LORD EYES: NILIKUWA NAMUOGOPA RAY C, HIZO NI NUKSI ZA DRUGS, NILIPENGA YA KWANZA UGIRIKI --- PART II
Жүктеу.....
Пікірлер: 164
@conboicannabino Жыл бұрын
Nimependa sana hii big brother kufunguka , natamani aweze kushare kwenye miziki yake pia mziki utaishi na ushuhuda wake na ni funzo kwa wengine 🤍💯
@danielkenedy4357
Жыл бұрын
Do something with terror plz connabino
@richardjoseph2921
Жыл бұрын
Conboi umeongea fact, haswa jitahidi kucheza nae binafsi kumsisitiza afanye hiyo na ni kweli itaishi. Muziki na maisha yetu.
@kekiplus1andonly Жыл бұрын
Ni kweli kabisa,wizi hujifunzi..wizi ni asili
@hayeshimpeziy Жыл бұрын
Lord Eyes ni bonge la celeb..nimeipenda sana hii interview..Big up Milard
@luganomwaigomole7441 Жыл бұрын
MTU WANGU STILL SAUTI IKO VILEVILE ..TRUE LEGEND...LORD EYES
@stylishgenius9886 Жыл бұрын
Ongeleni sana wote,Lord eyes Asante kwa elimu mungu awabaliki sana nimeflai kuona eyes akimtanguliza mungu nice one.
@JeronimoSimon65 Жыл бұрын
Pole sana Lord. Thanks for speaking out. Always truth prevails. Yes am Freeeee!
@user-op7zl7fo1r Жыл бұрын
Sema mependa umu lord kajiachiaa uwaga sio muongeaj kabisa
@johnycavishe5207 Жыл бұрын
Woohf big up Sana 💪 Lord izz nakuelewa Sana mungu Ni mwema kla wakat mungu ni mwema. weusii awanaga shda na wasanii wasanii ndo wanashda na weusiiii woof kwishaaaaaàaaa
@mushaijamulokozi4620 Жыл бұрын
Huyu jamaa anavyojibu maswali kijanja sana!!
@jenadiusnicholaus3238 Жыл бұрын
This guy is very genuine🧤
@mikemills961511 ай бұрын
Best interview ever with reality in our daily life.....as community we need to support people addicted in drugs" Ni utumwa mbaya wenye kuleta umaskini mkubwa na mahangaiko makubwa katika maisha"
@isaacmunisi5559 Жыл бұрын
Aisee jembe anaongea kitu ambacho wengi wanapitia au wamepitia, nivyema watu tujifunze mengi kupitia yeye. Ila lord namkubali sana kinoma nimsela sana. hata mimi ni lsaac toka chuga.
@josehagafilo882011 ай бұрын
Lord eyez ni fimbo sana aisee nakupenda sana tangu enzi zetu mwanangu best interview! Mlitufanya tuenjoy ujana wetu sanaa kabisa. Hawatuwezi nako2nako soldiers iko wazi🎉
@florencemlay9333 Жыл бұрын
Lord eyez, pole kakaangu, yaan wanaume kuna muda wanapokea lawama saana, ht Boby Brown alifundishwa drugs na Whitney but walimsema yeye ndo kamfundisha. Hongera mnoo
@JeronimoSimon65 Жыл бұрын
Here we go again. Interview ya bei ya juu zaidi with the Terror himself, GAIDI (GUIDE) la RAP. Asanteni AYO TV
@givenlyimo9199 Жыл бұрын
Best interview of all time
@itanzaniaAS Жыл бұрын
The guy is so open. God help him never to return to drugs ever again
@millardmbaraka6114 Жыл бұрын
Yaani lord hamalizii maneno mwana ni mnyamwezi sana dadeki (swagz)
@alvinchejo7800 Жыл бұрын
Huyu jamaa ana akili sana hili ni darasa tosha apewe kitengo huyu cha kufundisha
@youngrappertz1735
Жыл бұрын
Kushundisha nini acha ushamba🤣
@chesterbrand6723
Жыл бұрын
Yes baba
@venusbeno4275
Жыл бұрын
@@youngrappertz1735@q
@Thisisviisugarboy Жыл бұрын
I love this 🔥
@magdallenarichard4629 Жыл бұрын
Handsome boy
@mikemills961511 ай бұрын
I wish lord eyes atunge nyimbo kama nne hivi zenye kueleza uhalisia wa maisha yake" kwa kweli ni balozi tosha wa kupinga madawa ya kulevya na madhara yake"
@babap-dn7wq Жыл бұрын
Huyu master kumuelewa inahitaji PhD ya Utulivu 😂😂😂😂
@issaomary7718 Жыл бұрын
Kuhusu madawa (heroin) na vitu kaa izo, tuzingatie sana mazee
@rab792 Жыл бұрын
King Eyes Bravo
@angelsblackboard8008 Жыл бұрын
Ana mdogo wake nilimuona pale Arusha mwaka jana, anatia huruma, ana alama za sindano mwili mzima, amsaidie pia.
@BabaBalingasi-hp6gd
Жыл бұрын
Yupo pande ggani Arusha? Nasikiaga watu wakisema tu
@zuumlondwa9518 Жыл бұрын
Nimependa hii interview jamaa uchoki kumsikiliza😂😂
@vincentnkana4921 Жыл бұрын
God bless you Eyes
@kingmichael1234 Жыл бұрын
Mnyanwezi poa sana . True story teller 😄😄👊🏾
@chaulachaulaya5259 Жыл бұрын
Hii sio interview, hili ni DARASA.
@georgenyoni98798 ай бұрын
Just for today ,My thoughts will be on my recovery living and enjoying life without drugs,Kweli lord tumeteseka sana na hayo madude ,ila siku Leo , program tukiifanyia kazi inafanya kazi
@kekiplus1andonly Жыл бұрын
Dah and all this time mimi najua ni wewe umemfundisha na kumuelekeza ray c huko,
@kayjuma2629 Жыл бұрын
Lord eyes 💪🏽💪🏽
@richardmagoda510711 ай бұрын
The best interview
@violethnatai7890 Жыл бұрын
Best interview
@venerandamangore138411 ай бұрын
Uzuri wa Interview za Lord lazima ucheke 😂 Love me some Terror woooofffff 😂
@sakinaomary7207 Жыл бұрын
anaongea vizuri
@ntimimalamula2104 Жыл бұрын
Napenda sana interview zako milladi zinafundisha kinoma
@Empoaka Жыл бұрын
Much respect brother Lordy eyes..... ,,,,Naifanya Kwa hii ndio reason. 🌼🔋🤲
@paschalliving657 Жыл бұрын
Mandez wanasem eazy wa waz kadata..matoz wanaeleza wanavyopgwa mambataa...🔥🔥🔥eazy
@hajisaidy3081 Жыл бұрын
Lord eye lifestyle yako ni sawa na kile ulichorap kwenye verse yako ya Nightmare.
@alfredlaurent1728 Жыл бұрын
Yaani mimi nakunywa maji,chakula,juice,sigara na pombe kidogo!! Gaidi ugaidini
@mikekileo1186 Жыл бұрын
Siwezagi kuangalia interview ndefu hivi. Ila hii ya #Terror na #Mallard_Ayo surely hamu haishi kuangalia. Big up sana homies ✌️
@doubleseven7750 Жыл бұрын
Du oi mi mtu wenu sana namkubali mwamba yupo kibingwa sana
@masalakulwa7601 Жыл бұрын
Ila huyu kaka mtamu jamani😆
@lovesallu5292
Жыл бұрын
😃🤣😂teh teh
@officialtaslima5409 Жыл бұрын
Yan mwanangu hapo kwenye wa blue nimejikuta nacheka mwenyewe
@Patrisami Жыл бұрын
Bonge la Inteview ✌️✌️✌️
@adolfmathew9698 Жыл бұрын
Lordeyez Nako 2 Nako soldier
@Babu_Njenje9 ай бұрын
This man is Arusha's Finest 💪💪💪
@user-tg4hi2mm4g Жыл бұрын
❤
@user-op7zl7fo1r Жыл бұрын
Sema lilord lizur bana me na watt wa Arusha nawapenda sana ❤😂
@masalakulwa7601
Жыл бұрын
Zuri balaa
@jescaonesmo3199
Жыл бұрын
😅litamu balaa
@emmanuelShayo-dk6vf Жыл бұрын
✊
@ekkymumba8566 Жыл бұрын
Nilikua nawapenda Nako 2 Nako jamani sema nilikuaga zangu mwanza ningekufata aise maana sio kwa u handsome huu duuh!, sema nishaolewa
@jacqueisaac8155
Жыл бұрын
😅
@jimmykivagi84158 ай бұрын
People Places and Things
@mussaagrey5679 Жыл бұрын
Big up sana
@dattymanne Жыл бұрын
Pole sana bro
@khadijahbanana5602 Жыл бұрын
Lodiii kama lodiii
@jamilaathumani5481 Жыл бұрын
Jaman mim simuelewi Lord anavyoongea,,au wenzangu mnamuelewa ?? Stor zake??
@lucykinabo
Жыл бұрын
Yan 😄😄
@mrambadiana9678
Жыл бұрын
Ukikaa Chuga ungeelewa
@user-tj7ns1tv9o
Жыл бұрын
Huelew alaf unasikiliza
@abuuayoubayoub9260
Жыл бұрын
Hata mim nashangaa unasemaje humuelewi na huku umetulia unamsikiza
@user-ls3sd9ts4m2 ай бұрын
Saluut sana kaka mkubwa iizi nako wako maemc wengine wanashidwaga kufunguka kama wewe wakiulizwaga maswali wanajikanyaga kanyaga 2 hawanyoshi maelezo ila nazani watajifunza kupitia wewe kaka mkubwa izi wa wazi saluuti sana👊🏻👊🏻👊🏻
@frankmushi8892 Жыл бұрын
Nakukubali sana jamaaangu
@sinyorithababy1764 Жыл бұрын
OG....usijieleze sana, ukijieleza maana yake unataka kuaminisha watu...nimeipenda hiyo
@nicky30258 ай бұрын
moja ya interview bora sana nmewahi kuangalia
@eddytheblayze3810 Жыл бұрын
Nahii ndo story ya izzy wa wazi .👊🏾 👑
@reinerbrainer8112 ай бұрын
Sema Lord ni muongo sana.. Eti hata Ganja alikuwa havuti???
@saleheabdallah5461 Жыл бұрын
Great of all time or havy weight rapper
@baricktumain Жыл бұрын
King Iz
@salumchuma77624 ай бұрын
ONE OF THE BEST INTERVIEW...Real Motherfucking G things...Sheets happen
@jenipheremanuel5884 Жыл бұрын
Nampenda sana lord eyes
@DespereuxRaizo
Жыл бұрын
Wtf
@westcijosh
Жыл бұрын
Mtunuku kitumbua hcho
@aminammbaga7736 Жыл бұрын
Kwahyo sasa hamna anaeona dental formula ya mnako lord
@mondewaldemar5632
Жыл бұрын
Dental formula imenyooka aisee, nmeikubal
@Chingagirl123
10 ай бұрын
Mimi nimeona
@hassanbakari4525 Жыл бұрын
KWANI LODI ANAONGEAJE 😄😄🤗
@adinankojulianko219
Жыл бұрын
Kiselaa 😂😂😂
@crispingerald3000 Жыл бұрын
Ili jama interview zake nikali sana sjui kwanin alikua hafanyi interview anafa kua prezent🔥🔥🔥
@hamisiali-tq7yx Жыл бұрын
Mlete chidi Benz hpo millad tumskie kama atafunguka kama lord eyez
@tanzaniaoman6423 Жыл бұрын
Leo ni happy tu kwenye kipindi🔥🔥🔥
@user-mu7sa7ex4b11 ай бұрын
❤❤❤❤
@michongopodcast Жыл бұрын
Lord 🙌🏿
@shabanmaganga99726 ай бұрын
Unga mwanzo unakuwa mzuri sana na ukivuta unajisikia poa Sana binafsi nilionja lakini nashukuru Mungu wife nilikuwa nanuogopa Sana haswa nikiwa tz
@yasinimalya4001 Жыл бұрын
Ila kwa ushauri au tungerudisha wakati nyuma mi naona ungeamua kumsaidia Ray C Dah ! Mngekuwa great couple , kama Aika na Nah reel, that’s tru love man! Maybe you didnt see that, butvlife goes on that was your gift you to be with her, she just needed a little polish to shine and be Great, ila dhahabu mpaka ing’ae lazma ipitie motoni ila wewe Lord uliogopa kuungua na moto pamoja na Ray C 😂, One Day I will want to have interview with you, Big up Ayo TV. Greeting from Colorado
@davidkamando9630
Жыл бұрын
😂😂 wabongo bana eti great couple... Daah!!
@zitongwang6278
Жыл бұрын
Where is Ray c if I may ask you ??? I have heard she is Paris ? She z clean and married..!!!!
@stankim58848 ай бұрын
Majibu ya lord bwana 😅😅
@issasaad3403 Жыл бұрын
Hii n zaid ya darasa
@user-tj7ns1tv9o Жыл бұрын
Terror 💥
@user-mg1vf5gv3p10 ай бұрын
Wanaume wachuga ❤❤❤❤❤❤❤❤
@moizjohnston38418 ай бұрын
Terror kanichekesha bn,eti yaani mm nakunywa maji sana,chakula,sigara na pombe kidogo...!
@willsonjames36595 ай бұрын
Interview kali kinoma
@sidiqmhina782311 ай бұрын
YES AM FREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!
@Chrisblaze-beats Жыл бұрын
You have been doing this since way back Millard. Tukabidhi mic wadogo zako. Natamani nikusaidie sana hapa kwanye interview
@mdachiog5211 Жыл бұрын
Usirudi tena tela
@user-uk7jy8vp2f9 ай бұрын
Vp brother kolabo mtu mzima chindo
@fauziayassin7987 Жыл бұрын
I don’t know y but I think atarudia ila namuombea mungu yy na sisi sote tuondoke kweny ulimwengu wa starehe
@mosesnjovu1157 Жыл бұрын
😍😍😍😍😍👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽🔥🔥🔥🔥🔥🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@charliemagai85548 ай бұрын
Eri eeeh... marafikiii 😂
@erickendrick3330 Жыл бұрын
Gaidi la Rap
@georgenyoni98798 ай бұрын
Broo ,Rudi kwenye meeting ku share na wanachama, program inasema,We never fully recover,no matter how long we have been clean, complacency is the enemy of the members with substantial clean time.
@georgenyoni9879
8 ай бұрын
We presenter acha uongo nguzo za hip hop hazihusiki hapo,,hizi ndio nguzo za hip hop Dj,Mc, Graffiti ,break dance,Producer
@eng.kivuyo12 Жыл бұрын
#OKOAMTAA
@dearmama78658 ай бұрын
albadiri ya kihindi
@officialbntrasool5223 Жыл бұрын
Anavyohadithia jins walivyoanza na ray c m hoi 😂😂😂
@dicsonmollel591510 ай бұрын
Amesafisha meno nni ,amekuwa wack huyo chalii
@floriankihwelo9561 Жыл бұрын
Queen iyo nywele nisiione tena Mama angu 🤣
@agneskighenda3795
Жыл бұрын
Kabisa aisee😂
@aishaa2930 Жыл бұрын
Jamani huyu kaka amefanana na rafiki yangu ana itwa prospar 😢😢😢😢
@seifsaidnshuti9812
Жыл бұрын
Acha tamaa tulia na prosper wako😅
@aishaa2930
Жыл бұрын
@@seifsaidnshuti9812 Sina tamaa ila ni muda sana sijamuona
@antildandege4972
8 ай бұрын
@@seifsaidnshuti9812 hahaaa
@shakilaburhan9552 Жыл бұрын
Hb wa chuga
@StanleyRuta-gu7tz Жыл бұрын
King ezy Kuna interview ulifanya miaka ya nyuma kidogo clouds FM na Adam mchomvu,uli complain kuwa weusi kama kundi wanakubania, ukweli uko vipi
Пікірлер: 164
Nimependa sana hii big brother kufunguka , natamani aweze kushare kwenye miziki yake pia mziki utaishi na ushuhuda wake na ni funzo kwa wengine 🤍💯
@danielkenedy4357
Жыл бұрын
Do something with terror plz connabino
@richardjoseph2921
Жыл бұрын
Conboi umeongea fact, haswa jitahidi kucheza nae binafsi kumsisitiza afanye hiyo na ni kweli itaishi. Muziki na maisha yetu.
Ni kweli kabisa,wizi hujifunzi..wizi ni asili
Lord Eyes ni bonge la celeb..nimeipenda sana hii interview..Big up Milard
MTU WANGU STILL SAUTI IKO VILEVILE ..TRUE LEGEND...LORD EYES
Ongeleni sana wote,Lord eyes Asante kwa elimu mungu awabaliki sana nimeflai kuona eyes akimtanguliza mungu nice one.
Pole sana Lord. Thanks for speaking out. Always truth prevails. Yes am Freeeee!
Sema mependa umu lord kajiachiaa uwaga sio muongeaj kabisa
Woohf big up Sana 💪 Lord izz nakuelewa Sana mungu Ni mwema kla wakat mungu ni mwema. weusii awanaga shda na wasanii wasanii ndo wanashda na weusiiii woof kwishaaaaaàaaa
Huyu jamaa anavyojibu maswali kijanja sana!!
This guy is very genuine🧤
Best interview ever with reality in our daily life.....as community we need to support people addicted in drugs" Ni utumwa mbaya wenye kuleta umaskini mkubwa na mahangaiko makubwa katika maisha"
Aisee jembe anaongea kitu ambacho wengi wanapitia au wamepitia, nivyema watu tujifunze mengi kupitia yeye. Ila lord namkubali sana kinoma nimsela sana. hata mimi ni lsaac toka chuga.
Lord eyez ni fimbo sana aisee nakupenda sana tangu enzi zetu mwanangu best interview! Mlitufanya tuenjoy ujana wetu sanaa kabisa. Hawatuwezi nako2nako soldiers iko wazi🎉
Lord eyez, pole kakaangu, yaan wanaume kuna muda wanapokea lawama saana, ht Boby Brown alifundishwa drugs na Whitney but walimsema yeye ndo kamfundisha. Hongera mnoo
Here we go again. Interview ya bei ya juu zaidi with the Terror himself, GAIDI (GUIDE) la RAP. Asanteni AYO TV
Best interview of all time
The guy is so open. God help him never to return to drugs ever again
Yaani lord hamalizii maneno mwana ni mnyamwezi sana dadeki (swagz)
Huyu jamaa ana akili sana hili ni darasa tosha apewe kitengo huyu cha kufundisha
@youngrappertz1735
Жыл бұрын
Kushundisha nini acha ushamba🤣
@chesterbrand6723
Жыл бұрын
Yes baba
@venusbeno4275
Жыл бұрын
@@youngrappertz1735@q
I love this 🔥
Handsome boy
I wish lord eyes atunge nyimbo kama nne hivi zenye kueleza uhalisia wa maisha yake" kwa kweli ni balozi tosha wa kupinga madawa ya kulevya na madhara yake"
Huyu master kumuelewa inahitaji PhD ya Utulivu 😂😂😂😂
Kuhusu madawa (heroin) na vitu kaa izo, tuzingatie sana mazee
King Eyes Bravo
Ana mdogo wake nilimuona pale Arusha mwaka jana, anatia huruma, ana alama za sindano mwili mzima, amsaidie pia.
@BabaBalingasi-hp6gd
Жыл бұрын
Yupo pande ggani Arusha? Nasikiaga watu wakisema tu
Nimependa hii interview jamaa uchoki kumsikiliza😂😂
God bless you Eyes
Mnyanwezi poa sana . True story teller 😄😄👊🏾
Hii sio interview, hili ni DARASA.
Just for today ,My thoughts will be on my recovery living and enjoying life without drugs,Kweli lord tumeteseka sana na hayo madude ,ila siku Leo , program tukiifanyia kazi inafanya kazi
Dah and all this time mimi najua ni wewe umemfundisha na kumuelekeza ray c huko,
Lord eyes 💪🏽💪🏽
The best interview
Best interview
Uzuri wa Interview za Lord lazima ucheke 😂 Love me some Terror woooofffff 😂
anaongea vizuri
Napenda sana interview zako milladi zinafundisha kinoma
Much respect brother Lordy eyes..... ,,,,Naifanya Kwa hii ndio reason. 🌼🔋🤲
Mandez wanasem eazy wa waz kadata..matoz wanaeleza wanavyopgwa mambataa...🔥🔥🔥eazy
Lord eye lifestyle yako ni sawa na kile ulichorap kwenye verse yako ya Nightmare.
Yaani mimi nakunywa maji,chakula,juice,sigara na pombe kidogo!! Gaidi ugaidini
Siwezagi kuangalia interview ndefu hivi. Ila hii ya #Terror na #Mallard_Ayo surely hamu haishi kuangalia. Big up sana homies ✌️
Du oi mi mtu wenu sana namkubali mwamba yupo kibingwa sana
Ila huyu kaka mtamu jamani😆
@lovesallu5292
Жыл бұрын
😃🤣😂teh teh
Yan mwanangu hapo kwenye wa blue nimejikuta nacheka mwenyewe
Bonge la Inteview ✌️✌️✌️
Lordeyez Nako 2 Nako soldier
This man is Arusha's Finest 💪💪💪
❤
Sema lilord lizur bana me na watt wa Arusha nawapenda sana ❤😂
@masalakulwa7601
Жыл бұрын
Zuri balaa
@jescaonesmo3199
Жыл бұрын
😅litamu balaa
✊
Nilikua nawapenda Nako 2 Nako jamani sema nilikuaga zangu mwanza ningekufata aise maana sio kwa u handsome huu duuh!, sema nishaolewa
@jacqueisaac8155
Жыл бұрын
😅
People Places and Things
Big up sana
Pole sana bro
Lodiii kama lodiii
Jaman mim simuelewi Lord anavyoongea,,au wenzangu mnamuelewa ?? Stor zake??
@lucykinabo
Жыл бұрын
Yan 😄😄
@mrambadiana9678
Жыл бұрын
Ukikaa Chuga ungeelewa
@user-tj7ns1tv9o
Жыл бұрын
Huelew alaf unasikiliza
@abuuayoubayoub9260
Жыл бұрын
Hata mim nashangaa unasemaje humuelewi na huku umetulia unamsikiza
Saluut sana kaka mkubwa iizi nako wako maemc wengine wanashidwaga kufunguka kama wewe wakiulizwaga maswali wanajikanyaga kanyaga 2 hawanyoshi maelezo ila nazani watajifunza kupitia wewe kaka mkubwa izi wa wazi saluuti sana👊🏻👊🏻👊🏻
Nakukubali sana jamaaangu
OG....usijieleze sana, ukijieleza maana yake unataka kuaminisha watu...nimeipenda hiyo
moja ya interview bora sana nmewahi kuangalia
Nahii ndo story ya izzy wa wazi .👊🏾 👑
Sema Lord ni muongo sana.. Eti hata Ganja alikuwa havuti???
Great of all time or havy weight rapper
King Iz
ONE OF THE BEST INTERVIEW...Real Motherfucking G things...Sheets happen
Nampenda sana lord eyes
@DespereuxRaizo
Жыл бұрын
Wtf
@westcijosh
Жыл бұрын
Mtunuku kitumbua hcho
Kwahyo sasa hamna anaeona dental formula ya mnako lord
@mondewaldemar5632
Жыл бұрын
Dental formula imenyooka aisee, nmeikubal
@Chingagirl123
10 ай бұрын
Mimi nimeona
KWANI LODI ANAONGEAJE 😄😄🤗
@adinankojulianko219
Жыл бұрын
Kiselaa 😂😂😂
Ili jama interview zake nikali sana sjui kwanin alikua hafanyi interview anafa kua prezent🔥🔥🔥
Mlete chidi Benz hpo millad tumskie kama atafunguka kama lord eyez
Leo ni happy tu kwenye kipindi🔥🔥🔥
❤❤❤❤
Lord 🙌🏿
Unga mwanzo unakuwa mzuri sana na ukivuta unajisikia poa Sana binafsi nilionja lakini nashukuru Mungu wife nilikuwa nanuogopa Sana haswa nikiwa tz
Ila kwa ushauri au tungerudisha wakati nyuma mi naona ungeamua kumsaidia Ray C Dah ! Mngekuwa great couple , kama Aika na Nah reel, that’s tru love man! Maybe you didnt see that, butvlife goes on that was your gift you to be with her, she just needed a little polish to shine and be Great, ila dhahabu mpaka ing’ae lazma ipitie motoni ila wewe Lord uliogopa kuungua na moto pamoja na Ray C 😂, One Day I will want to have interview with you, Big up Ayo TV. Greeting from Colorado
@davidkamando9630
Жыл бұрын
😂😂 wabongo bana eti great couple... Daah!!
@zitongwang6278
Жыл бұрын
Where is Ray c if I may ask you ??? I have heard she is Paris ? She z clean and married..!!!!
Majibu ya lord bwana 😅😅
Hii n zaid ya darasa
Terror 💥
Wanaume wachuga ❤❤❤❤❤❤❤❤
Terror kanichekesha bn,eti yaani mm nakunywa maji sana,chakula,sigara na pombe kidogo...!
Interview kali kinoma
YES AM FREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!
You have been doing this since way back Millard. Tukabidhi mic wadogo zako. Natamani nikusaidie sana hapa kwanye interview
Usirudi tena tela
Vp brother kolabo mtu mzima chindo
I don’t know y but I think atarudia ila namuombea mungu yy na sisi sote tuondoke kweny ulimwengu wa starehe
😍😍😍😍😍👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽🔥🔥🔥🔥🔥🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Eri eeeh... marafikiii 😂
Gaidi la Rap
Broo ,Rudi kwenye meeting ku share na wanachama, program inasema,We never fully recover,no matter how long we have been clean, complacency is the enemy of the members with substantial clean time.
@georgenyoni9879
8 ай бұрын
We presenter acha uongo nguzo za hip hop hazihusiki hapo,,hizi ndio nguzo za hip hop Dj,Mc, Graffiti ,break dance,Producer
#OKOAMTAA
albadiri ya kihindi
Anavyohadithia jins walivyoanza na ray c m hoi 😂😂😂
Amesafisha meno nni ,amekuwa wack huyo chalii
Queen iyo nywele nisiione tena Mama angu 🤣
@agneskighenda3795
Жыл бұрын
Kabisa aisee😂
Jamani huyu kaka amefanana na rafiki yangu ana itwa prospar 😢😢😢😢
@seifsaidnshuti9812
Жыл бұрын
Acha tamaa tulia na prosper wako😅
@aishaa2930
Жыл бұрын
@@seifsaidnshuti9812 Sina tamaa ila ni muda sana sijamuona
@antildandege4972
8 ай бұрын
@@seifsaidnshuti9812 hahaaa
Hb wa chuga
King ezy Kuna interview ulifanya miaka ya nyuma kidogo clouds FM na Adam mchomvu,uli complain kuwa weusi kama kundi wanakubania, ukweli uko vipi