Karibu Bwigane TV
Channel bora kwa mada za michezo na burudani, Historia, Uchambuzi na Mahojiano Rasmi.
Channel hii inaendeshwa kwa weledi mkubwa, misingi sahihi ya habari na yenye kusudi la kuwa runinga ya mtandaoni kinara katika upashaji wa habari nchini!
🚫Maoni Yenye Lugha Chafu Yataondolewa ili Kulinda Asili Yetu na Maadili Mema.
Contact: 📞0783000011
Maudhui bora ni haki yako.
Пікірлер
Me nawacheki wasoma coment
Kaduguda vp tare8 totalitarian kipigo?
Hizo ni suasa za kihinga kwenye tuzo
Kwani wewe yanakusu nini et mustache mwamba atambe
Aiccho alisshili kupataa tuzo.lama kmpiga kiwiko hataaa ZEDANEe wa ufaransa alimpiga mchezaji wa Italia kichwa na akawa mchezaji bora
AUCHO Hana nidhamu vipi,INONGA alipiga mtu kichwa Na kapata tuzo,Nini unaongea,
Acheni ujinga utofauti huo uko wapi mnampa MVP vimbao Mnampa goalkeeper bora vimbao kisha unasema ziko tofauti hii kweli tofauti
Tuzo uchafu
Hata ueleweki kwani Fei Toto alivyokuwa Yanga hakuwa kupewa mchezaji bora wa ASFC?
Ndio Maana Ulienda MBWEN kulanguaaa Tickets
KURJUAN IMECHANGANYA WENGI SANA😅😅😅
Anaongea nini huyu mara Feisal amepat mvp nbc 😂😊
HUYU JAMAA ANAJUA MPIRA MPENI MAUA YAKE🎉
katengenezee za kwenu achukue
TFF wamempendelea Fei na kumnyima Aucho tuzo. Namba 6 alipaswa kuwa Aucho, 8 muda akapewa fei. Fei ni Namba 10 alistahili kushindana na Ki ambapo asingepata. CRDB pia hakustahili kwa mchango upi?
We unaumia na YANGA na Bado supu tutainywa na kuwashona tutawashona tu
tuzo zote zilitakiwa ziwe za yanga na beki bora ni kwasi Yao
Aucho ndio kiungo bora NBC hata ikiwa Aziz Ki au nani ila kiungo bora ni Aucho hata iweje? Mwingine ni mudathiri yani fei toto hamfikii muda msimu huu yani
Hakuna mtu mwenykichwa kama hicho Cha oluma halafu akawa na akili timamu
Tuzo inabidi zitolewe si zaidi ya wiki 1, baada ya fainali ya FA cup, ili kuzipa nafasi timu na wachezaji kuendelea na ratiba zao zingine bila kuingiliwa na mambo mengine. Fikiria timu imeenda pre season, itaruhusu wachezaji kukatisha program eti kuja kuchukua tuzo?
MANENO. YA. KUFELI. HAYO NDIO MAANA UNAWEWESEKA. KAMA UPO USINGIZINI UMECHEMSHA AHMED ALLY
Ali kamwe kiboko bwana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kama zile zimeboreshwa ndo hizo je za awali zilikuwaje.
Toka lini huyu jamaa akaongea ukwel zaidi ya unazi na usenge mvp wa ugari sukali maybe
Hii ya wakati mzuri kwa Fei kuliko wakati wowote sio kweli. Aucho amekoseshwa kwa makusudi. Ni wivu tu hakustahili kukosa hata kwenye timu ya msimu. Tatizo la TFF ni ubinafsi, chuki na ubabe. Hivi ni kweli Matsmbi anaweza kumweka Benchi Diara? Hivi Diara angekuwa ni mchezaji wa Simba au Coastal union angekosa hiyo nafasi? Tumesha wazoea na Figidu zao. Msimu uliopita Ntibazonkiza walilaximisha awe sawa na Mayele ktk. mfungaji borana mwaka huu wakahamisha sikunya kutoa tuzo na matokeo ndio hayo.
Yanga kumama zenu nyinyj wala supu za vibudu na tuzo zenu zisizo eleweka
Kafie huko na roho yako mbaya
Zenu zinazoeleweka ni ziko wapi?
@@winifridarugayana7312 tanzania ii mkubwa na mfalme peke yake ni simba sports awo wengine mikindu yao na ww mbwa mlavibudu ntakupiga kurujuani watu wale kibudu chako maskini takataka ww
Unajina lamaana lakini aibu umekosa adabu mambo hayo afanye mtu hana dini
@@SalumRwambo usinambie abali za majina nina magoma ahmed ally nataka muungane nyote nyinyi wala vibudu muje muone mamaaake tobo ww
Kwan ni tuzo ya nidhamu, kuna kipengele cha nidhamu
wewe ulitamani huo ni upuuzi
Media ya hovyo mchambuzi wa hovyo mbona ila watu tunawavumilia tu
Anawewesekaweweseka tu😀😀
Shida ni usimba na uyanga wanapenda kubalance kila kitu
Hawezi Kupewa Tunzo Hastahili Hakuinesha Ubora Muwache Akale Ugali Kwa Sukari😂😂😂
Kuhusu D.G.d Kaonewa Kwakweli Alistahili Zote Mbili Kikipa
wewe siku zote unachuki na yanga hupendi kuona yanga au mchezaji wa yanga akipata mafanikio kwa ushabiki wako
Kwani hawakufahamu tarehe ya tuzo!?
Timu ya ccm
ORUMA SASA HIVI UTAPENDWA NA WANAYANGA NA WANASIMBA PIA UNAONGEA FACT
Siyo yoyote anastahili.ni azizi bro.
Yanga na supu damdam, Nimeipenda hiyo.
Huyu jama akili zake zipo matakoni
Fala ww
Acha ujinga enonga alikuwa anared alipata beki bora
chama yeye kapata Nini?
Wewe una nini?
fei haki yake kupata tuzo mana kaonyesha kiwango kikubwa sn wanawo sema hastaili hawa mpendi
Yani kilicho niuma kweny hizi tuzo kwenye kikosi Bola aucho hayupo
Kila mtu ameumia sana kuona hiyo! kamati sijui ilizingatia nini??,
Acha tu sijui vigezo gani wametumia jaman Tumeumia sana
Supuuuu oyewwwe
Walaa usijal wananch tutampa wenyewe
Jamaa hizo taa hazija mng'alisha kabisa 😢
Labda mkereketwa
Tuzo ambazo hazizingatii displine kweli feisali amekataa kuvaa medali hiyo ni adabu kweli Hana fear competition Leo unampa tuzo Tena MVP crdb
Mapovu
Shangaa hata ww
Yanga tukovizuri tunasubiri ligituu