PART 2: ALIKAMWE AUCHANA USAJILI WA SIMBA "Sisi tulishatoka Huko siku nyingi"/ TAREHE YA JEZI MPYA

Спорт

Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 222

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords481923 күн бұрын

    Habari crown media ?, aisee huyo Ally kamwe yupo very smatt sana katika kutoa habari nampa kongole nyingi sana mungu ampe maisha marefu na baraka nyingi saana

  • @issaselemani491

    @issaselemani491

    19 күн бұрын

    Kwani hao Simba hawana wachezaji wenye umri mkubwa hadi sasa?Mbona wapo akina Kapombe,Hussein,Che Malone,Onana na wengi wengineo.Chama na Baleke tu ndiyo walioongezwa kutoka Simba ambao ninyi ndiyo mnawasema wazee.

  • @AYK.65
    @AYK.6523 күн бұрын

    Ali Kamwe nakukubali sana una upeo mkubwa sana bigup Yanga

  • @edwinmartin8066
    @edwinmartin806623 күн бұрын

    Point sana 1 GSM 2 UONGOZI 3 MASHABIKI

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py23 күн бұрын

    Mkianza kujenga Sanam ya GSM mm wakwanza na mifuko kumi ya simeti niko tabola

  • @hawamasanje9589
    @hawamasanje958923 күн бұрын

    Asante sana Semaji Ally Kamwe Mungu azidi kukubali sana sana

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv23 күн бұрын

    Yanga wanajua Ku-BRAND WACHEZAJI wao kwa kweli..... Huyu Baleke pia Atafanya vizuri im sure

  • @mathiasmbeya7332
    @mathiasmbeya733222 күн бұрын

    Alikamwe ni msemaji ila ahamed ni mchekeshaji

  • @graysonlameck1317
    @graysonlameck131722 күн бұрын

    Ally Kamwe ana matani mengi sana ila ikifika kwenye ukweli anasema ukwel congratulation Ally

  • @phiddeschacha3143
    @phiddeschacha314323 күн бұрын

    Uongo, uongo, uongo uongo uongo mkubwa kweli kweli. Waambie kabisa ukweli. Hakuna mchango wowote uliotoka kwa wanachama wala viongozi wa serikali.😊😊😊😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa267122 күн бұрын

    Leo nimeangalia Crown media kwa sababu ya msemaji wetu, vinginevyo siwezi kuangalia kwa sababu ya baadhi ya wachambuzi vimeo waliochukuliwa hapo,

  • @mmewaswida

    @mmewaswida

    21 күн бұрын

    Weye kama mie tu

  • @jumamshana3417
    @jumamshana341720 күн бұрын

    Imerekodiwa na sim flan kavunga tu lakini anamaanisha tecno..

  • @fadhilimpini
    @fadhilimpini21 күн бұрын

    Good

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv23 күн бұрын

    Ally Kamwe ametulia saaana kwenye usemaji.. Kule upande wa pili ni COMEDIAN...

  • @Mrdigital.

    @Mrdigital.

    20 күн бұрын

    Kwenye kila mafanikio ata mpiga debe ataonekana smart sana,,, kwenye simba yenye migogoro na cahangamoto nyingi ila ahmed ameweza kutulia na kutengeneza mifumo ya sisi mashabiki kuendelea kuifwatilia team yetu na hizo comed ndo zinawapa uhai team yetu

  • @KS-iw7qv

    @KS-iw7qv

    20 күн бұрын

    @@Mrdigital. no bro.. uKatuni saana anafanya.... seriousness ni ndogo

  • @phiddeschacha3143
    @phiddeschacha314323 күн бұрын

    Yeees hapo umenifurahisha saaaaana hapo ulisema Mkude bado tunaye na pia Musonda kipenzi chetu waoooh zile pilika pilika za Musonda pale golini nazipenda sana

  • @MzeewaYanga-hm8jq

    @MzeewaYanga-hm8jq

    22 күн бұрын

    Unajuw w nd mm kabisa kwny kila engo

  • @HousenAhmadi
    @HousenAhmadi23 күн бұрын

    Jamaa anajua sana kukera😂

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande287321 күн бұрын

    Siyo keeling kwamba huyu mzuri kuliko huyu kila mtu apambane na mwandishi wake

  • @FaustineClement-q3j
    @FaustineClement-q3j21 күн бұрын

    Katika wasemaji wanaojua mpila ally kamwe anaujua mpira sio mtu unaongea hovyo tu bila uhalisia

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy849923 күн бұрын

    😂😂😂 Prince Chotas pakamwe upo sahihi sana

  • @idybwoytz8485

    @idybwoytz8485

    23 күн бұрын

    Semajiiiiii lamanaaa San 😂😂😂

  • @oscarsanga3293

    @oscarsanga3293

    23 күн бұрын

    Prince Chrotas Ki Pakamwe

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja403219 күн бұрын

    Uongooo uongoooo uongooooo😂😂

  • @awalutibiita9650
    @awalutibiita965023 күн бұрын

    JUMA AYO upewe soda unywe nitaliap kwa maswali yako

  • @Aidansimwanza
    @Aidansimwanza21 күн бұрын

    Shida ya Paul Mkai anafanya kipindi ili kumaliza muda siyo kumaliza Mada, nimkatishaji mzuri sana anaboa

  • @bakabrandtz8910
    @bakabrandtz891022 күн бұрын

    Kamwe ni professional spokesman

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe23 күн бұрын

    Crown ipoo juu

  • @GoboreMinihaji
    @GoboreMinihaji23 күн бұрын

    Mwamba Sana huyo alikamwe

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande287321 күн бұрын

    Thank you kwani maana take ni thank you thank you ni Asante wewe una yako

  • @fadhilimpini
    @fadhilimpini21 күн бұрын

    Good news

  • @tatalyzer382
    @tatalyzer38223 күн бұрын

    Yanga ni Bonge la dudeeeeeee 🎉🎉🎉🎉

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande287321 күн бұрын

    Mnawataka wachezaji wasiona ugumu wa kuwapata hahahaaa wote mmechukua wengi waliomaliza mikataba

  • @musasulaiman8881
    @musasulaiman888121 күн бұрын

    This lad is very smart

  • @user-jj3tq1rh4p
    @user-jj3tq1rh4p23 күн бұрын

    naam kwa ukweli Ali pc kamwe yu sahihi

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande287321 күн бұрын

    Smart kwa wenye ushabiki naye

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande287321 күн бұрын

    Kutazamwa let's wait

  • @adamuayubumwendolwa7723
    @adamuayubumwendolwa772323 күн бұрын

    Tumelipa kadi ya uwanachama,wanachama tumechangia kumbakisha Aziz,give us our credits

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing23 күн бұрын

    Semaji La Mabingwa💚🇹🇿

  • @bakarially253
    @bakarially25320 күн бұрын

    Inaitwa Augsburg ndio timu yetu ya mkoa wetu ni miongoni mwa timu tatu kubwa katika jimbo la Bayern. 1)Bayern München 2)Nürnburg 3)Augsburg Hizo ndio timu kubwa katika jimbo letu la Bayern na zote zipo Bundesliga

  • @deodatusmatwegula5364
    @deodatusmatwegula536420 күн бұрын

    Huyo Juma hivi kweli anajua ya kuwa wakati Yanga wanamsajili Saido Simba waliwasema Yanga wamesajili mzee na hatimaye Simba wakamsajili

  • @joelsaganya4077
    @joelsaganya407721 күн бұрын

    Hapo kwa mashabiki ni sawa@ mobeto

  • @abdallahchungulu4439
    @abdallahchungulu443923 күн бұрын

    uyo juma ayo anauliza swali anazunguka weeeee mpaka anakera

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu23 күн бұрын

    Fact yanga tunajua kutunza na kulinda wachezaji wetu

  • @SportsRaha

    @SportsRaha

    23 күн бұрын

    Km Mayele mmemtunza 😂😂😂

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande287321 күн бұрын

    Maude chama mchezaji wa Azam🎉🎉

  • @alphoncealmack9240
    @alphoncealmack924023 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂huyo ndio ali mwana wa kamwe, wachane wapasuke hao makoloboi a.k.a vibatari lunyasi

  • @dalalfundikila507
    @dalalfundikila50723 күн бұрын

    Kausha dam Azizi ki

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f23 күн бұрын

    Hao waandishi wa habari kabla ya kutoa habari wazifanyie kazi ya uchunguzi kwanza

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py23 күн бұрын

    💚💚💚💚💚 good 👍

  • @fadhilimpini
    @fadhilimpini21 күн бұрын

    Salute from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @SimonMasebo
    @SimonMasebo23 күн бұрын

    Hakika ww ni mwamba

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen729920 күн бұрын

    Ally kamwe umetisha kaka

  • @ahmedimakope
    @ahmedimakope23 күн бұрын

    Hawa si ndio walisema wananchi lipeni pesa za uanachama Ili ipatikane abaki Aziz ki

  • @Sesakwaukweli3
    @Sesakwaukweli323 күн бұрын

    Tunaomba na Pemba isikilikane jaman isiishie unguja tu Zanzibar nivisiwa viwili sio Unguja tu mnatunyima kwanini

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj23 күн бұрын

    Sema unachojiskia ally 😂😂

  • @awalutibiita9650
    @awalutibiita965023 күн бұрын

    Mbona unajibu kwa makasiliko 😂😂😂 kuna ukwel ndani yake nn

  • @emmanuellukwaro407
    @emmanuellukwaro40721 күн бұрын

    Hamna msemaji humu

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f22 күн бұрын

    Kamweukopoa sana wahabarishe

  • @devotabashome1090
    @devotabashome109020 күн бұрын

    Haka kajamaa bana😊

  • @AstrozyZayoh
    @AstrozyZayoh22 күн бұрын

    🙌🙌

  • @oliverwhite1676
    @oliverwhite167623 күн бұрын

    Free agent huyo

  • @user-qz8gn6bn6r
    @user-qz8gn6bn6r22 күн бұрын

    Noma

  • @saidmkuwa6088
    @saidmkuwa608822 күн бұрын

    Msemaji yupo vizuri sana sema wanamradhimisja awataje simba

  • @ClementKonda-uj1nj
    @ClementKonda-uj1nj21 күн бұрын

    Kwa sababu waliwapatiaga kamulungula wakatufunga 5

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande287321 күн бұрын

    Wewe ndiyo unatoa pesa wangeongea kina GSM

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi131923 күн бұрын

    Shule ndogo

  • @AlexMbagata
    @AlexMbagata19 күн бұрын

    Kama waandishi tuwe tunauliza maswali ya msingi kuendelea kusisimua habari tunazozitoa.

  • @justuswaziri3093
    @justuswaziri309320 күн бұрын

    Juma ayo asiongoze tena kipindi

  • @ezekielmtanda9495
    @ezekielmtanda949520 күн бұрын

    Juma Ayo hana weledi, amepanic kinazi

  • @user-st8hd9iq4o
    @user-st8hd9iq4o18 күн бұрын

    HVI HUYU NJITI ANAJIONA KAMA YYE NI TOP YA TZ WAKATI MBUMBU MMMOJA

  • @CastonJohn
    @CastonJohn4 күн бұрын

    Ubingwa wa afrikaa nkazi kuubeba

  • @CastonJohn
    @CastonJohn4 күн бұрын

    Waambie hao

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa277319 күн бұрын

    Tunajua yanga inasaidiwa naviogozi wa serikal

  • @Busagotz
    @Busagotz21 күн бұрын

    Sasa wewe Ally komwe 😅😅😅😅 unapataje ujasili wa kuiongea simba haikuhus subli lig Debora hakuhus komwe wewe kweli

  • @Hope-ok9dy
    @Hope-ok9dy21 күн бұрын

    Ili lichambuzi vip unalazimisha mtu asemee klab nyingine

  • @zuberimohamed43
    @zuberimohamed4319 күн бұрын

    Kwan Baleke n mchezaj wa simba?? Baleke ni mchezaji wa mazembe

  • @mosescalvinnyoha120
    @mosescalvinnyoha12023 күн бұрын

    😅😅😅

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande287321 күн бұрын

    Wewe unachukua wachezaji wote uliochukua yupi kavusha timu yake nusu halafu unajisifu

  • @user-sh8ug3lh4y
    @user-sh8ug3lh4y5 күн бұрын

    Wachawi nyie kila kitu kinamwisho

  • @Mrdigital.
    @Mrdigital.20 күн бұрын

    Simba shirikisho tunachukua

  • @rasakakaombwe
    @rasakakaombwe23 күн бұрын

    Sema watu waumie

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande287321 күн бұрын

    Unawazema azam kwani wewe Madeley huweezi kukutana naye

  • @user-sh8ug3lh4y
    @user-sh8ug3lh4y5 күн бұрын

    Kalamba goli nne

  • @CornenciaFaustine-pd2rc
    @CornenciaFaustine-pd2rc21 күн бұрын

    Ongelea club yako na walugaluga wenzako simba inakuhusu nini.

  • @minazsaid2470
    @minazsaid247023 күн бұрын

    Wanasimba acheni chuki na comment zenu mbaya wehu nyinyi

  • @edwarddastani3691

    @edwarddastani3691

    23 күн бұрын

    Ww ndo mwehu..........

  • @AngelmackieCharity

    @AngelmackieCharity

    23 күн бұрын

    Mwehu mwenye we am na Ally komwe wenu

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    23 күн бұрын

    Kolo wamevurugwa..wote mwezi mchanga..mtatukoma

  • @AngelmackieCharity

    @AngelmackieCharity

    23 күн бұрын

    @@josephlorri431 vyura mbona mnatoa sna mlio🫢

  • @victorgogadi55

    @victorgogadi55

    23 күн бұрын

    Mapenzi akaamua ku sign mwaka mmoja, Haya Mapenzi au method

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs23 күн бұрын

    Debola🤣🤣🤣🤣🤣

  • @richardpeter5817
    @richardpeter581722 күн бұрын

    Mhhh huyu Ali kamwe kama mwehu vile

  • @alitante4279
    @alitante427923 күн бұрын

    Tuliza komwe iloo hassan wee kakushinda mke tu utaiweza simbaa dgo fatumaa wee😘

  • @naliakafatuma9870

    @naliakafatuma9870

    23 күн бұрын

    Please usihukumu usije ukahukumiwa please mind your own Business please

  • @alitante4279

    @alitante4279

    23 күн бұрын

    ​@@naliakafatuma9870 punguza shobo na comment za baba zako ww sungura tope

  • @alitante4279

    @alitante4279

    23 күн бұрын

    ​@@naliakafatuma9870 punguza shobo na comment za baba zako wadg we sungura tope

  • @bernardndemba2253

    @bernardndemba2253

    23 күн бұрын

    kamezidi kupepeta mdomo​@@naliakafatuma9870

  • @wiyz_ta
    @wiyz_ta23 күн бұрын

    Mbona kapanic vp si umeulizwa kawada2 mzee sasa unapanic nini spo 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara884523 күн бұрын

    Utazimiyatena

  • @sevelintino6181
    @sevelintino618123 күн бұрын

    Huyu dogo siku simba akiongoza ligi atawatukana sana wachambuz sababu anaro ndogo sana

  • @shakiddymussa6822

    @shakiddymussa6822

    23 күн бұрын

    Huyu ndio msemaji ttzo sio simba kuongoza lig ttzo ambebi ubingwa

  • @AngelmackieCharity

    @AngelmackieCharity

    23 күн бұрын

    Yan Ana roho ya kimaskini mnoo

  • @salamSalehhhhh

    @salamSalehhhhh

    23 күн бұрын

    Yan choko Sana huyu dogo

  • @user-ot5nk7lw4r

    @user-ot5nk7lw4r

    22 күн бұрын

    Usitegemee simba kuja kuchukua kombe labda yanga waamue kuachia ubingwa

  • @bizmaterial594
    @bizmaterial59422 күн бұрын

    Sasa huyu msemaji alivyoulizwa timu kubwa ambazo ni wapinzani amemtaja wydad, wakati huo wydad hayupo champions league. Hivi mnamwelewa kweli?

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande287321 күн бұрын

    Huyu jamaa anamatusi watu wamefanyakazi wewe unasema you tube dogs Acha dharau wewe ni mtoto mdogo sana unapotukana wakubwa unajitengenea lana utakuja kuumbuka

  • @KASSIMSHEHEMBA
    @KASSIMSHEHEMBA21 күн бұрын

    Huyu ni njiti mbwa huyu anatufuata fata sana pumbavu

  • @wasemavyotv7736
    @wasemavyotv773623 күн бұрын

    Huyu dogo anafoce ukubwa Hana lolote buana Stephani kama kulkuwa na offer bas ataishia hapo

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso23 күн бұрын

    Kelele za nini tukutane kwa show brother

  • @OmariBwagizo
    @OmariBwagizo23 күн бұрын

    Kaka wewe tulia na timu yako

  • @munirathomas4585
    @munirathomas458522 күн бұрын

    Huyu ally kamwe mbona kama mchicha mwiba

  • @malickomary5687
    @malickomary568723 күн бұрын

    Mbona kama anapaniki msemaji?

  • @adolfmathew9698

    @adolfmathew9698

    23 күн бұрын

    Anataka makolo wakasirike bila d mbili uwezi elewa 😂 jokes

  • @dullahbatuf9223
    @dullahbatuf922322 күн бұрын

    Huyu sas ndo afisa habari c yule comedian

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f22 күн бұрын

    Usiwatukane ngoja inyeshe tuone panapovuja tuone tarehe8

  • @chriskudilla5355
    @chriskudilla535523 күн бұрын

    Naomba kutunza hii Interview

  • @user-lr2og8dj1r

    @user-lr2og8dj1r

    23 күн бұрын

    Ni Bure tunza tu😂😂😂

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    23 күн бұрын

    😂😂😂 tunza na za ubuntuuu

  • @voisaclassic1866
    @voisaclassic186622 күн бұрын

    Huyu mbwa anaongea nini kwani

  • @OmaryhamisndugwaOmmymchina
    @OmaryhamisndugwaOmmymchina23 күн бұрын

    Hilo shoga hilo

  • @dalalfundikila507
    @dalalfundikila50723 күн бұрын

    Usajili wa kausha Dam kamwe acha uwongo

Келесі