DIAMOND PLATNUMZ: ATANGAZA NDOA, MCHUMBA?

Ойын-сауық

(PART2) EXCLUSIVE INTERVIEW NA DIAMOND PLATNUMZ KWA MARA YA KWANZA TIMES FM BAADA YA KUTOKA TU KENYA, KAONGEA MENGI SANA KUHUSU BEEF NA MEDIA, ZARI, ALBUM YAKE, WEMA, ALIKIBA, KUFUNGIWA NYIMBO NK.
LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa mastaa unaowakubali.
Fatilia mahojiano ya moto na mastaa unaowakubali kujua kila kitu kuhusu Muziki na Maisha yao, #LilOmmy #THEMVP #KingOfInterviews anakukutanisha nao hapa hapa kwenye #LilOmmyTV
Let's Connect
/ lilommy
/ lilommy
/ lilommyfanpage
lilommy.com/
Hakikisha Subscribe, Gonga Like, Angusha Comment na Share kwenye WhatsApp Groups au Facebook na Twitter..... enjoy!

Пікірлер: 478

  • @heavenluckmongi6161
    @heavenluckmongi61616 жыл бұрын

    Hongera diamond platnumz kwa interview nzuri sana, umeonyesha kukerwa na baadhi ya maaumuzi na harakati(ftna,kubaniwa) za kukurudisha nyuma nakupongeza kwa kuweza kustahimili hayo yote nakusimama kwenye kile unachokiamini kwa kujitoa hata kua tayari kwenda jela kwa ajili ya bongo fleva. Maombi yangu kwako ukiwa miongoni mwa watu wenye nguvu ,uelewa na hamasa kubwa kwenye bongo fleva naona ni vyema sana ukaweka wazi hzo ftna na watu wanaozifanya pamoja na baadhi ya media kukukwamisha kwani ni wasanii wengi wanapitia kwenye hayo ambayo wewe umepitia na kwa bahati mbaya sana tasnia imekua ikipoteza wasanii wazuri. Kuna baadhi ya watu(wadau wa tasnia) na media wanaaminika/zinaaminika kwa kuwa tu tunajua yale mambo ambayo wanatuonyesha ila ni imani yangu kuwa endapo ukiliweka hilo wazi utakua umesaidia wasanii weng na tasnia kwa ujumla.

  • @fatumaabdallah4429
    @fatumaabdallah44296 жыл бұрын

    Mond upo vizuri kaka angu we fanya kazi mungu yupo pamoja na we ila zari ni wako tuu,

  • @nas153
    @nas1536 жыл бұрын

    Fantastic........safi sana na hakuna obvious questions kama wanavyo uliza radio station nyingine....hii inamaanisha unafuatilia sana interview zote za mtu utakae mhoji.....nahii inaitwa kujiongeza.💯/💯✔

  • @henrypodolski3652
    @henrypodolski36526 жыл бұрын

    lil ommy ur the best presenter in town....together with simbaaaaaaa

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.94666 жыл бұрын

    Diamond nakuelewa sana lkn vile vile LilOmmy ww ni zaidi ya mtangazaji unajua sana hadi unakera,big up.

  • @romanomlanda7184
    @romanomlanda71846 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni noma sana, kwenye kujibu maswali ni mtaalamu na ni mtu ambaye anajitahidi kusema ukweli

  • @ToyTz
    @ToyTz6 жыл бұрын

    KWA jinsi alivyoongea blazza simba nahic mpaka waliokuwa wanajiita team kiba washakuwa mafans wake!! AMEN

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz14556 жыл бұрын

    Diamond alizaliwa kwaniaba ya wa Tanzania Mungu ibaliki Tanzanian na watuwote

  • @mpoloonlinetv1373
    @mpoloonlinetv13736 жыл бұрын

    Diamond you are very smart artist, Nakuomba muoe shemeji yetu Zariiiiiiii the bos lady, she qualify to be our shemejiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @makondefinest
    @makondefinest6 жыл бұрын

    Kuna watu wamezaliwa na akili za ziada,Diamond plutnumz

  • @teddynanyonga2621
    @teddynanyonga26216 жыл бұрын

    You left Zari now your sober congratulations mama langote now you have your son back

  • @mariamsaidi3084
    @mariamsaidi30846 жыл бұрын

    Wallah diamond nitakupenda zaidi ukifanya kazi na kiba. Simba&king please my brother

  • @sandraallen8578
    @sandraallen85786 жыл бұрын

    Bongo flavour imekuwa kubwa Kwasababu ya chibu (simba Lion) @diamondplatnumz wewe ni kichwa🔥🔥big up

  • @nivardbarack4643
    @nivardbarack46436 жыл бұрын

    Pendeza sanaaa hii interview💟💟💟💟💟💞💞💞💝💝💝💝💝💝💝💝💝 kizazi sanaani umeongea kiakili saana maswali na majibu vyote viko strong big up

  • @goodluckymartin334
    @goodluckymartin3346 жыл бұрын

    Mm ukisemaa wanatoaa ttuzooo lili ommy ur the baddest presenter aseehhhh hakunaaaw kammaaaa ww kwa sasa hapaa tz aiseeehhhhhhhhh 🔥🔥🔥🔝🔝🔝👏👏🔝🔝🔝🌍🌍🌍

  • @barakaandrea3790
    @barakaandrea37906 жыл бұрын

    Platinuz umekomaa mzee,Big up sana.

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz14556 жыл бұрын

    Adi rahaha anavyoongea diamond eeee leo na comment sana😂😂😂😂🙆

  • @husseinc
    @husseinc6 жыл бұрын

    Lilommy hii ilikuwa bonge moja interview ongera sn ommy maswali ya mana majib pia mazur sn

  • @rashidchembax8383
    @rashidchembax83836 жыл бұрын

    Lil Ommy uko vizuri,haubaatishi aisee

  • @yasingawaza3087

    @yasingawaza3087

    5 жыл бұрын

    ludo kwamolawako achananamziki kunalana uko dogo

  • @goodluckpaschal6134
    @goodluckpaschal61346 жыл бұрын

    honestly nimekukubali mind now najuwa mm ni funs wa music

  • @ToyTz
    @ToyTz6 жыл бұрын

    NASIB ABDUL hapo nimekuelewa sanaa na mimi ntakuwa naachia ngoma zangu ijumaa ili waruke nazo club!! by t.o.y ,,big shoutout to MVP

  • @mohamedally342
    @mohamedally3426 жыл бұрын

    Hawakuezi Bro Baba Tiffah

  • @nickymeel986
    @nickymeel9866 жыл бұрын

    Fanya urudie zari bana she's the best woman you desv to spnd the rest of your life with😢😢😢wengine achia majirani

  • @joymondi1760
    @joymondi17603 жыл бұрын

    That y nampenda baby simba .he is always social and focused .lots of love to you baby handsome ,from joy mondi kenya

  • @andersonmartins7674
    @andersonmartins76746 жыл бұрын

    Wow the guy (dai) ni mzuri katika responding

  • @tiktokTviral
    @tiktokTviral5 жыл бұрын

    king #SIMBA DIAMOND THE GREATEST 💎🎤🌟🌎🇹🇿

  • @kenyoveliog7597
    @kenyoveliog75976 жыл бұрын

    the best interview ever ever

  • @pizothe1269
    @pizothe12696 жыл бұрын

    doh, lil Ommy kiwango chako ni sawa na wale wa BBC. mond pia yupo fit kujeilezea japo mi sio mshabiki wake ila FRESH big up.

  • @fatmafarid5619
    @fatmafarid56196 жыл бұрын

    Very Good to be open you're the best musician Wasafi Diamond Platinum

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz14556 жыл бұрын

    Nakupenda unajielewa japo kila binadam ana mapungufuyake so ww pekeyako 😍😍😍

  • @shangajeanine5957
    @shangajeanine59576 жыл бұрын

    nasibu muowe wema achana na malaya amisa kaka muputezee kumbuka maisha yako na wema

  • @hashimmussa2131
    @hashimmussa21316 жыл бұрын

    @lilommytv...tumwagie full shoo,sisi wengine hatuishi bongo maboy na hatupati nafasi ya kusikiliza live,,,,,,big up sana homeboy

  • @victormkaka8506
    @victormkaka85066 жыл бұрын

    time hawana bifu na msanii yeyote nawakubali sana @LIL OMY nakukubali mzazi

  • @mwaijaramadhani6662
    @mwaijaramadhani66626 жыл бұрын

    Kiukweli mi team kiba lakini hii interview nimecheka sana ni nzuri mpka unajikuta unacheka kwa sauti

  • @latifahissa1114
    @latifahissa11146 жыл бұрын

    Kumchukia huyu kijana na kumuwekea vikwazo NI kujitesa mwenyewe.....huyu mtoto NI Kama kaa la Moto hakamatiki yaani #hawezekani 🙌🙌🙌🙌

  • @lawrencekihura1326
    @lawrencekihura13266 жыл бұрын

    Musicians bring a lot of revenues in Tanzania, and that includes salaries for the so called politicians, hero kwa Diamond.

  • @madona.1537
    @madona.15376 жыл бұрын

    I love this.. Nice guys.. Nice questions nice answers

  • @nickymeel986
    @nickymeel9866 жыл бұрын

    Lil ommy ur the best presntr😍😍😍big up

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty6 жыл бұрын

    ❤️❤️❤️❤️tele kwa Diamond,kaka mtangazaji uko vizuri sana

  • @estherwandia7614
    @estherwandia76146 жыл бұрын

    This man got brains....from +254 ..I love u

  • @teachersamsontv1159
    @teachersamsontv11596 жыл бұрын

    Dah mambo ni motoooo

  • @mercymusyimi1227
    @mercymusyimi12276 жыл бұрын

    I think this is the best interview i have watched in a couple of years,diamond got brains for a whole clan......hahahahaha,i love how he admits mistakes and doesn't give a hoot.WCB forever.

  • @georgethuita3440
    @georgethuita34406 жыл бұрын

    Diamond do your thing, supporting you always. 🔥🔥🔥

  • @farajalwimbo394
    @farajalwimbo3946 жыл бұрын

    Du,Mondi yuko vizuri sana,big up,amazing interview

  • @tatuyusuph212
    @tatuyusuph2126 жыл бұрын

    interview nzuriiii haichoshi unatamani kuisikiliza tyuuuuuu. nmeenjoy ....

  • @bonishani8570
    @bonishani85706 жыл бұрын

    I'm respect you my brother platinum's your took big points in interview

  • @rahmajuma1647
    @rahmajuma16476 жыл бұрын

    Nampendaga huyu kaka omy jamoon anajua kuulizaga maswali hadi raha... Kudos brooo

  • @barakavicent7394
    @barakavicent73946 жыл бұрын

    Your the best bro genius world records is onto you coz you never fail interviews congrats bro

  • @samwelnyankena9873
    @samwelnyankena98736 жыл бұрын

    king of Africa Diamondplatnumz🔥🔥🔥🔥🔥

  • @maryannqueen7356
    @maryannqueen73566 жыл бұрын

    PREACH DIAMOND..........Preach......Lil Ommy ....your show Kills

  • @SalmaSalma-ub4zx
    @SalmaSalma-ub4zx6 жыл бұрын

    Mashaallah diamound uwo ndo uwanaume 👏👏

  • @shanihassani352
    @shanihassani3526 жыл бұрын

    interview hii ni fire,,,,big up modi umeongea ukwel kwa ufupi umewaongelea wasanii wote wanyonge

  • @arafasalum564
    @arafasalum5646 жыл бұрын

    Interview nzuri kuliko zote zilizowahi kutokea Tanzania.

  • @officialjamhurizachariagos2797
    @officialjamhurizachariagos27976 жыл бұрын

    Liomi we ni shiiiiida. Brother diamond uko fire MUNGU Awalinde bana. Gonga like twende Pamoja. Napia gusa picha YANGU kwa gospel makini ndugu zangu. Napia usisahau Ku subscriber kushea na kutia comment yako chini

  • @dickwaynemoorey7699
    @dickwaynemoorey76996 жыл бұрын

    The best interview ever

  • @godypatrick6485
    @godypatrick64856 жыл бұрын

    Wewe ndiyo ulitakiwa uwe naibu wazir wa sanaa na michezo hawa mawazir wangekuwa wanawateuwa manaibu mawazir wenye uzowefu wa kazi za wizala husika

  • @flaviusmwemezi9961
    @flaviusmwemezi99616 жыл бұрын

    Interview imekua tamu kwasababu kwa sasa mond anamaswali meng yanayohitaj majibu yake Sema uyo mama mwenyewe kitengo amemkera asee Great interview Mpaka nimenunua MB mara 2 iv

  • @hamzakwilaula4393
    @hamzakwilaula43936 жыл бұрын

    if you from +254 you get me when I say diamond speak ngeke datz like octopizo

  • @ghatimuhiri5493

    @ghatimuhiri5493

    6 жыл бұрын

    hamza kwilaula 😀😀😀ngeke ni nn dear

  • @najma3268
    @najma32686 жыл бұрын

    Kaz nzuri sana daimond pamoja na Lilom

  • @foxylo8418
    @foxylo84186 жыл бұрын

    stop commenting stupid stuff was he born with zari no relationship break up sometime for a reason so stop blaming Dee he had a good thing or life with zari you guys don't no those people and as we talk i have experience too you can't control a men on the media let him be do your work take care of the family he is a celeb...it's only him to control himself to do the right thing for the sake of the family guys let him move on with his life

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo36836 жыл бұрын

    Diamond is a Great inspiration

  • @veronicaroberth6960
    @veronicaroberth69606 жыл бұрын

    iko quality

  • @nicholauspeter903
    @nicholauspeter9036 жыл бұрын

    Uko sawa mond uko makin sana big up xana

  • @aujenjames4336
    @aujenjames43366 жыл бұрын

    thnkx Dmond

  • @nicoledamaris6347
    @nicoledamaris63476 жыл бұрын

    Diamond ,jinsi ninavyopenda mziki wako ndivyo ninavyopenda kukuona na Zari.She's the best woman for you.

  • @madamfatmamsindi2059
    @madamfatmamsindi20596 жыл бұрын

    Diamond , you are good and talented.I like you my son, please keep it up, and be careful before geting married.

  • @maurancechuwa5235
    @maurancechuwa52356 жыл бұрын

    Appreciate bro, coz unaongea fact mzee

  • @rotadeeinternational6539
    @rotadeeinternational65396 жыл бұрын

    Good job Lil Ommy

  • @mohammedsalim6398
    @mohammedsalim63986 жыл бұрын

    lil ommy uko vizuri kijana big up kwako na mgeni wako mond

  • @nasramsami3410
    @nasramsami34106 жыл бұрын

    amazing unajua kujieleza sanaa

  • @bobandrewonline254
    @bobandrewonline2546 жыл бұрын

    Ya kizazi sana the playlist

  • @veevivi890
    @veevivi8906 жыл бұрын

    i LOVE diamond i LOVE Lilommy 💗

  • @mauchamakhjr4493
    @mauchamakhjr44936 жыл бұрын

    Daaah!!! Mond umemfanya nipate nguvu za ku haso coz nilishakata tamaa kwa maneno ya watu!!! Tanx sana

  • @aliciaisoyi7
    @aliciaisoyi76 жыл бұрын

    Waziwaziwazi PLATINUM si si wakenya twwakupenda Sana bro we tu. Kuwait Paris kenyans in France twakungojea kwa maparty different like boat party and Africans clubs come on TANDALEBOY!!!

  • @emmynjeri2304
    @emmynjeri23046 жыл бұрын

    Hongera Simbaaaaaaa..

  • @mariamsaidi3084
    @mariamsaidi30846 жыл бұрын

    Diamond &wema much love

  • @zenamlanzi3370
    @zenamlanzi33706 жыл бұрын

    very good

  • @mariorobert1495
    @mariorobert14956 жыл бұрын

    Best Presenter In Town

  • @ombeniibawa4481
    @ombeniibawa44816 жыл бұрын

    kutoka mbuga ya tandale 💯💯💯💯💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 "r.I.p_blauz fm

  • @used2beused

    @used2beused

    6 жыл бұрын

    Ombeni Ibawa umenivunja mbavu sana duuuh blauzi

  • @aliciaisoyi7
    @aliciaisoyi76 жыл бұрын

    Changuo ni lako na ndoa ni yako kaka yangu MUNGU akunusuru na pia Baraka telele Chiba ndangote

  • @nzisakasau8234
    @nzisakasau82346 жыл бұрын

    nice interview big up presenter and diamond

  • @johnmasamaki7095
    @johnmasamaki70956 жыл бұрын

    nice mond

  • @mustafaahmad3585
    @mustafaahmad35856 жыл бұрын

    GREAT

  • @dotohussein5041
    @dotohussein50416 жыл бұрын

    dude anajitambua sana, na atazid kuwaalbia wasanii wasiotaka mabadlko, big up blaza

  • @higahassib6614
    @higahassib66146 жыл бұрын

    umeongea vizuri sana somo

  • @karimrashidi5020
    @karimrashidi50206 жыл бұрын

    unatisha Sana platnamz

  • @mostarsaddy9249
    @mostarsaddy92496 жыл бұрын

    Makini brother simbaaa

  • @leahharrison5155
    @leahharrison51556 жыл бұрын

    hapo sawaa DM umesema ukweli kabisaaa

  • @yusuphmlangali7295
    @yusuphmlangali72956 жыл бұрын

    nimependa ukweli wa diamond ni kweli mond so mtu wa ugomv hata fanc wake hua hataki wagombane na fanc wa team nyingine

  • @shekhekhandereizer559
    @shekhekhandereizer5596 жыл бұрын

    bongo akuna presenters Kama ommy anae bisha aweke wake tuone kam anaweza kufroo Kama omyy

  • @rashidchembax8383
    @rashidchembax83836 жыл бұрын

    Diamond unaakili sana

  • @jamilachila6496
    @jamilachila64966 жыл бұрын

    Hahaha! eti alikuwa anapenda kubaishiana😂😂😂😍😍😍😘

  • @paulgodwini2910
    @paulgodwini29106 жыл бұрын

    Hakika nime enjoy sana interview nzuri sana umenifurahisha kinoma chuki hazijengi mkuu I like that

  • @arafatjuma7171

    @arafatjuma7171

    6 жыл бұрын

    mambo

  • @kiluwasalum5002
    @kiluwasalum50026 жыл бұрын

    wewe jamaa upo vizuri sana kiakiri

  • @anjunurdin2763

    @anjunurdin2763

    6 жыл бұрын

    Kwakuimba ku hakupati msanii yoyote. salut.. kama sio wewe bongofleva isingefika hapo. boonge la nyimbo SIKOMI. ila tu umeimba nyimbo kama hukomi lkn. unaba tu lkn hujifunzi nilidhani unaimba umeshajifunza lkn unaimba nyimbo umemsema wema kisha huyo huyo umemrudia.mh

  • @anjunurdin2763

    @anjunurdin2763

    6 жыл бұрын

    Umeongea vizuri kwa hilo. wewe sio mtu wa kushindanishwa na msanii wa Tanzania yoyote. bora ulivyojitoa. waachie wajifuraishe..

  • @wigomwenyeflevazake7913

    @wigomwenyeflevazake7913

    6 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/dJeWrZWsYdfOp7Q.html

  • @faridabakari8511
    @faridabakari85116 жыл бұрын

    nic waallah mabrook broo D big up africa a bóy from tandale

  • @isihakanyirenda8474
    @isihakanyirenda84746 жыл бұрын

    Bwanamdogo yupo vzr Sana kiakili Na ndio sababu yuko juu kuliko hata wakongwe.na ana Busara Sana

  • @Manshyne
    @Manshyne6 жыл бұрын

    SIMBA + Lil omy = MOTOOOO

  • @robinflower1872
    @robinflower18722 жыл бұрын

    Nice

  • @zalloannan3521
    @zalloannan35216 жыл бұрын

    Nice interview bro

  • @seifibrahimu5776
    @seifibrahimu57766 жыл бұрын

    lilomy you're the best

Келесі