MwanaFA Feat G Nako - Mfalme (Official Video)

Музыка

#MwanaFA #Mfalme #GNako #SlideDigital
(c) Slide Digital
SMS [Skiza 8091961] to 811
MWANA FA SONGS ARE AVAILABLE WORLDWIDE ON ALL DIGITAL PLATFORMS
ffm.bio/ao7drgr
Follow Mwana FA on;
/ mwanafa
search/top/?...
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 586

  • @kelvinfridaymwakalobo8066
    @kelvinfridaymwakalobo80665 ай бұрын

    Onyesha upendo wako kwa like kama unasikiliza hili goma 2024

  • @manasesana1420
    @manasesana14204 жыл бұрын

    Kama mungu ni mfalme maishani mwako usiache kugonga like!!

  • @claudiusmaximus319

    @claudiusmaximus319

    3 жыл бұрын

    kuma la mamako...

  • @bekabeka-ww2mn

    @bekabeka-ww2mn

    11 ай бұрын

    ci kama mungu ndo mfalime wa kila ki2

  • @elinaziighoty5869

    @elinaziighoty5869

    6 ай бұрын

    Always God is King of the kings

  • @user-pp7my3mg2m

    @user-pp7my3mg2m

    3 ай бұрын

    ​@@claudiusmaximus319Acha bangi

  • @ElibarikiPaskali
    @ElibarikiPaskaliАй бұрын

    Ngoma kali sana mpaka leo narudiaga kama bado unasikili like hapa

  • @chimiztv4140

    @chimiztv4140

    2 күн бұрын

    Tuko pamoja

  • @amanipaulo5655
    @amanipaulo56555 жыл бұрын

    2019 nani anaendelea katazama hii video...gonga like twend sawa

  • @clausemanuel9891

    @clausemanuel9891

    5 жыл бұрын

    Mie

  • @ismailathuman9481

    @ismailathuman9481

    5 жыл бұрын

    Conguration

  • @merryn4891

    @merryn4891

    5 жыл бұрын

    Mii pia

  • @mwahijasalim4155

    @mwahijasalim4155

    5 жыл бұрын

    Me

  • @msjammie9260

    @msjammie9260

    5 жыл бұрын

    ☺ me

  • @__B.O.B
    @__B.O.B Жыл бұрын

    Waliokuja hapa baada ya kuwa Naibu Waziri like hapa. Jamaa alijitabiria kuwa ipo siku utaniheshimu au utaheshimu fedha zangu. Sasa hivi imekua kweli. Power Of Positive Affirmations.

  • @JohnUegene-bs5bv

    @JohnUegene-bs5bv

    2 ай бұрын

    Kamkili Mungu na kajinyenyekeza kwa Mungu ndio maana kampa muujiza wa unaibu waziri kwa kifup kamwinua sana Mungu katika hii nyimbo

  • @ObaMizo-oc1wq

    @ObaMizo-oc1wq

    Ай бұрын

    Kama alikuwa anajua mungu kamfungulia milango kweli

  • @bankintoleahmady9321

    @bankintoleahmady9321

    15 күн бұрын

    G Nako ni Mbadi sana

  • @pastoryconrad3075
    @pastoryconrad30756 жыл бұрын

    Hii nyimbo sijui kwanini watu wengi hawajaielewa , this song means alot to me

  • @jumaally1193

    @jumaally1193

    3 жыл бұрын

    Bomba la pini

  • @samwelyzakayo

    @samwelyzakayo

    Жыл бұрын

    Yeah ni kweli 💯

  • @user-xe5ek7oz1t

    @user-xe5ek7oz1t

    Жыл бұрын

    Wengi tumeielewa

  • @JohnEugeni-f8m
    @JohnEugeni-f8m2 күн бұрын

    Kamtukuza Mungu Leo Mungu kamfanya Waziri Kweli Mungu ukimtukuza anajibu

  • @lifathlihawajr8668
    @lifathlihawajr86685 жыл бұрын

    Sinung'uniki Sina viatu kuna wenzangu awana miguu💪2019 gonga like tupewe maalifa

  • @lucasmdudaevarst7633
    @lucasmdudaevarst76334 жыл бұрын

    2020 nani anaendelea kutazama hii video gonga like ili twende sawa

  • @josegwaha3116

    @josegwaha3116

    3 жыл бұрын

    HIL DUDE NI HATARIIII

  • @ItsKaven
    @ItsKaven Жыл бұрын

    “Na ipo siku utaniheshimu ama utaheshimu hela zangu” - BIGGEST BRAG. He is HIM🙌🏽🔥

  • @zeoneshiru3319
    @zeoneshiru33197 жыл бұрын

    unavingi vya kumuomba mungu kabla hujamwomba utajiri

  • @abuumo9637

    @abuumo9637

    3 жыл бұрын

    umeona eeeh

  • @fidiq8406
    @fidiq84064 жыл бұрын

    Bosi wa dunia yangu kanipa nguvu na ubongo, mwenye maamuzi yake angependa angeniumba fungo🙌😍more than talent

  • @BlaqJohweusi
    @BlaqJohweusi11 ай бұрын

    Kama Bdoo unapiga hii ngoma 2023 reply my comment please

  • @janeymhando
    @janeymhando Жыл бұрын

    Huu wimbo ulitoka nikiwa na kipindi kigumu kwel..lkn Mungu alinivusha salama na kwa ushindi.🙏💯 I believe hata ktk kipindi kigumu hiki atanitoa salama kwa ushindi..🙏🙏 Thank you Hon. Minister 💯🔥

  • @mwaitajuma4140
    @mwaitajuma4140 Жыл бұрын

    Hii ngoma nilianza kuiskiliza tangu mwaka 2014 Nipo geto mpaka sasa namiliki nyumba.. Shukran mungu

  • @faridaltamimi7454

    @faridaltamimi7454

    11 ай бұрын

    In shaa Allah namimi ntajenga

  • @mmariwammari692
    @mmariwammari6924 жыл бұрын

    Alafu kuna ngurumo anaongea kuwa g warawara anaharibu kwenye kolabo Kilaza wewe tupishe kidogo G warawara g nako salute sana baba la baba

  • @mwaitajuma4140
    @mwaitajuma4140 Жыл бұрын

    Kila nikiweka bando lazima niisikilize hii ngoma.. Mwana FA hongera sana

  • @JulayKayuni

    @JulayKayuni

    2 ай бұрын

    3:01 😢

  • @bennycardozo1890
    @bennycardozo18907 жыл бұрын

    hii nyimbo ilitakiwa iwe na views hata 5mill yaani..

  • @shabanilwamba8833

    @shabanilwamba8833

    6 жыл бұрын

    benny cardozo Exactly

  • @christianmtalima5542

    @christianmtalima5542

    6 жыл бұрын

    gud

  • @gasanajacques2247

    @gasanajacques2247

    5 жыл бұрын

    benny cardozo ndo maana nakubaliyakwamba Diamond ananunuwa kweli

  • @nicolasnyengo3825

    @nicolasnyengo3825

    5 жыл бұрын

    Watu wanasubir nyimbo za matusi ndo waangalie kwa wingi.

  • @juliaphillip7207

    @juliaphillip7207

    4 жыл бұрын

    Sure kabisa

  • @paulpama7705
    @paulpama77053 жыл бұрын

    Sinung'uniki Sina viatu wenzangu hawana miguu, FALSAFA 🔥🔥🔥🔥🔥💯🙌

  • @1newstz
    @1newstz9 жыл бұрын

    NENO "Unapata ulichoandikiwa,mungu hakupi kama hataki,hata ukipola itapotea ili mladi yatimie maandishi" BIG UP Mwana FA

  • @ezirapetro8733

    @ezirapetro8733

    4 жыл бұрын

    1 news tz Kali kinyama

  • @80SarahSeraph

    @80SarahSeraph

    4 жыл бұрын

    100%

  • @MnyabiGang
    @MnyabiGang10 ай бұрын

    Sanaaaaaa🎉🎉🎉🎉 HIII NGOMA kubwa

  • @joycemfoy3220
    @joycemfoy3220 Жыл бұрын

    Hii nyimbo ilibadilisha maisha yangu kabisa

  • @jovinuskalunde4326
    @jovinuskalunde43269 жыл бұрын

    Sinung'uniki sina viatu wenzangu hawana miguu! Ni mgogoro hili track meen!!!!

  • @matthewstanslaus9649
    @matthewstanslaus96494 жыл бұрын

    June 25, 2020 nasikiliza hii nyimbo lakini naiona mpya...kaka ujumbe mzito..Mungu akupe busara zaidi Binamu @MwanaF.A Gonga like twende sawa na MFALME

  • @dinajonas5566
    @dinajonas55665 жыл бұрын

    Sinung'uniki sina viatu wenzangu hawana miguu hawalalamiki wanamshukuru alie juu🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @msafiblog
    @msafiblog Жыл бұрын

    NEVER GIVE UP GUYS 2023 HUYO JAMAA NI NAIBU WAZIRI WA TZ

  • @namudduhanifa5835

    @namudduhanifa5835

    Жыл бұрын

    Wow Mungu ni mkubwa

  • @stiffmenake4700
    @stiffmenake4700 Жыл бұрын

    I'm here for those who will still be listening this masterpiece in 2030.. even if KZread will no longer be used or whatever but you're real Legends 💪

  • @vianeyminja9430
    @vianeyminja94308 жыл бұрын

    mwl shirima wa tanga tech anakupa hi.. anatupa stor zako kuwa ulikuwa mkali sana class., king of bongo hip hop

  • @zinjankhan3819

    @zinjankhan3819

    5 жыл бұрын

    Huyu maalimu alinifundisha miaka ya 1998 shule ya msingi mkwakwani mpe hi sana .

  • @joycekawata2697
    @joycekawata2697 Жыл бұрын

    "Kuna vingi vya kumuomba Mungu kabla hujamuomba utajiri"📌📌

  • @newmanh
    @newmanh5 жыл бұрын

    LYRICS Mwana FA ft G Nako - Mfalme lyrics [Mwana FA] Look around brother Choir Master! Ghetto Gospel (Yes!) Keeping the good music alive! [G Nako] Kanipa maarifa loloo (nampa sifa) Yakanipa nyadhifa loloo (nampa sifa) Kaziba nyufa loloo (nampa sifa) Olooh! (Mfalmee!) Kanipa maarifa yakanipa nyadhifa Ikajipa sifa, kaziba nyufa Namwiita ye Mfalmeee Mfaaalmeee [Mwana FA] Holla at ya boy! Sinung'uniki sina viatu wenzangu hawana miguu Hawalalamiki wanamshukuru Aliyejuu Siwezi nikamletea makuu maombi ya kibraza du Mbwembwe za kuomba magari nawaachia son I'm cool Kama kipande cha kwanza cha mbao kwenye safina Mimi ni kitu cha Mungu nafanya alichonituma Kanipa ubongo na misuli na roho ya kitajili Sina kitu ila sina roho mbaya tunaishi vizuri Fukara nayeshukuru au tajiri nisiyekufuru Najua bata najua hustle mi ni njiwa na kunguru Kuna vingi vya kumuomba Mungu kabla hujamuomba utajiri Naishi kwa mapenzi yake hakuna kitu naona hatari Unapata ulichoandikiwa Mungu hakupi kama hataki Hata ukipora itapotea ili mradi yatimie maandishi Mi ndo vito wa kolioni vitu vinaisha my way Nife nikiwa muumini na everything gon' be I man [G Nako] Kanipa maarifa loloo (nampa sifa) Yakanipa nyadhifa loloo (nampa sifa) Kaziba nyufa loloo (nampa sifa) Olooh! (Mfalmee!) Kanipa maarifa yakanipa nyadhifa Ikajipa sifa, kaziba nyufa Namwiita ye Mfalmeee Mfalmeee Kanipa maarifa yakanipa nyadhifa Ikajipa sifa, kaziba nyufa Namwiita ye Mfalmeee Mfalmeee [Mwana FA] Najua anamipango, anafungua milango Ndo anatoa michongo, namwita Mfalme Wa Jungle Boss wa dunia yangu kanipa nguvu na ubongo Mwenye maamuzi ya mwisho angetaka angeniumba fungo Mafala wana midomo ka vicheche usiwe kati yao Wanaosema wenzao rudi angalia maisha yao Wengine hawana hata kalaki wanaita wenzao maskini Haki nawaombea mabaya kama wanavyoniombea mimi Ni hata mtoa wa roho ni malaika, na nahisi ataenda peponi Achia kuhukumu sio kazi yako, we ni mwenzangu na mimi Na una dhambi kama mimi, na hatujui kubwa za nani Labda zako labda zangu, sio kazi yetu ni ya Maanani Usiniwaze sana mi nawaza maisha yangu Sina hata mia ya urithi vyote hivi ni vya kwangu Nshaenda shule bila viatu, nshatoa funza kama buku Na ipo siku utaniheshimu ama utaheshimu hela zangu [G Nako] Kanipa maarifa loloo (nampa sifa) Yakanipa nyadhifa loloo (nampa sifa) Kaziba nyufa loloo (nampa sifa) Olooh! (Mfalmee!) Kanipa maarifa yakanipa nyadhifa Ikajipa sifa, kaziba nyufa Namwiita ye Mfalmeee Mfalmeee Kanipa maarifa yakanipa nyadhifa Ikajipa sifa, kaziba nyufa Namwiita ye Mfalmeee Mfalmeee Kanipa maarifa loloo (nampa sifa) Yakanipa nyadhifa loloo (nampa sifa) Kaziba nyufa loloo (nampa sifa) Olooh! (Mfalmee!)

  • @virusmastermbashy931

    @virusmastermbashy931

    5 жыл бұрын

    Ujumbe ni mzuri na umejitosheleza sanaaa Ujumbe huu utaendelea kuishi daima na utabaki kuwa kumbukumbu kwa vizazi vijavyo waone jinsi wasanifu wa lugha kama Mwana FA walivyotumia lugha kuelezea ukubwa wa MUNGU

  • @mrishojumaamrisho3212

    @mrishojumaamrisho3212

    5 жыл бұрын

    I love it

  • @robertgerson2053

    @robertgerson2053

    2 жыл бұрын

    Iomk

  • @hamisbakari2730

    @hamisbakari2730

    Жыл бұрын

    Mwana fa king pop bongo

  • @mrishojumaamrisho3212

    @mrishojumaamrisho3212

    Жыл бұрын

    Waooooh

  • @arymixologyservice9899
    @arymixologyservice98995 жыл бұрын

    Ngoma inayo ishi na itakayoishi keep going brother

  • @joanesmawawa2295
    @joanesmawawa2295 Жыл бұрын

    Show Kali sana kiongoz mkuu Mimi xibiki yako kutuka mozabique Nina kukubali sana Kaká wafaida

  • @suraiyaludana9245
    @suraiyaludana92454 жыл бұрын

    January 1st 2020 anyone?

  • @saidamsami508
    @saidamsami508 Жыл бұрын

    hii nyimbo inaishi never goes out of style

  • @mohammedathman5816
    @mohammedathman58162 жыл бұрын

    Nyimbo hi number is the best of the best big up m,bunge f.a

  • @jemajunior8218
    @jemajunior82182 жыл бұрын

    Kuna vingi vya kumwomba Mungu kabla hujamwomba utajiri

  • @jumamaganga5064
    @jumamaganga5064 Жыл бұрын

    Ipo siku utaniheshimu ama utaheshim hela zangu …. Yametimia yote kwa pamoja 2023 n mteule wa Rais~tunakuheshimu 😢😢 Na unahela pia tunaheshim hela zako😊😊😊

  • @hosammwinchea4391

    @hosammwinchea4391

    Жыл бұрын

    That's the power of positive affirmation, usiache kujiombea mazuri, God is Good 🙏

  • @melinafedrick
    @melinafedrick Жыл бұрын

    Ndani yamaono yako leo wanaeshim ela wanakueshim na wanaeshim ela zako

  • @jontezmuzik
    @jontezmuzik4 жыл бұрын

    Sinunguniki sina viatu , wenzangu hawana miguu, ila wanamshukuru aliye juu💯💯💯💯2019

  • @edkawiche3171
    @edkawiche31714 ай бұрын

    Namwita yeye MFALME 🎶

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 Жыл бұрын

    Npo 2023 naishi na hiii ngoma kali aiseee nyie mlikuwa mnajua sana sema nn saiv zimekuwa nyimbo za biashara sio tena Uharisia lkn poa burudani iendelea

  • @selemaniadamu5334
    @selemaniadamu53343 жыл бұрын

    Hivi kwann nyimbo hizi hawapewi tuzo,,,inasikitisha sana wasanii wengi wanaimba matusi eti wanapewa tuzo,,ila utapewa tuzo na mungu

  • @davidemmanuel6742
    @davidemmanuel67423 жыл бұрын

    Nyimbo ya BORA till date! Mungu ana nguvu sana

  • @faizanimo8905
    @faizanimo89053 жыл бұрын

    Namuita mfalme hufungua milango 🙏🙏🙏🙏💯God is the king 👑 forever he has pure love 💕 @mwanafa love from hongkong .

  • @benjamenlutu4155
    @benjamenlutu4155 Жыл бұрын

    Mwenyezi mungu ndiye mfalmee wa dunia nzimaa🤝

  • @hemedharuna9167
    @hemedharuna91673 жыл бұрын

    Kama umeludi tena kusikia wimbo huu 2021 ,weka like yako hapo

  • @abdillahmkaikuta3033
    @abdillahmkaikuta303311 ай бұрын

    Salute sana , Mheshimiwa mistari ya humu sijawahi ikinai

  • @tumpiliksye
    @tumpiliksye9 жыл бұрын

    Hili pin ni national anthem, nimeisubiri sana hii video ! umeutendea haki....

  • @salehally6797
    @salehally6797 Жыл бұрын

    Big up sanaa naibu waziri

  • @wavidunda478
    @wavidunda4789 жыл бұрын

    Hii video iko powa na inaonesha jinsi gani dhana iliyomo kwenye wimbo inavyoelekeana na video yenyewe.

  • @maulidimtande3257

    @maulidimtande3257

    5 жыл бұрын

    Sahh kbisah

  • @colmanmbuya2692
    @colmanmbuya26922 жыл бұрын

    Hii ngoma inaishi

  • @abubakarihamissi4178
    @abubakarihamissi4178 Жыл бұрын

    hii ngoma fa alikuwa na hasira mno

  • @goodkimweli7182
    @goodkimweli7182 Жыл бұрын

    Hii ngoma inanikumbusha mbali sana mwana f jiniaz

  • @klemohdavid513
    @klemohdavid513 Жыл бұрын

    Anatoa michongo namwita mfalme wa juggle,

  • @losekitashu5528
    @losekitashu55282 жыл бұрын

    Nimeipenda iii ata ukiiba itapotea ili mradi itie mandishii

  • @dickensakelo7088
    @dickensakelo7088 Жыл бұрын

    Nyimbo pendwa nitarudi hata kila siku kama naweza kuisikiliza hii nyimbo Nov 2022 AKELO JA JA.

  • @daniellaizer6233
    @daniellaizer62332 жыл бұрын

    Nimeipenda sana yan

  • @andrewraphael3098
    @andrewraphael3098 Жыл бұрын

    Mungu ni wetu sote 🙏

  • @Omushonga
    @Omushonga9 жыл бұрын

    Directors wa bongo wanajitahidi sana.Good video,nice view n beautiful song

  • @hamzaobadia590
    @hamzaobadia590 Жыл бұрын

    Usiniwaze sana Mi nawaza maisha yangu

  • @Ibrah2music
    @Ibrah2music3 ай бұрын

    Dude kubwa milele

  • @fasterwalker1464
    @fasterwalker14644 жыл бұрын

    Nahreal best producer I never seen

  • @The_brilliant89
    @The_brilliant89 Жыл бұрын

    GOD IS A TRUE KING

  • @josboy5384
    @josboy53844 жыл бұрын

    Nimekuja tn leo tar 25/9/2019 saa 22:50 Twende sawa kama unaikub hii ngoma na mwana fa mwenyewe. Like hp tuondk

  • @josboy5384

    @josboy5384

    4 жыл бұрын

    Fayaaa

  • @masterjay5136
    @masterjay51363 жыл бұрын

    Mziki wa kuishi miaka mingi..Salute binamu

  • @gaspermallya1216
    @gaspermallya1216 Жыл бұрын

    mungu ni mwema kila wakati

  • @emmymallya7836
    @emmymallya78363 жыл бұрын

    Usiniwaze Sana mi nawaza maisha yangu! hahahaha!be blessed!

  • @aboukhalil_147
    @aboukhalil_1475 жыл бұрын

    wimbo wa TAIFAAA....unapata ulichoandikiwa mungu akupi kama HATAKI.......

  • @user-kh8wq6gc2b
    @user-kh8wq6gc2b3 ай бұрын

    2024 bado ni mfalme❤❤

  • @ramadhansembuche3457
    @ramadhansembuche34577 ай бұрын

    Daaaa kweli sasa hivi tunakueshim mbunge wa muheza

  • @user-wg7go8rz7t
    @user-wg7go8rz7t10 ай бұрын

    tunae mkubali mwanafa ote like apa kwa upendo❤

  • @mariamkassim6348
    @mariamkassim63485 жыл бұрын

    Namuelewa sana mpaka hii 2019

  • @hoseamwakasitu2038

    @hoseamwakasitu2038

    4 жыл бұрын

    Namwelewa adi 2020

  • @nastonjuma5306

    @nastonjuma5306

    2 жыл бұрын

    Mmetisha wajomba

  • @alexmakule8119
    @alexmakule81195 ай бұрын

    I'm here 2024. This is poetry.

  • @mosesshirima387
    @mosesshirima387 Жыл бұрын

    Big up mwana fa

  • @ashamkwawa5793
    @ashamkwawa5793 Жыл бұрын

    Hii nyimbo nailendraaa❤

  • @frankmollel6803
    @frankmollel6803 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mungu akupe nguvu na ushindi

  • @anithagerry6156
    @anithagerry61564 жыл бұрын

    My favourite Swahili song... its sweet 😍😍

  • @OmaryShenkawa-zr7fp
    @OmaryShenkawa-zr7fp12 күн бұрын

    Kari sana namkubari mjomba mwa fA

  • @taifalabongo8828
    @taifalabongo88285 жыл бұрын

    Huu wimbo haujawahi kuchuja toka umetoka kwa mara ya kwanza kwenye usiku wa KTMA 2014...!

  • @boscoberneto6905
    @boscoberneto69053 жыл бұрын

    Hii nyimbo Kali xana

  • @alexfrank5342
    @alexfrank5342 Жыл бұрын

    Moja ya kaz nzur sana toka kwa mwana Falsafa FA

  • @josefonte9121
    @josefonte91215 жыл бұрын

    Kwa upande wangu hiyo ndo nyimbo bora ya muda wote

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Жыл бұрын

    Hi nyimbo inaliza

  • @damsafir2576
    @damsafir25765 жыл бұрын

    Hii ngoma fa umeuwa kabisa katka ngoma zako zote

  • @user-gl8bo8yr1o
    @user-gl8bo8yr1o Жыл бұрын

    Good music of all the time 2023 and forever

  • @yusufjuma264
    @yusufjuma2648 жыл бұрын

    Mungu tuu. Alhamdulilah. Nice song.

  • @abdulikadirnarrel2751
    @abdulikadirnarrel27515 жыл бұрын

    Silalamik cn viatu wenzangu hawana miguu dahh ngom kali san

  • @agustinokasindi4580
    @agustinokasindi45802 жыл бұрын

    Nyimbo kali sana

  • @jacobjunior-hf7zo
    @jacobjunior-hf7zo3 ай бұрын

    2024 we here Mheshimiwa

  • @rodline
    @rodline10 ай бұрын

    Dah imetimia saivi tunakuheshimu kama Mh waziri

  • @sabayaist
    @sabayaist7 жыл бұрын

    One of the best rapper in East Africa, big up bro...

  • @lilianmganyizi6286

    @lilianmganyizi6286

    4 жыл бұрын

    True. He Good 😊

  • @brucerashfordke5102

    @brucerashfordke5102

    2 жыл бұрын

    FA my greatest artist always God is all it detects to be greatfull

  • @husseinmohamed1777

    @husseinmohamed1777

    2 жыл бұрын

    Greatest for me

  • @atanasimbalingaatanasimbal919
    @atanasimbalingaatanasimbal9194 жыл бұрын

    Jama namkubali mpaka nakela Mungu akubless😍😍😍😍😍😍😍😍

  • @atanasimbalingaatanasimbal919

    @atanasimbalingaatanasimbal919

    4 жыл бұрын

    Sana

  • @farealapple7962
    @farealapple79624 жыл бұрын

    Nyimbo yangu bora ya mda wote

  • @wisdomofbooks6905
    @wisdomofbooks69054 жыл бұрын

    Fukara nayeshukuru, na tajiri nisiyekufuru.Much respect to Mwana FA.

  • @Super_Producer
    @Super_Producer4 жыл бұрын

    2020 showing love from 🇰🇪

  • @abduljuma2147
    @abduljuma21473 жыл бұрын

    Wakati ule Roma anamtazama falsafa Kama idol wake 👀

  • @daudydaud
    @daudydaud7 жыл бұрын

    tunamuita bosi w dunia yetu, noma sana huu mkono #mwana-fa 👊

  • @robertelnest1229
    @robertelnest12293 жыл бұрын

    Ingekuwa nyimbo ya matusi coment zingefika 25K

  • @mojo50ful
    @mojo50ful4 жыл бұрын

    2020 n i still believe in you. quick recovery bro.From Afghanstan.

  • @anordalfred5422
    @anordalfred54222 жыл бұрын

    2021 Mwana falsafa nitaendelea kukubal

Келесі