JUSTINE KESSY AMALIZA MJADALA WA UBOVU WA SIMBA VS YANGA| WANGEFUNGWA 5 NYINGINE YANGA WANGEAMUA

KWA HABARI NA MATANGAZO
TUPIGIE SASA
0753393036 CALL
0625466848 WHATSAPP

Пікірлер: 86

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi70542 ай бұрын

    Yanga hawakucheza 100

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz84852 ай бұрын

    Daaaah jamaaa unajuwa San 🫡🫡

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t2 ай бұрын

    Syo simba tu hajamheshim yanga bali hata yanga kipind cha pili ni kama walisharthika na magoli 2 kipind cha pili yanga walicheza kama wako mazoezini avic town sijui ndo mipango ya kutunziana heshima???

  • @filbertntibasiga8093

    @filbertntibasiga8093

    2 ай бұрын

    Noma sana

  • @arnoldrwegoshora449
    @arnoldrwegoshora4492 ай бұрын

    Dah kwa mara ya kwnza huyu Kessy leo kanikosha sana. Maua yake

  • @bensonfikirini4112
    @bensonfikirini41122 ай бұрын

    Huyu jamaa namuelewa sana aisee ni wachache sana aisee🎉

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja80902 ай бұрын

    Jamaa anajua mpira sana hongera kwa hilo.

  • @arnoldrwegoshora449
    @arnoldrwegoshora4492 ай бұрын

    😂😂😂😂😂huyu jamaa kaongea point sana. Km Yanga angefungukia booster aseee Simba wangepoteana. Nadhani yale magoli mawili yaliwabwetelesha sana

  • @athmanimkangara9290

    @athmanimkangara9290

    2 ай бұрын

    Yanga walikwama juzi waliomba poo

  • @allanmihayo3041
    @allanmihayo30412 ай бұрын

    Kigeu geu kingi xna si wew ulisema simba hawezi kufungwa mara 2 au sio wew jkesi chambua xoka kulingana na perfomax ya timu

  • @jonaskabonda741

    @jonaskabonda741

    2 ай бұрын

    Yap ,yaaani huyu ni mpiga ramli tu

  • @athmanimkangara9290

    @athmanimkangara9290

    2 ай бұрын

    Hata lakred alimtabiri hafiki December mwaka jana

  • @ericsangasa9872
    @ericsangasa98722 ай бұрын

    Huyu jamaa nilikuwa simuelewi sana, ila kwa uchambuzi huu, anajua mpira kabisa , kaka big up

  • @bensonpaul3672
    @bensonpaul36722 ай бұрын

    Wewe ulitabili Yanga kufungwa ,nashangaaa unatoa semina ya kuishemu Yanga

  • @athmanimkangara9290

    @athmanimkangara9290

    2 ай бұрын

    Usanii

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f2 ай бұрын

    Brother kessy🤣🤣🎉🎉

  • @neemabochellah8416
    @neemabochellah84162 ай бұрын

    Nakupenda lesson unachambuwa moira vizuri sana

  • @IsraelMwakagire-hn8pn
    @IsraelMwakagire-hn8pn2 ай бұрын

    Ulisema huoni yanga ikimfunga simba acha kugeuka

  • @richardnganya2311

    @richardnganya2311

    2 ай бұрын

    Huyu ni mfuata upepo tu

  • @jumasalim4380
    @jumasalim43802 ай бұрын

    WE UOGOPI?

  • @broynmajamla3074
    @broynmajamla30742 ай бұрын

    Sometimes unakua kigeugeu broo

  • @haidarysalehe9056
    @haidarysalehe90562 ай бұрын

    YANGA HAWAKUPIGA LILE GAME LAO KINGEWAKA TANO TENA😂

  • @TegemeaFutemakatifu

    @TegemeaFutemakatifu

    2 ай бұрын

    Yaani wee Unaezungumzia kitu ambacho hakipo

  • @AyubuNavara
    @AyubuNavara2 ай бұрын

    bro 🙌

  • @user-op7vm9mr3z
    @user-op7vm9mr3z2 ай бұрын

    Wewe kesy nilishasema huna lolote unayoyasema leo tofauti kisha unajiita mchambuzi huna lolote kigeugeu wewe

  • @hassansadick5528
    @hassansadick55282 ай бұрын

    Yanga ni Bora kuliko Simba sanaaaaa

  • @kabelwasalim6305
    @kabelwasalim63052 ай бұрын

    Uyu jamaa kabla makundi ya CAF hayaja pangwa alisema kila mtu anamuogopa Yanga,baada ya Yanga kupangwa na Mamelodi akasema Mamelod ni tim ya pili kuwa na wachezaji wenye thamani kubwa kwaiyo Yanga hawana nafasi,Yanga kampashida mamelod akabadilika,Game ya pili ya Yanga na simba alisema anaona Yanga anaenda kupigwa,Simba kapigwa amebadilika,AMNA KITU APO

  • @EdisoniEneliko
    @EdisoniEneliko2 ай бұрын

    Nakukubali kaka nilikusubili xana

  • @victornyese9009

    @victornyese9009

    2 ай бұрын

    Napenda sana uchambuzi wako mwamba

  • @victornyese9009

    @victornyese9009

    2 ай бұрын

    Mpira unaujua vizuri mwanangu

  • @sheilahmnaro874

    @sheilahmnaro874

    2 ай бұрын

    Bro nilikuwa nakusibiri sana kwa kauli yako ile ulisema Yanga anaenda kuandabishwa

  • @user-ht5tc5yv5t
    @user-ht5tc5yv5t2 ай бұрын

    Aisee yaan nakubaliana na wewe Sana Yanga Jana wamecheza kawaida mnooo Mpira tulioutegemea nitofaut kabisaaa, kuna mda mashabiki tunashikilia roho jamaan 😅😅

  • @IssaIddi-vb9yi
    @IssaIddi-vb9yi2 ай бұрын

    Mchambusi atakiwi kuwa kama wewe ulisema yanga anafunga ama sele,acheni mapenzi ya timu zenu mbovu mseme ukweli

  • @geraldgogadi7054

    @geraldgogadi7054

    2 ай бұрын

    Alisema yanga wataadhilika

  • @damianmcba9525

    @damianmcba9525

    2 ай бұрын

    Huyo kila media anaongea tofauti,,, kabla ya mechi kuna media nyingine pia alisema yanga anashinda,,, yani ni kinyonga inategemea upepo wa anaemuhoji

  • @RamadhaniKhamisi-hs8um
    @RamadhaniKhamisi-hs8um2 ай бұрын

    Mjomba kazi hii niya mchome tu ww bado sana

  • @JohnHerbet-os7uh
    @JohnHerbet-os7uh2 ай бұрын

    Acha ujinga ulisema simba anashinda

  • @dennissamora729
    @dennissamora7292 ай бұрын

    Si uhamie yanga ikupe raha vizuri 😅

  • @RevocatusSungura
    @RevocatusSungura2 ай бұрын

    Nkoooo nkooo nkooo😂😂😂😂

  • @graphicshome862
    @graphicshome8622 ай бұрын

    Justine next level brother

  • @maxwell8007
    @maxwell80072 ай бұрын

    we si hulisema yanga atafungwa,,?

  • @HusseinNdonde
    @HusseinNdonde2 ай бұрын

    Najuelewa sana Kessy, na hiyo ndo habari hiyo

  • @HamiduZowo
    @HamiduZowo2 ай бұрын

    🙏

  • @JuhudiJotham
    @JuhudiJotham2 ай бұрын

    Justin ndo mchambuzi mwongo,aliwapa ushindi Simba leo anajifanya kuchambua nini?

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula22272 ай бұрын

    Wanaenda koo koo

  • @erickganira6324
    @erickganira63249 күн бұрын

    Kessy uko wapi

  • @user-mw6ym2vr9f
    @user-mw6ym2vr9f2 ай бұрын

    Unachambua au unasifia,uchawa umezidi

  • @user-xf9ng6ru3u
    @user-xf9ng6ru3u2 ай бұрын

    Reo kk,umeona aibu kuuficha ukweri,maana kizuri kinajiuza,

  • @user-ll6pj3vl1e
    @user-ll6pj3vl1e2 ай бұрын

    Na kuelewa kaka

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa33802 ай бұрын

    Uyo nae anaongea sana sasa hapo anachambua nn zaidi ya uchawa pimbi wewe ebu tupishe

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles93982 ай бұрын

    Ila Mwanzo hukusema Kocha wa YANGA alisema yy alifanya Mazoezi

  • @leonardmhagama5828
    @leonardmhagama58282 ай бұрын

    You got data and mpira unaujua sana kaka

  • @user-vs5ow5jt1w
    @user-vs5ow5jt1w2 ай бұрын

    Aa batha VP tn

  • @erickganira6324
    @erickganira63249 күн бұрын

    Kessy hujatusha kitu

  • @tonyelshabbaz
    @tonyelshabbaz2 ай бұрын

    Kigeugeu😂

  • @user-qi3wv8sf5j
    @user-qi3wv8sf5j2 ай бұрын

    Mwamba unajua BOLI na unamhutia mdikilizaji amalize KIOINDI chako

  • @richardnganya2311
    @richardnganya23112 ай бұрын

    Mtangazaji hajui kati ya almasi na dhahabu ipi ina thamani ! Mmmh!

  • @hamadabdullah9702
    @hamadabdullah97022 ай бұрын

    Nenda zko uk mjinga mkubwa www ao yanga wamepigwa na Azam juz TU

  • @seifmsabah4384
    @seifmsabah43842 ай бұрын

    Yy aliongea kwamba yanga ataadabishwa vp leo?

  • @FadhiliSelf
    @FadhiliSelf2 ай бұрын

    Leo ndo unaona yanga ni bora huna lolote, kigeugeu ww.

  • @user-nw3ie8yq1x
    @user-nw3ie8yq1x2 ай бұрын

    mbona ivo kaka unaisifu yanga kiroho nzuri karibu yanga ikuondoleye stress

  • @KulijeNovart
    @KulijeNovart2 ай бұрын

    Kinyonga huyu, yaani kama siyo mwanaspot, ulisema Simba hawezi kufungwa mara mbili

  • @user-jn3nf7uw1w
    @user-jn3nf7uw1w2 ай бұрын

    C mchambuzi ni CHAWAAA

  • @pascalemmanuel2557
    @pascalemmanuel25572 ай бұрын

    Wew.kigeu na ww Una matatizo ya kiakili mpumbafu Wew

  • @SadikijumanneAseche
    @SadikijumanneAseche2 ай бұрын

    Hh

  • @user-jn3nf7uw1w
    @user-jn3nf7uw1w2 ай бұрын

    Na BADOOOOO..KULOPKA KWINGI MPIRA 0

  • @ImanuelMwaipaja-wf7xq
    @ImanuelMwaipaja-wf7xq2 ай бұрын

    Pekeake. Ndoo mkweli uyu

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu57672 ай бұрын

    Ww siulisema Simba watashinda

  • @alexjohn7361

    @alexjohn7361

    2 ай бұрын

    Uwe unasikiliza vizuri na una nafasi ya kurudia kusikiliza. Alisema hivi, simba wanaweza kushinda au kudro kama watamheshim na kumnyatia yanga na yanga anaweza kushinda, kudroo au kufungwa na akasema akisema yanga ashinde means afunge buster basi simba ataaibika.

  • @user-lq1fm4dj2n
    @user-lq1fm4dj2n2 ай бұрын

    Unalopoka tu alafu unasahau nenda uko hueleweki wewe

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r2 ай бұрын

    Wewe unajua soka❤

  • @FadhiliSelf
    @FadhiliSelf2 ай бұрын

    Ww co mchambuzi kabisa ulisema Simba anashinda ww haujui.

  • @jothamkibona2919
    @jothamkibona29192 ай бұрын

    Kigeugeu wewe

  • @user-yf2ro1wb4y
    @user-yf2ro1wb4y2 ай бұрын

    Kessy wewe mtu na nusu

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu8662 ай бұрын

    weee unafeli wp kila siku unageuka tu kuna vile ulisema na hatujaviona kenge wewe

  • @basilkamage2196
    @basilkamage21962 ай бұрын

    Huyu jamaa naye just alisema simba hawawezi kufungwa mara 2

  • @modestzacharia8939
    @modestzacharia89392 ай бұрын

    Huyu Ni mchambuzi uchwara. Kila mtu kauona mpira. Adanganye wajinga na wasiofuatilia soka. Yanga hawezi kuwa bora kuliko Simba. Takwimu katoa wapi za ubora ?

  • @emmanuelzwallo3933

    @emmanuelzwallo3933

    2 ай бұрын

    Hujui mpira.

  • @emmanuelzwallo3933

    @emmanuelzwallo3933

    2 ай бұрын

    HEBU toa takwimu zako ukizingatia performance ya timu na uwezo wa mtu mmoja mmoja ndo umpinge sasa huyu jamaa

  • @benjaminmoses5575

    @benjaminmoses5575

    2 ай бұрын

    hilo nalo mmekariri kuna muda umepita imebaki kuwa expired endeleeni kuamini vitu mgando

  • @leahsimba4788

    @leahsimba4788

    2 ай бұрын

    We nae n fala kumbe 😅

  • @pilipilimanga2619

    @pilipilimanga2619

    2 ай бұрын

    Ndugu tuwe tunakubali hali halisi. Tuache ushabiki pembeni Yanga kwa sasa wako vizuri.

  • @user-qd6yl1ub8v
    @user-qd6yl1ub8v2 ай бұрын

    Ulisema yanga atafungwa na Simba leo mbona umebadlili gia angani

  • @FadhiliSelf
    @FadhiliSelf2 ай бұрын

    Leo ndo unaona yanga ni bora huna lolote, kigeugeu ww.

  • @FadhiliSelf
    @FadhiliSelf2 ай бұрын

    Leo ndo unaona yanga ni bora huna lolote, kigeugeu ww.

Келесі