HAIJAWAHI KUTOKEA! Joh Makini /Mwana Fa Kukutana Kwenye Mic, Michano kama Yote / FA Kuwania Ubunge
Kwenye show ya XXL ya CLouds FM June 19 wageni waliohudhuria show ni Mwana FA na Joh Makini. Hii ni Exclusive interview yao kwenye Show hiyo.FULL VIDEO: Mwana FA Atangaza Kugombea UBUNGE Mwaka Huu! Joh Makini Atoboa Siri ya WEUSI
Пікірлер: 66
Sku hzi Jay dee anatajwa vzr tu hapo mjengoni!!?? 🙌🙌🙌🙌
@divaimafuru2394
4 жыл бұрын
Mwenye chuki nae Kesha kufa😆😆
@benjaminikaminsa8526
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Kama umeona Fa kafanana na Dr.isack wa njiapnda like*
Ukimtoa king kiba, msanii ninaemkubalii zaidi pia ni FA
respect kwa #MwanaFa #JohMakini lakin pia kwa #Presenters wote walioko ndani ya mjengo hapo #Cloudz mmetishaa sana
Falsaafa hiyo hair style Mzee Baba sijaipenda punguza hizo nywele bro ila maarifa yako kwenye game bado your top notch
Mimi nimefurahi tu, mpaka Rais Magufuli anasikiliza Cloud aisee bigup sana kwa TImu ya Taifa #CMG
Pamoja sana xxl kwa macho.
Nawakubalii FA na MAKINI leo mmewkutanisha wanyama
Respect to all ya brothers legends hip hop is all about unity
Kipindi bora changu miaka yote Xxl
Mwana fa we jamaa ni genius bro
Big up kwa falsafa
Kuna nguvu kubwa inawashinda cloudz Sasa sio zaman wakiacha kupiga msanii atoboi ukweli nikwamba watu wanaweza toboa bila wao
UJUE HUYU BWANA FA (GWIJI) ANAWEZA KUKUAMINISHA UNAWEZA KUPIGANA NA SIMBA UKAMSHINDA
@bluesportstvtz4033
4 жыл бұрын
Hahhahhhaaahh
Mwana Fa mfalme king 🤴
Nawakubali Sana
COMMANDOOOOOOO, ANACONDA. JIDE JAY DEE. HATARI SANA HUYU
Yeeeeeeababahhhh
Johmakini nakumbuka tisheti ...
Flow za kiwembe zimenikumbusha chochote popote
Wananikumbusha Ngoma ya tuna roll mangwea Joh na mwana fa walikuwa ndani.
Mabroo #GwijI #Mwamba🔥🔥
Hapa Gwiji Hapa Mwamba Aiseee🔥🔥🔥🔥
Wafanye kitu awa sasa
Watundu wamekutana ira Afa hatari
Mwana F.A naona umezungukwa na WAGOLOKO watupu...!
Double xl kama inapepea hivi bila dozen
salut kwa GWIJI!!!
Fa noma sanaa
Iko vizuri bro like
Nakubali
🔥
Good
nawakubali sanaaa aaa.....
Daaah ninoma hawa wakali
XXL 4life
The people station
Ni Moto wa kuotea mbali bonyeza link kuangalia mwana FA akichana live kzread.info/dash/bejne/pWlm1adteNm0l6g.html
Mammy baby endelea kuvaa barakoa tuu maana😂
@johnmwandu2116
4 жыл бұрын
Teeeeeh, nmekuelewa unachokimaanisha
@alextozy1359
3 жыл бұрын
Domo lak fyuuuu
Nashaanga wimbo yupo jaydee unapigwa clouds nipen jbu
2023
Mmeshafulia wote akuna jipya kuanzia midia adi na wasanii wako
Kipindi bora sana
@dambwelahiphop ina documentary inaitwa macho ni ngumu kuona
Jamuhur ya wapambanaji xxl baby
Mobutu seseseko
Ni balsas!!!
Gwiji + Mwamba
gwiji×mwamba
Hao wote wakajifunze kwa dudubaya! Dudubaya anauelewa mkubwa wa mambo ya muziki, anafaa kuwa mbunge, hao wanajing'ata ng'ata tu hawasemi ukweli!
@thabitisimba1143
4 жыл бұрын
Ayo mawazo yafanye final kwenye akili yako tu
@collinedward8449
4 жыл бұрын
Duh Upon sirioz na ulichokisema au umekosea ndugu
@chrissowino2145
4 жыл бұрын
Maarifa yako kweli madogo
@jumaagojero1061
4 жыл бұрын
Clouds FM hawana mpinzani East Africa
@kareemkiwamba139
4 жыл бұрын
Bwege ww