Finest Online

Finest Online

Explosive Exclusive

Пікірлер

  • @adrianorayner6551
    @adrianorayner65512 минут бұрын

    😂😂😂

  • @WestonMbuba-ff4jk
    @WestonMbuba-ff4jk2 минут бұрын

    Mzee Saidi kachukia kweli. Kaumia mno

  • @mdemualphonce1559
    @mdemualphonce15594 минут бұрын

    Hamueleweki

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg30715 минут бұрын

    Ngao ya jamii wanacheza Azam

  • @Jamila-qf2dp
    @Jamila-qf2dp21 минут бұрын

    Mzee saidi unatisha

  • @user-gu6pw7ku2z
    @user-gu6pw7ku2z25 минут бұрын

    😅😅😅 yumooo yule yumoooo usikatae

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga129040 минут бұрын

    Waru wa Bongo Movie wameone huyu jamaa. Ana kipaji cha kuzaliwa!

  • @malangobinlokendo1231
    @malangobinlokendo123150 минут бұрын

    Huyu ndo mtu wangu mimi #Mzee_Saidi From US #Monrovia_Indiana 🇺🇸

  • @maribahanyora8478
    @maribahanyora847853 минут бұрын

    Haha😂😂😂eti mizee ya simba

  • @maribahanyora8478
    @maribahanyora847856 минут бұрын

    Mzee amenyooka kabiss hataki longolongo

  • @ReginadAloyce
    @ReginadAloyceСағат бұрын

    😂😂😂🎉🎉🎉 ila chagambaaaaaa gambaaa

  • @ReginadAloyce
    @ReginadAloyceСағат бұрын

    Gamba gambaaa

  • @user-sm6mq1du3c
    @user-sm6mq1du3cСағат бұрын

    Dah mzeee wang ixhi miaka ming

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318Сағат бұрын

    Na subiri Miraji sijui mabega ya Chagamba kama ya takuaje

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318Сағат бұрын

    Mie nilisubiri sana

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5pСағат бұрын

    Xavi mtupu

  • @claragodfrey2985
    @claragodfrey2985Сағат бұрын

    Mzee saidi upo vizuri

  • @user-fg8hg9fe1w
    @user-fg8hg9fe1wСағат бұрын

    Chagamba nitafutie miraji😂😂😂

  • @claragodfrey2985
    @claragodfrey2985Сағат бұрын

    Mwandishi apo umepatia mzee saidi safi

  • @sikatendedidas7255
    @sikatendedidas72552 сағат бұрын

    Mwamba 😂😂😂😂

  • @magigekassim-ow6zm
    @magigekassim-ow6zm2 сағат бұрын

    Inauma sana jamani

  • @user-kc3tt9km5z
    @user-kc3tt9km5z2 сағат бұрын

    Mzee saidi kuongea tuu kuoga anhaaa

  • @DullaMasharubu
    @DullaMasharubu2 сағат бұрын

    Mzee said si alisema chama bc tena

  • @user-ug1nv3xl4d
    @user-ug1nv3xl4d3 сағат бұрын

    😂😂 ila mzee saidi nyie mlivotunyang'anya Morrison leo kimewauma ee

  • @MackrinyDonard
    @MackrinyDonard3 сағат бұрын

    Ulitaka acheze milele

  • @juliusjaliwa9887
    @juliusjaliwa98873 сағат бұрын

    @chagamba please naomba phone number ya Mzee Said nimutumie hela ya soda, ua ananifuraisha sana, please please 🙏

  • @user-yr5gi7cy7i
    @user-yr5gi7cy7i3 сағат бұрын

    Unamtukana mzee umri wa bb au babu yako,sio vizuri,uwe na subira,mungu hapendi,wazee kama hawa ni lulu kuwa nao ktk michezo inayopendwa na wengi duniani

  • @MackrinyDonard
    @MackrinyDonard3 сағат бұрын

    Acha kuzeeka vibaya

  • @user-yr5gi7cy7i
    @user-yr5gi7cy7i3 сағат бұрын

    Wachezaji wa m/ kiti na tr agn.hao frd na p jo.mwanasiasa na mpira wp na wp

  • @user-yr5gi7cy7i
    @user-yr5gi7cy7i3 сағат бұрын

    Chagamba,tv yenu mmefanikiwa sana hapa mjini kwa kuwapata mzee saidi na miraji.

  • @gatonindabunguye7237
    @gatonindabunguye72373 сағат бұрын

    Usajili wa mwisho ni kumuleta muzee said jangwani full stop

  • @user-yr5gi7cy7i
    @user-yr5gi7cy7i3 сағат бұрын

    Sasa hivi mzee saidi ndio mwamba wa habari na anaeichangamsha na anaeinogesha habari za michezo haswa simba na yanga kwa mbali,huyu sasa ni lulu anastahili apate kinachostahili ili nae aneemeke kwa kuwa kivutio cha habari hapa TZ haswa dar.

  • @drallan6879
    @drallan68793 сағат бұрын

    gone too soon chama;tutakumiss mno cha;ubahili WA mo umetucost

  • @lucasmombo-di4zr
    @lucasmombo-di4zr3 сағат бұрын

    Mwanzo mwisho , mzee said 🎉

  • @chemstry409
    @chemstry4094 сағат бұрын

    MZEE SAID UGOMVI KAUAMISHIA KWA MH MAVUNDE....KAZI ANAYO.......😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MauBonde
    @MauBonde4 сағат бұрын

    Yanga tukitaka tuende mbele tuache ujinga wa kishamba ubora tunataka uwanjawani sio kupoteza hela .

  • @rafaissa2873
    @rafaissa28734 сағат бұрын

    Tunatamani siku zote awe anaongea yeye 🙏

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu4 сағат бұрын

    aondoke alikuwa ameshakuwa mzigo kilakukicha yeyetu ndo alikuwa wa migogoro borahivo walivo muacha yeye ajahianzisha simba.

  • @EmanuelSalonga
    @EmanuelSalonga4 сағат бұрын

    Chagamba umetukosea yan mi nlikua nasech Mzee saidi tusijalala 😂😂😂😂

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka2564 сағат бұрын

    MADAMU ZAKAYO HAJATOKA SIMBA TUTAUMIYA SANA

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka2564 сағат бұрын

    HAPO MZEE SAIDI UMESEMA TUMCHUKUWE AZIZI KI KAMA TUNAWEZA

  • @godfrey3926
    @godfrey39264 сағат бұрын

    Joshua MUtale, mara 10 ya Chama. Hata kama angekuwa Haaland angeondoka tu

  • @MauBonde
    @MauBonde5 сағат бұрын

    Huyu Mzee said ananimaliza mbavu zangu,wanatungulumuka kutoka juu 😂chama kaua watu,mm binafsi shabiki wa yanga ila chama tumefeli kwa mfumo wetu wa teamwork

  • @francisnyeriga
    @francisnyeriga5 сағат бұрын

    Mzee said 😂😂😂 anasema ukweli

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka2565 сағат бұрын

    MIMI KWANGU KAWAIDA TU NILICHO SIKITIKA NI KUUKOSA MKUNDU WA MCHOME ALIAHIDI ASIPOENDA KWAO UTOPOLONI MACHOGO FC ATATUPA MKUNDU 😂😂😂😂

  • @user-pn7zh9ef9x
    @user-pn7zh9ef9x5 сағат бұрын

    Mim ni mshabiki wa simba ila yanga wapewe makombe yao mapema🎉🎉🎉

  • @jumabonge8577
    @jumabonge85775 сағат бұрын

    waache wabebe fei tu kazi kwisha simba pw

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel56775 сағат бұрын

    Huyu mzee Mwehu Mwehu sana 😅

  • @ericmutalemwa8040
    @ericmutalemwa80405 сағат бұрын

    Mzee saidi anawajua WASOMALI VIZURI NI WATU WASIOKUBALI KUSHINDWA

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz84855 сағат бұрын

    Mzee saida leo ni mechelea 😂😂😂😂 so pw 😂😂😂😂😂😂😂😂