MwanaFA Feat G Nako - Mfalme (Official Video)
Музыка
#MwanaFA #Mfalme #GNako #SlideDigital
(c) Slide Digital
SMS [Skiza 8091961] to 811
MWANA FA SONGS ARE AVAILABLE WORLDWIDE ON ALL DIGITAL PLATFORMS
ffm.bio/ao7drgr
Follow Mwana FA on;
/ mwanafa
search/top/?...
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 586
Onyesha upendo wako kwa like kama unasikiliza hili goma 2024
Kama mungu ni mfalme maishani mwako usiache kugonga like!!
@claudiusmaximus319
3 жыл бұрын
kuma la mamako...
@bekabeka-ww2mn
11 ай бұрын
ci kama mungu ndo mfalime wa kila ki2
@elinaziighoty5869
6 ай бұрын
Always God is King of the kings
@user-pp7my3mg2m
3 ай бұрын
@@claudiusmaximus319Acha bangi
Ngoma kali sana mpaka leo narudiaga kama bado unasikili like hapa
@chimiztv4140
2 күн бұрын
Tuko pamoja
2019 nani anaendelea katazama hii video...gonga like twend sawa
@clausemanuel9891
5 жыл бұрын
Mie
@ismailathuman9481
5 жыл бұрын
Conguration
@merryn4891
5 жыл бұрын
Mii pia
@mwahijasalim4155
5 жыл бұрын
Me
@msjammie9260
5 жыл бұрын
☺ me
Waliokuja hapa baada ya kuwa Naibu Waziri like hapa. Jamaa alijitabiria kuwa ipo siku utaniheshimu au utaheshimu fedha zangu. Sasa hivi imekua kweli. Power Of Positive Affirmations.
@JohnUegene-bs5bv
2 ай бұрын
Kamkili Mungu na kajinyenyekeza kwa Mungu ndio maana kampa muujiza wa unaibu waziri kwa kifup kamwinua sana Mungu katika hii nyimbo
@ObaMizo-oc1wq
Ай бұрын
Kama alikuwa anajua mungu kamfungulia milango kweli
@bankintoleahmady9321
15 күн бұрын
G Nako ni Mbadi sana
Hii nyimbo sijui kwanini watu wengi hawajaielewa , this song means alot to me
@jumaally1193
3 жыл бұрын
Bomba la pini
@samwelyzakayo
Жыл бұрын
Yeah ni kweli 💯
@user-xe5ek7oz1t
Жыл бұрын
Wengi tumeielewa
Kamtukuza Mungu Leo Mungu kamfanya Waziri Kweli Mungu ukimtukuza anajibu
Sinung'uniki Sina viatu kuna wenzangu awana miguu💪2019 gonga like tupewe maalifa
2020 nani anaendelea kutazama hii video gonga like ili twende sawa
@josegwaha3116
3 жыл бұрын
HIL DUDE NI HATARIIII
“Na ipo siku utaniheshimu ama utaheshimu hela zangu” - BIGGEST BRAG. He is HIM🙌🏽🔥
unavingi vya kumuomba mungu kabla hujamwomba utajiri
@abuumo9637
3 жыл бұрын
umeona eeeh
Bosi wa dunia yangu kanipa nguvu na ubongo, mwenye maamuzi yake angependa angeniumba fungo🙌😍more than talent
Kama Bdoo unapiga hii ngoma 2023 reply my comment please
Huu wimbo ulitoka nikiwa na kipindi kigumu kwel..lkn Mungu alinivusha salama na kwa ushindi.🙏💯 I believe hata ktk kipindi kigumu hiki atanitoa salama kwa ushindi..🙏🙏 Thank you Hon. Minister 💯🔥
Hii ngoma nilianza kuiskiliza tangu mwaka 2014 Nipo geto mpaka sasa namiliki nyumba.. Shukran mungu
@faridaltamimi7454
11 ай бұрын
In shaa Allah namimi ntajenga
Alafu kuna ngurumo anaongea kuwa g warawara anaharibu kwenye kolabo Kilaza wewe tupishe kidogo G warawara g nako salute sana baba la baba
Kila nikiweka bando lazima niisikilize hii ngoma.. Mwana FA hongera sana
@JulayKayuni
2 ай бұрын
3:01 😢
hii nyimbo ilitakiwa iwe na views hata 5mill yaani..
@shabanilwamba8833
6 жыл бұрын
benny cardozo Exactly
@christianmtalima5542
6 жыл бұрын
gud
@gasanajacques2247
5 жыл бұрын
benny cardozo ndo maana nakubaliyakwamba Diamond ananunuwa kweli
@nicolasnyengo3825
5 жыл бұрын
Watu wanasubir nyimbo za matusi ndo waangalie kwa wingi.
@juliaphillip7207
4 жыл бұрын
Sure kabisa
Sinung'uniki Sina viatu wenzangu hawana miguu, FALSAFA 🔥🔥🔥🔥🔥💯🙌
NENO "Unapata ulichoandikiwa,mungu hakupi kama hataki,hata ukipola itapotea ili mladi yatimie maandishi" BIG UP Mwana FA
@ezirapetro8733
4 жыл бұрын
1 news tz Kali kinyama
@80SarahSeraph
4 жыл бұрын
100%
Sanaaaaaa🎉🎉🎉🎉 HIII NGOMA kubwa
Hii nyimbo ilibadilisha maisha yangu kabisa
Sinung'uniki sina viatu wenzangu hawana miguu! Ni mgogoro hili track meen!!!!
June 25, 2020 nasikiliza hii nyimbo lakini naiona mpya...kaka ujumbe mzito..Mungu akupe busara zaidi Binamu @MwanaF.A Gonga like twende sawa na MFALME
Sinung'uniki sina viatu wenzangu hawana miguu hawalalamiki wanamshukuru alie juu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
NEVER GIVE UP GUYS 2023 HUYO JAMAA NI NAIBU WAZIRI WA TZ
@namudduhanifa5835
Жыл бұрын
Wow Mungu ni mkubwa
I'm here for those who will still be listening this masterpiece in 2030.. even if KZread will no longer be used or whatever but you're real Legends 💪
mwl shirima wa tanga tech anakupa hi.. anatupa stor zako kuwa ulikuwa mkali sana class., king of bongo hip hop
@zinjankhan3819
5 жыл бұрын
Huyu maalimu alinifundisha miaka ya 1998 shule ya msingi mkwakwani mpe hi sana .
"Kuna vingi vya kumuomba Mungu kabla hujamuomba utajiri"📌📌
LYRICS Mwana FA ft G Nako - Mfalme lyrics [Mwana FA] Look around brother Choir Master! Ghetto Gospel (Yes!) Keeping the good music alive! [G Nako] Kanipa maarifa loloo (nampa sifa) Yakanipa nyadhifa loloo (nampa sifa) Kaziba nyufa loloo (nampa sifa) Olooh! (Mfalmee!) Kanipa maarifa yakanipa nyadhifa Ikajipa sifa, kaziba nyufa Namwiita ye Mfalmeee Mfaaalmeee [Mwana FA] Holla at ya boy! Sinung'uniki sina viatu wenzangu hawana miguu Hawalalamiki wanamshukuru Aliyejuu Siwezi nikamletea makuu maombi ya kibraza du Mbwembwe za kuomba magari nawaachia son I'm cool Kama kipande cha kwanza cha mbao kwenye safina Mimi ni kitu cha Mungu nafanya alichonituma Kanipa ubongo na misuli na roho ya kitajili Sina kitu ila sina roho mbaya tunaishi vizuri Fukara nayeshukuru au tajiri nisiyekufuru Najua bata najua hustle mi ni njiwa na kunguru Kuna vingi vya kumuomba Mungu kabla hujamuomba utajiri Naishi kwa mapenzi yake hakuna kitu naona hatari Unapata ulichoandikiwa Mungu hakupi kama hataki Hata ukipora itapotea ili mradi yatimie maandishi Mi ndo vito wa kolioni vitu vinaisha my way Nife nikiwa muumini na everything gon' be I man [G Nako] Kanipa maarifa loloo (nampa sifa) Yakanipa nyadhifa loloo (nampa sifa) Kaziba nyufa loloo (nampa sifa) Olooh! (Mfalmee!) Kanipa maarifa yakanipa nyadhifa Ikajipa sifa, kaziba nyufa Namwiita ye Mfalmeee Mfalmeee Kanipa maarifa yakanipa nyadhifa Ikajipa sifa, kaziba nyufa Namwiita ye Mfalmeee Mfalmeee [Mwana FA] Najua anamipango, anafungua milango Ndo anatoa michongo, namwita Mfalme Wa Jungle Boss wa dunia yangu kanipa nguvu na ubongo Mwenye maamuzi ya mwisho angetaka angeniumba fungo Mafala wana midomo ka vicheche usiwe kati yao Wanaosema wenzao rudi angalia maisha yao Wengine hawana hata kalaki wanaita wenzao maskini Haki nawaombea mabaya kama wanavyoniombea mimi Ni hata mtoa wa roho ni malaika, na nahisi ataenda peponi Achia kuhukumu sio kazi yako, we ni mwenzangu na mimi Na una dhambi kama mimi, na hatujui kubwa za nani Labda zako labda zangu, sio kazi yetu ni ya Maanani Usiniwaze sana mi nawaza maisha yangu Sina hata mia ya urithi vyote hivi ni vya kwangu Nshaenda shule bila viatu, nshatoa funza kama buku Na ipo siku utaniheshimu ama utaheshimu hela zangu [G Nako] Kanipa maarifa loloo (nampa sifa) Yakanipa nyadhifa loloo (nampa sifa) Kaziba nyufa loloo (nampa sifa) Olooh! (Mfalmee!) Kanipa maarifa yakanipa nyadhifa Ikajipa sifa, kaziba nyufa Namwiita ye Mfalmeee Mfalmeee Kanipa maarifa yakanipa nyadhifa Ikajipa sifa, kaziba nyufa Namwiita ye Mfalmeee Mfalmeee Kanipa maarifa loloo (nampa sifa) Yakanipa nyadhifa loloo (nampa sifa) Kaziba nyufa loloo (nampa sifa) Olooh! (Mfalmee!)
@virusmastermbashy931
5 жыл бұрын
Ujumbe ni mzuri na umejitosheleza sanaaa Ujumbe huu utaendelea kuishi daima na utabaki kuwa kumbukumbu kwa vizazi vijavyo waone jinsi wasanifu wa lugha kama Mwana FA walivyotumia lugha kuelezea ukubwa wa MUNGU
@mrishojumaamrisho3212
5 жыл бұрын
I love it
@robertgerson2053
2 жыл бұрын
Iomk
@hamisbakari2730
Жыл бұрын
Mwana fa king pop bongo
@mrishojumaamrisho3212
Жыл бұрын
Waooooh
Ngoma inayo ishi na itakayoishi keep going brother
Show Kali sana kiongoz mkuu Mimi xibiki yako kutuka mozabique Nina kukubali sana Kaká wafaida
January 1st 2020 anyone?
hii nyimbo inaishi never goes out of style
Nyimbo hi number is the best of the best big up m,bunge f.a
Kuna vingi vya kumwomba Mungu kabla hujamwomba utajiri
Ipo siku utaniheshimu ama utaheshim hela zangu …. Yametimia yote kwa pamoja 2023 n mteule wa Rais~tunakuheshimu 😢😢 Na unahela pia tunaheshim hela zako😊😊😊
@hosammwinchea4391
Жыл бұрын
That's the power of positive affirmation, usiache kujiombea mazuri, God is Good 🙏
Ndani yamaono yako leo wanaeshim ela wanakueshim na wanaeshim ela zako
Sinunguniki sina viatu , wenzangu hawana miguu, ila wanamshukuru aliye juu💯💯💯💯2019
Namwita yeye MFALME 🎶
Npo 2023 naishi na hiii ngoma kali aiseee nyie mlikuwa mnajua sana sema nn saiv zimekuwa nyimbo za biashara sio tena Uharisia lkn poa burudani iendelea
Hivi kwann nyimbo hizi hawapewi tuzo,,,inasikitisha sana wasanii wengi wanaimba matusi eti wanapewa tuzo,,ila utapewa tuzo na mungu
Nyimbo ya BORA till date! Mungu ana nguvu sana
Namuita mfalme hufungua milango 🙏🙏🙏🙏💯God is the king 👑 forever he has pure love 💕 @mwanafa love from hongkong .
Mwenyezi mungu ndiye mfalmee wa dunia nzimaa🤝
Kama umeludi tena kusikia wimbo huu 2021 ,weka like yako hapo
Salute sana , Mheshimiwa mistari ya humu sijawahi ikinai
Hili pin ni national anthem, nimeisubiri sana hii video ! umeutendea haki....
Big up sanaa naibu waziri
Hii video iko powa na inaonesha jinsi gani dhana iliyomo kwenye wimbo inavyoelekeana na video yenyewe.
@maulidimtande3257
5 жыл бұрын
Sahh kbisah
Hii ngoma inaishi
hii ngoma fa alikuwa na hasira mno
Hii ngoma inanikumbusha mbali sana mwana f jiniaz
Anatoa michongo namwita mfalme wa juggle,
Nimeipenda iii ata ukiiba itapotea ili mradi itie mandishii
Nyimbo pendwa nitarudi hata kila siku kama naweza kuisikiliza hii nyimbo Nov 2022 AKELO JA JA.
Nimeipenda sana yan
Mungu ni wetu sote 🙏
Directors wa bongo wanajitahidi sana.Good video,nice view n beautiful song
Usiniwaze sana Mi nawaza maisha yangu
Dude kubwa milele
Nahreal best producer I never seen
GOD IS A TRUE KING
Nimekuja tn leo tar 25/9/2019 saa 22:50 Twende sawa kama unaikub hii ngoma na mwana fa mwenyewe. Like hp tuondk
@josboy5384
4 жыл бұрын
Fayaaa
Mziki wa kuishi miaka mingi..Salute binamu
mungu ni mwema kila wakati
Usiniwaze Sana mi nawaza maisha yangu! hahahaha!be blessed!
wimbo wa TAIFAAA....unapata ulichoandikiwa mungu akupi kama HATAKI.......
2024 bado ni mfalme❤❤
Daaaa kweli sasa hivi tunakueshim mbunge wa muheza
tunae mkubali mwanafa ote like apa kwa upendo❤
Namuelewa sana mpaka hii 2019
@hoseamwakasitu2038
4 жыл бұрын
Namwelewa adi 2020
@nastonjuma5306
2 жыл бұрын
Mmetisha wajomba
I'm here 2024. This is poetry.
Big up mwana fa
Hii nyimbo nailendraaa❤
Ubarikiwe sana mungu akupe nguvu na ushindi
My favourite Swahili song... its sweet 😍😍
Kari sana namkubari mjomba mwa fA
Huu wimbo haujawahi kuchuja toka umetoka kwa mara ya kwanza kwenye usiku wa KTMA 2014...!
Hii nyimbo Kali xana
Moja ya kaz nzur sana toka kwa mwana Falsafa FA
Kwa upande wangu hiyo ndo nyimbo bora ya muda wote
Hi nyimbo inaliza
Hii ngoma fa umeuwa kabisa katka ngoma zako zote
Good music of all the time 2023 and forever
Mungu tuu. Alhamdulilah. Nice song.
Silalamik cn viatu wenzangu hawana miguu dahh ngom kali san
Nyimbo kali sana
2024 we here Mheshimiwa
Dah imetimia saivi tunakuheshimu kama Mh waziri
One of the best rapper in East Africa, big up bro...
@lilianmganyizi6286
4 жыл бұрын
True. He Good 😊
@brucerashfordke5102
2 жыл бұрын
FA my greatest artist always God is all it detects to be greatfull
@husseinmohamed1777
2 жыл бұрын
Greatest for me
Jama namkubali mpaka nakela Mungu akubless😍😍😍😍😍😍😍😍
@atanasimbalingaatanasimbal919
4 жыл бұрын
Sana
Nyimbo yangu bora ya mda wote
Fukara nayeshukuru, na tajiri nisiyekufuru.Much respect to Mwana FA.
2020 showing love from 🇰🇪
Wakati ule Roma anamtazama falsafa Kama idol wake 👀
tunamuita bosi w dunia yetu, noma sana huu mkono #mwana-fa 👊
Ingekuwa nyimbo ya matusi coment zingefika 25K
2020 n i still believe in you. quick recovery bro.From Afghanstan.
2021 Mwana falsafa nitaendelea kukubal