Salama Na Madee Ep 18 | MPAKA MSHALE Part 1

Ойын-сауық

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Mara zote ukiwaza Manzese kama wewe ni mpenzi wa Bongo Flava basi utawaza Madee tu. Waliosema au alipojiita Rais wa kule sidhani kama kulikua na upinzani wowote, najua kulikua na mtu mwengine ambae alikua anataka hiyo title ila tayari ilikua na mwenyewe ambaye inamkaa haswa.
Busara zake za miaka ya karibuni na haswa niseme zaidi mwaka huu ni moja ya vitu vilinivutia kutaka kuongea nae. Maana si mara nyingi kwa kijana ambaye amekulia maisha ya ‘ki gangster’ kuwaza watu wengine au hata kuonyesha kuguswa na kitu flani. Ili mtu afikie kufikiria suala la umri kwenda na kuanza kujijengea kwenye maisha ya baadae siku Muumba atakapotuita ni jambo ambalo tunatakiwa kujifunza kutoka kwake. Na pia ni moja ya idea maridhawa nimeskia mwaka huu. Na kubwa kabisa ni kuwa mimi na yeye hatukuwahi kuwa na maongezi ya aina hii, wakati muafaka kabisa...
Seneda yeye haswa alizaliwa wapi? Ametokea kwenye familia ya mziki? Wazazi wake ni watu wa aina gani haswa? Kule Manzese ndo kwao? Au ilikua maskani tu? Na kama si hivyo aliwezaje kujikita mpaka akawa rais? Suala la elimu je? Wakati anakua kuna makashkashi yoyote alipitia? Na muziki? Na Babu Tale? Na Abdu Bonge aliwatoa wapi? Na TipTop Connection nayo chimbuko lake ni wapi?
Niliongea naye kuhusu hayo na kuwa ‘chawa’ ili yake yamuendee kwenye suala zima la kujijengea empire yake... Muziki umemfanyia nini? Kama Baba ni kitu gani ambacho watoto wake wanapenda kuhusu yeye? Yuko na hao Mama za watoto wake? Ki ukweli kuna mengi tumezungumza naye lejendari huyu wa Bongo Flava ikiwa pia pamoja na wimbo wa ‘Pombe Yangu’ ambao nao pia una story yake ya kipekee.
Yangu matumaini uta enjoy kama nilivyo enjoy mimi na wenzangu wakati tuna film hii.
Love,
Salama.../
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 102

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino674 жыл бұрын

    Kosa lako wewe sio kosa kwangu ni FUNZO kwangu 🙌🏽🙌🏽 madee

  • @katikatisafaris
    @katikatisafaris4 жыл бұрын

    Hawa ndio mfano wa watu tunapenda kuwasikia Salama. Asante sana, Fid Q, Idris, na wengine wachache pia, are very inspiring. We love your interviews.

  • @martinfrancis9808
    @martinfrancis98084 жыл бұрын

    DUU AISEEE MADEE UKIKAA NAE UTAVUNJIKA MBAVU ANACHEKESHA SANA ANA STORY KINOMA... SIJUTII MB ZANGU BIG UP NACHEKA TU HAPA

  • @annakattoa7502
    @annakattoa75024 жыл бұрын

    Nakupenda hiki kipindi Sanaa narudia This is how journalism is , how journalist need ANGEL it's gives you all detail from interviewer freely,flowing, no hesitation s. LOVE YOU SALAMA♥️♥️♥️

  • @neematemu9758
    @neematemu97584 жыл бұрын

    Nataka kujua mengi kuhusiana na kiba plz salama naomba inayo fuata ufanye nae au diamondi

  • @rohityalsina5972
    @rohityalsina59724 жыл бұрын

    Hiki sio kipndi bali ni DARASA 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 MIM MUHUDHULIAJI MZURI SIKOSAGI KIPINDI

  • @abdulzuberi2418
    @abdulzuberi24183 ай бұрын

    Kosa lako wew kwangu ndo elimu kwangu

  • @keifatuke99
    @keifatuke994 жыл бұрын

    Tatizo nimeliona kwa Watanzania wengi wanajibu tofauti na swali,Salama kauliza colour ya nywele kama kapaka "black colour",yeye anajibu "volume" wingi wa nywele.

  • @queenseptember4640
    @queenseptember46404 жыл бұрын

    Nimeipenda chemistry ya Salama na Madee, interview nzima nimebaki nakenua tu, Big up kwenu. Nice one.

  • @latifamadaha4377

    @latifamadaha4377

    4 жыл бұрын

    Queen September mie pia nakenua tuu jmn kha!! 😍

  • @rodrickmataba8999
    @rodrickmataba89994 жыл бұрын

    Exclusive moja hatari sana... Madee is very wise and Salama you the best

  • @moseskarima3824
    @moseskarima38244 жыл бұрын

    QUEEN OF TV SHOWS

  • @peterlwinga6475

    @peterlwinga6475

    4 жыл бұрын

    Kipindi chako kizuri salama , from Lusaka zambia through youtube

  • @bm4tv602
    @bm4tv6023 жыл бұрын

    Brother unajua kujieleza vizuri

  • @neematemu9758
    @neematemu97584 жыл бұрын

    Salama u are the best .......naomba kuona ukimiterview kiba plz

  • @ZaharadaffaZaharadaff
    @ZaharadaffaZaharadaff4 жыл бұрын

    Ya 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 sana

  • @annaamos328
    @annaamos3284 жыл бұрын

    Love u Salama, am glad kweny kpnd hiki u also shares some of ur Lifestory I really wanted to no u more😍

  • @Ali_Manzu
    @Ali_Manzu4 жыл бұрын

    Salama, hio salamu Hamadi amejibu kwa sauti ta Bwakila! Kazi safi.

  • @SalamaAJabir

    @SalamaAJabir

    4 жыл бұрын

    Asante Sheikh Ali! ♥️

  • @ebrahimhaji3168
    @ebrahimhaji31684 жыл бұрын

    salama this is the best interview.

  • @fra_nyuki
    @fra_nyuki4 жыл бұрын

    Soooooo nice aseeeee... Show ina uhalisia wa kweli hadi raha. Big up to you all

  • @husnazahoro7082
    @husnazahoro70824 жыл бұрын

    Salama nakukubali sana niletee jide

  • @Eddiedillip
    @Eddiedillip4 жыл бұрын

    Cool

  • @MOJAZAIDI.
    @MOJAZAIDI.4 жыл бұрын

    SALAMA JABIR is the best YOH

  • @annajohn9063
    @annajohn90634 жыл бұрын

    We are waiting

  • @mangib52
    @mangib524 жыл бұрын

    Best of the best interview........salama acheka sana coz huchoki kusikiliza!........... like kwa madeeee!✌

  • @francymeselano6627
    @francymeselano66274 жыл бұрын

    nimeipenda hile "pambania umuoneshe mtoto kuwa wewe ndo baba yake hamna mwingine ,hata kama kuna mwingine anakuja na kutambulishwa kuwa ni baba yake,ila mtoto akilini ajue kuwa wewe ndo baba yake sio yule anayekuja badala yako" safi sana shineida ndo madee..

  • @ahmadshomvi6545
    @ahmadshomvi65454 жыл бұрын

    I like it

  • @harmonymattondo4042
    @harmonymattondo4042 Жыл бұрын

    Salama Big up sana dada Yetu

  • @Proches91
    @Proches914 жыл бұрын

    Nimeenjoy sana na cheko kubwa.. Nice interview

  • @mwasitiiddy7425
    @mwasitiiddy74254 жыл бұрын

    Watu wahip hop wanajuag kuengea

  • @abdarahamaniabubakari4036

    @abdarahamaniabubakari4036

    4 жыл бұрын

    mwasiti#uyo sio msanii wa hip-hop huyo, msanii wa fleva za bongo

  • @adamrenatus4235
    @adamrenatus42354 жыл бұрын

    madee nakukubali Sana brother , hatari Sana

  • @ernestnoely848
    @ernestnoely8484 жыл бұрын

    interview nzuri sana

  • @MadTitan255
    @MadTitan2552 жыл бұрын

    Daah, nimecheka sana aisee. #RESPECT

  • @mohammedaliabdallah5508
    @mohammedaliabdallah55084 жыл бұрын

    Hamad Ali. 👍🏾😎

  • @ramlaamiri9718
    @ramlaamiri97184 жыл бұрын

    Nmeendaa kuitazama kazi yake mola

  • @linethowire7031
    @linethowire70314 жыл бұрын

    Salama una kazi nzuri mamii, u know how to question ur guests.... Madee unavutia na nywele zako,ni baba bora na nimependa ulivyopambana... Good guys

  • @abdallahomari9860
    @abdallahomari98604 жыл бұрын

    Senedaaaaaa

  • @marcuskikot5915
    @marcuskikot59152 жыл бұрын

    Today lesson...To Accept changes

  • @asueddy1465
    @asueddy14654 жыл бұрын

    Umekuta dunia imeandaliwa, Nawe bila hiyana si ukazaliwa, Umekuta wasafiri (wasafiri) Waliotutoka kwaheri Kimwili umetutoka kiroho tupo nawe, Upo ndani ya kina Kati mbao chini mawe, Mchana na usiku tunaomba tuwe nawe, Haiwezi kuwa sawa, Ugonjwa hautibiki na mauti hayana dawa, Kwa heri mwanahawa

  • @mariamjumaswalehe635
    @mariamjumaswalehe6354 жыл бұрын

    Nimependa men

  • @khamissshaban4016
    @khamissshaban40164 жыл бұрын

    Nzury San

  • @getmotivated3619
    @getmotivated36194 жыл бұрын

    ..."kuzaa nje ya ndoa imenikomaza"... reaaleee?... acheni ku preach uzinzi na ufuska... inaweza kuwa imakaa sawa kwa upande wako... ila watu si wapumbavu kuamini huo upuuzi... kuna listi isiomaliza ya matatizo yanayoweza kujiri kwa kuwa mzizi...maradhi.. watoto wa mitaani (wanao kwenda kuwa wezi, na majambazi)... na hapo hatujaongelea suala ambalo ni Muhimu kwa wengi kuliko yote... kumuasi Mungu.... so tuondolee uo ujinga...

  • @signalboy4260

    @signalboy4260

    4 жыл бұрын

    tatzo mnayakuza...kwan ambacho hujamuelewa nn...kashasema yeye anajifunza so kama unaamin ni uzinzi ndo usizini sasa

  • @ashasiaga3197
    @ashasiaga31974 жыл бұрын

    Aisee maisha kupata sio rahisi kikubwa subra na uvumilivu

  • @kipajifilamu4718
    @kipajifilamu47184 жыл бұрын

    Another day

  • @neematemu9758
    @neematemu97584 жыл бұрын

    Plz salama naomba ufanye na kiba au diamond

  • @adamjohn7782
    @adamjohn77824 жыл бұрын

    Very professional bro

  • @nicholasmakule2381

    @nicholasmakule2381

    4 жыл бұрын

    F

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam9824 жыл бұрын

    Napenda kipindi chako salama

  • @tariknassoraucho5814
    @tariknassoraucho5814 Жыл бұрын

    Kumbe ilikua n debate..

  • @deucmichael4374
    @deucmichael43744 жыл бұрын

    Madee nakuelew sana bro

  • @othumanlorenzo260
    @othumanlorenzo2604 жыл бұрын

    Tunasubiri

  • @naasamson4905
    @naasamson49054 жыл бұрын

    Salama msosi unaletwa kwa grade,wa manzese wana grade yao na wa mbezi wana grade yao

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia92844 жыл бұрын

    Salama, this is the best interview

  • @wagonzizi1184
    @wagonzizi11843 жыл бұрын

    This is the funniest interview so far...😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao4 жыл бұрын

    BABA WA DOGO JANJA... SHENEDA ASANTE KWA MAOJIANO YAMEKA PAHALI YAKE NICE LESSON

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga83184 жыл бұрын

    hilo la tale na uniform""""Madee wewee😂😂😂😂😂kweli usimuone mtu kafanikiwa watu wanatoka mbali saaaana acheni wale Bata zao.

  • @slayingtee6044

    @slayingtee6044

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @thabitisimba1143
    @thabitisimba11434 жыл бұрын

    Mikono juu kama unampenda madee yooo miaka yote mi nazidi kuwarusha Toka far es salaam dodoma mpaka Arusha

  • @othumanlorenzo260
    @othumanlorenzo2604 жыл бұрын

    Safi sana salama....u re the master of tv shows

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Kiukweli tume enjoy sana interview 😂😂😂

  • @princemujuni9803
    @princemujuni98034 жыл бұрын

    "Leta tuone kama kweli umevunjika taya arifu" ilickika sauti ya kijana mmoja huko A town akimwambia Naniii

  • @innocentmushi1550

    @innocentmushi1550

    4 жыл бұрын

    mjuba kama mjuba😂

  • @alihakizimana7206
    @alihakizimana72064 жыл бұрын

    🇧🇮

  • @exburnnyhilary6463
    @exburnnyhilary64634 жыл бұрын

    Salama naona anachukua notice kama yupo darasani pale maswali yake yanapojibiwa vzuri 😀😀😀

  • @kipajifilamu4718
    @kipajifilamu47184 жыл бұрын

    Watu wng wanadumaa kuogopa mabadiliko, inanihusu 80%

  • @josephk90

    @josephk90

    4 жыл бұрын

    Dah! Mimi 100%

  • @mauakipepeo8319
    @mauakipepeo83194 жыл бұрын

    Nimekaa muda mrefu nasoma kibao katikati ya madee na saalama. Kimeandikwa gather it mean a lot

  • @hefsibahunkie7376

    @hefsibahunkie7376

    Жыл бұрын

    😂

  • @msandomuumbi4803
    @msandomuumbi48034 жыл бұрын

    Madee

  • @herisophisticated9275
    @herisophisticated92754 жыл бұрын

    Hamad seneda

  • @talazain1017
    @talazain10174 жыл бұрын

    URirC Air

  • @ramlaamiri9718
    @ramlaamiri97184 жыл бұрын

    Shenz type

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo834 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 sasa madee uliimbaje wakati taya ulivunjwa?🤣🤣🤣🤣 da 🙄 watu wanatoka mbali jamani,mpaka wameshawahi kuiba du kweli usione watu wanamafanikio ukadhani wamepata kirahisi big NO,❤ you much salama from swiss

  • @keifatuke99
    @keifatuke994 жыл бұрын

    Duu maisha ni safari ndefu

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi15504 жыл бұрын

    machalii wa chuga hawaamini mpaka waone nyaya mdomoni😂

  • @saidissa9832
    @saidissa98324 жыл бұрын

    One of the interview.... "Nice one"

  • @rumibarton2359
    @rumibarton23594 жыл бұрын

    Unaibiwa ulikuja na shilingi ngapi

  • @muhidinkilemba6540
    @muhidinkilemba65404 жыл бұрын

    Salama ulipo tupo dada

  • @ramadhaniabdi9530
    @ramadhaniabdi95304 жыл бұрын

    Bonge Darasa

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul1034 жыл бұрын

    Salama anafurahi jamani unaonesha haswaa kua hii interview ya kirasta

  • @kipajifilamu4718
    @kipajifilamu47184 жыл бұрын

    Mtandao unasumbua nilipo lkn naangalia hvyhvy kibish

  • @hawamtambwa402

    @hawamtambwa402

    4 жыл бұрын

    Kama mm

  • @justfaye6763
    @justfaye67634 жыл бұрын

    This episode was good but the set up seem rushed, the scarfs are not ironed, the drinks weren’t mentioned seems like regular juice , the table set is off , and the samaki samaki food wasn’t mentioned when bought out. Seems like was a last minute set up.

  • @chundabadsingasinga3130
    @chundabadsingasinga31304 жыл бұрын

    #MADEE KAWASHIKA MKONO DOGOJ NA MAARIFA MAFANIKIO KUSAIDIANA

  • @ramadhanomar360
    @ramadhanomar3603 жыл бұрын

    Vipi kuhusu mchizi wako mb Dogg mbona unamlenga

  • @dalalikinondonirealestatea8875
    @dalalikinondonirealestatea88752 жыл бұрын

    NIMESIKILAZA INTERVIEW ZOTE HII BORA SANA UKIONDOA ILE YA MWANA F.A

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu20833 жыл бұрын

    Unajifunza kupitia tamthilia?na si maadili ya u-Afrika wako..hapa sijamkubali huyu mtu

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul1034 жыл бұрын

    Aii kazi yake mola naikibali kinyamaaaa...yaani jamaa Rasta huyu namkubali anavoongea yupo Nature yaani

  • @abdarahamaniabubakari4036
    @abdarahamaniabubakari40364 жыл бұрын

    Salama naomba umuite na NIKKI MBISHI kwenye hii interview..

  • @jasminyiddysulaiman9807

    @jasminyiddysulaiman9807

    3 жыл бұрын

    Haswaaa

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv67384 жыл бұрын

    Big Interview! Hongera Madee! Karibuni msubscribe channel yetu kwa video's za mazoezi

  • @Kibitiyetu1
    @Kibitiyetu14 жыл бұрын

    Salama Naomba Uni Unblock Instagram @eliasakitasa

  • @hasnaabduly4945

    @hasnaabduly4945

    4 жыл бұрын

    Hahaha ulimfanya nn😀😀

  • @CheupeEceJay

    @CheupeEceJay

    4 жыл бұрын

    Tulia dawa IKUINGIE!

  • @francosichale
    @francosichale4 жыл бұрын

    Huna hoji watu bila kuwauliza sehemu huska wanapotoka au kuzaliwa

Келесі