KIMENUKA: HANS RAFAEL vs JEMEDARI SAID/ HII NI BALAA

Спорт

Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 656

  • @HassaniBakari-qj7ft
    @HassaniBakari-qj7ft24 күн бұрын

    KAMA UNAAMINI HANCY YUPO RIGHT NIPENI LIKE ZANGU 100😂

  • @joachimligwa5424

    @joachimligwa5424

    23 күн бұрын

    Hayuko sawa

  • @noelkaniki4334

    @noelkaniki4334

    23 күн бұрын

    hayuko sawa 100% you can play na double pivot with 4-3-3 jemedari anaiweka simple kabisa pivote inayo angalia chini like a triangle hans anacheka cheka tuuuu,' kuna siku aliingiza chaka watu na inverted full back ana mix na overlaps ma host nao wamekaa kindezi hawaelewiii

  • @user-xg9ix9ex9h

    @user-xg9ix9ex9h

    23 күн бұрын

    ​@@noelkaniki4334huelewi wewe hansi rafaeli yuko sawa

  • @joachimligwa5424

    @joachimligwa5424

    23 күн бұрын

    @@noelkaniki4334 nikiona hawa ndio wachambuzi hua nasema mimi sijapata nafasi tu Very poor na mbaya zaidi hajui kuhusu tactics na anajiweka anajua

  • @fredyjunior6961

    @fredyjunior6961

    23 күн бұрын

    Nancy ni pundit

  • @saidkasonta3174
    @saidkasonta317424 күн бұрын

    Vijana wa sasa wanaelewa mambo kwa haraka, na uwezo wao wakupambanua mambo ni mkubwa tofauti na wazee wa zamani!!

  • @Kajokashemmela-uu5vh

    @Kajokashemmela-uu5vh

    19 күн бұрын

    Hans mtupu kabisa Real mad wakati del bisqat walicheza kama anavyosema jemadal Salgado calros heaven w Samuel guty bekam Zidane Raul Di rima Figo kiungo mkabaji ni nani

  • @Kajokashemmela-uu5vh

    @Kajokashemmela-uu5vh

    19 күн бұрын

    Mkiwa na mpira hamna chep na ndiyo maana mabeki wana panda mbona Hans hajasema yao kaongezeka kwenye kushambulia?

  • @EkkyMedia
    @EkkyMedia22 күн бұрын

    Hans Rafael ni mbishi na jinsi alivyo vizuri kwenye kuji express ila tactically hayuko vizuri. kusema kweli point zake za mifumo zinakasoro nyingi. kwanza number 6,8 ni defined na role za mchezaji na wala si directly na position. mbili kuna aina tofauti za 433 kuna yenye 6 wawili na 8 mmoja, kuna yenye 8 wawili na 6 mmoja, kununa yenye 6,8,10. na ma kocha wengi wana epuka kutumia hizi majina ya formation kwenye huu mpira wakisasa. point nyingine formation ina elezea position ya wachezaji wakiwa hawana mpira na zone wanazotakiwa ku cover especially wakati wa kukaba. in transition shape inaweza kuonekana lakini wakocha wanawapa uhuru wachezaji kuji position namna ambayo italeta zaidi faida kwa team kutegemea game situation. kuna mengi yakusema, nikipata feedback nzuri nitatengeneza video ya kiswahili juu ya formation na roles za wachezaji

  • @gonesterasto2610

    @gonesterasto2610

    8 күн бұрын

    Umesomeka vyema sana

  • @EvaristJosiah
    @EvaristJosiah23 күн бұрын

    Mimi ninachoona uyu jemedari na hansi wapangiwe mda tofauti akiwepo mmoja mmoja asiwepo

  • @user-ee8xb1tl5n

    @user-ee8xb1tl5n

    23 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 nimecheka san

  • @errydeo8865

    @errydeo8865

    21 күн бұрын

    Hapana ,ni vizuri wawepo wawili ili jemadari awe exposed live

  • @hassanmickdady1687

    @hassanmickdady1687

    19 күн бұрын

    Kabisa maana hapo mmoja kwanza anaamini kwa simba na mwingine yanga

  • @josephsanga1709
    @josephsanga170924 күн бұрын

    Hansi ❤️❤️ fundi sana

  • @allyngoda761

    @allyngoda761

    23 күн бұрын

    Sababu wewe ni yanga

  • @kibwanasenza6904
    @kibwanasenza690424 күн бұрын

    Hans nakuona kwa sasa wewe ni bora kuliko wachambuzi wote uchwara

  • @protasnyoni3801
    @protasnyoni380124 күн бұрын

    Chinga ni Shabiki wa Mpira Sio Mchambuzi. Hans yupo Vizuri Chinga Hawezi Kukubali Kwa Sababu ya Sifa yake ya kuwa Shabiki na Sio Mchambuzi.

  • @manjolehamisi8167

    @manjolehamisi8167

    21 күн бұрын

    Kumbuka Chinga kacheza Mpira tena kwenye kiwango kikubwa so anajua anachoongea

  • @sadathboutique6253

    @sadathboutique6253

    20 күн бұрын

    ​@@manjolehamisi8167kacheza lkn ni bonge la mchambuzi mpuuzi na mwenye roho mbaya

  • @manjolehamisi8167

    @manjolehamisi8167

    20 күн бұрын

    @@sadathboutique6253 hapo point ni Uchambuzi hayo ya Roho mbaya siyajui broo

  • @sadathboutique6253

    @sadathboutique6253

    20 күн бұрын

    @@manjolehamisi8167 sasa uwa anachambua nini zaidi ya kujua uwa ni shabiki wa tim gani?anaponda tim inayofanya vizuri anasifia inayoboronga,ki ufupi unamsifia coze na wewe ni shabiki wa iyo tim anayosifia

  • @BongoCryptos

    @BongoCryptos

    20 күн бұрын

    ​@@manjolehamisi8167 Kiwango kikubwa alisaidia timu yake kuchukua kombe gani?

  • @FelinucMalilwa
    @FelinucMalilwa24 күн бұрын

    Jemedariiii tupoo na wewe mpka ufukuzwe uko Jk Tanzania 😂😂😂

  • @doricehungu5817

    @doricehungu5817

    24 күн бұрын

    😂😂😂 kaaah mmemfata mnashinikiza afukuzwa nacheka sana

  • @hammytototundu9292

    @hammytototundu9292

    23 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @femidayahaya4882

    @femidayahaya4882

    23 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @imamhussein1104

    @imamhussein1104

    22 күн бұрын

    Weee jamaa Fala sana 😂😂

  • @salimumwenguvu2248

    @salimumwenguvu2248

    22 күн бұрын

    😂DAAAH KMMKE

  • @charlesayubu6449
    @charlesayubu644924 күн бұрын

    Messages nyingi zakupongeza hans husomi. Tunaziona wapenzi wa CROWN

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri732223 күн бұрын

    Huyu babu bora angebaki efm, huku crown huyu hans atamtoa nishai😂

  • @khamiskhamis6809

    @khamiskhamis6809

    23 күн бұрын

    Uku amekuja kuumbuka

  • @JELSONMAUKI

    @JELSONMAUKI

    20 күн бұрын

    Astaafu tu jamani 😂😂😂

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo623623 күн бұрын

    Jemedari kakaaa Tanga wiki mbili kwenye mafunzo ya ukocha lakini anazidiwa kwa mbali Sana na Hans Raphael ambae ni mzuri sana kwenye kuelekeza.

  • @morningstarartproduction8436
    @morningstarartproduction843624 күн бұрын

    Uchambuzi wa Hans nauelewa sana, maana uchambuzi wake wamaana kabisa

  • @noelkaniki4334

    @noelkaniki4334

    23 күн бұрын

    ana google sana na ku krem kama huelewii uwezi juaa na wwe unachotwa tu

  • @charlesayubu6449
    @charlesayubu644924 күн бұрын

    Kwa bahati mbaya mtaalam Ambangile hawezi kuwa fasi moja na mjinga kama Jemedar Najuwa angekuwa sambamba na Hans

  • @SudiFredrickStar
    @SudiFredrickStar24 күн бұрын

    Hansi anasema ukweli hio ni 4231,hio ingine ni 433 diamond shape...

  • @mlugekarol2688

    @mlugekarol2688

    24 күн бұрын

    Hicho ni kitu kimoja. Hawana tofauti. Mid wakiwa watatu hawakai kama visikki. Hao watatu wanabadilika kutokana na kkushambuliia au kujilinda

  • @mlugekarol2688

    @mlugekarol2688

    24 күн бұрын

    Hans anaiongellea Yanga na si mfumo. Hapo ni 433 ndiyo 4231.

  • @georgeedwardmwakyembe6969

    @georgeedwardmwakyembe6969

    23 күн бұрын

    Kuna 433 ambayo ni offensive ambayo ina attacking midfielder na two central midfielders

  • @WaltorTarimo

    @WaltorTarimo

    21 күн бұрын

    ​@@mlugekarol2688point

  • @hassankunjayo626
    @hassankunjayo62624 күн бұрын

    Uchambuzi wa hans nimeuelewa sana

  • @ananiamwatebela3159

    @ananiamwatebela3159

    23 күн бұрын

    Tatzo jemedati mbishi balaa huyo mzee

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    23 күн бұрын

    @@ananiamwatebela3159 ao hawampend uyo dogo ... Kila atakachofaya wanatengenez mazingira ionekane anapotosha 🤣🤣🤣

  • @albertisrael5879

    @albertisrael5879

    23 күн бұрын

    Kwa nn hyo isiwe 4 1 2 3

  • @allyngoda761

    @allyngoda761

    23 күн бұрын

    Kwakua ni yanga mwenzako

  • @amina-we6vo

    @amina-we6vo

    23 күн бұрын

    Hans achambui Ila anatumia mfumo jinsi Yanga inavyocheza

  • @JuhudiJotham
    @JuhudiJotham24 күн бұрын

    Nakuelewa Hans asante,

  • @omaryrazalo4302
    @omaryrazalo430223 күн бұрын

    Crown Media hapa ni nyumbaniiiiii

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya521322 күн бұрын

    Uchambuzi wa Hans umenyooka zaidi ya huyu mshabiki wa kolo fc🎉🎉🎉

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s24 күн бұрын

    Jemedari unazidiwa na watoto wadogo live hadi unatia aibu....kubali kujifunza ili timu utakayoifundisha ifanye vizuri kama kweli umeshaweza kufauru mitihani maana una rekodi ya kufeli mitihani mara kwa mara

  • @RoseKipimo

    @RoseKipimo

    24 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @JumbeOjaso

    @JumbeOjaso

    23 күн бұрын

    Siyo kweli Jemedari yuko sahihi Hans anachanganya vitu viwili tofauti. Mfumo huonekana wakati timuhaina mpira

  • @user-mg1yl2rl8s

    @user-mg1yl2rl8s

    23 күн бұрын

    Siyo kweli labda kama unaongelea wakati mechi haijaanza ambapo pia huwa wanaonesha teams na formations zao lakini mpira ukishaanza kwanza ukiwa sio mzoefu ama huna abc za mpira unaweza usitambue formation ya timu iwe wakati wana mpira au hawana mpira lakini kwa wataalamu au watu wenye abc za mpira wana uwezo wa kujua formation ya timu husika kwa kuangalia namna wachezaji wanavyojipanga mara kwa mara kuucheza mpira yaani kumiliki au kushambulia au wanavyojipanga kuutafuta mpira yaani kukaba. Muda mwingi wa mchezo utaona shape ya timu inakuwa vilevile kulingana na formation na huweza kubadirika kulingana na ama matukio uwanjani ama maelekezo ya kocha. Sasa ukiulizwa ni nini kinachozuia formation ya timu isionekane wakati timu inamiliki mpira utajibu nini??? Mpira hauchezwi gizani hata kama ni usiku. Hakuna uchawi hapo labda kama hujui mpira. @@JumbeOjaso

  • @abubakarjuma443
    @abubakarjuma44323 күн бұрын

    Hawa watu wote wanaenda kariakoo lkn njia gani anapita kufika kariakoo utajua mwenyewe

  • @allyfuad
    @allyfuad24 күн бұрын

    Hans yuko sawa sana

  • @jamesmassimo9326
    @jamesmassimo932623 күн бұрын

    Sidhani km Jemedari ni mchambuzi… anaongea km shabiki tu. Mimi km mtazamaji au shabiki sipati nachokihitaji kwake. Bro ajitahidi kuboresha huduma yake👏

  • @mahamudmbukuchu5946

    @mahamudmbukuchu5946

    23 күн бұрын

    Ni kweli mkuu

  • @jassontv5366

    @jassontv5366

    23 күн бұрын

    Kazumari hata lugha ya mpira in professional hana hata yaa kama anafanya fasihi simulizi

  • @raymondedson2488
    @raymondedson248824 күн бұрын

    Babacar alikua anatumika kama cdm lakini kiuhalisia babacar ni box to box

  • @LucasDando-ru8lg
    @LucasDando-ru8lg24 күн бұрын

    Moja ya tatizo ni kushindana kwenye kipindi Yani ni vyema kila mtu atoe maoni yake watu wasikilize sio kushindana ila wamenikumnusha mbali nimewahi kufanya kipindi na mtu wa aina Yao kila kitu anatanga kupinga maoni ya mwingine uchambuzi ni kutoa maoni tu sio kushindana

  • @user-rs1me3tp2m

    @user-rs1me3tp2m

    19 күн бұрын

    Ili mmoja atuongopee

  • @gidionsheiza
    @gidionsheiza23 күн бұрын

    Hancy yuko vizuri. Nimemuelewa zaidi "mchambuzi" kuliko "mwalimu". Nadhani "mwalimu" akaongeze ujuzi zaidi mahali

  • @user-eq5gd7oq4y
    @user-eq5gd7oq4y23 күн бұрын

    Uchambuzi waa jemedali mi sijekuelewa, mi nimeiona jemedali anakusanya kusanya kete, Kama mtu aliyefungwa supa drafti

  • @fortunatusyuli4421
    @fortunatusyuli442123 күн бұрын

    Hans amekariri,Jemedari anaelewa kile anaongea ndo maana maswali yake hayajibiki kirahisi.

  • @hassankunjayo626
    @hassankunjayo62624 күн бұрын

    Tatizo mmakonde mjanja ataki kukubali kushindwa kisa kocha

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    24 күн бұрын

    😂😂😂 we unajua ukweli ulivyooo

  • @petermwacha9909

    @petermwacha9909

    23 күн бұрын

    Lakini kitaalamu anaonekana anajua kabisa kwa anavyojieleza

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    23 күн бұрын

    @@petermwacha9909 ana tengeneza mazingira. Ili Uone hivyo ...

  • @user-ct3kz3rq1q

    @user-ct3kz3rq1q

    22 күн бұрын

    Radio crown ina vyombo vipya safi sauti ipo sawa kabisa

  • @user-ct3kz3rq1q

    @user-ct3kz3rq1q

    22 күн бұрын

    Crown Tv

  • @anniebenoh9837
    @anniebenoh983722 күн бұрын

    Perfect HANS RAFAEL🎉🎉🎉🎉 Jamaa anajua sana. Hata ambae hajui kabisa mpira akimsiliza Hans anaelewa 100%

  • @AdrianAdrea-by8pn
    @AdrianAdrea-by8pn24 күн бұрын

    Jemedar ulizoea kuwadanganta walee umekamatika

  • @user-gh8bi5lc4n

    @user-gh8bi5lc4n

    24 күн бұрын

    Kwel kabisa

  • @hajirama4270
    @hajirama427021 күн бұрын

    wote hamna kitu hao cjui wanasoma nn asa 4:3:3 zipo za aina mbili deffensive na attakking, defensive unacheza na two defensive mildfild one attaking na attaking unacheza na one deffensive mildfild na two defensive mildfild .

  • @keystonetv7357

    @keystonetv7357

    2 күн бұрын

    upo sahihi sana hansi mbishani sana ananiuz kumshusha jemedar

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo79388 күн бұрын

    Tumewapata wataalam wanaoujuwa mpira! Crown is the best❤❤❤

  • @jonijoo23
    @jonijoo2323 күн бұрын

    Huyu jemedari ni usajili mbovu sana hapa crown,much know halafu hajui vingi+uzamani mwingi

  • @chriskudilla5355

    @chriskudilla5355

    19 күн бұрын

    Jemedari is the best

  • @chriskudilla5355

    @chriskudilla5355

    19 күн бұрын

    Mpira hauchezwi unavyoongwwa ubaoni

  • @chriskudilla5355

    @chriskudilla5355

    19 күн бұрын

    Double Pivot ipoje?

  • @keystonetv7357

    @keystonetv7357

    2 күн бұрын

    huyo hansi ndo jau jau wengi wetu hatujui hzo formation

  • @jonijoo23

    @jonijoo23

    2 күн бұрын

    @@keystonetv7357 hans ni jau ila sio kwa aliyoyaeleza hapa,huyo jemedari ndomaana kila mwaka anafeli mitihani TFF,much know halafu kichwani ni empty box..mfumo wa timu unakua applied during offensive tu wakat wa kuzuia wanakua na shape nyingine kabsa sasa yeye anasema 4-3-3 inaonekana wakat wa kuzuia🚮 ko yanga wanavozuia maxi anavyorud mpka kwa kibabage au yao ni 4-3-3 gani iyo?

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino13023 күн бұрын

    Hans yuko right ---- Hicho anachokisema JEMEDARI,kupora mpira na kukimbia nao na kufunga,hiyo ni moment tu,lakini timu lazima iwe na mfumo inapojenga shamnulizi,na kisha lazima iwe na mfumo,inapokuwa imepoteza mpira kwa ajili ya kujilinda -- " Huyo Jemedari akipewa timu,ataishusha daraja "

  • @SalumuKorofi-hl9os
    @SalumuKorofi-hl9os21 күн бұрын

    Crown wamechemka kwahuyu mzee jemedari usajir mbovu sana.

  • @keystonetv7357

    @keystonetv7357

    2 күн бұрын

    hata hakosei kaka yupo sahihi sana sema hans nu mbishani

  • @gabrielmponji4598
    @gabrielmponji459823 күн бұрын

    Hansi yuko vizuri sana kwenye uchambuzi , huyo Jemedali hapana kwa kweli sijui anachambua nini.

  • @shithyomar3828
    @shithyomar382822 күн бұрын

    Jemedari hawezi kukubali kwasababu anamuona hans dogo na yeye ni father lakini soka haiendi hivo yeye akubali soka na mifumo hbadilika kutokana mechi husika finish big up hans unaonesha ulomavu siyo chinga akimaliza hans anaanza kwa kucheka hii ni dharahu badilika

  • @WaltorTarimo
    @WaltorTarimo21 күн бұрын

    Bahati mby sana alieongea point ndo anaonekana kaongea utumbo me coach na npo uk naendlea na masomo namawazo yangu kwenye jambo lenu. Modern football imebdlisha idea ya mfumo na namna tmu znavyocheza kila kocha ana idea ya namna anayotak wachezaj wachez kweny mfumo flan tuangalie how city play taften game ambzo rodri ajacheza utaelew how they play kweny 433. Nachopinga nikusema 2mid lazm wawe juu na ndo ni attacking izo ni idea za mda now days 433 mid wanafany rotation ya nafas inaamaana sio lazm 2mid wakiwa chni mfumo ndo umebdlika haipo ivo 433 inawez kuwa na triangle za viungo kwa namna zozote

  • @Officalshakespeare
    @Officalshakespeare23 күн бұрын

    hansii uko vzurii sana💯

  • @MjMohammed-nt6fq
    @MjMohammed-nt6fq24 күн бұрын

    Yaan mmemleta huyu nyau kazi mnayo hapo yaan anataman abaki peke yake studio kila kitu anajua yey😂😂😂😂😂

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi180823 күн бұрын

    Huyu dogo yuko vizuri sana, ila ni lazima akubali kukua, hata kama una uhakika point yako iko sawa, ni lazima ukubali kusikiliza maoni ya watu wengine hata kama maoni yao ni tofauti na yakwako, toa nafasi ya maoni ya watu wengine kusikilizwa, na pia ajifunze kukubali kuto kukubaliana, thats how it works. Halafu mwisho wa siku siyo kwamba hizi timu zina endeshwaga na maoni ya hawa wachambuzi wa kwenye media, timu zinaendeshwa na falsafa zao kiufundi walizo jiwekea, pia na tamaduni na desturi zao za nje ya uwanja.

  • @user-lx7lb7sn8k
    @user-lx7lb7sn8k24 күн бұрын

    Yaap ❤

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn620124 күн бұрын

    Hance Yuko sahihi

  • @erickganira6324
    @erickganira632424 күн бұрын

    433...wakabaji wanne viungo wawtatu apo kiungo mmoja wakubaki wawili washambuliaji japo na majukumu tofouti mmoja creator mwengine box to box aidha kuzuia counter ama kujenga counter ...mbele winger wawili na striker mmoja ....cha msingi triangle huangalia chini ama juu kulingana na matukiu

  • @chatnami
    @chatnami22 күн бұрын

    The 4-2-3-1 is a commonly used formation with a back four, five midfielders, and a center forward. The advantage of this formation lies in its flexibility: it can easily be changed into a 4-4-2 or a 4-3-3. In addition, defensive stability and offensive firepower are balanced well.

  • @salumuseif3324
    @salumuseif332424 күн бұрын

    Ma mdogo kutoka planet fm umekuja crown hongera sana

  • @elishacharlesjr3611

    @elishacharlesjr3611

    23 күн бұрын

    Sema wangemchukua na Salum mapande bna

  • @salumuseif3324

    @salumuseif3324

    23 күн бұрын

    @@elishacharlesjr3611 hayuko pale sijui yuko wap

  • @petersamwelm7279
    @petersamwelm727922 күн бұрын

    Yaani hapo Tatizo ni Moja…. DOGO KAMEZA FORMATION KAMA ZILIVYO NA KAKUTANA NA KAKA KISHOKA AMBAYE ANAAMINI ANAISHI YEYE NI ROLE MODEL WA SOCCER NCHINI

  • @hodaneymujib6621
    @hodaneymujib662124 күн бұрын

    Mbona mnatuchanganya kama hamna uhakika muende darasani kwnz

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s24 күн бұрын

    Eti mfumo unaoneka timu ikiwa haina mpira😅😅😅. Yaani ukiwa kocha utashusha timu daraja.Mfumo wa timu unaonekana wakati timu inaposses na inapokuwa imepoteza mpira full stop.

  • @nizobeatz90
    @nizobeatz9023 күн бұрын

    Mbna akiongea jemidari amuoneshi ubAO ILA JEMEDARI NMEMUELEWA

  • @alexanderfute4559
    @alexanderfute455921 күн бұрын

    Kazi kweli kweli

  • @vaxminja9053
    @vaxminja905323 күн бұрын

    Hans yupo sahihi, ila Jemedari anajifanya kujua kumbe ni mbwembwe tu

  • @edwardpeter5163
    @edwardpeter516322 күн бұрын

    Yaaani nilichoona hapo kuna Kuonyeshana u mwamba kati ya JEMEDARI na HANS 😂😂😂 na kuna shida hapa kabisaaa mmoja apndoke

  • @EnockSalapion
    @EnockSalapion23 күн бұрын

    Jemedari kuna point namuelewa kwa sababu sasa hivi pamoja na mifumo unakuta wachezaji wanachukua majukumu tofauti tofauti uwanjani, especially watu wa katikati na wing backs. Mfano, unaweza kuta namba sita anapanda sana lkn akipanda kuna mtu anamreplace, au ukikuta Barça au Spain inacheza kati unaweza usijue mfumo wao kiwepesi kwa sababu ya rotations zao kwa ajili ya kutafuta space. Lkn pia kwenye kushambulia nikichukua mfano wa shabalala; Jamaa wakati mwingine amekuwa akiingia ndani kama namba kumi then chini anabaki kiungo wa kumsaidia kuziba pengo langu au namba kumi na moja apande zaidi aongeze namba na kutanua uwanja zaidi au arudi nyuma kidogo kureplace shabalala. Mimi naamini wakati team haina mpira ndio vyepesi kuzungumzia mfumo. Wakati mwingine huwezi zungumzia mfumo au shape wakati wa counter attack, ni tu namba ya watu itakayoweza kukimbia mbele kwa ufanisi wa kufunga its a win out of the shape. Nafikiri modern football kwa sasa ni zaidi ya hizo shape, ndio maana sasa hivi makocha wengi sasa hivi wanapenda wachezaji ambao ni dynamic na sio static.

  • @bkkomesho9272

    @bkkomesho9272

    23 күн бұрын

    Upo sawa

  • @jemaarsen6996

    @jemaarsen6996

    19 күн бұрын

    Mimi sijaona point hapo unacho paswa kujua ni kua mfumo hubadilika lazima uwe na mifumo Mili ili kuweza kubalance mechi mifumo wa kwanza ni pale unapo kuwa na mpira upande wako lkn pia ukiwa unashambuliwa lazima ubadili mifumo ili ukusaidie kupunguza au kuzui mashambuli hapo ndio utaona hata wacheza mara nyinnafasi zao hubadili lkn watakapo bahatika kurudisha mpira upande wao wanaendelea na mfumo wao wa kwanza na kila mtu anarudi kwenye nafasi yake

  • @sezarymasansa
    @sezarymasansa23 күн бұрын

    shida ya huyu jmd ni kujiona anajua sana na ufadha ,hans yuko light sana huyo mchizi amekuja kuhalibu kipind kbsaa

  • @georgeedwardmwakyembe6969
    @georgeedwardmwakyembe696923 күн бұрын

    433 inategemea unataka icheze vipi ipo triangle ya unayoangalia juu na inayoangalia chini lakini 433 mama ni ina kiungo mkabaji na Central midfielders wawili inategemea unataka mfumo ucheze vipi. Hata 433 ina box to box

  • @gospelman3720
    @gospelman372023 күн бұрын

    Kuna 433 Attacking na 433 defending. Jemedari yuko sahihi.

  • @mgallason...5686
    @mgallason...568624 күн бұрын

    Hii ndio maaana makocha wengi wa Tanzania akiwemo jemedari huwa wanafeli na hawataki kujifunza Kwa kujifungia ndani ya box. Hatutakujakupata makocha wa kufundisha nje kama wanakariri bila kujiongeza kuelewa na kuwa wabunifu.

  • @johansenbashange2628
    @johansenbashange262822 күн бұрын

    Hans anajua lakini alipoulizwa "tunauonaje mfumo kwenye tukio la Kona" aliyumba kidogo Formation Zina structure zinabadilika kwenye Kila tukio Sio lazima ubadili formation

  • @GazahBoy
    @GazahBoy23 күн бұрын

    Crown walichokosea ni kumleta jemedar

  • @cardoalbert1366
    @cardoalbert136623 күн бұрын

    Hans ndio kanyoosha ww jemedari hadi mimi nakushinda uchambuzi 4.3.3 ni kiungo mkabaji mmoja na viungo wa shambuliaji wawili acha ukenge 😂

  • @allyngoda761
    @allyngoda76123 күн бұрын

    Nimeangalia Comments kuna usimba na uyanga Simba kwa jemedari Yanga kwa Hans kwahiyo mjadala Always hauwezi kufika mwisho

  • @cisselamerverille5286
    @cisselamerverille528622 күн бұрын

    Huyu jemedari kalazimishwa leo kuchambua mpira na sio timu alipo kuwepo kule alikua anachambua timu ... Hakubali kushindwa huyo ....😅

  • @erickpaschal1639
    @erickpaschal163923 күн бұрын

    Hans kwenye 4-3-3 hapo upande viungo mimi nimeungana na Jemadari kwenye io 3 ya kati triangle inaweza kuelekea juu na inaweza kuelekea chini inategemea na nini kocha anahitaji kwenye game husika.

  • @AlainShogonya
    @AlainShogonya24 күн бұрын

    Wawekewe touch screens kwa meza hawa, ndo wahanze kupanga hizo formation zao 😂

  • @deodatuskalekona5911
    @deodatuskalekona591123 күн бұрын

    Yanga wamecheza na Aucho na Bangala Azizi mbele Yao wote Bangala na Aucho walifanya majukum sawa Kwa wakat tofaut

  • @user-zw9oj6ej9v

    @user-zw9oj6ej9v

    23 күн бұрын

    Hapana Aucho alifanya majukum ya kiungo kama box to box na bangala alikuwa mzuiaji hakuwa anasogea juu.

  • @mrbasit4718
    @mrbasit471824 күн бұрын

    Hans kuwa makini unaenda kupotea mana ulionao watataka kuzuwia uwezo wa upeo wako. Kuwa makini fanya maamuzi mapema sana

  • @husseinmbunji8847

    @husseinmbunji8847

    24 күн бұрын

    Kabisa

  • @frankkikambako9281

    @frankkikambako9281

    23 күн бұрын

    Kabisa si watu sahihi kwake awe makini sana

  • @shafiiyusufu
    @shafiiyusufu23 күн бұрын

    Hans ni balaaa😂😂😂❤❤

  • @JophreyMbilinyi
    @JophreyMbilinyi23 күн бұрын

    Noma sana naona wasaf ime hamia humu unyama sana

  • @MethodKilowa-r2i
    @MethodKilowa-r2i24 күн бұрын

    Naitwa METHOD, Kwa kweli hans ni mchambuzi wa mpira unajua sana kaka, huyo jemedar hajui mpira, kazi ya uchambuzi hajui labda akafundishe ndondo huko, mpira ni mfumo na upo kwenye vitabu, timu zinazuia kwa mifumo na zinashambulia kwa mifumo.

  • @Malepotinhompalala
    @Malepotinhompalala23 күн бұрын

    Hancy Yuko vizuri kwenye mmuchaambuzi

  • @Igauf3
    @Igauf315 күн бұрын

    Fellas bring the blackboard on the show.

  • @jameschumbula7351
    @jameschumbula735124 күн бұрын

    Hans anaeleweka Jemedar n janja janja ana akti anajua sana huku mitihan anaferi ovyo ovyo kwaiy n muongo muongo😅

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    24 күн бұрын

    😂😂😂😂 kwaiyo alipata 0 %

  • @muhammadseif5009
    @muhammadseif50098 күн бұрын

    Dogo uko vizuri na unaeleweka vizuri sana

  • @user-wn9bp5cl1j
    @user-wn9bp5cl1j23 күн бұрын

    Simba nguvu moja

  • @Fahadlikote-tq5gh
    @Fahadlikote-tq5gh5 күн бұрын

    Hapo wameshindwa kuelewana tu ila Kwa upande mmoja jemedari yupo sahihi na hans yupo sahihi 4-3-3 inaweza kuwa na viungo wawili wakabaji na mmoja mshambuliaji au viungo wawili washambuliaji na kiungo mmoja mkabaji tofaut ya 4-3-3 na 4-2-3-1 ni kwenye side players kwenye 4-3-3 kuna wingers(LW na RW) while kwenye 4-2-3-1 kuna either Center attacking midfielders wote au kuna kuwa na left midfielder na right midfielder with a CAM kwenye Ile 3

  • @TimFilms255
    @TimFilms25523 күн бұрын

    433 zipo za aina Nyingi Sio Tu Hiyo pembe Tatu inyo angalia chini au Angalia Juu Pia kuna 433 iliyo FLAT kabisa Viungo wote wanakaa Kwenye Msitari mmoja so HANS aache Kukalili Aseee Sema Hans anafanya vitu kwa kukaili na sio kwa weredi

  • @maulidnjokamtaly5184
    @maulidnjokamtaly518422 күн бұрын

    Jemedal hamna anacho jua Zaid ya ushabik ndo unampa shida bwege uyooo

  • @pinomjata678
    @pinomjata67823 күн бұрын

    Mifumo ni kwenye set up ya timu lakini execution mifumo huwa inabadilika mfano Man City na Liverpool mpira wanacheza 4-3-3 lakini wana execute tofauti. City wanatumia sana little triangles kuwachosha wapinzani na kunakuwa na exchanges ya positions kati ya wachezaji. Liverpool under Klopp front players wana counter press, full backs na wingers wanatanua uwanja overload wide areas na watumia sana crosses, pia force 9 ana-drop deep ku-open up spaces kwa wachezaji wengine.

  • @BoniphaceCosta-kd2yw
    @BoniphaceCosta-kd2yw24 күн бұрын

    Pamoja

  • @chinaaudax6459
    @chinaaudax645921 күн бұрын

    kiukweli jemedali ajui mpira labda akaifundieshe makolo

  • @chatnami
    @chatnami22 күн бұрын

    Jemedari amecheza, amefundisha na ni practical oriented. Hans ni mtu wa nadharia. Kwa waliocheza mpira wanaelewa. Tunahitaji akina Jemedary wengi sana.

  • @NaseebLugusha

    @NaseebLugusha

    22 күн бұрын

    kaka unajua boli maana hapo anachoshindwa kuelewa Hans ni kuwa anaongea na kocha wa mpira ambae kaucheza mpira pia

  • @user-gp1rj2hp2u
    @user-gp1rj2hp2u20 күн бұрын

    Anachoongea jemedari kimpira yupo sahihi sana

  • @NaseebLugusha
    @NaseebLugusha22 күн бұрын

    mfumo mara zote unaonekana wakati wakuzuia muda ule mnaweka mistari ya ulinzi ndo maana nawaambia Hans anachambua mpira ila Jemedari anafundisha mpira ndo maana hamumuelewi Jemedari

  • @ndelechetv3362
    @ndelechetv336222 күн бұрын

    jemedari yuko sahihi kuna attacking , holding kwenye 4-3-3 lazma itofautiane namna ya matumizi

  • @jescamariki8498
    @jescamariki849819 күн бұрын

    Ni fire crown media

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn620124 күн бұрын

    Wrown ni nyumbani na E.fm ni redio ya kupata burudani zote ila huko mwingine ni machawa tyu

  • @stuartikonko1941
    @stuartikonko194123 күн бұрын

    Hans anachokosea ni kuweka hizo number modern football hakuna mambo ya namba 6 Wala namba 8 mpira cku izi hauna mambo ya namba cjui 10

  • @dietrichoswald34
    @dietrichoswald347 күн бұрын

    Jemedari umezidiwa madini. Scouting haisajili na mindset ya mifumo, inasajili kwa namba. Namba1 - 11. Na kila mchezaji anachaguliwa kulingana na ubora wake ktk namba husika. Na mchezaji akimudu zaidi ya namba moja hiyo ni added advantage. Mambo ya mifumo kocha anawaanda kulingana mpinzani husika.

  • @jimmydizonga1335
    @jimmydizonga133524 күн бұрын

    Crown, nawaomba msajilin Mwamnyan wa u fm,ili kipindi kiwe namba moja apo tanzania ila mkitegemea Hans ndo awe mchambuz mtafel anajitaidi ila anaendekeza uchawa na Jemedari ni wachambuz mzuri ila mashabiki wa yanga hawana iman nae kwaiyo inatakiwa mpate Mwamnyan ili tuamishe kijiji chote cha wasafi maana uyo nizaid ya Ambangile

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    24 күн бұрын

    😂😂😂😂 jemedariiii hamana tusemee ukwelii

  • @IdrisaKwepu
    @IdrisaKwepu21 күн бұрын

    Hans anasem ukweli kabisa ni fundi sana uyu jamaa

  • @mahamudmbukuchu5946
    @mahamudmbukuchu594623 күн бұрын

    Hansi wewe unajua mpira Unaeleza fact hasa za mpira, lakini huyo mwingine sijui Jemedari hamna kitu kabisa hapo Anataka kuaminisha watazamaji kitu ambacho akili yake yeye tu anahisi na si uhalisia wa mpira Hongera sana Hansi Rafael

  • @AdiliHarold
    @AdiliHarold23 күн бұрын

    Hancy 4,3,3 ina mifumo miwili hadi mitatu ya kucheza, 1, Attacking 2, Defensing, 3 Posses Hivyo Inatemegeana na approach ya Game na Mipango ya Bench la ufund haibadilishi kwamba anae cheza namba fulani lazima astick na uo mfumo

  • @user-mc7du2pe4d
    @user-mc7du2pe4d21 күн бұрын

    Mkichukulia Simba na uyanga hamtomuelewa jemedari said sawa tufanye yupo Simba lakini hua anabalance tofauti nahuyo hansi yeye nikusifia tu yanga biala kujali Aya haya hana jemedali yupo sahihi

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho927223 күн бұрын

    Chuki tuache kwa jemedari, yuko sahihi, ila simaanishi hans ni mbaya

  • @user-np8hc9yh9o
    @user-np8hc9yh9o24 күн бұрын

    ❤❤🎉

  • @adelamtenjele9391
    @adelamtenjele939119 күн бұрын

    Hance ukiongeza ujuzi utakuwa bonge la kocha big up

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad961524 күн бұрын

    Jemedari ni much know

  • @mgallason...5686

    @mgallason...5686

    24 күн бұрын

    Jemedari akimaliza hiyo Leseni A Nataka nije kumuona akifundisha nchi za watu la sivyo atabaki kuwa ni kiburi na hataki kujifunza. Mi namuelewa zaidi hans kuliko jemedali naona anapigwa upper Cut za kutosha.

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja403219 күн бұрын

    Ukimtoa ambangile anayefuatia ni Hans lafael mwombek 🔥🔥

  • @ayubhumakuya8466
    @ayubhumakuya846621 күн бұрын

    Huyu jemedal hajui mpira

Келесі