DIAMOND PLATNUMZ: ATANGAZA NDOA, MCHUMBA?
Ойын-сауық
(PART2) EXCLUSIVE INTERVIEW NA DIAMOND PLATNUMZ KWA MARA YA KWANZA TIMES FM BAADA YA KUTOKA TU KENYA, KAONGEA MENGI SANA KUHUSU BEEF NA MEDIA, ZARI, ALBUM YAKE, WEMA, ALIKIBA, KUFUNGIWA NYIMBO NK.
LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa mastaa unaowakubali.
Fatilia mahojiano ya moto na mastaa unaowakubali kujua kila kitu kuhusu Muziki na Maisha yao, #LilOmmy #THEMVP #KingOfInterviews anakukutanisha nao hapa hapa kwenye #LilOmmyTV
Let's Connect
/ lilommy
/ lilommy
/ lilommyfanpage
lilommy.com/
Hakikisha Subscribe, Gonga Like, Angusha Comment na Share kwenye WhatsApp Groups au Facebook na Twitter..... enjoy!
Пікірлер: 478
Hongera diamond platnumz kwa interview nzuri sana, umeonyesha kukerwa na baadhi ya maaumuzi na harakati(ftna,kubaniwa) za kukurudisha nyuma nakupongeza kwa kuweza kustahimili hayo yote nakusimama kwenye kile unachokiamini kwa kujitoa hata kua tayari kwenda jela kwa ajili ya bongo fleva. Maombi yangu kwako ukiwa miongoni mwa watu wenye nguvu ,uelewa na hamasa kubwa kwenye bongo fleva naona ni vyema sana ukaweka wazi hzo ftna na watu wanaozifanya pamoja na baadhi ya media kukukwamisha kwani ni wasanii wengi wanapitia kwenye hayo ambayo wewe umepitia na kwa bahati mbaya sana tasnia imekua ikipoteza wasanii wazuri. Kuna baadhi ya watu(wadau wa tasnia) na media wanaaminika/zinaaminika kwa kuwa tu tunajua yale mambo ambayo wanatuonyesha ila ni imani yangu kuwa endapo ukiliweka hilo wazi utakua umesaidia wasanii weng na tasnia kwa ujumla.
Mond upo vizuri kaka angu we fanya kazi mungu yupo pamoja na we ila zari ni wako tuu,
Fantastic........safi sana na hakuna obvious questions kama wanavyo uliza radio station nyingine....hii inamaanisha unafuatilia sana interview zote za mtu utakae mhoji.....nahii inaitwa kujiongeza.💯/💯✔
lil ommy ur the best presenter in town....together with simbaaaaaaa
Diamond nakuelewa sana lkn vile vile LilOmmy ww ni zaidi ya mtangazaji unajua sana hadi unakera,big up.
Huyu jamaa ni noma sana, kwenye kujibu maswali ni mtaalamu na ni mtu ambaye anajitahidi kusema ukweli
KWA jinsi alivyoongea blazza simba nahic mpaka waliokuwa wanajiita team kiba washakuwa mafans wake!! AMEN
Diamond alizaliwa kwaniaba ya wa Tanzania Mungu ibaliki Tanzanian na watuwote
Diamond you are very smart artist, Nakuomba muoe shemeji yetu Zariiiiiiii the bos lady, she qualify to be our shemejiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kuna watu wamezaliwa na akili za ziada,Diamond plutnumz
You left Zari now your sober congratulations mama langote now you have your son back
Wallah diamond nitakupenda zaidi ukifanya kazi na kiba. Simba&king please my brother
Bongo flavour imekuwa kubwa Kwasababu ya chibu (simba Lion) @diamondplatnumz wewe ni kichwa🔥🔥big up
Pendeza sanaaa hii interview💟💟💟💟💟💞💞💞💝💝💝💝💝💝💝💝💝 kizazi sanaani umeongea kiakili saana maswali na majibu vyote viko strong big up
Mm ukisemaa wanatoaa ttuzooo lili ommy ur the baddest presenter aseehhhh hakunaaaw kammaaaa ww kwa sasa hapaa tz aiseeehhhhhhhhh 🔥🔥🔥🔝🔝🔝👏👏🔝🔝🔝🌍🌍🌍
Platinuz umekomaa mzee,Big up sana.
Adi rahaha anavyoongea diamond eeee leo na comment sana😂😂😂😂🙆
Lilommy hii ilikuwa bonge moja interview ongera sn ommy maswali ya mana majib pia mazur sn
Lil Ommy uko vizuri,haubaatishi aisee
@yasingawaza3087
5 жыл бұрын
ludo kwamolawako achananamziki kunalana uko dogo
honestly nimekukubali mind now najuwa mm ni funs wa music
NASIB ABDUL hapo nimekuelewa sanaa na mimi ntakuwa naachia ngoma zangu ijumaa ili waruke nazo club!! by t.o.y ,,big shoutout to MVP
Hawakuezi Bro Baba Tiffah
Fanya urudie zari bana she's the best woman you desv to spnd the rest of your life with😢😢😢wengine achia majirani
That y nampenda baby simba .he is always social and focused .lots of love to you baby handsome ,from joy mondi kenya
Wow the guy (dai) ni mzuri katika responding
king #SIMBA DIAMOND THE GREATEST 💎🎤🌟🌎🇹🇿
the best interview ever ever
doh, lil Ommy kiwango chako ni sawa na wale wa BBC. mond pia yupo fit kujeilezea japo mi sio mshabiki wake ila FRESH big up.
Very Good to be open you're the best musician Wasafi Diamond Platinum
Nakupenda unajielewa japo kila binadam ana mapungufuyake so ww pekeyako 😍😍😍
nasibu muowe wema achana na malaya amisa kaka muputezee kumbuka maisha yako na wema
@lilommytv...tumwagie full shoo,sisi wengine hatuishi bongo maboy na hatupati nafasi ya kusikiliza live,,,,,,big up sana homeboy
time hawana bifu na msanii yeyote nawakubali sana @LIL OMY nakukubali mzazi
Kiukweli mi team kiba lakini hii interview nimecheka sana ni nzuri mpka unajikuta unacheka kwa sauti
Kumchukia huyu kijana na kumuwekea vikwazo NI kujitesa mwenyewe.....huyu mtoto NI Kama kaa la Moto hakamatiki yaani #hawezekani 🙌🙌🙌🙌
Musicians bring a lot of revenues in Tanzania, and that includes salaries for the so called politicians, hero kwa Diamond.
I love this.. Nice guys.. Nice questions nice answers
Lil ommy ur the best presntr😍😍😍big up
❤️❤️❤️❤️tele kwa Diamond,kaka mtangazaji uko vizuri sana
This man got brains....from +254 ..I love u
Dah mambo ni motoooo
I think this is the best interview i have watched in a couple of years,diamond got brains for a whole clan......hahahahaha,i love how he admits mistakes and doesn't give a hoot.WCB forever.
Diamond do your thing, supporting you always. 🔥🔥🔥
Du,Mondi yuko vizuri sana,big up,amazing interview
interview nzuriiii haichoshi unatamani kuisikiliza tyuuuuuu. nmeenjoy ....
I'm respect you my brother platinum's your took big points in interview
Nampendaga huyu kaka omy jamoon anajua kuulizaga maswali hadi raha... Kudos brooo
Your the best bro genius world records is onto you coz you never fail interviews congrats bro
king of Africa Diamondplatnumz🔥🔥🔥🔥🔥
PREACH DIAMOND..........Preach......Lil Ommy ....your show Kills
Mashaallah diamound uwo ndo uwanaume 👏👏
interview hii ni fire,,,,big up modi umeongea ukwel kwa ufupi umewaongelea wasanii wote wanyonge
Interview nzuri kuliko zote zilizowahi kutokea Tanzania.
Liomi we ni shiiiiida. Brother diamond uko fire MUNGU Awalinde bana. Gonga like twende Pamoja. Napia gusa picha YANGU kwa gospel makini ndugu zangu. Napia usisahau Ku subscriber kushea na kutia comment yako chini
The best interview ever
Wewe ndiyo ulitakiwa uwe naibu wazir wa sanaa na michezo hawa mawazir wangekuwa wanawateuwa manaibu mawazir wenye uzowefu wa kazi za wizala husika
Interview imekua tamu kwasababu kwa sasa mond anamaswali meng yanayohitaj majibu yake Sema uyo mama mwenyewe kitengo amemkera asee Great interview Mpaka nimenunua MB mara 2 iv
if you from +254 you get me when I say diamond speak ngeke datz like octopizo
@ghatimuhiri5493
6 жыл бұрын
hamza kwilaula 😀😀😀ngeke ni nn dear
Kaz nzuri sana daimond pamoja na Lilom
stop commenting stupid stuff was he born with zari no relationship break up sometime for a reason so stop blaming Dee he had a good thing or life with zari you guys don't no those people and as we talk i have experience too you can't control a men on the media let him be do your work take care of the family he is a celeb...it's only him to control himself to do the right thing for the sake of the family guys let him move on with his life
Diamond is a Great inspiration
iko quality
Uko sawa mond uko makin sana big up xana
thnkx Dmond
Diamond ,jinsi ninavyopenda mziki wako ndivyo ninavyopenda kukuona na Zari.She's the best woman for you.
Diamond , you are good and talented.I like you my son, please keep it up, and be careful before geting married.
Appreciate bro, coz unaongea fact mzee
Good job Lil Ommy
lil ommy uko vizuri kijana big up kwako na mgeni wako mond
amazing unajua kujieleza sanaa
Ya kizazi sana the playlist
i LOVE diamond i LOVE Lilommy 💗
Daaah!!! Mond umemfanya nipate nguvu za ku haso coz nilishakata tamaa kwa maneno ya watu!!! Tanx sana
Waziwaziwazi PLATINUM si si wakenya twwakupenda Sana bro we tu. Kuwait Paris kenyans in France twakungojea kwa maparty different like boat party and Africans clubs come on TANDALEBOY!!!
Hongera Simbaaaaaaa..
Diamond &wema much love
very good
Best Presenter In Town
kutoka mbuga ya tandale 💯💯💯💯💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 "r.I.p_blauz fm
@used2beused
6 жыл бұрын
Ombeni Ibawa umenivunja mbavu sana duuuh blauzi
Changuo ni lako na ndoa ni yako kaka yangu MUNGU akunusuru na pia Baraka telele Chiba ndangote
nice interview big up presenter and diamond
nice mond
GREAT
dude anajitambua sana, na atazid kuwaalbia wasanii wasiotaka mabadlko, big up blaza
umeongea vizuri sana somo
unatisha Sana platnamz
Makini brother simbaaa
hapo sawaa DM umesema ukweli kabisaaa
nimependa ukweli wa diamond ni kweli mond so mtu wa ugomv hata fanc wake hua hataki wagombane na fanc wa team nyingine
bongo akuna presenters Kama ommy anae bisha aweke wake tuone kam anaweza kufroo Kama omyy
Diamond unaakili sana
Hahaha! eti alikuwa anapenda kubaishiana😂😂😂😍😍😍😘
Hakika nime enjoy sana interview nzuri sana umenifurahisha kinoma chuki hazijengi mkuu I like that
@arafatjuma7171
6 жыл бұрын
mambo
wewe jamaa upo vizuri sana kiakiri
@anjunurdin2763
6 жыл бұрын
Kwakuimba ku hakupati msanii yoyote. salut.. kama sio wewe bongofleva isingefika hapo. boonge la nyimbo SIKOMI. ila tu umeimba nyimbo kama hukomi lkn. unaba tu lkn hujifunzi nilidhani unaimba umeshajifunza lkn unaimba nyimbo umemsema wema kisha huyo huyo umemrudia.mh
@anjunurdin2763
6 жыл бұрын
Umeongea vizuri kwa hilo. wewe sio mtu wa kushindanishwa na msanii wa Tanzania yoyote. bora ulivyojitoa. waachie wajifuraishe..
@wigomwenyeflevazake7913
6 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/dJeWrZWsYdfOp7Q.html
nic waallah mabrook broo D big up africa a bóy from tandale
Bwanamdogo yupo vzr Sana kiakili Na ndio sababu yuko juu kuliko hata wakongwe.na ana Busara Sana
SIMBA + Lil omy = MOTOOOO
Nice
Nice interview bro
lilomy you're the best