PART 2: ALIKAMWE AUCHANA USAJILI WA SIMBA "Sisi tulishatoka Huko siku nyingi"/ TAREHE YA JEZI MPYA
Спорт
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Пікірлер: 222
Habari crown media ?, aisee huyo Ally kamwe yupo very smatt sana katika kutoa habari nampa kongole nyingi sana mungu ampe maisha marefu na baraka nyingi saana
@issaselemani491
19 күн бұрын
Kwani hao Simba hawana wachezaji wenye umri mkubwa hadi sasa?Mbona wapo akina Kapombe,Hussein,Che Malone,Onana na wengi wengineo.Chama na Baleke tu ndiyo walioongezwa kutoka Simba ambao ninyi ndiyo mnawasema wazee.
Ali Kamwe nakukubali sana una upeo mkubwa sana bigup Yanga
Point sana 1 GSM 2 UONGOZI 3 MASHABIKI
Mkianza kujenga Sanam ya GSM mm wakwanza na mifuko kumi ya simeti niko tabola
Asante sana Semaji Ally Kamwe Mungu azidi kukubali sana sana
Yanga wanajua Ku-BRAND WACHEZAJI wao kwa kweli..... Huyu Baleke pia Atafanya vizuri im sure
Alikamwe ni msemaji ila ahamed ni mchekeshaji
Ally Kamwe ana matani mengi sana ila ikifika kwenye ukweli anasema ukwel congratulation Ally
Uongo, uongo, uongo uongo uongo mkubwa kweli kweli. Waambie kabisa ukweli. Hakuna mchango wowote uliotoka kwa wanachama wala viongozi wa serikali.😊😊😊😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Leo nimeangalia Crown media kwa sababu ya msemaji wetu, vinginevyo siwezi kuangalia kwa sababu ya baadhi ya wachambuzi vimeo waliochukuliwa hapo,
@mmewaswida
21 күн бұрын
Weye kama mie tu
Imerekodiwa na sim flan kavunga tu lakini anamaanisha tecno..
Good
Ally Kamwe ametulia saaana kwenye usemaji.. Kule upande wa pili ni COMEDIAN...
@Mrdigital.
20 күн бұрын
Kwenye kila mafanikio ata mpiga debe ataonekana smart sana,,, kwenye simba yenye migogoro na cahangamoto nyingi ila ahmed ameweza kutulia na kutengeneza mifumo ya sisi mashabiki kuendelea kuifwatilia team yetu na hizo comed ndo zinawapa uhai team yetu
@KS-iw7qv
20 күн бұрын
@@Mrdigital. no bro.. uKatuni saana anafanya.... seriousness ni ndogo
Yeees hapo umenifurahisha saaaaana hapo ulisema Mkude bado tunaye na pia Musonda kipenzi chetu waoooh zile pilika pilika za Musonda pale golini nazipenda sana
@MzeewaYanga-hm8jq
22 күн бұрын
Unajuw w nd mm kabisa kwny kila engo
Jamaa anajua sana kukera😂
Siyo keeling kwamba huyu mzuri kuliko huyu kila mtu apambane na mwandishi wake
Katika wasemaji wanaojua mpila ally kamwe anaujua mpira sio mtu unaongea hovyo tu bila uhalisia
😂😂😂 Prince Chotas pakamwe upo sahihi sana
@idybwoytz8485
23 күн бұрын
Semajiiiiii lamanaaa San 😂😂😂
@oscarsanga3293
23 күн бұрын
Prince Chrotas Ki Pakamwe
Uongooo uongoooo uongooooo😂😂
JUMA AYO upewe soda unywe nitaliap kwa maswali yako
Shida ya Paul Mkai anafanya kipindi ili kumaliza muda siyo kumaliza Mada, nimkatishaji mzuri sana anaboa
Kamwe ni professional spokesman
Crown ipoo juu
Mwamba Sana huyo alikamwe
Thank you kwani maana take ni thank you thank you ni Asante wewe una yako
Good news
Yanga ni Bonge la dudeeeeeee 🎉🎉🎉🎉
Mnawataka wachezaji wasiona ugumu wa kuwapata hahahaaa wote mmechukua wengi waliomaliza mikataba
This lad is very smart
naam kwa ukweli Ali pc kamwe yu sahihi
Smart kwa wenye ushabiki naye
Kutazamwa let's wait
Tumelipa kadi ya uwanachama,wanachama tumechangia kumbakisha Aziz,give us our credits
Semaji La Mabingwa💚🇹🇿
Inaitwa Augsburg ndio timu yetu ya mkoa wetu ni miongoni mwa timu tatu kubwa katika jimbo la Bayern. 1)Bayern München 2)Nürnburg 3)Augsburg Hizo ndio timu kubwa katika jimbo letu la Bayern na zote zipo Bundesliga
Huyo Juma hivi kweli anajua ya kuwa wakati Yanga wanamsajili Saido Simba waliwasema Yanga wamesajili mzee na hatimaye Simba wakamsajili
Hapo kwa mashabiki ni sawa@ mobeto
uyo juma ayo anauliza swali anazunguka weeeee mpaka anakera
Fact yanga tunajua kutunza na kulinda wachezaji wetu
@SportsRaha
23 күн бұрын
Km Mayele mmemtunza 😂😂😂
Maude chama mchezaji wa Azam🎉🎉
😂😂😂😂😂😂huyo ndio ali mwana wa kamwe, wachane wapasuke hao makoloboi a.k.a vibatari lunyasi
Kausha dam Azizi ki
Hao waandishi wa habari kabla ya kutoa habari wazifanyie kazi ya uchunguzi kwanza
💚💚💚💚💚 good 👍
Salute from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hakika ww ni mwamba
Ally kamwe umetisha kaka
Hawa si ndio walisema wananchi lipeni pesa za uanachama Ili ipatikane abaki Aziz ki
Tunaomba na Pemba isikilikane jaman isiishie unguja tu Zanzibar nivisiwa viwili sio Unguja tu mnatunyima kwanini
Sema unachojiskia ally 😂😂
Mbona unajibu kwa makasiliko 😂😂😂 kuna ukwel ndani yake nn
Hamna msemaji humu
Kamweukopoa sana wahabarishe
Haka kajamaa bana😊
🙌🙌
Free agent huyo
Noma
Msemaji yupo vizuri sana sema wanamradhimisja awataje simba
Kwa sababu waliwapatiaga kamulungula wakatufunga 5
Wewe ndiyo unatoa pesa wangeongea kina GSM
Shule ndogo
Kama waandishi tuwe tunauliza maswali ya msingi kuendelea kusisimua habari tunazozitoa.
Juma ayo asiongoze tena kipindi
Juma Ayo hana weledi, amepanic kinazi
HVI HUYU NJITI ANAJIONA KAMA YYE NI TOP YA TZ WAKATI MBUMBU MMMOJA
Ubingwa wa afrikaa nkazi kuubeba
Waambie hao
Tunajua yanga inasaidiwa naviogozi wa serikal
Sasa wewe Ally komwe 😅😅😅😅 unapataje ujasili wa kuiongea simba haikuhus subli lig Debora hakuhus komwe wewe kweli
Ili lichambuzi vip unalazimisha mtu asemee klab nyingine
Kwan Baleke n mchezaj wa simba?? Baleke ni mchezaji wa mazembe
😅😅😅
Wewe unachukua wachezaji wote uliochukua yupi kavusha timu yake nusu halafu unajisifu
Wachawi nyie kila kitu kinamwisho
Simba shirikisho tunachukua
Sema watu waumie
Unawazema azam kwani wewe Madeley huweezi kukutana naye
Kalamba goli nne
Ongelea club yako na walugaluga wenzako simba inakuhusu nini.
Wanasimba acheni chuki na comment zenu mbaya wehu nyinyi
@edwarddastani3691
23 күн бұрын
Ww ndo mwehu..........
@AngelmackieCharity
23 күн бұрын
Mwehu mwenye we am na Ally komwe wenu
@josephlorri431
23 күн бұрын
Kolo wamevurugwa..wote mwezi mchanga..mtatukoma
@AngelmackieCharity
23 күн бұрын
@@josephlorri431 vyura mbona mnatoa sna mlio🫢
@victorgogadi55
23 күн бұрын
Mapenzi akaamua ku sign mwaka mmoja, Haya Mapenzi au method
Debola🤣🤣🤣🤣🤣
Mhhh huyu Ali kamwe kama mwehu vile
Tuliza komwe iloo hassan wee kakushinda mke tu utaiweza simbaa dgo fatumaa wee😘
@naliakafatuma9870
23 күн бұрын
Please usihukumu usije ukahukumiwa please mind your own Business please
@alitante4279
23 күн бұрын
@@naliakafatuma9870 punguza shobo na comment za baba zako ww sungura tope
@alitante4279
23 күн бұрын
@@naliakafatuma9870 punguza shobo na comment za baba zako wadg we sungura tope
@bernardndemba2253
23 күн бұрын
kamezidi kupepeta mdomo@@naliakafatuma9870
Mbona kapanic vp si umeulizwa kawada2 mzee sasa unapanic nini spo 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Utazimiyatena
Huyu dogo siku simba akiongoza ligi atawatukana sana wachambuz sababu anaro ndogo sana
@shakiddymussa6822
23 күн бұрын
Huyu ndio msemaji ttzo sio simba kuongoza lig ttzo ambebi ubingwa
@AngelmackieCharity
23 күн бұрын
Yan Ana roho ya kimaskini mnoo
@salamSalehhhhh
23 күн бұрын
Yan choko Sana huyu dogo
@user-ot5nk7lw4r
22 күн бұрын
Usitegemee simba kuja kuchukua kombe labda yanga waamue kuachia ubingwa
Sasa huyu msemaji alivyoulizwa timu kubwa ambazo ni wapinzani amemtaja wydad, wakati huo wydad hayupo champions league. Hivi mnamwelewa kweli?
Huyu jamaa anamatusi watu wamefanyakazi wewe unasema you tube dogs Acha dharau wewe ni mtoto mdogo sana unapotukana wakubwa unajitengenea lana utakuja kuumbuka
Huyu ni njiti mbwa huyu anatufuata fata sana pumbavu
Huyu dogo anafoce ukubwa Hana lolote buana Stephani kama kulkuwa na offer bas ataishia hapo
Kelele za nini tukutane kwa show brother
Kaka wewe tulia na timu yako
Huyu ally kamwe mbona kama mchicha mwiba
Mbona kama anapaniki msemaji?
@adolfmathew9698
23 күн бұрын
Anataka makolo wakasirike bila d mbili uwezi elewa 😂 jokes
Huyu sas ndo afisa habari c yule comedian
Usiwatukane ngoja inyeshe tuone panapovuja tuone tarehe8
Naomba kutunza hii Interview
@user-lr2og8dj1r
23 күн бұрын
Ni Bure tunza tu😂😂😂
@mwanangusana
23 күн бұрын
😂😂😂 tunza na za ubuntuuu
Huyu mbwa anaongea nini kwani
Hilo shoga hilo
Usajili wa kausha Dam kamwe acha uwongo