MIRAJI | LUIS AMETUFELISHA MAKUSUDI | UKIINGALIA SIMBA HII UNAWEZA KUTOA MACHOZI UKALIA KWA UCHUNGU🙌

Пікірлер: 82

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta965813 күн бұрын

    kusema ukweli mm kuhus chirunda nilipoona thank you ndi nikamsearch nikamuona nilikua simjui kusema ukweli ndo nikaona kumbe alicheza na Azam ila namuomba Mungu atutangulie sisi yanga team yetu imeanza propaganda kwa miraji ni chama na ngoma anataka waondoke

  • @kingbidax9053
    @kingbidax905313 күн бұрын

    Hayo makofi ya mabega ndugu una moyo wa kuvumiliaah

  • @huseinbusaba5064

    @huseinbusaba5064

    13 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ChristopherMalimbwi-pf6uw
    @ChristopherMalimbwi-pf6uw13 күн бұрын

    We miraj....noma sana et hata wa kizungu

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l13 күн бұрын

    mungu ange nipa kipato cha kutosha ledio yangu ya michezo milaji chagamba kwanza

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus347510 күн бұрын

    Nakubali mara moja na chagamba

  • @user-kd5ui3zv8l
    @user-kd5ui3zv8l13 күн бұрын

    Milaji unaupiga mwingi kaka umewaacha mbali mno wale wavaa suti kwenye media flani apa nchini. Nakuona mbali kaka

  • @imamhussein1104

    @imamhussein1104

    13 күн бұрын

    Acha ujinga ww, unamuona mbali ipi?

  • @athmanimkangara9290

    @athmanimkangara9290

    13 күн бұрын

    Miraji yuko juu sana

  • @errydeo8865

    @errydeo8865

    13 күн бұрын

    Kelele tu na kupiga mabega ya mwenzie🤣🤣🤣hana lolote! Wachezaji kufanikiwa au hufeli Hutokana na MFUMO WA COACH! KAI,aliposajiliwa Arsenal ( mimi shabiki wa Arsenal na Emirates naenda!) tulisema sana ! Alipoanza kuclick na mfumo wa Coach,akaanza kutwanga magoli au assists! Tumewaona wachezaji wengi sana coach mpya,say akiingia na mfumo wake ,they perform! Kusajili mchezaji,one ,angalia coach kataka nini?! Two, anacheza na wakina nani, ( HOW WILL HE FIT IN )Three, ana POTENTIAL GANI YA KUISADIDIA TIMU!? FOOTIE IS A TEAM GAME! KWANINI MAYELE KAFELI Alipoenda Pyramids?! Mfumo na anaocheza nao! Simple! Bongo mnasajili not with PURPORSE! NDO HAPO ANAPOWAPIGA BAO HERSI! HERSI haleti mchezaji Yanga bila madhumuni! Kikosi cha Yanga kingeshinda michezo na Mamelodi ,lkn tumeona tulio wakosa CAFCL,pengo! Hersi atAziba! Kuna kitu kinaitwa DEEP SQUAD! Ndo atakacho kifanya Hersi! Simba this season itakua ngumu,lazima wataokoteza,watawapamba,n it will be WORSE! Why! Mtasajili WACHEZAJI WA SHIRIKISHO 😂😂😂YANGU MACHO

  • @reginajoel3785

    @reginajoel3785

    13 күн бұрын

    ​@@athmanimkangara9290tena sanaaaa yupo juu

  • @deonatusdaud4640

    @deonatusdaud4640

    11 күн бұрын

    Hilo halina ubishi..

  • @errydeo8865
    @errydeo886513 күн бұрын

    Watu kanMiraji sikaii nao karibu! Bila kukupiga mabega hajaongea! Na hao watu huwa wanakera🤣🤣🤣🤣

  • @charlesmwita4245
    @charlesmwita424513 күн бұрын

    Ila unampiga Sana chagamba utamvunja mabega

  • @yugemasanza1008

    @yugemasanza1008

    13 күн бұрын

    Kweli bhana

  • @huseinbusaba5064

    @huseinbusaba5064

    13 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @IMmedia224
    @IMmedia22413 күн бұрын

    Kwanza mm

  • @gchordsofficialtz614
    @gchordsofficialtz61412 күн бұрын

    NGOMA NA CHAMA miraji hataki hata kuwaskia hahahhahaaah

  • @josinatrderss
    @josinatrderss11 күн бұрын

    Mimi namshauri Chagamba Akate bima ya madhara ya mabega kushuka ili achekiwe marakwamara kwakuwa tunapenda elimu ya miraji sana ila makofi anayokutana nayo chagamba bima ni muimu sana

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u13 күн бұрын

    Miraji sahihi hela nyingi wanachokifanya nhamuna hawajitumi hawakuwa nauchungi natim yetu waende tu

  • @michaelmbeti5040
    @michaelmbeti504012 күн бұрын

    Milaji mabega ayoo

  • @user-ju7kb4xn5q
    @user-ju7kb4xn5q13 күн бұрын

    Jaman miraj usiwe unampiga hivo utammiza

  • @allymtunge5530
    @allymtunge553013 күн бұрын

    Onana huyoo na baba carr

  • @josiacharles2778
    @josiacharles277813 күн бұрын

    Uyu Miraji sasa tutakuletea watu flani kutoka Mara kwajili ya maojiano ili ayomakofi yawe yanalipizwa😂

  • @nelsonmgaya1490

    @nelsonmgaya1490

    13 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @huseinbusaba5064

    @huseinbusaba5064

    13 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @user-ez8dg9pj7t
    @user-ez8dg9pj7t13 күн бұрын

    Kaka Miraji utamvunja Chagamba mabega. hahhaha

  • @huseinbusaba5064

    @huseinbusaba5064

    13 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @otmarykiowi4132

    @otmarykiowi4132

    13 күн бұрын

    Chagamba ameshazoea

  • @dreusebiusjmikongoti248
    @dreusebiusjmikongoti24812 күн бұрын

    Angalia sura ya chagamba amavyopigwa mikofi ya mabega na miraji ndo utagundua "wanaume tumeumbwa mateso"

  • @nelsonmgaya1490
    @nelsonmgaya149013 күн бұрын

    "Mabega ya Chagamba yamekuwa sugu'

  • @huseinbusaba5064

    @huseinbusaba5064

    13 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @user-eo5ku4ce7t

    @user-eo5ku4ce7t

    9 күн бұрын

    😅😅😅😅

  • @officialmkusa
    @officialmkusa13 күн бұрын

    😅😅😅😅Chagamba anavo nyumbua nyumbua maneno ya miraj

  • @EdsonMdagachule
    @EdsonMdagachule13 күн бұрын

    Kuachwa kwa Miqiuson ni sahihi kabisa kuachwa

  • @fatumasophu5855

    @fatumasophu5855

    13 күн бұрын

    😂😂 kwani ametufelisha kivip wakati alikuwa hapewi namba we miraji jamani

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    13 күн бұрын

    ​@@fatumasophu5855apewe tu nafasi hata kama hashawishiii

  • @michaelnzowa
    @michaelnzowa13 күн бұрын

    Duh! Chagamba mabega hayo vipi hayaumi? aisee😂😂

  • @huseinbusaba5064

    @huseinbusaba5064

    13 күн бұрын

    😂😂😂

  • @EmmanuelMwanza-ef9bf
    @EmmanuelMwanza-ef9bf13 күн бұрын

    Mbona mabega yanalia sana nasikia hadi huku😂

  • @huseinbusaba5064

    @huseinbusaba5064

    13 күн бұрын

    😂😂😂

  • @francisharembo1583
    @francisharembo158313 күн бұрын

    Miraji lionee huruma bega la mwanaa unalipiga sana😅😅😅

  • @LionOfWar
    @LionOfWar13 күн бұрын

    Chagamba mabega yatakushuka

  • @denishaule6314
    @denishaule631413 күн бұрын

    Kuanzia wiki ijayo….chagamba biga n wewe mabega ajue kuwa huwa unakandwa ukirudi home….

  • @damaccharles9108
    @damaccharles91089 күн бұрын

    Chagamba uwe unatutajia namba zako tukutumie hela ya panadol maana hayo mageba yanapitia mengi.

  • @ibrahimumtawala8678
    @ibrahimumtawala86785 күн бұрын

    Miquisone alistahil hata thank you 5

  • @serenawilly4083
    @serenawilly408313 күн бұрын

    Matangazo yamezidi sasa

  • @IsackKija
    @IsackKija13 күн бұрын

    Beshika nakufulah kuckia nodo zako chaga boy hogela sana

  • @DianaJanuary-qh9ww
    @DianaJanuary-qh9ww13 күн бұрын

    Chagamba siku nyingine vaa gad mabegan maana huyu jamaa ana lengo bya na we yaan ukimaliza kumuoji mwili wako wote unauma kama umetoka jimu

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau349313 күн бұрын

    Maneno Ya Uongo Mmefeli Wenyewe Kwa Mipango Yenu Ya Hovyo. Miache Kuwatoa Kuwa Mbuzi Wa Kafara. Kwasababu Tangu Huko Alikokuwepo Alikuwa Hachezi Nyie Mkakopi Nakupesti Mkamchukua Wenyewe Nawala Hajawatuma Mje Mumfate.

  • @user-ct3kz3rq1q

    @user-ct3kz3rq1q

    13 күн бұрын

    Ume ongeya point saana wewe unaujuwa mpira simba wame mrudisha miquisone walimkuta hachezi muda mrefu sana kwa sababu kiwango kilikuwa kime shuka tena saana

  • @user-jo5ts1se2i
    @user-jo5ts1se2i13 күн бұрын

    Nguvu moja

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing13 күн бұрын

    Wapige Team Nzima Chini Tu Mbn Pamba Fc Wamefany Hivo😂😂😂

  • @michaelmbeti5040
    @michaelmbeti504012 күн бұрын

    Usipige atalia 😂😂

  • @user-qu1ut5ri2z
    @user-qu1ut5ri2z13 күн бұрын

    Miquuesone hakupewa mda wa kutosha uwanjani.

  • @user-ct3kz3rq1q

    @user-ct3kz3rq1q

    13 күн бұрын

    Simba mlifanya kosa kubwa kumrudisha miquisone haliyakuwa kiwango kilikuwa chini sana mnoo mlitegemzya Nini?

  • @user-ct3kz3rq1q

    @user-ct3kz3rq1q

    13 күн бұрын

    Hamna kumpa muda mtu kashuka kiwango mpira unaishaga kwa mchezaji nyiye mna fuata vipi?

  • @leonardmhagama5828

    @leonardmhagama5828

    13 күн бұрын

    Messi wa msumbiji yote apewe muda😂😂😂😂

  • @jofreymhagule7505
    @jofreymhagule750513 күн бұрын

    😂😂😂 umenichekesha eti miquissone anajifunza kwa chasambi 🤣🤣🤣

  • @huseinbusaba5064
    @huseinbusaba506413 күн бұрын

    Kiukweli hata mimi sijui kwanini miquisone kafeli wala sipati majibu kabisa

  • @user-gs2ir3bg4j
    @user-gs2ir3bg4j13 күн бұрын

    DOGO chalamba utakapo kua unafanya maojiano na milaji akikisha mabegani unaweka misponji atakuvunja mabega

  • @user-ct3kz3rq1q
    @user-ct3kz3rq1q13 күн бұрын

    Miquison karudi simba kishaisha kwani mchezaji haishagi mikisoni mpira ume kwisha kabisa sio makusudi.kiwango kimeshuka bila yeye kupenda

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga41713 күн бұрын

    Uhakika Mara moja kaamua mwenyewe

  • @MariaMnthax
    @MariaMnthax13 күн бұрын

    Kwa konde muliyataka wenywe mashabiki

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla13 күн бұрын

    miraji ulitaka miksson afanyej kipind amekuja umemuona alivyo unazani kucheza mpira ukiwa na mwili mkubwa ni rahisi km ni rahis bas hata babalevo angeweza kucheza mpira

  • @BarnabaJaphet
    @BarnabaJaphet13 күн бұрын

    Me pia nimekubaliana na uongozi kumuacha miqson maana hakutupa tulicho kihitaji ukilinganisha na mshahala wake

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara929013 күн бұрын

    Konde Boy Daaah!!!

  • @mafisadi
    @mafisadi13 күн бұрын

    Chagamba utavunjwa mabega na kolo huyo

  • @user-ct3kz3rq1q

    @user-ct3kz3rq1q

    13 күн бұрын

    Hahahahaha Kweli

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    13 күн бұрын

    NA WEWE FISADI KAMA MANGUNGU??? 😂😂😂😂😂😂😂

  • @RWIGEMAMADONDIFRANCK
    @RWIGEMAMADONDIFRANCK13 күн бұрын

    Mbona una maliza mbiyo gamba

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l13 күн бұрын

    KWELI KABISA MIQISON KATUANGUSHA, SIMBA NGUVU MOJA

  • @user-ct3kz3rq1q

    @user-ct3kz3rq1q

    13 күн бұрын

    Miqisoni kiwango kime shuka mno hamna cha kuwaangusha nikawaida kila mchezaji na muda wake sembuse miqison

  • @makamesaid8432
    @makamesaid843213 күн бұрын

    Kuna mtu moja anajita firji bovu lakin hajuw chochote ispokuwa bobo

  • @kisinza6077
    @kisinza607713 күн бұрын

    MAKOLO BHANA! yaani anachokiamua MOO ndiyo hichohicho lakini bahati mbaya Moo hajui mpira, moo 10 ni sawa na Eng. 1. Tuliwambia Huyo Josee Miq. Kakalia ubao msimu mzima, mkaona tunawaonea gele, kolongada nyie😂😂😂

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    13 күн бұрын

    MACHOGOOOOOOOOO 😂😂😂😂

  • @kolosii4351
    @kolosii435113 күн бұрын

    Hao wachambuzi feki wafutwe kabisa, tusiwe nao tu hapa Tanzania wanatuharibilia mpira wetu

  • @user-xq8pq2ey6t

    @user-xq8pq2ey6t

    13 күн бұрын

    Kina nan hao?

  • @voicdesition897
    @voicdesition89713 күн бұрын

    Simba hawajui tu miqson alianza kurudi ngoja mmkute jangwan mmbwa nyie

  • @DIRECTORJOHN435
    @DIRECTORJOHN43513 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @errydeo8865
    @errydeo886513 күн бұрын

    Na usajili wenu utakua wa shirikisho 😂😂😂😂 haji simba mchezaji wa maana this season 🤣🤣🤣cant wait! Tutawapiga all games

  • @user-xz2vl8up5e
    @user-xz2vl8up5e13 күн бұрын

    kabsa miraji konde boy alituangusha sana