HII YA LEO KALI MZEE SAID AAMUA KUTEMA NYONGO| ANUNUA KUKU KUMUAGA SAIDO SIMBA BYE BYE SAIDO😂
Жүктеу.....
Пікірлер: 210
@user-tk1jh7rd8n10 күн бұрын
Mimi YANGA lakini mzee Said anatupa burudani kubwa sana 😂😂😂😂😂😂 MZEE AONGEZEWE MKATABA KWACHAGAMBA TUZIDI KUBURUDIKA
@bakarimmbukwini9623
10 күн бұрын
Mzee said mwamba kweli kwelikweli sasa niambie anayefuata nani baada ya saido
@trice_yanga
9 күн бұрын
wanayanga lazima tumfurahie siku timu yetu ikiyumba hutomtamani mzeee😂
@errydeo8865
9 күн бұрын
Atatuchamba huyooo😂😂😂@@trice_yanga
@errydeo8865
9 күн бұрын
Mzee Said ,TOENI SADAKA KWA WALEMAVU,WATOTO NA WAHITAJI, NDO DUA ITAFIKA! YANGA KUSHINDA FA,ZILIKUA DUA ZA WALE WATOTO! HERSI ALIWAHIDI KOMBE! MUNGU ALISIKIA DUA ZA WALE WATOTO SAID! DUA YOYOTE ITOKE ROHO SAFI! SIMBA HAMNA ROHO SAFI BADO!
@roi2554
9 күн бұрын
Hata mi pia😂😂😂
@raphaeltanzania10 күн бұрын
mzee said leo uko na Furaha sana hongera kwa Maombi yako leo yametimia
@MathiasFungavyema10 күн бұрын
😅😅😅😅 Mzee said amekua anatukosha sana sisi mashabiki wa yanga😂😂😂😂😂😂
@OmanAlkamil-nl2zw10 күн бұрын
Hatimae vita ya Mzee saidi na saido imeisha
@AlexMakanta-zn3zc10 күн бұрын
Hamisa mobeto na Azizi k wameingia kwenye formula ya Mzee Said 😂😂😂 Mbona wataisoma Number
@mnyongeiddi245410 күн бұрын
Man of the mach Mzee said 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@user-ui5xc6sb5m10 күн бұрын
😂😂😂😂 Mzee saidi unanipa rahaa sana
@gaspermathayo52049 күн бұрын
Kwanza lakwanza kukimbilia penalty 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mzeee side
😂😂usiombee mchezaji ukaingia kwenye mfumo wa Mzee saidi
@B.M-ix4rz
10 күн бұрын
Utatamani ligi iishe ukuimbie😅😅😅
@fatmaally7252
9 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@SundayTweve10 күн бұрын
Mzee said bado mangungu nae apewe thank you😢😢😢😢😢😅chagamba unafulahi sana hicho kicheko balaa unafulahishwa na mzee said
@chemstry40910 күн бұрын
Mzee wangu Mzee Said sasa hivi atakuwa na amani....😂😂😂😂😂
@B.M-ix4rz
10 күн бұрын
Weee subir ligi ianze tunapata tu furaha nyengine Kwa mzee said❤❤❤
@user-vj6py9tq9v10 күн бұрын
Hahahaaa et kugombania penat na faulo🤣🤣🤣
@user-ks9tn4uw1m10 күн бұрын
Mzee anamkataa wajna wake😂😂😂😂😂
@trice_yanga9 күн бұрын
Saidoo kaondoka sasa itabaki kwa aziiiiiiiiiiiiiiiiiiii kiiiiiiii na hamisamobetto😂😂😂
@kakwaleseleman10 күн бұрын
mzee SAIDI ulakoze chane mzee wangu, hii maana yaake ASANTE, umetisha saana mzee wangu hii ya saido kila siku nilikuwa nakusubiri hatimaye imefika ULAKOZE(Asante)
@AlexMakanta-zn3zc10 күн бұрын
Leo Mimi wa pili jamani kuwa nikutamu kumbe
@awadhhamza929610 күн бұрын
Chagamba tutaomba namba za Mzee said Hadi lini kaka ,acheni roho mbaya aiseee...tunataka tumpe 🥤
@mwanangusana
10 күн бұрын
Sio rahisi kihivyo kutoa namba za mtu kirahic rahic hivyo ndugu zanguni.... Sio wote wanaweza kuitumia kwa Nia njema
@JosephineItambu
10 күн бұрын
Namba yq chagamba iko hapo upande wa kulia chini....kama unamhitaji Mzee Said inabidi upitie kwa Chagamba kwanza kwa sababu za kiusalama wa Mzee wa watu maana sio kila mtu ana nia njema
@fatumasophu5855
10 күн бұрын
Haaah sa itakuwaje hata mi nataka no ya huyu mzee Yani I'm in ❤❤❤ with huyo mzee@@mwanangusana
@user-xq7xy9xq4n
9 күн бұрын
Unataka kumtumia mzee saidi hela tumia namba ya chagamba ipo hapo chini upande wa kulia ukisha tuma unamwambia hela ya mzee saidi
@Jastans-di5xn8 күн бұрын
Hata kama angefanya vibaya kuliko wote, hakustahili kuitwa "NUKSI" Ww huenda ulikuwa na tatizo nae toka awali aidha chuki binafsi. Mungu akusamehe na akurehem, haya kaondoka next season nisione interview yako ukihuzunika kwa matokeo mabaya Simba kwakuwa umeshasafisha "NUKSI"
@KadajhKadigh6 күн бұрын
😂😂😂😂 sema mzee said 😂😂
@juma62539 күн бұрын
Hahhahhah mzee side mtata sana eti atamkumbuka saidoo kwa kugombania penati🤣🤣🤣
@user-md8zq5cf8v10 күн бұрын
Naenjoy kumsikiliza Mzee saidi
@jumannemohamedy145610 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Nkwiooooo nkwiiioo nkwioooooo
@westonyjob174710 күн бұрын
Ila Mzee said dar mung anakuonq😅
@josiacharles277810 күн бұрын
Ivi tukitoa magoli ya saido, Simba tungekua nafasi ya ngapi?
@FredyDoto-jk8ud10 күн бұрын
Maji yatapumzika kwa mzee said kiukweli zikipita siku tatu bila kumsikiliza mzee said sijisikii aman kabisa
@ngido25510 күн бұрын
Mzee saidi very charming 😂😂
@SafiaWimana10 күн бұрын
Kuku wajirani yako 😂😂😂😂😂😂
@remidusmwanandenje-yy5gs10 күн бұрын
Eti amisa mbetoo 😂😂😂😂😂😂
@elishaedson8619 күн бұрын
Dah mzee saidi unanifurahsha sanaaa😅😅
@rehemamahendeka-rm2ek10 күн бұрын
Aah jamani,hakika CHUKI BINAFSI HAIFAI,kikoc chote msimbazi jumba bovu limemuangukia mtt wng mwana wa Buyenzi(Said Omar Ntibazonkiza),Mzee Said hebu punguza ukali wa maneno kwa kjn wako/WAJINA WAKO,hebu kumbuka jema japo 1 tu kwake..
Asa imebaki vita ya mzee saidi na alajiga😂😂 kuku anasafilisha nuksi
@ngwilunyiga244710 күн бұрын
Mzee said uko na mambo leo sana
@flaxbeatman10 күн бұрын
nimefurahi na mzee saidi leo❤❤❤❤
@user-zi8zz2vy6t8 күн бұрын
simba kua sawa mpak dulla atoke
@othmanali740810 күн бұрын
Chagamba unaona utamuu kumuhoji mzee saidi .
@LionOfWar10 күн бұрын
😂😂😂😂😂 mzee said aisee
@iddimngazija19579 күн бұрын
Saidoo hatokaa amsahau mzee said
@chakubutakamangila227410 күн бұрын
Mwambiye mzee saidi ni mnunuliye kuku mwengine kama kuna mtu aliye na namba zake naziomba
@errydeo88659 күн бұрын
Mimi Yanga,Chagamba😂😂😂😂mzee Said anajua sana Kithungu! Najiproud😂😂 Chagamba nipe namba ya mzee Said,nimtumie ela ya JOGOO! HICHO KIKUKU CHENYE MAYAI HAKITUTOSHI WANNAYANGA TUKIJA 🤣🤣 BORA NGOZI ( SUPU) LETU.....
@SundayTweve10 күн бұрын
Mzee said bado mangungu nae apewe thank you😢😢😢😢😢😅
@omwana53338 күн бұрын
Jeneza mlilolipeleka uwanjani na dhihaka kibao dhidi ya Wakristo ndo vinawatesa, tumieni midomo hiyo hiyo kuomba radhi kwa Mungu na Wakristo wote
Пікірлер: 210
Mimi YANGA lakini mzee Said anatupa burudani kubwa sana 😂😂😂😂😂😂 MZEE AONGEZEWE MKATABA KWACHAGAMBA TUZIDI KUBURUDIKA
@bakarimmbukwini9623
10 күн бұрын
Mzee said mwamba kweli kwelikweli sasa niambie anayefuata nani baada ya saido
@trice_yanga
9 күн бұрын
wanayanga lazima tumfurahie siku timu yetu ikiyumba hutomtamani mzeee😂
@errydeo8865
9 күн бұрын
Atatuchamba huyooo😂😂😂@@trice_yanga
@errydeo8865
9 күн бұрын
Mzee Said ,TOENI SADAKA KWA WALEMAVU,WATOTO NA WAHITAJI, NDO DUA ITAFIKA! YANGA KUSHINDA FA,ZILIKUA DUA ZA WALE WATOTO! HERSI ALIWAHIDI KOMBE! MUNGU ALISIKIA DUA ZA WALE WATOTO SAID! DUA YOYOTE ITOKE ROHO SAFI! SIMBA HAMNA ROHO SAFI BADO!
@roi2554
9 күн бұрын
Hata mi pia😂😂😂
mzee said leo uko na Furaha sana hongera kwa Maombi yako leo yametimia
😅😅😅😅 Mzee said amekua anatukosha sana sisi mashabiki wa yanga😂😂😂😂😂😂
Hatimae vita ya Mzee saidi na saido imeisha
Hamisa mobeto na Azizi k wameingia kwenye formula ya Mzee Said 😂😂😂 Mbona wataisoma Number
Man of the mach Mzee said 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
😂😂😂😂 Mzee saidi unanipa rahaa sana
Kwanza lakwanza kukimbilia penalty 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mzeee side
😂😂😂 Chagamba shukran Sana 😂😂 kutuletea Mzee wetu Said, 😂😂 stress free Wallah
Yan chagamba na mzee said uwa nawamic sna nikiwa saiz uku🏅🏅
Ugovi umeisha wa mzee saidi na sadiyo bado jobe na huyoakitoka sikuiyo atafanya sheele kubwa
😂😂😂😂😂😂 Mzee Said niko na kuku lingine
Jamani jaman jamani mzee said weweeee saidooo atakufata weweeee
hahaaaaaa .....wewe mzee wewee ...mimi yanga nimecheka mpaka basi
Nimesubili sherehe ya mzee said 😂😂😂😂😂
hahahahaha mzeee said jaman utaniua
Chagamba we nae umo umo"! Kwan mpka useme yupo mazembe. Benchi🎉🎉🎉😂😂😂
Mzee side😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
Yanga mzee saidi kaongea kwa upole😂😂😂😂😂😂
😂😂usiombee mchezaji ukaingia kwenye mfumo wa Mzee saidi
@B.M-ix4rz
10 күн бұрын
Utatamani ligi iishe ukuimbie😅😅😅
@fatmaally7252
9 күн бұрын
😂😂😂😂😂
Mzee said bado mangungu nae apewe thank you😢😢😢😢😢😅chagamba unafulahi sana hicho kicheko balaa unafulahishwa na mzee said
Mzee wangu Mzee Said sasa hivi atakuwa na amani....😂😂😂😂😂
@B.M-ix4rz
10 күн бұрын
Weee subir ligi ianze tunapata tu furaha nyengine Kwa mzee said❤❤❤
Hahahaaa et kugombania penat na faulo🤣🤣🤣
Mzee anamkataa wajna wake😂😂😂😂😂
Saidoo kaondoka sasa itabaki kwa aziiiiiiiiiiiiiiiiiiii kiiiiiiii na hamisamobetto😂😂😂
mzee SAIDI ulakoze chane mzee wangu, hii maana yaake ASANTE, umetisha saana mzee wangu hii ya saido kila siku nilikuwa nakusubiri hatimaye imefika ULAKOZE(Asante)
Leo Mimi wa pili jamani kuwa nikutamu kumbe
Chagamba tutaomba namba za Mzee said Hadi lini kaka ,acheni roho mbaya aiseee...tunataka tumpe 🥤
@mwanangusana
10 күн бұрын
Sio rahisi kihivyo kutoa namba za mtu kirahic rahic hivyo ndugu zanguni.... Sio wote wanaweza kuitumia kwa Nia njema
@JosephineItambu
10 күн бұрын
Namba yq chagamba iko hapo upande wa kulia chini....kama unamhitaji Mzee Said inabidi upitie kwa Chagamba kwanza kwa sababu za kiusalama wa Mzee wa watu maana sio kila mtu ana nia njema
@fatumasophu5855
10 күн бұрын
Haaah sa itakuwaje hata mi nataka no ya huyu mzee Yani I'm in ❤❤❤ with huyo mzee@@mwanangusana
@user-xq7xy9xq4n
9 күн бұрын
Unataka kumtumia mzee saidi hela tumia namba ya chagamba ipo hapo chini upande wa kulia ukisha tuma unamwambia hela ya mzee saidi
Hata kama angefanya vibaya kuliko wote, hakustahili kuitwa "NUKSI" Ww huenda ulikuwa na tatizo nae toka awali aidha chuki binafsi. Mungu akusamehe na akurehem, haya kaondoka next season nisione interview yako ukihuzunika kwa matokeo mabaya Simba kwakuwa umeshasafisha "NUKSI"
😂😂😂😂 sema mzee said 😂😂
Hahhahhah mzee side mtata sana eti atamkumbuka saidoo kwa kugombania penati🤣🤣🤣
Naenjoy kumsikiliza Mzee saidi
😂😂😂😂😂😂😂Nkwiooooo nkwiiioo nkwioooooo
Ila Mzee said dar mung anakuonq😅
Ivi tukitoa magoli ya saido, Simba tungekua nafasi ya ngapi?
Maji yatapumzika kwa mzee said kiukweli zikipita siku tatu bila kumsikiliza mzee said sijisikii aman kabisa
Mzee saidi very charming 😂😂
Kuku wajirani yako 😂😂😂😂😂😂
Eti amisa mbetoo 😂😂😂😂😂😂
Dah mzee saidi unanifurahsha sanaaa😅😅
Aah jamani,hakika CHUKI BINAFSI HAIFAI,kikoc chote msimbazi jumba bovu limemuangukia mtt wng mwana wa Buyenzi(Said Omar Ntibazonkiza),Mzee Said hebu punguza ukali wa maneno kwa kjn wako/WAJINA WAKO,hebu kumbuka jema japo 1 tu kwake..
Mzee saidi😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌
mbona kama umecelea 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamani wanadamu atuna jamani 😢😢 Atamimi masapot saido kuondoka ala siyo kwaubaya uwo.
Dah! Mzee Said nakupenda! Unajua kunifurahisha
Mzee Said… Ana kipaji. He is smart!
mZee said leo kufurahi kama mashabiki zake😅😅😅😅 aya wambie waandae team maana msije kuchukua 7 tena
Dah ila mzee saidi miyeyusho sana kwa kuku gani mwenye kilo 10😅😅
Mzee Saidii Uwaga Anajuwa Kutufurahisha Xana ❤🎉
😂😂😂 apo kwa sawa dogo mzee umepigaje apo 😂
Nasubiri hii interview
ASEME SASA NANI ANAFUATA AMBAYE ANAPENDA AONDOKE MWAMBIE MIRAJI ASIFICHE ASEME NAN ANATAMANI AONDOKE AWE MUWAZI KAMA MZEE SAID
@RashidMussa-is7xo
10 күн бұрын
Chama
@salimmalaka256
10 күн бұрын
MANGUNGU 😂😂😂😂
@RashidMussa-is7xo
10 күн бұрын
@@salimmalaka256 😂😂
@rukasifanderi-jg4li
10 күн бұрын
mzee wangu umetisha sana unaongea kama chelehan..... Duuuh
@ReganKimaro-js2rk
10 күн бұрын
Cod ya miraj rahisi sana anataka chama aondoke
Vita imekwisha na saido😂😂😂
mzeee saidi sidooo kafanya kazi sana mpenin tu jeshima yake mtawaogopesja wachezaji wengine kujiunga
Mwambie mzee saidi ahishe kumzunguzia saido sasa ✅👋👋👋👋👋ayupo tena 😃♦️♦️
chagamba mwambie baba yetu ampumzish sasa SAIDO atwambie next ambae hamtakiii😂😂😂😂😂
Ila mzee said nakukubali sana unasema ukwl na viongozi wamekusikia
😂😂😂😂 mzee saidi eti anashika bukta utachana
Mzee side❤❤❤❤❤❤
Uyu mzeee ana nipa lahaaa snaa🎉🎉🎉🎉
ILA HUYU MZEE KICHAA SANA😀😀😀😀😀😀, ANANIPAGA RAHA SANA NAMPENDA SANA, EBANA USIACHAGE KUMUHOJI, NAITWA LAMECK - HR HOTEL VERDE ZANZIBAR
@Emmanuel-cu7yu
9 күн бұрын
Wow! Hotel Verde tunayoionaga inatangazwa kwenye Azam Tv
😂mzeee saidi mitano tenaa
Ila huyu mzeeee😂😂😂khaaaa
Mzee said bado mangungu nae apewe thank you
😂😂😂jaman watani wangu Simba tutafute namba ya Mzee said tumchangie elf 1 2 3 4 jmn Mzee wetu Kwa yanga sis mashabiki wake tunampenda sana
@FridayNkini
10 күн бұрын
Sasa huyu chagamba hataki kuweka namba
@user-lc6te2pe2l
10 күн бұрын
Tangia jana watu wanaomba atume tumpe chochote mzee wetu anatuburudisha.
@malietamalieta9658
9 күн бұрын
Nani anajua jina analotumia Instagram anambie nije nijaribu kumDM aje na iyo mada na namba tukishaipata tuone tunafanyaje
Mzee saidi nawe ulakoze chane
Mbona mzee humuongei konde boy na ameachwa
MZEE SAID NGUVU MOJA ONE TEAM ONE DREAM FOREVER
Mzee saidi wanasema hivi ulakoze chane Kirundi na kiha 😅😅😅
Mzee saidi😂😂😂😅
Wamejipang kwa azz k saiv wanamadeni
Mzeee saidi😂😂
Haaaaa mzee saidi kweli alimchukia saidoo kanunua kuku
Mzee said namkumbuka saido kwa kukimbilia penati
Asa imebaki vita ya mzee saidi na alajiga😂😂 kuku anasafilisha nuksi
Mzee said uko na mambo leo sana
nimefurahi na mzee saidi leo❤❤❤❤
simba kua sawa mpak dulla atoke
Chagamba unaona utamuu kumuhoji mzee saidi .
😂😂😂😂😂 mzee said aisee
Saidoo hatokaa amsahau mzee said
Mwambiye mzee saidi ni mnunuliye kuku mwengine kama kuna mtu aliye na namba zake naziomba
Mimi Yanga,Chagamba😂😂😂😂mzee Said anajua sana Kithungu! Najiproud😂😂 Chagamba nipe namba ya mzee Said,nimtumie ela ya JOGOO! HICHO KIKUKU CHENYE MAYAI HAKITUTOSHI WANNAYANGA TUKIJA 🤣🤣 BORA NGOZI ( SUPU) LETU.....
Mzee said bado mangungu nae apewe thank you😢😢😢😢😢😅
Jeneza mlilolipeleka uwanjani na dhihaka kibao dhidi ya Wakristo ndo vinawatesa, tumieni midomo hiyo hiyo kuomba radhi kwa Mungu na Wakristo wote
karakashenee is typing...
MKITAKA KUMLA MBUZI WA MZEE SAIDI MTOWENI MANGUNGU SHENZISTAN YULE 😂😂😂😂
Vita sasa itahamia kwa Jobe atasagiwa kunguni na mzee Said hadi aondoke na yeye
Mzee said anatufaa sn yanga tunamkaribisha
Kweli mzee said alikuwa akimchukia saidoo
Leo meno yote 32 nje bado pa omari
😂😂😂😂Hamisa
Mzee said Leo na kesho najua unafurah sana
😂😂😂😂😂😂😂nge imepigwa kule😂😂😂😂
acha kumchikia wapo wengi mbona wamefeli kuliko saidooo kavuja jasho mno
Hahaha 😂😂😂Yanga😅😅😅
Kwani saidoo alikufanya nini jammani mbona umemchukia sana kijana wa watu 😢😢
Hajakosea kweli ni "MWARAKOZE" yaani tunashukuru
Umepigaje hapo mzee said yani boda boda alikuwa anaweka mafuta kwenye piki piki
Mzee Saidi Saido mulitwaa akiwa Geita sio Yanga