THE CLASSIC P FUNK EP 1:JINA P FUNK/HISTORIA YA BONGO REC/NATURE/AY HAKULIPA/NIDHAMU/SITAKI UJINGA

P Funk Majani anatajwa kama mtayarishaji bora zaidi kwenye game ya BongoFleva akiwa ameitumikia kwa karibu miongo mitatu sasa ,aliweza kufika katika episode hii ya kwanza kabisa na kupiga stories nyingi kuhusu safari yake ya muziki sambamba na waliomzunguka,katika episode utafahamu mengi ambayo pengine hukua unayafahamu kabisa kuhusu yeye ,karibu na uenjoy huku ukisubiria episode ya pili inayotarajiwa kufanyika vivi karibuni
#pfunk #majani #bongoflava #bongorecords #theclassic

Пікірлер: 176

  • @fiziparadise7808
    @fiziparadise78085 ай бұрын

    * Fid Q - the most intelligent with highest IQ and overall the greatest bongo hip hop artist of all times. * King Crazy GK - the greatest bongo hip hop visionary, who initially wanted to take bongo musics to the highest level, and one of the best rappers. * AY - the greatest bongo hardcore punch line real hip hop rapper of all times. * Prof Jay - the most credible and consistent bongo rapper of all times. * Kalapina - the greatest panafricanist and revolutionary bongo rapper of all times. * Ngwear - the most flexible bongo rapper, who could fit in all rap styles, of all times. * P Funk - the godfather and Alfa & Omega of bongo music followed by Master J. Much respect and love from Congo🇨🇩✊🏾

  • @NotiAbdullah-d1f
    @NotiAbdullah-d1f13 күн бұрын

    Dingi niaje ❤❤

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels18548 ай бұрын

    Big fan of Pfunk from Mombasa Kenya nilistuka sana kujua ni yeye ali produce classics za mashifta ukoo flani 'pesa pombe' na 'system ya majambazi'

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    8 ай бұрын

    Kwa Tanzania kwenye miaka ya early 2000 he was everything wasanii wote wakali walirecord Kwake he is the True legend n God father of bongo flavour.

  • @dastonamichaels1854

    @dastonamichaels1854

    8 ай бұрын

    Believe me not nmefatilia sana rappers wa Tz since way back nakubaliana na wewe

  • @rogerslwitiko3915

    @rogerslwitiko3915

    8 ай бұрын

    Pia amefanya kazi na Kikundi Cha Kalamashaka

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    8 ай бұрын

    Heshima sana

  • @rogerslwitiko3915

    @rogerslwitiko3915

    8 ай бұрын

    @@KuviFacts Bro Jabir tunashukuru sana kutupa tunachotaka fans wako na Sisi hatutakuangusha tutakupa support yetu ya kutosha

  • @isayaashangai1081
    @isayaashangai10818 ай бұрын

    Yaani bilaa hawa wadau ungekuta watu wanaimba bolingo walahi 😅😅😅Heshima kwenu

  • @DaudiJuma-kp5bm

    @DaudiJuma-kp5bm

    7 ай бұрын

    😅😅

  • @user-kk7re2jl8y

    @user-kk7re2jl8y

    Ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @albert1088
    @albert10888 ай бұрын

    We need to make documentary about this man bro......He deserves that....LEGEND.!!

  • @kennedymwagambo7197
    @kennedymwagambo71978 ай бұрын

    Dr. Dre wa East Africa, Majani !!

  • @dokta_suley
    @dokta_suley8 ай бұрын

    Best Interview Ever all the way from LONDON 🎉

  • @harrykarua9238
    @harrykarua92388 ай бұрын

    Majani one of the greatest Producer to exist in this game of Tanzania..Salute sana kwake..💯👊👊👊👊👊

  • @mutumbaroni7546
    @mutumbaroni75464 ай бұрын

    Dre, p funk are my greatest producers of all time

  • @amunisalim5839
    @amunisalim58398 ай бұрын

    Yoh... The Background sound..Sio lazima ...inaleta kelele

  • @chaneldimbaofficial
    @chaneldimbaofficial8 ай бұрын

    Sema kwelii jina lina mfaaa kabsaa yani. Kilakityuuu MAJANI TUPUUU. YAN BANGI

  • @swalehngobele4812
    @swalehngobele48128 ай бұрын

    Sema hiyoo ya UKOO WA MAJANI KAIWEKA KITALAAM SANAA😂😂😂😂

  • @user-xf1xq3ky2w

    @user-xf1xq3ky2w

    6 ай бұрын

    Hahaha

  • @mbenamdudu7856
    @mbenamdudu78568 ай бұрын

    Bonge la pindi hill jabili majani hua interview zake zinakua kali sana

  • @biggiesmalls5050
    @biggiesmalls50508 ай бұрын

    🌹🌹🌹 apewe maua yake mkuu,,namtambua sana Juma Nature from +254

  • @piusdidier371
    @piusdidier371Ай бұрын

    tunaomba interview na MIKA MWAKA producer mkongwe

  • @xtra100
    @xtra1008 ай бұрын

    Beat zote alizosema zilikuwa kali sana...beat aliyosahau ni JOSEPH...ya Prof Jize

  • @ricchmontaana
    @ricchmontaana8 ай бұрын

    The classic interview wazee wa hip-hop tukiwa na jabir tunajipata ⚓⚓

  • @nahashonnderuwaithira831
    @nahashonnderuwaithira8318 ай бұрын

    From 254 but this guy from the start Asap Asap this nigah need a billboard in TZ

  • @mutumbaroni7546

    @mutumbaroni7546

    4 ай бұрын

    He needs a museum n highway

  • @JLXNINEJNINE
    @JLXNINEJNINE7 ай бұрын

    Sana mzee Baba umetisha Produser Bora Duniani Majani p

  • @JLXNINEJNINE

    @JLXNINEJNINE

    7 ай бұрын

    Sana Sana Big producer majani p funk

  • @henryjohn4781
    @henryjohn47818 ай бұрын

    P Funk a.k.a Mdach heshima kwako Legend.

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji8 ай бұрын

    Mwamba namkubali sana

  • @badifundi6089
    @badifundi60898 ай бұрын

    Paula karithi kila kitu kwa babake kasoro akili Tu

  • @rodgerswanjala8919

    @rodgerswanjala8919

    8 ай бұрын

    😂😂😂

  • @DaudiJuma-kp5bm

    @DaudiJuma-kp5bm

    7 ай бұрын

    😅😅

  • @kadengekitsao3885
    @kadengekitsao38858 ай бұрын

    huyu ajengewe sanamu lake wallahi, maoni tu

  • @maulidomary4123
    @maulidomary41238 ай бұрын

    Bcoz Ana asili ya mbele ndo Mana yuko perfect na time ya kazi na time ya Bata naf respect to majani Ila mwambie mzeee Kuna beats Kama Niko bize jafari au mtt wa kiume geez mabov au latifa ya mb 🐕 na hiyo hawatuwez bila kusahau zeze dingi lilikua na hasira Sana humo

  • @mohammedmhina3973

    @mohammedmhina3973

    5 ай бұрын

    Mikasi yete na prof ludigo waalikuwa na hasira sanaaaa.. Achilia mbali sogg dogy na bizz man na yeye majani SHE GAT GWAN 🙌🏽WALICHAFUKWA

  • @franciskassanga7999
    @franciskassanga79998 ай бұрын

    nilitaka nishangae, P-Funk bila Jay Mo (Mbakiajia)

  • @mohammedmhina3973
    @mohammedmhina39735 ай бұрын

    Majani bhna et weusi “wale watoto wanarespect..” nakubal eastaa✌🏿

  • @MrishoMohamed-ey5zf
    @MrishoMohamed-ey5zf5 ай бұрын

    Majani ndio majani kapuni ngoma nzuri inatoka kwa majani salute kwako majani kutoka Amsterdam

  • @kibakivideos
    @kibakivideos8 ай бұрын

    Majaniiii tomb apaaa........... 🔥🔥🔥🔥

  • @paulmbonika2459
    @paulmbonika24598 ай бұрын

    I respect Majani so much. Much love Mzazi wa BongoFleva

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko39158 ай бұрын

    Hasheem Dogo+Kalapina~Tunasonga nnayo kwenye playlists zangu

  • @miltonemusumbah2544
    @miltonemusumbah25448 ай бұрын

    Bring back P. Funk We need him like evry week. He is everything in Bongo evolution. Much respect and much love Majaniiii

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana28968 ай бұрын

    Baba wa bongo fleva

  • @blasssume116
    @blasssume1168 ай бұрын

    Majani should make a documentary aisee god father

  • @maalimseifk-gumuadui123
    @maalimseifk-gumuadui1238 ай бұрын

    One of the best interview✌🏻

  • @simas.a1003
    @simas.a10038 ай бұрын

    That's p funk majani. The legend. Halafu mleteni na boni tumsikie baada ya hizo season 3 za p funk

  • @noahb2009

    @noahb2009

    8 ай бұрын

    Boni tayari ameshapita hapo

  • @youngdira1584

    @youngdira1584

    8 ай бұрын

    Bila shaka ndie ailiefungua kipindi for the first time

  • @iamdjgunz1414
    @iamdjgunz14148 ай бұрын

    Huyu jamaa ana hitaji heshima kubwa sana kweny game ya bongo🙌🙌

  • @kionehamismahuruku6925
    @kionehamismahuruku69258 ай бұрын

    Noma sana.

  • @anthonykamaukuria
    @anthonykamaukuria8 ай бұрын

    Wakitajwa watu katika bongo flavour P funk lazima awe.ni moja ya watu wanafanya bongo flavour ipewe heshima duniani ❤

  • @everlastthebad4441
    @everlastthebad44418 ай бұрын

    KUVIFACTS....thanks

  • @marungijustus6594
    @marungijustus65948 ай бұрын

    The best interview. I like it!!!

  • @owenmutale8686
    @owenmutale86868 ай бұрын

    Ulimwengu ndio mama jay moe

  • @walespamba8989
    @walespamba89898 ай бұрын

    Majani🔥🔥🔥

  • @LusajoMwakibasa-cr2je
    @LusajoMwakibasa-cr2je8 ай бұрын

    Respect p. Funk majani

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan12728 ай бұрын

    1 of the best interview

  • @matthewkyamba3707
    @matthewkyamba37077 ай бұрын

    For real this dude alitengeneza hit songs zote n nzuri. #Much respect to him 🇹🇿

  • @Djugaripro
    @Djugaripro8 ай бұрын

    He is the king of Tanzanian music

  • @richpaullzproductions
    @richpaullzproductions21 күн бұрын

    Mika mwamba tunahitaji interview yake

  • @jkifutu7936
    @jkifutu79365 ай бұрын

    Majani na kukubali sana mwanangu

  • @ikabako2454
    @ikabako24547 ай бұрын

    The GOAT 🐐! Mastermind P Funk Majani

  • @eliusnchimbi716
    @eliusnchimbi7168 ай бұрын

    P Funk is a legend🎉🎉🎉🎉

  • @erqmusic5973
    @erqmusic59738 ай бұрын

    Tumia uboooo Yani tumia ubongo 🔥 😂😂😂😂😂

  • @engitech100
    @engitech1008 ай бұрын

    Big brother PFunk, the Gogfather , GOAT when it comes to bongomusic

  • @farajiissa560
    @farajiissa5605 ай бұрын

    Born love,majan p funk was genius all the time

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu29634 ай бұрын

    P Funk ni Jembee. Much respect brother. Peace.

  • @barakaekuro
    @barakaekuro8 ай бұрын

    We need part II ASAP 🔥🔥🔥

  • @aloycemassawe3222
    @aloycemassawe32228 ай бұрын

    This is pure GOLD unasafiri mbali kukumbuka enzi hizo na kupata picha nyuma ya pazi. Mungu awabariki sana SAAAAANA!

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff84897 ай бұрын

    P funk ni mmoja tu east Africa

  • @swahili_tz
    @swahili_tz8 ай бұрын

    💥💥💥💥

  • @leonelleo4425
    @leonelleo44258 ай бұрын

    Hii kubwa sana Jabir..Mpe Hi mdogo wangu Mnubi hapo Efm..

  • @user-xf1xq3ky2w
    @user-xf1xq3ky2w6 ай бұрын

    39:53 ❤❤❤❤ My favorite joh makini and the whole crew

  • @user-rz6nz5dg1u
    @user-rz6nz5dg1u5 ай бұрын

    Kaka kipindi kizuri ila shda ni moja tu unapoipiga ngoma kwaajili ya muhusika aichambue unafanya kama unaonjesha tu sekunde alafu inaikata sasa wengne tunachelewa kulipata kwa haraka ilo biti na kujua iyo ni ngoma gani ivyo nishauli uwe unaachia ngoma walau dakoka moja tu au moja kasoro ili nasi twende sawa kuliko kutuacha nyuma iko kipindi ni chetu tunaitaji twende sawa pia big up sana bonge la pindi

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    5 ай бұрын

    Kweli kaka lakini tunafanya hivyo kwa sababu hiz nyimbo zina halimiliki tukiziacha intvw itakua na matatizo na channel inaweza fungiwa kwa kukiuka sheria za hakimiliki

  • @dj_wijo
    @dj_wijo2 ай бұрын

    My favourite show show one day nipate guest dj hapa

  • @salumuseif3324
    @salumuseif33248 ай бұрын

    Tumemsubil sana nomaaaa

  • @ronaldiko8794
    @ronaldiko87948 ай бұрын

    MAOKOTO MUHIMU TRULY SAID

  • @Djugaripro
    @Djugaripro8 ай бұрын

    na emepita na ngoma ya janjalo kilimanjalo

  • @kaindulahwamburahaty6060
    @kaindulahwamburahaty60608 ай бұрын

    Legendary

  • @patrickjulius5951
    @patrickjulius59518 ай бұрын

    Bongo record TZ no 1

  • @slimpirate6020
    @slimpirate60208 ай бұрын

    Hapa kenya 🇰🇪 tumamheshimu P-funk…👏🔥❤️ asante kwa interview 🙏

  • @JLXNINEJNINE
    @JLXNINEJNINE7 ай бұрын

    Respect kwako majani

  • @angedizzle1
    @angedizzle18 ай бұрын

    🔥 🔥

  • @abdibuddy7583
    @abdibuddy75838 ай бұрын

    #2pacWithOutNoseRing signing in bro.

  • @guluramadhani1799
    @guluramadhani17998 ай бұрын

    🔥👏👏👏🔥

  • @JLXNINEJNINE
    @JLXNINEJNINE7 ай бұрын

    NAPENDA music 🎵 Sana

  • @malandichangarawe4568
    @malandichangarawe45687 ай бұрын

    Mkubwa P Funk. God bless you

  • @mwinyiheriabdul5191
    @mwinyiheriabdul51918 ай бұрын

    Beat. Mstar wa mbele ya pina moja kat ya beat kali mnoo.. Na beat ya nin mnataka ya pig black

  • @ngaukamaita3979

    @ngaukamaita3979

    8 ай бұрын

    Kweli aisee!!Hayo madude si mchezo aisee

  • @hansonlz
    @hansonlz8 ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @simas.a1003
    @simas.a10038 ай бұрын

    Pia namsubiri sana kumsikia Jacob makala a.k.a JCB (Jesus come back)

  • @MsafirLeuna-zz6rw

    @MsafirLeuna-zz6rw

    8 ай бұрын

    Anauza album ya fundi Jcb pia unaeza ipata naweza patia namba yake

  • @mckobatz5861
    @mckobatz58617 ай бұрын

    😂😂😂 eti majani we mchumba tu acha kutubania masela

  • @benjaminnyatu4846
    @benjaminnyatu48468 ай бұрын

    KUTOKA MTAZAMO SALOON NAKUBALI SANA MWANANGU BIG

  • @bekacarter5348
    @bekacarter53488 ай бұрын

    Mdachi🔥

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything8 ай бұрын

    👍👊✌️。

  • @giztony2009
    @giztony20094 ай бұрын

    Mzee nadhani bila kofia una poa sana kuliko unavokuwa na kofia yani hupendezi mkuu wangu, hapa anayeshauliwa ni ndugu mtangazaji wala cyo majani

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    3 ай бұрын

    Mtoto wa kiume unaanza kumwambia mwanaume mwenzi hupendezi au unaopendeza?acha mambo ya kina diddy hayo mkuu

  • @managergoa6798
    @managergoa67988 ай бұрын

    Hii ninoumaa

  • @mackamehassani201
    @mackamehassani2013 ай бұрын

    Acha niicheki tena hii interview aiseee, kuna kitu uwa nakipata kwa majani aiseee😅. Na arudi tn huyu mwamba for part two.

  • @Ebendentalclinic
    @Ebendentalclinic2 ай бұрын

    mwanangu nimechelewa kuijua hii chanel🙌🙌

  • @isayaashangai1081
    @isayaashangai10818 ай бұрын

    Embu fikiria tunasonga ingekosekana wanangu dah 😢😢😢

  • @victorosong132
    @victorosong1322 ай бұрын

    1.Mzee wa Busara 2.Msinitenge 3.Mtazamo 4.Mangirima Hizi ni baadhi ya ngoma zilizopikwa zikapikika.

  • @vidicumbaya9155
    @vidicumbaya91556 ай бұрын

    💯🙏

  • @dicksoniaidani3822
    @dicksoniaidani38228 ай бұрын

    Oyaaa weee mzeee Jabir Saleh hapo Majani aliposema ugali mboga za majani na kibua umefurahia sana 😂😂😂😂😂 mzee wa samaki

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    8 ай бұрын

    hahaha

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS4 ай бұрын

    "Mentor wa me, alishatufikisha kwa P Funk Majani"! If you know you know🇰🇪Kshaka Mashifta

  • @samirmswahili
    @samirmswahili8 ай бұрын

    🐐🐐

  • @trofinlyimo3520
    @trofinlyimo35208 ай бұрын

    Oraaa dingiii!!.. Ivi bado bongo rekod ipo?

  • @musso238
    @musso2388 ай бұрын

    OG sana kuvijani

  • @solomonsudi8657
    @solomonsudi86578 ай бұрын

    Hakuna producer East Africa anakaribia Majani. Legend. Kwanza kwa hip hop ya Africa Mashariki

  • @nallynkeke103

    @nallynkeke103

    7 ай бұрын

    Mika mwamba💪

  • @epitomeapex

    @epitomeapex

    6 ай бұрын

    ​@@nallynkeke103 KWELI ASEE MIKA MWAMBA NDO ALIOWAFUNIKA WOTE AKINA MAJANI NA MASTER J WALIOANZISHA GAME

  • @kisabihamadi7555

    @kisabihamadi7555

    6 сағат бұрын

    ​@@epitomeapexwe humjui majani

  • @epitomeapex

    @epitomeapex

    3 сағат бұрын

    @@kisabihamadi7555 Huyo majani sana alikua mkali ila Nyimbo nying ali Sample kutoka TrapFunks za Ulaya

  • @eliudeliakayela9598
    @eliudeliakayela95988 ай бұрын

    Beat king east africa

  • @biggiesmalls5050
    @biggiesmalls50508 ай бұрын

    Nikiwa Kenya Kuna radio station ilikua inaitwa Kiss FM ya bongo ilikua inapiga hip hop mno sijui kama iko ama vipi

  • @jameskilasa759

    @jameskilasa759

    5 ай бұрын

    Ipooooo

  • @mohammedmhina3973

    @mohammedmhina3973

    5 ай бұрын

    Ipo sem hain nguv km clouds efm wasafa etc

  • @gedionsitta8896
    @gedionsitta88968 ай бұрын

    Jina wimbo background beat

  • @hassanshaaban9508

    @hassanshaaban9508

    7 ай бұрын

    Peke yangu by Adili hisabati

  • @bosmutoto4416
    @bosmutoto44163 ай бұрын

    P FUNK - GOAT

  • @darhustler
    @darhustler7 ай бұрын

    Its all about hip-hop, Dakika 12:01

  • @eddytheblayze3810
    @eddytheblayze38105 ай бұрын

    Hyo version II ya msela yakina ngwea inaitwa kwenye kila jamii Kina Bamboo na Jmo

Келесі