🔴LIVE: CROWN SPORTS. ALMAS KASONGO, GEOF LEA, PAUL MKAI. HANS RAFAEL

Спорт

Habari za michezo kwa kina, mashabiki na uchambuzi mzito mzito, exclusive interviews

Пікірлер: 139

  • @jumanjoro782
    @jumanjoro7827 күн бұрын

    Congratulations crown fm Kwa usajili huu wa Mzee wa SWADAKTA WA SWADAKTA PAUL MKAI amekutana na mwanae HANS RAFAEL

  • @elgiusjohanes9190
    @elgiusjohanes91907 күн бұрын

    Evance anajuwa sana ameongeza kitu cha tofauti ukiacha hayo majina makubwa hongeren crown kwa kutuletea kipaji kipya 🙌

  • @emmanuelnkinda3924

    @emmanuelnkinda3924

    6 күн бұрын

    Wawooow!! nawapata vizuri kutoka Shinyanga

  • @isayachisongela9493
    @isayachisongela94937 күн бұрын

    Paul Mkai Huyu Jamaa ni Balaaa, yaaani Jamaa wote Ni Cleam mno

  • @AthumaniNyange
    @AthumaniNyange6 күн бұрын

    Crown sport Iko pow sana tunaomba ifike kwetu Dodoma tunapenda❤❤❤

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w7 күн бұрын

    Mkai anajua sana usajili mzuri

  • @Elihurumamathew
    @Elihurumamathew6 күн бұрын

    Kiba hela anayo ila yeye nikama gsm hapigi kelele wala hajazi mabaunsa wakumlinda nawenye hela nyingi wengi hawana kelele😂😂

  • @KelvinMushi-rp6vv
    @KelvinMushi-rp6vv7 күн бұрын

    mbona wasafi inakufa, mkai we ni hatar san kwenye sports bila kumwacha hansi

  • @husseinc

    @husseinc

    7 күн бұрын

    kitu kipya kikiingia kipe mda kwanza. kadri muda unavyokwenda ndio utajua hizi pumba au mchele clown.

  • @salumabdallah2990

    @salumabdallah2990

    7 күн бұрын

    ​@@husseincbado hapo unaongea kiushabik😂

  • @NajimaJuma

    @NajimaJuma

    6 күн бұрын

    Mkai Hana Raha ni bas2 afu ukimchek Hans nikama vile ana Fanya Buttle na usafini wakat Bado anakop kwa Ambangile brother listen Wasafi till on the top There like Tie in the sky........

  • @salumabdallah2990

    @salumabdallah2990

    6 күн бұрын

    @@NajimaJuma ilikuwa ila sio sasa

  • @hamisihemedi5170
    @hamisihemedi51707 күн бұрын

    Mambo nimoto❤❤❤❤❤❤ Crown

  • @user-bv7lx6vj8u
    @user-bv7lx6vj8u7 күн бұрын

    Mmepatia sana,tatizo wale Jamaa tu

  • @dicksontimotheo7617
    @dicksontimotheo76177 күн бұрын

    saf kabisa kiba umetutoa kimasomaso tulikuwa tunateseka sana tulinyanyasika sana na hii ni crown media namba moja tanzania mpaka sasa najiulia tuliambiwa kiba hana hela sasa redio haina matangazo izo hela za kuwalipa hawa jamaa alikiba anatoa wap??????????????

  • @pappilonfar
    @pappilonfar7 күн бұрын

    Paul mkai..bonge moja la usajir

  • @MussaHashim-g4t
    @MussaHashim-g4t6 күн бұрын

    Mm nawaombeaa mungu ck moja muwe kituoo Cha kwanza Tanzania kwakutoa habali zenye mauzuii sahihi kwakila lika mungu awatanguliee

  • @gadafimuemede2985
    @gadafimuemede29857 күн бұрын

    Nawapata sana from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @AllySeleman-co6km
    @AllySeleman-co6km7 күн бұрын

    Mkali anajua sana kutagaza michezoo ogeleni crown kwa usajili wa mkali

  • @VagaTz
    @VagaTz7 күн бұрын

    Hik ndy kipindi bor san kuliko vote

  • @HassanTwacy
    @HassanTwacy7 күн бұрын

    Crown media kwenye ubora wakee ❤❤❤❤❤

  • @LobikiekiMarko
    @LobikiekiMarko7 күн бұрын

    KENYAAAAAA NAIROBI MTAA NI DANDORA PHASE 2

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi50047 күн бұрын

    Mashaallah powmkal

  • @filbertnyoni2352
    @filbertnyoni23526 күн бұрын

    HUYU JUMA AYO YUPO KAMA MGANGA WA KIENYEJI HAFAI KIPINDI CHA MICHEZO,NAFIKIRI ATAFUTIWE KIPINDI AWE ANAFANYA MAHOJIANO NA WAGANGA WAKIENYEJI NA WACHAWI,HAPO SPORTS HAPAMFAI KABISAAAA

  • @RamadhaniKrjunior
    @RamadhaniKrjunior7 күн бұрын

    Dah nawakubali sana wote hans mkai jof lea upande mwingne Ahmed nasri ambangile kitenge jaman kama usajili tupeni madini kwenye soka letu tutwafuatilia kotekote

  • @officialcentowiz4719
    @officialcentowiz47197 күн бұрын

    ivi mnafahau kuwa oscar oscar ni mchambuzi mzur tuu sema kule alipo ndo tatizo niamini mimi siku moja mtakuja ona maneno yangu 💪

  • @mohamedmbalazi748
    @mohamedmbalazi7487 күн бұрын

    Bongo ni kuiga na kupaste wasafi walianza kwa kuchukua watangazaji EFM. Hawa nao wanachukua wasafi. Jambo zuri ila mtaani nako wapo watu wengi hawana ajira wawaamin watakuwa wakubwa tu

  • @kenyzach9124

    @kenyzach9124

    7 күн бұрын

    brother hiyo ni biashara.! hapo kipindi kimeanza unaona kabisa hakina wadhamini, underground ni ngumu sana kutangaza kipindi kikawa kikubwa mpaka kuvutia wadhamini kuwekeza. so, kwa kuweka hao watu wenye uzoefu inasaidia kuvutia show na kuwavutia wadhamini,,, kumbuka wadhamini ndio wanaleta thamani ya kipindi.

  • @user-do1ge4fd3r

    @user-do1ge4fd3r

    7 күн бұрын

    Bro umeongea kitu kikubwa sana Ww no mtu was maana sana​@@kenyzach9124

  • @albertkatuga2434

    @albertkatuga2434

    6 күн бұрын

    Unateseka ukiwa kijiji kipi😂😂

  • @abrahamchengula8137
    @abrahamchengula81377 күн бұрын

    Mkiendelea kuchambua mambo kindani na ukweli na msiweke watu wenye eitha kuiponda Simba au Yanga hakutakuwa na maana KAMA WAJINGA WASAFI

  • @DavidAndrew-i3g
    @DavidAndrew-i3g4 күн бұрын

    mko💥💥💥💥habar za Uwakika na uwerediii

  • @HassanTwacy
    @HassanTwacy7 күн бұрын

    Crown media kwenye ubora wakee ❤❤❤

  • @YusuphMohamed-pq8pz
    @YusuphMohamed-pq8pz5 күн бұрын

    Ee bhn nawapata kutoka magomeni, mpe hai jof lea saiv namuelewa sana mana kule alipokuwa alikua anatafta samaki kwenye mwili wa nyoka saiv mambo saaaafi nimpe eshima yake,, shikamooo kak jofu akika umetisha sana,,

  • @JosephMutambala
    @JosephMutambala6 күн бұрын

    Number one crown

  • @jeremiahbabalove5446
    @jeremiahbabalove54464 күн бұрын

    Nimewakubari sana crown FM hawa jamaa ni hatar

  • @spensajansa
    @spensajansa7 күн бұрын

    Kutazama tyu kucomment aaah

  • @MudyDayo

    @MudyDayo

    7 күн бұрын

    😆😆

  • @TryphoneGotham

    @TryphoneGotham

    6 күн бұрын

    🤣🤣🤣

  • @TalkiAhmadi-wz6cj
    @TalkiAhmadi-wz6cj5 күн бұрын

    Tuna wakubali sana mbno kwenye vin'gamuz vya azam tv hatuwaon

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga8096 күн бұрын

    Mbona mkayi kama unafuraha sana huku safi keep up broo sikuiz mkono kinywani kwanza love siyo ishuuu😂😂😂😂

  • @molyrics1213
    @molyrics12137 күн бұрын

    Mtotooo kautaaaaaka 💥

  • @IbrahimEboue
    @IbrahimEboue5 күн бұрын

    Crown juu na wafatilia nikiwa africa ya kusini

  • @NajimaJuma
    @NajimaJuma6 күн бұрын

    Wasafi never die coz Paul mkai Role model Ake Ni Yusuphu mkule huyo hans Role model wake Ni Ambangile so wasafil till on the top Top.....Guys wasafi ni too much Levels

  • @barakamfilinge6943
    @barakamfilinge69436 күн бұрын

    Nampenda sana Paul Mkai akiongoza kipindi siyo yule Juma Ayo

  • @utamutv_
    @utamutv_7 күн бұрын

    Kwan hao yangu wanataka nn jmn Kila mtu wanamtaka yeye

  • @SamwelKakintwa
    @SamwelKakintwa6 күн бұрын

    Uchambuzi wenu ni nzuri kwa club ya Simba,kusajili mchezaji Bila kuangalia mfumo wa simba.

  • @gordiansoko9113
    @gordiansoko91137 күн бұрын

    Siku hizi kazi ya utangazaji ni sawa na bar maid leo yuko Kimara bar kesho utamkuta Manzese tiptop.

  • @Zaynab-ny6gr

    @Zaynab-ny6gr

    6 күн бұрын

    Kila kazi lazima uangalie maslahi

  • @princekassimtz5848
    @princekassimtz58487 күн бұрын

    Congratulations 🎉 0:27

  • @user-qo9ho6he8b
    @user-qo9ho6he8b5 күн бұрын

    leo sasa ndo mnenifurahisha mana wachambuzi wangu wotemmenea apo studio joffureya hansi rafael poul mkai atari sana kama simba ijayo naona watu wakizima viredio vyao 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @AmosBarnabas-wl1yl
    @AmosBarnabas-wl1yl7 күн бұрын

    Noma sana

  • @BimkubwaMohd-ef6hr
    @BimkubwaMohd-ef6hr6 күн бұрын

    Kikeke products...

  • @ChamaClassic

    @ChamaClassic

    5 күн бұрын

    Muko vizuri sana

  • @husseinayoub6703
    @husseinayoub67036 күн бұрын

    Mpo vizuri kuweni makini na maadili ya kazi msinunuliwe tu kama clouds na wasafi gsm nisumu kwa afya ya wachambuzi

  • @alicenice1711
    @alicenice17117 күн бұрын

    Hapa ni nyumbani 😂😂🎉

  • @user-ur9pz5lp6o
    @user-ur9pz5lp6o7 күн бұрын

    Geof alimlenga GSM kuhusu upangaji wa matokeo "Kasongo kamkwepa vizuri"

  • @festongailo1082
    @festongailo10827 күн бұрын

    Oi oi oi tupo pamoja mpaka badaee sana

  • @MalapaHassanor
    @MalapaHassanor7 күн бұрын

    Kiba bado salama ngare mwanadada anajua yule mchukue kaka

  • @PopTiger-br2nh
    @PopTiger-br2nh7 күн бұрын

    Goood crown

  • @georgeemmanuel8523
    @georgeemmanuel85235 күн бұрын

    Background ya ndani tunaomba mmbadilishe ikiwezekana inaharibu video yaani haionekani vizuri

  • @NajimaJuma
    @NajimaJuma6 күн бұрын

    I never come to Appreciate Hans Coz uchambuzi wake umejikita kiushabiki mie ni Yanga but hans ni mnafikiiiiiii kajawa na Uyanga Daily mchezaji anasajiliwa kutokana na Namba uongo mtupuuuu ww

  • @DenisSalary-k6y
    @DenisSalary-k6y7 күн бұрын

    Da,watu wa nguvu sana ,,hapa ni nyumbniii

  • @Jacksonwiliam-t7p
    @Jacksonwiliam-t7pКүн бұрын

    Gud job

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h7 күн бұрын

    Toka makambako Town hapa weji

  • @OmaryMagazine-b2j
    @OmaryMagazine-b2j7 күн бұрын

    Ebwana hap ninyumban

  • @JumaSango-yo8bj
    @JumaSango-yo8bj6 күн бұрын

    Sana wanangu wa crown 👑

  • @kamonaboy1113
    @kamonaboy11137 күн бұрын

    🔥🔥🔥

  • @MwinyialiMtali
    @MwinyialiMtali7 күн бұрын

    Mnatisha saana

  • @ramadhanizuberi2540
    @ramadhanizuberi25407 күн бұрын

    Yes hii ndo radio yetu pendwa

  • @emmanuelkituma
    @emmanuelkituma7 күн бұрын

    🎉🎉🎉

  • @MabeleMakene
    @MabeleMakene6 күн бұрын

    nawafatilia sana kipindi kipo hot sana ila kwa kilazo simba wangetoa at kwa mkopo

  • @djmarashi2095
    @djmarashi20957 күн бұрын

    asee munajua Sana kweli mumekuja kufanya mageuz ya kweli nawakubali san

  • @LuganoMwakalo
    @LuganoMwakalo6 күн бұрын

    Kweli njaa ni hatari

  • @WiliamTomas-oo9kb
    @WiliamTomas-oo9kb5 күн бұрын

    Sasa ivi nimehama wasafi niko uku crown kuna utamu wa mkai uku na kijana wake hans

  • @MkamiMavika
    @MkamiMavika7 күн бұрын

    Saa ngap kipindi Chao kinaanza

  • @MashakaAthumaniAthumanimashaka
    @MashakaAthumaniAthumanimashaka6 күн бұрын

    Miminafikir Kostounion Watapata Matatizo Kwasabab Zakisheria Lakini Kwasababu Kimtaani Nisawa Ilkesi Ipo Nawatajuta

  • @JacobMwegero
    @JacobMwegero7 күн бұрын

    Safi kabsa crown

  • @shazilimasoka4051
    @shazilimasoka40517 күн бұрын

    Watangazaji ote wanajuwa Sana Sana nafulaiya Sana

  • @Hilalisebatv
    @Hilalisebatv6 күн бұрын

    Asikwambie mtu crown tamu

  • @videozaaj1069
    @videozaaj10697 күн бұрын

    Background😢😢😢mbaya

  • @johnndiga
    @johnndiga6 күн бұрын

    nawapata vizuri nikiwa mbeya

  • @alexmwajombe749
    @alexmwajombe7496 күн бұрын

    Nawapata kutoka mazinde mkowa watanga

  • @ZakariaMachibula
    @ZakariaMachibula7 күн бұрын

    🔥🔥

  • @kidawajuma9597
    @kidawajuma95977 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz84856 күн бұрын

    Mapinduzii 🇹🇿🇿🇦🫡💯🙌

  • @user-ey4tb1sq7p
    @user-ey4tb1sq7p6 күн бұрын

    Kings fire

  • @IddyNdiryamba
    @IddyNdiryamba4 күн бұрын

    💯💯💯💯💯

  • @user-vx9xb7cb2q
    @user-vx9xb7cb2q6 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @Khidayaabdallah
    @Khidayaabdallah6 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @Jumasumail-nx1xt
    @Jumasumail-nx1xt7 күн бұрын

    viongozi wa simba sc vp kuhusu feitoto na mayele by baba Asia kutoka msumbiji

  • @user-ve8yy6rj2v
    @user-ve8yy6rj2v6 күн бұрын

    The media to the world

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad27366 күн бұрын

    ❤❤❤❤😊😊😊😊

  • @HairuIssa-f9y
    @HairuIssa-f9y7 күн бұрын

    Crown fire fire

  • @mcmambo8774
    @mcmambo87747 күн бұрын

    Safii crown

  • @joemtaki5167
    @joemtaki51677 күн бұрын

    442 😂 HANS muongo muongo ila anaupiga mwingi big up

  • @EricMgeni
    @EricMgeni5 күн бұрын

    Kule yanga uku crown media 😂😂😂😂amuogopi

  • @Ndenza
    @Ndenza7 күн бұрын

    Mmi ni shabik wa Simba na wasafi sjui machoz yangu yarakauka lin😭😭😭😭😭😭🤣

  • @ommykiss7049
    @ommykiss70497 күн бұрын

    Mkai unajua sana kaka

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe7 күн бұрын

    Uchambuz mzur sanaaa

  • @honestgroup2116
    @honestgroup21167 күн бұрын

    Safi sanaa

  • @clarencesichila9497
    @clarencesichila94976 күн бұрын

    Baleke ni mchezaji mzuri kuliko pa omar jobe

  • @JumaMakala-xf5nb
    @JumaMakala-xf5nb7 күн бұрын

    Mleteni Osika tupate sport comedian, au mbwiga mbwigike

  • @user-qz8gn6bn6r
    @user-qz8gn6bn6r6 күн бұрын

    Nomaa

  • @TwalibuAlbaamiryShoka
    @TwalibuAlbaamiryShoka6 күн бұрын

    Pomkai umewakimbia wasafi

  • @naslimtz1247
    @naslimtz12477 күн бұрын

    Safi sana

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr6 күн бұрын

    Bado 2 Ahmed na kitenge

  • @MohamedMhina-ez1mk
    @MohamedMhina-ez1mk6 күн бұрын

    Mbn wachamuzi wawasafi wanakimbia shida nn pesa au akuna wasafi nn

  • @HanceFlic
    @HanceFlic7 күн бұрын

    🔥

  • @richardmazikumguku
    @richardmazikumguku6 күн бұрын

    Hiii hiii

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe7 күн бұрын

    Yan had rahaaa

  • @PhillipoLaiza
    @PhillipoLaiza6 күн бұрын

    yanga wakilileta baleke inaonesha kwamba yanga hawapo siriyasi kwasababu baleke ngarasa la kutupia mbali ni kama okra

Келесі