Balaa; Jemedari Said Alivyokaribishwa Studio kwa Mara Ya Kwanza

Спорт

Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 132

  • @bestman8182
    @bestman818215 күн бұрын

    Safi sana Crown kwa kutuletea wachambuzi sio kule wanakojaza chawa studioni na kuwaita wachambuzi.

  • @IDDYHussein-fe7dn
    @IDDYHussein-fe7dn14 күн бұрын

    Ongereni sana crown.mnaonyesha kama mmekuja kivingine..piga kazi..,crown

  • @telvinsidon9658
    @telvinsidon965816 күн бұрын

    Semaji la wasio na sauti💪

  • @sadikimahafudh7430
    @sadikimahafudh743016 күн бұрын

    Safi sana jana nilikuwa kijiweni na watu wangu tunasema aje jemedar saidi hapo safi sana sibandukj tena 👑👑👑👑

  • @SwalehJuma-r1t
    @SwalehJuma-r1t15 күн бұрын

    Ma Shaa Allah, show nzuri wanafiatilia nikiwa Mombasa,kenya

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe16 күн бұрын

    Atabadilikaa ataendanaa na crown

  • @Juli-ep9dn
    @Juli-ep9dn15 күн бұрын

    Crown mpo vizuri sana

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv15 күн бұрын

    Usajili mwingi sasa kama Simba mwisho CROWN inaharibu.......😢😢

  • @wemakalama6458
    @wemakalama645815 күн бұрын

    Crown media iko sawa ❤❤❤

  • @YusuphRajabu-hz3pv
    @YusuphRajabu-hz3pv14 күн бұрын

    Hii redio inafanya sajili ziviwango sana na ipo siku itafanya mageuzi makubwa sana ila ninacho waomba msije mkaingia kwenye mfumo wamatangazo yakukera kila saa chambueni mada iishe wekeni tangazo kama lipo

  • @selemanimkwichu782
    @selemanimkwichu78214 күн бұрын

    Yes

  • @jumanne5012
    @jumanne50128 күн бұрын

    Crown inameza media zingine

  • @ndackdominic_24
    @ndackdominic_2416 күн бұрын

    Jemedari said

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim793015 күн бұрын

    Leo nime subscribe

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe16 күн бұрын

    Nice usajilii😊

  • @idimbezi8379
    @idimbezi837916 күн бұрын

    Hongera sana crown mmepata chima hata kofle kama msingemleta ningewashaur kumbe yuko ndio namuona leo

  • @speroachpaulsen
    @speroachpaulsen15 күн бұрын

    🔥 🔥 🔥 🔥

  • @cherryjoe9585
    @cherryjoe958515 күн бұрын

    Unyama sana

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri955815 күн бұрын

    Mmekuja kuharibu redio😂

  • @jumashabani6659
    @jumashabani665911 күн бұрын

    Jemedali kaka nakukubari sn

  • @AbudoSuale-tm7mf
    @AbudoSuale-tm7mf15 күн бұрын

    Crowne🤳🤳🤳🤳🤳🇲🇿

  • @omarathuman5813
    @omarathuman581316 күн бұрын

    Mimi naona washasoma comment zenu na Niko nauwakika watamuongelesha atanyooka tu maana crown Media sio ulele mama tu

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul16 күн бұрын

    Azam wanazulumiwa hucoment

  • @mikidadikiga90
    @mikidadikiga9015 күн бұрын

    🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @echasafuraha3423
    @echasafuraha342315 күн бұрын

    👑👑👑👑👑👑

  • @user-gz2or2ui9n
    @user-gz2or2ui9n15 күн бұрын

    Jembe sana jemedari saidi

  • @user-px1ee4jz7f
    @user-px1ee4jz7f15 күн бұрын

    Jemedari❤❤❤

  • @luluray2115
    @luluray211513 күн бұрын

    Jemadar nakukubali

  • @MgetabarakaBukori
    @MgetabarakaBukori16 күн бұрын

    Waizi 2 hawa hawana tofaut na akina debora

  • @nyembobea7285
    @nyembobea728515 күн бұрын

    Safi sana mwamba jemedari said kazumari

  • @Josephyohana2233
    @Josephyohana223314 күн бұрын

    Dodoma ham2tendei haki CROWN

  • @bernadking3835
    @bernadking383516 күн бұрын

    Atuji tenaaa😅

  • @user-qv2cq3uc7o
    @user-qv2cq3uc7o16 күн бұрын

    Mmh😦!, haaya ngoja tuone

  • @geofreykalokola6525
    @geofreykalokola652515 күн бұрын

    Hapo anahitajik Wilson oruma ili timu nzima ikamilke ya jemedar,geof,na oruma

  • @joshuanjau3429
    @joshuanjau342916 күн бұрын

    Mwamba kabisaaaa

  • @AmouryAbubakar
    @AmouryAbubakar16 күн бұрын

    Usjar mzuli

  • @Jay.k.v
    @Jay.k.v15 күн бұрын

    🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩j.k.v.nawakubali sana kiba mpaka kifo

  • @juanezpierregiosue485
    @juanezpierregiosue48515 күн бұрын

    Yaani crown mnatuletea chawa

  • @clintonnyaluke1567
    @clintonnyaluke156715 күн бұрын

    nakukubari jemedari.piga kazi.

  • @b.warron4631
    @b.warron463116 күн бұрын

    Redio ishaaharibikaa

  • @AllySeleman-co6km
    @AllySeleman-co6km14 күн бұрын

    Crown munatisha sana

  • @rashidkem7624
    @rashidkem762415 күн бұрын

    Dullah mtu sana

  • @user-bd8dk2cl7x
    @user-bd8dk2cl7x14 күн бұрын

    Tuliwapenda.crawn.ila.tunawakimbia.kwa.sababu.mmemleta.mfitini

  • @bstv1434
    @bstv143415 күн бұрын

    Saf sanaaaaaaaa

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo1015 күн бұрын

    Usiposkiza crown media ujue umekosa mengi

  • @ayeshjuma
    @ayeshjuma14 күн бұрын

    jemedari. namkubari sana

  • @UniversalExpress-x9i
    @UniversalExpress-x9i14 күн бұрын

    Kweli nimewakubaliii

  • @allynasri7544
    @allynasri754415 күн бұрын

    #HappaNiNyumbani

  • @husseinminani9576
    @husseinminani957615 күн бұрын

    Amejiunga na Crown ?

  • @IbniAbbas-yz3kt
    @IbniAbbas-yz3kt15 күн бұрын

    Kwakuwa anaiponda uto mnasema hafai lakini kule kuna kitenge na wenzake wanaiponda sana Simba na mnachekelea tuu kumbe mkuki kwa nguruwe!haya kwakuwa mja changia hata kumi kufungua radio msipangie watu cha kufanya!kama imekuuma fungua yako muajili Ally kamwe au hama radio mana huna faida yoyote wala huto tia hasara😂sisi tupo pa1 na crown!

  • @dennismusiba4836
    @dennismusiba483615 күн бұрын

    Management inapaswa kuwasimamia lasivyo Kuna baadhi ni wahalibifu kwa kuweka mambo Yao binafsi mbele kuliko taasisi

  • @user-yf1zj1vo1o
    @user-yf1zj1vo1o15 күн бұрын

    Kuna mchambuzi 1 alikuaga radio Frir akachaga akaenda crask kwasasa hayupo

  • @FucianeBulemo-nd4wc
    @FucianeBulemo-nd4wc15 күн бұрын

    Jemedar!!!

  • @OnesmoMwacha-wp4bo
    @OnesmoMwacha-wp4bo15 күн бұрын

    Dah..mnasajili kama simba yani ..bora jamani maana ile redio ya machawa ilitucchosha

  • @ezrayohana3541
    @ezrayohana354116 күн бұрын

    Huyu jamaa kwanini hapendwi kiasi hiki😢😢😢

  • @AliAhmed-jf9ys

    @AliAhmed-jf9ys

    15 күн бұрын

    ana pendwa sana tena sana

  • @haidhabushiri9558

    @haidhabushiri9558

    15 күн бұрын

    Tatizo lake yupo selectively sana

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala339213 күн бұрын

    Tishio la Wasafi

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v16 күн бұрын

    Asiharibu CV YA TV YA CROWN

  • @AliAhmed-jf9ys

    @AliAhmed-jf9ys

    15 күн бұрын

    huyu ni.mkweli ndio mana hamumpendi

  • @ahmadgoha-xe6co

    @ahmadgoha-xe6co

    15 күн бұрын

    Nipo p1 na ww​@@AliAhmed-jf9ys

  • @namaanwilson6467
    @namaanwilson646714 күн бұрын

    Yanga tumefurahi sana jamaaa mwonginkila siku kuisema vibaya timu yetu.afadhali kaicha efm yetu pia

  • @machaboy5541
    @machaboy554116 күн бұрын

    Kumbe nyinyi utopolo watu wa majungu sana hamuamini pahala mpaka pawepo na mwana yanga na kukijuwa ni Samba munaleta ushoga

  • @HusseinAziz-p1i
    @HusseinAziz-p1i14 күн бұрын

    Kiboko

  • @stivemgonja4657
    @stivemgonja465715 күн бұрын

    Kitendo cha kumuweka huyo kazumari nimeamn hamko serious kabisa huyo tulishamchoka hatuwezi kuka na mchambuzi anaye apa kwa kitu ambacho hakijafanyika

  • @ommykiss7049
    @ommykiss704916 күн бұрын

    Aaah mamae jemedari tena 🤔

  • @mwaimuchengo1814
    @mwaimuchengo181415 күн бұрын

    Hii redio imekufa kabla ya kukua huyu Jemedari Saidi ni kirusi kibaya sana yaaan mahali ambapo yupo lazima atiee fitinaa,chuki, migogoro,na umbeaaa

  • @luluray2115

    @luluray2115

    13 күн бұрын

    Kwenda babuu imekufa imekufa hyo vepe ndio kwanza tunaanza

  • @almasimwacha1198
    @almasimwacha119815 күн бұрын

    WATANZANIA HAMPENDI UKWELI JEMEDARI SEMA UKWELI BA MDOGO

  • @YazidShembo
    @YazidShembo15 күн бұрын

    Da hapa kwahuyu kiba umepuyanga

  • @Registon-ed8sy
    @Registon-ed8sy16 күн бұрын

    Ondoa,huyo jemedari ndo mzandiki wa kwanza,haongei mpira Ana majungu tu na,fitina

  • @mishlay8164

    @mishlay8164

    15 күн бұрын

    Wewe humpendi tu jemedari , huyu jamaa anaongeaga ukwelitu

  • @bahatielias6443

    @bahatielias6443

    15 күн бұрын

    Jemedari msema kweli ,wew unamahaba na yanga Yako tu

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile546216 күн бұрын

    Shughuli imeharibika Sina hamu Tena na kipindi chenu JEMEDARI ataharibu sana

  • @user-ki2wo7us1b

    @user-ki2wo7us1b

    15 күн бұрын

    Nenda tu hujaitwa

  • @KS-iw7qv

    @KS-iw7qv

    15 күн бұрын

    JEMEDARI hata mimi simkubali, Ana mambo yake binafsi na mapenzi binafsi kwa timu..

  • @user-ki2wo7us1b

    @user-ki2wo7us1b

    15 күн бұрын

    @@kabujeasukile5462 kwani mumelazimishwa tuachien crown ye2 rudini wasafi

  • @kasongoIDDi-mx7gz
    @kasongoIDDi-mx7gz15 күн бұрын

    Hapo nimewakubari

  • @abdallahmbwate7134
    @abdallahmbwate713415 күн бұрын

    Bado fundi mmoja AMBANGILE

  • @LovenessDaud
    @LovenessDaud15 күн бұрын

    Bado mmoja tu nianze kusikiliza Efm nasubiri aondoke mzee wa kijambio sasa

  • @bennieoswald8140
    @bennieoswald814014 күн бұрын

    Koloooo amekaribishwa ukoloni

  • @Lupasson
    @Lupasson16 күн бұрын

    hapa kiba umepwiyanga

  • @JohnJoseph-qq7ow

    @JohnJoseph-qq7ow

    16 күн бұрын

    Tulia we utopolo mnabebwa humanity kuambiwa ukweli

  • @AllyKiduka
    @AllyKiduka15 күн бұрын

    Nyinyi akina jemedari na jofri msiiharibu hii redio kwa umbea wenu watu wakaikimbia kama walivyo kikimbia kile kiredio chenu

  • @b.warron4631
    @b.warron463116 күн бұрын

    Huyu kaja kuharibu redio

  • @namaanwilson6467
    @namaanwilson646714 күн бұрын

    Kati vitu nilivyofurahia sana huyu jamaa kuhama . professor Fanya mambo kaka leta chuma kingine

  • @abdallahkibamba1116
    @abdallahkibamba111614 күн бұрын

    subili baba ako afungue redio yake ndio usimpe kazi jemedari acha roho ya kunguni

  • @amosstimamaroba1054
    @amosstimamaroba105415 күн бұрын

    Mm kikeke na Kiba ni mdau wenu mm ila napigana sehem na nyie sehem moja kwann msitafute vipaji na watu tofauti na hawa ambao tumewazoe? We need changes lakini mtu huyu huyu alikuwa cloud fm akaenda e fm akaenda wasafi leo anakuja kwenu it's like hata nyie hampo salaam Kuna siku atawahama kuweni wabunifu zaid tafuteni watu wengine wapo vijana ambao ni very talented at all .

  • @MnubiMm

    @MnubiMm

    14 күн бұрын

    Safi Sana Naunga mkono HOJA

  • @ramadhanseif4178
    @ramadhanseif417815 күн бұрын

    Sw hatutaki majungu

  • @user-xn5hw9ss8f
    @user-xn5hw9ss8f16 күн бұрын

    Mwambaaaa

  • @user-ec2yb4sm5e
    @user-ec2yb4sm5e16 күн бұрын

    Jemedari cyo mtu wa mpira,Amejawa na ushabiki kabusa,majungu,ondoa huyo,Atawaharibia Redio yenu

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j16 күн бұрын

    Jemedari bin kazumari ulipo tupo....

  • @amosbusumabu2121
    @amosbusumabu212116 күн бұрын

    Mmesemajiiwachambuzi wa kimataifa

  • @johnfrank7624
    @johnfrank762415 күн бұрын

    Bado wilisoni oruma mze wa jambia

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v16 күн бұрын

    MWENYE STUDIO AMEFERI KUMWAJIRI JEMEDARI SAID

  • @AliAhmed-jf9ys

    @AliAhmed-jf9ys

    15 күн бұрын

    hulaumik huo ndio mwisho wa fikra zako

  • @AliAhmed-jf9ys

    @AliAhmed-jf9ys

    15 күн бұрын

    wambie wakuajiri ww

  • @user-ce3tx7mr8v

    @user-ce3tx7mr8v

    15 күн бұрын

    Mimi nimeajiriwa

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda506314 күн бұрын

    Hii redio sintaiskiliza tena

  • @Humanity21216

    @Humanity21216

    11 күн бұрын

    Aya wakomoe 😂😂 ,, tupo tutawasikiliza sisi

  • @allynassoro2080
    @allynassoro208015 күн бұрын

    Mtu wa mana kabisa jemedari humo tu humo tu

  • @WestChoma01
    @WestChoma0116 күн бұрын

    Hili jinga na majungu yake linaenda kuwaharibia radio yenu

  • @rohityalsina1840

    @rohityalsina1840

    16 күн бұрын

    Sawa acha atuaribie kwanza wote wanaomchukia huyu bwana jua hana elimu ya kutosha waliosoma wote hawana chuki kama hizo

  • @WestChoma01

    @WestChoma01

    16 күн бұрын

    @@rohityalsina1840 una elimu wewe au hivyo vyeti feki ndio vinakufanya ujione msomi

  • @Nasbu-tb6cs
    @Nasbu-tb6cs14 күн бұрын

    Machawa wa uto ndo wanamponda jemedar

  • @AllayeTan
    @AllayeTan16 күн бұрын

    Msiifiche bendera ya Tanzania chini ya meza. Naona mtakuwa mmeisahau kuiweka mezani. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @AdhamAlliy-mg5py

    @AdhamAlliy-mg5py

    15 күн бұрын

    Umefanya na niitafute mpaka nimeiona

  • @hamiduissa8089
    @hamiduissa808915 күн бұрын

    Rasmi mm n shabiki wa jemedar

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul16 күн бұрын

    Nyinyi ynga wengi wajinga hamjaelimika mtu mawazo yake yaheshimu kwni lazima aiseme ynga unavyotaka wew kama unapenda uadilifu mbona wanazulumiwa hucoment wch ujinga

  • @ErnestBoniface
    @ErnestBoniface16 күн бұрын

    Hapo mmelete mtu ovyo kabisa

  • @ladislausriwa7768
    @ladislausriwa776816 күн бұрын

    Mmeharibu media yenu

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa16 күн бұрын

    Huu usajiri wa Jemdar sijaupenda haki Anachambua mpira akiwa na chuki na ushabiki wa timu flani hachambui uhalisia wa mpira😏😬

  • @hafidhiabdullah3172
    @hafidhiabdullah317215 күн бұрын

    Dah..... kweli kizur hakikosi kasoro kiba umeleta wachambuzi gani hawa watakuharibia radio yako JEMEDAR na JOFF LEA hawafai hao wanachuki na watu Radio itachukiwa sana hiyo unaona EFM saiv haina mvuto kwa sabbu ya hao watu hasa hasa JEMEDAR hafai kabisa fukuzabiyo

  • @bahatielias6443

    @bahatielias6443

    15 күн бұрын

    Acha roho mbaya kijana

  • @emilioadremaneadremane2706
    @emilioadremaneadremane270616 күн бұрын

    Mambo yanakua bom

  • @jimmydizonga1335
    @jimmydizonga133515 күн бұрын

    KIBA, Kuna mchambuz anaitwa Mwamnyan yupo U fm nakuomba umsajili kwa apo tanzania naamin ni namba moja kwa kuchambua mpira kwa ualisia wake, uyo nizaid ya Ambangile wa wasafi hao wengine wengine ni machawa waliojificha kwenye mgongo wa uchambuz.

  • @YosephAndrew-zm8zw

    @YosephAndrew-zm8zw

    12 күн бұрын

    Fact mzee

  • @Registon-ed8sy
    @Registon-ed8sy16 күн бұрын

    Hapa ni nyumbani lkn kwa usajir huu mmechemka

  • @hafidhiabdullah3172
    @hafidhiabdullah317215 күн бұрын

    Nilikua miongoni mwa wasikilizaji ila kwa sasa nimejitoa rasm mana huyo JEMEDAR hafai kabisa huyo nikirusi atakuharibia huyo mtoe haraka kiba mshauri wako hafai tafuta mshauri mwengine JEMEDAR wa nn hapo

  • @bahatielias6443

    @bahatielias6443

    15 күн бұрын

    Wewe unapunguza Nini hasa hata ukijitoa

  • @videozaaj1069
    @videozaaj106915 күн бұрын

    Jemedari PIGA SPANA ZILE ZILE KAKAAAAA..TENA ONGEZA

Келесі