UTAPENDA FEROOZ, DAZ NUNDAZ, SUGU WALIVYOKUTANA (BONGO FLAVA HONORS) HESHIMA KWA WAKONGWE
Ойын-сауық
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Пікірлер: 78
Elimu Dunia Daz baba,big up sanaaaaaa brother. Kipindi hicho hatukuwa na maokoto sana lkn tulikuwa na furaha mno,life was virtually free of stress unlike today. Tutakuwa wote ndani ya nyumba. Arise Blackman
@peterndondole
15 күн бұрын
Nawakuli sana wote watatu
Nakubali sana hiyo harakati. Pia niwapongeze wakuu Hawa ni noma enzi mpaka Leo. Big up Daz baba big up ferouz
Sugu forever ✌️✌️✌️✌️✌️💯
Tz inatakiwa kuwa na roho kama ya sugu bro mungu akupe maua yako
DAZ BABA KICHWA SANAA WENYE D MBILI WENZANGU WATAKUWA WAMENIELEWA
big up brother sung ww king of Tanzania 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Hongera sana sana Mr.Sugu. Huo ndio ulikuwa muzik.Ulikuwa na kila kitu. Hongera.
19th July ni Birthday yangu hongera sana Sugu.
daaaaah😢😢😢😢😢 nimekumbuka Kipindi nasoma Sinde primary school 2002 nikiwa darasa la sita
jamaa wemekua daaa...nipo primary kipindi hicho🔥🔥
"🎤 ...yakimwagika hayazoleki maji kaka mwenye kipaaji, naa!, nakupa dibaji m'paka univike..taji..Nite chupa!"
Dah!! Big up Kamanda Sugu, ila huyo mwamba Dazz baba kazeeka sana cjui ni hiyo minywele! MUNGU amnusuru👏👏.
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉BADO TUNAWAPENDA SANA..YOTE NI MAISHA TU NA KILA KITU KINA MWANZO NA MWISHO WAKE.....SALUTY KWENU❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Feruz hata ndevu hana...Bado mdogo sanaa
Nawakubalia sana wote
Big up sana...
Show itakua kali saba hadi rahaa Show love kwa ferooz na Daz b
Mp sugu pamoja sana, jasili muongoza njia, mkumbuke na mdogo Ako baba t, selemani msindi, heshima kwako,
Dah vimekutana vichwa vinne
Big up Sugu,you are always real bro,that is hiphop
Niite sajo a. K. a mentally... Yakimwagika hayazoleki maji... Na mwenye kipaji.... Univike taji...
Safi Sana Sugu big up may God bless you 🙏
Itakua noma sana hiyooo🎉🎉🎉
Bangi ni mbaya sana namakundi yanawaponza vijana ila hao jamaa Ngoma zao zitaishi milele ushauri waache madawa na wajiusishe na mazoezi makali watapendeza sana hasa uyo Daz baba
Nawakubali sna wanangu ila fanyeni show tutawasapoti sana ludini jamani nawakumbuka sana kipind
Appreciation about King Sugu.
Daz Baba rasta zinamkondesha
Mtoe ngoma kama kundi bas wanangu tumewamis kinoma noma
Niite daz baba kama ukipenda niite daz 1
duu loo inaniuma sana nikiwaona wanatakiwa wasanii wenye pesa ndio ivo
Daz mkali san huyu mwamb
Nawakubali kinomanoma wazee
Huyo anayesema wakati wao umept hawajui hao wamba
Npo central africa ila siku hyo nitakuja
Wakubwa wa game hao
Hii safi sana, Sugu anaweza sana!
@user-vm1hl8kc7t
18 күн бұрын
Nakubali sana sugu vizuri🤝
Sas huyo daz baba hilo zigo huko kichwani lanini
Nomaaaaaaaaaaa sanaaaaaaaaaaa
Sajo unapita kama Ay kwenye flow
nawakubali sana
Mnastahili maua yenu kwa kweli
Sugu hongera
Nimekubali
King Sugu
Sanatu wanangu Larumba bamba tata
Njemba zimechoka kichizi
@user-zj7dr2sy7t
13 күн бұрын
😂😂😂😂😂
Hy ngoma ya starehe itagonga mpaka kizazi na kizazi
Safi sana sana sana sana
Ebwanae itakua moto sana
Acheni mibange tubuni kwa Allaah.miziki ya nini naumauti umetungojea?
@user-fq7ke7sd1y
12 күн бұрын
We Kuma nn Nan kakwambia mziki ni bange😅 usikalili nyoko
Will be there also
Nipo urusi ila siku hyo ntakuja.
@sadamshantiwa9749
6 күн бұрын
@Athonysaimon Urusi ya nyoko.
Bangi mbaya sana.. Wakati wenu umepita.... Ni uwanja wa Diamond kwa sasa
@kalezabongo2806
12 күн бұрын
Bila shaka we ni mtoto wa 2000
@MandoliiMoshi
10 күн бұрын
We nifala acha mazarau daz nunda nyimbo zao zinaishi ad leo
LaRhumba
Nipo Japani but iyo siku nitafika
shoo inatakiwa iwe kiingilio kikubwa watu tutakua wengi
Hili mbona jiwe la moto
Daz baba ameua hapo
Wapi Ally Mbongo wa Tanzaniano?
😂😂😂😂😂😂
Mtu anapo ambiwa basi usimalizie kusoma
Hazielewi njemba
Oya mumetisha wanangu
Campaign
walete Mbeya Jongwe tukumbuke tulikotoka
Feruzi😅😅😅😅😅
Dubai ila lazima nije kiukweli nimepamiss nyumbani ni muda sijawaona kwenye majukwaa
Nitafanya nini sasa
Ebhana mtoe bac jamani Kwa pamoja kama kundi kritiki simuoni
@mhinajerome5964
7 сағат бұрын
Kritiki sasahivi nimchungaji mzeewangu
Ningekuwa bongo sio ya kukosa hii