MIRAJI SHABIKI SIMBA AMVAA AHMED ALLY| WAWE MAKINI WATU WANAPAMBANA ISIJE IKAWAKUTA MAKUBWA

Спорт

Пікірлер: 22

  • @sittandaki2135
    @sittandaki21359 ай бұрын

    Hilo bega la mtangazaji litaisha miraji analigonga sana

  • @user-zi8mv9ol6y
    @user-zi8mv9ol6y9 ай бұрын

    Mimi ni mpinzani wako kiushabiki wa team Miraj ila nakukubali Sana unasema ukweli,haulalii upande wowote,endelea kusema ukweli

  • @abelmoses5541
    @abelmoses55419 ай бұрын

    Kazi na dawa #miraji aise huoo ndo ujira wakoo eeehh😂😂

  • @user-ty1lh9bw5j
    @user-ty1lh9bw5j9 ай бұрын

    Miraji kwaili mm nipo naww

  • @aishafranco1055
    @aishafranco10559 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣msogezee na bega maana hawezagi kuongea bira kupiga bega lako😂😂😂😂😂😂

  • @Shehushagari-cm8pp
    @Shehushagari-cm8pp9 ай бұрын

    Ila milaji uyujamaa mpaka anapomaliza kukuhoji anaondokaga namaumivu begani😂😂😂😂😂😂

  • @maribahanyora8478
    @maribahanyora84789 ай бұрын

    Utamkondesha kwa makofi ya bega

  • @amitarymahenge3168
    @amitarymahenge31689 ай бұрын

    Ila kweli waandishi wanafki

  • @issaalfani1030
    @issaalfani10309 ай бұрын

    Miraji mimi ni shabiki wa YANGA sio poa ila nakukubali huna upendeleo unaongea ukweli

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np9 ай бұрын

    Kwanini Simba ilidanganya matokeo

  • @user-pb4zt6qc7f
    @user-pb4zt6qc7f9 ай бұрын

    Uyo jamaa avae elementi kwenye mabega sio kwa makofi hayo

  • @user-yu9hn2cq3y
    @user-yu9hn2cq3y9 ай бұрын

    Uyo mtangazaj akitoka hapo anaumwa akome

  • @user-ef4ck4vp7e
    @user-ef4ck4vp7e9 ай бұрын

    So kwel miraji hataki bali ni msema kwel kabisa

  • @user-ef4ck4vp7e
    @user-ef4ck4vp7e9 ай бұрын

    Kwel miraj anasemaga ukwel kabisa lakn inatakiwa msemaj wa Simba apate kuiga kwa miraji maan ni mropokaj sikuu zotee kuigaa kuongea ukwel si dhambii

  • @LenziaNgowoko-gu9gb
    @LenziaNgowoko-gu9gb9 ай бұрын

    Amesema Hilo wapi, acheni uchonganishi

  • @NillanMjunga-fr5ze
    @NillanMjunga-fr5ze9 ай бұрын

    Ni mara ya pili simba inakosea hata ilivyokua uturuki ilikosea

  • @agnesnombo9481
    @agnesnombo94819 ай бұрын

    miraji unamzuka utakauwa haka katoto kwa makofi yako😂😂😂😂😂

  • @wistonmtewele9952
    @wistonmtewele99529 ай бұрын

    Miraji usimsikilize shabiki yeyote , kama yanga kazingua sema na kama simba kazingua sema maana waliowengi ukisema ukweli utasikia wewe niwatimu fulani

  • @user-zi8mv9ol6y
    @user-zi8mv9ol6y9 ай бұрын

    Miraj unamuumiza Chagamba namba unavyompiga bega,hana nyama huyo

  • @tanzaniakwanzamaadili5083
    @tanzaniakwanzamaadili50839 ай бұрын

    Siku zote unaongeaga against simba na kuiponda simba , unataka cheo simba hupati nafasi hiyo ,UTOPOLO MKUBWA WE

  • @Mobmob2013

    @Mobmob2013

    9 ай бұрын

    Unateseka Ukiwa wapi kolo, Ukiwa humwelewi miraji achana na Mpira

  • @abrahmanmussa1384

    @abrahmanmussa1384

    9 ай бұрын

    Miraji mm nakukubali upo kisoka

Келесі