Salama Na Lil Ommy Ep 1 | Air Tabora Part 1

Ойын-сауық

#YAHStoneTown #LilOmmy #SalamaNa
Salama Na Lil Ommy | AIR TABORA
2016 ndo mwaka nilikuatana na Lil Ommy mara ya kwanza, pengine nilishwahi kukutana naye huko nyumba ila sikumbuki. Aliniomba niende kwenye kipindi chake cha The Playlist enzi hizo kikiwa Jumamosi asubuhi ya tarehe 20 mwezi wa nane. Sikuwahi kupenda kufanyiwa interview ila siku hiyo nilimpa Ommy nafasi, sikuwahi kujutia na pengine hiyo ndo sababu ya kumfanya yeye awe mgeni nambari moja mwenge Podcast hii. Anayejitambua, anayejituma, anayesoma, mwenye nia na mipango endelevu… Nilimuomba aje na hapa tulizungumza karibia yote. Ya kwao Tabora, familia yao, marehemu Mzee wake, marehemu Dada yake, ndugu zake wa kambo, utundu wa udogoni, kutafuta kazi, maisha ya mjini na marafiki, muziki wa kizazi kipya na ushindani wa kazi. Times FM na siku ya harusi yake. Na hakua mchoyo wa kunikhadithia.
Hii ni kwa ajili yako, na nyengine nyingi zijazo zinakuhusu pia. Chukua baadhi ya kurasa kwenye kitabu cha AIR TABORA na tumia baadhi ya aliyoyoyasema kuboresha kitabu chako maana nami nafanya hivyo.
Enjoy.
Love,
Salama.
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 295

  • @sephusuyyasuyya7518
    @sephusuyyasuyya75184 жыл бұрын

    We dada salama unaakili mpaka nahisi kama ni usalama wa taifa yani maswali yako nimasito sana tambwewenyewe anatetemeka mpaka unampa msosi tambwe nikali wa kujibu ikileta asiye jielewa hapo itakua uvurundo safi sana umeeanza na mtu mwenye upeo dada usituletee mambumbu kwenye kipindi wa pili mfanye mwana fa watatu niki wa pili

  • @geoffreycalvin2288
    @geoffreycalvin22884 жыл бұрын

    #SalamaNa bonge moja la presenter na nusu one of best presenters wa kike kuwahi kutokea on Tv kwenye Nchi hii ya Tanzania proud of you malkia wa NGUVU 🤗🤗🤗

  • @YahStoneTown

    @YahStoneTown

    4 жыл бұрын

    Geoffrey Calvin asante mwanangu

  • @GamechangerTz
    @GamechangerTz4 жыл бұрын

    #SalamaNa kipindi kizuri nimependa quality ya video na sound safi Kabisa congrats guys

  • @saidahj2543
    @saidahj25434 жыл бұрын

    This guy is genius in 10 years time atakuwa na media house yake

  • @dianamangapi8954
    @dianamangapi89544 жыл бұрын

    Awesome! Thank you for this Salama....x

  • @aronelius9515
    @aronelius95154 жыл бұрын

    Salama. Wewe unajua, kipindi kiko poa sana ..... Unafunza mengi. Wewe mpaka kipindi chenyewe

  • @amaniadamu2688
    @amaniadamu26884 жыл бұрын

    Hivi ndo vipind vya kuangalia sas. vipind vya kuinsipire vijan kam sis hongera sana salama

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai68054 жыл бұрын

    Mmekutana presenters wenye madini ya kizazii sana show Kali sana

  • @iamlisley5092
    @iamlisley50924 жыл бұрын

    I like the show Salama...and i also like the fact that you actually reply to viewers comments compared to other channels♥️....

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao4 жыл бұрын

    YESS THIS IS GOOD 💥🙏💥❤️Love You both 🙌💥🇰🇪❤️🇹🇿

  • @moussabmohamedsaid6066
    @moussabmohamedsaid60664 жыл бұрын

    Very very very Creative Salama hii ni one of a kind i see this being even bigger first ever to happen in Tanzania 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @giftchannel759
    @giftchannel7594 жыл бұрын

    MADAME najifunza vingi vizuri kwenye kipindi hii 🖐madame salamaaa...

  • @davidstary7756
    @davidstary77564 жыл бұрын

    # nimekubaliii sanaa hikii kipind coz mnatupaa hamasa Na SS

  • @davidstary7756
    @davidstary77564 жыл бұрын

    Nimeanzaa kukufatiliaa kitambo sana sister salama

  • @toney..
    @toney..4 жыл бұрын

    here we gooooo..... in fabrizio romano voice

  • @toney..
    @toney..4 жыл бұрын

    mm ni mtu wa kwanza kutoka arusha kukoment hapa

  • @anethmugisha9238
    @anethmugisha92384 жыл бұрын

    T-shirt za hiyo log yako Salama zitakuwa moto 🔥🔥, kipindi kizur sana. Bigup 👏🏽👏🏽👏🏽

  • @momobablydach4156
    @momobablydach41564 жыл бұрын

    Salama kipindii cha kizazii sanaa tunaomba kiwe kiendelezii zaidii inshaALLAH

  • @rukiachamani1101
    @rukiachamani11014 жыл бұрын

    My role model Salama. Hongera sana kwa kipindi kizuri.

  • @fhhffh6382
    @fhhffh63824 жыл бұрын

    I really admire ur vibes. . U r an inspiration to many . U r ourself n on point.. kip moving ma prayers. . Bravooo

  • @missenna8693
    @missenna86934 жыл бұрын

    Kipind n kizur da salama,nmeanza kukupenda Ila tuna omba offline tuweze ona

  • @pablomufasa84
    @pablomufasa844 жыл бұрын

    nikiwa naangalia vipindi vya salama nakuwa kama naona nipo UNIVERSITY salama ni levo za Lecturer yule professor kabisa ukiwa ni mtu ambae upo kujifunza na una ndoto za kuingia kwenye hiki kiwanda cha burudani haswa podcasting basi hii ni OPEN UNIVERSITY, nashauri ungeweka na option ya kulipia ada kwa mihula ili ukusanye mapato yako vzuri kwa Sisi wanafunzi.

  • @munirrydaniel9855

    @munirrydaniel9855

    4 жыл бұрын

    EPIC MEDIA TANZANIA real talk

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo72364 жыл бұрын

    Dope Sana💋💋salama

  • @kingungeii6520
    @kingungeii65204 жыл бұрын

    Daaah! Nistory ambayo imenifanya nirudi nyuma sana, hometown Tabora

  • @fatmafetty4117
    @fatmafetty41174 жыл бұрын

    Dah mbona kipindi kitamu hivi Jamani 🥰🥰 hayo mambo yakula sasa😋😋😋😋 da salama tunatamanishana😆😆😆

  • @queenseptember4640
    @queenseptember46404 жыл бұрын

    Salama naomba ufanyie interview na watu wengine ambao sio maarufu labda wana stories za kushare na jamii, Ukikubali anza na MIMI. 😄

  • @mohammedmdoe6228

    @mohammedmdoe6228

    4 жыл бұрын

    Hata mimi naunga hiloo

  • @YahStoneTown

    @YahStoneTown

    4 жыл бұрын

    Queen September niandikie story yako! Pengine itanivutia #Salama

  • @queenseptember4640

    @queenseptember4640

    4 жыл бұрын

    @@YahStoneTown OMG siamini kama Salama kanijibu ahsante sana, lakini sijajua nakutumia kwenye nini? My email; dreamlatty16@gmail.com

  • @YahStoneTown

    @YahStoneTown

    4 жыл бұрын

    Queen September yahstonetown@gmail.com

  • @wahidashabaz5982

    @wahidashabaz5982

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @salumhemedmbaraka8144
    @salumhemedmbaraka81444 жыл бұрын

    Omy mkali acha#salama anajua anamucha mtu anaejielezea mpaka raha yani kama ommy akihoji

  • @alfredsebastian9131
    @alfredsebastian91314 жыл бұрын

    Salama you very gudy girl ...yuu inspired me since long time ago up to date ...yuu Gudy salama

  • @stevoovlogs8645
    @stevoovlogs86454 жыл бұрын

    Tambweeee my best presenter over

  • @mkwenyachristopher9310
    @mkwenyachristopher93104 жыл бұрын

    Gud idea madam,uwa nakukubari zaidi ya sana.....

  • @sabrinamustafa8554
    @sabrinamustafa85544 жыл бұрын

    Wow salama Na is💥💥💥

  • @shinshi9696
    @shinshi96964 жыл бұрын

    Podcast needs deeper and expert conversations, am waiting kusikiliza

  • @antidiusegbert5562
    @antidiusegbert55624 жыл бұрын

    The sound is so Lit Yo 💯❗️❕

  • @rashidimakka7133
    @rashidimakka71334 жыл бұрын

    Salama huyu jamaa ni kam motivation speaker anaongea n kutek hisia za kila anaetak kufankiwa he is genious

  • @YahStoneTown

    @YahStoneTown

    4 жыл бұрын

    Rashidi Makka hatari sana! Mwanangu

  • @nelsonaugustinemafwimbo8760
    @nelsonaugustinemafwimbo87604 жыл бұрын

    Big up Salama, great show...

  • @solalegahinfo4407
    @solalegahinfo44074 жыл бұрын

    hujui kukosea et duh!! 🙌🙌

  • @michaelleon5266
    @michaelleon52664 жыл бұрын

    Salama upo vzur congrats kwako

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani52374 жыл бұрын

    Lil ommy alimuhoji Salama leo salama ana muhiji Ommy...Life ndo hilo bhn....Kusapotiana!

  • @dramataizaplatnumz
    @dramataizaplatnumz4 жыл бұрын

    Wenyeji maranyingi wanabweteka wana jua wapo homu mgeni anakua hana ndugu lazima akaze kizazi sana

  • @samsongwamaka8400

    @samsongwamaka8400

    4 жыл бұрын

    Wapo kwa ajili ya kuburudisha wageni, yaani singeli, vingoma na ushenzishenzi mwingine

  • @michaelmzinga4741
    @michaelmzinga47414 жыл бұрын

    Salama nime subscribe channel yako bila kuchelewa. Nimependa biograph mwanzoni kabisa, keep this consistently , hopefully you will add value to our bongo youtube chanells, wasanii wetu wa bongo wana upload nyimbo hata mashairi hawaweki.

  • @astonlupiafilmz
    @astonlupiafilmz4 жыл бұрын

    am kenyan but i love this show... am a great fun of lil omy da boss

  • @salumshakespeare
    @salumshakespeare4 жыл бұрын

    Hii n kubwa kuliko!!!! Keep it up

  • @talyburnfaya4092
    @talyburnfaya40924 жыл бұрын

    Sound Q #DOPE🔥🔥🔥 picture frames a suspense tho!

  • @salmakilimtali4137
    @salmakilimtali41374 жыл бұрын

    Ki ukweli huyu kaka hata mm nampenda sijawahi kumchukia na daima namuona anajiheshim Sana kuliko sana

  • @benedictaustard3423
    @benedictaustard34234 жыл бұрын

    Salama nakupendaga vibaya sana. Nimejaribu sana kukutafuta bila mafanikio.

  • @husnangapu502
    @husnangapu5024 жыл бұрын

    Nakupenda sana coz Ww ni Ww na unajiamini kwa kila jambo

  • @hamispeter9043
    @hamispeter90434 жыл бұрын

    Wamekutana wakali sana...💥💥💥

  • @kingofkungs3923
    @kingofkungs39234 жыл бұрын

    Nice message from lil omy

  • @gthirty
    @gthirty4 жыл бұрын

    Hongeren sana kwa saut iko fresh ile mbayaaa

  • @dismaskelvin7522
    @dismaskelvin75224 жыл бұрын

    Sauti na graphics ni zakizazi mpaka MTU unatamani uhisi ni kwa trump

  • @abasilihundu200
    @abasilihundu2004 жыл бұрын

    Lil Ommy you are more talented, unajibu maswali vzur sana. Lakin pia kuongea ni kipaji

  • @missdija4959
    @missdija49593 жыл бұрын

    Ommy is very smart. Ukimsikiliza unaondoka na madini mengi sana👏🏼 Na hapo mmekutana Two smart heads🔥🔥

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time13484 жыл бұрын

    Interview nzuri saana ..pia lil ommy huna majivuno maana wangekuwa wengne kwa level zako asingekubali kuja hapo ukulinganisha kipindi kimeanza juzi kati tu hapa...ila salama nachukia hicho kiring ambacho kiko PUA yaan namchukulia kama mtu mwngne kabisa!!

  • @nurudovino288
    @nurudovino2884 жыл бұрын

    Kizazi sana hio Meza huku mbele utakimbia bei yake aise

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino674 жыл бұрын

    Salama hajawah kuniangusha💪💪💪

  • @sherrysalim50
    @sherrysalim504 жыл бұрын

    Salama I love you ❤️😘

  • @aiwanamirkin11
    @aiwanamirkin114 жыл бұрын

    I see me......kupitia Hussle za lil ommy ndo maisha na ishi this time kupitia hii interview salama na lil ommy inanifanya nisi give up kwa kile nachotaka kufanya inshallah ntakuwa kama nyie au zaidi#YAHStoneTown

  • @ahmadwag2925

    @ahmadwag2925

    4 жыл бұрын

    Interview imerejeyaaaaa. ...... mkaliiii wa zile mambo karudi kwenye kiti chake. Igeni tena atususie tutaandamana.#SalamaNa. Nakukubali kitoho kubwwwaaaaa

  • @omarabdallah80agmail.comom29
    @omarabdallah80agmail.comom294 жыл бұрын

    Yo Dada salama yo amazing mashallah n lilommy ma main man.. Love from 🇺🇬 🇺🇬 🇺🇬

  • @othumanlorenzo260
    @othumanlorenzo2604 жыл бұрын

    salama uko fundi sana...unajua kuchagua wageni unajua kuuliza maswali pia uko deep katika industry miaka yote....

  • @michaellagwen8198
    @michaellagwen81984 жыл бұрын

    Mkasi iko hewani tena love you salama wanting

  • @mtedewede22
    @mtedewede224 жыл бұрын

    Kalinye

  • @bakarijunior8246
    @bakarijunior82464 жыл бұрын

    nimemis sana salama jabir nakukubali sna maana ata bongo star srh sikuipenda kwa kuwa aupo iki kipindi ntakifatilia sn

  • @microssadamu7556
    @microssadamu75564 жыл бұрын

    Hii bonge moja la kitu, nmeipenda ni mkasi flaani kwa dzain mpya. Iko vzur sana

  • @antybabybintrashid2333

    @antybabybintrashid2333

    4 жыл бұрын

    Ttrue

  • @omarihamadumetishasanalava4725

    @omarihamadumetishasanalava4725

    3 жыл бұрын

    Tambwe

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme84552 жыл бұрын

    We jamaa upo vzr Sana bado sijaona zaidi yk br "kizazi Sana"

  • @fasanitzfasanitz9631
    @fasanitzfasanitz96314 жыл бұрын

    Naqubali salama toka planet Bongo 🔥🔥🔥💖

  • @antidiusegbert5562
    @antidiusegbert55624 жыл бұрын

    creative work

  • @chumayaoinvestment1647
    @chumayaoinvestment16474 жыл бұрын

    #SalamaNa is a very Creative package... Hongereni sana..

  • @innocentmushi1550

    @innocentmushi1550

    4 жыл бұрын

    kuna hako ka background ni reggae fulan ya kizazi sana💥

  • @rahillhamidu2544

    @rahillhamidu2544

    4 жыл бұрын

    @@innocentmushi1550 umeonaee

  • @salumchande2702

    @salumchande2702

    4 жыл бұрын

    kabisa

  • @YahStoneTown

    @YahStoneTown

    4 жыл бұрын

    ChumaYao Investment asante

  • @julianyerere444
    @julianyerere4444 жыл бұрын

    Nimependa sana hii interview, kijana anajielewa sana.

  • @modestdindili6418
    @modestdindili64184 жыл бұрын

    Hongera sana kuzaliwa siku moja na me

  • @benedictngowi8631
    @benedictngowi86314 жыл бұрын

    great stuff sis...

  • @zakariaabdul5235
    @zakariaabdul52353 жыл бұрын

    Big time mzazi swali lakwanza uliloulizwa umejibu vizury

  • @7mc794
    @7mc7944 жыл бұрын

    Wooooooza

  • @kephafrancis7177
    @kephafrancis71774 жыл бұрын

    Inaitwa weka tuweke anaye oji wenzake naye aojiwa bango kubwa limewaka

  • @ujudiabdull9442
    @ujudiabdull94423 жыл бұрын

    Very nice nimekupenda buree LilOmy unanyoosha maelezo🤒

  • @ahmedhamdan8526
    @ahmedhamdan85264 жыл бұрын

    #salamana Safi sana

  • @salimmakenya3665
    @salimmakenya36654 жыл бұрын

    Big up salam jabir ukoseagi mzee

  • @assiakwinnj4910
    @assiakwinnj49104 жыл бұрын

    Ivindovipindi vyakuangalia🙌👏👏👏👏👏👌❤❤🔥

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija66723 жыл бұрын

    Watanzania nidhamu ni fundo linalotumaliza na kutulazimisha kufanya yasiostahiki Salama hata mimi nakupenda napenda jinsi unavyojituma kwa kweli mmekutana wajuzi wa vyungu na na vikaango hii ni elimu na watanzania hatujiheshimu wala hatuheshimu nafasi tunazopata tunahitaji kuwa na heshima ya nafasi na kazi zetu Lil ni mmoja kati ya watu wanaoweza kusimamia kitengo kwa uaminifu kabisa watanzania tujiamini na tujiamini.

  • @bremenbdb1383
    @bremenbdb13834 жыл бұрын

    skupingi da salama na mtoto wangu wa pili anayefuata nitampa jina lako #salama ili nikuenzi kwa vitu adimu unavyotugea watu wako tunaokujua na kukufuatilia tangu zile za kipindi kile cha mazingila yale ya pale kwenye 1 na 2

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari52094 жыл бұрын

    😚😚big up salama

  • @rumaisamohd8609
    @rumaisamohd86094 жыл бұрын

    Hongera kipindi kizuri sanaaaaaaaaa

  • @lulugora2712
    @lulugora27124 жыл бұрын

    Wooooh lilommy unajibu maswali hadi raha

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Hii ya kizazi sana brother Tambweeeee!!!

  • @dullydullahsenior756
    @dullydullahsenior7564 жыл бұрын

    Keep it up Sister

  • @zahrachangalia4218
    @zahrachangalia42184 жыл бұрын

    Lil Ommy half man half amazing kizazi sana💪

  • @yudatadeshayo4434
    @yudatadeshayo44344 жыл бұрын

    Kizazii sana

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu25444 жыл бұрын

    Salama nakupenda Sana kipindi bila makeup hongera Sana dear

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63654 жыл бұрын

    Kizazi sana Bro #LilOmmy

  • @hukuUJERUMANI
    @hukuUJERUMANI3 жыл бұрын

    ''Wanakwambiaje?''. That was a very important question, Salama. Vijana wengi wenye uwezo na vipaji wananyimwa nafasi za kutoka.

  • @barackhuncho2432
    @barackhuncho24324 жыл бұрын

    oooh.. oooh oooh

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile3363 жыл бұрын

    Lilommy namjua toka nipo sec mabama Tabora akiwa vot fm. Uyu jamaa namuelewa sana

  • @sudititus7125
    @sudititus71254 жыл бұрын

    kubar show 👏👏👏👏👏

  • @antipaspaul4510
    @antipaspaul45104 жыл бұрын

    Salam na nimeipenda salama wew ni mbunifu sana

  • @duniaabdallah2852
    @duniaabdallah28524 жыл бұрын

    Tambwe kizaz sana bro

  • @dullahsimbaulanga6472
    @dullahsimbaulanga64724 жыл бұрын

    >>>Salama na Mkali WA hiz kazi

  • @sistersade9039
    @sistersade90394 жыл бұрын

    Well done Salama

  • @roseliku531
    @roseliku5314 жыл бұрын

    Salama uko vizuri dear

  • @fatmafetty4117
    @fatmafetty41174 жыл бұрын

    Wow ommy nic story about your family

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator63434 жыл бұрын

    Sound Quality Badooooo… Show KALI

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda60394 жыл бұрын

    Salama hujawahi kuniangusha toka enzi za MKASI😘

Келесі