Salama Na Lil Ommy Ep 1 | Air Tabora Part 1
Ойын-сауық
#YAHStoneTown #LilOmmy #SalamaNa
Salama Na Lil Ommy | AIR TABORA
2016 ndo mwaka nilikuatana na Lil Ommy mara ya kwanza, pengine nilishwahi kukutana naye huko nyumba ila sikumbuki. Aliniomba niende kwenye kipindi chake cha The Playlist enzi hizo kikiwa Jumamosi asubuhi ya tarehe 20 mwezi wa nane. Sikuwahi kupenda kufanyiwa interview ila siku hiyo nilimpa Ommy nafasi, sikuwahi kujutia na pengine hiyo ndo sababu ya kumfanya yeye awe mgeni nambari moja mwenge Podcast hii. Anayejitambua, anayejituma, anayesoma, mwenye nia na mipango endelevu… Nilimuomba aje na hapa tulizungumza karibia yote. Ya kwao Tabora, familia yao, marehemu Mzee wake, marehemu Dada yake, ndugu zake wa kambo, utundu wa udogoni, kutafuta kazi, maisha ya mjini na marafiki, muziki wa kizazi kipya na ushindani wa kazi. Times FM na siku ya harusi yake. Na hakua mchoyo wa kunikhadithia.
Hii ni kwa ajili yako, na nyengine nyingi zijazo zinakuhusu pia. Chukua baadhi ya kurasa kwenye kitabu cha AIR TABORA na tumia baadhi ya aliyoyoyasema kuboresha kitabu chako maana nami nafanya hivyo.
Enjoy.
Love,
Salama.
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Пікірлер: 295
We dada salama unaakili mpaka nahisi kama ni usalama wa taifa yani maswali yako nimasito sana tambwewenyewe anatetemeka mpaka unampa msosi tambwe nikali wa kujibu ikileta asiye jielewa hapo itakua uvurundo safi sana umeeanza na mtu mwenye upeo dada usituletee mambumbu kwenye kipindi wa pili mfanye mwana fa watatu niki wa pili
#SalamaNa bonge moja la presenter na nusu one of best presenters wa kike kuwahi kutokea on Tv kwenye Nchi hii ya Tanzania proud of you malkia wa NGUVU 🤗🤗🤗
@YahStoneTown
4 жыл бұрын
Geoffrey Calvin asante mwanangu
#SalamaNa kipindi kizuri nimependa quality ya video na sound safi Kabisa congrats guys
This guy is genius in 10 years time atakuwa na media house yake
Awesome! Thank you for this Salama....x
Salama. Wewe unajua, kipindi kiko poa sana ..... Unafunza mengi. Wewe mpaka kipindi chenyewe
Hivi ndo vipind vya kuangalia sas. vipind vya kuinsipire vijan kam sis hongera sana salama
Mmekutana presenters wenye madini ya kizazii sana show Kali sana
I like the show Salama...and i also like the fact that you actually reply to viewers comments compared to other channels♥️....
YESS THIS IS GOOD 💥🙏💥❤️Love You both 🙌💥🇰🇪❤️🇹🇿
Very very very Creative Salama hii ni one of a kind i see this being even bigger first ever to happen in Tanzania 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
MADAME najifunza vingi vizuri kwenye kipindi hii 🖐madame salamaaa...
# nimekubaliii sanaa hikii kipind coz mnatupaa hamasa Na SS
Nimeanzaa kukufatiliaa kitambo sana sister salama
here we gooooo..... in fabrizio romano voice
mm ni mtu wa kwanza kutoka arusha kukoment hapa
T-shirt za hiyo log yako Salama zitakuwa moto 🔥🔥, kipindi kizur sana. Bigup 👏🏽👏🏽👏🏽
Salama kipindii cha kizazii sanaa tunaomba kiwe kiendelezii zaidii inshaALLAH
My role model Salama. Hongera sana kwa kipindi kizuri.
I really admire ur vibes. . U r an inspiration to many . U r ourself n on point.. kip moving ma prayers. . Bravooo
Kipind n kizur da salama,nmeanza kukupenda Ila tuna omba offline tuweze ona
nikiwa naangalia vipindi vya salama nakuwa kama naona nipo UNIVERSITY salama ni levo za Lecturer yule professor kabisa ukiwa ni mtu ambae upo kujifunza na una ndoto za kuingia kwenye hiki kiwanda cha burudani haswa podcasting basi hii ni OPEN UNIVERSITY, nashauri ungeweka na option ya kulipia ada kwa mihula ili ukusanye mapato yako vzuri kwa Sisi wanafunzi.
@munirrydaniel9855
4 жыл бұрын
EPIC MEDIA TANZANIA real talk
Dope Sana💋💋salama
Daaah! Nistory ambayo imenifanya nirudi nyuma sana, hometown Tabora
Dah mbona kipindi kitamu hivi Jamani 🥰🥰 hayo mambo yakula sasa😋😋😋😋 da salama tunatamanishana😆😆😆
Salama naomba ufanyie interview na watu wengine ambao sio maarufu labda wana stories za kushare na jamii, Ukikubali anza na MIMI. 😄
@mohammedmdoe6228
4 жыл бұрын
Hata mimi naunga hiloo
@YahStoneTown
4 жыл бұрын
Queen September niandikie story yako! Pengine itanivutia #Salama
@queenseptember4640
4 жыл бұрын
@@YahStoneTown OMG siamini kama Salama kanijibu ahsante sana, lakini sijajua nakutumia kwenye nini? My email; dreamlatty16@gmail.com
@YahStoneTown
4 жыл бұрын
Queen September yahstonetown@gmail.com
@wahidashabaz5982
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
Omy mkali acha#salama anajua anamucha mtu anaejielezea mpaka raha yani kama ommy akihoji
Salama you very gudy girl ...yuu inspired me since long time ago up to date ...yuu Gudy salama
Tambweeee my best presenter over
Gud idea madam,uwa nakukubari zaidi ya sana.....
Wow salama Na is💥💥💥
Podcast needs deeper and expert conversations, am waiting kusikiliza
The sound is so Lit Yo 💯❗️❕
Salama huyu jamaa ni kam motivation speaker anaongea n kutek hisia za kila anaetak kufankiwa he is genious
@YahStoneTown
4 жыл бұрын
Rashidi Makka hatari sana! Mwanangu
Big up Salama, great show...
hujui kukosea et duh!! 🙌🙌
Salama upo vzur congrats kwako
Lil ommy alimuhoji Salama leo salama ana muhiji Ommy...Life ndo hilo bhn....Kusapotiana!
Wenyeji maranyingi wanabweteka wana jua wapo homu mgeni anakua hana ndugu lazima akaze kizazi sana
@samsongwamaka8400
4 жыл бұрын
Wapo kwa ajili ya kuburudisha wageni, yaani singeli, vingoma na ushenzishenzi mwingine
Salama nime subscribe channel yako bila kuchelewa. Nimependa biograph mwanzoni kabisa, keep this consistently , hopefully you will add value to our bongo youtube chanells, wasanii wetu wa bongo wana upload nyimbo hata mashairi hawaweki.
am kenyan but i love this show... am a great fun of lil omy da boss
Hii n kubwa kuliko!!!! Keep it up
Sound Q #DOPE🔥🔥🔥 picture frames a suspense tho!
Ki ukweli huyu kaka hata mm nampenda sijawahi kumchukia na daima namuona anajiheshim Sana kuliko sana
Salama nakupendaga vibaya sana. Nimejaribu sana kukutafuta bila mafanikio.
Nakupenda sana coz Ww ni Ww na unajiamini kwa kila jambo
Wamekutana wakali sana...💥💥💥
Nice message from lil omy
Hongeren sana kwa saut iko fresh ile mbayaaa
Sauti na graphics ni zakizazi mpaka MTU unatamani uhisi ni kwa trump
Lil Ommy you are more talented, unajibu maswali vzur sana. Lakin pia kuongea ni kipaji
Ommy is very smart. Ukimsikiliza unaondoka na madini mengi sana👏🏼 Na hapo mmekutana Two smart heads🔥🔥
Interview nzuri saana ..pia lil ommy huna majivuno maana wangekuwa wengne kwa level zako asingekubali kuja hapo ukulinganisha kipindi kimeanza juzi kati tu hapa...ila salama nachukia hicho kiring ambacho kiko PUA yaan namchukulia kama mtu mwngne kabisa!!
Kizazi sana hio Meza huku mbele utakimbia bei yake aise
Salama hajawah kuniangusha💪💪💪
Salama I love you ❤️😘
I see me......kupitia Hussle za lil ommy ndo maisha na ishi this time kupitia hii interview salama na lil ommy inanifanya nisi give up kwa kile nachotaka kufanya inshallah ntakuwa kama nyie au zaidi#YAHStoneTown
@ahmadwag2925
4 жыл бұрын
Interview imerejeyaaaaa. ...... mkaliiii wa zile mambo karudi kwenye kiti chake. Igeni tena atususie tutaandamana.#SalamaNa. Nakukubali kitoho kubwwwaaaaa
Yo Dada salama yo amazing mashallah n lilommy ma main man.. Love from 🇺🇬 🇺🇬 🇺🇬
salama uko fundi sana...unajua kuchagua wageni unajua kuuliza maswali pia uko deep katika industry miaka yote....
Mkasi iko hewani tena love you salama wanting
Kalinye
nimemis sana salama jabir nakukubali sna maana ata bongo star srh sikuipenda kwa kuwa aupo iki kipindi ntakifatilia sn
Hii bonge moja la kitu, nmeipenda ni mkasi flaani kwa dzain mpya. Iko vzur sana
@antybabybintrashid2333
4 жыл бұрын
Ttrue
@omarihamadumetishasanalava4725
3 жыл бұрын
Tambwe
We jamaa upo vzr Sana bado sijaona zaidi yk br "kizazi Sana"
Naqubali salama toka planet Bongo 🔥🔥🔥💖
creative work
#SalamaNa is a very Creative package... Hongereni sana..
@innocentmushi1550
4 жыл бұрын
kuna hako ka background ni reggae fulan ya kizazi sana💥
@rahillhamidu2544
4 жыл бұрын
@@innocentmushi1550 umeonaee
@salumchande2702
4 жыл бұрын
kabisa
@YahStoneTown
4 жыл бұрын
ChumaYao Investment asante
Nimependa sana hii interview, kijana anajielewa sana.
Hongera sana kuzaliwa siku moja na me
great stuff sis...
Big time mzazi swali lakwanza uliloulizwa umejibu vizury
Wooooooza
Inaitwa weka tuweke anaye oji wenzake naye aojiwa bango kubwa limewaka
Very nice nimekupenda buree LilOmy unanyoosha maelezo🤒
#salamana Safi sana
Big up salam jabir ukoseagi mzee
Ivindovipindi vyakuangalia🙌👏👏👏👏👏👌❤❤🔥
Watanzania nidhamu ni fundo linalotumaliza na kutulazimisha kufanya yasiostahiki Salama hata mimi nakupenda napenda jinsi unavyojituma kwa kweli mmekutana wajuzi wa vyungu na na vikaango hii ni elimu na watanzania hatujiheshimu wala hatuheshimu nafasi tunazopata tunahitaji kuwa na heshima ya nafasi na kazi zetu Lil ni mmoja kati ya watu wanaoweza kusimamia kitengo kwa uaminifu kabisa watanzania tujiamini na tujiamini.
skupingi da salama na mtoto wangu wa pili anayefuata nitampa jina lako #salama ili nikuenzi kwa vitu adimu unavyotugea watu wako tunaokujua na kukufuatilia tangu zile za kipindi kile cha mazingila yale ya pale kwenye 1 na 2
😚😚big up salama
Hongera kipindi kizuri sanaaaaaaaaa
Wooooh lilommy unajibu maswali hadi raha
Hii ya kizazi sana brother Tambweeeee!!!
Keep it up Sister
Lil Ommy half man half amazing kizazi sana💪
Kizazii sana
Salama nakupenda Sana kipindi bila makeup hongera Sana dear
Kizazi sana Bro #LilOmmy
''Wanakwambiaje?''. That was a very important question, Salama. Vijana wengi wenye uwezo na vipaji wananyimwa nafasi za kutoka.
oooh.. oooh oooh
Lilommy namjua toka nipo sec mabama Tabora akiwa vot fm. Uyu jamaa namuelewa sana
kubar show 👏👏👏👏👏
Salam na nimeipenda salama wew ni mbunifu sana
Tambwe kizaz sana bro
>>>Salama na Mkali WA hiz kazi
Well done Salama
Salama uko vizuri dear
Wow ommy nic story about your family
Sound Quality Badooooo… Show KALI
Salama hujawahi kuniangusha toka enzi za MKASI😘