Mwana FA - HAKUNA WIMBO UNAOWEZA KUFUNGIWA / NAWEZA KUWABANA

Ойын-сауық

Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy

Пікірлер: 72

  • @kasimuyahaya4010
    @kasimuyahaya40105 жыл бұрын

    Kama baada ya interview hii Umeenda kuitazama video Ya wewe endelea tu gonga like kwa mwana FA

  • @CSWafrica
    @CSWafrica5 жыл бұрын

    wa kwanza, kama unamkubali FALSAFA bonyeza kitufe cha like

  • @Yegon254
    @Yegon2545 жыл бұрын

    kuna wasanii ambao wakikaa kwenye interview ninawalaelewa sana, Mwana FA, Professor Jay, Jay moe na AY ninawakubali sana. Lilommy unaweza sana bro

  • @dejavevents
    @dejavevents4 ай бұрын

    Mwana Fa napenda interviews zako.. LilOmmy ahsante sana King of Interviews

  • @mrmoh4234
    @mrmoh42345 жыл бұрын

    Watu makini wakikaa vitu makini huongeleka 💓🤝

  • @benmkare1095
    @benmkare10955 жыл бұрын

    This one is fabulous. FA n Lilomy having the best interview. FA is a real lyrics master

  • @djmorefire5154
    @djmorefire51545 жыл бұрын

    hii interview sitaman iishe presenter mnyamaa guest mnyamaa falsafaaaa likewise dope interview

  • @bashirusalehenandoro3128
    @bashirusalehenandoro31285 жыл бұрын

    Yes ile sound isee nilkuwa najiulza how abibad make it sawa namkubal na ni mkalii ila ile imeenda extra kidgo big up kwa big P majan touch zake ni majan tu ndio anazo

  • @anelkaking9342
    @anelkaking93425 жыл бұрын

    Much love lilommy interview mzuri natamani isiishe yani,big up hamisi a.k.a FA.love from zanzibar.

  • @kasimuyahaya4010
    @kasimuyahaya40105 жыл бұрын

    Lil ommy upo vizuri kwenye interview pia napenda unavyofatilia mziki na mistari eti dakika ya pili sekunde ya nane

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca5 жыл бұрын

    Big up sana #MwanaFA and #TheKingOfTheBestInterview crew🙌🙌🙌 #KIBOKOYANGU FT #ALIKING ONE OF THE BEST SONG🙌🙌🙌

  • @mytelecom2019

    @mytelecom2019

    5 жыл бұрын

    unapita mule mule mwangu ramsey, kiboko yangu all time ni nyimbo yangu bora

  • @awadhtevez2918
    @awadhtevez29185 жыл бұрын

    Kichwa kimeja madini nakukubal Mwana FA among of very very powerful MC in Tz this guy is genius man whether you like or not

  • @djmorefire5154
    @djmorefire51545 жыл бұрын

    brooh your are really king ov interview keep it up broh falsafaa mtu mbaaaaaad sana madini Kama yoteee

  • @oneboyjahman1440
    @oneboyjahman14404 жыл бұрын

    The chemistry between Ommy n Binamu is dopest...Mwana hafungii na kuepuka.. #Legacy!

  • @ahmedsubar900
    @ahmedsubar9005 жыл бұрын

    Fa wewe ni mtu wa pekee sana kwenye jamii hufanyi burudani tu bali unanyoosha na kurekebisha pia jamii

  • @binamubinamu1151
    @binamubinamu11513 жыл бұрын

    Lilommy nakukubali pia mwambie FA SALUTY KWAKE ANANIFUNDISHA SANAA KWENYE KISWAHILI HATARY

  • @newloudbitz2555
    @newloudbitz25555 жыл бұрын

    Hata usingezungumza bro mm ningeingia kichwan mwako kwa maelezo ya tshet yko hyo mesej hapo daah we sio king wewe ni teacher like a krs one

  • @ashurabairu25
    @ashurabairu255 жыл бұрын

    Mwana fa ni shabiki sana wa Nas Jayz na fabulous

  • @agustinokubagha8405
    @agustinokubagha84055 жыл бұрын

    Nakubali sana mweshmiwa mwana fa kama vile hajasoma kaongea kiswahili chenyewe sasa wameishia njiani sasa ni😴😴😴😴

  • @pastorycelvin2447
    @pastorycelvin24475 жыл бұрын

    Mzee wa kushuka nazo #Fa ft mzee wa kuchimba #LiliOmmy noma Sana'a

  • @hamimumankanga5302
    @hamimumankanga53025 жыл бұрын

    fa, fa, fa... mr old

  • @rehemahussein748
    @rehemahussein7485 жыл бұрын

    Namkubali sana #mwanaFa kwenye freestyle anamaliza 💥

  • @stevewanga957
    @stevewanga9575 жыл бұрын

    Half man half amazing.... Yaan FA amekomaa sana.. Show ya kibabe 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦

  • @beentertained4173
    @beentertained41735 жыл бұрын

    Nice interview#kizazi sana

  • @honeyjerrylugose3312
    @honeyjerrylugose33125 жыл бұрын

    Half man half amazing na mwna falsafa🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ramsomedia3550
    @ramsomedia35505 жыл бұрын

    Dah Lily wewe n tatizo mjombaaa U can.....

  • @burundidiana7906
    @burundidiana79065 жыл бұрын

    Ata mi napnd Kiboko yao kbs

  • @benjaminmwampamba3748
    @benjaminmwampamba37485 жыл бұрын

    Nakubal

  • @alinassor6139
    @alinassor61395 жыл бұрын

    F/A I like you brother

  • @shaniayubu2669
    @shaniayubu26695 жыл бұрын

    #lilommy kills me when he says mi ni KingofInterviews 😉 yes you are

  • @husseinmucky829
    @husseinmucky8295 жыл бұрын

    Msanii wang bora wa mda wote,big boY

  • @raphaeljerry6356
    @raphaeljerry63565 жыл бұрын

    Kisasi kisikufanye kuwa ndo kazi yamoto sana iyoo

  • @adilinanduguze2464
    @adilinanduguze24645 жыл бұрын

    Nakuelewa sana F A

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah70835 жыл бұрын

    Kizaz sana

  • @sebariberio9621
    @sebariberio96212 жыл бұрын

    unyama

  • @Yegon254
    @Yegon2545 жыл бұрын

    Oyaa Lilommy sijui kama unasoma hii na watu wangu wa 254 naamini mtaniunga mkono kwa hii, watangazaji wa kenya hawana akili wengi wao, interviews ni za kishenzi utapata wengi wanazungumzia ngono tu.

  • @vicentmatius9361
    @vicentmatius93615 жыл бұрын

    hata kusikiliza 2 ni burudani yani unasuuzika na unaongeza siku za kuishi pia unajifunza vitu ningi mno bgb fa kaza zaid yahapo

  • @smartmussadozen3535
    @smartmussadozen35355 жыл бұрын

    Fa

  • @jeshiwataaramo9982
    @jeshiwataaramo99825 жыл бұрын

    Nilisubir sana

  • @jeshiwataaramo9982

    @jeshiwataaramo9982

    5 жыл бұрын

    Nini

  • @yohanapetro4937
    @yohanapetro49374 жыл бұрын

    FA nakuelewasana tena ukiwa kwenye kipindi bola cha lili om baada ya miladi Ayo ninyinyi apo maswali Yaakili

  • @bongo3609
    @bongo36095 жыл бұрын

    Kweli kabisa maana hi t-shirt umerudia ulishaivaa kweny interview ya XXL clouds fm hau deal na vitu vidogo bro

  • @johnmwangi2435
    @johnmwangi24355 жыл бұрын

    Nice interview

  • @hilalmtangi5241
    @hilalmtangi52415 жыл бұрын

    Nimeisubiria hatimaye hii hapa part 2

  • @stevebruno984
    @stevebruno9845 жыл бұрын

    Shilole kasha maliza ckuhz watu mnmtabaka wasanii wnogopa kwenda wasafi media kufanya intvw wataacha kusaportiwa 'na chapaaaaaa clouds

  • @vicentmatius9361
    @vicentmatius93615 жыл бұрын

    yes fa hebu fanya utakavyo weza ifike moshi hio fyn

  • @radjabushabani28
    @radjabushabani285 жыл бұрын

    nakukubal saaaaaana FA

  • @khizzer_jr
    @khizzer_jr5 жыл бұрын

    @linex kasema ivo ivo lazima watu wabaki kwa password zao ,mambo yatakuwa fresh #still OG

  • @jaluumtanke8252
    @jaluumtanke82524 жыл бұрын

    Common men ,nadeal na vitu vikubwa .

  • @mariamkaaya8639
    @mariamkaaya86395 жыл бұрын

    🔥

  • @mtedewede22

    @mtedewede22

    5 жыл бұрын

    Akil nying

  • @khadijajuma3039
    @khadijajuma30395 жыл бұрын

    Jamani jamani ww m2 mm sijawai kuku chokagaaaaa

  • @benadam6411
    @benadam64115 жыл бұрын

    Yalaiti ndo mpango mzima

  • @vawamusic9495
    @vawamusic94955 жыл бұрын

    uyujamaa kiboko

  • @malickkasuga4805
    @malickkasuga48055 жыл бұрын

    Hata mim8 mnoko mnoko kwelii siwezi kuruhusu bint aolewe na hao jamaaa

  • @josecharz7960
    @josecharz79605 жыл бұрын

    Kichwa madini

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia17155 жыл бұрын

    B!

  • @emmanuelmwambogha1088
    @emmanuelmwambogha10885 жыл бұрын

    Mbona hutoi wimbo na Ay tena

  • @emmanuelmwambogha1088

    @emmanuelmwambogha1088

    5 жыл бұрын

    It's like Jay Z is your mentor.

  • @harrisnyingi6725

    @harrisnyingi6725

    5 жыл бұрын

    Upo hapo yupo na Ay

  • @shickkitabunda3959
    @shickkitabunda39595 жыл бұрын

    huyo msanii anayemsemea FA mwenye punchlines halafu wimbo hauna content ni Stamina

  • @gastorrogath3257

    @gastorrogath3257

    5 жыл бұрын

    😁😁

  • @rick_bey

    @rick_bey

    5 жыл бұрын

    Ni fid q

  • @charlesjonas4412

    @charlesjonas4412

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂 kweli bro

  • @joesimba
    @joesimba5 жыл бұрын

    0:09 lol

  • @akilimingimedia
    @akilimingimedia5 жыл бұрын

    FA ni Msanii ambae sijawahi kumsahau tangu Ingekua vipi?

  • @momuhija1832
    @momuhija18325 жыл бұрын

    Ww “yalaiti” ni nyoko na nusu

  • @pinotv1004
    @pinotv10045 жыл бұрын

    Wapili kuangalia cham la wana gong like

Келесі