Mwana FA aimba freestyle kama sio waziri vile usiku wa tuzo za Tanzania Music Award
Ойын-сауық
Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
Пікірлер: 35
Ipo cku utaniheshimu ama utaheshimu hera zangu sasa hivi kweli wanamuheshimu huyu mwamba
Rap wangu bora muda wote bongo hutaki utajua hujui
Nakukubari saana mwana F A
Daah noma sana fa
Yeeeeah bado nipo nipo kwanza hatar sana ulitisha sana bro
Hakika leo wanaeshimu pesa zako na cheo chako
That is legendary
Mwana f.a.profesa jey.mmemuweka wap jamani
@camilomassao8971
Жыл бұрын
Eti jamani!!!!!!
Fa nakukubali sana bro
Uko vizuri kurap Mzee baba
Profeesa jay yupo wap
Kweli kipaji kipo!!
Makofi mengi kwa mzee jk
Na ndie Aliemkabidhi vyombo vya Dansi Mzee wa Baba na Mwana
Kipaji hakizeeki hongera
Kweliiii na Leo wanamuheshim, ndoto imetimia
Fact, hilo neno la maua yao Hahahaaaa ila ROMA
Kuwapa maua yao 🤣🤣mpeni tuzo o
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Mrithi wako nipo ila hujui tu toka muheza
MKULUNGWAAA MWANA FA.FALSAFA
Mbona kikwete kikwete tu
Mbona makofi hayaonekani
Wa nyumban wape ripot ya tanga muheza
Naqubar sana F.A...👊👊
❤❤❤❤
Tuzo za wcb ft basata
Mpeni maua yake
Saf
Kwamba JK alitoa hela mfukoni mwake kumpeleka rehab msanii,hiyo ibakie tu kama ilivyo,kwani hapa bongo ni vigumu sana kutambua hela itolewapo na rais kama ni yake ya mfukoni/au ni ya bajetini,mwe!
Kwisha tukupe maua yako🎉🎉
Kikwete leo kachambuliwa kwenye engo nzuri ila ukifika kwao mtaani wanalia mpaka hatembei kwamguu ktaan yan aibu nandiomaana watu hawapigi makofi manaake kavurunda
@mrsinia3064
Жыл бұрын
🤣🤣..kumbe
Uki muongelea jukwete tuna tapika wew