Mbuzi Media

Mbuzi Media

Mbuzi media: Is for all sports and entertainment news, women's soccer, boxing and other sports.

Articles, stories, narratives and reliable news. Not to mention the drama will be available here.

Be the first to get the best every day. Together we communicate and entertain each other.


MBUZI MEDIA ni kwa ajili ya Habari zote za michezo na burudani, soka la wanawake, ngumi na michezo mingine.

Makala, stori, simulizi na Habari za uhakika kabisa. Bila kusahau na maigizo yatapatikana hapa.

Kuwa mtu wa kwanza kupata kilichobora siku zote. Pamoja tunahabarishana na kuburudishana.



Пікірлер

  • @RemidiusBatungi
    @RemidiusBatungi17 сағат бұрын

    Mzeeee utakufa mapema

  • @SadyPatison
    @SadyPatison11 күн бұрын

    Mzee said unanivunja mbavu

  • @user-wl3sv2xn9e
    @user-wl3sv2xn9e12 күн бұрын

    Mzee said ananichekesha kwel ni zaid ya komedian

  • @NasriShabani-uh2gp
    @NasriShabani-uh2gp14 күн бұрын

    Wamwache pa omar jobe bado anakitu jamn

  • @NasriShabani-uh2gp
    @NasriShabani-uh2gp14 күн бұрын

    Braza wambiye ukweli mana hawaamin

  • @user-sm6mq1du3c
    @user-sm6mq1du3c22 күн бұрын

    😅😅😅🎉.

  • @user-sm6mq1du3c
    @user-sm6mq1du3c22 күн бұрын

    😅😅😅😅🎉

  • @IsayaMolison
    @IsayaMolison23 күн бұрын

    Nakubari sana muzesaid anawasadia wasimba kuwsemea mm yanga

  • @lucaschamlonga7161
    @lucaschamlonga716125 күн бұрын

    Saidoooo huyo😢😢

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi621327 күн бұрын

    Engineer na ww sifa hiyooo 🤣🤣🤣🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️huyu anatuua mbavu

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi621327 күн бұрын

    Hakiamungu na mtume warudie kesho🤣🤣🤣🏃‍♀️💚💛💪

  • @FaharKabeta
    @FaharKabeta28 күн бұрын

    Mzee said respect ukweli mtupu

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr29 күн бұрын

    Ndio makolo mukome kutufuatilia akiondoka keey tunashusha lmr double keey sijuwi dunduka mtafanyajee

  • @priscairene4605
    @priscairene460529 күн бұрын

    Mzee said unto.sahihi.

  • @khamidujumanne
    @khamidujumanne29 күн бұрын

    😂😂😂😂😂Mzee said roho inaumia sana kuona msafara wa yanga ukipita anawivu huyoooo!!!....kalibu yanga Mzee said

  • @user-tp2lq4bd7o
    @user-tp2lq4bd7o29 күн бұрын

    Atakuja zaidi ya Azizi k ndo mtajua mpaka mseme

  • @mshamuhamisi9197
    @mshamuhamisi919729 күн бұрын

    Milaji 😮to 😅😅

  • @godblessluvanda9808
    @godblessluvanda9808Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂Hakuna Cha ONANA Wala TUSIONANE😂😂😂😂😂

  • @chamgiwadu
    @chamgiwaduАй бұрын

    Watching rib cracking Mzee Saidi from Nairobi Kenya 🇰🇪.😂😂😂

  • @idrisadjuma9322
    @idrisadjuma9322Ай бұрын

    MIRAJI NDIO KOLO MWENYE AKILI

  • @user-kt3ro2zt5i
    @user-kt3ro2zt5iАй бұрын

    Ila milaji punguza kumpiga chagamba mabegani

  • @user-kt3ro2zt5i
    @user-kt3ro2zt5iАй бұрын

    Milaji na chagamba mnajua sana 💞💝💘💛💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @user-yd1pc8uy8x
    @user-yd1pc8uy8xАй бұрын

    Mkubwa😂😂😂

  • @mariamjuma1670
    @mariamjuma1670Ай бұрын

    Mzee saidi sema na viongozi wako ndio tatizo

  • @user-fs5hq8wm7y
    @user-fs5hq8wm7yАй бұрын

    Nawakubali sana wamba

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570Ай бұрын

    Sawa mzee saidi boda hujasema

  • @janeemmanuel3615
    @janeemmanuel3615Ай бұрын

    ila bhana hata mimi nilikuwa natamani mayele aondoke yanga alivyo ondoka nilifurahi 🤣sasa bado na Aziz k akiondoka tuu yanga kwisha🤣🤣🤣

  • @user-fe8gq8dy1g
    @user-fe8gq8dy1g27 күн бұрын

    Kwan Mayele alipoondoka Yanga ilitetereka wap?

  • @PhinaNassoro
    @PhinaNassoro9 күн бұрын

    Yanga kubwa kuliko hao

  • @janeemmanuel3615
    @janeemmanuel3615Ай бұрын

    Simba Nguvu moja 💪 hatumuogopi ng'oooooo huyo Aziz k

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252Ай бұрын

    😂😂😂😂😂 uwiiiiiiii

  • @Nurse983
    @Nurse983Ай бұрын

    stress relieving interview 🙌🙌

  • @rashadymuhamad6293
    @rashadymuhamad6293Ай бұрын

    Mzee Saidi yule Aziz Ki usimkuze sana utamkufuru Mungu. Yule ni binaadam wa kawaida tu kama wengine.

  • @maikoatufigwegemwakapoja8709
    @maikoatufigwegemwakapoja8709Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @IsataPaulo
    @IsataPauloАй бұрын

    Mzee saidi unatuvunja mbavu banana ww

  • @kizakizapetro6205
    @kizakizapetro6205Ай бұрын

    😂😂😂uyu mzee na mendacity kweli mimi yanga kweli naitaji namba ya uyo mzee

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ibАй бұрын

    Sawa mbona namuonea kazeeka atatuofa nn uyu?

  • @JoyceNzagamba
    @JoyceNzagamba2 ай бұрын

    Acha waone

  • @JoyceNzagamba
    @JoyceNzagamba2 ай бұрын

    Young oyeeee

  • @vincentshekibula6670
    @vincentshekibula66702 ай бұрын

    Hivi inakuaje waandishi mnakuwa na headings ambazo haziko Sawa na maudhui??!! Ni kweli kwamba ukiandika kuwa ni habari za Simba basi watu hawatafungua hiyo story.... Aibu....Mnaidhalilisha Sana Simba

  • @ElizabethEmmanuel-nj1oi
    @ElizabethEmmanuel-nj1oi2 ай бұрын

    Uchawi huo

  • @bakarichina9948
    @bakarichina99482 ай бұрын

    Nimecheka Sana maji ya kwetu shuka za kwetu bara bara za kwetu alafu tufungwe

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr2 ай бұрын

    Malengo ya simba ni robo fainali na ku

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr2 ай бұрын

    Hawa ni wahuni sanna waliposajili hawa wachezaji makolo mulifurahi sanna walpo tambulishwaa mwaka jana

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba80532 ай бұрын

    Huwa kana mdomo,sasa umekatwa

  • @LeilaMussa-sn8uz
    @LeilaMussa-sn8uz2 ай бұрын

    Mzee said ananichekesha sana

  • @broynmajamla3074
    @broynmajamla30742 ай бұрын

    Huyu kishavurugwa hadi katukana 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-vb5hn7zz1p
    @user-vb5hn7zz1p2 ай бұрын

    Jamaa anaongea kweli

  • @user-yr5gi7cy7i
    @user-yr5gi7cy7i2 ай бұрын

    Waziri,atafanyaje,nyie wanachama mliowachagua ktk mkesha na kuwapa uongozi,Leo hawafai je nani wa kuwatoa,kujiuzuru waache !!?

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge82222 ай бұрын

    Mabega sasa😂😂😂😂😂

  • @user-vm8pg4yj6u
    @user-vm8pg4yj6u2 ай бұрын

    ❤🎉ukovizur sanaaa

  • @isayafrancis638
    @isayafrancis6382 ай бұрын

    Alie chana nyavu ni hamisi tobias gagarino

  • @josephallay6145
    @josephallay61452 ай бұрын

    Hii channel ina mbuzi wengi

  • @ZawadiAdam-cj1vv
    @ZawadiAdam-cj1vv2 ай бұрын

    Bro bega Hilo ila nakukubali San mwamba