MISTARI YA MWANA FA MBELE YA RAIS SAMIA, ATOA HOTUBA KONKI KAMA ANARAP ''MIMI SIKUWA NA UPANDE''

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 53

  • @jackkimwely5275
    @jackkimwely52752 күн бұрын

    Tunakupenda sana Mwana FA

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 Жыл бұрын

    Hongera Sana mheshimiwaa Mwana FA kikubwa serikali iweke misingi imara kwenye michezo watu wanaitaji kuburudishwa Kwa vipaji halisi na hasa kuona wazawa ( watoto) wakipewa nafasi hizo na kupewa nafasi ya kutimiza ndoto zao lakini pia kuwa na maisha Bora ili na wao waweze kuweka nguvu katika vizazi vyao na jamii Kwa ujumla.,hongera pia mh rais mama Samia suluhu Hassan Kwa kunyanyua sekta ya michezo.

  • @alisalum6733
    @alisalum6733 Жыл бұрын

    Namuona Great Politician wa leo na Kesho. Mzee Uko Sawa. Ni wakati Sahihi kwako na kwa taifa hili. All the best bro @FA

  • @RashidMuhunzi-pr5xj
    @RashidMuhunzi-pr5xj13 күн бұрын

    The hiphop legendarian

  • @mohamednyange5779
    @mohamednyange5779 Жыл бұрын

    Hotuba nzuri sana hotuba ya kisomi hongera sana MWANAFALSAFANI

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Жыл бұрын

    Mheshimiwa, hiyo ni hotuba sio mistari ya bongo Flava,,,,,,,

  • @gadyetheboss8738

    @gadyetheboss8738

    Жыл бұрын

    Of course anahitaj kujirekebisha lugha za kiun sio maala pake umenena point sana

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    Жыл бұрын

    @@gadyetheboss8738 🤝🤝🤝🤝

  • @AbdallaHassan-zn4ku
    @AbdallaHassan-zn4ku Жыл бұрын

    Hongera Mh.Hamisi Mwijuma

  • @user-te8tf7cx3i
    @user-te8tf7cx3i Жыл бұрын

    Asante sn my brother uko vzr sn

  • @nakali79
    @nakali79 Жыл бұрын

    Hizo ni kodi za watanzania sio pesa za Samia, wasifuni watanzania walipao kodi,

  • @georgemlulu1553
    @georgemlulu1553 Жыл бұрын

    Big up mwana f.a

  • @dicksonmagesa7602
    @dicksonmagesa7602 Жыл бұрын

    Uwe hivyo hivyo nakutabilia mbali Sana kijana

  • @ramadhankoo

    @ramadhankoo

    Жыл бұрын

    P zd

  • @ChristinaChembe
    @ChristinaChembe Жыл бұрын

    Young Afriacan hooray

  • @leonlennon
    @leonlennon Жыл бұрын

    Namkumbani sana mwana fa anajiamini san kiukweli

  • @ndizoshukuru6142
    @ndizoshukuru61426 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @albertlokoya7937
    @albertlokoya7937 Жыл бұрын

    Sipati Picha kama Young Africans ingekuja na Kombe hili la CAF Confederation...Ingekuwabig celebration. Lakini well done for the effort to play in the final of CAF Confederation. SIMBA should wake up

  • @NicholusMkunya-kj6mh
    @NicholusMkunya-kj6mh Жыл бұрын

    Movie

  • @jeremialyati6092
    @jeremialyati6092 Жыл бұрын

    Mbona Simba hawajatajwa na walikuwepo🤣🤣

  • @qaccimside5707
    @qaccimside5707 Жыл бұрын

    The golden spear

  • @peterkissiry6432
    @peterkissiry6432 Жыл бұрын

    ndugu yangu uko poah sana kwa kusoma muutasali

  • @abdillahomar4541
    @abdillahomar4541 Жыл бұрын

    Intakiwa atofautishe kati ya mistari na hutuba au risa mana anakimbiza paaa

  • @edmundsospeter5667
    @edmundsospeter5667 Жыл бұрын

    Asante 👍

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa Жыл бұрын

    Uyo dada anae zulula zulula humo sjui kama atakuja tena aitwe ikulu mana anahis Yuko kwenye kitchen pat

  • @husseinkazigo6189

    @husseinkazigo6189

    Жыл бұрын

    😂

  • @judithgeorge1756

    @judithgeorge1756

    Жыл бұрын

    Hahaha 😅😅😅

  • @franciskalinga6560
    @franciskalinga656027 күн бұрын

    Hawa wanao tukana wasani wenzio kama Mr pimbi mwijaku

  • @user-uu3xt6mu2q
    @user-uu3xt6mu2q Жыл бұрын

    Simba jedi mayans 😮 7:23 7:24 2024

  • @hassanfigo6175
    @hassanfigo6175 Жыл бұрын

    Huyu jamaa anaishi maisha ya ndoto yake, kuna nyimbo aliimba na prof J kama sijakosea yaitwa Ni Jukumu Letu.

  • @abdillahomar4541
    @abdillahomar4541 Жыл бұрын

    Faida yake nikwamba unaokoa muda km uitakiwa utume masaa 2 basi unatumia nusu saa tu 😂

  • @peterkissiry6432
    @peterkissiry6432 Жыл бұрын

    Dogo uko viema sana mmh

  • @hellonoloo3850
    @hellonoloo3850 Жыл бұрын

    Bongo safi

  • @hellonoloo3850

    @hellonoloo3850

    Жыл бұрын

    M.n.f nakumbali

  • @hellonoloo3850

    @hellonoloo3850

    Жыл бұрын

    KENYA wote tunawapenda

  • @hellonoloo3850

    @hellonoloo3850

    Жыл бұрын

    S

  • @hellonoloo3850

    @hellonoloo3850

    Жыл бұрын

    MAMA PRESS INDEED

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Жыл бұрын

    Tumeona clip zako ukiwa na jike dume moja ukitukejeli baada ya kutolewa nenda huna mpango achana yanga tafuta ugali wako.

  • @swimmermoddy3263

    @swimmermoddy3263

    Жыл бұрын

    Iko wapi clip hiyo

  • @philemon-mz2fv
    @philemon-mz2fv Жыл бұрын

    😂

  • @abdillahabdillah7850
    @abdillahabdillah7850 Жыл бұрын

    Chezeeni kodi zetu tu

  • @sylvestercameo6263

    @sylvestercameo6263

    Жыл бұрын

    Kodi zenu! Acha donge, acha nyodo! Unalalamikia Kodi yako? Hivi unajua mabililioni mangapi ya fedha za kigeni Yanga imeingiza nchini kupitia mashindano haya? Waulize wenye taaluma ya uchumi!

  • @okorecharles3992

    @okorecharles3992

    Жыл бұрын

    ​@@sylvestercameo6263 Ebu tuambie muhasibu wa taifa.😂😂😂

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    Жыл бұрын

    ​@@okorecharles3992 😂😂

  • @kidatokassim7616

    @kidatokassim7616

    Жыл бұрын

    Kodi Yako shingapi nikurudishie mm bila serikali kuhusika😂

  • @abdillahabdillah7850

    @abdillahabdillah7850

    Жыл бұрын

    @@kidatokassim7616 ungejirudishia yakwako kwanza kama we sio mwezi mchanga

  • @victorzimba3316
    @victorzimba3316 Жыл бұрын

    Mama kumbe likuwa unasaidia yanga Mars mwamposa kumbe ulitaka tusahau haya acha tu iyo mama achatu

  • @saidkanji9882
    @saidkanji9882 Жыл бұрын

    Wewe dada siutulie

Келесі