Hilo bega la mtangazaji litaisha miraji analigonga sana
@user-zi8mv9ol6y9 ай бұрын
Mimi ni mpinzani wako kiushabiki wa team Miraj ila nakukubali Sana unasema ukweli,haulalii upande wowote,endelea kusema ukweli
@abelmoses55419 ай бұрын
Kazi na dawa #miraji aise huoo ndo ujira wakoo eeehh😂😂
@user-ty1lh9bw5j9 ай бұрын
Miraji kwaili mm nipo naww
@aishafranco10559 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣msogezee na bega maana hawezagi kuongea bira kupiga bega lako😂😂😂😂😂😂
@Shehushagari-cm8pp9 ай бұрын
Ila milaji uyujamaa mpaka anapomaliza kukuhoji anaondokaga namaumivu begani😂😂😂😂😂😂
@maribahanyora84789 ай бұрын
Utamkondesha kwa makofi ya bega
@amitarymahenge31689 ай бұрын
Ila kweli waandishi wanafki
@issaalfani10309 ай бұрын
Miraji mimi ni shabiki wa YANGA sio poa ila nakukubali huna upendeleo unaongea ukweli
@EzekiaMichael-jn5np9 ай бұрын
Kwanini Simba ilidanganya matokeo
@user-pb4zt6qc7f9 ай бұрын
Uyo jamaa avae elementi kwenye mabega sio kwa makofi hayo
@user-yu9hn2cq3y9 ай бұрын
Uyo mtangazaj akitoka hapo anaumwa akome
@user-ef4ck4vp7e9 ай бұрын
So kwel miraji hataki bali ni msema kwel kabisa
@user-ef4ck4vp7e9 ай бұрын
Kwel miraj anasemaga ukwel kabisa lakn inatakiwa msemaj wa Simba apate kuiga kwa miraji maan ni mropokaj sikuu zotee kuigaa kuongea ukwel si dhambii
@LenziaNgowoko-gu9gb9 ай бұрын
Amesema Hilo wapi, acheni uchonganishi
@NillanMjunga-fr5ze9 ай бұрын
Ni mara ya pili simba inakosea hata ilivyokua uturuki ilikosea
@agnesnombo94819 ай бұрын
miraji unamzuka utakauwa haka katoto kwa makofi yako😂😂😂😂😂
@wistonmtewele99529 ай бұрын
Miraji usimsikilize shabiki yeyote , kama yanga kazingua sema na kama simba kazingua sema maana waliowengi ukisema ukweli utasikia wewe niwatimu fulani
Пікірлер: 22
Hilo bega la mtangazaji litaisha miraji analigonga sana
Mimi ni mpinzani wako kiushabiki wa team Miraj ila nakukubali Sana unasema ukweli,haulalii upande wowote,endelea kusema ukweli
Kazi na dawa #miraji aise huoo ndo ujira wakoo eeehh😂😂
Miraji kwaili mm nipo naww
🤣🤣🤣🤣🤣🤣msogezee na bega maana hawezagi kuongea bira kupiga bega lako😂😂😂😂😂😂
Ila milaji uyujamaa mpaka anapomaliza kukuhoji anaondokaga namaumivu begani😂😂😂😂😂😂
Utamkondesha kwa makofi ya bega
Ila kweli waandishi wanafki
Miraji mimi ni shabiki wa YANGA sio poa ila nakukubali huna upendeleo unaongea ukweli
Kwanini Simba ilidanganya matokeo
Uyo jamaa avae elementi kwenye mabega sio kwa makofi hayo
Uyo mtangazaj akitoka hapo anaumwa akome
So kwel miraji hataki bali ni msema kwel kabisa
Kwel miraj anasemaga ukwel kabisa lakn inatakiwa msemaj wa Simba apate kuiga kwa miraji maan ni mropokaj sikuu zotee kuigaa kuongea ukwel si dhambii
Amesema Hilo wapi, acheni uchonganishi
Ni mara ya pili simba inakosea hata ilivyokua uturuki ilikosea
miraji unamzuka utakauwa haka katoto kwa makofi yako😂😂😂😂😂
Miraji usimsikilize shabiki yeyote , kama yanga kazingua sema na kama simba kazingua sema maana waliowengi ukisema ukweli utasikia wewe niwatimu fulani
Miraj unamuumiza Chagamba namba unavyompiga bega,hana nyama huyo
Siku zote unaongeaga against simba na kuiponda simba , unataka cheo simba hupati nafasi hiyo ,UTOPOLO MKUBWA WE
@Mobmob2013
9 ай бұрын
Unateseka Ukiwa wapi kolo, Ukiwa humwelewi miraji achana na Mpira
@abrahmanmussa1384
9 ай бұрын
Miraji mm nakukubali upo kisoka