MIRAJI | MASHABIKI TUMEGAWANYIKA TAYARI|KWA HAYA SITASHANGAA TUKIKOSA MALENGO YETU TENA MSIMU UJAO
Жүктеу.....
Пікірлер: 129
@jamesmaneno228119 күн бұрын
Jaman Leo wa 5 ata Liki5 TU nipate
@samsonkingdom-xc8cg
19 күн бұрын
Kwa kipicha maana ulichokoment kenge wewe?
@user-ln9tk3qr2r
19 күн бұрын
😊😊 27:24
@raymondclaud602619 күн бұрын
Kaka Miraji Acha kumsingizia mpinzani wako, nyinyi umlianza kukosana pale kwenye uchaguzi, Ndio ikasababisha makundi kwenye timu yenu
@mwanangusana
17 күн бұрын
Hawana hoja ya msingii 🤣🤣🤣 1. Mara wachezaji wabovu 2. Mara viongozi wabovu 3. Mara tajir hatoi pesa Tatizo la Simba wanakuja sababu za msingi just ni makelele tuuuu .... Simba anapaswa abadilike Sana kuanzia kwenye uongoz na usajili , pamoja na benchi Bora Yan technical workers.....
@davidsuleman23319 күн бұрын
Chagamba fanya sku moja uwakutanishe mzee saidi na miraji malaamoja uwafanyie mahojiano kwa pamoja
@assumedprivacy3940
19 күн бұрын
Hizo ni brand mbili tofauti
@Mitranpharhan
19 күн бұрын
Itakua nzuri😂
@NoelKiwike-wc8wh
18 күн бұрын
Yule mzee said Ana balaa😂😂😂
@user-xr2hw3om9z19 күн бұрын
Miraji maramoja na mzee said wakutanishwe
@SAMZEBOY19 күн бұрын
Mm wanne Leo wanangu wajukuu wa mzee saidi masatu
@longinuskomba988718 күн бұрын
Malalamiko FC
@SimonSamson-wp5ik19 күн бұрын
Kolo akili zao kisoda mtakaa miaka 10 bila ubingwa
@israelisrael251319 күн бұрын
Miraji huliwahi sema msimu ukiisha utawataja wachezaji walioùza me mechi ile ya Derby mlipofungwa 5:1 hujawataja mpk Leo????
@mwanangusana
17 күн бұрын
😂😂😂... C kelele ile ilikuwa nyambuuu😂😂😂😂
@dicksonjanuary126219 күн бұрын
Mo aje asije yanga wataendelea kua juu
@bone102
18 күн бұрын
Mlikuwa juu ipi miaka 4 ya Mo?
@longinuskomba988718 күн бұрын
Yanga kama USA au CHINA, inabonge la MAJASUSI..!
@SaideAndurabe-kh7lu19 күн бұрын
Miraji nakupata Nikiwa Mozambique🇲🇿🇲🇿 mocimboa da Praia
@paultungu177519 күн бұрын
Nawakubar sana wanang❤
@lailatmalik751519 күн бұрын
Miraji hata mo akirudi na ukoo wake wote Yanga Bingwa tupo hapa,Mo kawashika maskio😂 atawatawala mpaka mseme
@DM_15
19 күн бұрын
Kama nyimlivyo shikwa na gsm
@saidsoudamiri4054
19 күн бұрын
mbona yanga ndio wanashikilia mangungu aendelee na kuponda kurudi kwa mo. kuanzia waandishi wa habari mpaka mashabiki. mtalia muda sio mrefu kama mlivyolia misimu minne mliyokua mnapokea wageni
@lailatmalik7515
19 күн бұрын
@@saidsoudamiri4054 mtaendelea kulia kama mlivyolia misimu mitatu ilopita 😂😂😂😂Labda Gsm na hersi waondoke madhali wapo Tabulelee 🖐️
@lailatmalik7515
19 күн бұрын
@@DM_15 Nyie cyo kushikwa tu mmenunuliwa 😂😂😂😂kabisa
@DM_15
19 күн бұрын
@@lailatmalik7515 nanyie mmeji kabidhi bure kwa gsm ana fanya atakalo yeye kaziyenu ni ndio mkuu hakunakubisha.
@MabulaBunzaly19 күн бұрын
Mi wa 3 leo
@SeanGrace60619 күн бұрын
Tanzania bado mpira wenu nawataria sana yani bado mambo yakishirini kwenye mpira ndo mnahamini tu, timu ikifungwa hujuma
@mettanahonyo334519 күн бұрын
Miraji leo haueleweki kabisaaa!😢😢😢😢
@saidmansoor8528
19 күн бұрын
Mpaka uwe na double D😅😅😅
@bone102
18 күн бұрын
@@saidmansoor8528umemfanya asielewe ungemwambia tu D mbili 😂😂
@mwanangusana
17 күн бұрын
Kwa mabalaa ya msimbazi... Hakuna anaeleweka apo udundukani
@user-ox3ij7ki3t19 күн бұрын
Kuhusu viongozi wa simba kupanga vikosi ni tabia yao ya mda mrefu sana hata wakati Nelsoni okwa anaondoka alisemaga na watu mkamshambulia sana
@RahmaKhalfani-qp3vc19 күн бұрын
Miraji nakuomba uende kwenye redio, kapaze sauti usikike tuweze kuitengeza simba yetu kwenye mtandao sio kila mtu anakusikia redio inasikika na watu wengi
@yassinchuwa882419 күн бұрын
Miraji,,,, friends of simba wako wapi??? Miraji pale simba hakuna kiongozi wa mpira,wale ni wapigaji aka watu wa siasa!!!!! Hakuna hujuma yoyote kutoka nje ya timu. Hivyo ndo naamini mimi.
@kingslove777219 күн бұрын
Miraji nasubiri maoni yako 🙈🙈
@Le_petery19 күн бұрын
Miraji kasahau. Shida ya Simba imeanza zamani Sana Tena bado kipindi Mo yupo madarakani. Kama atakuwa anakumbuka Kocha mmoja nafikiri ni Aussems Kama Uchebe Kuna vitu aliongea kupitia Mitandao ya kijamii wakati anaondoka Simba..
Dah miraji umeona mbali sana namie nakuunga mkono hapo baadae watakuelewa
@ukuvukiland238719 күн бұрын
Shika Moo FC oyeeee tunawasubiri msimu ujao 😀😀😀😀😀😀😀
@user-ox3ij7ki3t19 күн бұрын
Kiujumla tuseme kuna viongozi wasalit na wachezaji wasalit yaani wenyew kwa wenyew wanasalitiana swali tujiulize je wanatimiziwa stahiki zao kwa wakat au zinacheleweshwa znawafanya kuisalit tim??
Moo ndiyo anaiujumu timu yetu angekuwa mtu mwingine angeshajulikana
@dstaroficial19 күн бұрын
Maamuz y mashabik yalikuwa sahihi kusafisha uongoz ila kwa mo kuna shida kamtoa try kamuweka mjumbe mangungu mo na try lao moja na ndonmana mangungubanajiamini mo kuna kitu anaogoa
@saidimwanyiro514719 күн бұрын
Simba km mandonga ubingwa tumekosa lkn tuna trend sisi tu mjini ukubali ukatea simba ni dude kuubwa
@nickdr_tv19 күн бұрын
HATA OKRA ALISEM SEEE..... DAAAAAH😢
@fatumasophu585519 күн бұрын
Heee kwaiyo try again hajajiuzulu kumbe we miraji na huyo shangazi ni nani sijui mim
@user-rj1nw6wb6x17 күн бұрын
Kaka miraji Leo sikuelewi kabisa unatupa lawama kwawapizan wakati tatizo lipo kwenu wenyewe
@mwanangusana
17 күн бұрын
😂😂😂 hamna kitu apo ukiona ivyoooo
@PASCHALPETER-gp8ek19 күн бұрын
Simba mtateseka sana tatizo hapo ni moo mwenyewe mpaka aondoke ndyo Simba itakaa sawa vingine heris atawaburuza sana.
@brothermuadhwam890
19 күн бұрын
Acha uongooo jini tu ww
@janeemmanuel361519 күн бұрын
TAJIRI KARUDI TOKA WAPI
@jimmymnuano716516 күн бұрын
Miraji sikiliza huwo ni mchezo wa mpira wa miguu ujuwe hivyo sio Kriketi huyo boss amewacheza akili tu
@sadikisanga214419 күн бұрын
Upo vizuri milaji ila unamuumiza mabega dogo
@samsonkingdom-xc8cg19 күн бұрын
Mo karudi tokawapi? Kumbukeni maneno ya uchebe wakati anaondola
@mwanangusana
17 күн бұрын
Labda alienda kuongea na Manzoki
@EmmaPallanjo19 күн бұрын
Miraji naungana na ww kama msaliti hatajwi shida ipo pale dawa ya wasaliti ni kisomo tu
@user-ef8rj2yx3s16 күн бұрын
Kama mangungu hausiki mo hausiki jaribu tena hausiki kwenye hizo hujama ,unataka kutuaminisha kwamba kuna watu wengine wana nguvu zaidi ya viongozi hao ?!!!
@FurahaAngetile-fu4cv19 күн бұрын
Miraji usijizime data ko mnataka kutuambia kwamba kikosi kilichocheza na yanga ni B au ndo kile kile msitafute kwakujifichiaaa
@sadih533318 күн бұрын
Shida ya Simba ni uongozi kuacha baadhi ya timu kupewa fungate na GSM nao wakaa kimya huku wakijia kua hilo ndio tatiza la ligi ya bongo.
@mwanangusana
17 күн бұрын
😂😂😂😂 pamoja na yote hata ubuntuuu nae kachukuliwa kwenye ilo fungateee 😊😊 .... Nje ndani upishi wa chapati huku na huku pamoja na ulaji wa samaki lazima aliwe pande 2
@user-tg7vq3ty8p19 күн бұрын
Kama viongozi wetu wanamjua/wanawajua hao wasaliti na hawamtaji/hawawataji basi hao viongozi ni sehemu ya huyo/hao wasaliti.
@mwanangusana
17 күн бұрын
Wote waongoooo 😂😂😂
@browntv111919 күн бұрын
haya majungu ndo yanawachelewesha tengenezeni timu
@abduldihomba163219 күн бұрын
Simba ilikua mbovu kweli kuanzia uongozi mpaka wachezaji
@nurdinmfamau349319 күн бұрын
Kwaufupi Nyinyi Watu Namashabiki Wasimba Siwatu Wavitendo Bali Maneno Nimengi. Hivyo Wndeleeni Namaneno Maneno Tutauona Mwisho Wake. Tengenezeni Uongozi Pasi Nakujali Au Kuangalia Watu Au Majina Yawatu.
@mariamabdallah984719 күн бұрын
Mangungu akiondoka simba itakuwa shari
@user-bn6ne5xm9c19 күн бұрын
Miraji ukiongea ongea n tarehe ya sku
@idrisahamimuhasani571719 күн бұрын
Maramoja bado shida ipo kama uongz ulikuepo madarakan unaendelea kubadilishiwa majukum tu bdo shida ipo palepale
@user-vo4pk9oi5e19 күн бұрын
Milaji chagamba yanga babalaoo misimu kumi ubingwa
@mwajayhaxxan550719 күн бұрын
Hivi mnaoomba likes mnaazifanyia nn
@JamesKatabazi-sf3pf
19 күн бұрын
,,😂😂😂😂😂
@dstaroficial
19 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@samsonkingdom-xc8cg
19 күн бұрын
Yawezekana wananunulia mishikaki
@mwanangusana
17 күн бұрын
Na wewe omba ... Basii
@mwajayhaxxan5507
7 күн бұрын
@@mwanangusana hizo like mnakula???
@norbertkitilu637919 күн бұрын
Wanachama wa simba acheni kusingizia hujama timu yenu mbovu,wanachama mnapenda kuhongwa wali na nyama kwenye kikao mnapitisha katiba mbovu
@ALCADOJAMES19 күн бұрын
Yaan tutatafuta mchawi mpaka tuchanganyikiwe kumbe mo mwenyewe ndo anaecheza na akili za watu was Simba angalieni alivyochezesha Kwa tray again Ili atoe kelele za watu was wanajua wanachokifanya Wala haitaji kutumia nguvu kujua wanakifanya nipo pale nitafute pesa wao wanapiga ela sisi mapovu yanatutoka at chai shida
@bobbyfiasco431119 күн бұрын
MANARA. ANATUHUJUMU. 😅😅
@mwanangusana
17 күн бұрын
Kama ikiwa hivyo ndivyo ..... Bhasi mnastahili nyote mpigweeeee vibokooooo huko udundukani 🤣🤣🤣🤣
Hapo ndiyo ubabaishaji unapojionesha kwamba upo na haujaondoka. Kama mwekezaji, mwenyekiti wa klabu, mwenyekiti wa bodi wanaogopa kumtaja huyo mhujumu, nani basi mwenye maamuzi ya kweli ndani ya timu?
@chandeyusufu957019 күн бұрын
Miraji nakupata nikiwa dubai upo sahihi
@joelmosses939519 күн бұрын
Hiv nyie mnaotaka like zetu mmeambiwa na waganga wa wakienyeji tukiwapa hizo like zetu mtakuwa matajili au?. Make mnatusumbua na hizo like khaaaaa.
@kadirichannelonlinetv425818 күн бұрын
We kumbe na wewe nikiazi Mbn unayumba we mwache mo aludi tuone kama hutalaum tena we pambana na simba yako achana na yanga mo hajuw mpira tajir akifungwa2 anawatishia kujihuzuru acha ujinga miraji
@user-tg7vq3ty8p19 күн бұрын
Kama wanasimba hatutomuunga mkono Mo na tukamuunga huyo mtu anayeihujumu klabu yetu kiwaziwazi basi sisi wenyewe wanasimba tutadhihirisha ujinga wetu.
@maliadii482919 күн бұрын
Wanajikosha tu hakuna hicho mbona mnazugika kilaini hivo
@mwanangusana
17 күн бұрын
Wamerogwa na shikamooo......
@Kabeya41019 күн бұрын
Mzee kaduguda leo kaongea ktk media moja tatizo lilianza siku nyingi jiulize kina magori, kina nkwabi, na mzee mwenyewe kaduguda wameondoka hawajasema kuna nini ndani ya simba ila leo mzee mwina kasema kiongozi simba lazima aje kiongozi alieongoza mpira kuanzia chini siyo mtu katoka huko ati anakuja kuongoza simba atawezaje history inamsuta na ktk hao waliopo hakuna mwenye sifa hizo
@LimseyMassawe19 күн бұрын
Miraji naona leo umekosea kidogo, anaepanga kikosi ndio inaweza asiwe kocha, ila hapangi kwa kumnufaisha mpinzani ndio maana huenda hatajwi!! Kikosi kilichoanza dhidi ya Yanga kwenye 1-5 ile ndio ilikuwa first 11 yenu ya msimu uliopita kasoro manula,ambae alikuwa ashaanza mazoezi na team, na ukiangalia cv ya manula na ally Salim, manula kamuacha mbali sana Ally Salim!! Sasa swali kwako, kama anaepanga kikosi cha simba hajawahi muweka chama wala kibu kwenye derby, utasemaje anahujumu team wakati bado anapanga the best mlionao??? Walio cheza na Yanga ndio waliocheza na mashujaa, azam, hata na singida asilimia kubwa, ila mkatolewa na mashujaa, mkashinda na azam round ya mwisho na mkawazulumu singida round ya kwanza! Kwa kifupi mimi naona msimu uliopita hamkua na kikosi bora, Kuna team kama ihefu wanakikosi bora kushinda simba ila wanakosa tu mashabiki wakuwasukuma! Ni hayo tu
@MhagamaJoseph19 күн бұрын
Wakupe we majibu nani acha ujinga
@yussufabdalla937718 күн бұрын
😅😅
@beatusharald5619 күн бұрын
Miraji sio mtu ni mfumo upo ambaye wanafanya
@Kabeya41019 күн бұрын
Mkutano umepigwa marufuku jumapili hakuna
@ukuvukiland238719 күн бұрын
Nimegundua kwa watani kumbe kuna wanachama na mashabiki maokoto hawajielewi wanataka nini😂😂😂😂😂😂😂.mpaka mseme shikamoo baba,shikamoo simba shika moo ,😂😂😂😂😂😂😂,taasisi mshamuzia shika moo.
@franccoz9419 күн бұрын
MSIMU UJAO TABU IKO PALE, PALE KWASABABU YA UWEPO WA MANGUNGU
@franccoz9419 күн бұрын
MANGUNGU HUYOOO
@user-il6rm7cj1g19 күн бұрын
Mangungu njaa inamsumbua ataenda wapi sasa mutamuua bure
@samsonkingdom-xc8cg
19 күн бұрын
Mangungu ni kiongozi alienyooka isipokua anadharaulika kwasababu ya kipato chake
@rab79219 күн бұрын
Mo karudi alikuwa wapi acheni ujinga makolo
@jonathanjohn693919 күн бұрын
Tatizo kubwa la simba ni transformation.. mkiendelea kuwa na mwekezaji mmoja ambaye anachagua mwenyekiti wa bodi anavyotaka basi hamtakaa mfanikiwe
@dicksonmzao837618 күн бұрын
Moh muoga sana hawez kusema wale chawa wake ila nyinyi hamjui tu😂
@Kabeya41019 күн бұрын
Miraji mwanangu nikiweke sawa kidogo kuhusu wahujumu Mangungu nilimsikia akihojiwa kuhusu hao wahujumu akajibu. Kwamba MO aliwataja kwenye vikao vyao vya ndani na akasema hawawezi kusema hadharani ni mambo ya ndani kuepusha vurugu Mangungu anawajua MO anawajua na kamati ya bodi zote mbili wanajua kwa hiyo MO nae mnafiki anajificha kwenye kelele za wapenzi ili kurudi kwake awe yeye ndo mtu muhimu kwao ina maana MO kajiweka kwa wanachama anaenda na upepo. Ngoja tuone mwisho wake
@JaredErnest19 күн бұрын
Atakuwa ni mo dewj ndo anaihujumu Simba na kupanga kikosi Cha simba
@milkionmapunda175419 күн бұрын
Miraji wewe kubali tu tatizo ni Mo,katega bomu halafu anaomba kutegua
@adrianorayner6551
19 күн бұрын
Fikra potofu
@user-zn4jl5wy3d
19 күн бұрын
@@adrianorayner6551kwamba tajiri hakosei au sio??😂😂😂
@januarysungura8119
19 күн бұрын
wala ninyi wanayanga msiwe na hofu dawa yenu imefika mtapona magonjwa yenu yote , dr. mo yupo kazini。
@user-ox3ij7ki3t19 күн бұрын
Miraji mnafik wewe ngoja tuone mnafikiri sahiv ni wakati ule wa bakuli?? Kumbuka hata kabla ya simba kubeba misim 4 yanga pia walibebaga mara 4 na wakat huo simba ilikuwa inamaliza ha nafasi ya 4 nyuma ya mbeya city na azam cha ajabu ni kwamba hata hao wanachama wa simba wamegawanyika hawaelewani
@januarysungura8119
19 күн бұрын
yanga hajawahi kushinda mara nne mfululizo wewe tuliza ujinga wako.
@user-ox3ij7ki3t
19 күн бұрын
@@januarysungura8119 we uko nchi gani baada ya azam kuchua kombe 2013 ni tim gani iliyofuata kuchukua ubingwa kama syo yanga 2014 yanga 2015 yanga 2016 yanga 2017 yang ndo simba akafat 2018 mpaka 2021 acha kukurupuka
@user-ox3ij7ki3t
19 күн бұрын
@@januarysungura8119 2014 mpaka 2017 ni tim gani ilikuwa ikichukua au ni simba tuliza akil au ulikuwa bad haujazaliwa???🤣
@user-ox3ij7ki3t
19 күн бұрын
@@januarysungura8119we nitajie tu tim ilyochukua ubingwa 2014, 2015 2016 na 2017 kabla ya simba kuchukua 2018 mpka 2021??
@hamzakirunda486119 күн бұрын
Nyie naviongozi wenu nyote wanafiki mtaongea mengi sn
@hamisimtupa732719 күн бұрын
Kwa hiyo simba inaongozwa na yanga au acheni kutafuta sababu zisizo za kweli kwa hiyo yanga wanaweza kumzuia mo asiongoze simba au rekebosheni mfumo na katiba km serikali inavyotaka
@mwanangusana
17 күн бұрын
😂😂😂😂 ndugu yangu hawa ni mashabiki wa ubuntuuu nongwaaa 😂😂😂 ....... Kila sababu iliyopo mbele wanapita nayoooo
Пікірлер: 129
Jaman Leo wa 5 ata Liki5 TU nipate
@samsonkingdom-xc8cg
19 күн бұрын
Kwa kipicha maana ulichokoment kenge wewe?
@user-ln9tk3qr2r
19 күн бұрын
😊😊 27:24
Kaka Miraji Acha kumsingizia mpinzani wako, nyinyi umlianza kukosana pale kwenye uchaguzi, Ndio ikasababisha makundi kwenye timu yenu
@mwanangusana
17 күн бұрын
Hawana hoja ya msingii 🤣🤣🤣 1. Mara wachezaji wabovu 2. Mara viongozi wabovu 3. Mara tajir hatoi pesa Tatizo la Simba wanakuja sababu za msingi just ni makelele tuuuu .... Simba anapaswa abadilike Sana kuanzia kwenye uongoz na usajili , pamoja na benchi Bora Yan technical workers.....
Chagamba fanya sku moja uwakutanishe mzee saidi na miraji malaamoja uwafanyie mahojiano kwa pamoja
@assumedprivacy3940
19 күн бұрын
Hizo ni brand mbili tofauti
@Mitranpharhan
19 күн бұрын
Itakua nzuri😂
@NoelKiwike-wc8wh
18 күн бұрын
Yule mzee said Ana balaa😂😂😂
Miraji maramoja na mzee said wakutanishwe
Mm wanne Leo wanangu wajukuu wa mzee saidi masatu
Malalamiko FC
Kolo akili zao kisoda mtakaa miaka 10 bila ubingwa
Miraji huliwahi sema msimu ukiisha utawataja wachezaji walioùza me mechi ile ya Derby mlipofungwa 5:1 hujawataja mpk Leo????
@mwanangusana
17 күн бұрын
😂😂😂... C kelele ile ilikuwa nyambuuu😂😂😂😂
Mo aje asije yanga wataendelea kua juu
@bone102
18 күн бұрын
Mlikuwa juu ipi miaka 4 ya Mo?
Yanga kama USA au CHINA, inabonge la MAJASUSI..!
Miraji nakupata Nikiwa Mozambique🇲🇿🇲🇿 mocimboa da Praia
Nawakubar sana wanang❤
Miraji hata mo akirudi na ukoo wake wote Yanga Bingwa tupo hapa,Mo kawashika maskio😂 atawatawala mpaka mseme
@DM_15
19 күн бұрын
Kama nyimlivyo shikwa na gsm
@saidsoudamiri4054
19 күн бұрын
mbona yanga ndio wanashikilia mangungu aendelee na kuponda kurudi kwa mo. kuanzia waandishi wa habari mpaka mashabiki. mtalia muda sio mrefu kama mlivyolia misimu minne mliyokua mnapokea wageni
@lailatmalik7515
19 күн бұрын
@@saidsoudamiri4054 mtaendelea kulia kama mlivyolia misimu mitatu ilopita 😂😂😂😂Labda Gsm na hersi waondoke madhali wapo Tabulelee 🖐️
@lailatmalik7515
19 күн бұрын
@@DM_15 Nyie cyo kushikwa tu mmenunuliwa 😂😂😂😂kabisa
@DM_15
19 күн бұрын
@@lailatmalik7515 nanyie mmeji kabidhi bure kwa gsm ana fanya atakalo yeye kaziyenu ni ndio mkuu hakunakubisha.
Mi wa 3 leo
Tanzania bado mpira wenu nawataria sana yani bado mambo yakishirini kwenye mpira ndo mnahamini tu, timu ikifungwa hujuma
Miraji leo haueleweki kabisaaa!😢😢😢😢
@saidmansoor8528
19 күн бұрын
Mpaka uwe na double D😅😅😅
@bone102
18 күн бұрын
@@saidmansoor8528umemfanya asielewe ungemwambia tu D mbili 😂😂
@mwanangusana
17 күн бұрын
Kwa mabalaa ya msimbazi... Hakuna anaeleweka apo udundukani
Kuhusu viongozi wa simba kupanga vikosi ni tabia yao ya mda mrefu sana hata wakati Nelsoni okwa anaondoka alisemaga na watu mkamshambulia sana
Miraji nakuomba uende kwenye redio, kapaze sauti usikike tuweze kuitengeza simba yetu kwenye mtandao sio kila mtu anakusikia redio inasikika na watu wengi
Miraji,,,, friends of simba wako wapi??? Miraji pale simba hakuna kiongozi wa mpira,wale ni wapigaji aka watu wa siasa!!!!! Hakuna hujuma yoyote kutoka nje ya timu. Hivyo ndo naamini mimi.
Miraji nasubiri maoni yako 🙈🙈
Miraji kasahau. Shida ya Simba imeanza zamani Sana Tena bado kipindi Mo yupo madarakani. Kama atakuwa anakumbuka Kocha mmoja nafikiri ni Aussems Kama Uchebe Kuna vitu aliongea kupitia Mitandao ya kijamii wakati anaondoka Simba..
Shabiki wa Simba mwenye akili
Kiongozi hapangi anaepanga KAMATI YA UFUNDI 😅😅😅 sema mliendekeza tunturaye 😅😅😅
Mi wa 7 leo 😂😂😂
Dah miraji umeona mbali sana namie nakuunga mkono hapo baadae watakuelewa
Shika Moo FC oyeeee tunawasubiri msimu ujao 😀😀😀😀😀😀😀
Kiujumla tuseme kuna viongozi wasalit na wachezaji wasalit yaani wenyew kwa wenyew wanasalitiana swali tujiulize je wanatimiziwa stahiki zao kwa wakat au zinacheleweshwa znawafanya kuisalit tim??
miraji shida ilianzia kwa uchebe tatizo miraji unaendeshwa na matukio ww unafikiri viongoz watajifichia wapi? Ngoja timwangalie Ngombe anatuletea akna nani
Miraji,,,,, mpira ni mchezo wa wazi!!!
Moo ndiyo anaiujumu timu yetu angekuwa mtu mwingine angeshajulikana
Maamuz y mashabik yalikuwa sahihi kusafisha uongoz ila kwa mo kuna shida kamtoa try kamuweka mjumbe mangungu mo na try lao moja na ndonmana mangungubanajiamini mo kuna kitu anaogoa
Simba km mandonga ubingwa tumekosa lkn tuna trend sisi tu mjini ukubali ukatea simba ni dude kuubwa
HATA OKRA ALISEM SEEE..... DAAAAAH😢
Heee kwaiyo try again hajajiuzulu kumbe we miraji na huyo shangazi ni nani sijui mim
Kaka miraji Leo sikuelewi kabisa unatupa lawama kwawapizan wakati tatizo lipo kwenu wenyewe
@mwanangusana
17 күн бұрын
😂😂😂 hamna kitu apo ukiona ivyoooo
Simba mtateseka sana tatizo hapo ni moo mwenyewe mpaka aondoke ndyo Simba itakaa sawa vingine heris atawaburuza sana.
@brothermuadhwam890
19 күн бұрын
Acha uongooo jini tu ww
TAJIRI KARUDI TOKA WAPI
Miraji sikiliza huwo ni mchezo wa mpira wa miguu ujuwe hivyo sio Kriketi huyo boss amewacheza akili tu
Upo vizuri milaji ila unamuumiza mabega dogo
Mo karudi tokawapi? Kumbukeni maneno ya uchebe wakati anaondola
@mwanangusana
17 күн бұрын
Labda alienda kuongea na Manzoki
Miraji naungana na ww kama msaliti hatajwi shida ipo pale dawa ya wasaliti ni kisomo tu
Kama mangungu hausiki mo hausiki jaribu tena hausiki kwenye hizo hujama ,unataka kutuaminisha kwamba kuna watu wengine wana nguvu zaidi ya viongozi hao ?!!!
Miraji usijizime data ko mnataka kutuambia kwamba kikosi kilichocheza na yanga ni B au ndo kile kile msitafute kwakujifichiaaa
Shida ya Simba ni uongozi kuacha baadhi ya timu kupewa fungate na GSM nao wakaa kimya huku wakijia kua hilo ndio tatiza la ligi ya bongo.
@mwanangusana
17 күн бұрын
😂😂😂😂 pamoja na yote hata ubuntuuu nae kachukuliwa kwenye ilo fungateee 😊😊 .... Nje ndani upishi wa chapati huku na huku pamoja na ulaji wa samaki lazima aliwe pande 2
Kama viongozi wetu wanamjua/wanawajua hao wasaliti na hawamtaji/hawawataji basi hao viongozi ni sehemu ya huyo/hao wasaliti.
@mwanangusana
17 күн бұрын
Wote waongoooo 😂😂😂
haya majungu ndo yanawachelewesha tengenezeni timu
Simba ilikua mbovu kweli kuanzia uongozi mpaka wachezaji
Kwaufupi Nyinyi Watu Namashabiki Wasimba Siwatu Wavitendo Bali Maneno Nimengi. Hivyo Wndeleeni Namaneno Maneno Tutauona Mwisho Wake. Tengenezeni Uongozi Pasi Nakujali Au Kuangalia Watu Au Majina Yawatu.
Mangungu akiondoka simba itakuwa shari
Miraji ukiongea ongea n tarehe ya sku
Maramoja bado shida ipo kama uongz ulikuepo madarakan unaendelea kubadilishiwa majukum tu bdo shida ipo palepale
Milaji chagamba yanga babalaoo misimu kumi ubingwa
Hivi mnaoomba likes mnaazifanyia nn
@JamesKatabazi-sf3pf
19 күн бұрын
,,😂😂😂😂😂
@dstaroficial
19 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@samsonkingdom-xc8cg
19 күн бұрын
Yawezekana wananunulia mishikaki
@mwanangusana
17 күн бұрын
Na wewe omba ... Basii
@mwajayhaxxan5507
7 күн бұрын
@@mwanangusana hizo like mnakula???
Wanachama wa simba acheni kusingizia hujama timu yenu mbovu,wanachama mnapenda kuhongwa wali na nyama kwenye kikao mnapitisha katiba mbovu
Yaan tutatafuta mchawi mpaka tuchanganyikiwe kumbe mo mwenyewe ndo anaecheza na akili za watu was Simba angalieni alivyochezesha Kwa tray again Ili atoe kelele za watu was wanajua wanachokifanya Wala haitaji kutumia nguvu kujua wanakifanya nipo pale nitafute pesa wao wanapiga ela sisi mapovu yanatutoka at chai shida
MANARA. ANATUHUJUMU. 😅😅
@mwanangusana
17 күн бұрын
Kama ikiwa hivyo ndivyo ..... Bhasi mnastahili nyote mpigweeeee vibokooooo huko udundukani 🤣🤣🤣🤣
Huyo mangungu
Miraji acha kuongopa huyo mo dewji hakuna anaemuogopa usidanganye umma safisheni malumbano
@mwalimmwalim545
19 күн бұрын
Hapo ndiyo ubabaishaji unapojionesha kwamba upo na haujaondoka. Kama mwekezaji, mwenyekiti wa klabu, mwenyekiti wa bodi wanaogopa kumtaja huyo mhujumu, nani basi mwenye maamuzi ya kweli ndani ya timu?
Miraji nakupata nikiwa dubai upo sahihi
Hiv nyie mnaotaka like zetu mmeambiwa na waganga wa wakienyeji tukiwapa hizo like zetu mtakuwa matajili au?. Make mnatusumbua na hizo like khaaaaa.
We kumbe na wewe nikiazi Mbn unayumba we mwache mo aludi tuone kama hutalaum tena we pambana na simba yako achana na yanga mo hajuw mpira tajir akifungwa2 anawatishia kujihuzuru acha ujinga miraji
Kama wanasimba hatutomuunga mkono Mo na tukamuunga huyo mtu anayeihujumu klabu yetu kiwaziwazi basi sisi wenyewe wanasimba tutadhihirisha ujinga wetu.
Wanajikosha tu hakuna hicho mbona mnazugika kilaini hivo
@mwanangusana
17 күн бұрын
Wamerogwa na shikamooo......
Mzee kaduguda leo kaongea ktk media moja tatizo lilianza siku nyingi jiulize kina magori, kina nkwabi, na mzee mwenyewe kaduguda wameondoka hawajasema kuna nini ndani ya simba ila leo mzee mwina kasema kiongozi simba lazima aje kiongozi alieongoza mpira kuanzia chini siyo mtu katoka huko ati anakuja kuongoza simba atawezaje history inamsuta na ktk hao waliopo hakuna mwenye sifa hizo
Miraji naona leo umekosea kidogo, anaepanga kikosi ndio inaweza asiwe kocha, ila hapangi kwa kumnufaisha mpinzani ndio maana huenda hatajwi!! Kikosi kilichoanza dhidi ya Yanga kwenye 1-5 ile ndio ilikuwa first 11 yenu ya msimu uliopita kasoro manula,ambae alikuwa ashaanza mazoezi na team, na ukiangalia cv ya manula na ally Salim, manula kamuacha mbali sana Ally Salim!! Sasa swali kwako, kama anaepanga kikosi cha simba hajawahi muweka chama wala kibu kwenye derby, utasemaje anahujumu team wakati bado anapanga the best mlionao??? Walio cheza na Yanga ndio waliocheza na mashujaa, azam, hata na singida asilimia kubwa, ila mkatolewa na mashujaa, mkashinda na azam round ya mwisho na mkawazulumu singida round ya kwanza! Kwa kifupi mimi naona msimu uliopita hamkua na kikosi bora, Kuna team kama ihefu wanakikosi bora kushinda simba ila wanakosa tu mashabiki wakuwasukuma! Ni hayo tu
Wakupe we majibu nani acha ujinga
😅😅
Miraji sio mtu ni mfumo upo ambaye wanafanya
Mkutano umepigwa marufuku jumapili hakuna
Nimegundua kwa watani kumbe kuna wanachama na mashabiki maokoto hawajielewi wanataka nini😂😂😂😂😂😂😂.mpaka mseme shikamoo baba,shikamoo simba shika moo ,😂😂😂😂😂😂😂,taasisi mshamuzia shika moo.
MSIMU UJAO TABU IKO PALE, PALE KWASABABU YA UWEPO WA MANGUNGU
MANGUNGU HUYOOO
Mangungu njaa inamsumbua ataenda wapi sasa mutamuua bure
@samsonkingdom-xc8cg
19 күн бұрын
Mangungu ni kiongozi alienyooka isipokua anadharaulika kwasababu ya kipato chake
Mo karudi alikuwa wapi acheni ujinga makolo
Tatizo kubwa la simba ni transformation.. mkiendelea kuwa na mwekezaji mmoja ambaye anachagua mwenyekiti wa bodi anavyotaka basi hamtakaa mfanikiwe
Moh muoga sana hawez kusema wale chawa wake ila nyinyi hamjui tu😂
Miraji mwanangu nikiweke sawa kidogo kuhusu wahujumu Mangungu nilimsikia akihojiwa kuhusu hao wahujumu akajibu. Kwamba MO aliwataja kwenye vikao vyao vya ndani na akasema hawawezi kusema hadharani ni mambo ya ndani kuepusha vurugu Mangungu anawajua MO anawajua na kamati ya bodi zote mbili wanajua kwa hiyo MO nae mnafiki anajificha kwenye kelele za wapenzi ili kurudi kwake awe yeye ndo mtu muhimu kwao ina maana MO kajiweka kwa wanachama anaenda na upepo. Ngoja tuone mwisho wake
Atakuwa ni mo dewj ndo anaihujumu Simba na kupanga kikosi Cha simba
Miraji wewe kubali tu tatizo ni Mo,katega bomu halafu anaomba kutegua
@adrianorayner6551
19 күн бұрын
Fikra potofu
@user-zn4jl5wy3d
19 күн бұрын
@@adrianorayner6551kwamba tajiri hakosei au sio??😂😂😂
@januarysungura8119
19 күн бұрын
wala ninyi wanayanga msiwe na hofu dawa yenu imefika mtapona magonjwa yenu yote , dr. mo yupo kazini。
Miraji mnafik wewe ngoja tuone mnafikiri sahiv ni wakati ule wa bakuli?? Kumbuka hata kabla ya simba kubeba misim 4 yanga pia walibebaga mara 4 na wakat huo simba ilikuwa inamaliza ha nafasi ya 4 nyuma ya mbeya city na azam cha ajabu ni kwamba hata hao wanachama wa simba wamegawanyika hawaelewani
@januarysungura8119
19 күн бұрын
yanga hajawahi kushinda mara nne mfululizo wewe tuliza ujinga wako.
@user-ox3ij7ki3t
19 күн бұрын
@@januarysungura8119 we uko nchi gani baada ya azam kuchua kombe 2013 ni tim gani iliyofuata kuchukua ubingwa kama syo yanga 2014 yanga 2015 yanga 2016 yanga 2017 yang ndo simba akafat 2018 mpaka 2021 acha kukurupuka
@user-ox3ij7ki3t
19 күн бұрын
@@januarysungura8119 2014 mpaka 2017 ni tim gani ilikuwa ikichukua au ni simba tuliza akil au ulikuwa bad haujazaliwa???🤣
@user-ox3ij7ki3t
19 күн бұрын
@@januarysungura8119we nitajie tu tim ilyochukua ubingwa 2014, 2015 2016 na 2017 kabla ya simba kuchukua 2018 mpka 2021??
Nyie naviongozi wenu nyote wanafiki mtaongea mengi sn
Kwa hiyo simba inaongozwa na yanga au acheni kutafuta sababu zisizo za kweli kwa hiyo yanga wanaweza kumzuia mo asiongoze simba au rekebosheni mfumo na katiba km serikali inavyotaka
@mwanangusana
17 күн бұрын
😂😂😂😂 ndugu yangu hawa ni mashabiki wa ubuntuuu nongwaaa 😂😂😂 ....... Kila sababu iliyopo mbele wanapita nayoooo