Mwana FA - KISASI NDO KAZI YAKO / UNAKANYAGA WATU KINGUVU / USIABUDU HELA

Ойын-сауық

Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy

Пікірлер: 127

  • @mannyelectechm.e.t421
    @mannyelectechm.e.t4215 жыл бұрын

    Ndio maana anaitwa Mwanafarsafa. Very intelligent dude, street smart with humility a down to earth dude. Safi sana @mwanafa @lilommy

  • @anelkaking9342
    @anelkaking93425 жыл бұрын

    Kwa tanzania sijaona mtangazaji mwenyewe maswali mazuri kama lilommy, i like you bruda and big up kwako, nawachukia awa watangazaji wanao uliza maswali ambayo ayana msingi. Zao choko choko. Nawaomba watangazaji wengine waige jinsi lilommy alivyo. You're the really king bruda lilommy much love from zanzibar.

  • @mussamakange7421

    @mussamakange7421

    2 жыл бұрын

    Hakika kak mung amlinde huy mwamba💪💪💪💪💪💪

  • @koffiarnold9592
    @koffiarnold95925 жыл бұрын

    #Baba_lilommy_Tanzania hakuna mtangazaji mkali kama ww ukovizuri!!!!!

  • @biza60
    @biza605 жыл бұрын

    Much respect my brother lil omy maswali yako ya uchunguzi Sana, unaitendea haki tasnia yako wewe balaaa nakuelewa Sana...unavyo chimba Maswali kwa undani upo tofauti na watangazaji wengine

  • @idrisashelimo307

    @idrisashelimo307

    4 жыл бұрын

    👍

  • @nuuhsavage7722
    @nuuhsavage77225 жыл бұрын

    Mwana fa anajibu vzr mnoo

  • @seffsamwel5649
    @seffsamwel56492 жыл бұрын

    God bless you and your family mwana f a one day we will singing together,

  • @johnmwangi2435
    @johnmwangi24355 жыл бұрын

    Ya kizazi sana namkubali sana mwanafa

  • @awadhtevez2918
    @awadhtevez29185 жыл бұрын

    Kichwa kimeja madini nakukubal Mwana FA among of very very powerful MC

  • @Yegon254
    @Yegon2545 жыл бұрын

    Much respect Omari Tambwe maswali yako ni ya kizazi sana, kabla ya interview unafanya utafiti kwa faida yetu mashabiki.

  • @nasryshabany7204
    @nasryshabany72045 жыл бұрын

    M.fa dah upo vizuri sana mm shabiki yako shoh love

  • @mussamussarajabu4016
    @mussamussarajabu40165 жыл бұрын

    Kzazi sana hom boy

  • @jacobiejonnied_13
    @jacobiejonnied_135 жыл бұрын

    Huwa najua show kali au sio kali kwa kusoma mesej kwanza kabla ya kutazama🤣🤣🤣

  • @oconnorcruz4672
    @oconnorcruz46725 жыл бұрын

    W nikioo chawa tangazaji😃😃😃 Lv u bro**** O'Connor from sandton

  • @Zaidiyanusumedia
    @Zaidiyanusumedia5 жыл бұрын

    Mwana mwenye falsafa zake🔥🔥🔥

  • @mortishavida5170

    @mortishavida5170

    5 жыл бұрын

    Nisaidie nielewe maanake ya" Falsafa" plz!

  • @barakakambi1469

    @barakakambi1469

    5 жыл бұрын

    From the word philosophy in Swahili Falsafa

  • @brightonsalim3111
    @brightonsalim31115 жыл бұрын

    Mwana FA anatunga sana yaani anatisha💥big up @lilommy

  • @malewoemmanuel7236
    @malewoemmanuel72365 жыл бұрын

    Kuna wasanii ,halafu kuna Mwana Fa...

  • @bashirusalehenandoro3128
    @bashirusalehenandoro31285 жыл бұрын

    Yes ile sound isee nilkuwa najiulza how abibad make it sawa namkubal na ni mkalii ila ile imeenda extra kidgo big up kwa big P majan touch zake ni majan tu ndio anazo

  • @rojasramadhany1209
    @rojasramadhany12095 жыл бұрын

    Brother so is good all music

  • @ashamambo9502
    @ashamambo95025 жыл бұрын

    Nakupenda sana

  • @tarsissingano9693
    @tarsissingano96935 жыл бұрын

    Huyu jamaa anajua kuinterview musicians aisee. He is doing analysis first on the particular musician. Keep it up DJ the ommy

  • @andrewmtalemwa6970
    @andrewmtalemwa69705 жыл бұрын

    Lily Ommy is f genius man

  • @evansmallya5525
    @evansmallya55255 жыл бұрын

    As You Have Said Mwana..UR A VERY GOOD PERSON MUNGU AKUBARIKI..Hats Off

  • @straightkonect1613
    @straightkonect16135 жыл бұрын

    Msanii pekee aliyejipa jina linaloonesha uhalisia jamaa ana FALSAFA si ya kupima.Ommy sikuiti Lil coz unafanya mambo makubwa Kizaz sana

  • @jameschanja8304
    @jameschanja83045 жыл бұрын

    You never let me down my brother lilyommy appreciate you mwamba

  • @honeyjerrylugose3312
    @honeyjerrylugose33125 жыл бұрын

    I love this man

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca5 жыл бұрын

    MwanaFA and the #KingOfTheBestInterviews NAWAKUBALI MPAKA MWISHO WA DUNIA 🙌🙌🙌

  • @mytelecom2019

    @mytelecom2019

    5 жыл бұрын

    aya bwana ramseyy tumekusomaa

  • @anelkaking9342
    @anelkaking93425 жыл бұрын

    Like you lilomy. Big fa nice interview.

  • @kurwajuma2492
    @kurwajuma24925 жыл бұрын

    King of interview lily ommy

  • @LilOmmyTV

    @LilOmmyTV

    5 жыл бұрын

    👊

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah70835 жыл бұрын

    Big up mwanaF

  • @gineuspaul
    @gineuspaul5 жыл бұрын

    yaani Msanii ikienda Clouds au kwa liliommy inabidi ujipange vizuri sana

  • @deebrown7908

    @deebrown7908

    5 жыл бұрын

    Kwa lilommy tu ndohunatakiwa ujipange

  • @charlzzesonconsciousness6685

    @charlzzesonconsciousness6685

    5 жыл бұрын

    Lil ommy anajua sana

  • @khamisramadhan5133
    @khamisramadhan51335 жыл бұрын

    Sure umekagua vizur ngoma za Somu Yangu.... (kuhusu 'pesa' kwenye mistari

  • @hassanmaganga1544
    @hassanmaganga15444 жыл бұрын

    We jamaa ni noma nakuombea kwa Allah na huko marekani uchukue mtangazaji bora

  • @mclize7381
    @mclize73815 жыл бұрын

    Kweli tambwe unafanya kitu ambacho kiko moyoni huwa huongei usichokijua saruti kwako bro mfuasi wako Niko nyuma yako siku zote

  • @munakatonga8546
    @munakatonga85465 жыл бұрын

    Congratulations lilOmyTv uko vzur brouda

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala62245 жыл бұрын

    Fa

  • @emmanuelahmedbyona2353
    @emmanuelahmedbyona2353Ай бұрын

    LilOmmy TV huaga ana stali yake special ya interview 🎉🎉🎉

  • @rihanjama1643
    @rihanjama16434 жыл бұрын

    Lilommy 🙉🙉🔥🔥🔥🔥🏆

  • @patyndugaja7014
    @patyndugaja70145 жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @yohanabaraka8192
    @yohanabaraka81924 жыл бұрын

    Maongez ya kikubwa sana haya....salute to ya' all

  • @bakarinamayano6622
    @bakarinamayano66225 жыл бұрын

    Mtu yeyote hatakaekumbia yupo msanii wa kike anae imba vizuri kibongobongo kumpita lady Jay dee we mpige fa hatakuja kukutoa police!!!!!!!

  • @mwendwamjukuu9468
    @mwendwamjukuu94685 жыл бұрын

    Hapa kwa lilommy lazima uwe umejipanga na majibu yakutosha

  • @stevenfumbi9566
    @stevenfumbi95665 жыл бұрын

    Nakukubali sana liliomy good interview

  • @simonmuga2083
    @simonmuga20835 жыл бұрын

    The Master Mind him self

  • @fizzojay7441
    @fizzojay74415 жыл бұрын

    Bg up ommy

  • @pastorycelvin2447
    @pastorycelvin24475 жыл бұрын

    #LilOmmy ni sumu na nusu upo deep sana mzazi

  • @minahqassim8031
    @minahqassim80315 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @faresaconga2158
    @faresaconga21585 жыл бұрын

    Ikiwa kuna mtu atakubishia kama kuna mwanamke anyeimba kama lady jaydee,basi mpige ntakuja kukutowa polisi,nipen likes hapa jaman hata kum10

  • @patrickmabula3407
    @patrickmabula34075 жыл бұрын

    Amazing show,,,

  • @blackseason599
    @blackseason5995 жыл бұрын

    Sinung'uniki Sina Viatu Wenzangu Hawana Miguu. FA tatizo kubwa Tz.

  • @fadhilinyengo7853

    @fadhilinyengo7853

    4 жыл бұрын

    Faida ya kusoma vitabu hiyo utaikuta kwenye THE MAGIC OF THINKING BIG cha DAVID J. SCHWARTZ

  • @gaganog7299
    @gaganog72995 жыл бұрын

    FA is genius overflow 🙌👑

  • @alvinmalle9624
    @alvinmalle96245 жыл бұрын

    Much respect F A..👊

  • @bekadavid7391
    @bekadavid73915 жыл бұрын

    yani broo wewe kwama inta viu Mimi na kukubari sana

  • @abdallahjumannekisalo8699
    @abdallahjumannekisalo86995 жыл бұрын

    Makin

  • @Nico-ek3nq
    @Nico-ek3nq5 жыл бұрын

    interview imefanyika baada ya utaft ambao upo deep sana, big up lil ommy & fa

  • @azizimakotha4929

    @azizimakotha4929

    5 жыл бұрын

    Sanaaaaaaaaaa aiseeee

  • @stevewanga957
    @stevewanga9575 жыл бұрын

    Yaani Interview za FA zimekomaa ni mtu watamani kumskiza,haboeshi kabisa... Alafu King interview pia anajipanga sana... Interview ya kibabe 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦

  • @AlexanderMutuku
    @AlexanderMutuku5 жыл бұрын

    Interview ..... Kizazi sana !!

  • @lowasamollel9852
    @lowasamollel98525 жыл бұрын

    #FA mkali kila wakati

  • @bakarikishaa4889
    @bakarikishaa48894 жыл бұрын

    Mwana fa.. God bless you

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai68055 жыл бұрын

    Falsaaafaaaa

  • @binamubinamu1151
    @binamubinamu11513 жыл бұрын

    Aiseeeee lilyommy unatishia Aman aiseeee

  • @allyking324
    @allyking3245 жыл бұрын

    Ommy wejamaa nihatar

  • @mukangwapaul3113
    @mukangwapaul31135 жыл бұрын

    Super interview

  • @LilOmmyTV

    @LilOmmyTV

    5 жыл бұрын

    Appreciate

  • @franknurudin8456
    @franknurudin84564 жыл бұрын

    Fa anajbu kwa weledi sana

  • @sameersaid5058
    @sameersaid50585 жыл бұрын

    Hii ikiisha tu ipost in full manake lazma ni iwatch plz

  • @lusekelomoses9200
    @lusekelomoses92005 жыл бұрын

    Respect lily ommy Your Genius 🙏

  • @saidnasihu540
    @saidnasihu5402 жыл бұрын

    Yes i get money japo sio kama za fifty (50 cent) cousin ni genius

  • @mwlrobinson
    @mwlrobinson2 жыл бұрын

    Tambweeeee

  • @ramlaameer2057
    @ramlaameer20575 жыл бұрын

    Kizazi ssana

  • @zuhrasulyman5701
    @zuhrasulyman57015 жыл бұрын

    binamuuuuu

  • @gerrywin2194
    @gerrywin2194 Жыл бұрын

    ..."napenda sana harufu ya noti hasa zikitoka benki, nazirudisha huko ila kwenye akaunti tofauti'

  • @mmungalubunga4404
    @mmungalubunga44045 жыл бұрын

    Unafatilia sana

  • @muftiachuu6676
    @muftiachuu66765 жыл бұрын

    Omy nakukubali nauy mtoto wakitanga ndio msii bora kwangu ki tz

  • @dutchballaka3422
    @dutchballaka34225 жыл бұрын

    We endelea tu

  • @saleheramadhani9399
    @saleheramadhani93995 жыл бұрын

    Uyu jamaa lilommy nibonge la mtangazaji maana atajipanga sana kwenye maswali

  • @charlzzesonconsciousness6685
    @charlzzesonconsciousness66855 жыл бұрын

    #Falsafa

  • @hilalmtangi5241
    @hilalmtangi52415 жыл бұрын

    Let's me handle this #WeEndeleaTu

  • @bahatisteven2826

    @bahatisteven2826

    4 жыл бұрын

    Watu tuna majibu nashangaa watu hawaulizi maswali, duuuh! Huyu jamaa kibongo bongo sijui kama kuna mtu anaweza kumwelewa kirahis kulingana na misemo yake

  • @shaffihsiraji3141
    @shaffihsiraji31414 жыл бұрын

    Tambwe we ni genius

  • @ramlaameer2057
    @ramlaameer20575 жыл бұрын

    Mwana f.a l.s.a.f.a ukipenda nasso z show tym niite zeyzey wa2 wanakwenda na ward........... dah

  • @user-pv6ih4nq5p
    @user-pv6ih4nq5p25 күн бұрын

    Mwalimu

  • @fasanitzfasanitz9631
    @fasanitzfasanitz96315 жыл бұрын

    @lilomy moto FA heshima milele ujawai kosea

  • @hamismalimungu9959
    @hamismalimungu99595 жыл бұрын

    Humu lazma kutakua namadini acha niichek

  • @oneboyjahman1440
    @oneboyjahman14404 жыл бұрын

    Ommy did his homework damn it!

  • @LilOmmyTV

    @LilOmmyTV

    4 жыл бұрын

    👊

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam9825 жыл бұрын

    🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @idrisahamza1023
    @idrisahamza10234 жыл бұрын

    Umesahau amin

  • @masongatz
    @masongatz5 жыл бұрын

    Yeah ni maneno yanayoonesha msisitizo, lugha ya picha namuelewa sana kzread.info/dash/bejne/pKaaypqvZdu1gbQ.html

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan67705 жыл бұрын

    Jamaa ana akili san ana mashairi yakisomi san

  • @sebariberio9621
    @sebariberio96212 жыл бұрын

    unyama

  • @nonstopafrica
    @nonstopafrica5 жыл бұрын

    Comment ya 100

  • @Mandenge
    @Mandenge5 жыл бұрын

    Kama unakumbari wasafi media ni like afu tu hone niwa ngapi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tuta mbaki juuuuuuuuuuuuu

  • @honeyjerrylugose3312

    @honeyjerrylugose3312

    5 жыл бұрын

    Mdwanzi tuu

  • @nehemiabilphon2759

    @nehemiabilphon2759

    5 жыл бұрын

    Mshamba wa wapi sijui

  • @asrymohd6690
    @asrymohd66905 жыл бұрын

    Lly bigup sana ila kilasiku Waite ss shabikizako tupo sis sio wbc

  • @alvinmalle9624
    @alvinmalle96245 жыл бұрын

    Apo kwenye viatu tu match mzee

  • @hasijoh4805
    @hasijoh48052 жыл бұрын

    E bwana e mi sana uyu fa majibu yake sijui kwawengine

  • @beatricesalama9808
    @beatricesalama98085 жыл бұрын

    Unazingua hamisi yani mpaka baadhi ya wasanii wapitie kwa dozen ndio aje kwako tena umfanyie interview ndio nini hvyo????

  • @juliusdaniel3514

    @juliusdaniel3514

    5 жыл бұрын

    Hahaha dada Beatrice Dozen ile ni brand nyingine kubwa

  • @KiooTvOnline
    @KiooTvOnline5 жыл бұрын

    Ammygal stop looking @lilommy when u ask qns look at ur respondent

  • @jumalove2631
    @jumalove26315 жыл бұрын

    Naomba Leo unijibu kwann msanii akitoka clouds anakuja kwako Teena kufanya interview

  • @djmorefire5154

    @djmorefire5154

    5 жыл бұрын

    Juma Love ni ratiba za artist tu i think broo

  • @andrewmtalemwa6970

    @andrewmtalemwa6970

    5 жыл бұрын

    Ikiisha xxl inafata the playlist so msanii anaamua kufanya xxl then the play list

  • @michaeljeremiah634
    @michaeljeremiah6345 жыл бұрын

    Lil ommy akuna kama ww najifunza kupitia kwako

  • @hammynassor3028
    @hammynassor30285 жыл бұрын

    FALSAFAAAAAAA

  • @mortishavida5170

    @mortishavida5170

    5 жыл бұрын

    Falsafa maanake ni nini?

  • @mvungigaming

    @mvungigaming

    5 жыл бұрын

    MwanaFA

  • @mrs2918

    @mrs2918

    5 жыл бұрын

    @@mortishavida5170 mwana falsafa ni kirefu cha Mwana FA, moja ya majina anayojiita au aliyojiita

  • @abdulbakari4122
    @abdulbakari41224 жыл бұрын

    Falsafa za mwanafalsa fundi mashair ila jamaa unajua sn kuuliza maswal yaan wew bonge la mchunguz wa mashair ya binam yng.

  • @NestadonNestadon
    @NestadonNestadon5 жыл бұрын

    kwani hufanyi interview na diamond

  • @deebrown7908

    @deebrown7908

    5 жыл бұрын

    I think Diamond he too busy

  • @andrewmejja6354
    @andrewmejja63544 жыл бұрын

    Hakuna MC mkali bongo land kama FA

Келесі