THE CLASSIC P FUNK EP 1:JINA P FUNK/HISTORIA YA BONGO REC/NATURE/AY HAKULIPA/NIDHAMU/SITAKI UJINGA
P Funk Majani anatajwa kama mtayarishaji bora zaidi kwenye game ya BongoFleva akiwa ameitumikia kwa karibu miongo mitatu sasa ,aliweza kufika katika episode hii ya kwanza kabisa na kupiga stories nyingi kuhusu safari yake ya muziki sambamba na waliomzunguka,katika episode utafahamu mengi ambayo pengine hukua unayafahamu kabisa kuhusu yeye ,karibu na uenjoy huku ukisubiria episode ya pili inayotarajiwa kufanyika vivi karibuni
#pfunk #majani #bongoflava #bongorecords #theclassic
Пікірлер: 176
* Fid Q - the most intelligent with highest IQ and overall the greatest bongo hip hop artist of all times. * King Crazy GK - the greatest bongo hip hop visionary, who initially wanted to take bongo musics to the highest level, and one of the best rappers. * AY - the greatest bongo hardcore punch line real hip hop rapper of all times. * Prof Jay - the most credible and consistent bongo rapper of all times. * Kalapina - the greatest panafricanist and revolutionary bongo rapper of all times. * Ngwear - the most flexible bongo rapper, who could fit in all rap styles, of all times. * P Funk - the godfather and Alfa & Omega of bongo music followed by Master J. Much respect and love from Congo🇨🇩✊🏾
Dingi niaje ❤❤
Big fan of Pfunk from Mombasa Kenya nilistuka sana kujua ni yeye ali produce classics za mashifta ukoo flani 'pesa pombe' na 'system ya majambazi'
@fahadfaraj6474
8 ай бұрын
Kwa Tanzania kwenye miaka ya early 2000 he was everything wasanii wote wakali walirecord Kwake he is the True legend n God father of bongo flavour.
@dastonamichaels1854
8 ай бұрын
Believe me not nmefatilia sana rappers wa Tz since way back nakubaliana na wewe
@rogerslwitiko3915
8 ай бұрын
Pia amefanya kazi na Kikundi Cha Kalamashaka
@KuviFacts
8 ай бұрын
Heshima sana
@rogerslwitiko3915
8 ай бұрын
@@KuviFacts Bro Jabir tunashukuru sana kutupa tunachotaka fans wako na Sisi hatutakuangusha tutakupa support yetu ya kutosha
Yaani bilaa hawa wadau ungekuta watu wanaimba bolingo walahi 😅😅😅Heshima kwenu
@DaudiJuma-kp5bm
7 ай бұрын
😅😅
@user-kk7re2jl8y
Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
We need to make documentary about this man bro......He deserves that....LEGEND.!!
Dr. Dre wa East Africa, Majani !!
Best Interview Ever all the way from LONDON 🎉
Majani one of the greatest Producer to exist in this game of Tanzania..Salute sana kwake..💯👊👊👊👊👊
Dre, p funk are my greatest producers of all time
Yoh... The Background sound..Sio lazima ...inaleta kelele
Sema kwelii jina lina mfaaa kabsaa yani. Kilakityuuu MAJANI TUPUUU. YAN BANGI
Sema hiyoo ya UKOO WA MAJANI KAIWEKA KITALAAM SANAA😂😂😂😂
@user-xf1xq3ky2w
6 ай бұрын
Hahaha
Bonge la pindi hill jabili majani hua interview zake zinakua kali sana
🌹🌹🌹 apewe maua yake mkuu,,namtambua sana Juma Nature from +254
tunaomba interview na MIKA MWAKA producer mkongwe
Beat zote alizosema zilikuwa kali sana...beat aliyosahau ni JOSEPH...ya Prof Jize
The classic interview wazee wa hip-hop tukiwa na jabir tunajipata ⚓⚓
From 254 but this guy from the start Asap Asap this nigah need a billboard in TZ
@mutumbaroni7546
4 ай бұрын
He needs a museum n highway
Sana mzee Baba umetisha Produser Bora Duniani Majani p
@JLXNINEJNINE
7 ай бұрын
Sana Sana Big producer majani p funk
P Funk a.k.a Mdach heshima kwako Legend.
Mwamba namkubali sana
Paula karithi kila kitu kwa babake kasoro akili Tu
@rodgerswanjala8919
8 ай бұрын
😂😂😂
@DaudiJuma-kp5bm
7 ай бұрын
😅😅
huyu ajengewe sanamu lake wallahi, maoni tu
Bcoz Ana asili ya mbele ndo Mana yuko perfect na time ya kazi na time ya Bata naf respect to majani Ila mwambie mzeee Kuna beats Kama Niko bize jafari au mtt wa kiume geez mabov au latifa ya mb 🐕 na hiyo hawatuwez bila kusahau zeze dingi lilikua na hasira Sana humo
@mohammedmhina3973
5 ай бұрын
Mikasi yete na prof ludigo waalikuwa na hasira sanaaaa.. Achilia mbali sogg dogy na bizz man na yeye majani SHE GAT GWAN 🙌🏽WALICHAFUKWA
nilitaka nishangae, P-Funk bila Jay Mo (Mbakiajia)
Majani bhna et weusi “wale watoto wanarespect..” nakubal eastaa✌🏿
Majani ndio majani kapuni ngoma nzuri inatoka kwa majani salute kwako majani kutoka Amsterdam
Majaniiii tomb apaaa........... 🔥🔥🔥🔥
I respect Majani so much. Much love Mzazi wa BongoFleva
Hasheem Dogo+Kalapina~Tunasonga nnayo kwenye playlists zangu
Bring back P. Funk We need him like evry week. He is everything in Bongo evolution. Much respect and much love Majaniiii
Baba wa bongo fleva
Majani should make a documentary aisee god father
One of the best interview✌🏻
That's p funk majani. The legend. Halafu mleteni na boni tumsikie baada ya hizo season 3 za p funk
@noahb2009
8 ай бұрын
Boni tayari ameshapita hapo
@youngdira1584
8 ай бұрын
Bila shaka ndie ailiefungua kipindi for the first time
Huyu jamaa ana hitaji heshima kubwa sana kweny game ya bongo🙌🙌
Noma sana.
Wakitajwa watu katika bongo flavour P funk lazima awe.ni moja ya watu wanafanya bongo flavour ipewe heshima duniani ❤
KUVIFACTS....thanks
The best interview. I like it!!!
Ulimwengu ndio mama jay moe
Majani🔥🔥🔥
Respect p. Funk majani
1 of the best interview
For real this dude alitengeneza hit songs zote n nzuri. #Much respect to him 🇹🇿
He is the king of Tanzanian music
Mika mwamba tunahitaji interview yake
Majani na kukubali sana mwanangu
The GOAT 🐐! Mastermind P Funk Majani
P Funk is a legend🎉🎉🎉🎉
Tumia uboooo Yani tumia ubongo 🔥 😂😂😂😂😂
Big brother PFunk, the Gogfather , GOAT when it comes to bongomusic
Born love,majan p funk was genius all the time
P Funk ni Jembee. Much respect brother. Peace.
We need part II ASAP 🔥🔥🔥
This is pure GOLD unasafiri mbali kukumbuka enzi hizo na kupata picha nyuma ya pazi. Mungu awabariki sana SAAAAANA!
P funk ni mmoja tu east Africa
💥💥💥💥
Hii kubwa sana Jabir..Mpe Hi mdogo wangu Mnubi hapo Efm..
39:53 ❤❤❤❤ My favorite joh makini and the whole crew
Kaka kipindi kizuri ila shda ni moja tu unapoipiga ngoma kwaajili ya muhusika aichambue unafanya kama unaonjesha tu sekunde alafu inaikata sasa wengne tunachelewa kulipata kwa haraka ilo biti na kujua iyo ni ngoma gani ivyo nishauli uwe unaachia ngoma walau dakoka moja tu au moja kasoro ili nasi twende sawa kuliko kutuacha nyuma iko kipindi ni chetu tunaitaji twende sawa pia big up sana bonge la pindi
@KuviFacts
5 ай бұрын
Kweli kaka lakini tunafanya hivyo kwa sababu hiz nyimbo zina halimiliki tukiziacha intvw itakua na matatizo na channel inaweza fungiwa kwa kukiuka sheria za hakimiliki
My favourite show show one day nipate guest dj hapa
Tumemsubil sana nomaaaa
MAOKOTO MUHIMU TRULY SAID
na emepita na ngoma ya janjalo kilimanjalo
Legendary
Bongo record TZ no 1
Hapa kenya 🇰🇪 tumamheshimu P-funk…👏🔥❤️ asante kwa interview 🙏
Respect kwako majani
🔥 🔥
#2pacWithOutNoseRing signing in bro.
🔥👏👏👏🔥
NAPENDA music 🎵 Sana
Mkubwa P Funk. God bless you
Beat. Mstar wa mbele ya pina moja kat ya beat kali mnoo.. Na beat ya nin mnataka ya pig black
@ngaukamaita3979
8 ай бұрын
Kweli aisee!!Hayo madude si mchezo aisee
🎉🎉🎉🎉🎉
Pia namsubiri sana kumsikia Jacob makala a.k.a JCB (Jesus come back)
@MsafirLeuna-zz6rw
8 ай бұрын
Anauza album ya fundi Jcb pia unaeza ipata naweza patia namba yake
😂😂😂 eti majani we mchumba tu acha kutubania masela
KUTOKA MTAZAMO SALOON NAKUBALI SANA MWANANGU BIG
Mdachi🔥
👍👊✌️。
Mzee nadhani bila kofia una poa sana kuliko unavokuwa na kofia yani hupendezi mkuu wangu, hapa anayeshauliwa ni ndugu mtangazaji wala cyo majani
@KuviFacts
3 ай бұрын
Mtoto wa kiume unaanza kumwambia mwanaume mwenzi hupendezi au unaopendeza?acha mambo ya kina diddy hayo mkuu
Hii ninoumaa
Acha niicheki tena hii interview aiseee, kuna kitu uwa nakipata kwa majani aiseee😅. Na arudi tn huyu mwamba for part two.
mwanangu nimechelewa kuijua hii chanel🙌🙌
Embu fikiria tunasonga ingekosekana wanangu dah 😢😢😢
1.Mzee wa Busara 2.Msinitenge 3.Mtazamo 4.Mangirima Hizi ni baadhi ya ngoma zilizopikwa zikapikika.
💯🙏
Oyaaa weee mzeee Jabir Saleh hapo Majani aliposema ugali mboga za majani na kibua umefurahia sana 😂😂😂😂😂 mzee wa samaki
@KuviFacts
8 ай бұрын
hahaha
"Mentor wa me, alishatufikisha kwa P Funk Majani"! If you know you know🇰🇪Kshaka Mashifta
🐐🐐
Oraaa dingiii!!.. Ivi bado bongo rekod ipo?
OG sana kuvijani
Hakuna producer East Africa anakaribia Majani. Legend. Kwanza kwa hip hop ya Africa Mashariki
@nallynkeke103
7 ай бұрын
Mika mwamba💪
@epitomeapex
6 ай бұрын
@@nallynkeke103 KWELI ASEE MIKA MWAMBA NDO ALIOWAFUNIKA WOTE AKINA MAJANI NA MASTER J WALIOANZISHA GAME
@kisabihamadi7555
6 сағат бұрын
@@epitomeapexwe humjui majani
@epitomeapex
3 сағат бұрын
@@kisabihamadi7555 Huyo majani sana alikua mkali ila Nyimbo nying ali Sample kutoka TrapFunks za Ulaya
Beat king east africa
Nikiwa Kenya Kuna radio station ilikua inaitwa Kiss FM ya bongo ilikua inapiga hip hop mno sijui kama iko ama vipi
@jameskilasa759
5 ай бұрын
Ipooooo
@mohammedmhina3973
5 ай бұрын
Ipo sem hain nguv km clouds efm wasafa etc
Jina wimbo background beat
@hassanshaaban9508
7 ай бұрын
Peke yangu by Adili hisabati
P FUNK - GOAT
Its all about hip-hop, Dakika 12:01
Hyo version II ya msela yakina ngwea inaitwa kwenye kila jamii Kina Bamboo na Jmo