PAUL MKAI ALIVYOTAMBULISHWA CROWN SPORTS LEO
Спорт
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - crownfmtz
Crown TV - crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: CrownMediaTZ
CROWN MEDIA ENGLISH: CrownMediaEN
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?id=61556920898213&sk=followers
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialive?lang=en
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: kzread.info/dron/WHlCJN-WTamGWp4E6ZrhsA.html
Пікірлер: 203
Paul mkai mkali wa dimba, karibu crown media hapa ni nyumbani🔥🎉
@salamSalehhhhh
5 күн бұрын
Ni nan na katokea wapi huyo
@MariamMohammed-nh1hi
4 күн бұрын
@@salamSalehhhhhkatokea wasaf FM anaitwa paul mkai
@IMANWILLIAM-bl2ui
4 күн бұрын
Sport arena Wachafu fm @@salamSalehhhhh
Welcome Paul mkai hapa ni nyumbani
Crown Nawapata vizuri sanaa from Moz 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@GeorgeAkasha-zx2rj
3 күн бұрын
Pwani Masafa yake yapi kaka?
Hapa ni kwa wote one love oll fan's on crown
Pole mkai usajili mzur sana bado mmoja ahamedi
@user-bj8hk9td9f
5 күн бұрын
Pole mkai usajili mzur sana bado mmoja Ahmed
Hapa ni Nyumbani kweli kweli🔥🔥🔥🔥
Piga kwenye mshono...Mmalizie geogre ambangire
Endeleeni hivi hivi mmpendane na mtupe burudani Majungu hatutaki kazi tu na ubora Uzidi Kila siku
Daaaa nimeumia xana mkai kutoka redio yangu pendwa Ila umenifanya pia niifuatilie crown fm pia good
Mkali wa dimba karibu sana kwenye hii familia mpya ya crown mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Crown hapa ni nyumbani 👑👑🎉🎉
crown fm naipenda jaman do.
Team kiba wanajua kupenda cha kwao si mchezo
Unyama kabisa 🔥🔥🔥👑😊
Kama mmemchukua poul baasi mm mwana crown kuanzia leo 🎉🎉🎉🎉
Naikubali sanaaaaaaaa Crown Mediaa Mashallah Mashallah Mashallah
Paul mkai mkali wa dimba karibu sana
Hans Rafael ana furaha sana ❤
@GeorgeAkasha-zx2rj
3 күн бұрын
$$$$$$$$ kaka
Karibu sana mkai me nishabiki ako ulipo na me nipo kaka na me nimehamia crown 👑
Jamani naombeni mniambie frequency ya shinyanga
Paul Mkai🎉🎉🎉🎉
Karibu sana Paul Mkai💥💥💥💥
Mwanangu Sana Paul mkai❤❤❤❤
Big up sana paul nkai 💥💥💥💥💥💥
Nami nimefurahi saana kumuona Paul Mkai, ivyo kushoto Wasafi na kulia Crown kote nipo.
Crown ya moto👑👑
Nimeipenda hiyo🎉🎉🎉🎉🎉
Duuuh kweli, kwenye maisha usimdharauu mtuu, arafu wasanii mnacheza na akili zetuu kumbee ..wasafii hawawez kosa pesa ya kumlipa Paul mkai..ila Kiba na Mond ..naa amini ni marafiki sana sisi mashabiki ndo tunauana😂😂😂
Paul mkai kalibu sana hapa ninyumbani
Salute!
jamaa yupo vzr sana
Dah mmetisha sanaaa familia kwa huo usajil wa paul makali kwel sasa inaenda kuwa show namb moja
Paul mkai ana lafudhi tamu sana huchoki kumsikiliza
Kwenye TV lini mtapatikana
Fanyeni kazi zaidi machungu waachieni kina mama nyinyi fanyeni kaz yenu kama muko vizuri mtasifiwa tu
@sultaking8719
4 күн бұрын
Mbona unaongea na machungu hivo 😅😅 Utakufa kwa kijiba Cha roho😅😅
@user-ti5if9ge7t
2 күн бұрын
😢😂😂😂@@sultaking8719
Nimefurahi Sana Kama vile redio ya baba angu
Baasi !!!!! Paul mkai ...amesinya crown. Show imekamilika.
Nasemajeee crown sihamiiii ❤
❤❤❤❤❤❤❤ crown hapaninyumbani
Napenda anavyotangaza paul mkai
King katisha sana Kai mkali ni jembe
Kalibu sana crown ❤
Salute from 🇲🇿
Noma
Hapa ni nyumbani
Ahmed mzuli sana nampenda na huu jama
Unique in his introduction so great.....nitakumis kule sports arena
Paul mkai hatar sanaaaaaaaaa
Karibu nyumbani🎉🎉🎉
Waouh !
Sana tu
Woy woy woy……👏👏👏👏
Kazi kazi.🔥🔥
swadakta waswadakta tunayachagiza yakimichezoo!
Mkali wa dimba kalibu sana crown !
👑💖👑👑👑👑👑 crown
Oyooooooo
Dah Kweli mnatosha
❤❤❤❤❤❤
Huyu mkai ni noma sana
Paul mkai karibu sana ❤❤❤❤
Paul mkai kalibu san Crown media 🎧👑
@deotvonline2776
4 күн бұрын
Alkua media ganj
Apo safi
Vicent Samwel kutoka Kahama Hii Crown naiona kama yanga inavyo tishaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Maarifasnr-gu6dp
23 сағат бұрын
Acha kufananisha crown na vitu vya kijinga
eeeeh bhana eee hii ni noumaaaaa ❤❤❤
brouh Geoff lea nakukubali sanaa
🎉🎉🎉
Umetisha Paul Mkai, yan kama hicho kipindi umezaliwa nacho, nimependa ulivyojitambulisha KAIBU AHA NHAKAYA KAIBU SANA, Naitwa Rama nipo temeke.
Nimehamia crown mm ni shabiki wa pooo mkai na Hans crown nyumban
🎉🎉🎉🎉
🔥🔥🔥💯👍
🔥
Hiii 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Nyienihatariii
Jaaamaa namkubaaalii snaa
Nataka kujua michezo inaanza SAA ngp hapo crown fm
Swadakta wa swadakta, mzee wa taswira! Nenda baba nendaaa
Jamani mkai
😁👑👑👑👑👑👑❤️🔥
Kwanzia Leo mm na crown tu japo huku Dom Bado haijafka ila ntafanya maandaliz ya kusikiliza uchambuz na uchagizaj
Namkubali sana pomkal
Bora angebaki wasafi tu
Usajili Bora Sana wa Paul nikama usajili wa chama kwenda jangwan bado mmoja tunamsubiri ambagile
nimependa sana hi k2
Nimefurahi 😀
Maua kwa King 🤴
Daah..ay bhn ndy kazi.Haina namna. Ila BADO ZEE LAKUDELE2😢 .JAPO NMEUMIA HUYU JAMAA KUONDOKA WASAFI FM
Mumewezaaaaaaa
🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂 nawakubali sana
hapa ni nyumbani
Sina mashaka na mkali wa dimba!!! 100%
Aiseeh Kwa usajili huo mtaua watu wa upande wa pili
Crown sports
Frequency ya Arusha tafadhali
Nipo nanyi kila siku
Alikiba saf sana kwa usajili wa huu
Juma Ayo kazinikwake Kuna kazi
Kweli ni Nyumbani....King kapiga kwenye Mshono....😂😂😂😂😂
hapa ni nyumban