MZEE SAID| TUKIFUNGWA NA YANGA TU USAJILI WOTE UTAKUWA MBOVU |TUTATUKANA VIONGOZI WATU WAMEKULA PESA
Жүктеу.....
Пікірлер: 548
@Finestonline14 күн бұрын
FAMILIA KUIPATA CONTENT YA MZEE SAID NI KAZI NGUMU MNOO......MSAADA KOKOTE UTAKAKOKUTA MTU AMEIBA HII CONTENT AKAIPOST KWAKE NITUMIE LINK YAKE 0782100162 HUYO ALIEPOST UTAKUWA UMENISAIDIA SANA FAMILIA🙏
@RukhayyahMtutuma
14 күн бұрын
pamoja familia
@femidayahaya4882
14 күн бұрын
Chagamba zipo nyingi yu mbona..hata hii ukimaliza tu itapostiwa pahala.
@DM_15
14 күн бұрын
Ondoa shaka familia
@Finestonline
14 күн бұрын
@@femidayahaya4882 msaada wako ndugu yangu nipate link zake tu familia wanaua sana nguvu kazi yangu 🙏
@salimkadenge3231
14 күн бұрын
Poa gamba
@stevenobure824114 күн бұрын
Tunamuombea Maisha marefu sana Mzee Saidi ili tuweze kumfaidi maana anatupa raha sana Nawe Changamba hongera kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@rosenamilia414014 күн бұрын
Kwa muda wa nusu saa watazamaji wanaomfuatilia Mzee Saidi 1.2k🎉🎉🎉🎉❤❤.Shikilia hapo hapo Chagamba kwa kumhoji Mzee Saidi kula siku.
@user-ho1jq3ut2w
12 күн бұрын
🎉Yjistyuyyyuu98888😮
@christophermbuga962314 күн бұрын
Mzee Saidi nampenda sina maelezo kwa nn!! Ninaongeza mb kila mara ili nimsikie Mzee Saidi!! Udumu Mzee. Unatupa raha. Mwaga madini Mzee!! Nakukubali mnooo
@Shuu_mwak
12 күн бұрын
An uyu mzee awekewe ulinz kwa kweeel an me ananimalizia bando langu😂😂😂😂
@Shadia54414 күн бұрын
Jamaniii jamaniii jamaniii 😂Chagamba na mzee saidi jamaniii nilikuwa namsubili mzee saidi 😂Chagamba anainjoi sanaaaaaa LIKE 10 😂
@mjumbemwanda9666
14 күн бұрын
Hadi wanawake mnapenda mpira? ❤
@abasikusaga6132
14 күн бұрын
❤ kumbe na wewe umoo
@MwanzoNyedeche
14 күн бұрын
Mambo mrembi
@Shadia544
13 күн бұрын
@@MwanzoNyedechepoa kipenzi changu
@Shadia544
13 күн бұрын
@@mjumbemwanda9666ndiyo tena miee yangaaaa 😂😂😂😂
@GeradinaJohn-xh8pw14 күн бұрын
Napenda hii make haina matusi bali inafurahisha sana👌👌👌👌
@MpembaMayunga13 күн бұрын
Kama unamkubal Mzee said gong like🎉🎉🎉🎉🎉
@salimalaquimane307714 күн бұрын
Yanga binwa msimu huu Asante MUNGU 🙏♥️
@YusuphMayunga-z8l14 күн бұрын
Mm shabiki wa yanga mzee saidi anaujua mpira kweli nampenda sana
@alikawinga228914 күн бұрын
Mzee saidi niko ujerumani wanifuraisha sana mimi ni Yanga
Nimekuwa wa Kwanza jmn,, from Oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲 nilikumic Mzee saidi
@GeradinaJohn-xh8pw
14 күн бұрын
Sawa Oman wa Tz😂😂
@gidanoagustino9056
14 күн бұрын
😂😂😂
@BaruaniBakari
14 күн бұрын
Mzee saidi ww.wachekesha kweli jamani mungu akuweke
@user-we3cm7db2h14 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu mzee SAID nakupnda sana mm napenda sana kukuckiliza wewe MB zangu naeka kwa sabb yako ila mm ni YANGAAAAAAAAAAAAAAAAAA ila mzee SAID AZIZ bado yupe sana YANGAAAAAAAAAA.
@BADILIJUSTUS-fs3oo14 күн бұрын
Chagamba kazi Yako unaitenda vizuri aise
@ChenchiKing14 күн бұрын
Yan Bato La Mzee Said Akunag Wakulimaliza🔥🔥🔥
@GodblessMushi-e6y14 күн бұрын
Maze Said ni msema kweli, big up Chagamba, big up Mzee Said, big up Miraji a.k.a Mara moja
@lumistarboy849914 күн бұрын
😂😂 Mzee Said na Gamba hii perfect combo
@user-ch2it3qt5z13 күн бұрын
Yan mzee Said ukwl unamzid jemedar KABSA Mungu akupe Maisha marefu mzee Wangu❤ ishi miaka 💯 tuenjoi burudan
@michaelmduba593114 күн бұрын
Kumekucha kumekucha na mzee Said
@user-vi7ly9zh1q14 күн бұрын
Nimecheka jamani 😂😂 mzee said
@Mary-fs4mc14 күн бұрын
Kumekucha kumekucha 😂😂 Baba yangu mzee Said, Gamba tuwekee no.ya mzee Said jamni. 😂😂
@abelimaganga41714 күн бұрын
Chagamba nilikuwa nimechoka Sanaa nimetoka kazin lakin baada ya kumwona huyu mzeee nimefurah Sanaa ahsant sana
@MichaelMwambango14 күн бұрын
Ila Mzee Saidi bhana 🔥🔥🔥
@BADAWY57514 күн бұрын
Mzee Said mzee wa mpira anajua sana mpira na anajua kumtambua mchezaji kila la kheri mzee saidi wachezaji wako kwa mtazamo wanaonekana wanaujua
@shefatiakeleye897
13 күн бұрын
Mhuuuu😂😂
@emaculatemakoi822614 күн бұрын
Huyu mzee nampendaaa sanaaaa
@JANE-jv4eq14 күн бұрын
Ngendembe imeanza lini tena mzee saidi 😂😂😂😂😂😂😂
@user-ff1it9og8y14 күн бұрын
Mmm h ni kweriii Mzee Said maneno yake yana maaana Tz bila uchawiii wachezaji hawatobowiii wazeee wa Simba kaeni mapema mtafakari ni wapi mmekosea hizo gori 5 mchezo ulikuwaje e uwanjani wachezaji wa Yanga waliingilua Mlango ganisiku ya mchezo hiyo ni Vita ya kisasiiiiiii Simba kurudisha ufalume❤❤❤❤❤
@trice_yanga
13 күн бұрын
nakuona mchawi umetoaa maoni😂
@mohdkhatib223
13 күн бұрын
Hapa kama simba wanataka ushindi watengeneze timu na wakinunua wachezaji wanunue wachezaji wa viwango na si wachezaji wa mafungu.
@minazsaid247014 күн бұрын
Mzee Said bado hujasema 😂😂
@deogratiaspmwolo194214 күн бұрын
Mzee said kipenzi cha wana yanga . Yanga tunakupenda sana mzee said. Wewe ni kipenzi chetu
@evansmoshi1923
14 күн бұрын
Wana yanga chawa wenu huyu ntunzeni sana?
@VedastinaVedarian
13 күн бұрын
Tupo na mzee said mpka wamfukuze ahamie kwetu 😅
@zakayomgaya275814 күн бұрын
😂😂,😂 chagamba mwambie mzee saidi tunafulahi sana kumskia mwanasimba wenzie tupo nyuma yake
Chagamba hapa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tunakupata vilivyo....😂😂
@MusaDadi-pd3jd12 күн бұрын
Mzee said ni 🔥🔥🔥
@jofreymsomba465214 күн бұрын
Noma sana mkuu mzee saidi huyu
@shabanihaji389614 күн бұрын
Ila mzee saidii 😂😂😂
@allymwashambwa592013 күн бұрын
mzee saidi ni shidaa sana mjini
@halidijuma188414 күн бұрын
Mimi yanga ila mzee Saidi na ENJOY kumsikiliza,,
@MohammedIsmail-fw9vn14 күн бұрын
Mzee Said muwe mnamlipa hela kama hamuwezi wekani namba
@KaujuMwakajumba
13 күн бұрын
Kweli bwana mzee hata fridge Hana
@taufiqis-haq53613 күн бұрын
Mzee said umeongea point Sana viongozi wa Simba wachukue Huu ushauri
@EdsonMdagachule14 күн бұрын
Mzee Said upo sasa kabisa
@tamariamisi35407 күн бұрын
Nikiwa from uganda I love said o
@EmmanuliM.lugembe14 күн бұрын
Mi mwemyewe mzee sis nimemc sana
@Mary-fs4mc14 күн бұрын
Gamba kwanini malizia ukuta wa yeriko😂😂😂😂😂
@mrrockboy950814 күн бұрын
😂😂😂😂 Mzee Saidi bana😅😅😅😅
@jabalimikechi775013 күн бұрын
Mzee wangu Said 🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦mimi ni shabiki yako kindakindaki, ila mimi YANGA 😂😂😂😂😂
@EliasMyeya14 күн бұрын
Mzee saidi unatufurahisha san wanayanga,......najua ndo tumejazana apa
@HanafyTuwa13 күн бұрын
Chagamba yupo kama kunguni vile anang'ata huku anapuliza taratibu 😂😂😂😂🙌🙌🙌
@rashadymuhamad6293
9 күн бұрын
Kwa kweli, hivyo hivyo yaaaniii.
@gideonchipepo840513 күн бұрын
Hongera sana Mzee saidi wewe ni mkweli siku zotee
@idybwoytz848514 күн бұрын
Gambaaa una enjoy San 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 sem mzee Saidy
@geraldndosi208313 күн бұрын
😂😂😂 mzee wetu saidi leo anaongea kwa uchungu sana
@nacetsiringa133412 күн бұрын
Chagamba unatukosea weka namba tuchangie hela ya maji kwa mzee said na miraji mahojiano mazuri sana 🎉🎉
@witnessgeorge197614 күн бұрын
😂😂😂nilikumc mzee said😂😂😂
@rosenamilia414014 күн бұрын
Chagamba jitahidi kila siku ukutane na Mzee Saidi mi MSURE mbaya.Wanafamilia tunampenda sana ,hasa kwa ukweli wake,vichekesho na lugha yake ya utani.Mie nacheka tu huku na kuongeza uhai wangu😂😂😂
mzee saidi mm nakukubali sana hata kama nimevugwa nikikusikia bavu sina🤣🤣🤩
@chrispinallan368314 күн бұрын
Wee mzeee saidi noma sn Nina zawadi yk nitafute mzee wang
@clementmmbaga305214 күн бұрын
Hatarii mzee said
@jamesmakaranga117014 күн бұрын
Mzee said bn nakukubali sna
@kingslove777214 күн бұрын
Mzee said bana we leo umeamua je
@WilliamStanley-m8u14 күн бұрын
Nakuelewa mzee said
@moseshaji117713 күн бұрын
Mzee Said nakufatilia vyema sana kila utupiapo interview mpya Nipo Bin Umran Doha Qatar hapa
@hyy4114
12 күн бұрын
Upo umran mm nipo Umqan
@gaspermathayo520413 күн бұрын
Ndomana watoto wayanga wananita debora😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@tamariamisi35407 күн бұрын
Thank you so much said I love you me I live from yuganda
@Hgd-jk6lh13 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂mezee said jamani nampendaa saan😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mwenye nambar yake naombeni ninavocha yake laki 1chagamba nicheki mwanagu mie ni yanga ila nampendaa saan mzee Saidi😂😂😂like za mzee said ♥️
@rozamabagala62423 күн бұрын
Saido mzee kukimbia hadi ajikusanye kama tairi za scania😂😂😂
@HassanHassan-vh6pc14 күн бұрын
Mzee said x hii tunakubandikia bango mlangoni kwako
@harunimsangi777012 күн бұрын
Mzee saidi bwana mungu akupe maisha marefu
@AllyMaketa13 күн бұрын
Chagamba ww yanga mzee said nakuelewa sana
@ramadhankombe264314 күн бұрын
Kwa sasa hv hawawez kumuelewa mzee Said.lkn ngoja ligi ikianza ndio watamuelewa vzr anachomaanisha huyo mzee.hahahaaaaa walah mzee said unanifurahisha sanaaa.na ww chagamba unachombeza kiunafki km vile huelewi simba watavyodhalilishwa na yanga😅😅😅
@EmmanuliM.lugembe14 күн бұрын
Changaba unakuwa unamcheleweaha sana Mzee saidi
@godwingobe188714 күн бұрын
Mzee saidi unasema ukweli utupu
@claragodfrey298514 күн бұрын
Mzee saidi unanipa burudani jamaniii ata kula sijala sababu ya maneno yako
Пікірлер: 548
FAMILIA KUIPATA CONTENT YA MZEE SAID NI KAZI NGUMU MNOO......MSAADA KOKOTE UTAKAKOKUTA MTU AMEIBA HII CONTENT AKAIPOST KWAKE NITUMIE LINK YAKE 0782100162 HUYO ALIEPOST UTAKUWA UMENISAIDIA SANA FAMILIA🙏
@RukhayyahMtutuma
14 күн бұрын
pamoja familia
@femidayahaya4882
14 күн бұрын
Chagamba zipo nyingi yu mbona..hata hii ukimaliza tu itapostiwa pahala.
@DM_15
14 күн бұрын
Ondoa shaka familia
@Finestonline
14 күн бұрын
@@femidayahaya4882 msaada wako ndugu yangu nipate link zake tu familia wanaua sana nguvu kazi yangu 🙏
@salimkadenge3231
14 күн бұрын
Poa gamba
Tunamuombea Maisha marefu sana Mzee Saidi ili tuweze kumfaidi maana anatupa raha sana Nawe Changamba hongera kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kwa muda wa nusu saa watazamaji wanaomfuatilia Mzee Saidi 1.2k🎉🎉🎉🎉❤❤.Shikilia hapo hapo Chagamba kwa kumhoji Mzee Saidi kula siku.
@user-ho1jq3ut2w
12 күн бұрын
🎉Yjistyuyyyuu98888😮
Mzee Saidi nampenda sina maelezo kwa nn!! Ninaongeza mb kila mara ili nimsikie Mzee Saidi!! Udumu Mzee. Unatupa raha. Mwaga madini Mzee!! Nakukubali mnooo
@Shuu_mwak
12 күн бұрын
An uyu mzee awekewe ulinz kwa kweeel an me ananimalizia bando langu😂😂😂😂
Jamaniii jamaniii jamaniii 😂Chagamba na mzee saidi jamaniii nilikuwa namsubili mzee saidi 😂Chagamba anainjoi sanaaaaaa LIKE 10 😂
@mjumbemwanda9666
14 күн бұрын
Hadi wanawake mnapenda mpira? ❤
@abasikusaga6132
14 күн бұрын
❤ kumbe na wewe umoo
@MwanzoNyedeche
14 күн бұрын
Mambo mrembi
@Shadia544
13 күн бұрын
@@MwanzoNyedechepoa kipenzi changu
@Shadia544
13 күн бұрын
@@mjumbemwanda9666ndiyo tena miee yangaaaa 😂😂😂😂
Napenda hii make haina matusi bali inafurahisha sana👌👌👌👌
Kama unamkubal Mzee said gong like🎉🎉🎉🎉🎉
Yanga binwa msimu huu Asante MUNGU 🙏♥️
Mm shabiki wa yanga mzee saidi anaujua mpira kweli nampenda sana
Mzee saidi niko ujerumani wanifuraisha sana mimi ni Yanga
@Kuminamoja1995
14 күн бұрын
Nipo USA 🇺🇸 Nipe number yako
@derimkongwa5965
14 күн бұрын
Kaka nipe namba yako nashida nawewe
@derimkongwa5965
14 күн бұрын
@@Kuminamoja1995kaka nipe namba yako nashida naww
@derimkongwa5965
14 күн бұрын
Nipe namba yako kaka nashida naww
Nimekuwa wa Kwanza jmn,, from Oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲 nilikumic Mzee saidi
@GeradinaJohn-xh8pw
14 күн бұрын
Sawa Oman wa Tz😂😂
@gidanoagustino9056
14 күн бұрын
😂😂😂
@BaruaniBakari
14 күн бұрын
Mzee saidi ww.wachekesha kweli jamani mungu akuweke
Mungu akupe maisha marefu mzee SAID nakupnda sana mm napenda sana kukuckiliza wewe MB zangu naeka kwa sabb yako ila mm ni YANGAAAAAAAAAAAAAAAAAA ila mzee SAID AZIZ bado yupe sana YANGAAAAAAAAAA.
Chagamba kazi Yako unaitenda vizuri aise
Yan Bato La Mzee Said Akunag Wakulimaliza🔥🔥🔥
Maze Said ni msema kweli, big up Chagamba, big up Mzee Said, big up Miraji a.k.a Mara moja
😂😂 Mzee Said na Gamba hii perfect combo
Yan mzee Said ukwl unamzid jemedar KABSA Mungu akupe Maisha marefu mzee Wangu❤ ishi miaka 💯 tuenjoi burudan
Kumekucha kumekucha na mzee Said
Nimecheka jamani 😂😂 mzee said
Kumekucha kumekucha 😂😂 Baba yangu mzee Said, Gamba tuwekee no.ya mzee Said jamni. 😂😂
Chagamba nilikuwa nimechoka Sanaa nimetoka kazin lakin baada ya kumwona huyu mzeee nimefurah Sanaa ahsant sana
Ila Mzee Saidi bhana 🔥🔥🔥
Mzee Said mzee wa mpira anajua sana mpira na anajua kumtambua mchezaji kila la kheri mzee saidi wachezaji wako kwa mtazamo wanaonekana wanaujua
@shefatiakeleye897
13 күн бұрын
Mhuuuu😂😂
Huyu mzee nampendaaa sanaaaa
Ngendembe imeanza lini tena mzee saidi 😂😂😂😂😂😂😂
Mmm h ni kweriii Mzee Said maneno yake yana maaana Tz bila uchawiii wachezaji hawatobowiii wazeee wa Simba kaeni mapema mtafakari ni wapi mmekosea hizo gori 5 mchezo ulikuwaje e uwanjani wachezaji wa Yanga waliingilua Mlango ganisiku ya mchezo hiyo ni Vita ya kisasiiiiiii Simba kurudisha ufalume❤❤❤❤❤
@trice_yanga
13 күн бұрын
nakuona mchawi umetoaa maoni😂
@mohdkhatib223
13 күн бұрын
Hapa kama simba wanataka ushindi watengeneze timu na wakinunua wachezaji wanunue wachezaji wa viwango na si wachezaji wa mafungu.
Mzee Said bado hujasema 😂😂
Mzee said kipenzi cha wana yanga . Yanga tunakupenda sana mzee said. Wewe ni kipenzi chetu
@evansmoshi1923
14 күн бұрын
Wana yanga chawa wenu huyu ntunzeni sana?
@VedastinaVedarian
13 күн бұрын
Tupo na mzee said mpka wamfukuze ahamie kwetu 😅
😂😂,😂 chagamba mwambie mzee saidi tunafulahi sana kumskia mwanasimba wenzie tupo nyuma yake
Tulikumiss sanaaaa xema saiz chagamba anazingua 😂😂😂😂😂😂
Kkkkkkk Mzee Saidi nakupata vizurii nikiwa Kampala. Wazingue team!!! Makoe,kutunguluka,juijuijuii!!!! Kkkkkkkkkkk,misemo Yako,kweli nimeingia kamsi nimepotea...
Nakuelewa sana mzee said
BOKA TENA?? WAMELETA MWINGINE?? JANA?? ANAITWA BOKA!! KATOKA WAPI??? EEEH!😢😢
Daaah ebana hapo sasa afadhar nimepata furaha ya moyo.pamoja sana gamba mpe salam mzee said
Uwa nasubiri interview ya mzee Said,Hao wengine wakina kisugu siasa nyingi mara mama mara nyoko
Mzee wetu said tunampenda sanaa
@rashadymuhamad6293
9 күн бұрын
Yaani tunampenda vibaya mnoooo!!!
😅😅😅😅😅😅mzee unateseka sana poleee
Mzee wa ngendembwe!! Mzee Said uko vizuri
Mzee Said umetoa SMG kwa YANGA, wewe umebaki GOBOLE, Pole Sana.
😅😅😅 mzee side angalia usije mpiga vibaoooo huyo chagamba aisee jaman nmecheka sanaaa😂😂
Huhuuuu! Mzee Said utauaa, eti hamna cha Mkwara wala Mkwaraaaa😃😃
Nimemsubiri Sana mzee said hivi viongozi wa kaole Sanaa wako wapi kipaji hiki jamani kwenye maigizo
Mambo yashaaanza uku😂😂😂
Mimi ni mwananch ! ila I like Mzee Said. He also makes me to be happy when I’m very stressful.
IMENIUMA SANA KUMUACHA SAIDOO NTOMBANDOKIZA
@MpembaMayunga
13 күн бұрын
😂😂😂😂 xhenzi zako
Gamba Augustine ni namba 6 Gambaaaaa unampoteza Mzee ila hapo kwa Deborah nimecheka sana😅😅😅😅
Pamoja sana mzee wetu saidi 🤗
Nilitaka kushangaa bila kumtaja saidoo
Hongereni sana kwa kipindi kizuri,mzee saidi namkubali sana....msema ukweli
Jaman Nampenda sana Mzee Saidi,Deboraaaaaaah Hahahaaaaaaaaaaa
Nimejikuta nimecheka kwa sauti ety nyooo😂😂
Mzeee said kwann wakuite Deborah 😂😂😂
Mzee saidiiiìii unanichekesha mpaka basi,nawapata kutokea mascat Oman,
Sasa😂😂😂😅 jamani mzee said, huyo chagamba kakosea nini? Usimpige huyo
Chagamba hapa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tunakupata vilivyo....😂😂
Mzee said ni 🔥🔥🔥
Noma sana mkuu mzee saidi huyu
Ila mzee saidii 😂😂😂
mzee saidi ni shidaa sana mjini
Mimi yanga ila mzee Saidi na ENJOY kumsikiliza,,
Mzee Said muwe mnamlipa hela kama hamuwezi wekani namba
@KaujuMwakajumba
13 күн бұрын
Kweli bwana mzee hata fridge Hana
Mzee said umeongea point Sana viongozi wa Simba wachukue Huu ushauri
Mzee Said upo sasa kabisa
Nikiwa from uganda I love said o
Mi mwemyewe mzee sis nimemc sana
Gamba kwanini malizia ukuta wa yeriko😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 Mzee Saidi bana😅😅😅😅
Mzee wangu Said 🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦mimi ni shabiki yako kindakindaki, ila mimi YANGA 😂😂😂😂😂
Mzee saidi unatufurahisha san wanayanga,......najua ndo tumejazana apa
Chagamba yupo kama kunguni vile anang'ata huku anapuliza taratibu 😂😂😂😂🙌🙌🙌
@rashadymuhamad6293
9 күн бұрын
Kwa kweli, hivyo hivyo yaaaniii.
Hongera sana Mzee saidi wewe ni mkweli siku zotee
Gambaaa una enjoy San 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 sem mzee Saidy
😂😂😂 mzee wetu saidi leo anaongea kwa uchungu sana
Chagamba unatukosea weka namba tuchangie hela ya maji kwa mzee said na miraji mahojiano mazuri sana 🎉🎉
😂😂😂nilikumc mzee said😂😂😂
Chagamba jitahidi kila siku ukutane na Mzee Saidi mi MSURE mbaya.Wanafamilia tunampenda sana ,hasa kwa ukweli wake,vichekesho na lugha yake ya utani.Mie nacheka tu huku na kuongeza uhai wangu😂😂😂
Mzee Said yuko safi mbona Jobe haongelewi?
Nasema tena, Mzee Saidi hamia Yanga roho yako itulie mzee wangu
Mzee saidi saidiya simba yako
Watakuwa wanaijua daby Kwan hata kwao kuna daby
wakikuita debora na wew waite joicy
Yaani Mzee Saidi wenye kukuelewa wamekuelewa
mzee saidi mm nakukubali sana hata kama nimevugwa nikikusikia bavu sina🤣🤣🤩
Wee mzeee saidi noma sn Nina zawadi yk nitafute mzee wang
Hatarii mzee said
Mzee said bn nakukubali sna
Mzee said bana we leo umeamua je
Nakuelewa mzee said
Mzee Said nakufatilia vyema sana kila utupiapo interview mpya Nipo Bin Umran Doha Qatar hapa
@hyy4114
12 күн бұрын
Upo umran mm nipo Umqan
Ndomana watoto wayanga wananita debora😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Thank you so much said I love you me I live from yuganda
😂😂😂😂😂😂😂mezee said jamani nampendaa saan😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mwenye nambar yake naombeni ninavocha yake laki 1chagamba nicheki mwanagu mie ni yanga ila nampendaa saan mzee Saidi😂😂😂like za mzee said ♥️
Saido mzee kukimbia hadi ajikusanye kama tairi za scania😂😂😂
Mzee said x hii tunakubandikia bango mlangoni kwako
Mzee saidi bwana mungu akupe maisha marefu
Chagamba ww yanga mzee said nakuelewa sana
Kwa sasa hv hawawez kumuelewa mzee Said.lkn ngoja ligi ikianza ndio watamuelewa vzr anachomaanisha huyo mzee.hahahaaaaa walah mzee said unanifurahisha sanaaa.na ww chagamba unachombeza kiunafki km vile huelewi simba watavyodhalilishwa na yanga😅😅😅
Changaba unakuwa unamcheleweaha sana Mzee saidi
Mzee saidi unasema ukweli utupu
Mzee saidi unanipa burudani jamaniii ata kula sijala sababu ya maneno yako