Mbuzi media: Is for all sports and entertainment news, women's soccer, boxing and other sports.
Articles, stories, narratives and reliable news. Not to mention the drama will be available here.
Be the first to get the best every day. Together we communicate and entertain each other.
MBUZI MEDIA ni kwa ajili ya Habari zote za michezo na burudani, soka la wanawake, ngumi na michezo mingine.
Makala, stori, simulizi na Habari za uhakika kabisa. Bila kusahau na maigizo yatapatikana hapa.
Kuwa mtu wa kwanza kupata kilichobora siku zote. Pamoja tunahabarishana na kuburudishana.
Пікірлер
Mzeeee utakufa mapema
Mzee said unanivunja mbavu
Mzee said ananichekesha kwel ni zaid ya komedian
Wamwache pa omar jobe bado anakitu jamn
Braza wambiye ukweli mana hawaamin
😅😅😅🎉.
😅😅😅😅🎉
Nakubari sana muzesaid anawasadia wasimba kuwsemea mm yanga
Saidoooo huyo😢😢
Engineer na ww sifa hiyooo 🤣🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️huyu anatuua mbavu
Hakiamungu na mtume warudie kesho🤣🤣🤣🏃♀️💚💛💪
Mzee said respect ukweli mtupu
Ndio makolo mukome kutufuatilia akiondoka keey tunashusha lmr double keey sijuwi dunduka mtafanyajee
Mzee said unto.sahihi.
😂😂😂😂😂Mzee said roho inaumia sana kuona msafara wa yanga ukipita anawivu huyoooo!!!....kalibu yanga Mzee said
Atakuja zaidi ya Azizi k ndo mtajua mpaka mseme
Milaji 😮to 😅😅
😂😂😂😂😂😂Hakuna Cha ONANA Wala TUSIONANE😂😂😂😂😂
Watching rib cracking Mzee Saidi from Nairobi Kenya 🇰🇪.😂😂😂
MIRAJI NDIO KOLO MWENYE AKILI
Ila milaji punguza kumpiga chagamba mabegani
Milaji na chagamba mnajua sana 💞💝💘💛💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mkubwa😂😂😂
Mzee saidi sema na viongozi wako ndio tatizo
Nawakubali sana wamba
Sawa mzee saidi boda hujasema
ila bhana hata mimi nilikuwa natamani mayele aondoke yanga alivyo ondoka nilifurahi 🤣sasa bado na Aziz k akiondoka tuu yanga kwisha🤣🤣🤣
Kwan Mayele alipoondoka Yanga ilitetereka wap?
Yanga kubwa kuliko hao
Simba Nguvu moja 💪 hatumuogopi ng'oooooo huyo Aziz k
😂😂😂😂😂 uwiiiiiiii
stress relieving interview 🙌🙌
Mzee Saidi yule Aziz Ki usimkuze sana utamkufuru Mungu. Yule ni binaadam wa kawaida tu kama wengine.
😂😂😂😂😂😂😂
Mzee saidi unatuvunja mbavu banana ww
😂😂😂uyu mzee na mendacity kweli mimi yanga kweli naitaji namba ya uyo mzee
Sawa mbona namuonea kazeeka atatuofa nn uyu?
Acha waone
Young oyeeee
Hivi inakuaje waandishi mnakuwa na headings ambazo haziko Sawa na maudhui??!! Ni kweli kwamba ukiandika kuwa ni habari za Simba basi watu hawatafungua hiyo story.... Aibu....Mnaidhalilisha Sana Simba
Uchawi huo
Nimecheka Sana maji ya kwetu shuka za kwetu bara bara za kwetu alafu tufungwe
Malengo ya simba ni robo fainali na ku
Hawa ni wahuni sanna waliposajili hawa wachezaji makolo mulifurahi sanna walpo tambulishwaa mwaka jana
Huwa kana mdomo,sasa umekatwa
Mzee said ananichekesha sana
Huyu kishavurugwa hadi katukana 🤣🤣🤣🤣🤣
Jamaa anaongea kweli
Waziri,atafanyaje,nyie wanachama mliowachagua ktk mkesha na kuwapa uongozi,Leo hawafai je nani wa kuwatoa,kujiuzuru waache !!?
Mabega sasa😂😂😂😂😂
❤🎉ukovizur sanaaa
Alie chana nyavu ni hamisi tobias gagarino
Hii channel ina mbuzi wengi
Bro bega Hilo ila nakukubali San mwamba