye verse yako ya Nightmare.

  • @alfredlaurent1728
    @alfredlaurent1728 Жыл бұрын

    Yaani mimi nakunywa maji,chakula,juice,sigara na pombe kidogo!! Gaidi ugaidini

  • @mikekileo1186
    @mikekileo1186 Жыл бұрын

    Siwezagi kuangalia interview ndefu hivi. Ila hii ya #Terror na #Mallard_Ayo surely hamu haishi kuangalia. Big up sana homies ✌️

  • @doubleseven7750
    @doubleseven7750 Жыл бұрын

    Du oi mi mtu wenu sana namkubali mwamba yupo kibingwa sana

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 Жыл бұрын

    Ila huyu kaka mtamu jamani😆

  • @lovesallu5292

    @lovesallu5292

    Жыл бұрын

    😃🤣😂teh teh

  • @officialtaslima5409
    @officialtaslima5409 Жыл бұрын

    Yan mwanangu hapo kwenye wa blue nimejikuta nacheka mwenyewe

  • @Patrisami
    @Patrisami Жыл бұрын

    Bonge la Inteview ✌️✌️✌️

  • @adolfmathew9698
    @adolfmathew9698 Жыл бұрын

    Lordeyez Nako 2 Nako soldier

  • @Babu_Njenje
    @Babu_Njenje9 ай бұрын

    This man is Arusha's Finest 💪💪💪

  • @user-tg4hi2mm4g
    @user-tg4hi2mm4g Жыл бұрын

  • @user-op7zl7fo1r
    @user-op7zl7fo1r Жыл бұрын

    Sema lilord lizur bana me na watt wa Arusha nawapenda sana ❤😂

  • @masalakulwa7601

    @masalakulwa7601

    Жыл бұрын

    Zuri balaa

  • @jescaonesmo3199

    @jescaonesmo3199

    Жыл бұрын

    😅litamu balaa

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf Жыл бұрын

  • @ekkymumba8566
    @ekkymumba8566 Жыл бұрын

    Nilikua nawapenda Nako 2 Nako jamani sema nilikuaga zangu mwanza ningekufata aise maana sio kwa u handsome huu duuh!, sema nishaolewa

  • @jacqueisaac8155

    @jacqueisaac8155

    Жыл бұрын

    😅

  • @jimmykivagi8415
    @jimmykivagi84158 ай бұрын

    People Places and Things

  • @mussaagrey5679
    @mussaagrey5679 Жыл бұрын

    Big up sana

  • @dattymanne
    @dattymanne Жыл бұрын

    Pole sana bro

  • @khadijahbanana5602
    @khadijahbanana5602 Жыл бұрын

    Lodiii kama lodiii

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Жыл бұрын

    Jaman mim simuelewi Lord anavyoongea,,au wenzangu mnamuelewa ?? Stor zake??

  • @lucykinabo

    @lucykinabo

    Жыл бұрын

    Yan 😄😄

  • @mrambadiana9678

    @mrambadiana9678

    Жыл бұрын

    Ukikaa Chuga ungeelewa

  • @user-tj7ns1tv9o

    @user-tj7ns1tv9o

    Жыл бұрын

    Huelew alaf unasikiliza

  • @abuuayoubayoub9260

    @abuuayoubayoub9260

    Жыл бұрын

    Hata mim nashangaa unasemaje humuelewi na huku umetulia unamsikiza

  • @user-ls3sd9ts4m
    @user-ls3sd9ts4m2 ай бұрын

    Saluut sana kaka mkubwa iizi nako wako maemc wengine wanashidwaga kufunguka kama wewe wakiulizwaga maswali wanajikanyaga kanyaga 2 hawanyoshi maelezo ila nazani watajifunza kupitia wewe kaka mkubwa izi wa wazi saluuti sana👊🏻👊🏻👊🏻

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 Жыл бұрын

    Nakukubali sana jamaaangu

  • @sinyorithababy1764
    @sinyorithababy1764 Жыл бұрын

    OG....usijieleze sana, ukijieleza maana yake unataka kuaminisha watu...nimeipenda hiyo

  • @nicky3025
    @nicky30258 ай бұрын

    moja ya interview bora sana nmewahi kuangalia

  • @eddytheblayze3810
    @eddytheblayze3810 Жыл бұрын

    Nahii ndo story ya izzy wa wazi .👊🏾 👑

  • @reinerbrainer811
    @reinerbrainer8112 ай бұрын

    Sema Lord ni muongo sana.. Eti hata Ganja alikuwa havuti???

  • @saleheabdallah5461
    @saleheabdallah5461 Жыл бұрын

    Great of all time or havy weight rapper

  • @baricktumain
    @baricktumain Жыл бұрын

    King Iz

  • @salumchuma7762
    @salumchuma77624 ай бұрын

    ONE OF THE BEST INTERVIEW...Real Motherfucking G things...Sheets happen

  • @jenipheremanuel5884
    @jenipheremanuel5884 Жыл бұрын

    Nampenda sana lord eyes

  • @DespereuxRaizo

    @DespereuxRaizo

    Жыл бұрын

    Wtf

  • @westcijosh

    @westcijosh

    Жыл бұрын

    Mtunuku kitumbua hcho

  • @aminammbaga7736
    @aminammbaga7736 Жыл бұрын

    Kwahyo sasa hamna anaeona dental formula ya mnako lord

  • @mondewaldemar5632

    @mondewaldemar5632

    Жыл бұрын

    Dental formula imenyooka aisee, nmeikubal

  • @Chingagirl123

    @Chingagirl123

    10 ай бұрын

    Mimi nimeona

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Жыл бұрын

    KWANI LODI ANAONGEAJE 😄😄🤗

  • @adinankojulianko219

    @adinankojulianko219

    Жыл бұрын

    Kiselaa 😂😂😂

  • @crispingerald3000
    @crispingerald3000 Жыл бұрын

    Ili jama interview zake nikali sana sjui kwanin alikua hafanyi interview anafa kua prezent🔥🔥🔥

  • @hamisiali-tq7yx
    @hamisiali-tq7yx Жыл бұрын

    Mlete chidi Benz hpo millad tumskie kama atafunguka kama lord eyez

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 Жыл бұрын

    Leo ni happy tu kwenye kipindi🔥🔥🔥

  • @user-mu7sa7ex4b
    @user-mu7sa7ex4b11 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @michongopodcast
    @michongopodcast Жыл бұрын

    Lord 🙌🏿

  • @shabanmaganga9972
    @shabanmaganga99726 ай бұрын

    Unga mwanzo unakuwa mzuri sana na ukivuta unajisikia poa Sana binafsi nilionja lakini nashukuru Mungu wife nilikuwa nanuogopa Sana haswa nikiwa tz

  • @yasinimalya4001
    @yasinimalya4001 Жыл бұрын

    Ila kwa ushauri au tungerudisha wakati nyuma mi naona ungeamua kumsaidia Ray C Dah ! Mngekuwa great couple , kama Aika na Nah reel, that’s tru love man! Maybe you didnt see that, butvlife goes on that was your gift you to be with her, she just needed a little polish to shine and be Great, ila dhahabu mpaka ing’ae lazma ipitie motoni ila wewe Lord uliogopa kuungua na moto pamoja na Ray C 😂, One Day I will want to have interview with you, Big up Ayo TV. Greeting from Colorado

  • @davidkamando9630

    @davidkamando9630

    Жыл бұрын

    😂😂 wabongo bana eti great couple... Daah!!

  • @zitongwang6278

    @zitongwang6278

    Жыл бұрын

    Where is Ray c if I may ask you ??? I have heard she is Paris ? She z clean and married..!!!!

  • @stankim5884
    @stankim58848 ай бұрын

    Majibu ya lord bwana 😅😅

  • @issasaad3403
    @issasaad3403 Жыл бұрын

    Hii n zaid ya darasa

  • @user-tj7ns1tv9o
    @user-tj7ns1tv9o Жыл бұрын

    Terror 💥

  • @user-mg1vf5gv3p
    @user-mg1vf5gv3p10 ай бұрын

    Wanaume wachuga ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston38418 ай бұрын

    Terror kanichekesha bn,eti yaani mm nakunywa maji sana,chakula,sigara na pombe kidogo...!

  • @willsonjames3659
    @willsonjames36595 ай бұрын

    Interview kali kinoma

  • @sidiqmhina7823
    @sidiqmhina782311 ай бұрын

    YES AM FREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats Жыл бұрын

    You have been doing this since way back Millard. Tukabidhi mic wadogo zako. Natamani nikusaidie sana hapa kwanye interview

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 Жыл бұрын

    Usirudi tena tela

  • @user-uk7jy8vp2f
    @user-uk7jy8vp2f9 ай бұрын

    Vp brother kolabo mtu mzima chindo

  • @fauziayassin7987
    @fauziayassin7987 Жыл бұрын

    I don’t know y but I think atarudia ila namuombea mungu yy na sisi sote tuondoke kweny ulimwengu wa starehe

  • @mosesnjovu1157
    @mosesnjovu1157 Жыл бұрын

    😍😍😍😍😍👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽🔥🔥🔥🔥🔥🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @charliemagai8554
    @charliemagai85548 ай бұрын

    Eri eeeh... marafikiii 😂

  • @erickendrick3330
    @erickendrick3330 Жыл бұрын

    Gaidi la Rap

  • @georgenyoni9879
    @georgenyoni98798 ай бұрын

    Broo ,Rudi kwenye meeting ku share na wanachama, program inasema,We never fully recover,no matter how long we have been clean, complacency is the enemy of the members with substantial clean time.

  • @georgenyoni9879

    @georgenyoni9879

    8 ай бұрын

    We presenter acha uongo nguzo za hip hop hazihusiki hapo,,hizi ndio nguzo za hip hop Dj,Mc, Graffiti ,break dance,Producer

  • @eng.kivuyo12
    @eng.kivuyo12 Жыл бұрын

    #OKOAMTAA

  • @dearmama7865
    @dearmama78658 ай бұрын

    albadiri ya kihindi

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 Жыл бұрын

    Anavyohadithia jins walivyoanza na ray c m hoi 😂😂😂

  • @dicsonmollel5915
    @dicsonmollel591510 ай бұрын

    Amesafisha meno nni ,amekuwa wack huyo chalii

  • @floriankihwelo9561
    @floriankihwelo9561 Жыл бұрын

    Queen iyo nywele nisiione tena Mama angu 🤣

  • @agneskighenda3795

    @agneskighenda3795

    Жыл бұрын

    Kabisa aisee😂

  • @aishaa2930
    @aishaa2930 Жыл бұрын

    Jamani huyu kaka amefanana na rafiki yangu ana itwa prospar 😢😢😢😢

  • @seifsaidnshuti9812

    @seifsaidnshuti9812

    Жыл бұрын

    Acha tamaa tulia na prosper wako😅

  • @aishaa2930

    @aishaa2930

    Жыл бұрын

    @@seifsaidnshuti9812 Sina tamaa ila ni muda sana sijamuona

  • @antildandege4972

    @antildandege4972

    8 ай бұрын

    @@seifsaidnshuti9812 hahaaa

  • @shakilaburhan9552
    @shakilaburhan9552 Жыл бұрын

    Hb wa chuga

  • @StanleyRuta-gu7tz
    @StanleyRuta-gu7tz Жыл бұрын

    King ezy Kuna interview ulifanya miaka ya nyuma kidogo clouds FM na Adam mchomvu,uli complain kuwa weusi kama kundi wanakubania, ukweli uko vipi