MwanaFA feat Linah - Yalaiti (Official Video)
Музыка
#MwanaFA #Yalaiti #Linah #SlideDigital
(c) Slide Digital
SMS [Skiza 8091959] to 811
MWANA FA SONGS ARE AVAILABLE WORLDWIDE ON ALL DIGITAL PLATFORMS
Follow Mwana FA on;
/ mwanafa
search/top/?...
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 1 200
Wote waliyo angalia hii ngoma 2024 gonga like ngoma Tamu sana
@jumamanzi4531
4 ай бұрын
we still here hahah
Baada ya kupanda jukwani akiwa waziri na linaa nimerudi apaa 🔥🔥🔥
@nangelamlau2269
Жыл бұрын
Me too
@vicentsubwa-mk5pc
Жыл бұрын
and me date 19 apr2023
@anthonym2542
Жыл бұрын
Mimi pia
@jamesmwikwabe6811
Жыл бұрын
Pesa taamu kweli ❤
@pendonnko3217
Жыл бұрын
Same here🤓
Tunaosikiliza hii ngoma may 2024 gonga like za kutosha hapaa👊
@focus140
Ай бұрын
Tupo
Nimependa mueshimiwa alipo panda kwa stej na Linah na kutunzwa hela na kumpa Linah zote kweli waziri ..❤️🇹🇿
@judithabdallah4594
3 ай бұрын
Just lovely
Baada ya kusikia hili gari lilotumika huku ndani ni la chid benz nimerudi kuangalia❤❤❤😢
@tominizertz2223
4 ай бұрын
Me pia
@barikimbacho6731
4 ай бұрын
Hata mimi kwa kweli
Tunaosikiliza 2024 gonga like hapa
Wahuni kama sisi ndo machimbo yetu aya kila siku tupo apa mtatuambia nini 👊👊👊👊
Ambao bado wanaona ngoma hii bado ina uhai na kali gonga like
Wapi makofi ya Mheshimiwa Mwana FA 💕🇰🇪
@MohammedAwadh-gq9si
4 ай бұрын
Ahsante mjomba !
Mwana fa ww unajua sana 2019 mpo
Like zakutosha kama yupo anayesikiliza hii ngoma 2019
@sharonmasawe5381
5 жыл бұрын
Kipindi hicho wanamuziki wote weusi
@yusufnalanda4186
5 жыл бұрын
nipo tena kutoka congo ,naisikiya mara tanu kwa siku
@robertabely5794
5 жыл бұрын
Rehema Mohamed S
@kibongobongo4608
4 жыл бұрын
@@sharonmasawe5381 😁😁😁😁
@muganzababingwa2434
4 жыл бұрын
Kali sana 🙏🙏🙏🇹🇿🇰🇪🇺🇸
uzuri wa kujiandikia mistari yako,,,, hatauamshwe usingizini unaimba tu.... Fa alipopanda stage aliimba kama ametunga juzi na niyakitambo wallahi..... muheshimiwa ako so humble and he is very genius 🔥🔥.. love from +254
Hamisi Mwinyijuma atabaki kua mshahiri bora katika medani ya hip-hop yaaani anaghani mpaka Mwili unasisimka maashaallah
@catenzeki678
5 жыл бұрын
@kaporo salum kweli kbisaa
@saidsoud5967
4 жыл бұрын
Ndo maana tunamwita mwana falsafa
2020 lakin badoo tunakumbuka vya zaman ❤️❤️ one love weka like twende pamoja
@amoschrisantus6085
4 жыл бұрын
Good lyrics.......
@barakaallymusa6665
3 жыл бұрын
Wanapanga matokeo
@shinejiskaka8317
2 жыл бұрын
dah jaman Hii nyimbo naangalia mpaka leo so sweet 4/10/2021
Baada ya Chid kusema shati na gari ni vyakwake imenije hapa!! That’s life🙏
Jamani tunaosikiliza tena hii ngoma2022...🎶🎶🎶🎧🎧🎧🎧🎼🎼🎼
@mutesa_de_prince__6993
Жыл бұрын
Just now 30-10-2022 21:36
@robinsonjoseph8119
Жыл бұрын
Am here today, 13/11/22
@ambrose_vevo137
Жыл бұрын
hahahah 15.11.22
@ambrose_vevo137
Жыл бұрын
@@robinsonjoseph8119 umetishaaaa sana
@davidshebughe3422
Жыл бұрын
Tupo
Neno lako ni taa ya mguu wangu, na nuru ya njia yangu. Zaburi 119:105.
Gar y chid Benz, ilikuwa ❤
08/3/2020 like kama bdo unaielewa nyimbo
@saumuomary2117
3 жыл бұрын
Tupo
Huu ndio wimbo bora wa mapenzi hip-hop wa muda wote💪🔥
@husseinazizmohamedy5086
7 ай бұрын
uandishi bora uliowahi tokea,,,,,,,nakubaliana na wewe
Nishasema sipend mapenz napenda mapenz nawe usinikatae utaniumiza Nina biashara nawewe love kwa mwana fa
Hii ngoma haitakuja kuchuja
hapa kabla linah hajawa na ngozi ya kizungu, Like kama unaiangalia tena April 2019
@Oman-bi2ej
4 жыл бұрын
nikweli aisee kabla ya kujichubua kila mtu mwenye ubongo wa mende zama hizi anataka kua mweupe na shepu kubwa😛😛😛😛
Tuliokuja kuangalia shati na gari ka chidbenz tujuaje kwa likes😂😂
@FarajaChengula-ou8qv
3 ай бұрын
Mimi
Daah ngoma Kali paka basi wangapi wanacheki paka Leo December 1 , 2019
@emmanuelcosmas6616
4 жыл бұрын
Mwana duh unatisha
Wapiiii wanaosikiliza na kusomaa comment 2020
Kumbe hawa walifunga ndoa 2020 watching 😂😂😂
Nani anasikiliza huu wimbo 2020 agonge like chap
@classicosama7569
3 жыл бұрын
Nipo
@edwinmalofa6856
3 жыл бұрын
Keep the good music 🎶 a life,, all the from 254.nipo
@sahlamussa8538
3 жыл бұрын
Nipo
@emanuelkivuyo7766
3 жыл бұрын
@@classicosama7569 maisha inaenda kasi mpaka inaacha wa2
@rajabomar4505
2 жыл бұрын
Yan kila cku I must listen to this best song
Hivi mimi ndo wa kwanza 2020 eehhhee???? Still one of my favorite hit..🙌🙌🙌 Respect ✊🏼 bro...
Kama bado unasikiliza huu wimbo 2021 gonga like twende sawa
Usiache kuvaa nguo ndefu ivi vimini waachie vicheche mwanamke kwetu staraa wanaovipenda sio wote🔥🔥🔥
"Sipendi mapenzi,napenda mapenzi nawe"....2023💣
Who watch 2019........?
Dah nakumbuka 2012 tumetoka kumaliza Form 4 Nampigia sim mchumba wangu Ester tunaanza kuimba mwanzo mwisho mi mwana Fa ye lina😁 Popote ulipo Ester nakutakia maisha marefu.. Thanks Mwana Fa &Lina for the memories ❣️❣️❣️
@africanproudly4004
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@successhalisi9251
Жыл бұрын
😂
@Maajabutop5
10 ай бұрын
Stori zako nmepata ex wko ester
Inanikumbisha usiku mmoja nimelala kwenye msiba wa mrembo ,mpenzi wangu fatuma mhajiri. Wimbo huu ulikuwa unapigwa redioni " Siwezi sema sana nakumbuka upo uliko " tuko pamoja"😌
@mwajumakweli6774
2 жыл бұрын
Pole sana
@shishimim3621
2 жыл бұрын
pole sana
@magemshanga953
2 жыл бұрын
Pole sana
@stanleyshedrack2386
Ай бұрын
Ooooh inauma sana , pole sana kaka
Dah namwona Chid benz ndani ya kanzu moja matata sana, wimbo hatari sana huu
Credits kwa bi Kidude (RIP) for the chorus & hook. Kazi nzuri sana. Toa shaka na wasiwasi moyoni!
Japokua ni Copy lakini MwanaFA hii umeipiga kinoma Sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa , Keeping the good music alive,,, Keep it Up Bro ,,, UNAKIPAJI ,,
@agreyraban8859
5 жыл бұрын
Ame copy wap
@KiangiAri
4 жыл бұрын
@@agreyraban8859 It a remix..originally ni nyimbo ya taarab
@KiangiAri
4 жыл бұрын
Don't call it a copy man...itsa remix
@faridaramadhan8379
4 жыл бұрын
@@agreyraban8859 malika swahili
@robinsonjoseph8119
4 жыл бұрын
Hii sio copy amefanya sampling bro
"You my sunshine, my moonlight and everything i dream about" 2024
Well, sang this dong. The best.of lina and mwana Fa
this song was made for generation to come no wondr this insane generation can not visualize it, keep the music alive bro. who is here with me 01st march 2020 the coolest sunday.
Binamu majina mengi mi nakuita herode we endelea tu🔥🔥hip hop
Tulikokujaa kusikiliza hiii ngoma baada ya Lina kumpandisha Mh jukwaani 2023 tujuaneeee✌️✌️✌️
mwana Fa...hatungi tena mashair kama haya cjui alioteshwa...duh!.
2019 tupo tupo
2023 still the same 🔥🔥🔥🔥🔥
Sikuachiii Leo na kesho peponiiiii, Ahaaaa ahaaaa I love you!!
Keeping the good music alive! Bonge la bongo flava
Mwana FA,love ur kiswahili rap...2018 still rocking
Heard the song today June 2024, repeated it severally, this is a masterpiece, much love from Kenya
Daaah!! Hapo zaman Raha sanaaa samahan jaman tushiriakiyan kwa kulike
Baada ya Lina kumpandisha Mheshimiwa imebidi nije niangalie hii video upyaaa❤️😔😢
@chemybreezy4330
11 ай бұрын
mm pia
@nassoromussa2423
6 ай бұрын
Kweli kabisa mana kule ni kama tumeonjeshwa!
Sikuachi leo na kesho peponi 2018😍😍😍😍😍
Yaan kila nik-miss gud music na through back!!' Na Nikija toka nakua nimekata 1.6 Gb💕
Si ushasoma nakupenda wacha masihara Kuna haja gani nikushikie fimbo ili nikusikilize kama gorrila Mie ni mtu na mapenzi yangu nishaacha zamani usela Una matatizo najua na mie nina yangu huku With together from this moment with them through Nikikukosea nisute nipige vibao nizodoe ninunie kwa siku kadhaa ila ninachoomba usinikimbie
naombeni like mbili kwa mnaosikiliza hii kitu 2019 ?
2022 and still the good music as new from the box
Kitambo namwona shetta kushoto kulia chid benz tixha sana mh mwana fa
Hii Ngoma Ni Tamu Hasa Ukiwa Singo Umekunywa kisungura...
Am 2019 watching,,, who else thumbs please,,,,
Linah was perfect at collabos, almost all of them were hits
Binafsi huu wimbo ninauelewa vizuri sana mh.Naibu Waziri uliupiga mwingi zaidi kwa kweli
Mwana FA anatisha sana … hizi punch alizomwaga humu … mwanamke anaejielewa hawezi pinga …
February 2023 jeeping the good music alive anyone??? With the rhythm
Honestly this is the best piece of art I've ever heard in my life, Im happy
2024 na nyimbo bado kama mpya vile🔥
2024 Tuje tumuangalie Mheshimiwa 🎉
Kama umemuona Sheta ameng'ata mdomo dondosha like hapa
huwa naic raha sna nikisikiliza huu wimbo
Chid benz anasema hiyo gari ni yake na shati pia ni lake .. jamaaa ana moyosafi sana kama ni kweli .. Mshike mkono Chid
Maisha nimapambano 8 miakailiopita sasa mh pendachako chanzo nisanaayake ndioiliomtambulisha maashaallah
Mwana FA, to me he is one of the all time best bongo fleva artist
Gone are the days Tanzania led the hiphop movement in east Africa. Bongo flavor was so beautiful. Love from Uganda
@RioIpo
4 жыл бұрын
Till now bro we led others they follow
@adv.benedictpius
Жыл бұрын
Sure
@askogodwin7257
Жыл бұрын
++×1₩+++₩+₩+)+++)++++₩++₩+)++₩+₩
Toa shaka na wasiwasi moyoni,tooa shaka na wasiwasi moyoniii, kukwepukaa hilo haliwezekani nitakushika leo na kesho peponi 2021 hyo
Maisha yanatokea mbr sanaa uyu mwana FA akutegemea kama anaweza kuwa mbunge shuklani kwa mwenyezimungu
@rajabomar4505
2 жыл бұрын
Kwel kaka
nani karudi kuiangalia baada ya kujua OPEN ROOF GOLF 4 Volks Wagen ilikuwa gari ya CHIDY BENZ iliyotumika
Someone in 2021 💪🏾💪🏾💪🏾...my Best Engeneer Artist In 🇹🇿
God knows Us more....saihizi naibu waziri🙏
007 bad boy mwana fa.. 🔥
It's 2021 and we still here.... 🇰🇪Representing
Nowma xanaa kama kunaambae anatazama nyimbo hii 2019 hebu gonga like twende xawa
@stidy2555
4 жыл бұрын
Hi glory
Dah ma legend wa mziki saivi kuna vichaa katika sanaa
Mwana FA U realy keep good music alive 2024 hpaa we still in deed
Like ziwe kam zote kwa 2019
Mwana Fa did alot of justice to this jam. It is one of the oldest swahili song he did some mastering and until tomorrow it'll be that song. Classic and timeless
Piga kelele yao waoooooo🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Naibu Waziri wewe ni mkali Toka kitambo... Heshima kwako
Who is still Here 2018 ??? 🔥
we sakafun me ukngon mbio zangu aziend mbar!!!! duuuuuuu ♡♡♡♡ fa nice song
@mussamakangee2713
6 жыл бұрын
Umetishaa man
@petermwenda5179
6 жыл бұрын
fa fa
Sheta kumbe alikuwaga hivi😃😃Chid benz mzee wa masaut nakuonaaa🔥🔥
Maisha yanabadilika sana nimeiona simu aliyoshika Lina nikakumbuka Mbali sana
Kama unaitizama 2019 na bado inabamba gonga like twende sawa
@youngbrown2081
4 жыл бұрын
Xaiv kaw mzung
keeping the good moving alive... who still wach this my favorite song ..2018
Bonge la ngoma👊🏽👊🏽👊🏽👊🏽
ko aliacha ufunguo kwenye gari....😀😀😀 MZIKI MZURI SANA
2020 still disturbing airwaves
uh still woch thiz aky i luv it
Nani yupo hapa 2024??👑🎹🎧🎼🎵🎶🎼🔈🔉
Waziri still yupo vizuri!!!!!!
Namuona chid mda uo yuko kibonge .