MWANA FA NI MKALI KULIKO NGWEAR/ PROFESSOR JAY ANAUMWA/ SUGU HAWEZI KUFANYA - JAY MOE
Ойын-сауық
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Пікірлер: 27
msela so mchafu,msela ni msafi, msela msaka not,anaenda na wakati ....mo..🙏🤝
Nampenda bro very unique aisee ...... Bro keep it ❤🎉
Alikiba moe kazi jay moe crown ana kitu na anasaut ya mamlaka sanaaa
We bishoo tu 😂😂😂
Jaymoe msanii mkali amekuwa na consinstency kali sana
MO the BEST RAPPER OF ALL TIME! ✅
@billionboogiey9909
2 ай бұрын
Piyia kwangu pia please
Moe yupo mbele sana
Natamani sana kiba amuibe huyu jamaa
GOOD JOB BROTHER
I like it..Moe the is the best rapper.
@salaita2829
Ай бұрын
kuna mtu anaitwa chid benz
Mo ni hatarii
Jaman mm naomba namba za jay mo
Naomba namba zake jaman
Skills zao tofauti
The got
Mobenga
Mo technique
🎉🎉
J mo unasema hujawahi kujisifu kwenye nyimbo zako wakat kuna nyimbo yako moja ulijisifu uliposema makonda ni washikaj nilianza na kibanda sikuanza na gari,hapo ulijisifufu kuwa unamiliki nyumba
@elinamilyatuu7337
2 ай бұрын
Kwahyo uliumia?😅😅😂
@Paplick9
2 ай бұрын
Kwaiyo ulitaka akutaje 😂😂😂😂😂😂😂
@salaita2829
Ай бұрын
sasa huyu nyumba ni maisha yao,wamekuwa na nyumba za biashara miaka mingi,na mpaka sasa yeye mwenyewe anadeal na hizo biashara za nyumba,real estates,ni mambo ambayo yapo,ila hapo alisema tuu kuwa mbwembwe za kuonyesha magari sio vitu vyake.
Huyu jamaa anajua mpaka anafanya zambi
@gabrielikibasi8376
2 ай бұрын
Dhambi sio zambi