MZEE SAID| TUKIFUNGWA NA YANGA TU USAJILI WOTE UTAKUWA MBOVU |TUTATUKANA VIONGOZI WATU WAMEKULA PESA

Пікірлер: 548

  • @Finestonline
    @Finestonline14 күн бұрын

    FAMILIA KUIPATA CONTENT YA MZEE SAID NI KAZI NGUMU MNOO......MSAADA KOKOTE UTAKAKOKUTA MTU AMEIBA HII CONTENT AKAIPOST KWAKE NITUMIE LINK YAKE 0782100162 HUYO ALIEPOST UTAKUWA UMENISAIDIA SANA FAMILIA🙏

  • @RukhayyahMtutuma

    @RukhayyahMtutuma

    14 күн бұрын

    pamoja familia

  • @femidayahaya4882

    @femidayahaya4882

    14 күн бұрын

    Chagamba zipo nyingi yu mbona..hata hii ukimaliza tu itapostiwa pahala.

  • @DM_15

    @DM_15

    14 күн бұрын

    Ondoa shaka familia

  • @Finestonline

    @Finestonline

    14 күн бұрын

    @@femidayahaya4882 msaada wako ndugu yangu nipate link zake tu familia wanaua sana nguvu kazi yangu 🙏

  • @salimkadenge3231

    @salimkadenge3231

    14 күн бұрын

    Poa gamba

  • @stevenobure8241
    @stevenobure824114 күн бұрын

    Tunamuombea Maisha marefu sana Mzee Saidi ili tuweze kumfaidi maana anatupa raha sana Nawe Changamba hongera kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia414014 күн бұрын

    Kwa muda wa nusu saa watazamaji wanaomfuatilia Mzee Saidi 1.2k🎉🎉🎉🎉❤❤.Shikilia hapo hapo Chagamba kwa kumhoji Mzee Saidi kula siku.

  • @user-ho1jq3ut2w

    @user-ho1jq3ut2w

    12 күн бұрын

    🎉Yjistyuyyyuu98888😮

  • @christophermbuga9623
    @christophermbuga962314 күн бұрын

    Mzee Saidi nampenda sina maelezo kwa nn!! Ninaongeza mb kila mara ili nimsikie Mzee Saidi!! Udumu Mzee. Unatupa raha. Mwaga madini Mzee!! Nakukubali mnooo

  • @Shuu_mwak

    @Shuu_mwak

    12 күн бұрын

    An uyu mzee awekewe ulinz kwa kweeel an me ananimalizia bando langu😂😂😂😂

  • @Shadia544
    @Shadia54414 күн бұрын

    Jamaniii jamaniii jamaniii 😂Chagamba na mzee saidi jamaniii nilikuwa namsubili mzee saidi 😂Chagamba anainjoi sanaaaaaa LIKE 10 😂

  • @mjumbemwanda9666

    @mjumbemwanda9666

    14 күн бұрын

    Hadi wanawake mnapenda mpira? ❤

  • @abasikusaga6132

    @abasikusaga6132

    14 күн бұрын

    ❤ kumbe na wewe umoo

  • @MwanzoNyedeche

    @MwanzoNyedeche

    14 күн бұрын

    Mambo mrembi

  • @Shadia544

    @Shadia544

    13 күн бұрын

    ​@@MwanzoNyedechepoa kipenzi changu

  • @Shadia544

    @Shadia544

    13 күн бұрын

    ​@@mjumbemwanda9666ndiyo tena miee yangaaaa 😂😂😂😂

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw14 күн бұрын

    Napenda hii make haina matusi bali inafurahisha sana👌👌👌👌

  • @MpembaMayunga
    @MpembaMayunga13 күн бұрын

    Kama unamkubal Mzee said gong like🎉🎉🎉🎉🎉

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane307714 күн бұрын

    Yanga binwa msimu huu Asante MUNGU 🙏♥️

  • @YusuphMayunga-z8l
    @YusuphMayunga-z8l14 күн бұрын

    Mm shabiki wa yanga mzee saidi anaujua mpira kweli nampenda sana

  • @alikawinga2289
    @alikawinga228914 күн бұрын

    Mzee saidi niko ujerumani wanifuraisha sana mimi ni Yanga

  • @Kuminamoja1995

    @Kuminamoja1995

    14 күн бұрын

    Nipo USA 🇺🇸 Nipe number yako

  • @derimkongwa5965

    @derimkongwa5965

    14 күн бұрын

    Kaka nipe namba yako nashida nawewe

  • @derimkongwa5965

    @derimkongwa5965

    14 күн бұрын

    ​@@Kuminamoja1995kaka nipe namba yako nashida naww

  • @derimkongwa5965

    @derimkongwa5965

    14 күн бұрын

    Nipe namba yako kaka nashida naww

  • @OmanAlkamil-nl2zw
    @OmanAlkamil-nl2zw14 күн бұрын

    Nimekuwa wa Kwanza jmn,, from Oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲 nilikumic Mzee saidi

  • @GeradinaJohn-xh8pw

    @GeradinaJohn-xh8pw

    14 күн бұрын

    Sawa Oman wa Tz😂😂

  • @gidanoagustino9056

    @gidanoagustino9056

    14 күн бұрын

    😂😂😂

  • @BaruaniBakari

    @BaruaniBakari

    14 күн бұрын

    Mzee saidi ww.wachekesha kweli jamani mungu akuweke

  • @user-we3cm7db2h
    @user-we3cm7db2h14 күн бұрын

    Mungu akupe maisha marefu mzee SAID nakupnda sana mm napenda sana kukuckiliza wewe MB zangu naeka kwa sabb yako ila mm ni YANGAAAAAAAAAAAAAAAAAA ila mzee SAID AZIZ bado yupe sana YANGAAAAAAAAAA.

  • @BADILIJUSTUS-fs3oo
    @BADILIJUSTUS-fs3oo14 күн бұрын

    Chagamba kazi Yako unaitenda vizuri aise

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing14 күн бұрын

    Yan Bato La Mzee Said Akunag Wakulimaliza🔥🔥🔥

  • @GodblessMushi-e6y
    @GodblessMushi-e6y14 күн бұрын

    Maze Said ni msema kweli, big up Chagamba, big up Mzee Said, big up Miraji a.k.a Mara moja

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy849914 күн бұрын

    😂😂 Mzee Said na Gamba hii perfect combo

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z13 күн бұрын

    Yan mzee Said ukwl unamzid jemedar KABSA Mungu akupe Maisha marefu mzee Wangu❤ ishi miaka 💯 tuenjoi burudan

  • @michaelmduba5931
    @michaelmduba593114 күн бұрын

    Kumekucha kumekucha na mzee Said

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q14 күн бұрын

    Nimecheka jamani 😂😂 mzee said

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc14 күн бұрын

    Kumekucha kumekucha 😂😂 Baba yangu mzee Said, Gamba tuwekee no.ya mzee Said jamni. 😂😂

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga41714 күн бұрын

    Chagamba nilikuwa nimechoka Sanaa nimetoka kazin lakin baada ya kumwona huyu mzeee nimefurah Sanaa ahsant sana

  • @MichaelMwambango
    @MichaelMwambango14 күн бұрын

    Ila Mzee Saidi bhana 🔥🔥🔥

  • @BADAWY575
    @BADAWY57514 күн бұрын

    Mzee Said mzee wa mpira anajua sana mpira na anajua kumtambua mchezaji kila la kheri mzee saidi wachezaji wako kwa mtazamo wanaonekana wanaujua

  • @shefatiakeleye897

    @shefatiakeleye897

    13 күн бұрын

    Mhuuuu😂😂

  • @emaculatemakoi8226
    @emaculatemakoi822614 күн бұрын

    Huyu mzee nampendaaa sanaaaa

  • @JANE-jv4eq
    @JANE-jv4eq14 күн бұрын

    Ngendembe imeanza lini tena mzee saidi 😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y14 күн бұрын

    Mmm h ni kweriii Mzee Said maneno yake yana maaana Tz bila uchawiii wachezaji hawatobowiii wazeee wa Simba kaeni mapema mtafakari ni wapi mmekosea hizo gori 5 mchezo ulikuwaje e uwanjani wachezaji wa Yanga waliingilua Mlango ganisiku ya mchezo hiyo ni Vita ya kisasiiiiiii Simba kurudisha ufalume❤❤❤❤❤

  • @trice_yanga

    @trice_yanga

    13 күн бұрын

    nakuona mchawi umetoaa maoni😂

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    13 күн бұрын

    Hapa kama simba wanataka ushindi watengeneze timu na wakinunua wachezaji wanunue wachezaji wa viwango na si wachezaji wa mafungu.

  • @minazsaid2470
    @minazsaid247014 күн бұрын

    Mzee Said bado hujasema 😂😂

  • @deogratiaspmwolo1942
    @deogratiaspmwolo194214 күн бұрын

    Mzee said kipenzi cha wana yanga . Yanga tunakupenda sana mzee said. Wewe ni kipenzi chetu

  • @evansmoshi1923

    @evansmoshi1923

    14 күн бұрын

    Wana yanga chawa wenu huyu ntunzeni sana?

  • @VedastinaVedarian

    @VedastinaVedarian

    13 күн бұрын

    Tupo na mzee said mpka wamfukuze ahamie kwetu 😅

  • @zakayomgaya2758
    @zakayomgaya275814 күн бұрын

    😂😂,😂 chagamba mwambie mzee saidi tunafulahi sana kumskia mwanasimba wenzie tupo nyuma yake

  • @user-eh6wn9qf4b
    @user-eh6wn9qf4b14 күн бұрын

    Tulikumiss sanaaaa xema saiz chagamba anazingua 😂😂😂😂😂😂

  • @leoncengabo5799
    @leoncengabo579914 күн бұрын

    Kkkkkkk Mzee Saidi nakupata vizurii nikiwa Kampala. Wazingue team!!! Makoe,kutunguluka,juijuijuii!!!! Kkkkkkkkkkk,misemo Yako,kweli nimeingia kamsi nimepotea...

  • @WilliamStanley-m8u
    @WilliamStanley-m8u14 күн бұрын

    Nakuelewa sana mzee said

  • @kelvinkumila4708
    @kelvinkumila470814 күн бұрын

    BOKA TENA?? WAMELETA MWINGINE?? JANA?? ANAITWA BOKA!! KATOKA WAPI??? EEEH!😢😢

  • @BarnabaJaphet
    @BarnabaJaphet14 күн бұрын

    Daaah ebana hapo sasa afadhar nimepata furaha ya moyo.pamoja sana gamba mpe salam mzee said

  • @Sadick-vb5gg
    @Sadick-vb5gg14 күн бұрын

    Uwa nasubiri interview ya mzee Said,Hao wengine wakina kisugu siasa nyingi mara mama mara nyoko

  • @user-ls2pp5hi6m
    @user-ls2pp5hi6m14 күн бұрын

    Mzee wetu said tunampenda sanaa

  • @rashadymuhamad6293

    @rashadymuhamad6293

    9 күн бұрын

    Yaani tunampenda vibaya mnoooo!!!

  • @user-hp5zf2fw4o
    @user-hp5zf2fw4o14 күн бұрын

    😅😅😅😅😅😅mzee unateseka sana poleee

  • @christophermbuga9623
    @christophermbuga962314 күн бұрын

    Mzee wa ngendembwe!! Mzee Said uko vizuri

  • @chumaramadhani.7581
    @chumaramadhani.758114 күн бұрын

    Mzee Said umetoa SMG kwa YANGA, wewe umebaki GOBOLE, Pole Sana.

  • @MariamMbonde-v1e
    @MariamMbonde-v1e14 күн бұрын

    😅😅😅 mzee side angalia usije mpiga vibaoooo huyo chagamba aisee jaman nmecheka sanaaa😂😂

  • @cleophasmkungu623
    @cleophasmkungu62313 күн бұрын

    Huhuuuu! Mzee Said utauaa, eti hamna cha Mkwara wala Mkwaraaaa😃😃

  • @PeterTelemka
    @PeterTelemka14 күн бұрын

    Nimemsubiri Sana mzee said hivi viongozi wa kaole Sanaa wako wapi kipaji hiki jamani kwenye maigizo

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela198714 күн бұрын

    Mambo yashaaanza uku😂😂😂

  • @PlanetLeo721
    @PlanetLeo72113 күн бұрын

    Mimi ni mwananch ! ila I like Mzee Said. He also makes me to be happy when I’m very stressful.

  • @GIFT37tv
    @GIFT37tv13 күн бұрын

    IMENIUMA SANA KUMUACHA SAIDOO NTOMBANDOKIZA

  • @MpembaMayunga

    @MpembaMayunga

    13 күн бұрын

    😂😂😂😂 xhenzi zako

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy849914 күн бұрын

    Gamba Augustine ni namba 6 Gambaaaaa unampoteza Mzee ila hapo kwa Deborah nimecheka sana😅😅😅😅

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf13 күн бұрын

    Pamoja sana mzee wetu saidi 🤗

  • @user-pw4hw5sx6e
    @user-pw4hw5sx6e14 күн бұрын

    Nilitaka kushangaa bila kumtaja saidoo

  • @nelsonlugaimukamu6611
    @nelsonlugaimukamu661113 күн бұрын

    Hongereni sana kwa kipindi kizuri,mzee saidi namkubali sana....msema ukweli

  • @mwanaidimtengo8151
    @mwanaidimtengo815114 күн бұрын

    Jaman Nampenda sana Mzee Saidi,Deboraaaaaaah Hahahaaaaaaaaaaa

  • @westonyjob1747
    @westonyjob174712 күн бұрын

    Nimejikuta nimecheka kwa sauti ety nyooo😂😂

  • @trice_yanga
    @trice_yanga13 күн бұрын

    Mzeee said kwann wakuite Deborah 😂😂😂

  • @user-tk5wi3gi5o
    @user-tk5wi3gi5o14 күн бұрын

    Mzee saidiiiìii unanichekesha mpaka basi,nawapata kutokea mascat Oman,

  • @musamwakalibule3383
    @musamwakalibule338314 күн бұрын

    Sasa😂😂😂😅 jamani mzee said, huyo chagamba kakosea nini? Usimpige huyo

  • @user-lr6kf6bf9l
    @user-lr6kf6bf9l14 күн бұрын

    Chagamba hapa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tunakupata vilivyo....😂😂

  • @MusaDadi-pd3jd
    @MusaDadi-pd3jd12 күн бұрын

    Mzee said ni 🔥🔥🔥

  • @jofreymsomba4652
    @jofreymsomba465214 күн бұрын

    Noma sana mkuu mzee saidi huyu

  • @shabanihaji3896
    @shabanihaji389614 күн бұрын

    Ila mzee saidii 😂😂😂

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa592013 күн бұрын

    mzee saidi ni shidaa sana mjini

  • @halidijuma1884
    @halidijuma188414 күн бұрын

    Mimi yanga ila mzee Saidi na ENJOY kumsikiliza,,

  • @MohammedIsmail-fw9vn
    @MohammedIsmail-fw9vn14 күн бұрын

    Mzee Said muwe mnamlipa hela kama hamuwezi wekani namba

  • @KaujuMwakajumba

    @KaujuMwakajumba

    13 күн бұрын

    Kweli bwana mzee hata fridge Hana

  • @taufiqis-haq536
    @taufiqis-haq53613 күн бұрын

    Mzee said umeongea point Sana viongozi wa Simba wachukue Huu ushauri

  • @EdsonMdagachule
    @EdsonMdagachule14 күн бұрын

    Mzee Said upo sasa kabisa

  • @tamariamisi3540
    @tamariamisi35407 күн бұрын

    Nikiwa from uganda I love said o

  • @EmmanuliM.lugembe
    @EmmanuliM.lugembe14 күн бұрын

    Mi mwemyewe mzee sis nimemc sana

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc14 күн бұрын

    Gamba kwanini malizia ukuta wa yeriko😂😂😂😂😂

  • @mrrockboy9508
    @mrrockboy950814 күн бұрын

    😂😂😂😂 Mzee Saidi bana😅😅😅😅

  • @jabalimikechi7750
    @jabalimikechi775013 күн бұрын

    Mzee wangu Said 🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦mimi ni shabiki yako kindakindaki, ila mimi YANGA 😂😂😂😂😂

  • @EliasMyeya
    @EliasMyeya14 күн бұрын

    Mzee saidi unatufurahisha san wanayanga,......najua ndo tumejazana apa

  • @HanafyTuwa
    @HanafyTuwa13 күн бұрын

    Chagamba yupo kama kunguni vile anang'ata huku anapuliza taratibu 😂😂😂😂🙌🙌🙌

  • @rashadymuhamad6293

    @rashadymuhamad6293

    9 күн бұрын

    Kwa kweli, hivyo hivyo yaaaniii.

  • @gideonchipepo8405
    @gideonchipepo840513 күн бұрын

    Hongera sana Mzee saidi wewe ni mkweli siku zotee

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz848514 күн бұрын

    Gambaaa una enjoy San 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 sem mzee Saidy

  • @geraldndosi2083
    @geraldndosi208313 күн бұрын

    😂😂😂 mzee wetu saidi leo anaongea kwa uchungu sana

  • @nacetsiringa1334
    @nacetsiringa133412 күн бұрын

    Chagamba unatukosea weka namba tuchangie hela ya maji kwa mzee said na miraji mahojiano mazuri sana 🎉🎉

  • @witnessgeorge1976
    @witnessgeorge197614 күн бұрын

    😂😂😂nilikumc mzee said😂😂😂

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia414014 күн бұрын

    Chagamba jitahidi kila siku ukutane na Mzee Saidi mi MSURE mbaya.Wanafamilia tunampenda sana ,hasa kwa ukweli wake,vichekesho na lugha yake ya utani.Mie nacheka tu huku na kuongeza uhai wangu😂😂😂

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian14 күн бұрын

    Mzee Said yuko safi mbona Jobe haongelewi?

  • @assumedprivacy3940
    @assumedprivacy394014 күн бұрын

    Nasema tena, Mzee Saidi hamia Yanga roho yako itulie mzee wangu

  • @user-zq2tj9gr6r
    @user-zq2tj9gr6r14 күн бұрын

    Mzee saidi saidiya simba yako

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder702214 күн бұрын

    Watakuwa wanaijua daby Kwan hata kwao kuna daby

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla14 күн бұрын

    wakikuita debora na wew waite joicy

  • @phiddeschacha3143
    @phiddeschacha314314 күн бұрын

    Yaani Mzee Saidi wenye kukuelewa wamekuelewa

  • @nasibumuya4504
    @nasibumuya450412 күн бұрын

    mzee saidi mm nakukubali sana hata kama nimevugwa nikikusikia bavu sina🤣🤣🤩

  • @chrispinallan3683
    @chrispinallan368314 күн бұрын

    Wee mzeee saidi noma sn Nina zawadi yk nitafute mzee wang

  • @clementmmbaga3052
    @clementmmbaga305214 күн бұрын

    Hatarii mzee said

  • @jamesmakaranga1170
    @jamesmakaranga117014 күн бұрын

    Mzee said bn nakukubali sna

  • @kingslove7772
    @kingslove777214 күн бұрын

    Mzee said bana we leo umeamua je

  • @WilliamStanley-m8u
    @WilliamStanley-m8u14 күн бұрын

    Nakuelewa mzee said

  • @moseshaji1177
    @moseshaji117713 күн бұрын

    Mzee Said nakufatilia vyema sana kila utupiapo interview mpya Nipo Bin Umran Doha Qatar hapa

  • @hyy4114

    @hyy4114

    12 күн бұрын

    Upo umran mm nipo Umqan

  • @gaspermathayo5204
    @gaspermathayo520413 күн бұрын

    Ndomana watoto wayanga wananita debora😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @tamariamisi3540
    @tamariamisi35407 күн бұрын

    Thank you so much said I love you me I live from yuganda

  • @Hgd-jk6lh
    @Hgd-jk6lh13 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂mezee said jamani nampendaa saan😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mwenye nambar yake naombeni ninavocha yake laki 1chagamba nicheki mwanagu mie ni yanga ila nampendaa saan mzee Saidi😂😂😂like za mzee said ♥️

  • @rozamabagala6242
    @rozamabagala62423 күн бұрын

    Saido mzee kukimbia hadi ajikusanye kama tairi za scania😂😂😂

  • @HassanHassan-vh6pc
    @HassanHassan-vh6pc14 күн бұрын

    Mzee said x hii tunakubandikia bango mlangoni kwako

  • @harunimsangi7770
    @harunimsangi777012 күн бұрын

    Mzee saidi bwana mungu akupe maisha marefu

  • @AllyMaketa
    @AllyMaketa13 күн бұрын

    Chagamba ww yanga mzee said nakuelewa sana

  • @ramadhankombe2643
    @ramadhankombe264314 күн бұрын

    Kwa sasa hv hawawez kumuelewa mzee Said.lkn ngoja ligi ikianza ndio watamuelewa vzr anachomaanisha huyo mzee.hahahaaaaa walah mzee said unanifurahisha sanaaa.na ww chagamba unachombeza kiunafki km vile huelewi simba watavyodhalilishwa na yanga😅😅😅

  • @EmmanuliM.lugembe
    @EmmanuliM.lugembe14 күн бұрын

    Changaba unakuwa unamcheleweaha sana Mzee saidi

  • @godwingobe1887
    @godwingobe188714 күн бұрын

    Mzee saidi unasema ukweli utupu

  • @claragodfrey2985
    @claragodfrey298514 күн бұрын

    Mzee saidi unanipa burudani jamaniii ata kula sijala sababu ya maneno yako

Келесі