Balaa; Jemedari Said Alivyokaribishwa Studio kwa Mara Ya Kwanza
Спорт
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Пікірлер: 132
Safi sana Crown kwa kutuletea wachambuzi sio kule wanakojaza chawa studioni na kuwaita wachambuzi.
Ongereni sana crown.mnaonyesha kama mmekuja kivingine..piga kazi..,crown
Semaji la wasio na sauti💪
Safi sana jana nilikuwa kijiweni na watu wangu tunasema aje jemedar saidi hapo safi sana sibandukj tena 👑👑👑👑
Ma Shaa Allah, show nzuri wanafiatilia nikiwa Mombasa,kenya
Atabadilikaa ataendanaa na crown
Crown mpo vizuri sana
Usajili mwingi sasa kama Simba mwisho CROWN inaharibu.......😢😢
Crown media iko sawa ❤❤❤
Hii redio inafanya sajili ziviwango sana na ipo siku itafanya mageuzi makubwa sana ila ninacho waomba msije mkaingia kwenye mfumo wamatangazo yakukera kila saa chambueni mada iishe wekeni tangazo kama lipo
Yes
Crown inameza media zingine
Jemedari said
Leo nime subscribe
Nice usajilii😊
Hongera sana crown mmepata chima hata kofle kama msingemleta ningewashaur kumbe yuko ndio namuona leo
🔥 🔥 🔥 🔥
Unyama sana
Mmekuja kuharibu redio😂
Jemedali kaka nakukubari sn
Crowne🤳🤳🤳🤳🤳🇲🇿
Mimi naona washasoma comment zenu na Niko nauwakika watamuongelesha atanyooka tu maana crown Media sio ulele mama tu
Azam wanazulumiwa hucoment
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
👑👑👑👑👑👑
Jembe sana jemedari saidi
Jemedari❤❤❤
Jemadar nakukubali
Waizi 2 hawa hawana tofaut na akina debora
Safi sana mwamba jemedari said kazumari
Dodoma ham2tendei haki CROWN
Atuji tenaaa😅
Mmh😦!, haaya ngoja tuone
Hapo anahitajik Wilson oruma ili timu nzima ikamilke ya jemedar,geof,na oruma
Mwamba kabisaaaa
Usjar mzuli
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩j.k.v.nawakubali sana kiba mpaka kifo
Yaani crown mnatuletea chawa
nakukubari jemedari.piga kazi.
Redio ishaaharibikaa
Crown munatisha sana
Dullah mtu sana
Tuliwapenda.crawn.ila.tunawakimbia.kwa.sababu.mmemleta.mfitini
Saf sanaaaaaaaa
Usiposkiza crown media ujue umekosa mengi
jemedari. namkubari sana
Kweli nimewakubaliii
#HappaNiNyumbani
Amejiunga na Crown ?
Kwakuwa anaiponda uto mnasema hafai lakini kule kuna kitenge na wenzake wanaiponda sana Simba na mnachekelea tuu kumbe mkuki kwa nguruwe!haya kwakuwa mja changia hata kumi kufungua radio msipangie watu cha kufanya!kama imekuuma fungua yako muajili Ally kamwe au hama radio mana huna faida yoyote wala huto tia hasara😂sisi tupo pa1 na crown!
Management inapaswa kuwasimamia lasivyo Kuna baadhi ni wahalibifu kwa kuweka mambo Yao binafsi mbele kuliko taasisi
Kuna mchambuzi 1 alikuaga radio Frir akachaga akaenda crask kwasasa hayupo
Jemedar!!!
Dah..mnasajili kama simba yani ..bora jamani maana ile redio ya machawa ilitucchosha
Huyu jamaa kwanini hapendwi kiasi hiki😢😢😢
@AliAhmed-jf9ys
15 күн бұрын
ana pendwa sana tena sana
@haidhabushiri9558
15 күн бұрын
Tatizo lake yupo selectively sana
Tishio la Wasafi
Asiharibu CV YA TV YA CROWN
@AliAhmed-jf9ys
15 күн бұрын
huyu ni.mkweli ndio mana hamumpendi
@ahmadgoha-xe6co
15 күн бұрын
Nipo p1 na ww@@AliAhmed-jf9ys
Yanga tumefurahi sana jamaaa mwonginkila siku kuisema vibaya timu yetu.afadhali kaicha efm yetu pia
Kumbe nyinyi utopolo watu wa majungu sana hamuamini pahala mpaka pawepo na mwana yanga na kukijuwa ni Samba munaleta ushoga
Kiboko
Kitendo cha kumuweka huyo kazumari nimeamn hamko serious kabisa huyo tulishamchoka hatuwezi kuka na mchambuzi anaye apa kwa kitu ambacho hakijafanyika
Aaah mamae jemedari tena 🤔
Hii redio imekufa kabla ya kukua huyu Jemedari Saidi ni kirusi kibaya sana yaaan mahali ambapo yupo lazima atiee fitinaa,chuki, migogoro,na umbeaaa
@luluray2115
13 күн бұрын
Kwenda babuu imekufa imekufa hyo vepe ndio kwanza tunaanza
WATANZANIA HAMPENDI UKWELI JEMEDARI SEMA UKWELI BA MDOGO
Da hapa kwahuyu kiba umepuyanga
Ondoa,huyo jemedari ndo mzandiki wa kwanza,haongei mpira Ana majungu tu na,fitina
@mishlay8164
15 күн бұрын
Wewe humpendi tu jemedari , huyu jamaa anaongeaga ukwelitu
@bahatielias6443
15 күн бұрын
Jemedari msema kweli ,wew unamahaba na yanga Yako tu
Shughuli imeharibika Sina hamu Tena na kipindi chenu JEMEDARI ataharibu sana
@user-ki2wo7us1b
15 күн бұрын
Nenda tu hujaitwa
@KS-iw7qv
15 күн бұрын
JEMEDARI hata mimi simkubali, Ana mambo yake binafsi na mapenzi binafsi kwa timu..
@user-ki2wo7us1b
15 күн бұрын
@@kabujeasukile5462 kwani mumelazimishwa tuachien crown ye2 rudini wasafi
Hapo nimewakubari
Bado fundi mmoja AMBANGILE
Bado mmoja tu nianze kusikiliza Efm nasubiri aondoke mzee wa kijambio sasa
Koloooo amekaribishwa ukoloni
hapa kiba umepwiyanga
@JohnJoseph-qq7ow
16 күн бұрын
Tulia we utopolo mnabebwa humanity kuambiwa ukweli
Nyinyi akina jemedari na jofri msiiharibu hii redio kwa umbea wenu watu wakaikimbia kama walivyo kikimbia kile kiredio chenu
Huyu kaja kuharibu redio
Kati vitu nilivyofurahia sana huyu jamaa kuhama . professor Fanya mambo kaka leta chuma kingine
subili baba ako afungue redio yake ndio usimpe kazi jemedari acha roho ya kunguni
Mm kikeke na Kiba ni mdau wenu mm ila napigana sehem na nyie sehem moja kwann msitafute vipaji na watu tofauti na hawa ambao tumewazoe? We need changes lakini mtu huyu huyu alikuwa cloud fm akaenda e fm akaenda wasafi leo anakuja kwenu it's like hata nyie hampo salaam Kuna siku atawahama kuweni wabunifu zaid tafuteni watu wengine wapo vijana ambao ni very talented at all .
@MnubiMm
14 күн бұрын
Safi Sana Naunga mkono HOJA
Sw hatutaki majungu
Mwambaaaa
Jemedari cyo mtu wa mpira,Amejawa na ushabiki kabusa,majungu,ondoa huyo,Atawaharibia Redio yenu
Jemedari bin kazumari ulipo tupo....
Mmesemajiiwachambuzi wa kimataifa
Bado wilisoni oruma mze wa jambia
MWENYE STUDIO AMEFERI KUMWAJIRI JEMEDARI SAID
@AliAhmed-jf9ys
15 күн бұрын
hulaumik huo ndio mwisho wa fikra zako
@AliAhmed-jf9ys
15 күн бұрын
wambie wakuajiri ww
@user-ce3tx7mr8v
15 күн бұрын
Mimi nimeajiriwa
Hii redio sintaiskiliza tena
@Humanity21216
11 күн бұрын
Aya wakomoe 😂😂 ,, tupo tutawasikiliza sisi
Mtu wa mana kabisa jemedari humo tu humo tu
Hili jinga na majungu yake linaenda kuwaharibia radio yenu
@rohityalsina1840
16 күн бұрын
Sawa acha atuaribie kwanza wote wanaomchukia huyu bwana jua hana elimu ya kutosha waliosoma wote hawana chuki kama hizo
@WestChoma01
16 күн бұрын
@@rohityalsina1840 una elimu wewe au hivyo vyeti feki ndio vinakufanya ujione msomi
Machawa wa uto ndo wanamponda jemedar
Msiifiche bendera ya Tanzania chini ya meza. Naona mtakuwa mmeisahau kuiweka mezani. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@AdhamAlliy-mg5py
15 күн бұрын
Umefanya na niitafute mpaka nimeiona
Rasmi mm n shabiki wa jemedar
Nyinyi ynga wengi wajinga hamjaelimika mtu mawazo yake yaheshimu kwni lazima aiseme ynga unavyotaka wew kama unapenda uadilifu mbona wanazulumiwa hucoment wch ujinga
Hapo mmelete mtu ovyo kabisa
Mmeharibu media yenu
Huu usajiri wa Jemdar sijaupenda haki Anachambua mpira akiwa na chuki na ushabiki wa timu flani hachambui uhalisia wa mpira😏😬
Dah..... kweli kizur hakikosi kasoro kiba umeleta wachambuzi gani hawa watakuharibia radio yako JEMEDAR na JOFF LEA hawafai hao wanachuki na watu Radio itachukiwa sana hiyo unaona EFM saiv haina mvuto kwa sabbu ya hao watu hasa hasa JEMEDAR hafai kabisa fukuzabiyo
@bahatielias6443
15 күн бұрын
Acha roho mbaya kijana
Mambo yanakua bom
KIBA, Kuna mchambuz anaitwa Mwamnyan yupo U fm nakuomba umsajili kwa apo tanzania naamin ni namba moja kwa kuchambua mpira kwa ualisia wake, uyo nizaid ya Ambangile wa wasafi hao wengine wengine ni machawa waliojificha kwenye mgongo wa uchambuz.
@YosephAndrew-zm8zw
12 күн бұрын
Fact mzee
Hapa ni nyumbani lkn kwa usajir huu mmechemka
Nilikua miongoni mwa wasikilizaji ila kwa sasa nimejitoa rasm mana huyo JEMEDAR hafai kabisa huyo nikirusi atakuharibia huyo mtoe haraka kiba mshauri wako hafai tafuta mshauri mwengine JEMEDAR wa nn hapo
@bahatielias6443
15 күн бұрын
Wewe unapunguza Nini hasa hata ukijitoa
Jemedari PIGA SPANA ZILE ZILE KAKAAAAA..TENA ONGEZA