UTAPENDA FEROOZ, DAZ NUNDAZ, SUGU WALIVYOKUTANA (BONGO FLAVA HONORS) HESHIMA KWA WAKONGWE

Ойын-сауық

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 78

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi82318 күн бұрын

    Elimu Dunia Daz baba,big up sanaaaaaa brother. Kipindi hicho hatukuwa na maokoto sana lkn tulikuwa na furaha mno,life was virtually free of stress unlike today. Tutakuwa wote ndani ya nyumba. Arise Blackman

  • @peterndondole

    @peterndondole

    15 күн бұрын

    Nawakuli sana wote watatu

  • @samauvetonlinetv6298
    @samauvetonlinetv629810 күн бұрын

    Nakubali sana hiyo harakati. Pia niwapongeze wakuu Hawa ni noma enzi mpaka Leo. Big up Daz baba big up ferouz

  • @msakadoobongeladada-uh3sk
    @msakadoobongeladada-uh3sk4 күн бұрын

    Sugu forever ✌️✌️✌️✌️✌️💯

  • @AntonMlyuka
    @AntonMlyuka20 күн бұрын

    Tz inatakiwa kuwa na roho kama ya sugu bro mungu akupe maua yako

  • @ambokilemussa3518
    @ambokilemussa351816 күн бұрын

    DAZ BABA KICHWA SANAA WENYE D MBILI WENZANGU WATAKUWA WAMENIELEWA

  • @user-vv3hi7kt4f
    @user-vv3hi7kt4f20 күн бұрын

    big up brother sung ww king of Tanzania 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd18 күн бұрын

    Hongera sana sana Mr.Sugu. Huo ndio ulikuwa muzik.Ulikuwa na kila kitu. Hongera.

  • @godsosmukama5958
    @godsosmukama59584 күн бұрын

    19th July ni Birthday yangu hongera sana Sugu.

  • @ambokilemussa3518
    @ambokilemussa351816 күн бұрын

    daaaaah😢😢😢😢😢 nimekumbuka Kipindi nasoma Sinde primary school 2002 nikiwa darasa la sita

  • @NoahMalanga
    @NoahMalanga16 күн бұрын

    jamaa wemekua daaa...nipo primary kipindi hicho🔥🔥

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara845415 күн бұрын

    "🎤 ...yakimwagika hayazoleki maji kaka mwenye kipaaji, naa!, nakupa dibaji m'paka univike..taji..Nite chupa!"

  • @muhsinramadhan1490
    @muhsinramadhan149012 күн бұрын

    Dah!! Big up Kamanda Sugu, ila huyo mwamba Dazz baba kazeeka sana cjui ni hiyo minywele! MUNGU amnusuru👏👏.

  • @Zengeni-gz8fe
    @Zengeni-gz8fe7 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉BADO TUNAWAPENDA SANA..YOTE NI MAISHA TU NA KILA KITU KINA MWANZO NA MWISHO WAKE.....SALUTY KWENU❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara845415 күн бұрын

    Feruz hata ndevu hana...Bado mdogo sanaa

  • @MandoliiMoshi
    @MandoliiMoshi10 күн бұрын

    Nawakubalia sana wote

  • @jacobmsiganga4121
    @jacobmsiganga41219 күн бұрын

    Big up sana...

  • @AMwamzola
    @AMwamzola18 күн бұрын

    Show itakua kali saba hadi rahaa Show love kwa ferooz na Daz b

  • @TizoOmary-fs8hg
    @TizoOmary-fs8hg13 күн бұрын

    Mp sugu pamoja sana, jasili muongoza njia, mkumbuke na mdogo Ako baba t, selemani msindi, heshima kwako,

  • @idarousomar1
    @idarousomar115 күн бұрын

    Dah vimekutana vichwa vinne

  • @alexandermalima610
    @alexandermalima61020 күн бұрын

    Big up Sugu,you are always real bro,that is hiphop

  • @MPOYOLAFILMS
    @MPOYOLAFILMS17 күн бұрын

    Niite sajo a. K. a mentally... Yakimwagika hayazoleki maji... Na mwenye kipaji.... Univike taji...

  • @user-zk8sg3iw1z
    @user-zk8sg3iw1z16 күн бұрын

    Safi Sana Sugu big up may God bless you 🙏

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini15 күн бұрын

    Itakua noma sana hiyooo🎉🎉🎉

  • @OctavianiRongino
    @OctavianiRongino13 күн бұрын

    Bangi ni mbaya sana namakundi yanawaponza vijana ila hao jamaa Ngoma zao zitaishi milele ushauri waache madawa na wajiusishe na mazoezi makali watapendeza sana hasa uyo Daz baba

  • @seifhassan3811
    @seifhassan381113 күн бұрын

    Nawakubali sna wanangu ila fanyeni show tutawasapoti sana ludini jamani nawakumbuka sana kipind

  • @user-qb1jv2dy2d
    @user-qb1jv2dy2d16 күн бұрын

    Appreciation about King Sugu.

  • @jumaibrahim4297
    @jumaibrahim429715 күн бұрын

    Daz Baba rasta zinamkondesha

  • @livinswai9291
    @livinswai929113 күн бұрын

    Mtoe ngoma kama kundi bas wanangu tumewamis kinoma noma

  • @malkavoice2570
    @malkavoice257020 күн бұрын

    Niite daz baba kama ukipenda niite daz 1

  • @msambalamjukuu3866
    @msambalamjukuu386616 күн бұрын

    duu loo inaniuma sana nikiwaona wanatakiwa wasanii wenye pesa ndio ivo

  • @DaudJofrey-yr2fn
    @DaudJofrey-yr2fn11 күн бұрын

    Daz mkali san huyu mwamb

  • @asherywilbard-yx6fb
    @asherywilbard-yx6fb13 күн бұрын

    Nawakubali kinomanoma wazee

  • @JumaWayeye
    @JumaWayeye11 күн бұрын

    Huyo anayesema wakati wao umept hawajui hao wamba

  • @Bboy-ek8vn
    @Bboy-ek8vn20 күн бұрын

    Npo central africa ila siku hyo nitakuja

  • @user-iv5wr9wl9u
    @user-iv5wr9wl9u20 күн бұрын

    Wakubwa wa game hao

  • @victoriamkilya928
    @victoriamkilya92821 күн бұрын

    Hii safi sana, Sugu anaweza sana!

  • @user-vm1hl8kc7t

    @user-vm1hl8kc7t

    18 күн бұрын

    Nakubali sana sugu vizuri🤝

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rx12 күн бұрын

    Sas huyo daz baba hilo zigo huko kichwani lanini

  • @AmusedAstronomicalModel-lq3yu
    @AmusedAstronomicalModel-lq3yu14 күн бұрын

    Nomaaaaaaaaaaa sanaaaaaaaaaaa

  • @khalifakatobo4184
    @khalifakatobo41849 күн бұрын

    Sajo unapita kama Ay kwenye flow

  • @kulwamalingumu
    @kulwamalingumu15 күн бұрын

    nawakubali sana

  • @idarousomar1
    @idarousomar115 күн бұрын

    Mnastahili maua yenu kwa kweli

  • @AbdallahBakar-oc3ue
    @AbdallahBakar-oc3ue18 күн бұрын

    Sugu hongera

  • @AmaniCosmetix
    @AmaniCosmetix20 күн бұрын

    Nimekubali

  • @NoahMalanga
    @NoahMalanga16 күн бұрын

    King Sugu

  • @evaristkobelo3936
    @evaristkobelo393618 күн бұрын

    Sanatu wanangu Larumba bamba tata

  • @zubeiramlanzi2480
    @zubeiramlanzi248016 күн бұрын

    Njemba zimechoka kichizi

  • @user-zj7dr2sy7t

    @user-zj7dr2sy7t

    13 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @raymondkihaka1827
    @raymondkihaka182715 күн бұрын

    Hy ngoma ya starehe itagonga mpaka kizazi na kizazi

  • @harrysonngosha7931
    @harrysonngosha793119 күн бұрын

    Safi sana sana sana sana

  • @YusufnduneJana
    @YusufnduneJana18 күн бұрын

    Ebwanae itakua moto sana

  • @drmahwa8166
    @drmahwa816614 күн бұрын

    Acheni mibange tubuni kwa Allaah.miziki ya nini naumauti umetungojea?

  • @user-fq7ke7sd1y

    @user-fq7ke7sd1y

    12 күн бұрын

    We Kuma nn Nan kakwambia mziki ni bange😅 usikalili nyoko

  • @robbyawesometv7030
    @robbyawesometv703016 күн бұрын

    Will be there also

  • @AthonySaimon
    @AthonySaimon18 күн бұрын

    Nipo urusi ila siku hyo ntakuja.

  • @sadamshantiwa9749

    @sadamshantiwa9749

    6 күн бұрын

    @Athonysaimon Urusi ya nyoko.

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv192212 күн бұрын

    Bangi mbaya sana.. Wakati wenu umepita.... Ni uwanja wa Diamond kwa sasa

  • @kalezabongo2806

    @kalezabongo2806

    12 күн бұрын

    Bila shaka we ni mtoto wa 2000

  • @MandoliiMoshi

    @MandoliiMoshi

    10 күн бұрын

    We nifala acha mazarau daz nunda nyimbo zao zinaishi ad leo

  • @InspirationalGoldenRetri-xl2wn
    @InspirationalGoldenRetri-xl2wn12 күн бұрын

    LaRhumba

  • @jkifutu7936
    @jkifutu793620 күн бұрын

    Nipo Japani but iyo siku nitafika

  • @msambalamjukuu3866
    @msambalamjukuu386616 күн бұрын

    shoo inatakiwa iwe kiingilio kikubwa watu tutakua wengi

  • @VotanVotan-gb3hd
    @VotanVotan-gb3hd17 күн бұрын

    Hili mbona jiwe la moto

  • @user-hd7vt8fk5t
    @user-hd7vt8fk5t20 күн бұрын

    Daz baba ameua hapo

  • @sabasmichael1199
    @sabasmichael119919 күн бұрын

    Wapi Ally Mbongo wa Tanzaniano?

  • @TonnyMaster
    @TonnyMaster20 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @muddylikwena128
    @muddylikwena12818 күн бұрын

    Mtu anapo ambiwa basi usimalizie kusoma

  • @Magrethkilegu
    @Magrethkilegu16 күн бұрын

    Hazielewi njemba

  • @Ali-gk5mv
    @Ali-gk5mv14 күн бұрын

    Oya mumetisha wanangu

  • @AnthonySindabaha-de3xb
    @AnthonySindabaha-de3xb16 күн бұрын

    Campaign

  • @ambokilemussa3518
    @ambokilemussa351816 күн бұрын

    walete Mbeya Jongwe tukumbuke tulikotoka

  • @raymondkihaka1827
    @raymondkihaka182715 күн бұрын

    Feruzi😅😅😅😅😅

  • @marwajoseph8060
    @marwajoseph806017 күн бұрын

    Dubai ila lazima nije kiukweli nimepamiss nyumbani ni muda sijawaona kwenye majukwaa

  • @ahmadbihaytv4460
    @ahmadbihaytv446016 күн бұрын

    Nitafanya nini sasa

  • @user-zw4dx4go8o
    @user-zw4dx4go8o8 күн бұрын

    Ebhana mtoe bac jamani Kwa pamoja kama kundi kritiki simuoni

  • @mhinajerome5964

    @mhinajerome5964

    7 сағат бұрын

    Kritiki sasahivi nimchungaji mzeewangu

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale173915 күн бұрын

    Ningekuwa bongo sio ya kukosa hii

Келесі