FEROOZ AFUNGUKA MWANAMKE KUMKIMBIA, AMUONEA HURUMA PROF JAY AELEZA YA WIMBO WAO WA 'STAREHE'
Жүктеу.....
Пікірлер: 76
@ladymunahmunah51532 жыл бұрын
Jamaaaan yaani nammpenda sana huyu ferooz endlea kupambana broo insha-allah mung atakuinua tenah🙏
@drtheresiakaruhanga35432 жыл бұрын
Hongera. jitambue na upambane, waliokimbia waache ila kimbizana na maisha maana maisha hayakusubiri yanasonga mbele na muombe Mungu atakufanikisha.
@rihannaahmed2 жыл бұрын
Ferooz na prof Jay ndio ma legend we mis them days
@williammbuzimai57442 жыл бұрын
Mwili unategemea moyo,, Pia usibwie unga dogo" Hata mwili umependeza sana.
@vuvuzelajordankhasindu29633 ай бұрын
Mitonyoo bado ipo, i like that. Very composed. My OG forever. Peace.
@aminaibrahim4148 Жыл бұрын
Simama imara ferouz kwa sasa ww ni muimbaji mzur na mtunzi mzuri sana Mashaallah kwa sasa fanya kazi usi yumbishwe na mapenzi wekeza akili yako kwenye kazi na kuhusu mambo yangada achana nayo kwa sasa ww komaa na kitu ya mjani
@veronicaoman87642 жыл бұрын
Kaza but utafanikiwa Mungu sio binadamu hata umwombe asikusikie fanya kazi nzuri utainuka tena
@justinemaingu14602 жыл бұрын
Hakika Feruzi alitutendea haki mashabiki wake ndomaana mpaka leo ngoma zake mfano Jirushe Starehe Mkasa wa bos na nyingine kibao aliumiza kichwa kama ameamua kurudi Mungu amsimamie2🙏
@vuvuzelajordankhasindu29633 ай бұрын
I am happy to hear my brother, kuna kipindi rumours came kuwa Ferikiz is dead or was dead. I miss you my brother. Peace.
@sintaibra3552 жыл бұрын
All The Best Ferooz
@goodluckmgaya89042 жыл бұрын
Sema nn Ila tunajisahau sanaaaaa kujiwekeza but pambana MUNGU anasaidia usiwaze kikubwa tuombe Dua 🙌
@raymondkanyama63872 жыл бұрын
Legend of all tymz
@mr.romancer91602 жыл бұрын
Legend🔥🔥🔥🙌
@AmaniKasekwa-uw8hpАй бұрын
Feluzi umeongea ukweli endelelea kupambana mungu yupo ata kusadia
@EricAmani25425 күн бұрын
Bigup ferroz
@ndikumasabodiegovevo90912 жыл бұрын
Ferooz karudi naona Iko vizuri kabisa
@jamesmwihaki46752 жыл бұрын
Legend
@veronicaoman87642 жыл бұрын
Mziki wako haswaa ni mzr sana hasa ile ya hapa nilipo nipo kitandani starehe zimeniweka matatani Big up sana
@adildewji2 жыл бұрын
Wow. Very interesting guy.
@stonkamahenge94292 жыл бұрын
Good vibe ferooz by mc stonka tunduma bordar
@twentyacresfarms34642 жыл бұрын
Nilichogundua vido una nidhamu Sana kaka. Safi Sana ferooz
@lisakowero7325
2 жыл бұрын
Na sauti yake ni nzuri iko strong sana
@twentyacresfarms3464
2 жыл бұрын
@@lisakowero7325 kabisa na ferooz bado ana nguvu kabisa tofauti na watu walivyosema kachoka
@adolphyamin12452 жыл бұрын
Ferooz 🔥🔥🔥
@nyotawauniquem74622 жыл бұрын
Feruziii my all time artist
@darsinana26472 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@jaharaoman64782 жыл бұрын
Ola vido mnafki eti unapiga matiiz unajitafuta🤣🤣Ferooz big up bro tunakukubali sana ngoja nikacherk ngoma yako
@ibrahdabrwn35352 жыл бұрын
Nakkubali mr ferooz
@mwanaishamande88802 жыл бұрын
Ulikuwa vizuri kuwekeza kwenye biashara hukuwa zuzu lkn ndio hivyo mungu hakupanga ila inshaallah utapata kupitia biashara
@michaelsamson96632 жыл бұрын
Vijana wengi uwa tuna pata pesa tunasau kujiwekeza ona mazala yanayo jitokeza
@user-zf2fv7tk3jАй бұрын
Mwamba Ngoma zako zote Bado ziko juu
@AmaniKasekwa-uw8hpАй бұрын
Feluzi ume nyoka sana
@madolaclassic1172 жыл бұрын
Ayo nawakubar sana
@beatricemabula47832 жыл бұрын
Nafurahi.sana.sana.kukuona umerudi.
@abdulkilala98452 жыл бұрын
Saf sana ferooz
@fatumaseleman15792 жыл бұрын
Vido vidox nakupenda ❤❤
@vidovidox2632
2 жыл бұрын
Asante sana Fatma
@fatumaseleman1579
2 жыл бұрын
Thanks 👏
@AMwamzola21 күн бұрын
Oya ferooz ile korus ulivunja babu sio poa
@edwinalexander11702 жыл бұрын
Mzee wa wana Apolo, kikosi cha mizinga kwaherini.
@kazkaz19432 жыл бұрын
Nakumbuka baada ya wimbo wa starehe zikatoka tetes kwenye magazeti prof jay amepata HIV nililiaaa niliia sanaa ila badae zile tetes zikapotea now zimerud tena nakuombea kwa Mungu prof uwe mwenye afya njema
@edwingwesso68182 жыл бұрын
Jamaa kaongea ukweli
@sbboymkaliofficial91082 жыл бұрын
Feruz uko vizur but acha bangi broo fanya kazi starehe umeimba ila chunga usije zikakuteka mwenyewe mi mdogo wako sb boy mkali 👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/Z4JkksWvpJrHn9I.html
@fredrickmatiku77832 жыл бұрын
Jamaa anajua kufanya interview kavido vido vido vidox
Пікірлер: 76
Jamaaaan yaani nammpenda sana huyu ferooz endlea kupambana broo insha-allah mung atakuinua tenah🙏
Hongera. jitambue na upambane, waliokimbia waache ila kimbizana na maisha maana maisha hayakusubiri yanasonga mbele na muombe Mungu atakufanikisha.
Ferooz na prof Jay ndio ma legend we mis them days
Mwili unategemea moyo,, Pia usibwie unga dogo" Hata mwili umependeza sana.
Mitonyoo bado ipo, i like that. Very composed. My OG forever. Peace.
Simama imara ferouz kwa sasa ww ni muimbaji mzur na mtunzi mzuri sana Mashaallah kwa sasa fanya kazi usi yumbishwe na mapenzi wekeza akili yako kwenye kazi na kuhusu mambo yangada achana nayo kwa sasa ww komaa na kitu ya mjani
Kaza but utafanikiwa Mungu sio binadamu hata umwombe asikusikie fanya kazi nzuri utainuka tena
Hakika Feruzi alitutendea haki mashabiki wake ndomaana mpaka leo ngoma zake mfano Jirushe Starehe Mkasa wa bos na nyingine kibao aliumiza kichwa kama ameamua kurudi Mungu amsimamie2🙏
I am happy to hear my brother, kuna kipindi rumours came kuwa Ferikiz is dead or was dead. I miss you my brother. Peace.
All The Best Ferooz
Sema nn Ila tunajisahau sanaaaaa kujiwekeza but pambana MUNGU anasaidia usiwaze kikubwa tuombe Dua 🙌
Legend of all tymz
Legend🔥🔥🔥🙌
Feluzi umeongea ukweli endelelea kupambana mungu yupo ata kusadia
Bigup ferroz
Ferooz karudi naona Iko vizuri kabisa
Legend
Mziki wako haswaa ni mzr sana hasa ile ya hapa nilipo nipo kitandani starehe zimeniweka matatani Big up sana
Wow. Very interesting guy.
Good vibe ferooz by mc stonka tunduma bordar
Nilichogundua vido una nidhamu Sana kaka. Safi Sana ferooz
@lisakowero7325
2 жыл бұрын
Na sauti yake ni nzuri iko strong sana
@twentyacresfarms3464
2 жыл бұрын
@@lisakowero7325 kabisa na ferooz bado ana nguvu kabisa tofauti na watu walivyosema kachoka
Ferooz 🔥🔥🔥
Feruziii my all time artist
🔥🔥🔥🔥
Ola vido mnafki eti unapiga matiiz unajitafuta🤣🤣Ferooz big up bro tunakukubali sana ngoja nikacherk ngoma yako
Nakkubali mr ferooz
Ulikuwa vizuri kuwekeza kwenye biashara hukuwa zuzu lkn ndio hivyo mungu hakupanga ila inshaallah utapata kupitia biashara
Vijana wengi uwa tuna pata pesa tunasau kujiwekeza ona mazala yanayo jitokeza
Mwamba Ngoma zako zote Bado ziko juu
Feluzi ume nyoka sana
Ayo nawakubar sana
Nafurahi.sana.sana.kukuona umerudi.
Saf sana ferooz
Vido vidox nakupenda ❤❤
@vidovidox2632
2 жыл бұрын
Asante sana Fatma
@fatumaseleman1579
2 жыл бұрын
Thanks 👏
Oya ferooz ile korus ulivunja babu sio poa
Mzee wa wana Apolo, kikosi cha mizinga kwaherini.
Nakumbuka baada ya wimbo wa starehe zikatoka tetes kwenye magazeti prof jay amepata HIV nililiaaa niliia sanaa ila badae zile tetes zikapotea now zimerud tena nakuombea kwa Mungu prof uwe mwenye afya njema
Jamaa kaongea ukweli
Feruz uko vizur but acha bangi broo fanya kazi starehe umeimba ila chunga usije zikakuteka mwenyewe mi mdogo wako sb boy mkali 👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/Z4JkksWvpJrHn9I.html
Jamaa anajua kufanya interview kavido vido vido vidox
Burundi tunaguombea urudi kwenye gemu
Unatangaza unaimba,😃😎yoyoyo,vidole Nini ushamba tuu
@vidovidox2632
2 жыл бұрын
Sawa Nitaacha Ushamba
Big up sana ferooz
Mkwongwe wa mashairi
Huyu tatizo anapenda sana chini ferooz
Miyenirizani nimukewamugojwa basiasifanyehivyo
Hivi vipindi va vido navipenda maana unajifunza vingi kwa wasaniii
@vidovidox2632
2 жыл бұрын
Asante sana
Kama ndege mtini tunapendana sare sare kama shuleni
Mwamba tuko pamoja
Huyu asa anatakiwa arudi kimziki
C uliowa mke WA kihindi kiasi akimbie
Rudi kwenye game tume mic mziki wako, waliokukimbia wakazie fanya yako jipange jiwekeze, afu vido et anaekuchulia demu mshikaji wako🤣🤣
Profesa j anaumwa nini jamani daah
Big up sana feruzi
ferooz sauti ya kiza
Wewe unaye tukana kumbuka ata wewe huja jiumba
Ma pasta wa uwongo wanadanganya watu 😭😭kzread.info/dash/bejne/fXqV2dWkm7nYiLA.html
Nautaftaga saaana wimbo wake wa policeman bila mafanikio
@calvinsilayo2052
2 жыл бұрын
Ninao tuma no nikutumie whtsp mzee
Ferooz
Mukevumiriyamume kwarahakwashida
@svt3
2 жыл бұрын
RIP kiswahili Wivine Lugha gani hii🤔🤔🤔 kama hujuwe andika sio lazima uandike bibieh
@simonmartinekombe7031
2 жыл бұрын
Hujui kuandka rud STD 1
@mahmoodalghefeili5370
2 жыл бұрын
@@simonmartinekombe7031 🤣🤣🤣ajui kutenganisha au kuandika
ila uyu jamaa anasura pasenali kabsa sura kma dumu la gongo 😅😅😅😅
@baysuraoman7910
2 жыл бұрын
Jamani umemaliza uzazi
@Shuu.A
2 жыл бұрын
Hujafa hujaumbika ujue kuna kizazi
@ladymunahmunah5153
2 жыл бұрын
Una laana weweee em weka sura yako apo 2kuone ulivyo mxiiiuuuee
@arjunpanditi2232
2 жыл бұрын
Usirau kiumbe alichoumba Allah
@muddysharo1803
Жыл бұрын
Kumamake we jamaa unajuwa kuchamba sana 🤣🤣