Ni follow kwenye mitandao ya kijamii. / lilommy / lilommy
Жүктеу.....
Пікірлер: 127
@mannyelectechm.e.t4215 жыл бұрын
Ndio maana anaitwa Mwanafarsafa. Very intelligent dude, street smart with humility a down to earth dude. Safi sana @mwanafa @lilommy
@anelkaking93425 жыл бұрын
Kwa tanzania sijaona mtangazaji mwenyewe maswali mazuri kama lilommy, i like you bruda and big up kwako, nawachukia awa watangazaji wanao uliza maswali ambayo ayana msingi. Zao choko choko. Nawaomba watangazaji wengine waige jinsi lilommy alivyo. You're the really king bruda lilommy much love from zanzibar.
@mussamakange7421
2 жыл бұрын
Hakika kak mung amlinde huy mwamba💪💪💪💪💪💪
@koffiarnold95925 жыл бұрын
#Baba_lilommy_Tanzania hakuna mtangazaji mkali kama ww ukovizuri!!!!!
@biza605 жыл бұрын
Much respect my brother lil omy maswali yako ya uchunguzi Sana, unaitendea haki tasnia yako wewe balaaa nakuelewa Sana...unavyo chimba Maswali kwa undani upo tofauti na watangazaji wengine
@idrisashelimo307
4 жыл бұрын
👍
@nuuhsavage77225 жыл бұрын
Mwana fa anajibu vzr mnoo
@seffsamwel56492 жыл бұрын
God bless you and your family mwana f a one day we will singing together,
@johnmwangi24355 жыл бұрын
Ya kizazi sana namkubali sana mwanafa
@awadhtevez29185 жыл бұрын
Kichwa kimeja madini nakukubal Mwana FA among of very very powerful MC
@Yegon2545 жыл бұрын
Much respect Omari Tambwe maswali yako ni ya kizazi sana, kabla ya interview unafanya utafiti kwa faida yetu mashabiki.
@nasryshabany72045 жыл бұрын
M.fa dah upo vizuri sana mm shabiki yako shoh love
@mussamussarajabu40165 жыл бұрын
Kzazi sana hom boy
@jacobiejonnied_135 жыл бұрын
Huwa najua show kali au sio kali kwa kusoma mesej kwanza kabla ya kutazama🤣🤣🤣
@oconnorcruz46725 жыл бұрын
W nikioo chawa tangazaji😃😃😃 Lv u bro**** O'Connor from sandton
@Zaidiyanusumedia5 жыл бұрын
Mwana mwenye falsafa zake🔥🔥🔥
@mortishavida5170
5 жыл бұрын
Nisaidie nielewe maanake ya" Falsafa" plz!
@barakakambi1469
5 жыл бұрын
From the word philosophy in Swahili Falsafa
@brightonsalim31115 жыл бұрын
Mwana FA anatunga sana yaani anatisha💥big up @lilommy
@malewoemmanuel72365 жыл бұрын
Kuna wasanii ,halafu kuna Mwana Fa...
@bashirusalehenandoro31285 жыл бұрын
Yes ile sound isee nilkuwa najiulza how abibad make it sawa namkubal na ni mkalii ila ile imeenda extra kidgo big up kwa big P majan touch zake ni majan tu ndio anazo
@rojasramadhany12095 жыл бұрын
Brother so is good all music
@ashamambo95025 жыл бұрын
Nakupenda sana
@tarsissingano96935 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua kuinterview musicians aisee. He is doing analysis first on the particular musician. Keep it up DJ the ommy
@andrewmtalemwa69705 жыл бұрын
Lily Ommy is f genius man
@evansmallya55255 жыл бұрын
As You Have Said Mwana..UR A VERY GOOD PERSON MUNGU AKUBARIKI..Hats Off
@straightkonect16135 жыл бұрын
Msanii pekee aliyejipa jina linaloonesha uhalisia jamaa ana FALSAFA si ya kupima.Ommy sikuiti Lil coz unafanya mambo makubwa Kizaz sana
@jameschanja83045 жыл бұрын
You never let me down my brother lilyommy appreciate you mwamba
@honeyjerrylugose33125 жыл бұрын
I love this man
@RamazaniMulongeca5 жыл бұрын
MwanaFA and the #KingOfTheBestInterviews NAWAKUBALI MPAKA MWISHO WA DUNIA 🙌🙌🙌
@mytelecom2019
5 жыл бұрын
aya bwana ramseyy tumekusomaa
@anelkaking93425 жыл бұрын
Like you lilomy. Big fa nice interview.
@kurwajuma24925 жыл бұрын
King of interview lily ommy
@LilOmmyTV
5 жыл бұрын
👊
@khadeejaabdullah70835 жыл бұрын
Big up mwanaF
@gineuspaul5 жыл бұрын
yaani Msanii ikienda Clouds au kwa liliommy inabidi ujipange vizuri sana
@deebrown7908
5 жыл бұрын
Kwa lilommy tu ndohunatakiwa ujipange
@charlzzesonconsciousness6685
5 жыл бұрын
Lil ommy anajua sana
@khamisramadhan51335 жыл бұрын
Sure umekagua vizur ngoma za Somu Yangu.... (kuhusu 'pesa' kwenye mistari
@hassanmaganga15444 жыл бұрын
We jamaa ni noma nakuombea kwa Allah na huko marekani uchukue mtangazaji bora
@mclize73815 жыл бұрын
Kweli tambwe unafanya kitu ambacho kiko moyoni huwa huongei usichokijua saruti kwako bro mfuasi wako Niko nyuma yako siku zote
@munakatonga85465 жыл бұрын
Congratulations lilOmyTv uko vzur brouda
@omarymbalala62245 жыл бұрын
Fa
@emmanuelahmedbyona2353Ай бұрын
LilOmmy TV huaga ana stali yake special ya interview 🎉🎉🎉
@rihanjama16434 жыл бұрын
Lilommy 🙉🙉🔥🔥🔥🔥🏆
@patyndugaja70145 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@yohanabaraka81924 жыл бұрын
Maongez ya kikubwa sana haya....salute to ya' all
@bakarinamayano66225 жыл бұрын
Mtu yeyote hatakaekumbia yupo msanii wa kike anae imba vizuri kibongobongo kumpita lady Jay dee we mpige fa hatakuja kukutoa police!!!!!!!
@mwendwamjukuu94685 жыл бұрын
Hapa kwa lilommy lazima uwe umejipanga na majibu yakutosha
@stevenfumbi95665 жыл бұрын
Nakukubali sana liliomy good interview
@simonmuga20835 жыл бұрын
The Master Mind him self
@fizzojay74415 жыл бұрын
Bg up ommy
@pastorycelvin24475 жыл бұрын
#LilOmmy ni sumu na nusu upo deep sana mzazi
@minahqassim80315 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@faresaconga21585 жыл бұрын
Ikiwa kuna mtu atakubishia kama kuna mwanamke anyeimba kama lady jaydee,basi mpige ntakuja kukutowa polisi,nipen likes hapa jaman hata kum10
@patrickmabula34075 жыл бұрын
Amazing show,,,
@blackseason5995 жыл бұрын
Sinung'uniki Sina Viatu Wenzangu Hawana Miguu. FA tatizo kubwa Tz.
@fadhilinyengo7853
4 жыл бұрын
Faida ya kusoma vitabu hiyo utaikuta kwenye THE MAGIC OF THINKING BIG cha DAVID J. SCHWARTZ
@gaganog72995 жыл бұрын
FA is genius overflow 🙌👑
@alvinmalle96245 жыл бұрын
Much respect F A..👊
@bekadavid73915 жыл бұрын
yani broo wewe kwama inta viu Mimi na kukubari sana
@abdallahjumannekisalo86995 жыл бұрын
Makin
@Nico-ek3nq5 жыл бұрын
interview imefanyika baada ya utaft ambao upo deep sana, big up lil ommy & fa
@azizimakotha4929
5 жыл бұрын
Sanaaaaaaaaaa aiseeee
@stevewanga9575 жыл бұрын
Yaani Interview za FA zimekomaa ni mtu watamani kumskiza,haboeshi kabisa... Alafu King interview pia anajipanga sana... Interview ya kibabe 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦
@AlexanderMutuku5 жыл бұрын
Interview ..... Kizazi sana !!
@lowasamollel98525 жыл бұрын
#FA mkali kila wakati
@bakarikishaa48894 жыл бұрын
Mwana fa.. God bless you
@shaphyvuai68055 жыл бұрын
Falsaaafaaaa
@binamubinamu11513 жыл бұрын
Aiseeeee lilyommy unatishia Aman aiseeee
@allyking3245 жыл бұрын
Ommy wejamaa nihatar
@mukangwapaul31135 жыл бұрын
Super interview
@LilOmmyTV
5 жыл бұрын
Appreciate
@franknurudin84564 жыл бұрын
Fa anajbu kwa weledi sana
@sameersaid50585 жыл бұрын
Hii ikiisha tu ipost in full manake lazma ni iwatch plz
@lusekelomoses92005 жыл бұрын
Respect lily ommy Your Genius 🙏
@saidnasihu5402 жыл бұрын
Yes i get money japo sio kama za fifty (50 cent) cousin ni genius
@mwlrobinson2 жыл бұрын
Tambweeeee
@ramlaameer20575 жыл бұрын
Kizazi ssana
@zuhrasulyman57015 жыл бұрын
binamuuuuu
@gerrywin2194 Жыл бұрын
..."napenda sana harufu ya noti hasa zikitoka benki, nazirudisha huko ila kwenye akaunti tofauti'
@mmungalubunga44045 жыл бұрын
Unafatilia sana
@muftiachuu66765 жыл бұрын
Omy nakukubali nauy mtoto wakitanga ndio msii bora kwangu ki tz
@dutchballaka34225 жыл бұрын
We endelea tu
@saleheramadhani93995 жыл бұрын
Uyu jamaa lilommy nibonge la mtangazaji maana atajipanga sana kwenye maswali
@charlzzesonconsciousness66855 жыл бұрын
#Falsafa
@hilalmtangi52415 жыл бұрын
Let's me handle this #WeEndeleaTu
@bahatisteven2826
4 жыл бұрын
Watu tuna majibu nashangaa watu hawaulizi maswali, duuuh! Huyu jamaa kibongo bongo sijui kama kuna mtu anaweza kumwelewa kirahis kulingana na misemo yake
@shaffihsiraji31414 жыл бұрын
Tambwe we ni genius
@ramlaameer20575 жыл бұрын
Mwana f.a l.s.a.f.a ukipenda nasso z show tym niite zeyzey wa2 wanakwenda na ward........... dah
@user-pv6ih4nq5p25 күн бұрын
Mwalimu
@fasanitzfasanitz96315 жыл бұрын
@lilomy moto FA heshima milele ujawai kosea
@hamismalimungu99595 жыл бұрын
Humu lazma kutakua namadini acha niichek
@oneboyjahman14404 жыл бұрын
Ommy did his homework damn it!
@LilOmmyTV
4 жыл бұрын
👊
@hawaynatimam9825 жыл бұрын
🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
@idrisahamza10234 жыл бұрын
Umesahau amin
@masongatz5 жыл бұрын
Yeah ni maneno yanayoonesha msisitizo, lugha ya picha namuelewa sana kzread.info/dash/bejne/pKaaypqvZdu1gbQ.html
@shaabanramadhan67705 жыл бұрын
Jamaa ana akili san ana mashairi yakisomi san
@sebariberio96212 жыл бұрын
unyama
@nonstopafrica5 жыл бұрын
Comment ya 100
@Mandenge5 жыл бұрын
Kama unakumbari wasafi media ni like afu tu hone niwa ngapi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tuta mbaki juuuuuuuuuuuuu
@honeyjerrylugose3312
5 жыл бұрын
Mdwanzi tuu
@nehemiabilphon2759
5 жыл бұрын
Mshamba wa wapi sijui
@asrymohd66905 жыл бұрын
Lly bigup sana ila kilasiku Waite ss shabikizako tupo sis sio wbc
@alvinmalle96245 жыл бұрын
Apo kwenye viatu tu match mzee
@hasijoh48052 жыл бұрын
E bwana e mi sana uyu fa majibu yake sijui kwawengine
@beatricesalama98085 жыл бұрын
Unazingua hamisi yani mpaka baadhi ya wasanii wapitie kwa dozen ndio aje kwako tena umfanyie interview ndio nini hvyo????
@juliusdaniel3514
5 жыл бұрын
Hahaha dada Beatrice Dozen ile ni brand nyingine kubwa
@KiooTvOnline5 жыл бұрын
Ammygal stop looking @lilommy when u ask qns look at ur respondent
@jumalove26315 жыл бұрын
Naomba Leo unijibu kwann msanii akitoka clouds anakuja kwako Teena kufanya interview
@djmorefire5154
5 жыл бұрын
Juma Love ni ratiba za artist tu i think broo
@andrewmtalemwa6970
5 жыл бұрын
Ikiisha xxl inafata the playlist so msanii anaamua kufanya xxl then the play list
@michaeljeremiah6345 жыл бұрын
Lil ommy akuna kama ww najifunza kupitia kwako
@hammynassor30285 жыл бұрын
FALSAFAAAAAAA
@mortishavida5170
5 жыл бұрын
Falsafa maanake ni nini?
@mvungigaming
5 жыл бұрын
MwanaFA
@mrs2918
5 жыл бұрын
@@mortishavida5170 mwana falsafa ni kirefu cha Mwana FA, moja ya majina anayojiita au aliyojiita
@abdulbakari41224 жыл бұрын
Falsafa za mwanafalsa fundi mashair ila jamaa unajua sn kuuliza maswal yaan wew bonge la mchunguz wa mashair ya binam yng.
Пікірлер: 127
Ndio maana anaitwa Mwanafarsafa. Very intelligent dude, street smart with humility a down to earth dude. Safi sana @mwanafa @lilommy
Kwa tanzania sijaona mtangazaji mwenyewe maswali mazuri kama lilommy, i like you bruda and big up kwako, nawachukia awa watangazaji wanao uliza maswali ambayo ayana msingi. Zao choko choko. Nawaomba watangazaji wengine waige jinsi lilommy alivyo. You're the really king bruda lilommy much love from zanzibar.
@mussamakange7421
2 жыл бұрын
Hakika kak mung amlinde huy mwamba💪💪💪💪💪💪
#Baba_lilommy_Tanzania hakuna mtangazaji mkali kama ww ukovizuri!!!!!
Much respect my brother lil omy maswali yako ya uchunguzi Sana, unaitendea haki tasnia yako wewe balaaa nakuelewa Sana...unavyo chimba Maswali kwa undani upo tofauti na watangazaji wengine
@idrisashelimo307
4 жыл бұрын
👍
Mwana fa anajibu vzr mnoo
God bless you and your family mwana f a one day we will singing together,
Ya kizazi sana namkubali sana mwanafa
Kichwa kimeja madini nakukubal Mwana FA among of very very powerful MC
Much respect Omari Tambwe maswali yako ni ya kizazi sana, kabla ya interview unafanya utafiti kwa faida yetu mashabiki.
M.fa dah upo vizuri sana mm shabiki yako shoh love
Kzazi sana hom boy
Huwa najua show kali au sio kali kwa kusoma mesej kwanza kabla ya kutazama🤣🤣🤣
W nikioo chawa tangazaji😃😃😃 Lv u bro**** O'Connor from sandton
Mwana mwenye falsafa zake🔥🔥🔥
@mortishavida5170
5 жыл бұрын
Nisaidie nielewe maanake ya" Falsafa" plz!
@barakakambi1469
5 жыл бұрын
From the word philosophy in Swahili Falsafa
Mwana FA anatunga sana yaani anatisha💥big up @lilommy
Kuna wasanii ,halafu kuna Mwana Fa...
Yes ile sound isee nilkuwa najiulza how abibad make it sawa namkubal na ni mkalii ila ile imeenda extra kidgo big up kwa big P majan touch zake ni majan tu ndio anazo
Brother so is good all music
Nakupenda sana
Huyu jamaa anajua kuinterview musicians aisee. He is doing analysis first on the particular musician. Keep it up DJ the ommy
Lily Ommy is f genius man
As You Have Said Mwana..UR A VERY GOOD PERSON MUNGU AKUBARIKI..Hats Off
Msanii pekee aliyejipa jina linaloonesha uhalisia jamaa ana FALSAFA si ya kupima.Ommy sikuiti Lil coz unafanya mambo makubwa Kizaz sana
You never let me down my brother lilyommy appreciate you mwamba
I love this man
MwanaFA and the #KingOfTheBestInterviews NAWAKUBALI MPAKA MWISHO WA DUNIA 🙌🙌🙌
@mytelecom2019
5 жыл бұрын
aya bwana ramseyy tumekusomaa
Like you lilomy. Big fa nice interview.
King of interview lily ommy
@LilOmmyTV
5 жыл бұрын
👊
Big up mwanaF
yaani Msanii ikienda Clouds au kwa liliommy inabidi ujipange vizuri sana
@deebrown7908
5 жыл бұрын
Kwa lilommy tu ndohunatakiwa ujipange
@charlzzesonconsciousness6685
5 жыл бұрын
Lil ommy anajua sana
Sure umekagua vizur ngoma za Somu Yangu.... (kuhusu 'pesa' kwenye mistari
We jamaa ni noma nakuombea kwa Allah na huko marekani uchukue mtangazaji bora
Kweli tambwe unafanya kitu ambacho kiko moyoni huwa huongei usichokijua saruti kwako bro mfuasi wako Niko nyuma yako siku zote
Congratulations lilOmyTv uko vzur brouda
Fa
LilOmmy TV huaga ana stali yake special ya interview 🎉🎉🎉
Lilommy 🙉🙉🔥🔥🔥🔥🏆
🔥🔥🔥
Maongez ya kikubwa sana haya....salute to ya' all
Mtu yeyote hatakaekumbia yupo msanii wa kike anae imba vizuri kibongobongo kumpita lady Jay dee we mpige fa hatakuja kukutoa police!!!!!!!
Hapa kwa lilommy lazima uwe umejipanga na majibu yakutosha
Nakukubali sana liliomy good interview
The Master Mind him self
Bg up ommy
#LilOmmy ni sumu na nusu upo deep sana mzazi
🔥🔥🔥🔥
Ikiwa kuna mtu atakubishia kama kuna mwanamke anyeimba kama lady jaydee,basi mpige ntakuja kukutowa polisi,nipen likes hapa jaman hata kum10
Amazing show,,,
Sinung'uniki Sina Viatu Wenzangu Hawana Miguu. FA tatizo kubwa Tz.
@fadhilinyengo7853
4 жыл бұрын
Faida ya kusoma vitabu hiyo utaikuta kwenye THE MAGIC OF THINKING BIG cha DAVID J. SCHWARTZ
FA is genius overflow 🙌👑
Much respect F A..👊
yani broo wewe kwama inta viu Mimi na kukubari sana
Makin
interview imefanyika baada ya utaft ambao upo deep sana, big up lil ommy & fa
@azizimakotha4929
5 жыл бұрын
Sanaaaaaaaaaa aiseeee
Yaani Interview za FA zimekomaa ni mtu watamani kumskiza,haboeshi kabisa... Alafu King interview pia anajipanga sana... Interview ya kibabe 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦
Interview ..... Kizazi sana !!
#FA mkali kila wakati
Mwana fa.. God bless you
Falsaaafaaaa
Aiseeeee lilyommy unatishia Aman aiseeee
Ommy wejamaa nihatar
Super interview
@LilOmmyTV
5 жыл бұрын
Appreciate
Fa anajbu kwa weledi sana
Hii ikiisha tu ipost in full manake lazma ni iwatch plz
Respect lily ommy Your Genius 🙏
Yes i get money japo sio kama za fifty (50 cent) cousin ni genius
Tambweeeee
Kizazi ssana
binamuuuuu
..."napenda sana harufu ya noti hasa zikitoka benki, nazirudisha huko ila kwenye akaunti tofauti'
Unafatilia sana
Omy nakukubali nauy mtoto wakitanga ndio msii bora kwangu ki tz
We endelea tu
Uyu jamaa lilommy nibonge la mtangazaji maana atajipanga sana kwenye maswali
#Falsafa
Let's me handle this #WeEndeleaTu
@bahatisteven2826
4 жыл бұрын
Watu tuna majibu nashangaa watu hawaulizi maswali, duuuh! Huyu jamaa kibongo bongo sijui kama kuna mtu anaweza kumwelewa kirahis kulingana na misemo yake
Tambwe we ni genius
Mwana f.a l.s.a.f.a ukipenda nasso z show tym niite zeyzey wa2 wanakwenda na ward........... dah
Mwalimu
@lilomy moto FA heshima milele ujawai kosea
Humu lazma kutakua namadini acha niichek
Ommy did his homework damn it!
@LilOmmyTV
4 жыл бұрын
👊
🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Umesahau amin
Yeah ni maneno yanayoonesha msisitizo, lugha ya picha namuelewa sana kzread.info/dash/bejne/pKaaypqvZdu1gbQ.html
Jamaa ana akili san ana mashairi yakisomi san
unyama
Comment ya 100
Kama unakumbari wasafi media ni like afu tu hone niwa ngapi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tuta mbaki juuuuuuuuuuuuu
@honeyjerrylugose3312
5 жыл бұрын
Mdwanzi tuu
@nehemiabilphon2759
5 жыл бұрын
Mshamba wa wapi sijui
Lly bigup sana ila kilasiku Waite ss shabikizako tupo sis sio wbc
Apo kwenye viatu tu match mzee
E bwana e mi sana uyu fa majibu yake sijui kwawengine
Unazingua hamisi yani mpaka baadhi ya wasanii wapitie kwa dozen ndio aje kwako tena umfanyie interview ndio nini hvyo????
@juliusdaniel3514
5 жыл бұрын
Hahaha dada Beatrice Dozen ile ni brand nyingine kubwa
Ammygal stop looking @lilommy when u ask qns look at ur respondent
Naomba Leo unijibu kwann msanii akitoka clouds anakuja kwako Teena kufanya interview
@djmorefire5154
5 жыл бұрын
Juma Love ni ratiba za artist tu i think broo
@andrewmtalemwa6970
5 жыл бұрын
Ikiisha xxl inafata the playlist so msanii anaamua kufanya xxl then the play list
Lil ommy akuna kama ww najifunza kupitia kwako
FALSAFAAAAAAA
@mortishavida5170
5 жыл бұрын
Falsafa maanake ni nini?
@mvungigaming
5 жыл бұрын
MwanaFA
@mrs2918
5 жыл бұрын
@@mortishavida5170 mwana falsafa ni kirefu cha Mwana FA, moja ya majina anayojiita au aliyojiita
Falsafa za mwanafalsa fundi mashair ila jamaa unajua sn kuuliza maswal yaan wew bonge la mchunguz wa mashair ya binam yng.
kwani hufanyi interview na diamond
@deebrown7908
5 жыл бұрын
I think Diamond he too busy
Hakuna MC mkali bongo land kama FA