MISTARI YA MWANA FA MBELE YA RAIS SAMIA, ATOA HOTUBA KONKI KAMA ANARAP ''MIMI SIKUWA NA UPANDE''
#UhondoTV #Uhondo
Жүктеу.....
Пікірлер: 53
@jackkimwely52752 күн бұрын
Tunakupenda sana Mwana FA
@shalomchaula4420 Жыл бұрын
Hongera Sana mheshimiwaa Mwana FA kikubwa serikali iweke misingi imara kwenye michezo watu wanaitaji kuburudishwa Kwa vipaji halisi na hasa kuona wazawa ( watoto) wakipewa nafasi hizo na kupewa nafasi ya kutimiza ndoto zao lakini pia kuwa na maisha Bora ili na wao waweze kuweka nguvu katika vizazi vyao na jamii Kwa ujumla.,hongera pia mh rais mama Samia suluhu Hassan Kwa kunyanyua sekta ya michezo.
@alisalum6733 Жыл бұрын
Namuona Great Politician wa leo na Kesho. Mzee Uko Sawa. Ni wakati Sahihi kwako na kwa taifa hili. All the best bro @FA
@RashidMuhunzi-pr5xj13 күн бұрын
The hiphop legendarian
@mohamednyange5779 Жыл бұрын
Hotuba nzuri sana hotuba ya kisomi hongera sana MWANAFALSAFANI
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Mheshimiwa, hiyo ni hotuba sio mistari ya bongo Flava,,,,,,,
@gadyetheboss8738
Жыл бұрын
Of course anahitaj kujirekebisha lugha za kiun sio maala pake umenena point sana
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@gadyetheboss8738 🤝🤝🤝🤝
@AbdallaHassan-zn4ku Жыл бұрын
Hongera Mh.Hamisi Mwijuma
@user-te8tf7cx3i Жыл бұрын
Asante sn my brother uko vzr sn
@nakali79 Жыл бұрын
Hizo ni kodi za watanzania sio pesa za Samia, wasifuni watanzania walipao kodi,
@georgemlulu1553 Жыл бұрын
Big up mwana f.a
@dicksonmagesa7602 Жыл бұрын
Uwe hivyo hivyo nakutabilia mbali Sana kijana
@ramadhankoo
Жыл бұрын
P zd
@ChristinaChembe Жыл бұрын
Young Afriacan hooray
@leonlennon Жыл бұрын
Namkumbani sana mwana fa anajiamini san kiukweli
@ndizoshukuru61426 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@albertlokoya7937 Жыл бұрын
Sipati Picha kama Young Africans ingekuja na Kombe hili la CAF Confederation...Ingekuwabig celebration. Lakini well done for the effort to play in the final of CAF Confederation. SIMBA should wake up
@NicholusMkunya-kj6mh Жыл бұрын
Movie
@jeremialyati6092 Жыл бұрын
Mbona Simba hawajatajwa na walikuwepo🤣🤣
@qaccimside5707 Жыл бұрын
The golden spear
@peterkissiry6432 Жыл бұрын
ndugu yangu uko poah sana kwa kusoma muutasali
@abdillahomar4541 Жыл бұрын
Intakiwa atofautishe kati ya mistari na hutuba au risa mana anakimbiza paaa
@edmundsospeter5667 Жыл бұрын
Asante 👍
@EmmanuelNyinyigwa Жыл бұрын
Uyo dada anae zulula zulula humo sjui kama atakuja tena aitwe ikulu mana anahis Yuko kwenye kitchen pat
@husseinkazigo6189
Жыл бұрын
😂
@judithgeorge1756
Жыл бұрын
Hahaha 😅😅😅
@franciskalinga656027 күн бұрын
Hawa wanao tukana wasani wenzio kama Mr pimbi mwijaku
@user-uu3xt6mu2q Жыл бұрын
Simba jedi mayans 😮 7:23 7:24 2024
@hassanfigo6175 Жыл бұрын
Huyu jamaa anaishi maisha ya ndoto yake, kuna nyimbo aliimba na prof J kama sijakosea yaitwa Ni Jukumu Letu.
@abdillahomar4541 Жыл бұрын
Faida yake nikwamba unaokoa muda km uitakiwa utume masaa 2 basi unatumia nusu saa tu 😂
@peterkissiry6432 Жыл бұрын
Dogo uko viema sana mmh
@hellonoloo3850 Жыл бұрын
Bongo safi
@hellonoloo3850
Жыл бұрын
M.n.f nakumbali
@hellonoloo3850
Жыл бұрын
KENYA wote tunawapenda
@hellonoloo3850
Жыл бұрын
S
@hellonoloo3850
Жыл бұрын
MAMA PRESS INDEED
@selemankishema5780 Жыл бұрын
Tumeona clip zako ukiwa na jike dume moja ukitukejeli baada ya kutolewa nenda huna mpango achana yanga tafuta ugali wako.
@swimmermoddy3263
Жыл бұрын
Iko wapi clip hiyo
@philemon-mz2fv Жыл бұрын
😂
@abdillahabdillah7850 Жыл бұрын
Chezeeni kodi zetu tu
@sylvestercameo6263
Жыл бұрын
Kodi zenu! Acha donge, acha nyodo! Unalalamikia Kodi yako? Hivi unajua mabililioni mangapi ya fedha za kigeni Yanga imeingiza nchini kupitia mashindano haya? Waulize wenye taaluma ya uchumi!
@okorecharles3992
Жыл бұрын
@@sylvestercameo6263 Ebu tuambie muhasibu wa taifa.😂😂😂
@agnesjohn9382
Жыл бұрын
@@okorecharles3992 😂😂
@kidatokassim7616
Жыл бұрын
Kodi Yako shingapi nikurudishie mm bila serikali kuhusika😂
@abdillahabdillah7850
Жыл бұрын
@@kidatokassim7616 ungejirudishia yakwako kwanza kama we sio mwezi mchanga
@victorzimba3316 Жыл бұрын
Mama kumbe likuwa unasaidia yanga Mars mwamposa kumbe ulitaka tusahau haya acha tu iyo mama achatu
Пікірлер: 53
Tunakupenda sana Mwana FA
Hongera Sana mheshimiwaa Mwana FA kikubwa serikali iweke misingi imara kwenye michezo watu wanaitaji kuburudishwa Kwa vipaji halisi na hasa kuona wazawa ( watoto) wakipewa nafasi hizo na kupewa nafasi ya kutimiza ndoto zao lakini pia kuwa na maisha Bora ili na wao waweze kuweka nguvu katika vizazi vyao na jamii Kwa ujumla.,hongera pia mh rais mama Samia suluhu Hassan Kwa kunyanyua sekta ya michezo.
Namuona Great Politician wa leo na Kesho. Mzee Uko Sawa. Ni wakati Sahihi kwako na kwa taifa hili. All the best bro @FA
The hiphop legendarian
Hotuba nzuri sana hotuba ya kisomi hongera sana MWANAFALSAFANI
Mheshimiwa, hiyo ni hotuba sio mistari ya bongo Flava,,,,,,,
@gadyetheboss8738
Жыл бұрын
Of course anahitaj kujirekebisha lugha za kiun sio maala pake umenena point sana
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@gadyetheboss8738 🤝🤝🤝🤝
Hongera Mh.Hamisi Mwijuma
Asante sn my brother uko vzr sn
Hizo ni kodi za watanzania sio pesa za Samia, wasifuni watanzania walipao kodi,
Big up mwana f.a
Uwe hivyo hivyo nakutabilia mbali Sana kijana
@ramadhankoo
Жыл бұрын
P zd
Young Afriacan hooray
Namkumbani sana mwana fa anajiamini san kiukweli
❤❤❤❤❤❤❤
Sipati Picha kama Young Africans ingekuja na Kombe hili la CAF Confederation...Ingekuwabig celebration. Lakini well done for the effort to play in the final of CAF Confederation. SIMBA should wake up
Movie
Mbona Simba hawajatajwa na walikuwepo🤣🤣
The golden spear
ndugu yangu uko poah sana kwa kusoma muutasali
Intakiwa atofautishe kati ya mistari na hutuba au risa mana anakimbiza paaa
Asante 👍
Uyo dada anae zulula zulula humo sjui kama atakuja tena aitwe ikulu mana anahis Yuko kwenye kitchen pat
@husseinkazigo6189
Жыл бұрын
😂
@judithgeorge1756
Жыл бұрын
Hahaha 😅😅😅
Hawa wanao tukana wasani wenzio kama Mr pimbi mwijaku
Simba jedi mayans 😮 7:23 7:24 2024
Huyu jamaa anaishi maisha ya ndoto yake, kuna nyimbo aliimba na prof J kama sijakosea yaitwa Ni Jukumu Letu.
Faida yake nikwamba unaokoa muda km uitakiwa utume masaa 2 basi unatumia nusu saa tu 😂
Dogo uko viema sana mmh
Bongo safi
@hellonoloo3850
Жыл бұрын
M.n.f nakumbali
@hellonoloo3850
Жыл бұрын
KENYA wote tunawapenda
@hellonoloo3850
Жыл бұрын
S
@hellonoloo3850
Жыл бұрын
MAMA PRESS INDEED
Tumeona clip zako ukiwa na jike dume moja ukitukejeli baada ya kutolewa nenda huna mpango achana yanga tafuta ugali wako.
@swimmermoddy3263
Жыл бұрын
Iko wapi clip hiyo
😂
Chezeeni kodi zetu tu
@sylvestercameo6263
Жыл бұрын
Kodi zenu! Acha donge, acha nyodo! Unalalamikia Kodi yako? Hivi unajua mabililioni mangapi ya fedha za kigeni Yanga imeingiza nchini kupitia mashindano haya? Waulize wenye taaluma ya uchumi!
@okorecharles3992
Жыл бұрын
@@sylvestercameo6263 Ebu tuambie muhasibu wa taifa.😂😂😂
@agnesjohn9382
Жыл бұрын
@@okorecharles3992 😂😂
@kidatokassim7616
Жыл бұрын
Kodi Yako shingapi nikurudishie mm bila serikali kuhusika😂
@abdillahabdillah7850
Жыл бұрын
@@kidatokassim7616 ungejirudishia yakwako kwanza kama we sio mwezi mchanga
Mama kumbe likuwa unasaidia yanga Mars mwamposa kumbe ulitaka tusahau haya acha tu iyo mama achatu
Wewe dada siutulie