MZARAMO AMVUNJA MBAVU UPETE WAKIZUNGUMZIA SAJILI ZA SIMBA SC| SIKIA HAPA
Спорт
#kariakooderby #simbasc #yangatv #yanga #yangasc #yangasc1935 #eidmubarak #crdbfederationcup #asfc #tff #yangasc #yangavsmamelodisundowns #azamvsyanga #azamfc #simbavsalahly #basata #sanaa #tanzania #barazalasanaatz #simba #caf #cafcl #totalenergies #ahmedally #simbavsjwanenggalaxy #simbasc #pacomeday #wananchi #allykamwe #cafcl #exclusive #morison #vituko #trynottolaugh #mayele #mayeleleo #majini #mwamposa #majiniyamayele #yanganamayele #mayele #fistonmayele #simbasc #yangatv #yanga #yangasc #mayele #fistonmayele #simbasc #alahly #simbavsalahly yangavsmamelodi #simbavsalahly #simbascvsalahly #simbaalahly #yalayaahly #alahly #mudaday #mudathir #simuziite #timuyawananchi #cafclcc #caf #cafcl #yangasc #simba #yangavsmtibwa #simbascvsalahly #highlights #duniampya #kochamkuu #kocha #manara #dullamakabila #zaylisa #trending #trendingstories #entertainment #burudani #mapinduzicup #simba #ahmedally #allykamwe #azamfc #usajili #simba #yanga #soka #live #ahmedally #azamfc #chama #usajili #mayele #allykamwe #simba #yanga #soka #live #ahmedally #azamfc #chama #usajili #mayele #allykamwe #simba #yanga #live #soka #yangasc #simbasc #simba #yanga #soka #live #ahmedally #allykamwe #azamfc #chama #usajili #mayele #baleke #usajilimpya #kocha #kochampya #simba #soka #yanga #ahmedally #allykamwe #simbasc #yangatv #yanga #yangasc #yangasc1935 #yangabeauty #yangampya #yangascbingwaupdates #yanga #simbanguvumoja #simbasctanzania #simbanagpal #azamsports2 #azamtv #azamsports1hd #azamfc #wasafimedia #wasafitv #simbasportsclub #simbar #simbaapp #simbasupercup #thisissimba #WenyeNchi #nguvumoja #daimambele #youtubeitalia #youtubeuse #youtubeindia #youtubelife #beautyyoutuber #youtubegamer #youtubebrasil #youtuberp #youtubetürkiye #youtubetürkiye #youtubeblogger #youtuberewind #youtubecommunity #youtubefamily #youtubeblack #jualviewyoutube #smallyoutubers #sub4subyoutube #youtuber #youtubetürkiye #yanga #simba #beautyyoutuber #indianyoutuber #jualviewyoutube #newyoutuber #nguvumoja #simbasc #simbasctanzania #tanzania #taifastars #tff #maroc #morocco #wcqualifiers #caf #soka #cafcl #kochampya #kochawasimba #robertinho #tabulele #simba #soka #yanga #live #ahmedally #chama #allykamwe #azamfc #mayele #usajili #kochampya #kochawasimba #simba #yanga #simbasc #yangasc #soka #nbcpl #kariakooderby #simba #yanga #soka #bwiganetv#bwiganetv #bwiganetv #tpa #sokaletu #bandari #simba #yanga #allykamwe #live #ahmedally #azamfc #chama #mayele #soka #usajili #bwiganetv #soka #tpa #interports #bandari #yanga #yangasc #kochawayanga #mechiyaleo #yangavsazam #magoliyote #azizki #simba #azizki #hattrick #yangavsazam #matchday #mechiyaleo #soka #sokaletu #nbcpl #simba #simbasc #yangasc #azam #azamfc #tpmazembe #esperança #esperance #tpmazembevsesperance #yanga #yangavsazam #yangasc #azamfc #afl #simba #simba #harrmonize #soka #ahmedallySimba SC #simba #afl #simbavsalahly #alahly #wataniwajadi #watani #simbanayanga #simba #yanga #simbasc #yangasc #ahmedally #allykamwe #sokaletu #afrika #afl #alahly #live #soka #simba #chama #yanga #ahmedally #afl #africanfootball ##allykamwe #azamfc #mayele #usajili #simba #live #soka #yanga #afl #afcon #drooyaafcon #ahmedally #barakampenja #upete #azamtv #live #chama #soka #simba #yanga #ahmedally #afl #allykamwe #live #soka #simba #simbasc #sokaletu #mechiyaleo #highlights #magoliyote #matchday #yanga #yangasc ##chama #ahmedally #allykamwe #bwiganetv#simba#yanga#live #tff #mechiyaleo #matchday #uefa #ahmedally #simba #yanga #live #allykamwe #usajili #soka #chama #azamfc #mayele #simbavscoastalunion #juakali #siasa #trending #raissamiasuluhuhassan #ccm #sokaletu #sports #ucl #uel #uefa #caf #cafcl #uefachampionsleague #europaleague #liverpool #bayern #bayernmunich #barcelona #joãofélix #namungo #ihefu #saido #baleke #kibu #chama #championsleague #sopu #job #azamfc #bocco #mechi #mzaramo #mgunda #robertinho #kocha #kochampya #kochamkuu #psl #zamalek #pyramid #mayele #psl8 #livescore #matchday #coastalunion #dida #kaze #kagerasugar #mashujaa #efm #wasafi #wasafifestival #muzikiunaongea #wasafitv #mpenjatv #ayomatv #ayotv #millardayo #clouds #rfa #cafclcc #totalenergies #taifastars #tff #pacome #maxi #maxiday #botolapro #jupilerpro #global #mamelodi #tbt #globaltv #throwbackthursday #throwback #feisal #azamtv #mwananchi #live #allykamwe #live #soka #simba #ahmedally #usajili #yanga #mayele #azamfc #chama #live #allykamwe #soka #usajili #yanga #ahmedally #azamfc #mayele #simba #chama #live #soka #azamfc #ahmedally #simba #usajili #yanga #allykamwe #mayele #chama #live #soka #ahmedally #simba #allykamwe #yanga #usajili #chama #caf #cafcl #cafclcc #afcon #soka #live #tff #afcon #caf #sokaletu #taifastars #mayele #ahmedally #allykamwe #live #simba #soka #usajili #yanga #chama #azamfc #live #allykamwe #simba #ahmedally #usajili #yanga #mayele #soka #azamfc #chama #live #simba #yanga #chama #allykamwe #ahmedally #azamfc #soka #usajili #live #simba #yanga #ahmedally #allykamwe #usajili #soka #mayele #azamfc
Пікірлер: 52
Sikujua Kama huyu jamaa bora hivi Kwenye kuchambua mpira, Bravo Nazaret👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
kama umesikia utapeli mtupu ,ndo mana wanaenda hija gonga like😂
Nakukubali mzalamo we ni machine ya kazi ,,,, wape maelekezo wajielewe
Mzaramo umeongea ukweli kabisa viongozi wetu Simba ni wachimia matumbo ndomana hata kujiuzuru hawataku wanangangania madaraki watuachie timu yetu mangungu na try again hawa wote ni watu wabaya kwanza sina Imani kama mangungu ni Simba
🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 mwamba anajua kuchambua mpira
Simba nguvu moja
Team gb 64 mtakua wengi sana amebaki kidungu
Mwambiee kaka
Mzaramo hawezi kujieleza Wala Hana anachokijua upete
smba yetu inatupa machungu kweli lakin sihami ata ingeshuka daraja naipenda simba
Simba ili wakuelewe Upete wambie CHAMA mzuri. Wao huwa hawataki timu nzuri wanachotaka ni CHAMA aamke vizur tu wanajua atakaba, atapiga pasi za magoli na pia afunge
Upte usajili wanaosimamia yote hayo ni viongozi sasa kama hawawezi kusimamia lolote kutua na nini
@OkrahMwandemela-wh2dh
3 ай бұрын
Kweri kabisa mzaramo leo kawapasua ao wanaojiita viongozi wezi tu ao pamoja na bossi waooo
Mzaramu umekoga leo
Mzaramo leo kwa mara ya kwamza katupa jezi lake la MAKOLO
Anaona aibu
Hahahaha yup mwiz
M huwa simuelewii huyu mzaramoo kusema ukwel , naona purukuchu purukuchu ....😂😂😂
Upete wasikubadikishe kuongea ushabiki no ss tunataka vijana wakuwapa ajira kwenye maredio kwenye tv
Nikimsiliza upete anavyouchambua mpira na nikimsikiliza mzaramo mashabiki weng wa simba hawaujuw mpira wanapayuka tu sasa mtu anakataa uchaguz haujafanyika na wakat waliufanya
Hao wajumbe ndio nao hawatufai kabisa,upete nawe usipake mafuta uongozi ni mbovu,suala la usajili ni viongozi bwana huwezi kuwa na wasajili wanaokuibia kila mwaka ukawa kimya
Mzaramo huna baya bado moo atuachie team yetu matajiri wapo wengi tu mbona
Mo anakupishaje wakati ndio mwenye timu 😂
Ww mzaramo shida yenu ninyi mlitusema vibaya sana ss tuliokuwa tunawasema viongozi kusajili hovyo mlitushambulia sana na kutuita vibaraka wa yanga,na kusema tuwaachieni Simba yenu ninyi mliojiita wenyesimba yenu Leo mnasema eti nyuma ya kamera mlikuwa mnasema mnaungana nasi,huo ni unafiki mkubwa
😂😂😂😂kwakweli viongoz wemewekwa tu
MO DEWJI SASAHIVI N KIRUS PALE SIMBA HANAMAPENZII NA TEAM TENA ANACHOJARI SASAHIVI N MASIRAHI YAKE BINAFASI
@cathbetsolomon3151
3 ай бұрын
Sahihi
@ramadhanisalum3898
3 ай бұрын
Aliekwambia muhindi anapenda mpira nani
@betramsambali
3 ай бұрын
Mzaramo umeulizwa hivi tatizo SIMBA ni nini.
Mzaramu umeisha
Msomali wa magorota ndio yupi huyo mzaramo nipe codi kaka😂😂😂
@frenciustryphone4531
3 ай бұрын
Ni Engineer Hersi. analisemaga sana Hilo neno huyu jmaa
Upete anaongea ikimichezo haswa kijana undelee hivyo hivyo
Bwigane boresheni camera zenu!!¡!!!!¡!!!!!!¡
Viongozi ni mafisadi hawatu fai waji hudhuru kazi ime washinda timu ni ya Wana Simba wote sijuwi kwanini hawataki kujihudhuru
Mo atupishe mbwa yule tumemchoka
@ngadumbishi1405
3 ай бұрын
Hela mnayo 😂
Ww mzalamo mlopokaji mbona Leo ujavaa malapulapu yako
Bwigane camera zako boresha
Leo umechana jezi yako au mbona ujavaa
Mpaka mzaramu katubu basi
Mzaramo kumbe anajua anachofanya
Simba hakuna lolote polojo tu
Boresha ubora WA picha,,,
Dogo natamani ungekuwa mangungu !?)
Swali 1.majibu 10000
@johnbernad3990
3 ай бұрын
😂😂😂😂
Hapo umechapia kusema buree
Hao wajumbe ndio nao hawatufai kabisa,upete nawe usipake mafuta uongozi ni mbovu,suala la usajili ni viongozi bwana huwezi kuwa na wasajili wanaokuibia kila mwaka ukawa kimya
Mzaramo huna baya bado moo atuachie team yetu matajiri wapo wengi tu mbona
@GibsonNtamamilo
3 ай бұрын
Usijidanganye mchezo wa mpira ni kamari. Hao wawekezaji kama mitaji yao sio imara mtawika msimu mmoja tu. Mo ni tajiri mwenye mzuka na Simba hao wengine watakuja kibiashara.